Wapenda mpira wangekua wanampenda Allah kwa uchungu walio nao wasinge pata presha kwa mapenzi yasiyo na faida Dunian na Akhera
@marymoshi572Ай бұрын
Allah atufanyie wepesi imani yake kwake iwe kubwa kuliko chochte
@DieudoneAntony-l4s27 күн бұрын
Nikwr kaka
@GodwinNgossoАй бұрын
Msikilizeni huyu jamaa anaukweli Banker anazingua pesa imemzuzua
@abubakarimburu9096Ай бұрын
Mudathir na Bacca lao Moja wafuatilieni mtagundua kitu
@queenmwasanguti2370Ай бұрын
Muda sio kweli
@DavidPamba-jx5ioАй бұрын
Uko sahihi muda naye anamakosa mengi sasa hivi. Bacca kashiba sifa sijui kuna mambo mengi ya hovyo anafanya. Ameanza kuwa kama inonga
@edwardmaguluko6541Ай бұрын
Nikweli Bacca na Mudathil wanamapungufu sana sasa hivi
@JumaKilyamandaАй бұрын
Daa kwli kaka unaonambali sanasaaa❤
@CHARLESJUMANNE-d3mАй бұрын
Upo vizuri San jmaa langu
@nyavunitv12Ай бұрын
Kweli
@NaftaryMgoyeАй бұрын
Duuu ila kuna ukweli mwendelezo wa Bacca ni wa kiusaliti haifii tena timu😥
@sallyeliya5213Ай бұрын
Mwamba asikilizwe na hoja zake zifanyiwe kazi🎉🎉🎉🎉
@jituakilimali1529 күн бұрын
Tumupige bench mpaka akimbie mwenyewe ikiwa watatuletea uchoko wa kizanzibar tuwatimue wote wakacheze lamba lamba
@ShabaniJuma-n7fАй бұрын
Umeongea Kitu Cha Maana Sana ingawa kwasasa Mtu anaweza asikuelewe
@nyavunitv12Ай бұрын
Kweli
@tegemeakyangenyenka6111Ай бұрын
Ni kweli,takoling hakuna kabisa ongeeni naye asijsahau
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@JeladiJeladifransingwareАй бұрын
Huyu jamaa ana hoja asikilizwe wazee
@nyavunitv12Ай бұрын
Kweli kumbe
@vicenttarimo2203Ай бұрын
Mimi nipo tofauti Kuna mechi inamkataa mchezaji kwa hiyo hawezi kufanya vizuri mechi zote yule binadamu machuma yenyewe yanazingua
@SultanSuleiman-qf7cxАй бұрын
Huyu ndio mwenyewe YANGA yake
@WakiliHauleАй бұрын
Mwamba unaongea ukweli..magori mengi wanayofungwa Yanga kimataifa Bacca kuchangia sana..hata kwenye ligi ile mechi na Azam kuna mchezo mchafu aliufanya yule...ile kadi nyekundu ile kaitafuta na alihisi kabisa yeye mtu wa mwisho ..ila alijichanganya akujua kama yupo mchezaji mwingine wa Yanga...
@abbasasulwisye4311Ай бұрын
Yaani wew kweli mkweli yaani umemwona bacca kama mim
@deusmagesa266Ай бұрын
Uko sawa kabisa kaka
@msafirisalum8436Ай бұрын
True said
@VitusiNgonyani-d4l29 күн бұрын
Mimi nakukubali baka siyule
@CharlesAlly-jp1msАй бұрын
Vijana waleo wanatafuta maisha hawanakupenda
@kinyanyaonline3658Ай бұрын
Hata fei alikua hivyo mechi na dodoma kupiga watu ngumi mechi na prison alipo funga bao akatuonyesha no 6 yani tusome lebo hata huyu baka anatafuta sababu za lazima aondoke tu polepole
@KhadijaMsangi-d9sАй бұрын
Kwli kabsa
@rachelsamwel5359Ай бұрын
Mtangazaji umeongea vyema Bacca ajitathmini ni kweli anaenda kufanya nini mbele abaki ajizatiti nyuma lwenye ulinzi
@omarbaabad2706Ай бұрын
Huyu mtu tuwe naye makini inawezekana kabisa Simba wamemtuma atuvuruge inamaana mpuuzi huyu haoni Kazi ya Baka pumbamvu Sana huyu mtu
@saimonmanyerezi7169Ай бұрын
Kuna ukweli bhana Bacca takolin ziko wapi?,vichwa,siku hizi anafanya utoto mwingi.
@mohamedmagongo9348Ай бұрын
Nakuunga mkono 100% Bacca ameanza kutuhujumu tangu mechi ile Yanga 0 vs Azam 1aliyotolewa kwa kadi nyekundu. Mechi ya Yanga 3 vs Mashujaa 2...goli la pili la Mashujaa badala ya kuokoa mpira, yeye akatoa assist kwa mfungaji wa goli la pili la Mashujaa. Bacca ajitathimini hii ni Yanga amekuja akiwa hana jina, sasa Yanga imempa jina ndiyo ana anza kuvimba. Aende akawaulize wenzake waliyopita hapo Yanga baada ya kuleta usaliti wao ni nini kiliwakuta, akawaulize Thomas Kipese huyu alikuwa akituhumiwa kuwa na mapenzi na timu ya Simba. Basi kuna siku ya mechi ya Yanga vs Simba Thomas Kipese akapewa pasi akabaki yeye na kipa badala ya kupiga mpira golini! Lakini yeye akageuka nyuma kumtafuta mchezaji mwenzake ili ampe pasi! Basi toka siku hiyo mashabiki wa Yanga wakamkataa ndiyo hadi leo hii Thomas Kipese yupo Simba. Juma Abdul, Kelvin Yondani, Bangala na Djuma Shabani.
@HajiAliSaidАй бұрын
Kwanini azam awawagusi wachezaji wa simba wao kilasiku yanga tu wasenge sana hawa lambalamba
@brycesonmathias6112Ай бұрын
Kwa aneno ya msemaji Bacca Aache Kuuza timu
@feruzmbaya3628 күн бұрын
Duh usipostaajabu ya mussa utastaajabu ya firauni YANGA AFRICA KUSOMA HATUJUI HATA PICHA HATUIONI ?😊😊 MWAMBA UMESEMA JAMBO
@leonardmabula9472Ай бұрын
Wewe umepewa pesa kumharibu Bacca
@omarbaabad2706Ай бұрын
Mzee wetu Bakhresa tunakupenda Sana na Wala siamini kama haya maneno niyakweli eti vijana wako wanaotaka kuivuruga yanga
@SalumumadegwaАй бұрын
Ndiyo maana zamani wachezaji walikuwa wanalishwa amini!
@JumaJuma-g5eАй бұрын
Maneno. Hayo. Ni. Yakufanyiwa. Kazi. Siyakuzarau. Huyo. Yusuf. Baharesa. Ni. Aduwi.kubwa. Anashirikiana. Bilivo. Na. Simba. Kuiuwa. Yanga
@kaderbakshamin2345Ай бұрын
Baka kama kweli msaliti unajivurugia sifa yako waliokupa wananchi walikupenda na hii ndiyo timu kubwa hapa nchini jitathmini sana kama kweli lakini
Km njaa nyie mmezidi kwajaa ya pesa sio bacca tyu wala hakuna anapenda kitu kizalendo pacna hela. Bacca yupo kazini hayupo kwenye mapenzi...
@nyavunitv12Ай бұрын
Nakubali sana
@kalebphilip3426Ай бұрын
Mchezaj hawez kuwa na pafomensi hyo hyo muda wote, mpira ni mchezo wa kutumia nguvu na akili Kuna kuchoka pia
@chrysanthushakaunga6560Ай бұрын
Muda baka jirekebisheni
@Sefu-g4cАй бұрын
Kweli kabisa
@daudkondo4069Ай бұрын
Asikilizwe mwamba huyu
@juliusjkalela9164Ай бұрын
Kwel kabisa huyu jamaa ana kitu kabisa asikilizwe me mwenyewe naona bacca anakua kama anapotea potea xhv job aspokua makini tunafungwa huyu jamaa anaongea fact kabisa
@nyavunitv12Ай бұрын
Kweli maana duuuuuuhhhh
@omarymlawa5221Ай бұрын
Azam fc 😂😂😂😂😂
@allykapipi6618Ай бұрын
Kweli
@EdsonMagrethАй бұрын
uyu jamaa ana ongea ukweli baka sio bure
@NapeDkiliaАй бұрын
Nikweli bro hata ile kadi nyukundu ya Azam ilikuwa yakisart kweli.
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@halimaramadhanimwevi2472Ай бұрын
Hata mimi hili nililiona na nikasema huyu mpemba asijekuwa anapita na upepo wa BAKHRESA
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh kweli umeongea neno la maana
@GodwinNgossoАй бұрын
Tutafte baki mwingine huyo awekwe benji ili ajifunze
@kolosii4351Ай бұрын
Mimi nilisema tangu mwanzo ile siku aliyesababisha red card dhidi ya Azam, mwangalie vizuri uso wake utajua ni mpango wazi.
@nyavunitv12Ай бұрын
Kumbeee
@selemanmcharazoАй бұрын
Hata Mimi niligundua cku Ile janja TU.
@selemanmcharazoАй бұрын
Nikweli brother unachosema
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@YussuMaulid-x5pАй бұрын
Kweli mechi katuuza ile 😂
@nyavunitv12Ай бұрын
😳😳
@jonamnyone801428 күн бұрын
Wachomeni sindano dawa imeisha mwilini.
@kazembeally1619Ай бұрын
Nikwel anafanya makosa mengi
@rashidmaulid7312Ай бұрын
Sikubaliani na weye hata kidogo....bacca kiwango kimeshuka ila hahujumu timu
@nyavunitv12Ай бұрын
Mmmmmm
@matiankomola2391Ай бұрын
Lisemwa lipo kama halipo linakuja. Kuna watu ni wabishi tu ! Kama hukubali fuatilia!
@HABIBHASSAN-wf5mrАй бұрын
MPE NA ANGALIZO HUYO YUSSUF BAKHARESSA ASITUFANYE WAJINGA SS NI UMMA MKUBWA
@maxmillianmarwa5943Ай бұрын
Watamwuaribia Azam wanaharibu wachezaji
@MudySingo-x4gАй бұрын
Ana tafutakki uyo bonge
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@babaharunakipindula3895Ай бұрын
Jamaa ana kitu asikilizwe
@ZakayoNyagone-sd3rmАй бұрын
Kongole nwambaaa
@AllyKimemeАй бұрын
Kumeanza kushangamka huko bwa wani
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@AlfredBowa-b8rАй бұрын
Upo sahihi sana ila sio ubwera tu umemuingia sana
@nyavunitv12Ай бұрын
Wanashirikiana na ubwela
@HeryMpingaАй бұрын
Mr COVER OGGH
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@selemanmcharazoАй бұрын
Bakhresa anataka kuharibu mpira
@kabujeasukile5462Ай бұрын
Nakubariana na WWE baka anatoa maboko baraa
@omarfadhil7554Ай бұрын
Kama kweli vilee....
@suleimandaffa4590Ай бұрын
Mzee wa kilinge tunakushukuru kwa maoni yako.....ni ya hekima kubwa....
Baka ni binadamu kacheze wewe shenz huyo si samaki samakikila akiwa mkubwa anazidi nguvu pumbavu weeeee
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@matiankomola2391Ай бұрын
Lifanyiwe kazi kama sio sahii lipuuzwe, tukubali ni sehemu ya changamoto za Mpira!
@mohamedmagongo9348Ай бұрын
Wew kama haujui mpira, kaa kimya Bacca anahujumu timu angalia kadi nyekundu Yanga 0 vs Azam 1. Yanga 3 vs Mashujaa 2 goli la pili la Mashujaa badala ya kuokoa mpira lakini yeye akatoa assist kwa mfungaji wa goli la pili la Mashujaa!
@YussuMaulid-x5pАй бұрын
Jmni kweli
@nyavunitv12Ай бұрын
😳😳
@hassanlikwenangu8471Ай бұрын
Kila Mtu ni msemaji!! Maisha gani haya!!!
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@matiankomola2391Ай бұрын
Hata wawe 1000 kinachohitaji ni kufuatiliwa hawa 1000 wanachosema!
@hassanlikwenangu8471Ай бұрын
Msikilizeni atawasaidia
@lewismpangala927Ай бұрын
Kacheza mechi nyingi
@nyavunitv12Ай бұрын
😳😳🔨
@matiankomola2391Ай бұрын
Mechi nyingi gani ! Kwani wengine hawajacheza !
@mohamedmagongo9348Ай бұрын
Timu nyingi zimegundua haziwezi kupambana na Yanga uwanjani, ndiyo maana wakaamua kutafuta njia ya kupambana na Yanga nje ya uwanja. Kocha Gamondi alitumiwa na Simba kuihujumu timu kwa kuwaruhusu wachezaji kutoka kambini Avic Town na kurudi majumbani kwao, na ndiyo sababu iliyosababisha wachezaji wa Yanga kushuka viwango.
@GodwinJulias-y4lАй бұрын
Brow umeongea jamb la maana kwel
@nyavunitv12Ай бұрын
Kweli?
@hajially4527Ай бұрын
Katumwa huyu
@AllyRashid-q9mАй бұрын
Hawa watu wanaongea ovyo hawajuichochote
@nyavunitv12Ай бұрын
Daaaaahhh
@JeffNsemwaАй бұрын
Huyo jamah asikilizwe anakitu
@nyavunitv12Ай бұрын
Kweli
@errydeo8865Ай бұрын
Ni chawa! Thibittisha uyasemayo! Kila siku kubwabwaja! Uwanjani popote hatukuoni! Kwanini usiende makao makuu ukaongea! Wachezaji Wote hupitia changamoto! Stop talking rubbish! Tupe uthibitisho! Wewe hujengi klabu!
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@errydeo8865Ай бұрын
@nyavunitv12 huyo Bacca aliyemsema kafanyaje Leo!? Huyu Jamaa Fala Tu!!! Kama Una Jambo la kuijenga club,katoe hoja zako HQ with evidence or credibility,SIO unafanya vi interview visivyo na maana! Na nyie so called waandishi WA kozi weeks mbili ,NI mafala as well! Unashindwa nini kumtaka akuonyeshe ushahidi ya abwabwajayo!? WOTE wanafiki watupu! Taaluma ya journalism imeingiliwa!Huyu sijawahi muona kasafiri na timu, kijezi kimoja msimu mzima ,I doubt ni mwanachama hai! Kuongea kwa kelele kama kisgu HAKUKUFANYI WEWE SHABIKI BORA! HE IS A CLOWN! Sioni tofauti Yake na Yule Fala mwingime magoma!
@SultanSuleiman-qf7cxАй бұрын
Tuko na ww pamoja
@LumumbaSaidАй бұрын
Tanaomba tawi lake wamshughulikie ipasavyo.
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@iddmohammed1086Ай бұрын
Muongo. Ww ndo umepewa kibunda uje uzungumze utumbo ili usababishe mtafaruk kwa wana yanga
@nyavunitv12Ай бұрын
Aaaaaaahhhhh
@LilianBitwaleАй бұрын
Huyu humfatiliagi tuuu labda hii ndo interview ya Kwanza kumuona
@SylvesterKameoАй бұрын
Kapewa kiasi gani, tujuze!
@MwajinaAmeirАй бұрын
Wacha kumchafua ndugu yako
@GodwinNgossoАй бұрын
Umeongea kweli hata mm nawasiwasi na Backa anatuhujumu..tumwangalie kwa jicho la jirani.
@EdsonMagrethАй бұрын
Mimi pia nili isi icho anacho sema
@AllyRashid-q9mАй бұрын
Mpumbavu wewe mpira pesa wacha upuuzi ivi wewe ukipewa timu utaiweza?
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@mussakingazi8875Ай бұрын
Acha ujinga kadi unayo? Pesa haichezi uwanjan nyau wewe
@kadewelejosef4319Ай бұрын
😂😂😂 unaongea pumba 5uachie wachezaji wetu
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@Ibrahim-ne3inАй бұрын
Haya majitu ndio yanaharibu football ya Tanzania pumba tu
@nyavunitv12Ай бұрын
Duuuuuuhhhh
@errydeo8865Ай бұрын
@@Ibrahim-ne3in sio hawa Tu na hivi viandishi mbuzi! Unampaje kenge kama air time!! Haviwezi kutafuta habari za maana,! Vikisha Fanya vijikozi vya wiki moja, eti navyo viandishi! The reason Tanzania is backwards in nearly everything!
@matiankomola2391Ай бұрын
Litathiminiwe jambo hili !
@ericsallu3237Ай бұрын
Mbona Hujatoa Ushahidi wa Mo kumpa hela Gamondi????
@nyavunitv12Ай бұрын
Kume kunaiyo tuambie tufatilie
@matiankomola2391Ай бұрын
Ushaidi wa nini wakati maamuzi yalishafanyika na kaondoka!