Tafuteni kwanza ufalme Wa mbinguni hayo mengine ni mtaongezewa
@hajiramadhanihaji3554 ай бұрын
Nani wanafanya kafara ,mbona hujiamini Babu ? We juzijuzi tu uliuza mafuta ya dhahabu ? Leo unaleta habari za Kodi?
@VenerandaKundi-ph4hg4 ай бұрын
sawA hao wote walichinja lakini yote hayo yamemalizwa na kafara ya damu ya yesu kristo
@PatrickKindole3 ай бұрын
Hayo yemepitwa na wakati yesu ndiye kafara wetu
@yohanamarco56302 ай бұрын
Endelea kuamini ivyo ubaki kama ulivyo zaliwa.
@NazarethNgwira9 күн бұрын
Hubiri tu injiri acha kuponda watu
@Patrick-n2uАй бұрын
Duuuh!! Dunia ina mazito kabisa
@AsungwileMwakalebela5 күн бұрын
Nakuelewa sana
@PatrickKindole3 ай бұрын
Hayo yemepitwa na wakati yesu ndiye kafara wetu
@rweumbizalugaimukamu49052 ай бұрын
Huyu ni mganga wala sio mkristo
@MosesSimwanza-z8h19 күн бұрын
Ningosana
@Emmanuel-cp1no5 ай бұрын
Ubarikiwe sana huu ndi ukwèli halisi sio wale wanaotupoteza wamejivika ngozi ya kondoo kumbe ni chui wanabaki kujitarisha wao hali ya kuwa waumini wao ni maskini mpaka bas
@Asana-wi7yj4 ай бұрын
Abarikiwe na nini ndugu labda asipotoshe watu
@PatrickKindole2 ай бұрын
@@Emmanuel-cp1no tuwe na jicho la tatu shalom
@PatrickKindole2 ай бұрын
@@Emmanuel-cp1no Dam ya YESU nitop kuliko za wanyama Dam ya YESU inanguvu kuliko za wanyama Damu ya YESU INADHAMAN kuliko za wanyama Damu ya YESU NIKAFARA ILIYOTOKA MBINGUNI kuliko za duniani Damu ya YESU haichakai haichuj ni mpya kila itwapo leo soma qagalatia shalom
@yohanawihemba58252 ай бұрын
nakumbuka maneno haya niliyapata kwababayamgu mzazi 😢mungu amlaze maala pema babayangu,leo naoma kaludi baba mwingine
@BolasieNgongo-rh9wm6 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN Mungu akuzidishiye
@scolasticakaduma51433 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa kutuelimisha
@_the.great.9967 ай бұрын
Amina amin
@K-go1qj2 ай бұрын
Wanasajili huduma za Kikristo kufanya uganga wao huyu anafundisha elimu ya falaki
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
Watumwa wote sheta kazi kwenu huyu hapa mtumwa mwenzenu wa sheta yupo ubaoni kuwapa mbinu mkakati wa kumtumikia sheta kikamilifu mmm kazi kwenu wenzenu tumeshatolewa huko utumwani na yesu tupo hulu tunakula bata maisha safi hatuna hofu viji kuku vyetu na vimbuzi vyetu twala wenyewe hatuna shida wenye vilinge hapana gusa himaya yetu
@MilesReileigh2 ай бұрын
Anawafunza maisha huyu jamaa.Basi zingatieni.
@AlembekamiteAlembe6 ай бұрын
Bro ipm vifaa hivyo sisi tunaoitaji kufanyikiwa na hatuna kitu tutaweza kuvikamilisha kweli
@EngJoshАй бұрын
Kwa kuwa wanaroga na sis turoge..!!
@K-go1qj2 ай бұрын
Huo utajiri wa kafara una madhara mwishoni ni lazima uchinje mtu
@MilesReileigh2 ай бұрын
Si kweli.Ndio maana ni bora kuisoma elimu ya majinj kabla ya kuwatumia.Venginevyo utajipata pabaya.
@barakakevela2454 ай бұрын
NAKUELEWA SANA IPM HAYO MANENO YANATUFUNDISHA SANA UBARIKIWE
@angelsulle71774 ай бұрын
Kazi yako ni kuhubiri uchawi???? Hubiri Injiliiiii
@PhillipShoki4 ай бұрын
Hapo unapajuaje wewe ulisha fika huko
@GetfordMasehe5 ай бұрын
Umetisha safi tunataka watu kama nyinyi siyo kufichaficha vitu
@SarahPeter-fg3cm4 ай бұрын
Nimekubali sana we noma uwoo niukweli mtupu
@deogratiusmdemu62892 ай бұрын
Safee sanaa izo levo madaraja ya freemason
@victoriamtangi32874 ай бұрын
Vp kuhusu damu ya YESU?????
@Abbyjunior-pv5qo5 ай бұрын
Nimeamua nifat mpk uk kutok Tikit
@GersonAndrea6 ай бұрын
Maneno magumu ila nimejifunza kitu
@muchind227 ай бұрын
Nakuelwa ipm nakufuatilia kutoka Zambia
@gloriaaugustino80314 ай бұрын
Mnnnnn
@victoriamtangi32874 ай бұрын
Is very true jpm
@victoriamtangi32874 ай бұрын
Mwenzangu eeeeeee ewweeeeee
@nginqKanunga2 ай бұрын
Kweli mtumishi
@greatest_of_africaАй бұрын
😁dhuu watu wanapikwaaa
@HusnaSharifuАй бұрын
Huo ndo ukweli
@harountino4 ай бұрын
nimekuelewa ipm
@Abbyjunior-pv5qo5 ай бұрын
Kanisa lako lip wP ipm😢
@SalhaUchebe7 ай бұрын
Tateeee ipm
@TasloSanga7 ай бұрын
Amina, amina, amina
@tiberipolesanakikoti47987 ай бұрын
Amina,
@msemakweli2435 ай бұрын
Wewe unadanganya watu wasio jua watakuamini lkn kaa ukijua kwamba hili ufanikiwe ni lazima uchague kati ya mungu na shetani yupi umamtumikia lkn tofauti na hapo unadanganya watu wapumbavu watakuelewa
@yohanamarco56302 ай бұрын
Sio lazima umuamini! Nawe unaweza anzisha kitu kinachoweza okoa wanadamu, usipinge kama huelewi.
@msemakweli2432 ай бұрын
@@yohanamarco5630 naelewa ndo maana napinga wewe ujitambui tatizo
@GeogeHebuka2 ай бұрын
IZO NI AKILI ZA USIKU KABISA IPM NINACHO UMIA NIKWAMBA ULIKUWA MUISLAM SASA NAMI PIA NILIKUWA KM WEWE LKN BAADA YA KUMPOKEA YESU KRISTO NIKAYAACHA YA UPANDE WA PILI NA KUANZA KUMWISHI KRISTO VYEMA KABISA.....MAFANIKIO YANA KANUNI ZAKE SIO KUTOWA KAFARA WEWE BADO BWANA MDOGO SANAA KTK KUJUWA NGUVU YA MSALABA KTK PATANISHO LA UTAJILI BADO UJUI THAMNI YA DAMU YA YESU KRISTO PALE MSALABANI KIFUPI NI KWAMBA BADO UJAMPOKEA YESU KRISTO KUWA BWANA NA MKOMBOZI WA MAISHA YAKO.,.🕵️♀️🕵️♀️UNAALIBU KIZAZI IKI NAWEWE NA NYUMA YAKO ZIKO ROHO ZA KICHAWI NA UGANGUZI NAKUONEA HURUMA SANA VENYE UTAKVYO CHOMWA MOTO KWA KUPOTEZA ROHO NYINGI KUZIMU UNASEMA UNAMPIMA MTU NA KUJUWA YUKO DARAJA GANI JE UATUMIA KIPIMO KIPI....UTAFUTENI KWANZA UFALME WA MUNGU NA HAKI YAKE NA MENGINE MTAZIDISHIWA....SIO MAHARIFA YA KAFALA UNAPO MPOKEA KRISTO ATAKULINDA VYEMA KABISA NA UKIFANYA KAZI KWA BIDII NA KUFATA KANUNI ZA KIUCHUMI UTAFANIKIWA VIJANA WANGU NA WAZEE WANGU TUWENI MAKINI NA NYAKATI IZI😂😂😂😂😂
@Asana-wi7yj4 ай бұрын
Mbona unapotosha watu wewe prophet wa wapi wewe prophet yupi kwenye neno la Mungu anazungumza ushetani kama huu unaozungumza wewe