Asante sana!! Subscribe kwa kazi nzuri zijazo 🙏🏼🙏🏼
@naimasaid5634 жыл бұрын
Hamjawapata tu hawo wanaume jmni mwanmme unamulz kistarabu ila yy majibu yke
@tangatalents76944 жыл бұрын
Nawakubali sana
@rosefrancis2043 Жыл бұрын
Aisee Acha na sie ambao bado hatuja ingia kwenye ndoa. Tujifunze maana ni changamoto kwa kweli kwa sisi wanawake tunajisahau sanaaaaaaaa!
@lydiaakimana79884 жыл бұрын
Pambeeee 🔥🔥🔥🔥
@ukhtykaudhary38152 жыл бұрын
nawapenda
@anithaumukundwa25102 жыл бұрын
Asante dada zetu tumejefuza
@mankamallya8484 жыл бұрын
Kuna wanaume wabishiiii wanavaa vile wanataka wao, hamjakutana nao tu
@hilwanicky96104 жыл бұрын
Kweli Dadaa
@Nyamisango4 жыл бұрын
😂🤣😂🤣😆😂😂
@nooor11204 жыл бұрын
Yapo hayo
@mayasajuma69553 жыл бұрын
Umexema kweli wapo tofaut ila unatk kumfanya hili mda huu anakwambia baadae. Na akinitunza ntamtunza axiponitunza Xaxa najitunza mimi2 naende hvhv rafu😀😀😀
@rosevictorlive61844 жыл бұрын
Mnatwambia au mnatuchamba 😀😀😀
@ThinkersTVOnline4 жыл бұрын
Hahahahaha inategemea!!!!
@anitamwehonge82874 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Nyamisango4 жыл бұрын
😂🤣😆 wanatufokea
@islammutware23113 жыл бұрын
Hahahahahahahaha
@jenipherstanley80023 жыл бұрын
Pambeee_👌👌
@zuhuramwawimo9973 жыл бұрын
Hapo ushasema mama mume ni mume🙋
@asmaafamau83074 жыл бұрын
Swadakta maneno ya kweli
@khadijahomankweliyamjahaya74213 жыл бұрын
Swadakt yan ni kweli jmn looo!!! Yapo sana
@ashourahsaleh89583 жыл бұрын
Hatare
@gwijisirengo3 жыл бұрын
Hapo sasa
@winledsakia34483 жыл бұрын
woyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
@halimanasihu12004 жыл бұрын
Hahaha shuka ina wiki tatu hahaha chums kna fondogooo
@ThinkersTVOnline3 жыл бұрын
Fondogoooo
@simonwakhule612 жыл бұрын
Hawa dada wanaongea Yale ninapitia.Ni Kama wamefika kwangu.
@samohazakwani68993 жыл бұрын
Assalaam alaykum. Asanteni kwa mafunzo yenu, lkn mengine wahurumieni hao wanawake hasa wanaokwenda kazini wao pia ni binaadamu wanachoka. Mwanamme smart na mwenye huruma na mapenzi kwa mke wake hangojei kufanyiwa yote hayo na mkewe, bali ni wajibu wake yeye pia kumsaidia mkewe. At least ajihudumie mwenyewe, mke ana shughuli nyingi kwenye nyumba. Hata katika mafunzo ya dini hakuna sheria zote hizo, wameusiwa wanaume wawe na huruma juu ya wake zao maana mwanamke ni kiumbe dhaifu. Mwanamme bwanyenye ndie anaesubiri afanyiwe kila kitu na mkewe. Maisha ya ndoa ni kushirikiana hata kazi za nyumbani mwanamme anasaidia. Kiigizo chema ni mtume wetu Muhammad Alaihi Salaam, kaamrisha na kuonesha mfano jinsi ya kukaa na wanawake. Wasome wanaume historia yake.
@winledsakia34483 жыл бұрын
wewe umezungumza kwa dini yako ila kwa dini nyingine unasema MWANAMKE MPUMBAVU HUIVUNJA NYUMBA YAKE MWENYEWE . so kwamba Mungu hakujua hiyo numba ina mwanaume hat akiutamaduni mama ni kila kitu tutakatta tutakubali wanawake wengi niwabuvu sana wakiulizwa wanasingizia kazi mama zetu walikuwa wanalima na nyumba zao wanaangalia ninyi mnashinda ofisini lakini nguo za mumeo anafua dada
@medi222alrajhi93 жыл бұрын
Mwawaonea wivu tu hamkusoma ugali wa mchana hamna wawacheni wenye kisomo chao wainjoi atanunua piza