Wapalestina wagomea Mpango wa Trump huku dunia ikilaani kauli yake 'Aende motoni na mawazo yake'

  Рет қаралды 6,413

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii - / simulizinasauti

Пікірлер: 88
@shakeuabuu8851
@shakeuabuu8851 10 сағат бұрын
Mwendazimu kweli
@AishaTabi-e2z
@AishaTabi-e2z 10 сағат бұрын
Anawazim uyu mzee 😅😅
@Zuhuranadadoita
@Zuhuranadadoita 5 сағат бұрын
😂😂😂😂😂Mzee apunguze anachovuta yaani ufukuze watu kwao Kheee
@Drsilo-v5k
@Drsilo-v5k 9 сағат бұрын
Ila hawa ndo makafir Ila baada ya dhiki huja faraja
@shakeuabuu8851
@shakeuabuu8851 10 сағат бұрын
Natamani niwe raia wa Gaza Palestinian
@ankalmzito254
@ankalmzito254 10 сағат бұрын
huyu nae kwani mganga wake alimwambia ukichukua uraisi uanze na kufukuza watuuu???????
@nasseralhatmi1762
@nasseralhatmi1762 9 сағат бұрын
😂😂😂
@atutweve4160
@atutweve4160 8 сағат бұрын
@@nasseralhatmi1762simlikua mnampenda eti ushoga ushoga 🙄🙄, kumbe dunia nzima inaweza kuwa manipulated kirahisi tu kwa point ya ushoga tu 🤣mkome kwakweli kumpenda huyu jinga
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 10 сағат бұрын
Uzur ulioje wa iman iliokuwa ya level za juu kama hii... nataman niwe pamoja nao.... free Palestine biidhnillah
@yollah
@yollah 10 сағат бұрын
Trump anaishi kwenye ndoto c maisha halisi mpaka amkee 😅😅
@nellymans-f1v
@nellymans-f1v Сағат бұрын
😅😅😅akija kushituka eeh kumekucha
@abdallahkhalfan3966
@abdallahkhalfan3966 8 сағат бұрын
Misri na jodani n vibaraka wa hao shetani 2 waliopo hapo naamin taifa la Palestina litasimama kwa uwezo wa Allah
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 Сағат бұрын
Swadakta
@nellymans-f1v
@nellymans-f1v Сағат бұрын
😅😅kama wameshindwa kuwafukuza kwa njaa na mabomu je,watawezaje kwa maneno tu ety😅😅😅 huu msemo ushikiliwe vizuri
@salumuomary8190
@salumuomary8190 9 сағат бұрын
Gaza imefanya chama cha Biden kushindwa sasa Trump atapinduliwa
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 сағат бұрын
Thubutuuu
@FxL_87
@FxL_87 2 сағат бұрын
TRUMP hawezi maliza miaka yake mitano kwa uwezo wa Mungu na imani ataingilia maslahi ya watu Fulani na yatamtokea yaliyomtokea JOHN F KENNEDY NA ABRAHAM LINCOLN​@@christinewomanoffaith5479
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md Сағат бұрын
Jamani mwacheni mungu aitwe mungu kila alilosema katika neno lake linatimia hivi hivi machoni pa dunia yote dunia yote heka heka kulitimiza neno la mungu pasipo wao kujua kweli nimeamini bibilia ni neno la mungu na ni kweli ya milele isiyopingika kamwe hata wanadamu wangepinga litasimama na ahadi ya mungu kwa islaeli ni imina na kweli ee mungu ibaliki islaeli milele amina
@user-nd3sc6lk2n
@user-nd3sc6lk2n 10 сағат бұрын
@ezekiakiwovele7794
@ezekiakiwovele7794 10 сағат бұрын
Trump NI chizi kwer akiri kidg
@yahayaannu3663
@yahayaannu3663 2 сағат бұрын
Anaota huyu 😂😂😂😂
@MrFella-e9w
@MrFella-e9w 8 сағат бұрын
Dj Smaa alisema 😂😂🎉🎉
@donatusbenjamin3660
@donatusbenjamin3660 9 сағат бұрын
Tangu trump aingie madarakani dunian kumechangamka sana
@سعدههوام
@سعدههوام 6 сағат бұрын
Ni mwehu uyo mzeee mbwa huyo azime kwanz moto kwake shetan mkubwa
@RandB_Channel
@RandB_Channel 7 сағат бұрын
Tulifurahiya Trump kuwa president sasa leo tunashanga kwanini anakuja namambo yahajabu sana eeee Mungu tuteteye
@FredWabwire-w3q
@FredWabwire-w3q Сағат бұрын
Wagaza, mambo Bado watakiona moto.
@zenajustus5731
@zenajustus5731 8 сағат бұрын
Milki za kiarabu wamechelewa walikua waseme hayo kabla maafa,leo izo kauli zao ni longolongo tu,ingawa nyuki anapigwa moto sababu asali yake wawacheni hao wapalestina waliobakia wakae nchini mwao hii sasa ni too much ingawa lengo lilikua hilo but sasa imezidi haifai.
@Youngruler_999
@Youngruler_999 8 сағат бұрын
Trump anajikuta nani kwanza 😂
@MohamedRashid-py7ro
@MohamedRashid-py7ro 9 сағат бұрын
WATU WA KUHAMA NI ISRAEL TU SIO KWAO
@zulfaibrahim1929
@zulfaibrahim1929 4 сағат бұрын
Afadhar siku ziende aondoke watu wapumuwe’ mara Canad ‘ Africa’ Sasa gaza’ kesho sijuwi nini ‘
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 Сағат бұрын
Huu mpango Israel kuivuruga Gaza hivyo lengo kuu ni hili Kauli ya trump 😢, ndio maana mauwaji yale yalichukuliwa ya kawaida 😢
@hanifa9153
@hanifa9153 4 сағат бұрын
Mashetani hayo Netanyahu na Trump wake yaan ufukuze watu kisa kujenga mji mzuri wakitalii watu wote duniani kwenda kula bata kwenye ardhi iliyochkuliwa kwa dhulma na dam za watu ikiwemo watoto wadogo alaa wajibakie na midhambi yao wenyewe wasitake kuambukiza watu moto umeendaliwa kwaajil ya watu madhalim malaanifu hayo majitu ya kiyahudi ilaaniwe😢😢😢
@MOSESIMCHUNGUZI
@MOSESIMCHUNGUZI 46 минут бұрын
HAYAYOTE YAMESABABISHWA NA HAMAS WENYEWE, NDIO WALIANZA ACHA WAFE PUMBAVU SN WALIANZA WENYEWE
@PlickaChacha
@PlickaChacha 5 сағат бұрын
Anaadaa september 11 nyingine
@ImamAbas-f9b
@ImamAbas-f9b 3 сағат бұрын
Dunia imesinyaa maji yamekauka mzingo mzito wazambi unawaelemea
@adiaygo8546
@adiaygo8546 4 сағат бұрын
Miàka4 atamaliza akiwa hoi analaniwa kila kukicha bricks wanamlaani umoja wa ulaya wanamlaa haya gaza tena wanamlaani duh!!!😅😅😅 atamaliza muhula wake akiwa hoi
@JoeZeno-q1b
@JoeZeno-q1b 8 сағат бұрын
Miaka 4 ya Trump itamalizika Jamaa yuko na Trend Kila siku! Vituko ni Vingi kwa Donald J Trump
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 2 сағат бұрын
Free GAZA
@SalmaAthuman-hp3en
@SalmaAthuman-hp3en 4 сағат бұрын
Ila Trump mwanzo nilikuwa namkubali sana ila naona anakoelekea dishi limeanza kuyumba sifa zikizidi ugeuka mwehu huyu mzee anazeeka vibaya maana atagombana na kila taifa😂😂huyu mzee vp
@nsusabudda2951
@nsusabudda2951 Сағат бұрын
Sijawai kumkubali Raisi yeyote wa marekani
@kelvinMakene
@kelvinMakene 10 сағат бұрын
Trump anawafariji waisrael
@far_hard1301
@far_hard1301 9 сағат бұрын
Historia ya marekani ni hv ili uchaguliwe kuwa rais lazima upitishwe na waisrael ukubali matakwa yao utawasaidia nini.JF Kennedy aliuwawa na nani jiulize na kwanini?
@sponsor7882
@sponsor7882 3 сағат бұрын
trump ataleta vita tu
@popiya2368
@popiya2368 8 сағат бұрын
Moto wa LA imchome haswa
@Mwachuomo
@Mwachuomo 10 сағат бұрын
Pamoja na warab
@YohanaJoshua-h2j
@YohanaJoshua-h2j 8 сағат бұрын
Wapalestina wanakiburi
@Uesilamsiodiniyakweli
@Uesilamsiodiniyakweli 8 сағат бұрын
Wa filisti mbona wa bishi sana si waame tu tangu shujaa wao goliati kupigwa na Mfalme Daudi kutokea israel, akilizao zilienda na lile jiwe
@Pianharoun-nt7zh
@Pianharoun-nt7zh 7 сағат бұрын
😂😂😂😂😂daaah
@Mrsalt-zs
@Mrsalt-zs 7 сағат бұрын
Usiongeeusichokijua ukiwa na ubinadam usingefurqhi watu kufa
@Uesilamsiodiniyakweli
@Uesilamsiodiniyakweli 7 сағат бұрын
@ nanialikuambia nafurahia watu kufa?? Au unalopoka kama mfuzi usio na bleki
@josephpeter8511
@josephpeter8511 10 сағат бұрын
hapana muame pajengwe pameharibika sana ni lazima pajengwe upya na baadaye mtakaribishwa.
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 10 сағат бұрын
Hatoki mtu hapo
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 10 сағат бұрын
Mjinga wewe
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 10 сағат бұрын
Hiyo ndiyo faida ya kufuga magaidi Hamas
@ivyroses9019
@ivyroses9019 9 сағат бұрын
Mtu hafukuzwi kwao kisha akakaribishwa. Mtu hukaa kwao akapatengeneza upya,mgeni anapopewa jumba bovu alirekebisha basi ujue amefika atasema nilifanya hiki na kile,ataweka utawala,atafanya mamlaka juu ya kila kitu na atataka awe juu ya kila kitu. Leo nyumbani kwako ukifukuzwa kwasababu ya uharibifu flani ,akaingia mtu flani na kurekebisha sahau kwamba ni kwako. .. Utahangaika wewe bila msaada wa haraka,ogopa sana mtu mwenye kujiona kwamba ana nguvu na ikiwa hela ipo na watu wanao msapport anao wenye mamlaka na walaji wenye kupeana support. Utaambulia patupu,Trump analeta sera za Hitla kama utani utani tuu. He must stop or must be stopped 😢😢😢
@fadhilngalanda7520
@fadhilngalanda7520 9 сағат бұрын
Huna akili hawajataka msaada wenu mnajipendekeza kwa WaPalestina
@BunzarMarco
@BunzarMarco 9 сағат бұрын
Kumbe ina umae mbona urus anafanya hivo Ukraine 😱😱😱😱😱
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 10 сағат бұрын
Safi trampo fukuzeni hawa wapalestina hii nchi NI ya Israel
@mosescharles1921
@mosescharles1921 10 сағат бұрын
Una laana wewe na wa Israel baadhi wenye roho kama yako
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 10 сағат бұрын
Ningekutusi lakini namuogopa Mungu!!!
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 10 сағат бұрын
Acha upumbavu wewe soma vzr history ya dunia na raman ya dunia, sio uongea tu kuonyosha kiwango cha ujinga wako
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 10 сағат бұрын
@@graysonpastory1918 kwani history inasema nini??
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 10 сағат бұрын
@@mosescharles1921 tutaichukua Tu hata Kama unakasirika Hili Jambo la Kimungu
@currencynetwork3064
@currencynetwork3064 9 сағат бұрын
Mpango wa trump umependwa na wengi kila mtu ameupenda
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 2 сағат бұрын
Kila mtu na nani kima wewe
黑天使被操控了#short #angel #clown
00:40
Super Beauty team
Рет қаралды 61 МЛН
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
Trump: Marekani itaidhibiti Gaza
7:30
BBC News Swahili
Рет қаралды 2,7 М.
President Ruto gobbles Ksh. 500 million in State House renovation
6:45
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 104 М.
Trump's Plan for "Greater America" Explained
8:42
TLDR News Global
Рет қаралды 760 М.
Арсен & Мереке | 1-серия
20:51
Арс & Мер
Рет қаралды 65 М.
НЮАНС (смешное видео, юмор, приколы, поржать, смех)
0:59
Натурал Альбертович
Рет қаралды 817 М.
ТИПЫ ЛЮДЕЙ в САМОЛЕТЕ !
29:26
A4
Рет қаралды 12 МЛН