Kweli nimeamini ukitaka kujua akili za wajukuu wako wape pesa uone kazi...
Пікірлер: 656
@fedharmmark63982 жыл бұрын
Yani umetowa funzo kubwa mno Kaka, vijana wengi wanaamini katika kutoka kimaisha lazima wawe na mtaji mkubwa zaidi, wakati game lenyewe wageni na pili ni utofauti siyo lazima wote mfanane biashara, tatu hawana mchanganuwo zaidi ya kufikiria faida tu . Ahsante kwa Elimu hii . WEWE ni MTEULE #You HERO# 🥋🥊👉🏆
@praiseandworship62932 жыл бұрын
Heavenly Father I pray you keep the person reading this alive, safe, healthy & financially blessed. Amen
@ditricklyuvale12252 жыл бұрын
Amen
@wycliffegift61802 жыл бұрын
Amen
@brownsebastianmwibi56472 жыл бұрын
Amen
@valerianawinfrid74972 жыл бұрын
Godbless u tooo
@godknowsbetter.63522 жыл бұрын
With due respect, likewise
@shaabanyusuph92252 жыл бұрын
Lesson; siku zote usiwe wakwanza kuzungumza kwenye kikao sikiliza kwanza maoni ya watu kisha tafakar ndo uchangie 🙏🙏🙏big up nishai
@calvinkapinga83412 жыл бұрын
Hichi kidada kilichokuaga na Mr bigbig kina kipaji sana sijui anaitwa zuu
@mwahamedychilungu89812 жыл бұрын
Kasha feli uyo kwenda kwa joti
@aishachambo32932 жыл бұрын
Anaitwa zuu
@AsmaAsma-gd3mv2 жыл бұрын
@@mwahamedychilungu8981 kwakweli awezi toboa joti mbi nafsi
@dianaelieza49372 жыл бұрын
Leo nimewai sijawai kupata like jamani.
@nsengiyumvaemmanuel90652 жыл бұрын
Kweli wewe ni kioo cha jamii,ubarikiwe sana Joti!!!We are together from Msumbiji
@PabloEscobar-wt1fq2 жыл бұрын
The most crazy comedian in Tanzania....
@mohamedtaib56142 жыл бұрын
Joti na enjoy sana with love from Toronto
@developershee40332 жыл бұрын
Busara kweli. Keep educating the community
@babuunavaz98432 жыл бұрын
Hivi huyu zuu namtamani Sana mjue bac tuuu daaaaah ...... 😂😂😂 Nikimtia mikononi huyu lazima atulie
@cedricmaina45232 жыл бұрын
Mashwaini nyinyi, mnang'atwa nini? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
@mohdnyambi75132 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
@fatmamusa24832 жыл бұрын
Kazi mzuri kaka twakuombea maisha marefu uzidi kutufraisha
@mbalilax1622 жыл бұрын
Further from comedy, this video also teaches...well done Joti, I really like this more
@jumanurdini98142 жыл бұрын
Et babu tutauza kuku 🤣🤣 joti kazi nzur inaelemisha
@mahmoudaziz47172 жыл бұрын
Nimecheka sana joti 😄😄😄😄😄😄🔥🔥🔥🔥🇹🇿.
@andrewmagwila16022 жыл бұрын
Hahahahahahaaaaa Joti ni htr ametumia akili ya kiutuuzima kuwatoa nje
@johnngari76712 жыл бұрын
Joti your the best😁😁😁😁😂😂 i real like tjis commedy
@abu-hasheem64222 жыл бұрын
Inafurahisha na kuelimisha.....safi sana.....👏👏👏👏
@kelvinjamesmchunga18762 жыл бұрын
More than educating
@muddymdigo51642 жыл бұрын
Yarabi mbavu znguu we jotiii bc inatoshaaa
@achawanunetv11672 жыл бұрын
KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA 💥💥💥
@alkhudhertarek9762 жыл бұрын
Mataifa gn
@momscute45502 жыл бұрын
Nchi which😂😂
@bastakimaro3792 жыл бұрын
We hamnazo kabsa
@starfordalex41392 жыл бұрын
Imechanganyikiwa
@starfordalex41392 жыл бұрын
Umechanganyikiwa
@PesaMadafu2 жыл бұрын
People wants overnight success without applying hardworking and most of them don’t have no vision for it… besides be a comedy I know somebody learn something today. Joti and his team God blessed y’all.
@bestsuma5826 Жыл бұрын
Well said 🤝
@glorylema56522 жыл бұрын
Tunaorudia mar 2 mbil tujuaneeee🤣🤣
@florianrweangisa84032 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣kaka we ni nomaaaa sio comedy tu pia kuna elimu kubwa ndan
@azizahmwimbe85482 жыл бұрын
🤣🤣😆😆heti babu tutauza kuku hata ukiuza mapupu 🔥🔥
@jacksongeorge39642 жыл бұрын
MNANGATWA NIN" hahaha😂😂😂 big up joti bonge moja la meseji