Watu sasaivi wameacha kumshukulu mungu wanamshukulu mama kwa kila Jambo 😄😄😄 pumbavu mnapotea Sana akili zimeganda mno
@mhiyaoswedi44992 жыл бұрын
kama ni mama basi tunamuomba apromati na rell yetu ya treni ya umeme iishe mwaka huu😂😂😂😂😂😂😂😂
@mawazoaliselemani2 жыл бұрын
kipato?haya..
@zachariamalley70762 жыл бұрын
Kazi nzuri Big up Mh. Mama kwa kubuni namna ya kuongeza kipato cha nchi yetu. Tutumie fursa hii kuongeza tija badala ya kutafuta ubezaji, hakuna jambo litapata 100% kukubalika au kuwa na manufaa, ni kujua tu namna kila familia kufunda watoto wake na kuweka makatazo ya kiimani badala ya kujenga hoja pingamizi.
@rashidyally87152 жыл бұрын
Wenye akili finyu na mawazo mgando utawaona tu kwenye komenti utasikia Asante mama 😄😄😄
@fareesfarees76342 жыл бұрын
Maji ya kuosha ndege mko nayo...ila maji ya kuzima moto gari zinakuja bila maji
@winfordmwangonda53752 жыл бұрын
🤣🤣🤣ukweli mtupu
@maryamalli90902 жыл бұрын
Ujumbe huu tumuandikie rais umfikie hapa hautomfika
@latifaalsh54212 жыл бұрын
😂😂😂😂Sasa mbona unachamba jmn c waona wageni
@peter-tj6oo2 жыл бұрын
Nashangaa viongozi wa tz ndege moja ikitua wanaona ni big deal wanatangazaaaaaeeeee mpaka inakera,kwani hamna nambo ya maana zaidi ya kufanya,ujinga huo.
@hoseasteven62412 жыл бұрын
Mimi ni zaidi hivi hata nchi zingine wanafanyaga hivi au sasa hawa watalii waje wasije inatusaidia nini zaidi ya hela nyingi kujipigia?
@jacksonpallangyo13692 жыл бұрын
Kama ufahamu faida ya wagen kuja nchini usiwe unacoment
@laurentraphael54702 жыл бұрын
Wanajaribu kumpamba ili ionekane movie yake imelipa kumbe ni usanii mtupu.
@rashidyally87152 жыл бұрын
Akili za watz wengi zimeganda maisha yamepanda mitaani huku Hali ngumu umekuja ndege ya mabeberu mtu anakuambia Asante mama akili za kuku hizi anaamka asubui lakini kufunga mlango hawezi Hadi beberu aje kumfungulia 😄😄
@maridadifarid97342 жыл бұрын
Kabla ya Uviko 19 hili shirika lilikua linakuja na lilikua linakuja na ndege mbili kwa wakati mmoja.
@reubenkissinga58022 жыл бұрын
Pointi yako ni nini kwa mfano???jaribu ficha ujinga!!!
@maryamalli90902 жыл бұрын
Ujinga upi kwa mfano na wewe tukuulize kila mtu ana haki ya kutoa comment zake bwana
@nsajigwamwakalonge57022 жыл бұрын
maji ya kuosha ndege wanayo ila maji ya kuzima moto hawana,soko la kariakoo, soko la karume yanaungua mpaka dakika ya mwisho
@maryamalli90902 жыл бұрын
@@nsajigwamwakalonge5702 si tunayachoma wenyewe
@reubenkissinga58022 жыл бұрын
@@maryamalli9090 Kwani hao walioleta taarifa wamesema shirika hilo la ndege halijawahi fika hapo znz??,,,kama walishawahi fika kabla kuna kosa lolote wakitangaza kuwa wamekuja tena!!!anatoa komenti kana kwamba hao waliotoa taarifa wamesema hilo shirika halijawahi kabisa kufika znz kabla!!!
@shebbythespyro53932 жыл бұрын
Zanzibar kutoshikika soon tujitahidi kununua viwanja huko
@djsandi44192 жыл бұрын
Mtu wa bara huwezi miliki kiwanja zenji maishaa
@shebbythespyro53932 жыл бұрын
@@djsandi4419 laabda viwanja kwa ajili ya biashara lkn sio ya makazi pia tunalipia kwa serekali
@khalifakilapo49332 жыл бұрын
Wanakata utepe? Wanazindua nn?
@rithadonatus81102 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@arafatabdul13422 жыл бұрын
Royal tour
@mhiyaoswedi44992 жыл бұрын
hao watalii niwale amba ndani ya miaka miwili hawakuja coz kulikuwa na sakata la corona,hive move haijawa na ukubwa huo,tusipambe mabo bhana
@ladysasty2 жыл бұрын
Maajabu ya herufi ya kwanza ya jina lako kzbin.info/www/bejne/emaXfpeEl5ygZ5o
@safimusa10112 жыл бұрын
Sector ya utalii inakuwa ila haisadii inchi sababu inch ina madeni chungu mzima. Hapo utasema wananchi watanufaika ila kumbe ni stor
@kaslali20392 жыл бұрын
ikitokea ajali ya moto utasikia "gari hazina maji" ohh "hatuna magari ya kutosha, tumeishiwa na maji"
@ashaimohammedi67542 жыл бұрын
Safiiiiiii Sana mama
@wakwetu24442 жыл бұрын
Angalieni na Madhara ya utallii pia. Mzee karume akiwapa vitenge wavae.
@maryamalli90902 жыл бұрын
Siku hizi utamaduni wa mzanzibari umepotea haswa ni masikitiko kwa kweli hatukatai utalii ila ilikua ziwekwe Sheria za kumdhibiti utamaduni lakini wapi
@winterkasela90332 жыл бұрын
Sisi watanzania tunataka bei za vitu zipungue kama wakati wa JPM watari wanatusaidia nini sisi kama maisha yanakua magumu
@salumabdallah66802 жыл бұрын
Jinyonge tu shida zitakwisha 😁
@winterkasela90332 жыл бұрын
@@salumabdallah6680 kama nililolinena sio sahihi nijinyonge mim ila kama liko sahihi iwe hivyo kwako amin.
@tumlakimwaitumule2 жыл бұрын
acha ujinga ww,sukari , mafuta ya kula, cement, si vilianza kupanda wkt w JPM huyo huyo,uanfkri tumesahau?
@decodesttz2 жыл бұрын
@@salumabdallah6680 bora mladi kesho ifike nyie watu jitambueni bas yan nyumba inaungua unazidi kuchochea moto duh ila Tanzania inawatu waajabu sana
@mamboshepea88882 жыл бұрын
@@winterkasela9033 Amin..
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@fatmafatoom65532 жыл бұрын
Km naiyona vile coronavirus itavyorud kwa kasi
@princeibro78092 жыл бұрын
Itampat mamaako lakn
@abuumuhammad71332 жыл бұрын
Haya mlekuwa mnabeza Royal Tour endeleeni na Majungu yenu, Mimi kwa Ushauri wangu achaneni na Chuki na Mh.Mama Samia kwani sisi tunaeona mbali tushaliona kuwa atafanya Mengi sana huko mbeleni hivyo na Nyie mtaendelea kutesa mtajitafutia Maradhi makubwa bila sababu.
@zamzamabdi52792 жыл бұрын
Kweli mama Samia anataka baraka Kwa KAZI yake.safari ya omani Safi sana
@vicentmakoye2372 жыл бұрын
Sioni jipya hapo
@abuumuhammad71332 жыл бұрын
@@vicentmakoye237 kina vecent kina pita hamuwezi kuona jipya ktokana na chuki yenu ya uuuuuudniiiiii
@nsajigwamwakalonge57022 жыл бұрын
maji ya kuosha ndege wanayo ila maji ya zima moto hawana soko la kariakoo soko la karume yanaungua mpaka dakika sifuri
@abuumuhammad71332 жыл бұрын
@@nsajigwamwakalonge5702 haaaa haaaaa tesekaaaaa weeee kina msajigwa ni wale wale wanaeteseka majina yao yanajulikana, Mama Samia 5 tena.