MBOSSO AFUNGUKA A - Z CHANZO CHA BIFU LAKE NA ASLAY - "NI UPUUZI TU/WANAWAKE"

  Рет қаралды 379,605

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

MBOSSO AFUNGUKA A - Z CHANZO CHA BIFU LAKE NA ASLAY - "NI UPUUZI TU/WANAWAKE"
MSANII kutoka Lebo ya WCB, Mbosso, amefanya mahojiano na kipindi bora cha burudani nchini 'REFRESH' na kufunguka mambo mengi ikiwemo kuvunjika kwa kundi la Yamoto Band, ukweli juu ya kupendelewa na bosi wake Diamond Platnumz na kubwa zaidi ni juu ya bifu lake na aliyekuwa msanii mwenzake wa kundi la Ya Moto Band Aslay.
Mbosso pia ametaja baadhi ya kolabo alizofanya ambazo zimefanya vizuri sana na kusema wimbo uliondaliwa na Beka Fleva ili washirikiane haukuwa na viwango. Wasanii aliofanya nao kolabo ni pamoja na Zuchu (ambaye anatamba na nyimbo za JARO na FIRE), Tanasha Donna na nyingine nyingi.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 330
@dereva0
@dereva0 2 жыл бұрын
mbosso ni msanii smart
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 жыл бұрын
Yes Smart
@nathaniel9378
@nathaniel9378 2 жыл бұрын
@@slimmuhabesh2400 g
@nathaniel9378
@nathaniel9378 2 жыл бұрын
@@slimmuhabesh2400 fgggff
@nathaniel9378
@nathaniel9378 2 жыл бұрын
@@slimmuhabesh2400 ddghff
@hadijasuleiman5350
@hadijasuleiman5350 2 жыл бұрын
Tena sana
@norbertmakundi2305
@norbertmakundi2305 2 жыл бұрын
Smart sana mbosso, amakwelii nimeamini Mungu hagawi kwa mtu wa hovyo hovyo, daaah this man motivate me, gud interview
@abdulhalimshaibu78
@abdulhalimshaibu78 2 жыл бұрын
Mboso moyo
@kudrantegakaje7237
@kudrantegakaje7237 2 жыл бұрын
Nac
@sammycharomwalili6728
@sammycharomwalili6728 2 жыл бұрын
Mboso nampenda kwa nyimbo za mapenzi big up wanawake wananipenda kwa nyimbo zako hahahahaha big up
@rehemashikeli961
@rehemashikeli961 2 жыл бұрын
Wafurahisha🤣🤣🤣🤣🤣sababu ya kukupenda?
@mrsinia3064
@mrsinia3064 2 жыл бұрын
@@rehemashikeli961 nyimbo za mbosso 🤣🤣
@kairatiswahilli7024
@kairatiswahilli7024 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@sharriffcharo1915
@sharriffcharo1915 2 жыл бұрын
India uwe
@Auntybetty_tz
@Auntybetty_tz 2 жыл бұрын
So Siri mwenyewe nakupenda sana kupitia kazi zako, ni shabiki damu kwako, Hadi watoto wangu wananitania kuwa mboso baba Yao mdogo. Pigs kazi dogo uko vizuri
@dereva0
@dereva0 2 жыл бұрын
ukubwa alionao bado hataki kuvimba kwamba ni mlaki zaid ya aslay...sisi mashabiki ndo tunasema sasa ww ni mkali
@bablee0016
@bablee0016 2 жыл бұрын
Salute..Bro 🇰🇪🇰🇪 Mboso
@dafaboymusic3437
@dafaboymusic3437 2 жыл бұрын
Namiss kuwaona yamoto wakifanya kazi pamoja furaha yangu
@Nikita_8017
@Nikita_8017 2 жыл бұрын
This guy has no show off scandals, very cool guy!
@simoneliabunkhay7787
@simoneliabunkhay7787 2 жыл бұрын
Khlb
@dontsto3865
@dontsto3865 2 жыл бұрын
Ni jealous bro WASWAILI wazito sana beka na aslay walidhani washashinda maisha
@isackbaton3686
@isackbaton3686 2 жыл бұрын
Yes hii ni kweli
@sihamnjagi
@sihamnjagi 2 жыл бұрын
Hata hivyo na wao ndio waliotoka kwanza... Sasa wameona mwenzao yuko juu ndio wakaleta wivu.. Siku zote kutangulia sio kufika.. Lastly jealousy people will never win.
@mwanafalsafa3613
@mwanafalsafa3613 2 жыл бұрын
Nanni kati yao ndio mswaili?
@dontsto3865
@dontsto3865 2 жыл бұрын
@@mwanafalsafa3613 Wewe hapo
@subirachuta8169
@subirachuta8169 2 жыл бұрын
Love you Mbosso a.k.a Tajiri wa mbegu.
@Anitajoseph792
@Anitajoseph792 2 жыл бұрын
Unataka mbegu na wewe
@subirachuta8169
@subirachuta8169 2 жыл бұрын
@@Anitajoseph792 nimekuomba?????
@DetectiveMinion
@DetectiveMinion 2 жыл бұрын
😂😂
@Anitajoseph792
@Anitajoseph792 2 жыл бұрын
@@subirachuta8169 hahahahahahahah
@ernestroman8264
@ernestroman8264 2 жыл бұрын
Nampenda sana mbosso yupo real sana....anasema enz yupo mbagala anakula MBILIMBI wkt aslay kaanza ku hit....
@wasikedenis
@wasikedenis 2 жыл бұрын
We still love Yamoto Band
@estherwasike7789
@estherwasike7789 2 жыл бұрын
Hio band karibu inivunjie ndoa wee wacha Tu but I thank God Niko na nyimbo zao zote
@wasikedenis
@wasikedenis 2 жыл бұрын
@@estherwasike7789 karibu ikuvunjie aje
@felistersmejumaa5188
@felistersmejumaa5188 2 жыл бұрын
@@estherwasike7789 🤣🤣🤣 Eeeeeh kumbe
@ciciliakhabosa6627
@ciciliakhabosa6627 2 жыл бұрын
@Esther wasike Eeh mwana wefwe pole,😂😂
@ramahusomore1374
@ramahusomore1374 2 жыл бұрын
Mbosso is real and humble
@mwanaidikhamis5430
@mwanaidikhamis5430 2 жыл бұрын
nimependa anavojieleza mbosso
@NYUMBANI2024
@NYUMBANI2024 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/jpDNmIFmppKKqKc ALIE KUTANA NA JINI APEWA NYUMBA NA JINI
@sheemwakuyumba2969
@sheemwakuyumba2969 2 жыл бұрын
Wallah napenda sana mboso..huwa afichi uovu...na Siku zote interview zote huwa yuongea ukwel kabisa na sina wakika kma ana chuki na mtu...na nikwel beka aliongea tofauti xna chamsingi amuombe radhi to mboso to
@hassansammy1076
@hassansammy1076 2 жыл бұрын
Mbosso khan mushedede🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@rashhrs7144
@rashhrs7144 2 жыл бұрын
With me mbosso s the best musician in Africa 💯✅✅
@nascentnoel395
@nascentnoel395 2 жыл бұрын
Tajiri wa mbegu ..nmecheka atar😂
@denismongare3694
@denismongare3694 2 жыл бұрын
Brother inaweza
@naldotheprince7
@naldotheprince7 2 жыл бұрын
Perfect 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@sautikaliitz934
@sautikaliitz934 2 жыл бұрын
mbosso ni mkweli sana namkubali
@dianabanga2625
@dianabanga2625 2 жыл бұрын
mbosso yuko poa sana yaan Smart mnoo🙌👏👏👏my favorite
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz 2 ай бұрын
Noma😮 #tellaaxistz
@hellenpaul2149
@hellenpaul2149 2 жыл бұрын
Fanyeni colabo upya please tunawapenda sana kwenye team yamoto
@furahinidaudi7851
@furahinidaudi7851 2 жыл бұрын
Maneno ya hekima mbosso be blessed
@nba_fortunebello255
@nba_fortunebello255 2 жыл бұрын
King Mbosso 👑
@superhemed7590
@superhemed7590 2 жыл бұрын
Hongera mbosso uko sahihi sn mdg wng
@antoinebakevya8911
@antoinebakevya8911 Жыл бұрын
Kweli yamoto ningali nakumbuka ngoma zao
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 2 жыл бұрын
Hawa yamoto Band hata sijui nn kilowasibu mpaka wengine wakapotea yani Nyimbo zao zote Hit-Song, kuliingia Jinamizi sijui gani.🤔
@azizkipitu8968
@azizkipitu8968 2 жыл бұрын
Tatzo alilianzisha aslay kujiona mkubwa
@sifatiiman
@sifatiiman 2 жыл бұрын
@@azizkipitu8968 wewe nae mpumbavu nini kaa kimya
@azizkipitu8968
@azizkipitu8968 2 жыл бұрын
@@sifatiiman 🙏
@LearnandcreategreatIdeas
@LearnandcreategreatIdeas 2 жыл бұрын
Mbosso rohoyako Safi that's why Allah ana bless Miziki yako so mwenye ankuongelea mbaya lazima ana anamatatizo ya akili Kama unavyosema Ila bro usimuache nyuma Enock Bella please bro wewe ushakuwa msanii mkubwa Sana japokuwa unandoto zako binafsi Ila tafadhali msaidie Enock pia mziki umlipe vizuri just like diamond platnumz anavyo saidia vijana wenzeke kujulikana na kupata kipato kupitia mziki na njia zengine zakibiashara.
@nkwabitz233
@nkwabitz233 2 жыл бұрын
Big mind, akili kubwa mbossoGood Bro.
@khalidi39
@khalidi39 2 жыл бұрын
Nimekupenda sana mboss yan wasanii ote wangekua kama ww bs mziki wet ungefika mbali sana
@joycechege5071
@joycechege5071 2 жыл бұрын
Mbosso hajaoa🙆‍♂️nko hapa nikujie hapa kenya tutingize mti😂
@tida3727
@tida3727 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂wewe tulia nawe
@azizkipitu8968
@azizkipitu8968 2 жыл бұрын
Wazo la mboso lilikuwa sahihi kutaka kumsaidia Enock bela Ila kwakuwa wimbo ni wa beka na anataka awe juu kupitia mboso shida ilianzia hapo Beka alishauriwa vbaya na aslay tena vbaya mno
@djkiwani9291
@djkiwani9291 2 жыл бұрын
But his music needs to grow beyond Africa
@mshindotv
@mshindotv 2 жыл бұрын
Mboso Alipofikia kwa sasa Ana aina ya Mziki wake ambao tofauti akiutoa tuu unajua huyu Mboso.
@flyracetvkenya
@flyracetvkenya 2 жыл бұрын
Mbosso mkali sana
@NisuimweAbdul
@NisuimweAbdul Жыл бұрын
Mboso noma sana
@cinditserehonari7364
@cinditserehonari7364 2 жыл бұрын
Mimi na kukubali sana bro
@princelungu7571
@princelungu7571 2 жыл бұрын
yupo sawaa dgo
@elogebigirimana5972
@elogebigirimana5972 2 жыл бұрын
Ambosso Mungu azidi kukubaliki kwa wazo lako ya kufanya kazi na yamoto nashuku saana
@swalehesaad2692
@swalehesaad2692 2 жыл бұрын
Sema hii nyimbo ya moyo mbosso angeipiga mwenyewe au angeipiga na msanii wa taratibu kama marioo ama zuchu ingekaa pw sana hawa aliowashirikisha kuna ladha wameipoteza hii ni nyimbo ya kipwanipwani kabisa.
@zedekchamagogo1223
@zedekchamagogo1223 2 жыл бұрын
Kweli kabisa mwanangu hawa alio washilikisha dizain kama walitoka kwenye mstari hivi
@swalehesaad2692
@swalehesaad2692 2 жыл бұрын
@@zedekchamagogo1223 tunaomjua mbosso khan ndio tutaligundua hili hii nyimbo alitakiwa mtu wa taratibu na kama ni wa nje angekuwa dizaini ya reekardo banks
@cleveronlinemedia820
@cleveronlinemedia820 2 жыл бұрын
WCB 4life
@olivertsumake3212
@olivertsumake3212 2 жыл бұрын
They pay you how much?
@cleveronlinemedia820
@cleveronlinemedia820 2 жыл бұрын
@@olivertsumake3212 songs
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 2 жыл бұрын
@@olivertsumake3212 and how much you get paid for your hatred
@monahmussamonah6229
@monahmussamonah6229 2 жыл бұрын
@@olivertsumake3212 🤣🤣
@Thekidp3702
@Thekidp3702 2 жыл бұрын
@@olivertsumake3212 Good question
@cosmasmakoyelubasha3858
@cosmasmakoyelubasha3858 2 жыл бұрын
Umetisha sana nimekuelewa sana
@seiflugendo5043
@seiflugendo5043 2 жыл бұрын
Ni kweli dogo watu hutengeneza sumu sana ni upuuzi mtupu.
@yahyamkone5601
@yahyamkone5601 2 жыл бұрын
Yupo sahihi Sana mbosso ujuwe haya maisha bwana ni hatari Sana ukiona upo juu Sasa na mwenzakonaye akiwa juu usichukizwe dizaini Asley amekunja baada ya mbosso naye kushani hii nouma sana
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
@@rashidyally8715 don't judge book by its cover! Mnapenda kushadadia 🙄🙄🙄🙄🙄
@chrispinmkanda6097
@chrispinmkanda6097 2 жыл бұрын
@@rashidyally8715 acha kulopoka kijana alimkujia kivp Sasa alifukuzwa au aliondoka mwenyewe!?
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
@@rashidyally8715 wewe mknd wako hauna kazi tayar Taft hela sio unaleta ushoga apa kenge maji wee
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
@@chrispinmkanda6097 hapo Sasa
@rashidyally8715
@rashidyally8715 2 жыл бұрын
@UCoQVqdIyJuTtEKDYubIINYw labda unataka kukazwa kalio linakuwasha
@ayubumwaipopo8203
@ayubumwaipopo8203 2 жыл бұрын
,,,hawa ndoo waxnii...ndo 2natk mxnii anatk aongee point iivii!!!..
@davidalengaingenieur1760
@davidalengaingenieur1760 2 жыл бұрын
Beka flavour ndo alikua baba lao kwa sauti nyororo
@abdulkareem7971
@abdulkareem7971 Жыл бұрын
Akuna mbosso
@alejpapsyoh809
@alejpapsyoh809 2 жыл бұрын
Napenda ulivo ba mkuu... Nenda songa mbali zaidi!
@mosesnyongole2681
@mosesnyongole2681 2 жыл бұрын
Nimekuelewa mboso big up sana aslay alianza muda ila upo juu
@novatimushi4501
@novatimushi4501 2 жыл бұрын
Swala la wewe kuwa na mshabiki wengi na rika zote liko wazi aina ya nyimbo na roho uliyo nayo Mimi mwenyewe mtu mzima nakuelewa mno
@sweet10shorts33
@sweet10shorts33 2 жыл бұрын
God Bless You Mbosso
@eppiemodest
@eppiemodest 2 жыл бұрын
Very intelligent boy😇
@codenamerobiner3816
@codenamerobiner3816 2 жыл бұрын
amuache aslay apambane huyu mwizi aslay ni talent kukushinda
@subirachuta8169
@subirachuta8169 2 жыл бұрын
Love you Mbosso a.k.a Tajiri wa mbegu.
@nanaleetz
@nanaleetz 2 жыл бұрын
Sio story ni ukwel Simba anampenda sana Mbosso 😃 kitoto cha WCB japo mkubwa ila ni kitoto
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Huyo dada nihtar🤣🤣🤣🤣
@hadijasuleiman5350
@hadijasuleiman5350 2 жыл бұрын
Nakunda Sana mbosso
@officialnifton
@officialnifton 2 жыл бұрын
Great mind,, mbosso ❤️
@heartpain6226
@heartpain6226 2 жыл бұрын
Very smart #mboso
@mohamedefranciscoxavier4440
@mohamedefranciscoxavier4440 2 жыл бұрын
Wasafi media big up 🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@kyelaonlinetv2
@kyelaonlinetv2 2 жыл бұрын
Dah kwa mala yakwanza nime sikiliza adi mwisho kwakweli kuna vitu kama kweli ni ya kweli ka ongea pouwa sana
@abdallahmwinyi2106
@abdallahmwinyi2106 2 жыл бұрын
kweli ninaipenda yamoto band
@doniamaratane8248
@doniamaratane8248 Жыл бұрын
aslay mtoto sana kwako.mbosso kama ameamua kukinukisha we achana nae
@kbingwa8860
@kbingwa8860 2 жыл бұрын
We need to see you guys for one show ,,we as your fans have faith in you
@mwanaashasoud8240
@mwanaashasoud8240 2 жыл бұрын
Mwanangu uko sahihi
@florianminja1127
@florianminja1127 2 жыл бұрын
Msanii ni mmoja tu bongp kwa sasa ni Konde boy
@adamnasibu5931
@adamnasibu5931 2 жыл бұрын
Huyo ni mvuta bangi tu sio msanii
@richardrozervinbwire3510
@richardrozervinbwire3510 2 жыл бұрын
Jeshiiiii.....
@jayjayz3698
@jayjayz3698 2 жыл бұрын
Boso am your big fun from gana
@francissakwa7282
@francissakwa7282 2 жыл бұрын
mboso nawapenda sana ,how iwish to meet you infact simba mwenyewe
@yuchaclassic6154
@yuchaclassic6154 2 жыл бұрын
mh mfano wa naz korona hahahaha all are the big aslay namuelewa sana it is my favourite artist and mboso
@swabrnamwaka8554
@swabrnamwaka8554 2 жыл бұрын
Mbosso hana kiki kama wa sanii wengne nakupenda sana 💕❤️
@aymanzinyo122
@aymanzinyo122 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@KoreanDramaMoviesKiswahili
@KoreanDramaMoviesKiswahili 2 жыл бұрын
🔥🔥 🔥
@davidalengaingenieur1760
@davidalengaingenieur1760 2 жыл бұрын
Mmmm?
@badruabdulmuttwalib1533
@badruabdulmuttwalib1533 2 жыл бұрын
Banaa mbossoo n mwenye moyo wenye imani n roho yenye kupenda watu wote mbosso ONE LOVE MY BIG BROTHER🥺🤟🥰
@abdulymtanga5893
@abdulymtanga5893 2 жыл бұрын
Mi mwenyewe nakukubali san mboss nakuelewa san wewe ni mkwery kabisa
@jmusic9627
@jmusic9627 2 жыл бұрын
Nakukubal sana mboso interview zako unanipa raha unaongea ukweli huna makuu licha ya kusingiziwa watoto na kutakwa na Kila mdada
@kyelaonlinetv2
@kyelaonlinetv2 2 жыл бұрын
🤣😂😂kwakweli
@jmusic9627
@jmusic9627 2 жыл бұрын
Siku zote ukihitaji kuhama situation angalia uendako kama Kuna maslah kuliko kwenda kufulia kama Aslay
@meryamreally2768
@meryamreally2768 11 ай бұрын
Wow sawa mbosso ❤️❤️❤️😂😂😛❤️❤️❤️❤️👏👏
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 2 жыл бұрын
Punguza matusi kama unajua watu wazima wanakupenda na kukusikiliza
@delphiniusdeocress9798
@delphiniusdeocress9798 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂💔
@TALLUBOY
@TALLUBOY 2 жыл бұрын
Nakupata vzl sana #AVATASTAR255
@yuchaclassic6154
@yuchaclassic6154 2 жыл бұрын
fanyeni basi acheni maneno mmoja ajipendekeze awe msumbufu
@hellenmanzi4740
@hellenmanzi4740 2 жыл бұрын
Aslay anasema umemloga hahahha.. Umeiba nyota ake
@beatricekassim6190
@beatricekassim6190 2 жыл бұрын
na aslay akaloge
@davidmbwilo4954
@davidmbwilo4954 2 жыл бұрын
Mbosso akili nyingi
@asiakashonda1669
@asiakashonda1669 2 жыл бұрын
Mbosso umekua kaka.. Huo ndio Ukubwa..... Nakukubali saaana
@mrsinia3064
@mrsinia3064 2 жыл бұрын
Mbosso unaendelea kuupiga mwingi #Shabik_wa_konde
@florianminja1127
@florianminja1127 2 жыл бұрын
Wapi Konde boy mfalme wa mziki wa bongo
@demaxbravemld2110
@demaxbravemld2110 2 жыл бұрын
Yamoto
@Hawa-ed2hg
@Hawa-ed2hg 2 жыл бұрын
💞💞💞💞
@masoudjuma8974
@masoudjuma8974 2 жыл бұрын
mbosso wewe nimsema ukweri Sana ninako kukupendea
@thadeomapunda2055
@thadeomapunda2055 2 жыл бұрын
Video mpya
@asnatiabdul1503
@asnatiabdul1503 2 жыл бұрын
Mimi na mpenda asrey kuliko uyo mboso
@johnkimani6757
@johnkimani6757 2 жыл бұрын
Penda mziki wacha kumpenda dume lako
@officialkassimu7791
@officialkassimu7791 2 жыл бұрын
Mbosso hata bila wasafi Aslay hamuwezi kutunga ngoma
@stevenlenya5276
@stevenlenya5276 2 жыл бұрын
mboso uko juu
@doniamaratane8248
@doniamaratane8248 Жыл бұрын
king mbosso
@jimkimtv
@jimkimtv 2 жыл бұрын
I love mbosso 💕💕,🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dagitchboy3323
@dagitchboy3323 2 жыл бұрын
Bro kweli unapendwa
@farhyaabdallah2089
@farhyaabdallah2089 2 жыл бұрын
Uko vzr mbosso love 💕💕💕💕 so much
@iamchusse
@iamchusse 2 жыл бұрын
ila wewe mbosso mnafk sana ndo maana umegombana na aslay mweupe apend unafk
@rajogemzanaki3030
@rajogemzanaki3030 2 жыл бұрын
Ukiamin kaka yataisha mutakuwa SAWA kikubwa ni we kujishusha ata Moja akikunja we kunjua kuwa mpole unganeni mabif cyo
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 30 МЛН
LIFEHACK😳 Rate our backpacks 1-10 😜🔥🎒
00:13
Diana Belitskay
Рет қаралды 3,9 МЛН
MBOSSO - "ASLAY ANATAKIWA APEWE HESHIMA KUBWA KWENYE MUZIKI"
13:45
Wasafi Media
Рет қаралды 659 М.
ROASTING (SAID SAID VS ELIUD)
15:27
Cheka tu
Рет қаралды 519 М.
Life of Mbosso (Historia ya Maisha ya Mbosso)
14:28
Mbosso
Рет қаралды 4,3 МЛН
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 30 МЛН