Renovating a rental house for 200 million is absurd, that amount is enough to build a classic house of your own...
@jedidahbintidaudi824110 ай бұрын
ally, usijali kaka yetu Mungu bado anakaa kweny Kiti cha Enzi Atakusaidia wee mtumanini kila siku na Kumtukuza. Atakupa
@Igauf310 ай бұрын
Bibi ! Mama ! Mjukuu ! Let the uncles and aunties handle. That’s not his responsibilities. Dj Ally B -the best entertainer. Kudos to Kayla said it well, you can’t build for everyone.
@GiftAbduly10 ай бұрын
Hii nyumba n yake bwana hongera dj mafanikio yanatakiwa kua sir ukija kujionesha umejipata haswa kma hivi waroz n weng .......
@hassansalum257210 ай бұрын
Yake kaipata wapi?
@GiftAbduly10 ай бұрын
@@hassansalum2572 unataka kujua Kila kitu kinakuhusu??
@awadhrajabu140310 ай бұрын
200 Akili Matope Wakati Nyumba Mjiji Baada Ya Miaka Michache Mbele Utaingiza Zaidi Ya 500 Au 600 Nyumba Na Kiwanja Ujui Kuwekeza
@MateiPs-kr9tg10 ай бұрын
Ally b n 🔥🔥🔥 wakuotea mbali kataa2 w mwenyew
@MOVIEZONE-uy7yu8 ай бұрын
Ukiongelea 200M its enough for having a house hapo jamaa kaficha ila mjengo ni wake tu huu sema nimejifunza kitu ni bora uonekane low always
@ngido25510 ай бұрын
Hii nchi Kwan Hawa watu wanatuchukuliaje😢 eti milion 200 kuongeza unyama nyumba ya kupanga
@fatmafatu112810 ай бұрын
Umasikini na wivu na hasadi huwezi fanikiwa kwanini uteseke tafta pesa
@josephlugala318210 ай бұрын
Waswahili wa mtandaoni ,,hawezi kujengea ukoo acheni upuuzi
@kingmorhano18910 ай бұрын
Good inspiration
@geraldguda10 ай бұрын
Ila wasanii🙌🙌
@godsson595410 ай бұрын
HUYU HANA HATA MIA NI MUIGIZAJ TU TUNAMJUA MAGARI ANAKODI NYUMBA ANAKAZO KAA SIO YAKE HAHHA
@cardozojonas923910 ай бұрын
Sasa hana hata mia alf nyumba anakod gar anakodi imekaaje hiyo mbn sio unyama😅😅
@Tumain-Kulubone7 ай бұрын
Tafta hela hizo chuki hazitakusaidia🤣🤣
@jonhwamaratv6 ай бұрын
Sasa hizo nyumba na gari anazikodi vp wakati umesema hana hela huoni na wew unatudanganya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha chuki bila hela huwezi kukodi chochote
Yani u renovate a rent house for 200M while you can building your own 🙄 Niuongo gani huu mweupe please give us a break
@maryamtan68210 ай бұрын
Ukiona hivyo ni ya kwake na ajapanga ila Kuna watu awapendi kujionyesha km wanamiliki ml, sio km akina mwijaku, kujitangaza kuwa una ml Kuna madhara asikuambie mtu, tena kwa Dunia hii ya Leo.
@chrissjapheth280310 ай бұрын
Dada amesema kwamba anampango wa kuinunua what if ameshalipia maybe 50% of it....
@EsupatLaiser3 ай бұрын
Itakua nyumba ni yake
@ramadhanisalum389810 ай бұрын
Ukipata kazi wcb lazima uvae jisuliali kubwa
@letisiamakonda387310 ай бұрын
😂😂😂😂
@kwisa489910 ай бұрын
Trend ya nyumba sasa hivi ,baada ya kutoka kwene Jet
@kakaaignas367510 ай бұрын
Nyumba yake mim ndio Dalal nliyemtaftia eneo
@nyagimkama218110 ай бұрын
Icho nichuma
@enocksilungwepondajr970710 ай бұрын
Not hali b ni allyb
@shahiduhamada922910 ай бұрын
Sasa ally.b.kama.hivo.si.mjengee.mama.pia.umtoe.kwenye lile.pagalaa
@Mkinga_og10 ай бұрын
Wakuu ni hivi pesa za hawa jamaa ni za mmiriki tu. Ndugu hawez kuzifurahia pesa za hawa jamaa wako wengi sana nyie wafuatilien ndugu zao muone wanaishi maisha gani
@MauFundiElectronics10 ай бұрын
Sahihi kabisa
@kwisa489910 ай бұрын
Tajiri anasafisha uwanja
@abubakarikasamwa579210 ай бұрын
Sf sanaaa dj allyB
@Tariq_Tryagain10 ай бұрын
13:08 mkaona mueke na nyimbo ya Simba kwa vile tu ni mkurugenzi🤔 kwanini msieki nyimbo ambayo Ally anapiga miluzi??😏
@raymondgikaro581810 ай бұрын
Baba tu wa boss wako anapokaa apaeleweki
@HajiHabibu-tf4ig10 ай бұрын
We mchaga kaza mdomo huo msenge wewe alafu bibi sio yule alie kuzalia mama ata alie kuzalia baba nae bibi mshenzi wewe uyo dada ndo ana takiwa alegeze mdomo sio wewe au umesha legezwa nini
@ramadhanisalum389810 ай бұрын
Watu vyanzo vingi mjini Nyie
@salimbilali517410 ай бұрын
Uko bongo na ilo joto jumper za kazi gani au ndio izo PR
@henryminja314510 ай бұрын
Adi renovation mna translate 😂
@jonhwamaratv6 ай бұрын
Unaumia ikiwa Kenya kijiji gani😂😂hutaki tutafsiriwe
@vibetz999110 ай бұрын
Nachukia uongo wa watu maarufu
@issackathman85010 ай бұрын
acheni uwongo bana sikuile yuko.kwa bibi yake yuko na shida
@jiiwolf290010 ай бұрын
.mchaka ushaanza kuongea kama juma lokole😢
@IbrahimShan-qu3um10 ай бұрын
Itabaki kua yake x hai2husu
@enocksilungwepondajr970710 ай бұрын
Muchaga shoga nyooo kaniuzi
@kelvingauza70310 ай бұрын
nimjengee mjomba haaaaaa
@rizikiabdalla250110 ай бұрын
Milioni miambili si ungejengaaa Yako au
@mudibojaffar926910 ай бұрын
Huu mjengo Utamfunga Mdomo Mama Mwijaku..Mwijaku Njoo utazame Hii bw*ge