No video

BALAA MC ANGECHOMWA MTU VISU, MAMA YANGU HIZI LAWAMA/ WE DEMU NAKUPIGA /HUTOKI HUMU NDANI

  Рет қаралды 54,222

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 165
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Ай бұрын
Haaaaa😂 kweli muhuni ni muhuni jamn. Daaa mc balaa umeuwa aise hapa
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje Ай бұрын
Et angelala na mimi wiki nzima 😂😂😂
@hirizonetz9558
@hirizonetz9558 Ай бұрын
Wahuni siyo watu wazuri atachinja mtu hapo😂😂
@GoodluckAlex-vd6vc
@GoodluckAlex-vd6vc Ай бұрын
Bangi ishachemka hapo kichwani😂😂
@yunyun799
@yunyun799 Ай бұрын
😂😂😂
@Topcentclassic
@Topcentclassic Ай бұрын
huyo bibie alivyo serious dah ...hahahaha sema safi sana
@kelvindendya3781
@kelvindendya3781 Ай бұрын
Kwanza angelala na mm wiki mzmaa😂😂😂
@zuzuutv8782
@zuzuutv8782 Ай бұрын
Sema like nyingi kwadada kajua kukiwasha
@KiduBoyJr.
@KiduBoyJr. Ай бұрын
Yaani hapo kuna mtu kashaibiwa tayari usicheze na wahuni😂😂
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje Ай бұрын
Moo Town katika hv ni kweli hii mwanang umepqtkan yan kuliko zote
@kaditokenya6873
@kaditokenya6873 Ай бұрын
Kama kweli sanya anaunyama nipe like nimpelekee❤
@kiddybrown7154
@kiddybrown7154 27 күн бұрын
Na mna bahati mwanangu ana mwili mdogo lakini angekuwa mtu wa gyme,heehe 😂😂😂😂Namkubali sana mwanangu 🔥🔥🔥🤞
@NgarasaaJunior
@NgarasaaJunior Ай бұрын
Tatzo la wasaniii wa singelii mudaa woteee wanawaza kulogwaaa ndo maana Mambo ya umetumwaaaa😅😅
@DakshMastermind-x8u
@DakshMastermind-x8u Ай бұрын
Angalia tena video hujaelewa amemind kwasababu matukio kama aya yamemtokea na akaibiwa vifaa vya studio sasa kulogwa kumeingiaje hpo
@Dulla_kite
@Dulla_kite Ай бұрын
Daah wasani wasingeli bangi nyingi 😂😂😂😂
@yunyun799
@yunyun799 Ай бұрын
😂😂😂
@user-zz9rt5ux1c
@user-zz9rt5ux1c Ай бұрын
WCB pamoja sana ❤❤
@joebinarysignals
@joebinarysignals Ай бұрын
Watu washakula zao ndum unawaletea prank 😂😂😂
@Officialroykhan_255
@Officialroykhan_255 Ай бұрын
23:17 Anaingia Mlemle 😂😂
@felicianboss6953
@felicianboss6953 Ай бұрын
Hii vurugu ngoma nagwa anasubiri 😂😂😂😂😂😂mc balaa sio kuimba tu hadi kuigiza unajua°°
@hamidambonea1826
@hamidambonea1826 Ай бұрын
Asimin umeuwaaaa❤❤❤
@ThomCleative
@ThomCleative Ай бұрын
Nakubali
@Thatscene2024
@Thatscene2024 Ай бұрын
dah huyo dada mumpe hela nyingi sana maana kahatarisha maisha yake sanaa
@franklinmkundi201
@franklinmkundi201 Ай бұрын
Wa kwanza mimi nipeni like zangu
@djhajiztz
@djhajiztz Ай бұрын
say sanya
@LuckyTemu
@LuckyTemu Ай бұрын
Mdada aleko singo nakupenda 😢❤
@Abdul-zb8on
@Abdul-zb8on Ай бұрын
Hii
@LuckyTemu
@LuckyTemu Ай бұрын
@@Abdul-zb8on upo singo mai
@nurumasunga6079
@nurumasunga6079 Ай бұрын
WASANII ACHEN BANGI
@ngido255
@ngido255 Ай бұрын
Angekutana na chibuduma nipe Tena nipe sijaona kingewaka🤣
@muckymaccode134
@muckymaccode134 Ай бұрын
🎉🎉
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Ай бұрын
Haaaa eti nikiwa nyumban naweka usanii mfukon😂😂😂 uwiiiiiiii
@NajafaEdward
@NajafaEdward Күн бұрын
Xagent najafa ap nakubali
@yohanamagehematictok
@yohanamagehematictok Ай бұрын
Leo ndio nimeamini mziki wa singeli ni wawahuni ukizingua wanaondoka na wewe😂😂😂😂😂
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 16 күн бұрын
Uking'atwa na nyoka lazima uongeze unajibu safi sana balaa
@juniorking7123
@juniorking7123 Ай бұрын
Mzee inabid uangalie na wasanii wakuwafanyia kipindi
@kitemaog6372
@kitemaog6372 Ай бұрын
Balaaa mc kajaaa vizuri ad raha😂😂😂
@nassororashidi33
@nassororashidi33 Ай бұрын
😂😂 wakiendaga police wanatolewaga hao
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 16 күн бұрын
Show inachekesha sana hii kweli nimipinduko sema balaaa mpaka nimwmuonea huruma dah
@sosteneskebwe1028
@sosteneskebwe1028 Ай бұрын
Yani nilukuwa namkubali lkn Leo sijuh kwann kanitoka
@yunyun799
@yunyun799 Ай бұрын
😂😂labda kwa sababu ya hasira alizo zionyesha
@user-sn1ge5ol2g
@user-sn1ge5ol2g Ай бұрын
NAISUBIRI YA CHID BENZ😂😂
@HadiaMohammed-ec2dn
@HadiaMohammed-ec2dn Ай бұрын
AAAah watajuta kwnn wamemuektia😂
@Joh-p9f
@Joh-p9f Ай бұрын
Kuna ya Adam mchovu 😂
@ThomasBenedicto
@ThomasBenedicto Ай бұрын
😂😂😂😂
@funnytv9361
@funnytv9361 Ай бұрын
Angelala na mimi wiki nzima kwanza ni ndugu yenu Ausio" 😂😂😂😂
@AfricaQueen
@AfricaQueen Ай бұрын
Hivi ni Kweli 🗣️🗣️🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂🤣😂😂😂🤐🤐
@kitemaog6372
@kitemaog6372 Ай бұрын
Singeli tu ze woldi😅
@juniorking7123
@juniorking7123 Ай бұрын
Mmmmh ipo siku watu watapigana kwel
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 28 күн бұрын
Watauwana kweli, maana kila mtu na hasira zake. Kujuta badae.
@PhabianGetere
@PhabianGetere Ай бұрын
sanyaaaa
@medaicetz
@medaicetz Ай бұрын
Kisu wapi umeshindwa kumchapa hata kofi na ulkua naye karbu😂😂
@raystudio7563
@raystudio7563 Ай бұрын
huyu jamaaa kweli ni BALAA😂
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 Ай бұрын
Kuweni makini na hawa watu 😂😂😂
@Kibiriti_Sports
@Kibiriti_Sports Ай бұрын
Mc balaaa amekamatika😂😂😂😂
@Obocriss584
@Obocriss584 Ай бұрын
Sanya leo mumeyakanyaga kwa wahuni
@fahadfifa4190
@fahadfifa4190 Ай бұрын
Kwanza jela ana chumba chake 😂🔥
@erickmahona5357
@erickmahona5357 Ай бұрын
Ila bangi izi
@PiliMohamed-q4q
@PiliMohamed-q4q Ай бұрын
Ebwana
@shaybu-nj2pe
@shaybu-nj2pe Ай бұрын
Balaa yupo sahh wanatakiwa wabadilike uwez juwa mtu yupo ktk mawqzo gn
@aronboy1
@aronboy1 16 күн бұрын
Ila hiki kipind huwa cyo poakitakuja kuleta majanga ckumojah
@Gee16.01
@Gee16.01 Ай бұрын
Wasafi ni media kubwa sana,, jamaa alijiiona mbali zaidi😢,, af gafra demu analeta mizengwe aaaaaa harari amind😂
@HerconSembuche
@HerconSembuche Ай бұрын
hatariiiiiiii sana
@SongeaGirl0
@SongeaGirl0 5 күн бұрын
Kwahiyo mmeingizana mc mmemungiza na mc kawaingiza nyinyi kwenye 18 hatari sana
@makambosafari2746
@makambosafari2746 Ай бұрын
❤❤❤❤
@sokiboy
@sokiboy Ай бұрын
noma sanaa kweli hii kweliii hiviiiii duuu
@ashilafujuma7080
@ashilafujuma7080 Ай бұрын
😂😂😂 Wameyamuny
@sautiyaradiramazani-xv3fr
@sautiyaradiramazani-xv3fr 24 күн бұрын
Ivi ni kweli daah monta sanya kakutana na mc banazo kichwa bangi
@saidseleman2829
@saidseleman2829 Ай бұрын
Mo town sanya 🔥🔥🔥 Halaaaaa 😂😂😂😂
@user-wb6vq4qn3g
@user-wb6vq4qn3g Ай бұрын
Kwanza ndugu yenu kweli au😂
@user-ki4vg8qp7f
@user-ki4vg8qp7f Ай бұрын
Hivi hiviii
@mwakiboy968
@mwakiboy968 Ай бұрын
Media yenu inadhalilisha watu😂😂
@djhajiztz
@djhajiztz Ай бұрын
kivipi
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 28 күн бұрын
Balaa balaaa kweliiii😂😂😂
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 20 күн бұрын
Duuuu!!!!!' Kumbe waimba singeli uwa ni wahuni kweli
@tagx_boe
@tagx_boe Ай бұрын
Which name of your president 😮
@yaziduabdallah2836
@yaziduabdallah2836 Ай бұрын
Balaaa
@halimaamini8015
@halimaamini8015 Ай бұрын
Jina tu mc balaaa sasa balaa ni kitu cha kawaida 😅
@mwinyiado1129
@mwinyiado1129 Ай бұрын
43 namba
@GoldenKayage
@GoldenKayage Ай бұрын
Bonge moja la kipindi ❤❤❤❤❤ nipe like hapa
@PiliAbdallah-vc2no
@PiliAbdallah-vc2no Ай бұрын
Sema mo hiyo michezo acha itakuja ikutokee puani nakwambia kama hapo angemchoma kisu tu kesi kwako
@fauziakitenge8061
@fauziakitenge8061 Ай бұрын
Mumeenda kuhoji mvuta bange 😅😅😅
@Swahilimovie-h5p
@Swahilimovie-h5p Ай бұрын
Ni hatariiii 😅😅😅
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
Kweli wee n balaa😂😂
@ramsoshenge387
@ramsoshenge387 Ай бұрын
😅😅😅😅Sanya katumia mda mwingi kumtuliza balaa ashakubali liwalo na liwe yani ile ubaya ubwela ndo hii 😂😂😂😂
@AminaAminaa-ox7ft
@AminaAminaa-ox7ft 16 күн бұрын
Mwanaume km huy kuishinae siwez
@ChinoKidds-b2q
@ChinoKidds-b2q Ай бұрын
INGEKUWA media ndogo hapa pangewakaaa kaheshim wasafi tu 🎉😅😂
@user-xj8in9qn8i
@user-xj8in9qn8i Ай бұрын
Jama yangu apo kapata moto😮😮😮
@gundajr2883
@gundajr2883 Ай бұрын
Kuna siku hki kipind litatokea tukia baya maan prank mnazofany na haya maisha haya yet mach
@UpendoKimesu
@UpendoKimesu 23 күн бұрын
Duuuuh
@dennisnjonanje62
@dennisnjonanje62 Ай бұрын
Kama ningekuwa mimi ningempasua Sanya fasta, pranki siyo ustaarabu
@taufikimustapha8082
@taufikimustapha8082 Ай бұрын
Balaaaaaaaah
@EstherJohn-w9p
@EstherJohn-w9p Ай бұрын
Huy ndo mwana ume sas co platifoma ana lia lia t😂😂😂😂
@Docantz
@Docantz Ай бұрын
Usicheze na mhuni😂😂😂😂
@fundiseif1096
@fundiseif1096 Ай бұрын
🔥🔥🔥😂😂😂💪
@Davio123
@Davio123 Ай бұрын
Kaingia 26 KRRRRRPAAAH 😂
@JaphethChuwa
@JaphethChuwa Ай бұрын
Wana vya Arusha vinakolea kichwan hapo hawaelew hapo
@ivryson5793
@ivryson5793 Ай бұрын
motown bonge la creator 😮
@ndarnationsoundtz
@ndarnationsoundtz Ай бұрын
Sanya until we die
@mustaphajuma2051
@mustaphajuma2051 Ай бұрын
mmh hiyoo ingilishii au English 😂😂😂😂😂😂
@saramgeni5820
@saramgeni5820 Ай бұрын
😂😂😂😂😂Leo angepigwa mtu
@aloycefrank3194
@aloycefrank3194 Ай бұрын
Hivi hivi hivi hivi 😂😂😂😂😂
@MwajumaAthuman-wv9mo
@MwajumaAthuman-wv9mo Ай бұрын
Xaxa tibuduma mbn kafunga mlango😅😅😅
@BarakaAmosi-gb4ve
@BarakaAmosi-gb4ve Ай бұрын
Wahun watu wasingel wahwafai wanakutoa main
@Djugaripro
@Djugaripro Ай бұрын
Sanya kuna mutu atakuja kupigwa kisu alafu ulete balaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zawadimasamki246
@zawadimasamki246 Ай бұрын
Mbona your know speak English for me 😂😂😂😂
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 28 күн бұрын
Dk 0 tu wahuni wanachafukwa😂😂😂
@geraldlucas844
@geraldlucas844 Ай бұрын
Anaingia mlemleee😅
@samwesupa6906
@samwesupa6906 Ай бұрын
Ana machungu
@user-rw1xh2tt8c
@user-rw1xh2tt8c 9 күн бұрын
Ya leo angeumia mtu
@JoyceElias-h1x
@JoyceElias-h1x Ай бұрын
Huyu nae Hana lolote itakuw kuachwa na dem. Wake hasira zak anamalizia kwa huy dada
MR MWANYA AMCHAPA KOFI MOTOWN SANYA MIMI SIWEZ KUIBA LAKI MBILI
32:30
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 30 МЛН
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 81 МЛН
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 18 МЛН
Happy birthday to you by Tsuriki Show
00:12
Tsuriki Show
Рет қаралды 11 МЛН
NDOTO NYINGI NI ZAKWELI // SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:05:14
arkas online tv
Рет қаралды 28 М.
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
Mwananchi Digital
Рет қаралды 2,5 М.
CHINO AIBIWA GARI MAZINGIRA YA KUTATANISHA 🤣🙌  ALIA KAMA MTOTO
32:16
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 30 МЛН