Hiyo changangamoto ipo tangu miaka zaidi ya miaka 30 iliyopita
@eaglecrown64702 жыл бұрын
Amina 🙏🏿 MUNGU akubaliki Sana 🤔🇹🇿🙏🏿
@luganomwaigomole7441 Жыл бұрын
NJIA NNE BADO HUJATATUA TATIZO HILO ...NJIA 8 NDIO MUAROBAINI..
@godlucklaurence4609 Жыл бұрын
Mimi nina siku ya tatu nipo kwenye foleni upande wa zambia narudi nyumbani Tz, apo shida siyo barabara tulitegemea ukija kwanza kabisa utembelee pande zote mbili kujiridhisha folen ipo pande zote mbili, baada ya hapo ungetupa jibu lakini pia ungeongea na madereva tungekuonyesha wapi urekesbishe,
@alexmalyango14052 жыл бұрын
Kwaio unataka kusema lini Sasa Kama makandarasi wapo Sasa kwanini wasianze acha siasa zakijinga
@johnsinyinza7450 Жыл бұрын
Hivi na wewe ni waziri. Mbona ni mesahau.
@directornyambi98882 жыл бұрын
Hii barabara wakijenga niiteni nani niko pale
@manning9792 жыл бұрын
Hiyo inatakiwa iwe njia nane yaani mbili ziwe zinakwenda mbili ziwe zinarudi nne zingine zitume gari ndogo zinazokwenda kasi