Uzuri wa eliudi unaweza msikiliza ukiwa na wazazi na watoto na wote mkafurahi , Nguvu kidogo maarifa mengi kichwani
@samwelngao320128 күн бұрын
Best comedian's ambae unaweza ukamsikiliza ukiwa na pastor,shehe,baba mama mnaweza mkawa pamoja mkamsikiliza vizuriii
@oscarfungo839327 күн бұрын
Kipitoshi is Typing
@oscarfungo839327 күн бұрын
Kipotoshi is Typing 😂
@itsyourboy1407Ай бұрын
Bro Mungu amekupa neema kubwa unafanya vizuri sana unafurahisha kwa maneno ya busara na kazi unaijua kiasi cha wewe kuw bidhaa ..nakuombea uzidi kuwa bidhaa ya thamani ndani na nje ya nchi sijui kama unajua kuongea kingereza😄😄
@doricemwakasengo116726 күн бұрын
Kupitia eliudi moyo wangu unataman sana kuokoka mtu anamjua mungu hata matamshi yake utayajua tu akiongea ee mwenyez mungu nifanye moyo wangu uwe mwepesi kukutumikia
@juvenalyfratherne869626 күн бұрын
Ameen, Bwana Yesu na aisikie haja ya moyo wako. Uupate wokovu na uponyaji pia
Nakukubali sana Brother,Mungu azidi kukupaka Mafuta yake
@MaryGyumiКүн бұрын
Eliud Mungu azidi kukupa ubunifu wa namna ya kuchekesha, Kuna kitu nimeikiona lakini mimi sijaelewa mahali ninapoweza kufikisha maoni yangu, naomba wachekeshaji waache kutumia lugha za matusi yasiyo wazi, lakini tunaangalia na watoto mnatufanya tujisikie.vibaya, mambo ya chumbani yabaki huko yasiletwe hadharani hata kwa mafumbo, watoto wamekuwa welevu, wanaelewa. Nanyie pia mnawazazi na watoto, msijifanye kama hamjui mnachofanya, mnaharibu.
@NijalieMlungu29 күн бұрын
My favorites comedian big up bro🎉
@vicentnjelwa289428 күн бұрын
Mbeya Boy eliud umetisha sana
@upendomwakyusa954026 күн бұрын
😂😂😂 Nzovwe oyeee😂😂
@KACHALACOMEDY29 күн бұрын
Dah big up bro uzidi Kufanya vizuli
@paulhema571328 күн бұрын
Em tukusanyike apa ....apa kwa eliudi... tu subscribe....ila bro we ni atr....nilipen tu like me nafanya promo BURE...
@TephyPhrance29 күн бұрын
aiii Nakubali kazi zako eliud we ni comedian mzuli thana
@charybdis811328 күн бұрын
Shida yako Eliudi unakata kata stori. Huendi na stori moja ukaimaliza. Tena ikitokea wamekutuza ndiyo unapotea kabisa. Storyteller mzuri ilajitahidi kufocus na story hadi mwisho.
@lucydaniel256528 күн бұрын
Kila mtu ananamn yake ya pekee kapewa na Mungu nae ndio yupo hv na mm napend hvo
@charybdis811327 күн бұрын
@@lucydaniel2565 Hilo ni tatizo kwa stand up comedian. Pia kingine ajitahidi kutumia current events kwenye comedy zake. Namna hiyo comedy yake itadumu siku zote. Namkubali sana jamaa ila kuna vitu anatakiwa kufanyia kazi.
@charybdis811327 күн бұрын
@@lucydaniel2565 Kama huwezi kumkosoa na kusingizia Mungu, Mungu humsaidii.
@tobiasbeda202229 күн бұрын
Dah eliudi, we ni kiboko. Respect sana
@GabrielSky6429 күн бұрын
Nani kasema mbeya hakuna Pisi weupe😂😂😂
@user-do6ch1ti8b29 күн бұрын
Nakubar kak upo vizuri😂😂😂
@PanchoValentino-wh7wt26 күн бұрын
MC Eliud Nomaa saana AKILI MINGI Kijana
@NeemaMsuya-kk6bs25 күн бұрын
Grow man of God
@user-bj9fu1gt4p29 күн бұрын
Wew kaka mung akuwek😅😅
@user-un9eh6xn6c6 күн бұрын
Mungu hakubariki sana kak eliudi❤😂😅😊
@directorsnigar9334Ай бұрын
😅😅😅😅😅daaah nime enjoy sana ngoja nisubiri party 2
@Sarivelame-ci9zvАй бұрын
Vijana wamefika mbali mungu awabariki awazidishie😢😢
@clemencesinkala483925 күн бұрын
Mungu akutunzee
@julianavicent484526 күн бұрын
Dah wewe mungu akutunze
@judithkisavanga724429 күн бұрын
Ameen eliud
@user-sw4ns3uj7w29 күн бұрын
Yani wewe eliud mungu awenakusamee bure kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂
@emmanuelalex91623 күн бұрын
Ipo siku 😄😄😄🙌
@mtangag7749 күн бұрын
😂😂😂😂eliudi anajua maana vya kuchekesha vinaanzia hapohapo
@aloycemango23028 күн бұрын
ELIUD ELIUD ELIUD😂😂😂 nmekuitaa mara tatu😂
@luluray211529 күн бұрын
Nakukubali sana kikolo
@msakamaboga571222 күн бұрын
Kibali kikitoka kwa Bwana 😂
@EsterAlex-dn1dx21 күн бұрын
Nakukubali sana mwamba
@martinlema419227 күн бұрын
Amen!
@user-im5kc6ey7j26 күн бұрын
👏👏👏
@HennaMeena18 күн бұрын
Mungu akutunze Eliud
@user-ty3wl5oh3nАй бұрын
Yanii eliud
@malakimdangu880027 күн бұрын
Braza umekill
@user-ku4xq4nd9v29 күн бұрын
Nzovwe piga kelele eeeee nimeishi hapo miaka ya 2000
@mcpwanako909129 күн бұрын
🔥🔥
@charleskatabila372929 күн бұрын
Kiukwel mm nakukubali tuuuu
@musicheals1545Ай бұрын
Hii ndio maana halisi ya stand up comedy, sio wale wanaojiandaa huko afu wanasema stand, watubaki buanaaa
@dicksongeorge774529 күн бұрын
Kwani huyo yeye umeona hajajiandaa??
@EzekielDebora-cd2ib23 күн бұрын
Jaman Debo tenaa😂😂😂
@mikemvula6545Ай бұрын
po tukuchoka bagwitu 😂😂😂😂
@AndrewNehemia-tl1sg21 күн бұрын
Ila Elihud 😂😂😂😂😂
@sekelagodwin896929 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@bahatirobert1009Ай бұрын
Ndugha kaka ubhombile😂😂😂
@tinahmashaka435527 күн бұрын
😅😅 ko pale tu shewa n mbali
@user-bs5to4hk1v26 күн бұрын
Kwann mapelele lakini
@WinKimario-yt5fe28 күн бұрын
😂😂😂😂mweee airfresh
@revocatusjoseph244727 күн бұрын
Big up xan mc eliud kwa kaz yak nzr
@veronicahlusekelo520528 күн бұрын
Khaaaa kila mtu na camera yake jmani
@deborahjustine878027 күн бұрын
But why Debo
@user-nb1tc2nh7p25 күн бұрын
Nakukubal saaana
@user-bj9fu1gt4p29 күн бұрын
Ila da faridaa😂😂😂😂😂
@greatwolfrare212829 күн бұрын
kumbe mbeya kuna wapıga pıcha wengı ıvyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tinoChaulaАй бұрын
😢😢😢😢😊😊😊😊
@BrianExaud28 күн бұрын
😂💥💥
@joycekamendu528924 күн бұрын
Shewa eliudi so masaki 🤣🤣🤣
@christinewomanoffaith547929 күн бұрын
😂mambo ya kilimo
@emmanuelpastory489629 күн бұрын
Siuje
@TetekoOg29 күн бұрын
Ila kilasaa
@jessicamwasandube94429 күн бұрын
😂😂😂
@godlistenmuro931317 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@hafsaibrahim667514 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@paulhema571328 күн бұрын
Em tukusanyike apa ....apa kwa eliudi... tu subscribe....ila bro we ni atr....nilipen tu like me nafanya promo BURE...