WOMEN MATTERS: WANAUME HAWALIDHIKI WANAWEZA KUFANYA MAPENZI HATA NA WATOTO WAO, UKIACHIKA.

  Рет қаралды 57,247

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

#WOMENMATTERS

Пікірлер: 268
@mamunote3507
@mamunote3507 3 жыл бұрын
Mashallah Mashallah Tabaraka Rahman Madera Mazuri Alwah azidi kukubariki Mamaetu Khadija Kopa Ameen
@nuriatqueen5575
@nuriatqueen5575 4 жыл бұрын
Thank you kwa ushauri mzuri ALLAH awape nguvu na wapenda saaana from 🇬🇧🇬🇧🇬🇧😍😍❤💯💯
@mamunote3507
@mamunote3507 3 жыл бұрын
Lilian umependeza sana Leo Usipende kuwa ile minywele mikubwa
@buyegijeremiahmhuli5638
@buyegijeremiahmhuli5638 2 жыл бұрын
Love love you Ladies God bless you ,you are doing gooooood.🙏🙏
@KA-yz2ld
@KA-yz2ld 4 жыл бұрын
Jamani asanteni please do more of this to empower women... Tuepuke na mindset potofu
@chibandamwende3676
@chibandamwende3676 4 жыл бұрын
Khadija Kopa nakupenda Bure,😂😂😂Mwanamke ni kujiamini,Aunty Sadaka always sober,Mama jamila moto kama pasi Msema kweli 🤔🤣,Violet nakufeel mamy,Lilian Mwasha mtetezi wetu 👏👏👏👌💪🇰🇪🇰🇪🇩🇪Asanteni
@marytemba883
@marytemba883 4 жыл бұрын
Khadijakopa kanipa raha sana ! Tumbo watalalia 😃🤣🤣🤣🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@Quilant749
@Quilant749 4 жыл бұрын
I never knew this show is so amazing like this, big up my fellow woman, shikamooo aunty sadaka unatuelewesha sana ahsante💖💖💖💖💖💖💖love from Kenya
@officialteeh1213
@officialteeh1213 4 жыл бұрын
Watching from saudia Arabia i really love this matters am with you always bi kopa ananivunja mbavu jameni
@pearl3696
@pearl3696 4 жыл бұрын
Khadija Kopa ni mzuri mno
@esadkulovic6777
@esadkulovic6777 4 жыл бұрын
Me mkenya all the way fromCroatia big up sana napenda kipindi chenu.
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 4 жыл бұрын
Nampenda sana huyo mama pembeni ya Khadija kopa ( jamila),anaongea point mno
@hashemsaef1516
@hashemsaef1516 4 жыл бұрын
Achana na huyo mama ni kichwa kisha mstaarabu muungwana akili za kuenea
@celiadsilva6774
@celiadsilva6774 4 жыл бұрын
Hongera Women matters, Lillian and all the beautiful ladies. Please emphasise on our societies and how we are judged. For our next generations lets get Women to start opening up more and stop being afraid of being judged and let us start standing up for each other. 🙏
@juliaayieta2578
@juliaayieta2578 4 жыл бұрын
Women matters munasema ukweli mtupu . Keep the good work 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@lidyakope638
@lidyakope638 4 жыл бұрын
Asanteni kwa kipindi kizuri sana Dada Hadija Kopa umenifurahisha sana
@salmakhamismohammed3663
@salmakhamismohammed3663 4 жыл бұрын
Ahsante bikhadija nimekupenda sana na Auntie sadaka😘
@missyessy5979
@missyessy5979 4 жыл бұрын
WATCHING FROM RUSSIA 🇷🇺, I love your show sana sana sana, nikiwaonaga nasikia sana raha, I am a proud Tanzanian ❣️ nawapenda mama zetu na dada zetu apo ❣️
@konsolatatutu423
@konsolatatutu423 4 жыл бұрын
From RUSSIA? Iyo nchi naiogopa aisee
@leaherasto929
@leaherasto929 4 жыл бұрын
Mnainjoi Sana kwny shoo
@ChefMutoniTV
@ChefMutoniTV 3 жыл бұрын
Akiiii nawapenda from Burundi
@jramadhanmgonja6110
@jramadhanmgonja6110 4 жыл бұрын
AUNTY SADAKAAA....BRAVE OF YOUUU...
@dorisjessy5960
@dorisjessy5960 4 жыл бұрын
Vailet ni sio mshauri mzuri kwenye parnel hana wisdom
@samirarashid8186
@samirarashid8186 4 жыл бұрын
Nawapenda saaaana 🧡🧡🧡🧡🧡🧡
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 2 жыл бұрын
Waseme tu beer hakuna haja ya kusema kitu cheusi, Mwenyezi Mungu anajua mnayoyaficha na kuyadhihirisha.
@asanathyunus3654
@asanathyunus3654 4 жыл бұрын
Nampenda sana ant sadaka
@jumanina446
@jumanina446 4 жыл бұрын
Nyie wanawake mnaelewa sheria za M/mungu au mnajadili msivovijua kuzuia sheria za M/mungu ndio matokeo ya haya
@caroloneoyugi920
@caroloneoyugi920 4 жыл бұрын
Nampenda sana aunt sadaka she is humble khadija kopa nampenda pia anachangamsha sana kipindi
@rachaelsabiti5615
@rachaelsabiti5615 4 жыл бұрын
I love you guys watching from USA
@olivabutoyi434
@olivabutoyi434 4 жыл бұрын
Mmependezaa sana.. Mungu awabariki!!
@Ahmada15
@Ahmada15 4 жыл бұрын
Nawapenda sana from Danmark
@a.856
@a.856 4 жыл бұрын
Lili and Khadija Lizer mmedamsh sana😘
@iradukundakhadija2672
@iradukundakhadija2672 4 жыл бұрын
nime mpenda bi jamila mpo vizur na kipindi hiki kipo Vizuri congratulation
@faridamwinyi5857
@faridamwinyi5857 4 жыл бұрын
Huyo mama nikama hataki bwanaake aende nnje kwa wanawake wengine.ndo akakubali hili Jambo..watu nnje wamsifie kuwa anaishi na bwanake vizur bila makelele .bwana hatongozi nje .ameridhika na mkewe.kumbe anakula mama na wanae.hakuna mume wakutosheka na mke mmoja.waume waliumbwa na tamaa.kama hutokubali kumwachia aende nnje.lazima atafanya vitu tofauti ndani ya familia.mwanamke ataka sifa kuwa anamridhisha mume.mumewe hatoki nje.mume haridhiki hata ufanyeje.wanatamaa.wanawake wajue hilo.mume niyule akupe heshima yako .ajitambue Kama mwanaume na majukumu.lakini mwengine tumwachie mungu.
@chunanachu2529
@chunanachu2529 4 жыл бұрын
Anti sadaka umeongea point sana
@khayraa7374
@khayraa7374 4 жыл бұрын
29 men disliked this vid 😂.... great job ladies looking forward for more episodes 💪🏽 #womenempowerment
@Maryam-yt8lw
@Maryam-yt8lw 4 жыл бұрын
Hongereni wakina dada
@liliankemuma9475
@liliankemuma9475 4 жыл бұрын
Napenda hiyo program sana mafumbo na vichekesho vya aunty kopa
@liliankemuma9475
@liliankemuma9475 4 жыл бұрын
Watching from Kenya
@chinamilenas3375
@chinamilenas3375 4 жыл бұрын
Yani nawapenda M'mungu awawekee
@fatmamohamed273
@fatmamohamed273 4 жыл бұрын
I love you khadija kopa.❤👌
@juliaayieta2578
@juliaayieta2578 4 жыл бұрын
Hi everyone 🙋🏽‍♀️🙋🏽‍♀️🙋🏽‍♀️ nimefanya video inayo zungumzia kuhusu usafi wetu wa wanawake , sababu za kuwa na harufu, muwasho na mengine mengi 👇🏾👇🏾 kzbin.info/www/bejne/gYSxZKZ3ltaArZo HAUTOJUTIA kuitizama na ukijifunza kitu nakuomba u like na pia unipe support kwa ku subscribe. Shukran Sana 🙏🏾😘🌹😘😘🌹😘
@nuriatqueen5575
@nuriatqueen5575 4 жыл бұрын
Na mpenda da lily na da vailet ❤❤❤💯💯💯
@saidabdullah7273
@saidabdullah7273 4 жыл бұрын
Lili usifananishe kina kim kadashian wale wanafanya sajari sana maana miili yao ndio biashara zao... waafrika wana afya ya asili msihadaike na afya bandia zile... pigeni mazoezi tu
@ERIMINATSHINE
@ERIMINATSHINE 4 жыл бұрын
Mimi nataka niwaulize swali kwann sasaiv ndio watu wanalia kua matumbo yanakua makubwa? Je mama zetu na bibi zetu mbna hawakua wakilalama? Kwan walikua hawali mitori? Watu wanajiendekeza vitambi inakuja halafu wanalia acheni kulaumu mitori. Kitambi ni mtu kukitaka tu nadhan .fanyeni uchunguzi wa hio kitu
@jennytugara9470
@jennytugara9470 4 жыл бұрын
Kardashian wale malezi na Background Kaka ona Mama kwanza what do you expect from kids. Watoto wa nyoka ni nyoka
@Quilant749
@Quilant749 4 жыл бұрын
U can say tht again wali fanya wema akaenda India kuongeza kalio, hao miplastiki
@wendocharles9432
@wendocharles9432 4 жыл бұрын
Hahaa ...nafurah sana nawapenda mnoo
@fshjyhvyejkrsvbb8717
@fshjyhvyejkrsvbb8717 4 жыл бұрын
Hi dears I love you all am watching from Berlin 😚 u soo wonderful and ur helping many people
@husnahassan6289
@husnahassan6289 4 жыл бұрын
Mama khadija umesema kweli mama nawapenda wote wallah mnanipa raha
@jasminhassan9005
@jasminhassan9005 4 жыл бұрын
We mama mwenye nguo ya ugolo Cjui chui natamani nikupe zawadi jaman
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 4 жыл бұрын
Khadijah kopa anachekesha khaaaaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rahmasuweyd827
@rahmasuweyd827 4 жыл бұрын
I love this wallah
@maggymm7302
@maggymm7302 4 жыл бұрын
Hahah katika hii mada hakuna comments za wanaume kaabisa.🤣. Asanteni kwa mada nzuri. Ila Khadija kopa ni mswaaahil kwa kiwango cha PhD.😅
@keyakeya8911
@keyakeya8911 4 жыл бұрын
Yaaani mpaka raha yaaani
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 4 жыл бұрын
I love women matters ❤️❤️❤️😁😁
@nadrasalim5298
@nadrasalim5298 4 жыл бұрын
Women matters mnaishi ndani yangu...... Girls we're going through alot
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 4 жыл бұрын
Keep the fire burning @all
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 4 жыл бұрын
Kusema ni rahisi sna
@polloz77
@polloz77 4 жыл бұрын
I love Hadija Koppa
@selemanilouise4013
@selemanilouise4013 4 жыл бұрын
Khadidja koppa coconut 🥥 skin 🌴
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 жыл бұрын
KIPINDI MDA MREFU LKN JINSI MNAVOELIMISHA NA KUTUCHEKESHA🤣🤣🤣 MDA UNAONEKANA MDGO...HAMTUCHOSHI NAWAPENDA 🥰🥰🥰🥰🥰🥰FROM QATAR
@nimpayebenigne9490
@nimpayebenigne9490 4 жыл бұрын
Nice guys
@silverman6930
@silverman6930 4 жыл бұрын
Today Bi Khadija I’m creasing here Oo Lawd 🤣🤣🤣🤣🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@furahakengela3552
@furahakengela3552 4 жыл бұрын
Yaaan ni anachekesha😂😂😂😂😂
@Richesfam
@Richesfam 4 жыл бұрын
Watanzania please msisaau luga yenu Kiswahili. Kingereza akishindi Kiswahili! Ni luga nzuri sana
@irenemacha7457
@irenemacha7457 4 жыл бұрын
Saluty kwako umeona mbali sana sijui ndio tujue wamesoma
@itsolutions2238
@itsolutions2238 4 жыл бұрын
jamaniiii mna nipa raha sichoki kuwaangaliaa kwa kwelii'
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 жыл бұрын
Vaolet nakupenda Sana chemistry yako na hadija kopa iko sawa
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 жыл бұрын
Sitaki kuota nakimbizwa na nanguruwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 4 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅🤣 khadija mshezi sana hahahah ndomaana mm nilikuwa nakimbizwa shambani
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Bi khadija noma sanaa😂😂
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 жыл бұрын
@@kitonekantasha1687 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 жыл бұрын
@@mutwalesylvie7443 🤣🤣🤣🤣🤣
@TS-or7pv
@TS-or7pv 4 жыл бұрын
Ushauri wangu kwa kina mama, tunatakiwa tuwe karibu sana na watoto wetu ikiwa wa kike au wakiume, na tujenge nao urafiki, ili inapotokea kitu asiogope kukwambia napia tuwe tunawasikilia. Kuna wazee ni wakali sana mpaka watoto wanaogopa hata kukukaribia.😭😭😭 It's so sad.
@rhobbymwita2312
@rhobbymwita2312 4 жыл бұрын
Kipindi vizuri lakini naomba muwe mnapeana nafasi katika kukuchangia na muwe mnajiandaa kwa mada usikate na nikirudi kupata taarifa mutiny toka kwa wataalam sio wewe unachofikiria wewe. Hapa mnafundisha jamiii.. Kuna taasisi na wataalam kuhusu masuala ya kijamii wakati mwingine mnapotosha
@wediadidja660
@wediadidja660 4 жыл бұрын
Jamani majamani mm bado binti sijaolewa lakini kwaushauri wenu mme nitia elimu nzuri sana kwenye maisha yangu nawapenda sana jamani
@estherwigfall2558
@estherwigfall2558 4 жыл бұрын
safi sana
@officialcarolyne2985
@officialcarolyne2985 4 жыл бұрын
Kichwa na yeye Ana chake walololo huyu mama she made my night 🌃 ❤️
@latifahjamal2999
@latifahjamal2999 4 жыл бұрын
😂😂😂
@khadijamsoma7250
@khadijamsoma7250 4 жыл бұрын
Nimecheka kweli wajuna wangu ananifurahisha mnoo
@fatmakombo7584
@fatmakombo7584 4 жыл бұрын
Lily umependeza hadi raha mashallah
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 4 жыл бұрын
Wanaume washenz sn baadh yao wanangu huwagus labda niwe nimekufa ht km Nakupenda vip weeeee
@amisanjenda8885
@amisanjenda8885 4 жыл бұрын
Huyu Dada wa katika ya anti sadaka na khadija 🙏🙏😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Nimekupenda na nimetamani kuonana na wewe maana
@fatmamohamed273
@fatmamohamed273 4 жыл бұрын
Anty sadaka anasema maneno yaukweli kabisa ❤
@fashiontrendstv3207
@fashiontrendstv3207 4 жыл бұрын
It abuse to think a woman is just a machine to make children a woman is a human and have rights to career, freedom, dreams.
@WearegreatmaishAllah
@WearegreatmaishAllah 4 жыл бұрын
Woman matter ! You need to have telephone line that kids can call to report abuse! and how we can help them.
@beatricengalubutu7008
@beatricengalubutu7008 4 жыл бұрын
Khadija kopa kua makini mikono ya bi jamila😂😂😂😂
@miriamabwao3062
@miriamabwao3062 4 жыл бұрын
Naomba muwakaribishe pia wanaume kwani haya mzungumzayo yanahusu jamii, nawaunga mkono sana kwa hayo.
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 4 жыл бұрын
Lilian una penda kuiga maisha ya Ma celebrates na movies fake life be your self with confidence fanya mazoezi eat healthy stay hydrated and mind your own business 😂😂😂Lol
@Maryam-yt8lw
@Maryam-yt8lw 4 жыл бұрын
Sawa sawa kopa kopa nakupendaje
@jennytugara9470
@jennytugara9470 4 жыл бұрын
Jamani hii nayo ni record 2020. Huyu Mama na huyu Baba they Sick minded. Ugonjwa wa akili upo jamani. Wamewaumiza hawa Watoto itawagharimu lifetime!!!!
@theresechristensen8190
@theresechristensen8190 4 жыл бұрын
I love ❤️ Lillian from Denmark🙏🏾🙏🏾🙏🏾🌹🌹🌹
@eddasamwely820
@eddasamwely820 4 жыл бұрын
I love this show🤣😂🤣🤣🤣
@salmangassu1011
@salmangassu1011 4 жыл бұрын
Walah mie sijawezi kunyamaza awe mume .. ama boss yani sitaweza. Habari yakuendekeza ujinga mwishoe wapewa kilema.
@salomeogutu8490
@salomeogutu8490 4 жыл бұрын
Shilole alinyamaza mpaka ikamtobokea nyongo wa mama jitokezeni tuseme ukweli
@itsolutions2238
@itsolutions2238 4 жыл бұрын
lazima wanawake tubadilike...tufanye kaziiiii kuna leo nakeshooo
@beatricengalubutu7008
@beatricengalubutu7008 4 жыл бұрын
Jamila sauti kali khaaa kua mpolee jamn😖😖😂😂😂
@faaaadam990
@faaaadam990 4 жыл бұрын
Yaani ana makelele
@polloz77
@polloz77 4 жыл бұрын
Hadija Koppa she's so funny and she's real
@noorayaqoot1294
@noorayaqoot1294 4 жыл бұрын
Wanaume wengine wajanja wanajua wakifanya matatizo utaondoka na watoto na yeye ataendelea na starehe zake na anajitoa kwenye majukumu. Akili zao mbovu sana aina hii ya wanaume
@ameeranassor1619
@ameeranassor1619 2 жыл бұрын
Hawa wamama aibu tupu, hawana akili na wengine wamezoea shida, mpaka hawajui tofauti ya mapenzi na ukatili
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Jamani kwa wakristo hakuna talaka. Inabidi haya Mambo yaongelewe kuanzia kwa makanisa, maana wengi wanaogopa kutoka kwenye ndoa za mateso wakiamini ndoa za kikristo hazivunjwi, mtu anavumilia mpk kupoteza maisha.
@sabrinasabrin103
@sabrinasabrin103 4 жыл бұрын
Unambiwa matatizo yakizd kwenye ndoa mnachana tu mbona
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 4 жыл бұрын
nimempenda khadija Kopa kasema ukweli diet tupa huko kha tv chogo tena ndio tumbo mbavu zangu mie khadija kopa kasema yeye sio mzee masotojo hana hata wasiwasi ebu muacheni mama yangu tipwa tipwa haya watajijua wenyewe
@zainabumashine3542
@zainabumashine3542 4 жыл бұрын
Nakupendeni kina mama Wanguvu
@ishakafaki3501
@ishakafaki3501 4 жыл бұрын
Lilii umesahau maneno ya docter mwaka unaweza ukawa huna tumbo ila ukawa sio mtamuu liliii unaweza ukawa natumbo ila mambo yakawaa nntaa tamuuu👌. Jamani wanawake au mama zetuu msijichoshee sana chakurekebisha nii Utamu tuu 🏃‍♂️
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Na utamu Dr mwaka alisema mtu unazaliwa nao sio wa kujitengenezea mwenyewe.
@ishakafaki3501
@ishakafaki3501 4 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 😂😂🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️umeuaaa
@neemamassawe4005
@neemamassawe4005 4 жыл бұрын
😍😍ILY lily💕
@evelynlundberg1981
@evelynlundberg1981 4 жыл бұрын
,
@keyakeya8911
@keyakeya8911 4 жыл бұрын
Yaani wanaume wengine mungu atawalani milele maana siyo Sawa kabisa.
@nuruabraham3769
@nuruabraham3769 4 жыл бұрын
Kwani hayo matumbo yanaumaa? Embu kuleni bhanaa 😂😂
@hassanharuna1519
@hassanharuna1519 4 жыл бұрын
Yani nawapenda sanaa naomba nasiye Rwanda Kigali mkisalimia marafikizenu msiwe munatusahau kingine naomba namb ya whatsapp kama inawezekana
@davidngwesa
@davidngwesa 4 жыл бұрын
Kigali, muraho? Amakuru yanyu??
@hassanharuna1519
@hassanharuna1519 4 жыл бұрын
david ng'wesa Amakuru nimeza turaho cyane turashima Imana
@benbenedict2720
@benbenedict2720 4 жыл бұрын
Huyu mama mwenye brown huyu ana MADINI hatari. Niliyoondoka nayo leo 1. Kina mama ndio walezi wa watoto wa kiume. Badala ya kuhangaika na haki zao tuu na kupambana na mwanaume ni bora wakafunza watoto wa kiume. 2. Usile kama huna njaa. Hii tabia ya kula mara tatu kwa siku si lazima!
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 4 жыл бұрын
Hmmm
@Hazfir.Official
@Hazfir.Official 8 ай бұрын
😢
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 4 жыл бұрын
Huo ukatili wa kuzuiliwa kwenda kwetu na kupigwa na kusumbuliwa mpaka kupewa ulemavu tena mume na wazee wake na nduguzake nikawa nasema yatakwisha lakini haijawa hivyo hadi usee unaniandama ndio nikakimbia nilikuwa kama msukule kwao mateso yote nimeyapata
@jamilajamila9682
@jamilajamila9682 4 жыл бұрын
Kitu cheusi ndio nini!😀🙈
@nusramunini9650
@nusramunini9650 4 жыл бұрын
Pombe
@husseinlatifa1443
@husseinlatifa1443 4 жыл бұрын
Kwa kukaa kwao ndani na kutoka wakiwa wamejistiri miili yao, wanawake zetu wa kiislamu wapo salama zaidi na maudhi na vitendo vya udhalilishaji kuliko nyie na watoto zenu mnaovaa vichupi na kutembea navyo mtaani na kushinda maofisini na wanaume, kudhihaki dini yangu kumefanya nidharau hiki kipindi na kuanzia Leo sitaangalia tena.
@aishajuma9033
@aishajuma9033 4 жыл бұрын
Shkamoni wote apo ni mama zangu lilian mwasha ni sister pia ni jina la mwanangu izo mada namimi pia yalisha nikuta kwa baba yangu mdogo na yeye ndo alinikuza toka utotoni ila mimi na Shkuru mungu alhamdulillah niliya epuka ila mpaka leo sina mawasiliano yoyote na huyo baba yangu ukitaji story zaidi ....... nitafute
@rebornmimi7872
@rebornmimi7872 4 жыл бұрын
oh so sorry mpz
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Pole Sana
@konsolatatutu423
@konsolatatutu423 4 жыл бұрын
Pole sana, jitaidi kuwalinda na watoto pia😔
Women Matters: WANAWAKE HAWAJITAMBUI\JUA THAMANI YAKO
1:01:31
Wasafi Media
Рет қаралды 36 М.
YESU WA TONGAREN AKATAA KUSULUBIWA (PART 1 OF 4)
1:04:47
Straight Path Dawah
Рет қаралды 253 М.
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
Nondo za AUNT SADAKA. Saikolojia ya Mapenzi// Malezi//Ndoa
1:25:32
Dream Aid Studios
Рет қаралды 184
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН