The Story Book : Vita Kuu Ya 3 Ya Dunia / Maangamizi Ya Nyuklia / World War III (Swahili)

  Рет қаралды 820,069

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#TheStoryBook #WasafiTv

Пікірлер: 964
@henrygeofrey6320
@henrygeofrey6320 3 жыл бұрын
Jamal anajua mpaka anaboa uongo jamaniii kama unaikubali wasafi ,the storry book shusha likes za kushatoo
@godfreysekumbo1523
@godfreysekumbo1523 Жыл бұрын
Hata vitabu vya dini vinasema huyu jamaa anasoma Sana vitabu jaman
@ahadikalemo2154
@ahadikalemo2154 8 ай бұрын
Like
@psalmistjosephsnr7392
@psalmistjosephsnr7392 6 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅​@@godfreysekumbo1523
@martineathar1869
@martineathar1869 3 жыл бұрын
Jaman sijawah pata like humu naomben like zenu
@IsaacParuz
@IsaacParuz 3 жыл бұрын
Upeo alionao jamali sio level za kitanzania. Siidharau Tanzania ila Bado unahitaji kwenda mbele zaidi... Angalau kuwa international zaidi ulichonacho Ni zaidi ya hapa... Lakini nimekuwa impressed Sana maana kinachowekwa hapa Ni next level, wasafi mmeenda mbele Sana hongereni Sana Sana
@johnboscomohamed2775
@johnboscomohamed2775 2 жыл бұрын
Ni kweli unachosema. Ila anachokiongelea kipo mitandaoni siku nyingi lakini sisi wabongo ni wavivu wa kusoma vitu vya muhimu ndio maana mtu akileta uzi kama huu wengine wanaona kama ni unabii. Ni kwamba jamaa nae anasoma sana vitabu na documentary nyingi ndio maana anajua vitu vingi.
@BBCswahili_Uingereza
@BBCswahili_Uingereza 3 жыл бұрын
Safi Sana Prof. Gonga like Kama umemuelewa Prof.💪💪
@nicholasgervas167
@nicholasgervas167 3 жыл бұрын
Perfect
@nibohemed2646
@nibohemed2646 2 жыл бұрын
Yaani mm nimekuja kusikiliza tena the storybook maana urusi mh mungu hatusimamie Tanzania 🇹🇿 yetu
@adamhasan8021
@adamhasan8021 2 жыл бұрын
Mtihani sana mungu atulinde waja wake
@funakoshtadash6163
@funakoshtadash6163 2 жыл бұрын
Ee Mungu, tuepeshe na dunia hii yenye mauaji na ukatiri usio na hofu yako, amin
@maclinahaonga1548
@maclinahaonga1548 3 жыл бұрын
Mungu Ni waajabu Sana yey ndo anajua atatuepusha vip kikubwa tuzidishe maombi🙏
@matukiolive1451
@matukiolive1451 3 жыл бұрын
Hii vita ya 3 ya Dunia, watu tunafkiria mbali saanaa, pengine sio sahihi.. Mimi nionavyo, hii vita inahusisha na mwisho wa Dunia, unaposikia habari ya mpinga kristo (masihi dajar), watu wanafikir atashuka shetani live toka kuzimu, kumbe sio.... Hii itahusisha mashetani ktk uniform za kibinadamu. Yaani binadamu anapagawa mapepo ya kishetani na kufanya mambo ya kishetani.. Sasa mambo ya kishetani ni yapi!?. Ni pamoja na tamaa za nchi, ama mtu ,ama kikundi kutaka kuitawala dunia, au kutaka kuua watu wote duniani na kubaki wenyewe tuu ktk hii dunia.. Na kuitawala dunia, na kuanzisha tamaduni zao wenyewe... Sasa kwa sasa, nchi kubwa duniani zimeanza kuona hatari ya kuishiwa marighafi ndani mwao, na ndio zinapowaka tamaa za kutaka kutawala dunia ili zikidhani kuwa zitakuwa safe.. Apo ndio shida inapoanzia...
@NENO-CHAKULA
@NENO-CHAKULA 3 жыл бұрын
Biblia yenyewe inaeleza kuepo kwa Vita ya tatu
@janetmrisho3521
@janetmrisho3521 3 жыл бұрын
Amina
@halimahamis3907
@halimahamis3907 3 жыл бұрын
Mungu Nimwema siku zote pengine yakalipuka huko huko kwao kabla ya vita. hata sasa eeeee mungu wewe Ndio kiongozi wa aridhi Na mbingu tuhifadi ishaalllah 😢🤲🤲🤲🙏Amiin
@catherinejohn3510
@catherinejohn3510 3 жыл бұрын
Amen
@onlygame5110
@onlygame5110 3 жыл бұрын
Jamal karudi watu wanapata mhaho nipeni like za Tanzania nipo kenya
@truppdizz7330
@truppdizz7330 3 жыл бұрын
tafadhali tusije kuskia uyu jamali amegombana na wasafi kila akita kitu mumpatie tafadhali my brother c.e.o #diamond uyu mtu ni wa kuangaliwa sana na kupewa vitu vizuri ili akili yake iyendlee kufikiria vitu vikubwa na kutuletea ili tuelimike tafadhali sana naomba uongozi wa wasafi 🙏
@user-ot2io4cy6w
@user-ot2io4cy6w 3 жыл бұрын
Daaah...!!! Huyu jamaa bhana ni Mbunifu sana nimemvulia Kofia yani picha laanza tu nikajua Mwanetu Jamal katekwa nin 😅😅😅 kumbe zile MBWEMBWE tu miksa madamu nene yaneeee.... Salute kwako Mkuu🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@officialflameboy2548
@officialflameboy2548 2 жыл бұрын
Wanaoufuatilia story hii Baada ya kuitazama kinachoendelea duniani gonga like hapa
@raydiesel424
@raydiesel424 2 жыл бұрын
Leo 04/03/2022 Nimeamua kuangalia hii kutokana na kinachoendelea huko Ukraine, yule mzee mstaafu wa Marekani aliesema ana hofu vita kuu ya 3 ya dunia itatokea ndani ya miaka 10 ijayo naona hofu yake inatimia. Vita kuu ya 3 ya dunia iko karibu...ee mwenyezi Mungu utuangalie sie waja wako haya mataifa ya kibabe yataimaliza dunia hii 😥
@abuumo9637
@abuumo9637 2 жыл бұрын
Hhhhhh daaah
@edwardgistave9488
@edwardgistave9488 3 жыл бұрын
Kama ulijua move twende kazi maana huyu jmaa fundiii sanaaaa
@jonafena4639
@jonafena4639 3 жыл бұрын
True story teller watching from 254. Gonga like 👌 Jamal andaa sehemu ya pili umeniacha nime duwaa!!!
@tobiasvaleriano1967
@tobiasvaleriano1967 2 жыл бұрын
Haaaa
@georgebaraka9883
@georgebaraka9883 3 жыл бұрын
Dah!! Jamal story zako huwa nazielewa sana na zinasisimua ama kuvutia kuzifuatilia ama hakika unafanya kazi nzuri ya utafiti na kuzisimulia kwa kina na kwa uzuri zaidi... Mungu akujaalie afya njema na akupe uelewa zaidi na zaidi juu ya elimu hii unayoitoa kwetu sisi... Ubarikiwe sana..
@juliusmabelle5532
@juliusmabelle5532 3 жыл бұрын
Pongezi kwake👏👏👏
@Mfalmedr.fadhili
@Mfalmedr.fadhili 2 жыл бұрын
Yuko vizuri sana huyu jamaa.
@AlexDitto-qz1hn
@AlexDitto-qz1hn Жыл бұрын
Nazani mzozo wa Tanzania bara na Zanzibar inaweza sababisha vita ya tatu ya dunia
@tygatooraww6543
@tygatooraww6543 3 жыл бұрын
Professor Jamal Ni Zaidi Anaelezea Vitu Vingi Sana Huyu Jamaa Sio Mchezo Kabisa Gonga Hapa Like Kwake To Him He Tell The Truth
@nawwarsultwaan6404
@nawwarsultwaan6404 3 жыл бұрын
Jani story book ni noma mno sijapata kuona naomba like wadau
@peterchance5466
@peterchance5466 3 жыл бұрын
Kusema kweli jamaa anajua sana Tena sana TU mpeni likes zake jaman nipo calfonia ila namuelewa san
@ayshaothman3995
@ayshaothman3995 3 жыл бұрын
Kwani yeye anasemaje
@jassonnelly3445
@jassonnelly3445 3 жыл бұрын
Jamal Jamal you are getting better day by day I'm impressed
@baradfight4694
@baradfight4694 2 жыл бұрын
Berive in God
@bonnymalyalya4032
@bonnymalyalya4032 2 жыл бұрын
Mungu ndiye atakayelipinga hili lakini kwa binadamu yeyote
@franklutego6663
@franklutego6663 2 жыл бұрын
@@bonnymalyalya4032 q
@gabbymasota8693
@gabbymasota8693 2 жыл бұрын
Tulioiangalia the story book March 2022 dondosha like hapa maana Jamaa kaitabiri vizuri sana na ndio inavyoenda kutokea...🙌🙌
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 жыл бұрын
Nipo hapa
@faridithomas4859
@faridithomas4859 3 жыл бұрын
tusifurahie utamu wa story tu, tufikirie hatima yetu na vizazi vyetu..! wanadamu tungemjua adui yetu tungefanya mapinduzi asubuhi ya kesho
@yadidiahblack2731
@yadidiahblack2731 2 жыл бұрын
kabida broo
@bongorekodi3242
@bongorekodi3242 2 жыл бұрын
Aliye turoga wtz mungu.anamuona
@AlexDitto-qz1hn
@AlexDitto-qz1hn Жыл бұрын
Amesahau Tanganyika na Zanzibar inaweza sababisha vita ya tatu ya dunia
@AlexDitto-qz1hn
@AlexDitto-qz1hn Жыл бұрын
Hata mzozo wa Tanzania bara na Zanzibar inaweza sababisha vita ya tatu ya dunia
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 6 ай бұрын
Nipo tayari kufanya mapinduzi kwenye nchi yetu mimi kama kijana jasusi
@richmontana1296
@richmontana1296 3 жыл бұрын
Another Level Professor Jamal 🙌🙌🙌 I appreciate Broh..!
@ngotwikebusinessplatfom8306
@ngotwikebusinessplatfom8306 3 жыл бұрын
Amakweli kila binadamu ni wapekee sana hapa duniani, hakuna kama wewe kaka Jamaly nakukubali sana.
@truppdizz7330
@truppdizz7330 3 жыл бұрын
safi ndugu yangu nimekuona apa kw mala ya kwanza tukutane kwenye team #kubambanya 🤣🤣🤣
@paschaljoseph3590
@paschaljoseph3590 3 жыл бұрын
Hatari sana mkuu, hongera sana PR Jamal unatisha hii kweli ndo wasafi
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 жыл бұрын
THE STORY BOOK. VITA YA TATU YA DUNIA... MAKOFI MENGI KWA PROFESSOR JAMAL.👋👋
@rafaelgodfrey7305
@rafaelgodfrey7305 3 жыл бұрын
Naomba hio Vita isitokee kabisa tumuombe mungu isitokee hio vita
@jumabahasha8831
@jumabahasha8831 3 жыл бұрын
Nijambo la kumshukuru mungu kwa kuwenza kwanza kukujaaliya kufanya utafti wakina '. Na tumuombe mungu aiwepushe duniya na vita ya tatu ta duniya
@SulleshpapaaSaid
@SulleshpapaaSaid 5 ай бұрын
Jamal mimi hukuangalia kutoka Kenya.lakini wewe ni mwalimu ambae sijui kama ulifunzwa na mwalimu kujua mambo yasiyo yakawaida, ama mambo ya Dunia. Aise uko juu
@learnenglishwithcharles4361
@learnenglishwithcharles4361 2 жыл бұрын
You are my great story teller of all the time...Your aptitude is greater than what you narrate.
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Ebu tafsiri kwa lugha, hapa tuko uswahilini...
@dommymnaa1234
@dommymnaa1234 3 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua mpaka anakera one love brother
@salumkhelefmychanal2947
@salumkhelefmychanal2947 3 жыл бұрын
Jamaa Yuko vizuri
@kbrown8ight7even87
@kbrown8ight7even87 3 жыл бұрын
😂😂
@hashiysaid6199
@hashiysaid6199 3 жыл бұрын
Naomba like. Hapaaaa mkuuu mapema Sana nimewaku kula daku na kuicheki hiii
@harunimfaume8692
@harunimfaume8692 3 жыл бұрын
Naikubali stori yako kwasababu unapo leta stori unaweka na picha na matukio tofauti hilo ndio linanivutia kwenye maszor yako sio wale wanao leta stori halafu picha mgando uko vizuri sana mkuu
@keziambezi6845
@keziambezi6845 3 жыл бұрын
Na kamzki pemben ka msisimuko
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 3 жыл бұрын
Nashukuru Sana mzee kwa taarifa halafu story ni nzurii Sana.
@swalehmwamazola7100
@swalehmwamazola7100 3 жыл бұрын
Wapi like za Africa kwa haya maovu yaliyotajwa atumo. Na hao mabepari wa duniya kesho kwa mungu c mbali.
@jgaelharaka7419
@jgaelharaka7419 3 жыл бұрын
Jamal mtu mhim Sana mjini You - Tube, Much respect ma Brother 💪💪
@RashidZuberi-r8q
@RashidZuberi-r8q 7 ай бұрын
Yesu ndio mungu mwenyewe...soma yohana mtakatifu sura 14:6-12
@FredoBoy
@FredoBoy 3 жыл бұрын
WASAFI forever Gonga like kama tutazidi ku support WCB pamoja. Alfred RAY Silver based in SA
@wailosvijevania1049
@wailosvijevania1049 3 жыл бұрын
Kwa wapenzi wa story book karibuni pia kwa Davista Mata upate story nyingi na za kweli upate kujua zaidi kuhusu mambo yaliyopo na yanayoendelea duniani
@adamnkwama4148
@adamnkwama4148 3 жыл бұрын
Hii dunia Mungu pekee ndiyo mkombozi wetu
@mjuajimpumbavu5537
@mjuajimpumbavu5537 3 жыл бұрын
Live
@emanuelmwaipaja2062
@emanuelmwaipaja2062 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ningekuw simba ningemzawadia mjengo ni genious sana kila Siku anakuja kiutofauti an ila usiofu bro lazima zawadi yangu utapata tu
@bestgames6229
@bestgames6229 3 жыл бұрын
Professor jalibuni kuweka subtitles in english pia coz namarafiki zang abroad huwa wanapenda kusikiliza story zak but tatizo lugha hawajui kiswahil and richa ya hiyo pia itasaidia kupata more fans a world wide I'll be happy if u'll consider that idea 💕💕
@truppdizz7330
@truppdizz7330 3 жыл бұрын
that fact bro 🤝
@mbux7443
@mbux7443 3 жыл бұрын
Safi
@ericdiseteh8111
@ericdiseteh8111 3 жыл бұрын
Safi
@loxlox3414
@loxlox3414 3 жыл бұрын
Wawatafte wakalimani Mbona wao habr Zao kwao wanAtoa kwalugha Zao
@greyuliki8027
@greyuliki8027 3 жыл бұрын
Point
@benteke6258
@benteke6258 2 жыл бұрын
Iam now your fun Jamal you are more than my grandfather he was a story teller, more Love from Kenya 💚💚
@fasteelastee9976
@fasteelastee9976 3 жыл бұрын
Yaani this guy does the most great job.. #sababu ya yote haya ni mshahara wa vitendo vya uhasama vya mwana damu mwenyewe
@org32168
@org32168 3 жыл бұрын
Uko vizuri brother like kwako👊👊
@paulwilson-hc4ey
@paulwilson-hc4ey 3 жыл бұрын
Mzeee makini sana heshima yako ❤️
@issasaid5798
@issasaid5798 3 жыл бұрын
Kama unachek hili dude talehe 01/05/2021 gonga like kama zote
@konstantinomakolo4898
@konstantinomakolo4898 3 жыл бұрын
Japan (Hiroshima and Nagasaki) haikupigwa Nuclear ilipigwa Atom nuclear imegundulika mwaka 1953
@josephbabirandeda7554
@josephbabirandeda7554 2 жыл бұрын
Ni Wewe Tu Mwenyezi Mungu Utuokoe 🙏🙏
@hassanyussuph4407
@hassanyussuph4407 3 жыл бұрын
Jamal mtu hatar sanaa tumuombe mungu tu🙏🙏🙏
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 3 ай бұрын
Eeee Mungu ulimtuma mwanao kukomboa ulimwengu walio wengi hawajasadiki Bwana tunsomba utusamehe na maovu yetu humu ulimwenguni tupe macho mawazo na nia yakuona yaliyo yako tukayatende sawawa na mapenzi yako Aminaa
@naftaliiddi4780
@naftaliiddi4780 3 жыл бұрын
Yaani unavyoelezaga story zako na kuzifafanua napendaga sana yaani unajuwa ww na pia muda wote huwa sichoki kuzisikiliza story zako maanake huwa haziniishi hamu, nikuombe uwendelee tu
@jacobkisuma985
@jacobkisuma985 2 жыл бұрын
Kipaji hiki kimepitiliza uwezo wa mwanadamu wa kawaida kaka, Mungu asante kwa vipaji
@salomegomano1788
@salomegomano1788 2 жыл бұрын
Super proud ue Jamal we are enjoying much .....u know wat Tanzania we are blessed ..keep shining brooo may God blessings Shower upon ue
@hefsibajohakim3257
@hefsibajohakim3257 3 жыл бұрын
enyezi mungu atusamehe sisi tusio jua chochote na waki piga baci yatagoma nakuwauwa wao wenyewe amina
@ibrahimissango1083
@ibrahimissango1083 3 жыл бұрын
We kweli akili huna
@devotamakundi3657
@devotamakundi3657 2 жыл бұрын
Waliorudi hapa baada ya kuona vita ya ukreni na urusi kuanza Vita tujuane kwa like hapa
@hamidauhuru813
@hamidauhuru813 2 жыл бұрын
Dalili zimeanza kuonekana taratibu.
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 жыл бұрын
Nimeanza kuogopa
@abuumo9637
@abuumo9637 2 жыл бұрын
Lazima uingie maji
@paulmokua2487
@paulmokua2487 2 жыл бұрын
Mmmm
@Newton-ug1pe
@Newton-ug1pe Жыл бұрын
@@hamidauhuru813 du mwisho wa dunia unakalibia unafika
@sixberthcostantini9290
@sixberthcostantini9290 3 жыл бұрын
Jamal unauwezo mkubwa snaa wakuweka story ikakaa Mahal pake,big up sana kaka.....
@marcoamos6330
@marcoamos6330 3 жыл бұрын
Kaka umesahau kuongelea kipengele muhimu sana "jinsi gani ww3 itaadhiri mataifa ya Africa" nadhani watu wengi walitaka kujua hilo na mimi nikiwemo
@leengeresa5011
@leengeresa5011 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atalinda watu wake
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 жыл бұрын
Kwetu isifike jaman naikifika niwenimekufa Mimi jaman
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 жыл бұрын
@@nolimittvonline6822 vipi kuhusu kizazi chako haukihurumii
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 жыл бұрын
@@mwanaishamande8880 bina dam Tena kutapa patapa kikubwa ni kuomba mungu atunusuru
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 жыл бұрын
@@nolimittvonline6822 kabisa ndugu yangu mungu atunusuru yote yabatokana natamaa yamali nadhulma ubabe ila inshaallah Allah karim 🤲
@khalilyjuma813
@khalilyjuma813 3 жыл бұрын
Salamun qaulan min rabbirahiim (salama na amani ipo kwa mwenyezimungu)
@kanjunjucomedy6408
@kanjunjucomedy6408 3 жыл бұрын
Uyu jamari ana jua baraa .Kama una Amini Kama mm please naomba like yako.
@mussalugembemussalugembema3650
@mussalugembemussalugembema3650 3 жыл бұрын
duuu inatisha sana hapo inaitajika tu nusra ya mwenyezi mungu
@youngweezy3846
@youngweezy3846 2 жыл бұрын
wangap tumerudi hapa kipind hiki cha mzozo wa urusi na ukraine 🙌🙌prof jamal
@kamnyamakamtembo8856
@kamnyamakamtembo8856 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ana juwa big jamal sir
@abelijoshua385
@abelijoshua385 2 жыл бұрын
Dah nakuelewaga sana ndugu yangu.... mwenyezi mungu akutangulie ktk kazi zako
@panchovalentino5922
@panchovalentino5922 3 жыл бұрын
Professor Jamal fundiiiii 💯💯💯👏👏👏
@mageshalua7113
@mageshalua7113 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hajaongeza wala.kupunguza this is reality science and technology inatupeleka pabaya Sana jaman
@jerrykayaga940
@jerrykayaga940 3 жыл бұрын
Professa ni mmoja tuu jamal nakukbaliii sanaaa kaka
@zainabuabdul7852
@zainabuabdul7852 2 жыл бұрын
Story zako unazijua mwenyewe huyo uturuki na mmarekani hawaelewani na urusi ni nchi tajiri sanaaaaa ujue
@bakarishaban9311
@bakarishaban9311 4 ай бұрын
Ww Zainab fanya utafiti uijue dunia ujue na histora ya nchi na nchi ndo ujue Vita iko karibu sana
@maclinahaonga1548
@maclinahaonga1548 3 жыл бұрын
Ivi kwann binadamu wanafanya hivyo..nakuuliza Mungu angeamua kuwa katili kiasi hicho Leo hii tungekuwa wapi jamn😭😭😭, Eeee Mungu wangu tuteteee sisi waja wako
@musason1680
@musason1680 2 жыл бұрын
Daahh mwenyezi mungu aendelee kutusimamia 🙏
@chipagafashion
@chipagafashion 2 жыл бұрын
Nimerud tena baada Mgogoro wa Russia & Ukraine
@saidhatibu9565
@saidhatibu9565 2 жыл бұрын
Na mm hapa
@hamisimkima117
@hamisimkima117 Жыл бұрын
Kunamengi sana yakujifunza kwa The story book hakika jamaa Anasikitisha sana vile anavyo Simulia Tukio
@denicegabriel6616
@denicegabriel6616 3 жыл бұрын
Watu wanajifanya kukucopy hawakuwez mkuu lete chuma back to back🙏😂😂😂
@erastokalinga8227
@erastokalinga8227 3 жыл бұрын
Vita kuu ya tatu ya Dunia imenifanya Kichwa kikwame hata kufikiri Tumwombe sana Mungu!!
@najmaulaya8819
@najmaulaya8819 2 жыл бұрын
Yaaan acha tu
@happyshayo372
@happyshayo372 3 жыл бұрын
No war no tears any more. God is overall🙌
@partsonlupenza9666
@partsonlupenza9666 Жыл бұрын
We ropoka
@Malaikakessy
@Malaikakessy 2 жыл бұрын
Jamal i feel your prophecy, USA and RUSSIA… 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@godfreymtazama4581
@godfreymtazama4581 3 жыл бұрын
Fundiiii proffersor jamaly mustapha 🙏🙏🙏
@ntwaranjunwa8300
@ntwaranjunwa8300 2 жыл бұрын
Duuuuuuuuuuuuu
@ntwaranjunwa8300
@ntwaranjunwa8300 2 жыл бұрын
My inner trauma raised to ear the terrible storie
@dodokibbah3513
@dodokibbah3513 2 жыл бұрын
Professor your work is always imaginable and true..All you said is now nearly happening
@fridahnkatha8962
@fridahnkatha8962 2 жыл бұрын
It is happening now🤔
@wg4225
@wg4225 3 жыл бұрын
Nipe like ya askari wetu hapa🚨🚨🚨
@padonmvumuye9702
@padonmvumuye9702 3 жыл бұрын
Mungu atusaidie
@issaibrahim7771
@issaibrahim7771 2 жыл бұрын
kumbe watanzania tukiamua tunaweza eeeeh, maana ninavyowaona wale wanaopost ushubwanda mitandaoni nikadhani ndio asli yetu wabongo kumbe tunajielewa namna hii, big up brother, watanzania tupo nyuma yako kaka
@abdulkhalimjuma6925
@abdulkhalimjuma6925 3 жыл бұрын
Nakubal kz jamal sijawah jutia mb zangu kwa ajil yk ww
@flatoutent.2096
@flatoutent.2096 2 жыл бұрын
Indeed this guy is a professor look what's happening between Ukraine and Russia. Economy all over the word has shaken no country that is not experiencing that. Lets stay prepared watu wangu
@shabanihussein7163
@shabanihussein7163 2 жыл бұрын
Ulioyasema kaka Leo tunayo, Nani bado Anatazama the story book hadi hii leo
@allankiragu4039
@allankiragu4039 2 жыл бұрын
✋✋
@victordavidmmbaga8491
@victordavidmmbaga8491 2 жыл бұрын
Kama vile yametokea kweli, Tumuombe Mungu atulinde tu
@vivianoforo4760
@vivianoforo4760 3 жыл бұрын
Woyoo wangapi tumeamka nayooo weka likes yako tuendelee kuhabarika na story book
@erickmwenda8612
@erickmwenda8612 2 жыл бұрын
Akh naurumia afrika aki lkn sisi tunamkono wa Mungu atuogopi kitu awatusutui alh tutaogopa Mungu pekeake awezaye kumaliza mwili na roho
@edwinsirchidunda5658
@edwinsirchidunda5658 3 жыл бұрын
Like zaako jamal April utazikuta hapa kama humpingi like please akija azikute
@nurdinibrahimu7312
@nurdinibrahimu7312 10 ай бұрын
Unatusaidia sana professor Jamal kujua yajayo yasiyofurahisha🤌🤗
@hassanabazar9411
@hassanabazar9411 3 жыл бұрын
Salute kwako PROFESSOR
@patrickkaite3822
@patrickkaite3822 6 ай бұрын
Wasafi ni 1 tu
@beatricepeter301
@beatricepeter301 3 жыл бұрын
This one has made me cry 😭😭😭😭 .... it's so sad...to see how the world is going.
@Mfalmedr.fadhili
@Mfalmedr.fadhili 2 жыл бұрын
Refer to Michael Jackson song Heal The World.
@paulmokua2487
@paulmokua2487 2 жыл бұрын
Let God see cry too
@anitafuraha8302
@anitafuraha8302 2 жыл бұрын
Mungu tusediye iii uchokozi yamehaja katika Vita ya tatu za dunia
@jontezngichboy0017
@jontezngichboy0017 3 жыл бұрын
i always love when Jamal April is broadcasting the story book🤞
@dulertech6284
@dulertech6284 3 жыл бұрын
Ukoo juu jamal profesor endelea kutuburudisha
@olekarai
@olekarai 2 жыл бұрын
The level of your creativity is incredible sir, we researched, perfectly elaborated and well explained......
@ibrahimmawazo9229
@ibrahimmawazo9229 Жыл бұрын
O
@abuumo9637
@abuumo9637 2 жыл бұрын
Jmn mmejipanga na vita ya tatu ya dunia tumuombe mungu atuepushe na haya mabalaa yamataifa makubwa
@melody_mike_mavoice
@melody_mike_mavoice 2 жыл бұрын
INSHORT JAMAL WAS JUST PREDICTING ABOUT UKRAINE N RUSSIA HE COULD SEE IT COMING FROM DIFFERENT ANGLE ... LET'S GO BACK TO THE CROSS
@rayman111
@rayman111 2 жыл бұрын
Asante sana ndugu mtangazaji, Habari hii imeshiba haswa!
@brokenigga2842
@brokenigga2842 3 жыл бұрын
Creativity level awesome 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@tinnyrider648
@tinnyrider648 3 жыл бұрын
Perfect dady una provide inspiration kwa wat believe co mm tu weng wanawish kuw kam ww .. Og broo .
@reginasawe3356
@reginasawe3356 3 жыл бұрын
Ungekua mwalimu wanafunzi wangeelewa sana
@khalidngwembele9075
@khalidngwembele9075 2 жыл бұрын
Eee Mungu tuepushe na mabalaa ya dunia🙏🙏🙏
@amanikajinake2626
@amanikajinake2626 3 жыл бұрын
This is True story thank you to let us know 🙏🙏✔💯
@emmanuelkimanthi5788
@emmanuelkimanthi5788 2 жыл бұрын
Napenda hizi story book , ningependa kujua ametumia mbinu gani ya uigizaji
The Story Book: Ukweli Kuhusu NYUKLIA, Dunia iko kwenye Hatari Kubwa
30:22
Why World War 2 Happened? | The Real Reason | Dhruv Rathee
22:15
Dhruv Rathee
Рет қаралды 15 МЛН
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
Двое играют | Наташа и Вова
Рет қаралды 1,6 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 15 МЛН
Will A Guitar Boat Hold My Weight?
00:20
MrBeast
Рет қаралды 270 МЛН
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН
Why Hitler Lost? | World War 2 | Dhruv Rathee
20:59
Dhruv Rathee
Рет қаралды 15 МЛН
The Story Book: Vita ya Congo | Mauaji ya kutisha
22:43
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
The Story Book: Ujambazi Wa Kutisha JFK Airport
50:42
Wasafi Media
Рет қаралды 391 М.
The Story Book: Kifo Cha Utata Cha Rais wa Iran Ebrahim Raisi
38:49
Wasafi Media
Рет қаралды 312 М.
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
Двое играют | Наташа и Вова
Рет қаралды 1,6 МЛН