That's why I took my son to school in Kenya. I like the altitude boldness
@OutLaw2542 ай бұрын
"Attitude."
@winniegesy9822 ай бұрын
You will be more proud of how Education shapes him.. he will be or probably he is book smart and street smart if he's done with education❤
@DLMEDIA-e6k2 ай бұрын
😂😂😂@@OutLaw254
@ankalmzito2543 ай бұрын
Tanzania kama mnatukubali Wakenya 🇰🇪 like hapa ....
@mimiraia25313 ай бұрын
WaKenya WASENGE TU
@imanuelnguya92773 ай бұрын
😂😂😂@@mimiraia2531
@georgeodhiambo21183 ай бұрын
@@mimiraia2531Kuma ya Nyani wewe 😂😂😂
@svt33 ай бұрын
@@mimiraia2531yaani unaonesha wazi ulivyo na ulemavu wa elimu
@ankalmzito2543 ай бұрын
@@mimiraia2531 najua hio ni wivu tuu sababu ujasiri wetu hamutuwezi hata wewe mwenyewe unajua
@Gyiebay3 ай бұрын
Kenyan Gen Zees are the new face of the 2nd African struggle against oppression and colonisation by our own African leaders. God bless Kenyan youth
@yasminoluoch1693 ай бұрын
Thank you
@judeisuzu2 ай бұрын
Amen
@evansmoshi19233 ай бұрын
Kenya wanaakili sana pia wanajielewa alafu sio wanafiki.
@picsandvidstv13483 ай бұрын
Utawala mbaya umezidi nchini mwetu Kenya. Tunatia bidii kazini, tunalipa kodi lakini raisi na wabunge wake wanatuhadaa! Wanatumia kodi yetu vibaya! Hayo ndio mambo tunataka kurekebisha!
@mulamaaugustine29353 ай бұрын
Hivi karibuni, Rais wa Uganda atatokea Kenya 😅😅😅😅😅😅😅 😂😂😂
@judeisuzu2 ай бұрын
@@picsandvidstv1348good GenZ👏🏽💋
@hotnewsyoumissed3 ай бұрын
Ule wa Mr speaker sir! Niko ndani, im inside 🙏🏿🙏🏿✊🏾✊🏾🫶🏾🫶🏾🫶🏾🇰🇪🇰🇪🇰🇪☕️🎉❤
@michaelkataka33032 ай бұрын
Aliuawa baadaye kwa risasi
@Meaw6872 ай бұрын
@@michaelkataka3303 just rumours. Ako tu Area
@naomiii97882 ай бұрын
@@michaelkataka3303wewe mwongo
@masikitikomwakyonde12593 ай бұрын
Pole I sana Wakenya Kwa kuwapoteza wenzenu ila wanaobaki mtanufaika MUNGU AWAREHEMU MLIOTANGULIA MBELE ZA HAKI KWA UTETWZI NA KUPAMBANIA HAKI.
@b.truthful3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@benjamin-ajneb3 ай бұрын
Shukran
@KASSIMMHILU-oh5ch3 ай бұрын
Amin
@wkjshsxbbsbs63923 ай бұрын
Kenyans walihapa na hakuna siku watauziwa uoga😂😂😂
@ototek80373 ай бұрын
Mkibadilishiwa jeshi lazima makae, huwezi pishana na risasi ukielekea maandamano, kwa tz ni sawa na wacongo waingie wenyewe vitàni na manati kuwakabili wahasi. Tz is not a democracy country.. not it.
@faithnyaboke4993 ай бұрын
@@ototek8037wew nyamaza we're not slaves ok😏
@ramak.95873 ай бұрын
Ata wakituuzia hatuna pesa ya kununua bado watasalia na uoga wao
@MarkoWMichael3 ай бұрын
Tanzania tunaandamania chumbNi
@b.truthful3 ай бұрын
😂😂😊@@MarkoWMichael
@fawziaabdurrahman22513 ай бұрын
Nimependa sana discussion yenu. 💜 from mombasa kenya
@_bonfaceadera3 ай бұрын
Hawa commentators nikama wamebambika na hii story ya Kenya sana😂😂
@esendilumula46213 ай бұрын
Wakati sisi wakenya tulijui ipo siku nani Leo kama sio Leo ni Leo .
@Wamuyu-kw8zn3 ай бұрын
Nakwambia wamebabika sana
@mohamedsuwari25883 ай бұрын
WanatuSapport,I like thatSisi na WA Tz ni Ndugu.
@winniegesy9822 ай бұрын
Inakaa movie kwao bado...sisi kwa ground tukiwa live..huwa tunangoja Tuesday au Thursday kama tutokee au tuchil
@mubarakambwana56503 ай бұрын
Vijana kenya wameupiga mwingi Struggle for revolution
@abulhakim22943 ай бұрын
watanzani are very good people😊, we here in Kenya have a lot of fans😅 but your problem is muna ogopa sana viongozi wenu😢, you had a very good presiden mwenye and magufuli😢, sahi muna pelekwa vibaya sana , I heard on the news hata bandari yenu iliuzwa kwa wazungu au waarabu,😢 but still mumelala😢 , naskia sahi maisha yako magumu sana Tanzania😮 please wake up and defend your rights , hawa viongozi sio wafalme wetu hawa ni watumishi wetu , wasiwa peleke vile wanataka.
@taylorkasitu38192 ай бұрын
na hao machawa hapo walikuwa washenga dubai wazee wa hovyo nyie wasaliti wakubwa
@atiitvrwanda3 ай бұрын
Ruto is imitating his friend Paul Kagame to rule by intimidation and repression. GOOD LUCK Ruto 😂 Internet is freeing Africans. CONGRATS KENYANS
@Gblock-qj6hn3 ай бұрын
Leave Mzee alone… Kagame is a good man 😂😂😂😂 well his twin Ruto is an outcast 😂😂😂
@NiyonsabaFulgence-tq3gr3 ай бұрын
😮@@Gblock-qj6hn Who told you that lie? Kagame is more than 100% worse than Ruto and you should talk to truthful Rwandans or even congolese people! He is a servant of westerners who greatly helped him take power after jointly killing the peaceful then president Habyarimana(who had refused to be their servant) for their interest especially for stealing DRC natural ressources! As a result,millions of innocent congolese civilians have died,have been displaced,etc... caused by rebellions backed by the notorious murderer let alone killed,illegally imprisoned and exiled fellow Rwandans due to their political views!
@NiyonsabaFulgence-tq3gr3 ай бұрын
Well said! It's about time Rwandans also woke up and brought about change!
@jedidahbintidaudi82413 ай бұрын
but still. it was God's will to let Ruto be her president. sie watanzania tunamuombea Rais Ruto..
@swalehomari20193 ай бұрын
Waambiye mzee baba hatuna kiongozi ...kiongozi ni simu tu 😂😂😂😂
@jedidahbintidaudi82413 ай бұрын
wakenya hawa yumbishiwi..anzaia Rais wao ina casscade mpgaka mtu wa mwisho kabisa...wakenya vichwa ngumu...hawanaga shida na mtu ila ukiwaleteia za kuleta ndo utajua ujasiri wao..watu wa maana sana watu hawa jmni. JIrani Mungu Awafunkie. tunapenda sana Kenya jmni
@kelvinelibariki68213 ай бұрын
Mi mkenya na nime penda hii. Keep it up.❤❤
@johnmwangi56913 ай бұрын
Kabisa
@geoffreymutisya97473 ай бұрын
Point of correction. Gen z ni waliozaliwa mwaka wa 1996- 2009. We are Tribeless, leaderless and fearless. We mobilize through WhatsApp,FB and majorly through X and TikTok. We are determined to fix this country! Also note that the some millennials have been part of us in the demonstrations.
@wkjshsxbbsbs63923 ай бұрын
Even X are mixed in
@lilianlihavi72563 ай бұрын
Am tired of pretending X ndo nini😮😂😂@@wkjshsxbbsbs6392
@phyliswanjiru43683 ай бұрын
It's 1997-2012
@mwangimukuha3 ай бұрын
Gen Z - Its not a fixed year😂! It's from 90s to the recent graduands from college
@mwangimukuha3 ай бұрын
@@az5195true
@tida37273 ай бұрын
We are resoanable kenyans,we are fighting over heavy taxation.. Pale kuna haki ya kuadamana tunaadamana Sote. #werejectFinancialbill2024
@richardodong86953 ай бұрын
Kenyan Gen zees to the 🌍 🇰🇪✊🏾💯
@jeremiahcharles60273 ай бұрын
Msifanye kama SIfa vijana wenzangu ,,,ngoma ikilia sana hupasuka
@ramak.95873 ай бұрын
@@jeremiahcharles6027Utapasuka wewe hii ni new generation my friend. Moto usiozimika
@marrypius5763 ай бұрын
@@ramak.9587kwahy mtakuwa matajiri sio 😂😂😂
@parismakki1773 ай бұрын
@@jeremiahcharles6027ipasuke tu we dont care,kama hawatwaangalii sisi wananchi wakawaida then tuko tiyari kuchoma taifa nzima tufanane ala kwani kenya ni ya matajiri pekee?kenya ni yetu zote is either watusikilize ao tutachoma inchi flat tubakishe tu nyasi then tuanze zero wote if that what those leaders want
@jeremiahcharles60273 ай бұрын
@@parismakki177 sawa lakn isiwe kwenye msafala wa mamba kenge hawakosekani,,,Iko wazi na itabaki hivo juhudi bnafsi zinahutajika ili upate maisha standard na sio kwa kuilaumu serikari kwa Kila jambo tena kwa. kupitiliza, ,,,maendeleo na mafanikio Yako bnafsi yanaanza na ww
@wasostvkenya3 ай бұрын
Im Proud to be a Kenyan 😂😂😂tuliwakisha🔥🔥🔥🔥
@roselynealima36183 ай бұрын
Kuanzia 1997_2012 ndio generation z wadau
@mahamudaideed69223 ай бұрын
1995 sio1997
@Delrio_yegon3 ай бұрын
GEN Z 🇰🇪TO THE WORLD,🇰🇪
@ROZITHOMAS-y4q3 ай бұрын
Sema hizo kodi ziangaliwe. Mfano mkate na pad wasingeweka kodi huko
@florencezawadi37843 ай бұрын
Achana na izo apa kwa viwanja jee umeona...eti watu waanze kulipa kode yet ata food kupata n shida...ikipita iyo bill kenya kutakuwa na homeless juu wataenda wapi after kushindwa kulipa tax kwa land zao...wataenda kwa streets😢imagine hao wazee wetu ambao hawana makazi na they can't work😢
@professormeshack3 ай бұрын
Sisi wakenya siyo waoga , tukisema tumesema na tukiamua tumeamua😂sisi siyo waoga kama watanzania nyinyi 😊🤦
@MohammedSaid-zk7yg3 ай бұрын
I don't think it's about TANZANIA VS KENYA by the way all the best for you our family we will always love you ❤❤❤
@neemamdami74663 ай бұрын
Nyie kama mmeamua kuingia mtaani ni kwasababu zenu nasi tutakuja kuingia kwasababu zetu msitulazimishe
@athumannyungundileki97993 ай бұрын
Kenya nimewavulia kofia naomba tuje tuwakodisha huku Tanzania
@DM_153 ай бұрын
Kenya iko na viongozi dhaifu na jeshi dhaifu matatizo haya tatuliwi kwa mabishano huo niujinga nautilus wakufikiri nakutokua nasubira kilakitu kinawekwa nakina tolewa kunahajagani watu kusumbuana hivyo, Acha mandamane sisi watanzania tutawapigia bao hapohapo wakati mnatatua migogoriyenu sisi tunawapita fyuuuu. Kengenyie
@athumannyungundileki97993 ай бұрын
@@DM_15 hahahahaaa ndugu yangu mtanzania mwenzangu unawapita Kenya kwenda wapi wakati sisi kila siku tunapandishiwa mikodi isiyo na kichwa Wala miguu na hatuna chochote tunaongea zaidi tunalalamikia kwenye mitandao tu.wenzetu wakenya wamethubutu na wamefanikiwa
@markende1703 ай бұрын
The guy in red iz well informed big ups from Kenya...the yellow fella just yapping and the silent dude nikaa hashikanishi any hahahahaha
@distantrelativesreception10933 ай бұрын
The guy in red knows what his is talking about...for real
@denniskkirwa25583 ай бұрын
The guy in yellow ni hypeman. The other guy didn't do his homework😂😂
@cmberasto27463 ай бұрын
Ni kweli 😂. Hiyo story nitamu kwake
@maroajames25803 ай бұрын
Buda😂😂😂ati hanyiti
@parismakki1773 ай бұрын
uweh na hiyo jina yako joh baana🤣 ibadilishe tu kiroho safi
@margaretnyambura88773 ай бұрын
Yani Kenyans ni moto kama pasi majirani washapata content maajabu haya😂
@Wamuyu-kw8zn3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nakwambia tx wamepata content
@ramak.95873 ай бұрын
GEN Z ni sawa na mafuriko usipotengeneza a good drainage system lazima yatakubeba
@alibinali_3 ай бұрын
Sri Lanka waliingia mpaka Parliament
@boazmisango97973 ай бұрын
Statehouse
@eastherthiga69913 ай бұрын
Na tukakula lunch yao😅😅..
@SeverinepauloPeter3 ай бұрын
Wasifi acheni umbeya mbona mlimkimbia lissu
@bryankibet15873 ай бұрын
Pia sisi kenya tuliingia,tukakula,tukaingia supreme Court,tukaingia kwa County
@jfabbyhussein68613 ай бұрын
Kenya tunaogopa aruc,simu kuisha moto na mafuriko bt siku changine I'm proud to be 254
@milkahwairimu5483 ай бұрын
Maumau rebbelions,they didnt have leaders they came out to fight for their rights
@raymondongus14043 ай бұрын
Someni katiba ya Kenya vizuri aisee (ipo mtanadaoni). Kuna jambo fiche mle ndani ... kuna kitu kitafanyika baada ya siku 14 na kimejificha ndani ya hiyo katiba!!! Vijana wameshagundua ukora tayari.
@AmazingMania3 ай бұрын
Hamna kabisa hilo lishapitwa na wakati....... Since he signed a memorandum of withdrawal, that bill cannot be gazetted
@janykavindu54983 ай бұрын
Dio maana hatutaki Mambo na finance bill, ruto must go that's what we want
@sekorobert44593 ай бұрын
The Gen-Z in Kenya, my motherland, are fighting for a common course... we are a democracy; lazima rais na wabunge wasikize malalamishi yetu.
@abbyftstevetv74443 ай бұрын
GEN Z is a generation that has nothing to lose...no kids no jobs just mare students in the Universities so we really support them as kenyans no retreat no surrendering
@ThobiasMarandu3 ай бұрын
Ninyi Akina Kitenge Fungeni Midomo Kabisa, Ninyi Ni Machawa, Hana Stahili ya Kuwasifia Wazalendo Kenya, Wakati Nyinyi Tanzania ni Machawa, Mlipelekwa Hata Dubai Kuhongwa na DP. Kuuza Bandari zetu zote Milele... Bloody Kima Nyie!
@Suzanapaskoqnkn7 күн бұрын
Kenya wapo vizuri kwenye maandamano tuache utani lkn tanzania 🇹🇿🇰🇪🌹🇹🇿🇹🇿😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mdebwedo
@CharlesElias-zh5hz3 ай бұрын
Kuna muda watawala wanajisahau sana. Hawaelewi kitaa watu wanaishi vip.
@noahlameck15643 ай бұрын
Iyo inaonyesha hakuna maelewano Kati ya rais na makamu wake
@picsandvidstv13483 ай бұрын
Wanajifanya tu. Hawa wawili wanaelewana vizuri
@fredrickotieno78473 ай бұрын
Gen zs na millennium tumechoka kwa utawala mbaya.lazima ruto atoke kwasababu raila kwasasa hayupo kutuwakilisha
@AllyBila3 ай бұрын
Wenzetu wanajielewa sio sisi tunaendeshwa kama manyumba,many umeamkaje, kuna freedom of speech means democracy hapa Tanzania nothing bure kabisa
@johnmwambire61983 ай бұрын
Kenya oeee👍.......tanzania tupo njiani
@evansthobias64603 ай бұрын
Tz utakamatwa weww
@omarybakunda25543 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@omarybakunda25543 ай бұрын
Peke yako
@meandme34373 ай бұрын
WA TZ AAAAAH WAAAPI!??? SUBUUTUUU😂😂😂😂 mtabaki na domo na story nyingi tu!!!.
@ramadhanmwandambotuntufye59723 ай бұрын
Watanzania hamna kitu, ni waoga hao sijapata kuona.
@MarkOchieng-z6s3 ай бұрын
Afanye kwa vitendo hatutaki maneno, anatudanganya kwa maneno
@RozzyGoldmukami3 ай бұрын
l din't know kenya is the topic everywhere,To our Genzs👏👏👏
@Jibambeshow254k3 ай бұрын
Tafadhali like zama Gen Z nione tuko wangapi humu pamoja n Tanzania 🇹🇿✌️😂
@georgemecha55653 ай бұрын
Hawa waogopa mimba tu na marriage certificate tu
@Waridi233 ай бұрын
tafadhali musilinganishe na arab spring kwa sababu arab spring ilikua sponsored na u.s , hii yetu ni ya wanachi wenyewe
@anthonymaina22153 ай бұрын
The guy in the hat is just listening 😂😂😂😂
@Wamuyu-kw8zn3 ай бұрын
😂😂😂😂
@atlatt-t8z3 ай бұрын
Kenya ni Moto 🔥🔥🔥🔥🔥
@jedidahbintidaudi82413 ай бұрын
haswaaaa...hawa jirani ni kiboko kwa kweli..Kenya oyeee!!!! ooyeeeeee!!!!!
@nibeeboy64823 ай бұрын
Ruto kapigwa tatu bila😂😂😂..jamaa wa maroon yuko poa sana
@DancanWakhu-bc6tg3 ай бұрын
Gen Z huku noma bro... Watoto ndo wanaamua huku Kenya
@Erico_2542 ай бұрын
Tuliingia Hadi supreme court nivile TU walificha hawakuwaambia😂😂😂😂
@moseskimani-ig7rp3 ай бұрын
Freedom comes at a cost ,watu 300 na wamekufa kwa kupigwa risasi 😢😢😢
@samirsaidi83863 ай бұрын
Kizazi cha 2000 cha tanzania ni tofaut na kenya sana hichi cha tanzania ni kizazi cha hamdala kiuno wao ni kujipodoa tu kama dada zao nakuwa mashoga bas ila kizazi cha kenya awee noma sana heshima kwao vijana wa 🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@BoazDillu3 ай бұрын
Ko.ushauri wako ni nn kama ww uko na uchungu na unajielewa chukua bango Ingia mtaani alafu sisitujifunze kwako
@Cultureupdates-w5r2 ай бұрын
Kizazi chetu kinanuka ngono nakudate na vibabu
@peninashungu66333 ай бұрын
Kweli kabisa mana ata walipo maliza ata hatujui waliishia wapi, ila na Leo wapo mpaka kieleweke
@williambenedict60743 ай бұрын
Im a Kenyan Gen-Z, He never rejected he withdrew.. We still watching, Ruto Must Go
@AmazingMania3 ай бұрын
He rejected it . He signed a memorandum of withdrawal. So it's done
@williambenedict60743 ай бұрын
@@AmazingManiau among the blindfooled goons.. Let's keep watching the whole Finicial Bill Netflix
@williambenedict60743 ай бұрын
@@AmazingManiau among the blindfooled goons.. Let's keep watching the whole Finicial Bill Netflix
@ThobiasMarandu3 ай бұрын
ATI WALIOSHIRIKI KUUZA BANDARI ZETU NAO WANA LA KUSEMA KUHUSU GEN-Z WA KENYA
@JohnPaul5363 ай бұрын
Sahii lengo letu ni Kumtoa Zakayo Mutoa ushuru Mamlakani
@martinnjeru31912 ай бұрын
Wakenya ni wasomi,wana hekima na hawafanyi mchezo.❤❤❤
@BensleyDRAKE2 ай бұрын
Gen Z widely accepted ni 97-2012 before hapo mpaka 1981 I think, Millenials alsafu past 2012 hawa ni Alpha moto kubwa but bado ni wadogo sahizi ni time ya GenZ
@djbushmeatfans98253 ай бұрын
Tukiamka tujipate hatuko busy sana na tuko na nguvu basi ndio hivo .tunaingia maandamano😅
@Kaida_Cut2543 ай бұрын
Nimependa vile mnachambua siasa ya Kenya Ila Sasa hata kwenu Tz mnafanya hivyo hivyo😅😅😅 jaribu na kitu chenu kifungwe Leo Leo 😅😅😅, Ila napenda vile mko mnafungua macho vijana wenu pia Ila shida vijana wenu ni mas....... Acha nipite
@winniegesy9822 ай бұрын
Twajua Article 115 of the constitution....tunangoja kuona kama bill tulireject,,watafanya trick gani kupitisha kipengee kipi, saa ngapi au lini
@vincentayua94353 ай бұрын
Sheria zakibepari hatuzitaki ndani ya Kenya 🇰🇪 na Afrika 🌍 kwa jumla, wamarekani wanalazimishia Rais wa Kenya nduli Ruto kutulazimishia sheria kwa manufaa ya benki ya dunia na IMF, Ruto ni kibaraka wa Biden, kwa nini wa kubali kupeana mikopo kwa serikali chini ya nduli Ruto, wakijua peupe kwamba hawa hawa viongozi ni mafisadi viwembe, tunakopa hela Kisha wanazipora alafu raia wanaongezewa ushuru ili deni lilipwe. Haiwezekani kamweeee 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@johniemarsha15613 ай бұрын
Soon tunaenda america kulipanishia mababu zetu ..we are coming to colonize you back...gen Z to the world 💪
@abelchacha59773 ай бұрын
Generation Z need the content.
@cyrusogongo94263 ай бұрын
Hiyo karatazi tu iraruriwe waziwazi
@AbuuZaijanRuu3 ай бұрын
Mimi ni Mkenya 🇰🇪 asili IDARA YA USALAMA WA TAIFA ULIKUWA SAWA ILA WAKAIPUUZA NA KUFANYA WATAKAYO WAO OUR DP RIGGY G IS TOTALLY WRONG THE "NIS" IS JUST A SKAPEGOAT
@BobErick-er6qm2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂natoka Nairobi but kuburuzwa hapana na raila akwende mbali yeye ni dalali wa siasa tumemgundua wacha cc Gen.z tupigane kama cc.
@tovinent14143 ай бұрын
tulikula mchele bungeni lakini nyinyi watanzania waoga nyie 🇰🇪💪
@MollisMulier2 ай бұрын
Wakenya tuko macho. Hatutakubali rais wetu kuharibu hii nchi. Kwa sasa amesign bill ya iebc - ili tuwatimue wabunge waliopiga yes. Cabinet leo wote wamefutwa kazi. Kenya haitarudi nyuma tena.
@phankaphares71343 ай бұрын
Mbona TiZi hamuisemei
@SalimKayato-mu1kn3 ай бұрын
Hawa vijana wamesoma,usiwaine hivo, atawaschana wakona ma degrees, PhD, masters nakuna kazi.wacha wanyoroshe inchi.
@DanielDeus-f1c3 ай бұрын
Tunafata pia tanzania
@masalakulwa76013 ай бұрын
sisi wajinga hatujitambui
@evansthobias64603 ай бұрын
Mh wewe bongo ni Mimi na wewe TU randa bongo Apa uandamane
@barakanatus56763 ай бұрын
Tanzania ukiwa unapanga tu hilo umeshadakwa.
@barakanatus56763 ай бұрын
Kenya usalama hawafanyi kazi
@parismakki1773 ай бұрын
@@barakanatus5676 sasa ata wakifanya kazi watashika wangapi ao wataua wangapi?na wakiuwa wote ao washike wote watabaki kuongoza kina nani ao kulinda kina nani?cz were not baking down the only thing hapa ni watusikilize ama tuungushe kenya mzima flat tuanze zero wote ala alaaa all we know is that uhuru hauji kiurahisi ivo lazima tuupiganie and we are here to fight for it till we get it,if not everyone will go down with us
@ZaidAKissinza3 ай бұрын
Naona Zembwela kanyamaza kiiiiimyaaaaa hatii neno, unaogopa mawe yatakayokufuata? Kama mawe mliyorushiwa mlipokwenda Dubai kuangalia utendaji wa DP World halafu mkaja na Uchawa chawa, mkatupiwa mawe mpaka basi.
@Omarjumanne-zm9zh3 ай бұрын
Viongozi wengi wa afika watapinduriwa sababu hawajari maisha bora kwa wana nchi
@sylvesterwanga78393 ай бұрын
Tuliingia mpaka Supreme Court.
@domin8423 ай бұрын
Waambie tuliingia Hadi mahakama kuu
@phaustineauma2672 ай бұрын
Sasa nyinyi KAZI nikudensiii komasavaa😅😅😅mtafika huku kweli
@Prettykathunzi3 ай бұрын
Ruto must go
@BensonNyasae3 ай бұрын
Hio Bunge tuliingia tukala mchele, samaki na kuku. Hawa wabunge vipi bana wee. Mmetuzoea sana😂
@abdulabdi17213 ай бұрын
Ila rais kakosea sana wananchi unasubiri mpaka watu wafe ndio wafanye marekebisho inamana yupo kwajili ya maslahi yake vijana mnajielewa hamjafanya vibaya
@JacksonMbites3 ай бұрын
GEN Z WA KENYA WAMETIKISA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI KOTE..WANAWEZA FANYA MAPINDUZI YA KISIASA
@brysonkaale30033 ай бұрын
Naoma mnatafuna maneno,wananchi kulitimua bunge tafsiri yake ni serika imepinduliwa!
@maminaaa57383 ай бұрын
yellow ni mkuu wa soga…. 😂, red ni mchambuzi, hongera wasafi
@joeliz43243 ай бұрын
we are Kenyans.... and that's what we do.....when you close the red line......
@ilynpayne74913 ай бұрын
Tanzania huku mkataba wa bandari una idhinishwa bungeni sisi tuna kubali imesha uzwa😂
@maggynowak35553 ай бұрын
Ruto ndiye anayewashauri washauri wake. Ule raisi gaidi sana. Atolewe kabisa
@joshuason5573 ай бұрын
Imagine demonstration and content at the same time 👏🏿✊🏿😂😅😅😅😅🇰🇪🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
@josephjoshuaogutu46893 ай бұрын
Wanasiasa wametuzoea kabisa.wanasahau wanafaa kututumikia sisi sababu tunawalipa kutoka kwa ushuru wetu.
nanyie kelele nyingi na unafki ndo mjifunze kua Kenya wanaume kweli sio kelele hamna kazi zingine
@MatikoHaruni-mp4su2 ай бұрын
Matako yenu Samia akiwa anaingia mikataba ya ajambu mnamsapot ila mambo ya Kenya mnavunga mnachambua kenge nyie wandishi wa habari hovyo sana
@Meaw6873 ай бұрын
GenZ are 1996 to 2008 borns After that ni Gen Alpha. Gen means Generation. Eg kuna gen mellinials. Gen x Gen boomers Wale wa ma 1808 Sijui wanaitwaje mesopotamia au? Comment mellinials
@ramadhanmwandambotuntufye59723 ай бұрын
Kitenge kazi ushabiki tu, nyinyi watanzania mnaweza kuandamana? Watanzania haswaaa wasomi ni waoga , ni wajinga, hawana uthubutu wanajali matumbo Yao. Watanzania tunaburuzwa na wanasiasa wanafanya wanavyotaka
@paulmachengo69232 ай бұрын
Mimi mkenya, napenda mjadala huu sanaa, hivyo ndivyo kulivyo.
@dorahy15793 ай бұрын
Sasa hivi wanataka kuingia State House
@zawadimbwambo10913 ай бұрын
Huku tz viongozi ni kama wanaongoza maiti tu. Yani maiti unaigeuza unavyotaka.
@Wami-Sababisho3 ай бұрын
Usione Zembwela hajaongeza neno ukajua hana neno ila anamengi anaona bora kukaa kimya asije akajaribu 😏😏.
@GeoffrySutko2 ай бұрын
Sisi huku kenya hatutaki mchezo kabisa nchi ni ya wanainchi hawa viongozi ndio sisi raia tuwaandika kazi
@sweet16honey753 ай бұрын
Wajomba zangu mama ni mbongo na Baba ni mkenya hatukubali kwa makodi makubwa makubwa na hatuoni Faida zake
@labunaabouna61223 ай бұрын
Nyinyi wa Tz km mambizotu nyinyi kazi yenu kelele kuangalia ya wenyewe nyiyi kulakula tu na mapenzi
@zuhuramuhanga54003 ай бұрын
bora amani kuliko kufa
@athumannyungundileki97993 ай бұрын
@@zuhuramuhanga5400 wewe unaamani ndugu yangu hiyo ndo fimbo wanayo tupigia wanasiasa wa kwetu tanzania.je umesikia taarifa zinatembea mitandaoni kuwa 2025 hakuna haja ya kufanya uchaguzi abaki rais huyu huyu we unaliona ni sawa.huo ujinga wanaweza wakauongea kenya
@janewanjiru3363 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@janewanjiru3363 ай бұрын
My dear kufa ni lazima, hatuwezi keti chini and d0 nothing with our taxes. Rip our heroes 😢
@BoazDillu3 ай бұрын
@@janewanjiru336mbona wewe hujakufa shujaa wa KZbin😂😂😂
@PrinceHendry-hp8vv3 ай бұрын
Kizazi hicho kwasisi tz vimeishia kwenye shisha na ngono huku vitu vyetu vinauzwa
@thiongokarari55163 ай бұрын
Wana Tanzania pia mkitaka tuusimamishe mswada wa fedha huko kwenu mtuite.