Mimi naona Abdul ameongea vizuri. X inatumika sana na viongozi duniani kote kuwasiliana na watu wao.
@jumbekibindo302117 күн бұрын
Ilaaaa baba levo anaaakiliiiii sanaaaaa
@toonstz77 күн бұрын
ushahidi ni kitendo cha kuruhusu kwenye policy zao msitafute visivyo vya maana mwishowe lengo halitaonekana.
@samwelkavwanga449116 күн бұрын
Baba levo hujui KUULIZA . Mwache dada wa watu afafanue vizur usi attack
@allykwaya12 күн бұрын
Msikilize Levo kwa makini utaelewa
@zaidiissa371417 күн бұрын
Baba levo nimtangazaji mwenye kipajikikubwa sana akipunguza vituko na akaongeza elimu pia atakua mtu mzuri katka jamii tatizo nikwamba haiwezekani kutoa kipaji chake cha comedian
@gilliardgodfriend574516 күн бұрын
Kwanza VITUKO NDIO VILIFANYA UKAMJUA PILI n kweli Elimu ya kalamu inasaidia ila Elimu dunia ndio maisha❤😂
@allykwaya12 күн бұрын
Kabisa
@jumbekibindo302117 күн бұрын
Hapaaaaa nundo 5 kawaida 2
@thadeusmihayo167517 күн бұрын
Baba leve anvesomaga hata diploma angekua mbaya sana
@fahadfaraj647417 күн бұрын
Kuna wangapi wenye masters Hawako hivyo? Ndugu elimu na kipaji ni vitu tofauti tumeaminishwa elimu ndio hukufanya uwe Bora ni kweli elimu muhimu ila haizuii kipaji kutake over . Ndio maana leo wasio na elimu hiyo ya makaratasi ndio wanalipwa zaidi kuliko wenye makaratasi, wanamichezo waigizaji watangazaji hususan huko duniani,
@user-rp1xx3vo4r17 күн бұрын
Kuna watu ni mahodari sana na wafaswaha sana katika kuongea na hata uongo akiuchacha nalia basi inakuwa ni ukweli
@samwelkavwanga449116 күн бұрын
Baba levo hujui kitu. Twitter ndo mtandao na jukwaa la watu wenye heshima na ndo mtandao MAKINI kabisa
@abdulhamidbasha210816 күн бұрын
Naona ww ndo hujui kitu, Twitter ilikuwa mtandao na jukwaa la watu wenye heshima but sa hiv inamilikiwa na mtu mwengine kwa hiyo inaendeshwa kivengine so don't compare BTW twitter and X
@Watema2316 күн бұрын
CCM wanataka kufunga X kwa sababu upinzania TZ wanafanya mjandala X space .
@ErnestMmeta-xu5gh6 күн бұрын
Baba levo mbona unaegemea upande mmoja mtangazaji inabidi uwe nutro
@kiotastar17919 күн бұрын
Nondo Yuko vizur lakini anakosea padogo
@iam_sami17 күн бұрын
Nondo mashineee
@kizzasadamj6292 күн бұрын
Mtoto wakiyisiramu, wa kike yani nimeshanga kazi moja anaoijua nikubwata tu😳
@jumbekibindo302117 күн бұрын
Huyu dada anaongea sanaaaa😂pointless
@gilliardgodfriend574516 күн бұрын
Hata wewe ni pointless maana ulisikiza ukosoe na sio upate elimu 😊😅😅
@jumbekibindo302116 күн бұрын
@@gilliardgodfriend5745 sawa mpenda ngono
@mohamedally2341Күн бұрын
Watoto wa chini ya 18 wenyew wengi wanatumia snap na tiktok huko X wapo watu wazima tu kwahy ni kujisumbua tu
@abouybaramia53417 күн бұрын
Ingachoic Mashallah nakuona kaka umekua unaongea hahaha maisha bana aise
@King_Of_Everything9 күн бұрын
👍✌️👊。
@gachalovetz26016 күн бұрын
Na baba levo kumbuka hiyo x sio tu ngono wanataka kuweka vailasi kwenye akili za waafrica naapo ajenda yao ni ngono ya jinsia moja baba love
@Chrisblaze-beats16 күн бұрын
Baba levo unamuuliza nondo maswali badala umuulize uyo wa ccm au waache waulizane wao we uwaongoze. Sio umshambulie nondo na maswali
@abrahamhabarugira248317 күн бұрын
Baba levo kufunga Twitter sio kosa ila kuna mambo mengi ya inci ya kuongeya Twitter ku post ngono sio shida sizani kama kuna mtuu mwenye akili yake anaweza kwenda kutafuta izo video so kufunga Twitter awajasahidiy kitu
@michaelbanda72814 күн бұрын
Hamna mwenyekitj apu 😂😂😂 BOGUS TREATY CCN inahaina mtu apo tatizo watu hawafikilii Hawaumizii vichwa kabla ya kuongea alafu na confidence kabisa anamuita ElON MUSK eti MARK X 😅😅😅😅
@ilynpayne749117 күн бұрын
Kusema kweli tiktok ina balaa yani sijawahi ona mtandao una umalaya kama tiktok sio sawa twitter ina elimisha sana sema tiktok ina haribu vijana tena wadada wana jiuza usiku
@1961nungwi16 күн бұрын
Mtandao wa X unatumiwa na Ikulu kubwa zaidi Duniani kama White House na Marais Duniani. Ni mtandao wa Kitaalamu zaidi.
@protamwenyegzaketv740813 күн бұрын
Wewe nondo acha ujinga wako, kwani wamesema ukiwa mpinzani ni lazima upingane na kila kitu. kumbuka social networks ni more accessible kwa watu wengi sana
@lameckbuya756916 күн бұрын
Kitu nimebaini Bado uhuru wa mwandishi (mtangazaji) Bado ni changamoto baba levo anasahau kuwa yeye anahost anaendesha mdahalo Kwa mlengo wa kutegemea upande Fulani !. 😂😂😂😂
@emmanuelmodest745715 күн бұрын
SHIDA NI MALENGO YA MTU KUINGIA X APP, WALA HAINA SHIDA SHIDA NI MTUMIAJI ANATAKA X APP?
@gachalovetz26016 күн бұрын
Kwanini tusitafute mitandao yetu mwenyewe africa wenye maadali ya africa
@sugumbeya17 күн бұрын
Tanzania penyewe watu wanaangalia video za ngono hata bila VPN, wewe andika kwa kiswahili kwenye google utaona video za ngono
@shaban664416 күн бұрын
Hebu acheni upuuzi, Huo mtandao ufungwe tuuu, Huyo dada nae anatetea kabisa usifungwe. Ni aibu ilioje.
@sayayzuia23235 күн бұрын
Sasa wewe kawaida na wenzako si muondoke huko X, mbona mpaka leo mpo huko, mmengaanza kujiondoa kwanza nyie UVCCM
@dronemiguel223017 күн бұрын
Hem watuonyeshe walipobadili ni wap half waje na uthibitisho mbona wengn hatuoni
@onesmonjandi567316 күн бұрын
Ila babalevo genius xan anafanya vitu ambavyo mtu wa degree angefanya
@gachalovetz26016 күн бұрын
Huyo dada akili akuna hapo
@kasaisatv976515 күн бұрын
Nani amemwambia huyu CCM kwamba tiktok haipatikani Marekani?
@valelianmbuma49317 күн бұрын
Huyo dada wa act uelewa wake mdogosana
@mapesa076217 күн бұрын
Mimi naweza kuletea ushahidi ata Leo Leo,,,tunaangalia sana xxx video Twitter
@Chrisblaze-beats16 күн бұрын
Ni Twitter tu zinapatikana?
@jochachallengetv706116 күн бұрын
Stop watching porno and start dating real people, fara wewe..
@kilinakoshengelo294416 күн бұрын
Pornography haiharibu maadili, inarahisisha maisha kwa ambao maadili yao yameharibika tayari
@modestkissima677115 күн бұрын
Walikua wanakataza wewe
@ramamabinda506317 күн бұрын
Huyu nondo nadhani kala hela ya watu, sasa anaitumikia kwa kutetea ujinga kabisa