#wasafi #wnews #salimkikeke Wnews imepata nafasi ya kupiga story na mtangazaji nguli kutoka shirika la utangazaji la BBC Salim Kikeke na kujua mambo mengi kususiana na safari yake ya utangazaji mpaka kufika BBC.
Пікірлер: 277
@wallesjohn57034 жыл бұрын
One love wasafi for life... Kekee.. Kitenge.. Zebwelaaa... Nawakubali kazi kaziii jonijoooo
@LyonWalker_4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@meshackemmanuelmasawe32824 жыл бұрын
Uyu anamuda uraiya wake tunamnyanganya cm mzalendo
@rumdeesonsoa18112 жыл бұрын
Na Millard Ayo
@faridifriction88054 жыл бұрын
The real meaning of follow ur passion , lazima ufanikiwe tu
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Huyu ni miongon mwa watangazaji niwapendao zaidi na nguli sana. Hongera piga kazi baba🔥😊.
@amosmasanyiwa41134 жыл бұрын
Me nampenda pia
@seifabdulsattar72234 жыл бұрын
Me nakupenda ww Munira Ahmed
@Jebbytamu4 жыл бұрын
Mambo vp munira ahmed
@thabitngangila85624 жыл бұрын
Mimi kakake muni anaetaka kumuoa alete mahari
@mussamdoe15564 жыл бұрын
Hi
@saadababy45304 жыл бұрын
Wote tuliopoteza mama zetu kama Salim kikeke tuseme RIP our lovely mothers
@rehemaaithumani30764 жыл бұрын
Allah awalaze mama zetu peponi🙏🙏
@allahisone63864 жыл бұрын
Allahumma Aamiin
@babaajnaty86294 жыл бұрын
Polen ndug zangu kw kuondokew Allah awaongoz n sis kw ujuml
@jofreymuhando71314 жыл бұрын
R.I.P My Mother
@manyakuulaompondelo44194 жыл бұрын
R.I.P mama yangu.
@christinapeter8104 жыл бұрын
Yaaan naipenda BBC kwa ajili yako Broo upo vzr saanaaa
@deogratiusdaud35774 жыл бұрын
Hongera Sana mtangazaji maana kumuhoji huyu nguri pia inahiraji umakini sana
@denisimaliyaweni91834 жыл бұрын
Kikeke ana sound good
@mvungigaming4 жыл бұрын
Good
@simphorozawaziri8084 жыл бұрын
NAKUBALI
@erickanania86754 жыл бұрын
Appreciate you Salim nakukubali sana
@khadijajuma38874 жыл бұрын
Una kipaji sana kaka MashaAllah
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Njooo huku wcb mambo ni arena
@zenamadhan25174 жыл бұрын
Karibu Usafini kaka Salim kikeke
@ibrahimlanga15044 жыл бұрын
Akuna era ya kumrip salmu kikeke
@dullerahmedy63254 жыл бұрын
Ibrahim Langa we ndo bos wa pale wa wasafi media Au cyo 😎
@musakiangio86194 жыл бұрын
Daah huyu jamaa namkubal saaana SALIM KIKEKE. Nimtangazaji na mwandish mahiri akiwa presenter napenda sana iwish all days, every day niki tune BBC swali nimkute yeye binafsi nampenda kwa ajili ya ALLAH...ALLAH ampe umri mrefu na mlindi dhidi ya mabaya aloyaumba Allah na yale yakisheytwan means wanadam wabaya. God bless you brother and your whole familly, thanx alot.
@bish_daddiyao4 жыл бұрын
Salim Nguli....Heko Zako🙌❣️🙌
@abdillahdirie74444 жыл бұрын
Nakubali sana kazi zako kikekeeee big up 👍👍
@devotharwilomba52454 жыл бұрын
Namkubari Sana Kaka salim kikeke
@alquinmadoro5824 жыл бұрын
Miongoni mwa watu wanao ni insipire katika maisha yngu miongoni ni huyu jamaa salim kikeke ,yuko humble,yuko cool pia ni mpambanaji,nakumbuka alikuwa akihojiwa kwenye kipindi cha ZUNGUMZA cha clouds tv alisema ana ndoto ya kumiliki hotel,nilifurahi sana na pia naamini amepigana sana mpaka hapo alipo ,kweli maisha yanatakiwa kupambana na kutokukata tamaa.
@leaherasto9294 жыл бұрын
Kabisa
@alquinmadoro5824 жыл бұрын
@@leaherasto929 yeah
@apostlegideon27124 жыл бұрын
I propose you guys to have two micro phones in your interviews, especially during this trying time of Corona virus
@LeeUfudu4 жыл бұрын
Point sijui vipi au hizo Mic zina bei kubwa uko Bongo
@sammysammy20014 жыл бұрын
Taarabu ndio zako kikeke nakuaminia usigeli taka nigekulaumu asante brooo
@dicksonshayo85584 жыл бұрын
moja ya mtangazaji anaenifanya nipende kuangalua Bbc
@hancemagembe82214 жыл бұрын
Mchaga og uko makini na ma swali yako safi
@LeeUfudu4 жыл бұрын
Dgo yupo poa sema ajaribu kutuliza hiyo mikono Ana swing saana ujue umeelewa
@ramadhanisuru18224 жыл бұрын
Salimu kikeke nakukubali sana kwautangazaji wako
@davidmrisho75884 жыл бұрын
Wasafi chama laooooo
@pudensianaepimack56274 жыл бұрын
Hivi kuna haja gani ya kushare mic au ni upungufu wa mic
@josephshangarima49984 жыл бұрын
Mchaga safi umewiva kijna
@youngtaiz83594 жыл бұрын
Mchaga og umetisha saan maswali safi
@sammysammy20014 жыл бұрын
Big up broo wafunze vijana
@jaydon33614 жыл бұрын
Unafanana na Maulid Kitenge
@kingsilvertz43464 жыл бұрын
Kikeke Ni mtangazaji Bora kabisa Tanzania, Na akitua wasafi tunamaliza kabisaaaa
@annasilayo14052 жыл бұрын
Kazeeka saivi
@pencelherrera12254 жыл бұрын
I lov this guy
@kedmonmjelwa34064 жыл бұрын
Hongera nafasi umeipambania
@Mosesy_Bright4 жыл бұрын
Good sanaaa😊
@selemanimsahani39194 жыл бұрын
Mchaga og nawe uko makini xana mkuu nimekukubali xana kwa leo interview na kikeke so kitu kidogo
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
Hii imekaa vizuri sana👏👏👏
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
Kikeke upo tz na zuhura yupo tz kwaraha zenu mnajiachia vitu urojo anjar
@rumdeesonsoa18112 жыл бұрын
Vp baby
@tawelabraham10474 жыл бұрын
Very bright
@mahmoudmswahili19284 жыл бұрын
Nampenda kwa moyo wote huyu ndio mwalimu mkubwa
@husseinjongo75884 жыл бұрын
Ila maisha ni safari ndefu sana.
@waltanissingo954 жыл бұрын
Likes kwa salim kikeke tunaomkubal wazee
@aminasalum92104 жыл бұрын
Upo. Vizuri kaka
@adamdaoudi85174 жыл бұрын
Mimi pia last Friday nilisikia wimbo wa Nandy Na Nusu VBO Lounge Enfield
@israelalphonce49604 жыл бұрын
Salimu kikeke nakukubali hongera
@realmanessau2204 жыл бұрын
"moja kw moja kutok London, hii n BBC" kw xaut y brother kikeke💪💪
@hijazhija3164 жыл бұрын
Passion
@mandelatz46454 жыл бұрын
sana kaka
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Ndio Maana ckuoni ckuizi BBC, Kumbe uko TZ KIKEKE, tushakumiss kwenye taarifa ya habar 😀
@lynusjacob67274 жыл бұрын
We Mamaa kiboko
@bright1154 жыл бұрын
Duuh yaan nshamtafta kiumbe huyu mpaka basi. 👌
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Hata sijui kaenda na ndege gani maana zimefungiwa kwa sababu ya Corona
@mussamkalawa21014 жыл бұрын
Brother Salim kikeke u a the best kwangu
@martinmhuwa46414 жыл бұрын
Keke
@josephinepeter73934 жыл бұрын
Mtangazaji unashawshi sijui kwa nn kamera aikuchukui sana
@najmaomari81274 жыл бұрын
Nakupenda sana jomba
@bahatisanduki50914 жыл бұрын
Nimekubari kikeke hasa kutangaza mpira na taarifa ya habari
@amirlehao89454 жыл бұрын
Oya kunyweni juice kwanza siyo mnaongea tu
@malackdickson26414 жыл бұрын
Tumekumiss sana Kikeke BBC
@walizanasiri4963 Жыл бұрын
Naangalia bbc kwa ajili yako nakupenda kikeke kaka
@shamilahkassimu76494 жыл бұрын
Loveeee youuuuuu broooooooooooo
@frankmaria67174 жыл бұрын
Hivi interview ndefu kama hii kwann mnapokezana Mic kwann kila mmoja asingukua na Mic yake ili mtiririko wa sauti usipotee?
@sehemunzuri4 жыл бұрын
Umeihandle vizuri sana hii interview Presenter
@jifunzenami31684 жыл бұрын
Interview Kali, haikupi muda wa kunywa juice
@arkammuslekh65824 жыл бұрын
Good
@mussamigeke98434 жыл бұрын
Good bro
@fikirijames57654 жыл бұрын
Yaani watu wa ajabu sana historia nzuri elimu nzuri lakin jitu linatoka huko lina dislike why????!!!!!
@LeeUfudu4 жыл бұрын
Walevi hao
@mariamjuma69594 жыл бұрын
Nampenda mimi uyu
@rosedaniel92104 жыл бұрын
Nakupenda bure bro salim kikeke
@barakaleader15504 жыл бұрын
Kikeke talented media personality
@omariwazirikibao19324 жыл бұрын
Sawa ni kitu Cha kiunwana kuwakaribisha wageni something like beverage ila nivizuri iwe served kwenye small glass sio majaki better mgeni anakize then aombe tena hayo mgeni anaogopa
@tinboy88154 жыл бұрын
You read my mind bro, people should style up
@ramseytz91944 жыл бұрын
Mbona Mic ni moja halafu midomo miwili.!! Ni rahisi sana Kama mmoja wao ana Kirusi au virus vya covid 19.kikeke unatushauri kila siku... sasa Leo how come... One Mic and Two mouths...?
@rusakanyohenry69324 жыл бұрын
Ni mungu tuu anatulinda na huu ugonjwa ila kiukweli ni ngumu Sana kuukwepa japo tunaweza punguza, imagine ukienda dukani hutopea change then hizo bidhaaa je, vipi kuhusu daladala. So mungu tuu anatulinda
@youngtaiz83594 жыл бұрын
@@rusakanyohenry6932 safi
@ramseytz91944 жыл бұрын
Rusakanyo Henry@ Bahati nzuri au mbaya Huku nilipo Nchini Spain. Serikali ya huku imepiga marufuku mtu kutoka nje ya nyumba bila sababu maalum. Hivyo basi tupo ndani kwa muda wa siku 30 na baadhi ya kampuni zimefungwa. Maduka ya vyakula tu ndo yapo wazi mengine yote yamefungwa. Ukitoka nje bila sababu utakutana na police na Faini yake ni €600 au €6000.
@ramseytz91944 жыл бұрын
Huku nilipo Nchini Spain. Hali ya raia wote ni kama wafungwa. Hakuna kutoka nje. Na ukitoka nje.. ni kwenda kutupa uchafu na kwenda supermarket au kumpeleka mbwa kwenda kujisaidia, na inachukua 5 or 10min ikizidi hapo ukikutwa na police uwe na vielelezo vya kutosha. Na ukienda na ukitoka supermarket uwe na risit. Hiyo itakusaidia kwa police. Faini ya hayo makosa ni €600 au €6000.
@iluminathawilliam65494 жыл бұрын
@@ramseytz9194 duuu mungu atupe wepesi
@kachabisnea88154 жыл бұрын
Uyu muhuni sana eti nilimuliza demu mmoja ivi
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
Namjua huko BBC Portland Place
@k2channel944 жыл бұрын
Km unamkbl salum kikeke gonga like Tuwe pamoja
@nzalalilajr21454 жыл бұрын
nikasikia beat la chibu
@franshyera89704 жыл бұрын
iyo juice itaharibika Sasa maana Amnywi
@iammusic34044 жыл бұрын
Lol!😂😂😂😷
@willamsigwa7404 жыл бұрын
Umenifanya nicheke sana mm hyo ningemmna
@burhaanmamboleo35514 жыл бұрын
Muwe na mike mbili bhanaa!!
@watakaniitaje12154 жыл бұрын
Yaani Kikeke yupo simple hana mabiiiiiig
@mathewlive13724 жыл бұрын
Kikeke nimekubal sana ulivojibu hilo swal la wasanii watatu unaowapenda. Si kila swali unatakiwa kujib hasa kwa nafasi uliyopo.
@khalfanibagambi81874 жыл бұрын
Uyo mchag kwann amjamwandikia maswar ya kumwoji Salim Kikeke maan naon kam vile ana log number
@allymlanzi1394 жыл бұрын
Daaa juice imekuapambooo mweee
@shaabanramadhan67704 жыл бұрын
Unapo muhoji kikeke unatakiwa uwe na ufanisi mzuri wakazi na pia upeo wakuweza kumuhoji maswali yaliyo jikita ktk nyanja mbali mbali zenye tija ambazo anaweza kujibu bila ya kusita ila km presenter kazoea kuhoji umbea basi watazamaji hawatofaidika na majibu ya muhojiwa hivo basi nivizuri nguli akahojiwa na nguli mweziye ili maswali na majibu yawe sawa
@alhajisabigoro24082 жыл бұрын
Mpaka Interview Iminaisha juice hamjapunguza ata kidogo
@emanuelkiluwa43604 жыл бұрын
Ukweli nami ni mshabiki wa salimu kikeke tangu akiwa itv nampenda sn.
@drfrankfaustine54694 жыл бұрын
Namkubali sana
@najma32684 жыл бұрын
الأخ كيكي اللغة أود أن يتم إجراء مقابلة وحتى أعلن
@mustaphahassan5894 жыл бұрын
Najma 3 تعال انا موجود
@hemedymbaga1954 жыл бұрын
Eh,
@mussaayubu57064 жыл бұрын
kikeke safi xana
@franshyera89704 жыл бұрын
Kikeke uko juu
@fatnahsaleh8604 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@owlbig4 жыл бұрын
Nice interview
@Hopestone_counselling_point.4 жыл бұрын
Hizo juice mnawekaga za nn sasa mbn huwa hamzinywi....!!!
@doktamathew4 жыл бұрын
🔬🔬🔬🔬🔬
@bahatiwaziri73004 жыл бұрын
nakubali
@anthonybenjamin1014 жыл бұрын
The microphone can be an instrument to pass corona, plz kila mtu akuwe na microphone yake
@leonardmeshack26614 жыл бұрын
Salim mbona mmejaza juice mpaka juu kwani Ulaya hakuna matunda 🤣🤣🤣
@LeeUfudu4 жыл бұрын
Kule zipo za bandia
@jessejohn99714 жыл бұрын
Salim yupo OK..
@angelustungaraza81922 жыл бұрын
Bwana Kikeke nawezaje kupata contact zake hasa kwa njia ya mitandao,email nk!!!
@devihasani1102 жыл бұрын
Kazi ya BBC niktangazia africa mabaya
@dulaboy54074 жыл бұрын
Wcb4life
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Oxford street West London na Nando's wanapiga nyimbo za Africa ingawa wanaweka sauti chini.
@wilsonwafulachebokati49334 жыл бұрын
Salim Asalm Alkum sir
@maidimples82364 жыл бұрын
Good bro, much love to u and Zuhura yunus one day i will be like u guys
@franktimothkisimbo53544 жыл бұрын
Mtangazaji unaeuliza maswali toa muda hata dk 2 Bwan. Kikeke apige fundo la juice
@basharahamtzhalisi68714 жыл бұрын
Siangalii tena BBC kama SALIM kaondoka.😅😅😅😅😅😅
@msowanelson54524 жыл бұрын
Hayo majuice si mnakunywa marangi tu hayo
@msowanelson54524 жыл бұрын
Kumbe sio juice eee
@alhabibnachoaly30184 жыл бұрын
anko dira inakumiss sana ndio naona kumepoa kumbe uko bongo