SALIM KIKEKE:NILIHISI NABANIWA/NILIKOSA KAZI KISA KUTAFUNA BIGIJII/KITENGE ANANISHAWISHI NIJE WASAFI

  Рет қаралды 170,109

Wasafi Media

Wasafi Media

4 жыл бұрын

#wasafi #wnews #salimkikeke
Wnews imepata nafasi ya kupiga story na mtangazaji nguli kutoka shirika la utangazaji la BBC Salim Kikeke na kujua mambo mengi kususiana na safari yake ya utangazaji mpaka kufika BBC.

Пікірлер: 277
@wallesjohn5703
@wallesjohn5703 4 жыл бұрын
One love wasafi for life... Kekee.. Kitenge.. Zebwelaaa... Nawakubali kazi kaziii jonijoooo
@LyonWalker_
@LyonWalker_ 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@meshackemmanuelmasawe3282
@meshackemmanuelmasawe3282 4 жыл бұрын
Uyu anamuda uraiya wake tunamnyanganya cm mzalendo
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 2 жыл бұрын
Na Millard Ayo
@faridifriction8805
@faridifriction8805 4 жыл бұрын
The real meaning of follow ur passion , lazima ufanikiwe tu
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Huyu ni miongon mwa watangazaji niwapendao zaidi na nguli sana. Hongera piga kazi baba🔥😊.
@amosmasanyiwa4113
@amosmasanyiwa4113 4 жыл бұрын
Me nampenda pia
@seifabdulsattar7223
@seifabdulsattar7223 4 жыл бұрын
Me nakupenda ww Munira Ahmed
@Jebbytamu
@Jebbytamu 4 жыл бұрын
Mambo vp munira ahmed
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 4 жыл бұрын
Mimi kakake muni anaetaka kumuoa alete mahari
@mussamdoe1556
@mussamdoe1556 4 жыл бұрын
Hi
@saadababy4530
@saadababy4530 4 жыл бұрын
Wote tuliopoteza mama zetu kama Salim kikeke tuseme RIP our lovely mothers
@rehemaaithumani3076
@rehemaaithumani3076 4 жыл бұрын
Allah awalaze mama zetu peponi🙏🙏
@allahisone6386
@allahisone6386 4 жыл бұрын
Allahumma Aamiin
@babaajnaty8629
@babaajnaty8629 4 жыл бұрын
Polen ndug zangu kw kuondokew Allah awaongoz n sis kw ujuml
@jofreymuhando7131
@jofreymuhando7131 4 жыл бұрын
R.I.P My Mother
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 4 жыл бұрын
R.I.P mama yangu.
@christinapeter810
@christinapeter810 4 жыл бұрын
Yaaan naipenda BBC kwa ajili yako Broo upo vzr saanaaa
@deogratiusdaud3577
@deogratiusdaud3577 4 жыл бұрын
Hongera Sana mtangazaji maana kumuhoji huyu nguri pia inahiraji umakini sana
@denisimaliyaweni9183
@denisimaliyaweni9183 4 жыл бұрын
Kikeke ana sound good
@mvungigaming
@mvungigaming 4 жыл бұрын
Good
@simphorozawaziri808
@simphorozawaziri808 4 жыл бұрын
NAKUBALI
@erickanania8675
@erickanania8675 4 жыл бұрын
Appreciate you Salim nakukubali sana
@khadijajuma3887
@khadijajuma3887 4 жыл бұрын
Una kipaji sana kaka MashaAllah
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Njooo huku wcb mambo ni arena
@zenamadhan2517
@zenamadhan2517 4 жыл бұрын
Karibu Usafini kaka Salim kikeke
@ibrahimlanga1504
@ibrahimlanga1504 4 жыл бұрын
Akuna era ya kumrip salmu kikeke
@dullerahmedy6325
@dullerahmedy6325 4 жыл бұрын
Ibrahim Langa we ndo bos wa pale wa wasafi media Au cyo 😎
@musakiangio8619
@musakiangio8619 4 жыл бұрын
Daah huyu jamaa namkubal saaana SALIM KIKEKE. Nimtangazaji na mwandish mahiri akiwa presenter napenda sana iwish all days, every day niki tune BBC swali nimkute yeye binafsi nampenda kwa ajili ya ALLAH...ALLAH ampe umri mrefu na mlindi dhidi ya mabaya aloyaumba Allah na yale yakisheytwan means wanadam wabaya. God bless you brother and your whole familly, thanx alot.
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 4 жыл бұрын
Salim Nguli....Heko Zako🙌❣️🙌
@abdillahdirie7444
@abdillahdirie7444 4 жыл бұрын
Nakubali sana kazi zako kikekeeee big up 👍👍
@devotharwilomba5245
@devotharwilomba5245 4 жыл бұрын
Namkubari Sana Kaka salim kikeke
@alquinmadoro582
@alquinmadoro582 4 жыл бұрын
Miongoni mwa watu wanao ni insipire katika maisha yngu miongoni ni huyu jamaa salim kikeke ,yuko humble,yuko cool pia ni mpambanaji,nakumbuka alikuwa akihojiwa kwenye kipindi cha ZUNGUMZA cha clouds tv alisema ana ndoto ya kumiliki hotel,nilifurahi sana na pia naamini amepigana sana mpaka hapo alipo ,kweli maisha yanatakiwa kupambana na kutokukata tamaa.
@leaherasto929
@leaherasto929 4 жыл бұрын
Kabisa
@alquinmadoro582
@alquinmadoro582 4 жыл бұрын
@@leaherasto929 yeah
@apostlegideon2712
@apostlegideon2712 4 жыл бұрын
I propose you guys to have two micro phones in your interviews, especially during this trying time of Corona virus
@LeeUfudu
@LeeUfudu 4 жыл бұрын
Point sijui vipi au hizo Mic zina bei kubwa uko Bongo
@sammysammy2001
@sammysammy2001 4 жыл бұрын
Taarabu ndio zako kikeke nakuaminia usigeli taka nigekulaumu asante brooo
@dicksonshayo8558
@dicksonshayo8558 4 жыл бұрын
moja ya mtangazaji anaenifanya nipende kuangalua Bbc
@hancemagembe8221
@hancemagembe8221 4 жыл бұрын
Mchaga og uko makini na ma swali yako safi
@LeeUfudu
@LeeUfudu 4 жыл бұрын
Dgo yupo poa sema ajaribu kutuliza hiyo mikono Ana swing saana ujue umeelewa
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 4 жыл бұрын
Salimu kikeke nakukubali sana kwautangazaji wako
@davidmrisho7588
@davidmrisho7588 4 жыл бұрын
Wasafi chama laooooo
@pudensianaepimack5627
@pudensianaepimack5627 4 жыл бұрын
Hivi kuna haja gani ya kushare mic au ni upungufu wa mic
@josephshangarima4998
@josephshangarima4998 4 жыл бұрын
Mchaga safi umewiva kijna
@youngtaiz8359
@youngtaiz8359 4 жыл бұрын
Mchaga og umetisha saan maswali safi
@sammysammy2001
@sammysammy2001 4 жыл бұрын
Big up broo wafunze vijana
@jaydon3361
@jaydon3361 4 жыл бұрын
Unafanana na Maulid Kitenge
@kingsilvertz4346
@kingsilvertz4346 4 жыл бұрын
Kikeke Ni mtangazaji Bora kabisa Tanzania, Na akitua wasafi tunamaliza kabisaaaa
@annasilayo1405
@annasilayo1405 2 жыл бұрын
Kazeeka saivi
@pencelherrera1225
@pencelherrera1225 4 жыл бұрын
I lov this guy
@kedmonmjelwa3406
@kedmonmjelwa3406 4 жыл бұрын
Hongera nafasi umeipambania
@Mosesy_Bright
@Mosesy_Bright 4 жыл бұрын
Good sanaaa😊
@selemanimsahani3919
@selemanimsahani3919 4 жыл бұрын
Mchaga og nawe uko makini xana mkuu nimekukubali xana kwa leo interview na kikeke so kitu kidogo
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 4 жыл бұрын
Hii imekaa vizuri sana👏👏👏
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 4 жыл бұрын
Kikeke upo tz na zuhura yupo tz kwaraha zenu mnajiachia vitu urojo anjar
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 2 жыл бұрын
Vp baby
@tawelabraham1047
@tawelabraham1047 4 жыл бұрын
Very bright
@mahmoudmswahili1928
@mahmoudmswahili1928 4 жыл бұрын
Nampenda kwa moyo wote huyu ndio mwalimu mkubwa
@husseinjongo7588
@husseinjongo7588 4 жыл бұрын
Ila maisha ni safari ndefu sana.
@waltanissingo95
@waltanissingo95 4 жыл бұрын
Likes kwa salim kikeke tunaomkubal wazee
@aminasalum9210
@aminasalum9210 4 жыл бұрын
Upo. Vizuri kaka
@adamdaoudi8517
@adamdaoudi8517 4 жыл бұрын
Mimi pia last Friday nilisikia wimbo wa Nandy Na Nusu VBO Lounge Enfield
@israelalphonce4960
@israelalphonce4960 4 жыл бұрын
Salimu kikeke nakukubali hongera
@realmanessau220
@realmanessau220 4 жыл бұрын
"moja kw moja kutok London, hii n BBC" kw xaut y brother kikeke💪💪
@hijazhija316
@hijazhija316 4 жыл бұрын
Passion
@mandelatz4645
@mandelatz4645 4 жыл бұрын
sana kaka
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 жыл бұрын
Ndio Maana ckuoni ckuizi BBC, Kumbe uko TZ KIKEKE, tushakumiss kwenye taarifa ya habar 😀
@lynusjacob6727
@lynusjacob6727 4 жыл бұрын
We Mamaa kiboko
@bright115
@bright115 4 жыл бұрын
Duuh yaan nshamtafta kiumbe huyu mpaka basi. 👌
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 жыл бұрын
Hata sijui kaenda na ndege gani maana zimefungiwa kwa sababu ya Corona
@mussamkalawa2101
@mussamkalawa2101 4 жыл бұрын
Brother Salim kikeke u a the best kwangu
@martinmhuwa4641
@martinmhuwa4641 4 жыл бұрын
Keke
@josephinepeter7393
@josephinepeter7393 4 жыл бұрын
Mtangazaji unashawshi sijui kwa nn kamera aikuchukui sana
@najmaomari8127
@najmaomari8127 4 жыл бұрын
Nakupenda sana jomba
@bahatisanduki5091
@bahatisanduki5091 4 жыл бұрын
Nimekubari kikeke hasa kutangaza mpira na taarifa ya habari
@amirlehao8945
@amirlehao8945 4 жыл бұрын
Oya kunyweni juice kwanza siyo mnaongea tu
@malackdickson2641
@malackdickson2641 4 жыл бұрын
Tumekumiss sana Kikeke BBC
@walizanasiri4963
@walizanasiri4963 Жыл бұрын
Naangalia bbc kwa ajili yako nakupenda kikeke kaka
@shamilahkassimu7649
@shamilahkassimu7649 4 жыл бұрын
Loveeee youuuuuu broooooooooooo
@frankmaria6717
@frankmaria6717 4 жыл бұрын
Hivi interview ndefu kama hii kwann mnapokezana Mic kwann kila mmoja asingukua na Mic yake ili mtiririko wa sauti usipotee?
@sehemunzuri
@sehemunzuri 4 жыл бұрын
Umeihandle vizuri sana hii interview Presenter
@jifunzenami3168
@jifunzenami3168 4 жыл бұрын
Interview Kali, haikupi muda wa kunywa juice
@arkammuslekh6582
@arkammuslekh6582 4 жыл бұрын
Good
@mussamigeke9843
@mussamigeke9843 4 жыл бұрын
Good bro
@fikirijames5765
@fikirijames5765 4 жыл бұрын
Yaani watu wa ajabu sana historia nzuri elimu nzuri lakin jitu linatoka huko lina dislike why????!!!!!
@LeeUfudu
@LeeUfudu 4 жыл бұрын
Walevi hao
@mariamjuma6959
@mariamjuma6959 4 жыл бұрын
Nampenda mimi uyu
@rosedaniel9210
@rosedaniel9210 4 жыл бұрын
Nakupenda bure bro salim kikeke
@barakaleader1550
@barakaleader1550 4 жыл бұрын
Kikeke talented media personality
@omariwazirikibao1932
@omariwazirikibao1932 4 жыл бұрын
Sawa ni kitu Cha kiunwana kuwakaribisha wageni something like beverage ila nivizuri iwe served kwenye small glass sio majaki better mgeni anakize then aombe tena hayo mgeni anaogopa
@tinboy8815
@tinboy8815 4 жыл бұрын
You read my mind bro, people should style up
@ramseytz9194
@ramseytz9194 4 жыл бұрын
Mbona Mic ni moja halafu midomo miwili.!! Ni rahisi sana Kama mmoja wao ana Kirusi au virus vya covid 19.kikeke unatushauri kila siku... sasa Leo how come... One Mic and Two mouths...?
@rusakanyohenry6932
@rusakanyohenry6932 4 жыл бұрын
Ni mungu tuu anatulinda na huu ugonjwa ila kiukweli ni ngumu Sana kuukwepa japo tunaweza punguza, imagine ukienda dukani hutopea change then hizo bidhaaa je, vipi kuhusu daladala. So mungu tuu anatulinda
@youngtaiz8359
@youngtaiz8359 4 жыл бұрын
@@rusakanyohenry6932 safi
@ramseytz9194
@ramseytz9194 4 жыл бұрын
Rusakanyo Henry@ Bahati nzuri au mbaya Huku nilipo Nchini Spain. Serikali ya huku imepiga marufuku mtu kutoka nje ya nyumba bila sababu maalum. Hivyo basi tupo ndani kwa muda wa siku 30 na baadhi ya kampuni zimefungwa. Maduka ya vyakula tu ndo yapo wazi mengine yote yamefungwa. Ukitoka nje bila sababu utakutana na police na Faini yake ni €600 au €6000.
@ramseytz9194
@ramseytz9194 4 жыл бұрын
Huku nilipo Nchini Spain. Hali ya raia wote ni kama wafungwa. Hakuna kutoka nje. Na ukitoka nje.. ni kwenda kutupa uchafu na kwenda supermarket au kumpeleka mbwa kwenda kujisaidia, na inachukua 5 or 10min ikizidi hapo ukikutwa na police uwe na vielelezo vya kutosha. Na ukienda na ukitoka supermarket uwe na risit. Hiyo itakusaidia kwa police. Faini ya hayo makosa ni €600 au €6000.
@iluminathawilliam6549
@iluminathawilliam6549 4 жыл бұрын
@@ramseytz9194 duuu mungu atupe wepesi
@kachabisnea8815
@kachabisnea8815 4 жыл бұрын
Uyu muhuni sana eti nilimuliza demu mmoja ivi
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 жыл бұрын
Namjua huko BBC Portland Place
@k2channel94
@k2channel94 4 жыл бұрын
Km unamkbl salum kikeke gonga like Tuwe pamoja
@nzalalilajr2145
@nzalalilajr2145 4 жыл бұрын
nikasikia beat la chibu
@franshyera8970
@franshyera8970 4 жыл бұрын
iyo juice itaharibika Sasa maana Amnywi
@iammusic3404
@iammusic3404 4 жыл бұрын
Lol!😂😂😂😷
@willamsigwa740
@willamsigwa740 4 жыл бұрын
Umenifanya nicheke sana mm hyo ningemmna
@burhaanmamboleo3551
@burhaanmamboleo3551 4 жыл бұрын
Muwe na mike mbili bhanaa!!
@watakaniitaje1215
@watakaniitaje1215 4 жыл бұрын
Yaani Kikeke yupo simple hana mabiiiiiig
@mathewlive1372
@mathewlive1372 4 жыл бұрын
Kikeke nimekubal sana ulivojibu hilo swal la wasanii watatu unaowapenda. Si kila swali unatakiwa kujib hasa kwa nafasi uliyopo.
@khalfanibagambi8187
@khalfanibagambi8187 4 жыл бұрын
Uyo mchag kwann amjamwandikia maswar ya kumwoji Salim Kikeke maan naon kam vile ana log number
@allymlanzi139
@allymlanzi139 4 жыл бұрын
Daaa juice imekuapambooo mweee
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 жыл бұрын
Unapo muhoji kikeke unatakiwa uwe na ufanisi mzuri wakazi na pia upeo wakuweza kumuhoji maswali yaliyo jikita ktk nyanja mbali mbali zenye tija ambazo anaweza kujibu bila ya kusita ila km presenter kazoea kuhoji umbea basi watazamaji hawatofaidika na majibu ya muhojiwa hivo basi nivizuri nguli akahojiwa na nguli mweziye ili maswali na majibu yawe sawa
@alhajisabigoro2408
@alhajisabigoro2408 2 жыл бұрын
Mpaka Interview Iminaisha juice hamjapunguza ata kidogo
@emanuelkiluwa4360
@emanuelkiluwa4360 4 жыл бұрын
Ukweli nami ni mshabiki wa salimu kikeke tangu akiwa itv nampenda sn.
@drfrankfaustine5469
@drfrankfaustine5469 4 жыл бұрын
Namkubali sana
@najma3268
@najma3268 4 жыл бұрын
الأخ كيكي اللغة أود أن يتم إجراء مقابلة وحتى أعلن
@mustaphahassan589
@mustaphahassan589 4 жыл бұрын
Najma 3 تعال انا موجود
@hemedymbaga195
@hemedymbaga195 4 жыл бұрын
Eh,
@mussaayubu5706
@mussaayubu5706 4 жыл бұрын
kikeke safi xana
@franshyera8970
@franshyera8970 4 жыл бұрын
Kikeke uko juu
@fatnahsaleh860
@fatnahsaleh860 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@owlbig
@owlbig 4 жыл бұрын
Nice interview
@Hopestone_counselling_point.
@Hopestone_counselling_point. 4 жыл бұрын
Hizo juice mnawekaga za nn sasa mbn huwa hamzinywi....!!!
@doktamathew
@doktamathew 4 жыл бұрын
🔬🔬🔬🔬🔬
@bahatiwaziri7300
@bahatiwaziri7300 4 жыл бұрын
nakubali
@anthonybenjamin101
@anthonybenjamin101 4 жыл бұрын
The microphone can be an instrument to pass corona, plz kila mtu akuwe na microphone yake
@leonardmeshack2661
@leonardmeshack2661 4 жыл бұрын
Salim mbona mmejaza juice mpaka juu kwani Ulaya hakuna matunda 🤣🤣🤣
@LeeUfudu
@LeeUfudu 4 жыл бұрын
Kule zipo za bandia
@jessejohn9971
@jessejohn9971 4 жыл бұрын
Salim yupo OK..
@angelustungaraza8192
@angelustungaraza8192 2 жыл бұрын
Bwana Kikeke nawezaje kupata contact zake hasa kwa njia ya mitandao,email nk!!!
@devihasani110
@devihasani110 2 жыл бұрын
Kazi ya BBC niktangazia africa mabaya
@dulaboy5407
@dulaboy5407 4 жыл бұрын
Wcb4life
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 жыл бұрын
Oxford street West London na Nando's wanapiga nyimbo za Africa ingawa wanaweka sauti chini.
@wilsonwafulachebokati4933
@wilsonwafulachebokati4933 4 жыл бұрын
Salim Asalm Alkum sir
@maidimples8236
@maidimples8236 4 жыл бұрын
Good bro, much love to u and Zuhura yunus one day i will be like u guys
@franktimothkisimbo5354
@franktimothkisimbo5354 4 жыл бұрын
Mtangazaji unaeuliza maswali toa muda hata dk 2 Bwan. Kikeke apige fundo la juice
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 4 жыл бұрын
Siangalii tena BBC kama SALIM kaondoka.😅😅😅😅😅😅
@msowanelson5452
@msowanelson5452 4 жыл бұрын
Hayo majuice si mnakunywa marangi tu hayo
@msowanelson5452
@msowanelson5452 4 жыл бұрын
Kumbe sio juice eee
@alhabibnachoaly3018
@alhabibnachoaly3018 4 жыл бұрын
anko dira inakumiss sana ndio naona kumepoa kumbe uko bongo
MAAJABU YA JANGWA LENYE MIUJIZA YA KUTISHA LILILOPO MEXICO
16:21
Wasafi Media
Рет қаралды 2,2 МЛН
Middle Class FOOLED Once Again? | Budget 2024 | Dhruv Rathee
20:09
Dhruv Rathee
Рет қаралды 13 МЛН
SURPRISE..!! Baba DIAMOND Akutanishwa na JK COMEDIAN/Asifanye Upuuzi
12:08
БУКЕТ МЕЧТЫ НАСТОЯЩЕЙ СЛАДКОЕЖКИ😂😂😂
0:19
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 3,8 МЛН
Фильм про побег от родителей
0:59
Holy Baam
Рет қаралды 4 МЛН
ХОТЕЛ ПОТОПИТЬ ДЖЕКА, НО НЕ ВЫШЛО
0:51
Tasty Series
Рет қаралды 1 МЛН