Рет қаралды 196,827
Kutoka katika Maktaba yetu, haya ni mahojiano maalum na Mbunge John Heche, wa Jimbo la Tarime Vijijini kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, uongozi na utatuzi wa changamoto katika sekta mbalimbali.
Karibu uweze kutazama mazungumzo haya na bila shaka utaweza kuongeza taarifa, maarifa na ujuzi zaidi.
Host:
Charles William
Zembwela
#MsumariWaMoto #GoodMorning #NiUshindiTu