Eng. Hersi shikamoo.. Unajua kuyumbusha watu ad momo anadanganya umma
@victorvenance100925 күн бұрын
Hakuna timu ya kufanya usajili wa Bilion 3 kwa mwaka mmoja kwenye ligi ya Tanzania.
@joshuanyaulingo410925 күн бұрын
kaa hvo hvoo sas
@faustinombilinyi980924 күн бұрын
Dora laki tano sawa na 1.3b
@piuskusenge-jf2ob25 күн бұрын
Momo kwa mikwala cheki alivyomuigiza tajiri alivyoshika sigara 😂😂😂
@amosmemba992625 күн бұрын
Aziz Ki huyooooo
@user-sy3mj5gh5g25 күн бұрын
Zaa ndani nakutukana kwa furaha kudadadekiii zako
@StephanoFrance25 күн бұрын
Aaah ila leo mzee wa za ndani umetupa laha sana wa lunyasi
@user-iv1it9yy3c25 күн бұрын
Shajua kama injinia aje simba hata leta mgogoro mkubwa bora auzwe huko kaizer sio makolo nae shuka thamani timu ashirk klabu bingwa
@barakayusuph461725 күн бұрын
wew amka aziz ki yuko huru sasa mtamuuzaje chura wew😂😂
@chamyluna803025 күн бұрын
Lilisikika pumbavu likiongea 😢😢😢😢
@JumaSuleiman-np3eb25 күн бұрын
Wivu tu
@onesmothimos263525 күн бұрын
Ujui kuandika nenda shule choko wewe
@venancemwanya421225 күн бұрын
Yanga hana mamlaka ya kumuuza Aziz k.Aziz ki yuko hurt hana mkataba na timu yoyote.
@hendrixmarvel738725 күн бұрын
Naombeni likes jaman😅
@samirshabani-yu4xu25 күн бұрын
Omba nduguzako mshamba wewe
@saeedmagoda965125 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣@@samirshabani-yu4xu
@azizymachadeson357724 күн бұрын
Azizi Ally labda hhahaaaaaaa Azizi ki Jangwani yupo sana sajilini kina Debora tuleteeni na Mwajuma 😂😂
@armytonegt389719 күн бұрын
Vp kuhus joyce
@harounzuberi817925 күн бұрын
Sospiter Bajuna huyo😅😅😅😅
@georgesheto454225 күн бұрын
Azizi k to simba like za kutosha apa
@Veni58425 күн бұрын
Akacheze shirikisho
@IbniAbbas-yz3kt25 күн бұрын
@@Veni584mjomba watu wanaangalia pesa hilo shirikisho halimpunguzii wala halimungezei kitu
@bone10225 күн бұрын
@@Veni584kama Ahly timu ya 1 Africa ilicheza shirikisho mwaka 2014 kuna kitu gan cha ajabu zaid Simba ambaye ni ya 5 Africa kucheza shirikisho wachezaji wanaangalia timu gani ina muendelezo na sio timu ndo inajifunza kwenye club bingwa mara ya 2 na hamna uhakika mtaingia group stage
@YOSHUAMWAMPETA25 күн бұрын
JE YA KWELI HAYO ?
@alfonceanton227325 күн бұрын
@@Veni584Kwani wakati anakuja nyuma mwiko mlikuwa mnashiriki mashindano gani?
@evdsam728624 күн бұрын
Huyu jamaa anatabia za kikekike sana, anavyodanganya mpaka sura inaonesha ukike ndani yake
@jamesngindo458324 күн бұрын
Mnahangaika tu Aziz alishasaini yanga kitambo, sema engineer mjanja ameaachia tu media zihangaike kwa muda huu
@moudyhamisi264124 күн бұрын
Acha uongo
@francismomo706725 күн бұрын
Safi sana wajina
@phidolineprivatus907825 күн бұрын
We msenge leo umejua kunichekesha😂
@IdrisuMabuda25 күн бұрын
Yess
@LowasaSanare25 күн бұрын
Hahahahaha 😅😅😅😅 we jamaa unajuaa kuigizia umbea akii 😂😂😂 nmecheka
@allytv171425 күн бұрын
Huyo ni aziz funguo utoo wanamganda na awana pesa ya wanataka aishi kama family ndo maana mayele alisepa alikataa mfumo wa ww family
@reonardchatanda637125 күн бұрын
Poleni sana
@Munyama67525 күн бұрын
Yaan Aziz aache Yanga aende SIMBA?
@allytv171425 күн бұрын
@@Munyama675 mpira ni biashara kama timu inamwaga pesa zaidi ya yanga anaenda siyo kwao pale mayele alisema yy anaangalia pesa anatafuta pesa kama cristiano Ronaldo
@salimmalaka25625 күн бұрын
@@reonardchatanda6371POLE MATAKO AU 😂😂😂😂😂😂 UTOPOLO MACHOGO FC WEWE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@salimmalaka25625 күн бұрын
@@Munyama675UTOPOLO MACHOGO FC NJAA NYIE
@biggy_aziz25525 күн бұрын
Kama unatamani kumuona Aziz Ki SIMBA like hapa 👍
@hamidabdallah584125 күн бұрын
Dah siamin
@user-sy3mj5gh5g25 күн бұрын
Umeeeapa kwa Dini nakuamini
@shaiburajabumrope811325 күн бұрын
Nakukbal sana likado momo
@mckobatz586125 күн бұрын
Anatumika kukikisha propaganda ya Yanga na Ki sema hii ya tajiri lilivyovuta sigar kuwasha na kuvuta ni kali😂😂😂😂
@user-bj8hk9td9f25 күн бұрын
Ina maan wasafi muko vizr kwel munauliza ripoti imendikwa na nani timu haikua na kocha
@user-sy3mj5gh5g25 күн бұрын
Wewee ucitutie tamaaa
@chrissantkaunda995825 күн бұрын
Daaaah aziz ki tumemkosa
@Abuu-gs1yi25 күн бұрын
Kuwa na amani
@daruweshshifaaonlinetv695824 күн бұрын
Momo acha uongo unaapia mpka jina la mola wako ufai bara wala pwani
@Economically-Growth-Musicians25 күн бұрын
From #EconomicallyGrowthMusicians 😂😂😂😂😂
@killerwizzyofficial215725 күн бұрын
Daaaaahh brother 😂😂😂😂😂
@allyfatma735925 күн бұрын
Leo momo kanichekesha sana
@josafko225925 күн бұрын
Timu gan ya kutoa 3b hapa bongo😂😂😂
@user-wk2bg8zf3l25 күн бұрын
MNYAMA MKALI
@fabiandanford357225 күн бұрын
😂😂😂😂ameshindwa kumbakisha chama kwa mshahara wa ml 40 utaweza kwa ki kakojoe ukalale nawewe saizi hauna za ndani wala nini
@user-mo6be6gz3t25 күн бұрын
Million 40 kwa umri ule kaka miaka 33 ni uongo kaka hata ww usingetoa
@jamesngindo458324 күн бұрын
@@user-mo6be6gz3t Chama hajaisha mpira wangembakisha tu kwa mwaka mmoja, sasa tusubiri tumuangalie akiwa yanga tujiridhishe
@mwitafabian940322 күн бұрын
Jamaa mpaka kaapa, kweli Dunia ina mambo
@onekisstv841225 күн бұрын
Kumbe kashaanguka wino 😂😂😂😂 mimi msenge sana
@user-gr9wc7bc2m25 күн бұрын
Wapike keki wao si wanapika keki!!!
@user-ww4so9ks9c25 күн бұрын
Mlikuwa wapi kabla eris hajàsema azizi hajasain we muongo bhana
@geraldchawala950624 күн бұрын
aka kajamaa kaongo sana.😂😅😂😂😅
@richymello1425 күн бұрын
Fiston Kalala Mayele 🛫
@geralddeus143425 күн бұрын
Momo jau sana daah🤣🤣
@georgekyando88525 күн бұрын
Siku zote mkuki ni mtamu kwa ………… na kwa ni……..
@musanjopeka83723 күн бұрын
Poleni
@HalidMuhammad-gi9qy25 күн бұрын
Msenge akikutana na shoga bora nani jamani hapo ndio radio hao wachambuzi mmoja msenge na mwingine ni shoga
@rogersdavis305824 күн бұрын
Tatizo la ushabiki wa kipuuzi unatukana kisa nini
@sundaymsomi628425 күн бұрын
Hapa hakuna taarifa ya ukweli kuweni watulivu
@user-yk9ll1cd9b25 күн бұрын
Momo hivyo viwili unavyonyosha juu unatupa mashaka ya ww kuwa mmasonia
@GETRUDEGODWIN25 күн бұрын
Chama uyo jamani sio azizi k
@robertkisasa134625 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂dah tajiri katisha…momo hadi umesimuliwa tajir kavuta ciger😂😂
@BADAWY57525 күн бұрын
Yani kweli kuna mashabiki wanae mshabikia huyu .mimi ndio mara yangu ya kwanza kumsikiza nasitatokea tena kusikiza uongo kama huu kama anaongea na watoto wadogo
@IbniAbbas-yz3kt25 күн бұрын
😂ni kweli sio uongo sema kwakuwa wee unaonekana jeuri kataa hivyo hivyo!na sio moo aliye fanya hivyo kuna jamaa anaitwa saraha lafiki yake mwana FA
@BADAWY57525 күн бұрын
@@IbniAbbas-yz3kt mimi ni yanga damu damu na mpira naujua ni biashara Aziz akienda bado nina furaha kuwa timu yangu Young African iko na muongozo wa kisasa na tunavuna mipesa na itatufanya tuzidi kuwa strong.nyie Simba sasa Mo muhindi kawaida yake pre -season mwenye timu yake anasafiri na jitimu lake anafanya market ata pesa anayowapa nyie omba omba baada ya preseason marketing aliyofanya yeye kwa biashara yake na kutumia nembo ya Simba ni yake anakua amerudisha trillion cz Mo ni bilionia .marketing yake ni ndefu sijui umenifahamu .anawahujumu hawajengei ata Simba complex nyumba za wachezaji yani muna jina kubwa tu lakini hamuna kitu munamuomba muhindi yani munatawaliwa .nyerere alishatugomboa amkeni
@georgekyando88525 күн бұрын
6:21 siku zote mkuki ni mtamu kwa ……. Na kwa ….
@fabiandanford357225 күн бұрын
😂😂😂wakati leo wadanganye ao makolo wenzio
@SurprisedFullMoon-gg9vu25 күн бұрын
Tulia shindano iingieee
@maliadii482925 күн бұрын
Msijixime data alisema hataondoka kwa ajili ya pesa mpaka atakapomalizana na boss wake anaemheshimu sana waambie wakalilie chooni
@user-xm5xg1tt6d25 күн бұрын
Mbona povu
@brownmoses954325 күн бұрын
Heshima haipo palipo na pes😅
@bone10225 күн бұрын
Kwan Mayele alisemaje na tangazo la jezi mpya alivaa kaka wachezaji wanaangalia wap watapata pesa mzee
@bone10225 күн бұрын
Kwan Mayele ilikuwaje na hadi jezi mpya za msimi alivaa na mkasema Mayele haondoki😂
@answarihamza681425 күн бұрын
Za ndani zako hazijawahi kuwa za kweli shibe ndo inakufanya uongee utumbo
@johnmwasilu708725 күн бұрын
Huyu jamaa ni mwongomwongo sana
@BADAWY57525 күн бұрын
Huyu kama msenge kwenye media analeta story za kama amekula mirungi au mlevi .hawa ndio waharibifu wa kazi za watu .yani kafanya hapa kwa media kama mgahawa wa kahawa ndio maana kaachwa na mke wake sababu ni muongo
@luqmanomary355825 күн бұрын
Usitutus wala kirungi au pombe chagua starehe yako na wew😂😂😂😂😂
@charlestobby603125 күн бұрын
Mwanzo mlifurahi mwisho wa stori mkanuna mtasubiri sana kudadeki😂😂
@BADAWY57525 күн бұрын
Jamaa muongo maendeleo ya ki afya ya akili mwanzo ni mtu awe haongei uongo bongo linakua safi .alafu ukizingatia yuko kwenye media kaa sio mlevi ni nani huyo chizi basi au ndio media ya mdogo wake anakaa akidanganya watu .huo wakati wa kutunga naongezi sisi yanga tumeshawacha muda mwingi ata maongezi ya kurogana kitambo tumesahau kuyatamka sisi wana yanga sababu .uchawi wa mpira ni zoezi na pesa management nzuri yenye uwelidi na kuwatizama wachezaji kwa furaha .nyie simba omba omba wa babujiiiii muhindi anawahujumu simba wote wanafiki sasahv yenyewe inashangilia usajili.kweli wachezaji wao ukiwatizama sio uhakika upo .nimependa napenda mpizani awe na timu pia lakini kimaendeleo simba ni ndondo club huo ndio ukweli
@andrewemmanuel186125 күн бұрын
Mnapaish JMN
@NNONGWA25 күн бұрын
Kuanzia leo sintakusikilizaaa tenaaa ,Mzushiiiiii mkubwaaaaaaaaa
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg25 күн бұрын
Amchukue lakini mfumo ndo shida kolo. Muulize Mayele mfumo umemkataa asingizia majini.
@JumaSaidi-xq7ui25 күн бұрын
Mfumo wakufnya nn
@SurprisedFullMoon-gg9vu25 күн бұрын
Mfumo wa kukutombaaa au
@personpeter222125 күн бұрын
@@SurprisedFullMoon-gg9vu😂😂😂umelijibu vzur hilo punga
@SurprisedFullMoon-gg9vu25 күн бұрын
@@personpeter2221 haya ma utokwinyoo masengee kwel
@HappyKitindi25 күн бұрын
Mayele umemkataa mfumo wakt anaongoza kwa magoli ligi ya Misri na ana assist 5 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂be
@user-ce1ps5hy4f25 күн бұрын
Huyu ndo alitwambia fei karudi yanga kapewa mshahara wa m 12 baada ya siku fei huyo azam hili waga niliongo 😂
@LucasMagukuru-hc9kr25 күн бұрын
Huyo anatoa tetesi, ww znaweza kuw kwel au sio kweli, ndo mana kaxem za ndan inasemekana
@BADAWY57525 күн бұрын
@@user-ce1ps5hy4f muongo sana nashangaa lenyewe linapayukwa na kigugumizi chake waka cha uongo kwanza hana sifa za kuwa mtangazaji sababu anakigugumizi kisha anabadilishwa maneno anayosema .ebwanae hapa naona kama mwenyewe napoteza mmda .jamaa zombi hajui anachosema hajui alipo hajui kama anapeleka ripoti kwa umma yani chizi tu zombi
@nicholousmtemi390225 күн бұрын
@@LucasMagukuru-hc9kr ulikua hufatilii basi Huyu ndo alianza wa kwanza kabsa kusema fei anaondoka yanga
@faustinombilinyi980925 күн бұрын
MO KWA AZIZI KI DUUUH AISEEE HATARI SN NDUGU YANGU
2:22 Hakuna ki2 kama icho et dollar laki 5,hv unajua ni shingap iyo,alaf kwa mkataba wa mwaka mmoja,Makolo tokeni Usingizini 😂😂😂 Billion na ushehe uko kwa mkataba wa mwaka mmoja 🤣
@athumanimtajih25 күн бұрын
Pesa kama huna ni wewe,Acha umaskin jeur
@allytv171425 күн бұрын
Kwako ni nyingi ila Kuna watu ela ya chaii ela ndogo sana kwao ww mtu anamiliki kampuni kubwaa unajua mtaji wake
@SobiTz25 күн бұрын
@@athumanimtajih Kwamb ww unazo 😏
@FrankChalula-hz6dn25 күн бұрын
Sisi maskini tukiskia one billion tunapata mchecheto wakati kwa wengine ni kama million Moja ambayo Leo wewe hata kiwanja haitoshi DSM
@user-jh9yv1zp1l25 күн бұрын
We huna ndomn unaon nyingi
@chidoxtv.739424 күн бұрын
Chidox company limited karibuni
@user-ye3rb9jd6z24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Momo we muongo akavuta sigara
@UmayyaNkya-ze3ri25 күн бұрын
😂😂😂😂Hivi huyu anapataga wapi habar
@stevenemwakasimba-pt8er25 күн бұрын
Huo usijari wa kagoma wala msihangaike sio Aziz k😂😂😂😂
@Adrext24 күн бұрын
😂😂momo bhana
@mamrashdon363225 күн бұрын
😂😂😂 Nmechekeaaaa
@stn487325 күн бұрын
Et Mo Salah😂😂😂😂😂😂😂 MAALIM ZINGIZIIIII
@hassanchikwaya417025 күн бұрын
😂😂😂 ila momo
@PendoMatemba-ql1ng25 күн бұрын
Nimecheka sana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@tuntumzazi25 күн бұрын
😅😅😅😅😂😂😂. Wakola waitu.
@ClassicUsed-jg6ri25 күн бұрын
Huyo ni Jonas mkude
@AbisinaRashidi-c8d25 күн бұрын
Mo wakomeshe hao wasenge mamae
@EliaMkumbo-wn7bm25 күн бұрын
Ma Debora mbona matusi ya nn mama tuliza Nyoro hiyo
@why-ir8zl25 күн бұрын
Inatumika siku hizi... injinia kashafanya yake kwako!
@RESPECTFOOTBALL202425 күн бұрын
HACHOMOI HUYO
@mrliverpoolynwa764124 күн бұрын
RICARDO MOMO🐸🐸🐸 watazimia😅😅😅#SIMBA nguvu moja
@user-lj7pu9js1d25 күн бұрын
Sikujuaga kama unaongeaga uongo leo ndio nimeamini wewe sio mkweli
@PendoMatemba-ql1ng25 күн бұрын
Umenichekesha sana
@jumanneshego330824 күн бұрын
sasaivi momo umekuwa muongo sikuwamini tena mpaka unaapa Kwa mungu
@abubakarishariff848925 күн бұрын
We muongo Sana Aya mbona atumuoni kwenye timu ya Simba
@chidyothman528524 күн бұрын
Kula chuma ikoooo yule avc Town
@user-zb2mj5nd5g25 күн бұрын
Huyu naye sometimes kama anakula ngada vile
@futurecarefamily545425 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mcray060924 күн бұрын
Unajua comedy bro
@videozaaj106925 күн бұрын
Jamaa ongo hili😅😅😅
@AbdulysuleimanShemashilu25 күн бұрын
Mo tutoe unyonge mchukue Aziz ki ili wajue sisi ndo wakongwe wa bor hapa tanzania
@LovelyForestHills-eh4zs25 күн бұрын
Jaman mnajua anaezungumziwa kiiiiiiiiiiii az
@johnsonwilliam609225 күн бұрын
Momo ni mbwa 😂😂😂😂
@jafethleonard582125 күн бұрын
Mbona mafumbo mengi
@IMANWILLIAM-bl2ui25 күн бұрын
Aziz hawez cheza ndondo bana
@FahadAbubakari25 күн бұрын
Hao wanakuja kutafuta hela sio nyie mnaona timu kama dini uyo popote kwenye maslahi anaenda
@MalakEnock25 күн бұрын
Mnazinguwaa huuu mwezii sasa sisikii redio yenu morogoro raha kama hii naipatia wap acheni usengee