we will never reach this level. Congrants SIMBA u deserved more than this. what a team!!!!! My African favourite team. Hongera sana kbs🎉❤
@annamosha9682 ай бұрын
Wow, thank you so much 🙏 We love you too
@EmmanuelLuhagamhoja2 ай бұрын
tuipe muda hakika itakuwa zaidi ya hivi ilivyo UBAYA UBWELA 🔥🔥🔥🦁🦁💪
@Monica-i5x2 ай бұрын
Kwa hii cimba huna baya tajilk❤❤❤
@AminaMbilinyi-yr3ne2 ай бұрын
Mungu saidia simba yetu
@SalimSaid-gs4dv2 ай бұрын
Jmn azam tv izi dk mbona mnatupa chache ivi mwaka jana 14 uuu 10 😅
@FabianoCharesy2 ай бұрын
Simba hi ni baraaaa Sana
@JUMAschibwanaChibwana12342 ай бұрын
Sign hatar
@FadhiliDanford-d9q2 ай бұрын
Balua ( baba Mende) tupo pa1 kaka , Mungu akutangulie
@straton-shayo7552 ай бұрын
Simba kuna kitu🙏
@humphreyz4672 ай бұрын
hgrx
@BabaDedeTV2 ай бұрын
Deborah fernandez ni fundi 🔥🔥
@RizikJonasАй бұрын
❤❤❤❤❤❤
@harunivarentino20002 ай бұрын
Namba Moja trending 😂😂😂
@OmarMwamlongo2 ай бұрын
Ubaya ubwile ❤❤❤ kamiligadoo oyee
@NassibPendeza2 ай бұрын
Ila baraka mpenja we ni nyokoo dah unajuw mpaka unakera
@FaidhaKihiyo2 ай бұрын
Mungu ibariki simba
@batwelimahenge78502 ай бұрын
Aaaaa nikiwa Zambia mmenipa laha sana
@PaulineLucas-x6q2 ай бұрын
Mko bize kulipia simba day lakin injil ni bure hamuhudhulii duuuh
@AlliyFaki-vv5ys2 ай бұрын
Ubaya ubwela hiyo ndio Simba ijayo Simba nguvu moja
@godfreyjustine40402 ай бұрын
❤❤❤
@CamilaEmmanuel-r7g2 ай бұрын
Hii ilikuwa mchezo .mzuri sana
@RukiaKhamis-pu9zv2 ай бұрын
Nguvu moja hata simba iweje siham
@MinahAlly-l2pАй бұрын
Ubaya ubwela weeew❤❤❤❤ Simbaaaaaa
@NeemaMmary-m2dАй бұрын
Unyama mwingi😊
@NeemaMmary-m2dАй бұрын
Unyama mwingi😊
@TAJIRI0012 ай бұрын
Wa-Kenya ata tukue na president mzungu, hakuna siku tutafika hii level.🇰🇪
@WendeMposola2 ай бұрын
Mtafika kwa uwezo wa MUNGU
@MikeKilomo2 ай бұрын
Well said 👏 👌🏾 👍🏾 🙌🏽 😌 🙂 tajiri 😅
@kristofuraha2 ай бұрын
Kwa nini unakata tamaa?!
@TAJIRI0012 ай бұрын
sisi viongozi wetu walafi. Nisha chukua passport ntakuja Tz inshallah ni experience na mimi.
@ismailburhan86222 ай бұрын
Muwe na kawaida azam kurusha highlight refu ili na sisi wengine tulokuwa hatupati kuangalia kwenye tv 📺 bc tufaidi angalau huku online......please tunakuombeni
@eligiusnestory15712 ай бұрын
Wanakosea sana mchezo una dakika 90 halafu unaweka highlights ya dakika Tisa kweli!? 😢
@salvatoryoscar8232 ай бұрын
Midia nyingi huwa zinakinzana sana na simba kwani watangazi wengi ni yanga na wana mchango mkubwa sana wa kuididimiza simba ili yanga iwike ki2 ambacho hakiwezekani kwani simba platform yao kubwa sana
@salvatoryoscar8232 ай бұрын
Kila kitu wanachofanya yanga wanaiga kwa msimbazi mfano yanga day hawakuwanayo. Wakati simba inaanzisha utaratibu huu walikuwa wanabeza sana na leo wanahadhimisha, simba imeingia robo fainali x4 mfululizo wakasema hawaaezi wakati woa wsnaoweza walikuwa na miaka 52 walikuwa hawajawahi kuingia robo fainali ya club bingwa na baada ya miaka 25 ndo wamewahi kuingia hatua ya makundi club bingwa kisha wanasema simba mbovu
@salvatoryoscar8232 ай бұрын
Kinachosababisha simba ionekane mbovu pia kwa sasa ni mwenyekiti wa club kuwa anavujisha siri za club kwa kuwa yy ni mamuruki hivyo watani kupata siri kiurahisi sana hivyo akitoka yule mambo yatakuwa mazuri
@colethambusule58402 ай бұрын
ndo inavyotakiwa
@JanethAndrew-h4z2 ай бұрын
🦁🦁🙏💪
@januaryjohn20142 ай бұрын
Tumetisha kinoma noma❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ar-shadihashimu67292 ай бұрын
Simba ni nzuri ila cyo kwa round hzi mpk ikae vzr itachukua muda hakuna team ya kiushndan apa❤❤ ila ikitulia ni nzur
@shanmlawa2 ай бұрын
🦁🎉🎉
@YusuphYusuph-x2p2 ай бұрын
Ni siku ya saba ya juma afu we mpenja😢
@davidimael50652 ай бұрын
Nilikuwa natafuta kama kuna yeyote kasikia.ili niweke sawa. Yaah ni siku ya saba ya juma. Mpemja amecheemka hapo
@JeannetteManirambona-o6m2 ай бұрын
Simba mnyamaaaa❤❤
@JumaNdoro2 ай бұрын
Mnyama mkali
@SalulaMtusana2 ай бұрын
Pamoja sana 1:
@YusufAli-jl6ls2 ай бұрын
nimeangalia yanga first half na first half hii, simba waongeze juhudi
@ProspaAthanas2 ай бұрын
Saaaaaffffff🎉🎉🎉🎉🎉
@ezesichone2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@IsackVedasta2 ай бұрын
UBAYA UBWELA 🔥🦁🇹🇿🔥
@allyHussen-cs7xu2 ай бұрын
Ukimalza kuangalia h highlight nenda kaanglie na ya yanga utayajua matokeo ya tareh 8
@rajabmwange46342 ай бұрын
😂😂 hawawezi kuelewa
@agnessmassawe73412 ай бұрын
❤❤ my team
@galyezamtaganyirwa-qv7vc2 ай бұрын
Jumamosi SIO siku ya sita Bali Ni siku ya saba
@rojatv1672 ай бұрын
Jumamos ni siku ya kwanza
@temaigwepaul11262 ай бұрын
Andiko unalo?@@rojatv167
@rachelpeter70322 ай бұрын
Ili goli la kwanzaaaa mmmh🙌🙌🙌
@salvatoryoscar8232 ай бұрын
Alafu wachezaji wa simba ni vijana, safari hii kazi mnayo litakufa jitu
@petermboya21872 ай бұрын
Wachezaji 2 tu nimewaona Deborah muntale na kijiri kidogo
@immahlaymtui81532 ай бұрын
Tunawasubir hao utopolo tarehe nane yniiiii lazma afe mtu ubaya ubwela mwaka huuuuh😅
@LewisJoel-d6n2 ай бұрын
Duuu yanga iko mbalisana
@MariaCounter2 ай бұрын
Simba nguvu moja
@mohdmatar60762 ай бұрын
Simba bdo team yao changa sana
@MasikaSaid2 ай бұрын
@@mohdmatar6076 damu yachemk et wafkir ni nyny manyani fc🤣
@juliusmsegu33472 ай бұрын
This is SIMBA. Wanatakani kusema APR ni mbovu Ila wakikumbuka waligongwa 3na APR wanakimbilia tu tar 8. Simba hii haitishiwi nyau. Tar 8 ifike tunawatakaaaaaa.
@husseinkonz51922 ай бұрын
Ubaya ubwela tujuane ❤❤
@YahayayasiniYahayachino2 ай бұрын
❤
@YahayayasiniYahayachino2 ай бұрын
😂
@josephmlazier13912 ай бұрын
Ub ubaya ubwela ❤
@elementofficial40152 ай бұрын
Apr fc❤
@emmasonanjawe90422 ай бұрын
Ila Simba nyie yaani bado mnatrend japo mliwatangulia watani 😂😂😂😂 jaman waoneeni huruma jaman
@EmanuelSaloon2 ай бұрын
Kwel
@petermarcus64752 ай бұрын
Ubaya ubwela
@joshuamushi-t4z2 ай бұрын
Hongeren xan wanaximb
@MamaRahaman2 ай бұрын
Unyama mwingi ubaya ubwela 🎉
@rebecatira2 ай бұрын
Simba honger kwa usajil wa maendeleo ya klabu
@dbmsoftball80562 ай бұрын
Hii mechi ni wanyama wote,yaani wote timu zote zina Simba kwenye logo yake,ngoja tuone hapo mbeleni
@MrBm3692 ай бұрын
👏👏👏👏🦁❤❤
@ShantyLady-u9l2 ай бұрын
Azam mmezid dakik 10 daah😢😢😢😢
@dedsecmalis20052 ай бұрын
🦁🦁🦁
@BarakaMugisha-g2m2 ай бұрын
Don't try to go brother 😂😂
@barakakaduma43952 ай бұрын
Simba sio mbaya ila kumchallenge Yanga, yani bado tar 8 bado ya moto kwa Simba 😅😅
@zamdahamisi87862 ай бұрын
umeona boli la yanga jana hadi wapewe magoli ya mchongo
@commonsense5617Ай бұрын
Nimerud8 hapa baada ya Azam kuwekwa 2 huko
@Nice-tr6bx2 ай бұрын
simple analysis, First half Simba alizidiwa kila kitu haswa kwenye middle, usahihi wa pass, na usahihi wa kushambulia. Second half Simba alikuja kitofauti ila kiasi maana mwishoni APR walichangamka. Anatoka Mutale anaingia Kibu, nae hakai sana anatolewa. Kuingia kwa Kibu hakukuwa na harati yoyote ktk Goli la APR. Sasa tujaribu kulinganisha na Yanga vs Red, kwanza licha ya Red kutangulia kwa goli la mapema bado Yanga alimtafuta vibaya mno. Attempts za yanga golini pa Red ilikuwa kila saa. Chama + Paccome + Aucho = Hatari tupu, utachezewa mpira nje ya nyumba yako na hufanyi chochote😂😂. Yani Gamondi fisrt half ni kikosi A alalu second half kikosi B. Angalia alivyocheza Azizi+ Dube+ sheikh= Mudathir = wakapata goli 2, on target 7, attenpts 3. Kila mtu anapiga mashuti🤣🤣. Sasa just imagine Gamondi achagua first eleven kutoka kikosa A and B🤣🤣. KUNA WATU WATAKULA WIKI NYIE SUBIRINI. Mpira ni sayansi, kwa takwimu za mechi za mwisho za Simba ya Yanga, aisee SIMBA ANASILIMIA NYINGI ZA KUFUNGWA, ila kipa wa simba akiwa kamara basi magoli yatapungua lakini akiwa SALIM au yule mwingine watakufa nyingi sana. Save my comment.☺🤌
@ericlowasa30972 ай бұрын
Weka na namba yako ya simu
@rithadonatus81102 ай бұрын
Pole sana
@MichaelMasasi-g1u2 ай бұрын
Huyo Ahoua muww mnampa mali anafungua milango
@RosePaulo-e2d2 ай бұрын
Ubaya ubwela❤
@DanielSichinga-n4n2 ай бұрын
👍💯💯💯💞👏❤
@erasmusleonidas67292 ай бұрын
Mungu asaidie tuombe mpate uhuru kwanza mengine yatakuja tu
@wizboyfriend2 ай бұрын
sema uzi wa simba umewapendezaaa japo kuwa mimi mwananchi😂
@salimmalaka2562 ай бұрын
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ UBAYA UBWELA UBWELA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@JililiJilili-g8v2 ай бұрын
Tulia ww simba nguvu moja yanga msimu huu mnalo
@gabrielmashauri82362 ай бұрын
Yanga wako more organised kuliko simba
@RukiaKhamis-pu9zv2 ай бұрын
Simb yangu inanipa raha
@AminaTanzania2 ай бұрын
Simba tarehe 8 msirete timu uwajani tunawazika wima simba
@JacksonKalias2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 jamn simbs kibok dassh dakik mbili tu xehm ya pili uwanjan wat wamechanganikiwa daah
@SILASGEORGE-h8r2 ай бұрын
Ubaya ubwela,,,watani tunawakanda mapema tu hii ndio Simba
@worldhappiness11812 ай бұрын
Mmh, naona kabisa mda si mrefu mashabiki wakianzisha tena viongoz wajiuzulu. But Mo ametumia akil sana kuwatulza mashabiki, washasahau 😂😂
@twizerebrown2 ай бұрын
They have a lot to learn from you
@JililiJilili-g8v2 ай бұрын
Haiwezi kujirudia
@SamweliMelio2 ай бұрын
🎉🎉🎉
@JacksonKalias2 ай бұрын
Wana yang mnapenjixif sublini 😅😅😅😅 taleh nane uwanj