Hii Ndio Sababu ya Wanaume Wanachepuka Kwenye Ndoa Zao -

  Рет қаралды 143,303

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Kuna Baadhi ya Wanawake Wapo Tayari Kushinda Kwenye Mitandao ya Kijamii Mpaka Kujisahau Kuhangaikia Famili.
Huwa Kuna Kujisahau, Lakini Mpaka inafikia Hatua Mumeo Anatoka Nje Kuna Walakini
Usipomtunza Mumeo..Jiandae kutunziwa na Wenzio..Maana Unachokiona wewe cha Nini Wenzio wanajiuliza Watakipata Lini
Mwanamke tambua mapenzi ni sanaa sharti uwe msanii ujue kuwa mbunifu la sivyo ndoa yako utaishia kusimulia kwamba ushawahi kuolewa.
Mwanamke tambua mwanaume ni kama mtoto ukimlea vibaya anakuwa mbaya ila ukimpa malezi mazuri atakuwa mzuri kwako daima.

Пікірлер: 259
@yusrashabani2983
@yusrashabani2983 4 жыл бұрын
Wapo wanawake wasafi zaidi yako wewe warembo zaidi yako wewe yani mwanamke anaheshima sijuwi nisemeje lakini mwanaume nikiumbe asie tosheka na mke mmoja hata kidogo mimi mume wangu sifanyi hayo yote uliyo yasema ila kaniganda kama ruba ananipenda Sijuwi ata nisemeje kwaiyo mume kukupenda na kutokuchiti sio kwa hayo mafundisho yako ni roho yake tu , nampenda pia sana mume wangu
@latifahjamal2999
@latifahjamal2999 4 жыл бұрын
Masha Allah.. alhamdulillah 🤲
@omarymwinyi9684
@omarymwinyi9684 2 жыл бұрын
Unajuaje
@naimasaid7763
@naimasaid7763 4 жыл бұрын
Mungu akuangazie nuru huko uliko, Innalillahi wainnaillahi raajiun
@kezawardamauwa2522
@kezawardamauwa2522 6 жыл бұрын
Wallah nakushukuru umenifunza mengi somo wangu allah anikutunzie
@beautyhennayummyfoodmwechi6833
@beautyhennayummyfoodmwechi6833 4 жыл бұрын
Inna lilahi wainna ileyhi rajiun mungu akulaze pema peponi we miss you bi fatima tuma mwenye utamu wake😭😭
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 2 жыл бұрын
Allah akulaze mahalapema dada 😭😭😭😭😭😭
@selmezahor4696
@selmezahor4696 Жыл бұрын
Maskin kwani amefarik Lin,
@hamzarashid9705
@hamzarashid9705 7 ай бұрын
​@@selmezahor46964 years ago, if I'm not mistaken
@careenbryton8675
@careenbryton8675 5 жыл бұрын
Ahsante dada nmejifunza japo bado cjaingia kwenye ndoa
@hassanjimbi7617
@hassanjimbi7617 3 жыл бұрын
Allah akuekee noor kwnye kaburi lko n akupanulie pia inshaallah ameeen,,,RIP
@careenmanang8943
@careenmanang8943 4 жыл бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi kungwi
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 3 жыл бұрын
Hakika dunia mapito Allah akurehemu
@khayraa7374
@khayraa7374 Жыл бұрын
Most of things are accurate here👌🏽….Lets not forget we are in the new generations things in house should be 50/50 women should not do everything by her own .some of us work 8 hrs a week….with 2 days weekend only.
@sumayyahally866
@sumayyahally866 2 жыл бұрын
Karibu sana dubai my sister umedamshii
@halfanrangadim8764
@halfanrangadim8764 2 жыл бұрын
Ameshafariki 😓😭
@khadijaidrisa8248
@khadijaidrisa8248 Жыл бұрын
Mashallah
@suzanfelix8065
@suzanfelix8065 3 жыл бұрын
Mmmh kazi ipo
@mrsochu-hv7bm
@mrsochu-hv7bm 4 жыл бұрын
Mungu akupunguzie adhabu ya kabri
@luciametuselah5164
@luciametuselah5164 2 жыл бұрын
Nimempenda bule
@shahidkabaju3336
@shahidkabaju3336 2 жыл бұрын
Uko sawa
@zaharaallymwndelezotunatak818
@zaharaallymwndelezotunatak818 4 жыл бұрын
Huenda huyo kungwi kachwa mala saba😂acheni kutubpumbaza
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 жыл бұрын
Allah akulaze pema peponi
@abuudaru1401
@abuudaru1401 2 жыл бұрын
Mashallah dada mungu akuzidishie umri mrefu amen
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 6 күн бұрын
Kvp wakt kafa
@ااجج-ط5د
@ااجج-ط5د 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema palipo na wema
@shayijasamuel5952
@shayijasamuel5952 4 жыл бұрын
Kwani kaisha kufaaaa huyu Dada
@waamooog6002
@waamooog6002 4 жыл бұрын
Mungu akurehemu kungwi🙏🙏
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 4 жыл бұрын
Allah amrehemu..lini kafariki?😥😥😥
@Zena-h4p
@Zena-h4p 2 жыл бұрын
@@shifaaal-baity4503 kafa zaman my
@sumayananabintimusa6321
@sumayananabintimusa6321 Жыл бұрын
Jamani mbona sina habari😭😭😭😭innalillahi wainailehi rajiuni
@waamooog6002
@waamooog6002 Жыл бұрын
@@sumayananabintimusa6321 muda sasa ni miaka 2
@nurukasunzu2711
@nurukasunzu2711 Жыл бұрын
innalilah wainalilah rajuun
@mercynjoki8618
@mercynjoki8618 3 жыл бұрын
Waaa pole sana my love from kenya
@akidasalim3859
@akidasalim3859 4 жыл бұрын
Wanaume wa zamani pia walichepuka.sana .
@omarymwinyi9684
@omarymwinyi9684 2 жыл бұрын
Wanawake wa leo ni wachafu kunuka usaf wao ni wa nje tu lkn humo ndani looo
@a.856
@a.856 5 жыл бұрын
Allah kawaona wanaume kwamba hawatosheki na mwanamke mmoja ndo kaweka mpaka sheria wanne hamna jipya makungwi.
@e.crabtree4313
@e.crabtree4313 4 жыл бұрын
Nonsense! Wacha udanganyifu. Wapi Mungu kawaona wanaume kwamba hawatosheki na mwanamke mmoja kisha kaweka mpaka sheria wanne? Hayo ni mafunzo wa kiIslamu kufanya usharati na umalaya. Mungu alimmpa Adam mke mmoja tu, Eva!
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 4 жыл бұрын
@@e.crabtree4313 mh mazito aya
@kijolijuma4923
@kijolijuma4923 4 жыл бұрын
Kwani nyie nyote ni makungwi bc nikisimama mie na nyie amnipati mnayajua ayo tu
@kijolijuma4923
@kijolijuma4923 4 жыл бұрын
Wake ni wanne sheria dini imesema Wala sishangai sana
@aishaaisha1495
@aishaaisha1495 4 жыл бұрын
Mwenyez mungu hajawaambia mzin kisa mmepewa ruhusa ya kuoa wake wanne muoe co kuzin
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 3 жыл бұрын
Maskn ALAH AKUPE KAUL THABIT AKUSAMEHE MAKOSA YKO
@ummybabe1600
@ummybabe1600 4 жыл бұрын
Allah alijaze nuru kaburi lako. R. I. P dear
@najmatheearlybird.7162
@najmatheearlybird.7162 4 жыл бұрын
Mimi utanisamehe Kungwi ,,, wanaume in wale wale tu hats umlambe miguuni , no wako mkiwa nae kitandani akivuka mlangoni ni wa wengine ,,, tens vitambara mtu havai kwa kupenda wanaume wengine hawakununulii nguo ,,, mume mzuri ampambe mkewe amvishe usafi sio mbaya ,,,, hapo mm hata hayo ni buree jamani kungwi Mke sio mavazi ni tabia anaeza kua msafi na tabia ilioza na yule mchafu akawa na tabia na maadili mema Acheni hayo aki tumeona wengi taabu tu
@ziadasalum9933
@ziadasalum9933 2 жыл бұрын
Umeonaaae hajui na hayajamkuta
@omarymwinyi9684
@omarymwinyi9684 2 жыл бұрын
Point najma
@omarymwinyi9684
@omarymwinyi9684 2 жыл бұрын
Najma
@asaaomar5000
@asaaomar5000 2 жыл бұрын
Wanaume niwashenz
@zabibunduwimana4612
@zabibunduwimana4612 4 жыл бұрын
Unaweza ukayafanya ayo yote ila mwanahume asi riziki akatafuta ungine mwanamuke ayajuwi ata kimoja Allah akupunguziye azabu za kaburini😭😭
@alfanm.8221
@alfanm.8221 4 жыл бұрын
Kitu mwanaume anataka kwenye ndoa ni utulivu wa akili na mwanamke mchapa kazi.
@elizabethkituli1693
@elizabethkituli1693 4 жыл бұрын
Pumzika kwa aman mumy
@hussnakhimiss531
@hussnakhimiss531 4 жыл бұрын
Masha allah
@mimicherop6108
@mimicherop6108 4 жыл бұрын
Mbona Boss wako kachepuka kila siku
@azezhgalb6069
@azezhgalb6069 6 жыл бұрын
asante sana dada nimejifunz mengi japo sijaolea
@chunafetty6737
@chunafetty6737 6 жыл бұрын
Maneno kantu👌👌👌
@youngbizzy7856
@youngbizzy7856 5 жыл бұрын
usikosee kuyafataa basi😂
@francinekabwe1211
@francinekabwe1211 5 жыл бұрын
Mbona wenu wanahowa sana nayote hayo mwayafanya ,mume akipata hela ana chipuka tu
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
👌👌🙌🙌 true kbs. Tabia ya mtu ni tabia tu
@aishajan1948
@aishajan1948 4 жыл бұрын
Apo chacha. Mbona na wao Wana achwa 🤣🤣
@sadahgullam8228
@sadahgullam8228 4 жыл бұрын
Tenaaa
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 2 жыл бұрын
Mkipendana kwa dhati kila kitu kinakuwa sawa, mengine yatakuja taratibu
@fatumaabduly5086
@fatumaabduly5086 Жыл бұрын
Kungwiiiiiiiiiii una hakikaa huyoo wakooo hajawahii kukusalitiiii tuanziee Apo usimalizeee manenoo
@hamzarashid9705
@hamzarashid9705 7 ай бұрын
Uyo kafariki Kama miaka minne iliyopita
@AgnessMsacky
@AgnessMsacky 6 ай бұрын
Uwo usafi ukiweka. Mpaka kwenye. Uchi lipustiki. Bado. Atamsakiti. Mumeo
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 жыл бұрын
Huko kupendeza si mpaka uwe unapewa hela kama hupewi ama meme hana uwezo utapendeza kweli maisha nitafauti kuna watu wanamaisha magumu
@sellymukana7747
@sellymukana7747 5 жыл бұрын
Wanawake wa kiswahili mna kazi kweli. Yani waume wenu mmewageuza mungu hata mnawaabudu?. Yote mwayafanya na mwisho wa siku mnajipata kushare wanawake wanne kwa mme mmoja. Hayo yamepitwa na wakati. Tunaamkia kazi nyie mwalala mkifikiria mabwana. Khaaaaa tafuteni hela zenu mabwana watawanyenyekea.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Tena wanaume wa siku hizi wanataka nao kulelewa. Wanataka kuona unajishughulisha na wewe sio kubweteka maana maisha yamebadilika yamekuwa magumu. Yaani ukiwa na pesa mwanaume hata kukusaidia kukupigia deki atapiga tu
@manyamarobert6887
@manyamarobert6887 4 жыл бұрын
Wanaume wao c mchezo kwa kushare penzi nao hata uumpe nn cju chezea wanaume wa pwani!!
@aishajan1948
@aishajan1948 4 жыл бұрын
Yani Wana kazi kweli kweli hta mm yamenichosha.. Kila kitu ni bwana bwana tu.. Kweli ukiwa na hela Ata umwambie akanawishe Mavi at afanya tu
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 4 жыл бұрын
Sema wewe mamy..mie upuuzi huo sina
@ahz6907
@ahz6907 4 жыл бұрын
Hujaambiwa usitafute rizki.tafuta riziki ila kama umeamua kuwa ktk uhusiano wa kindoa zingatia hayo.
@tomaaslkinyaaasitajwekwnin348
@tomaaslkinyaaasitajwekwnin348 5 жыл бұрын
Aki nimejifunza mengi sana
@zamzamhamisi7332
@zamzamhamisi7332 6 жыл бұрын
Kungwi icho kicheko balaa,moyo ndio unaopendwa na kupendwa sio chengine wangapi wazuri warembo wasafi wapishi na hawakai kwenye ndoa
@zaliermuya2437
@zaliermuya2437 6 жыл бұрын
Kwel
@zakyahya4645
@zakyahya4645 5 жыл бұрын
Kabisa
@rahmaally9945
@rahmaally9945 4 жыл бұрын
True
@doniaadammwantole5398
@doniaadammwantole5398 4 жыл бұрын
Ibirisi ndyo kaingilia kati, wapo wenye sifa zao wameachwa
@zukrarajab7863
@zukrarajab7863 4 жыл бұрын
@@doniaadammwantole5398 huyo anatafuta hela tu wala hayajui
@yasmeenmichael8888
@yasmeenmichael8888 4 жыл бұрын
Wanaume wengine wajeuri,unawafanyia kila kitu lakini maneno mapenzi awezi kukupa.,ju kwake anatalajia wewe umpende mwenyewe.hakuna mapenzi side moja
@calisterbosibori151
@calisterbosibori151 4 жыл бұрын
Ziezi penda mwanaume..anipende..ama aende zake.. nimechoka kubembeleza!!!
@asaaomar5000
@asaaomar5000 2 жыл бұрын
Kweli
@habibabintjuma9352
@habibabintjuma9352 4 жыл бұрын
Kweli dunia imeisha.. hapo ukute we hufanyi hata moja ila unausia wengine japo si vibaya yote hayo watu wanafanya ila somo zur nikuwafunda jinsi ya kuibana k ndo yenye utamu wote fanya yote af k mtepweto uone😃 kich3ko chako tu si cha maadil kuonesha huna bwana.. af sijui kwanin makungwi wengi hawana waume ukipanik basi na like zenu sitaki
@akidasalim3859
@akidasalim3859 4 жыл бұрын
Mwanamke pia Atika kazini siku hizi na waume wapo.maskani
@tunaitwakiwovele8813
@tunaitwakiwovele8813 4 жыл бұрын
Asante sana
@ZainabZainab-ov2bk
@ZainabZainab-ov2bk 4 жыл бұрын
Shukran
@maryammuscat3716
@maryammuscat3716 4 жыл бұрын
Aaallah akurehem akuweke pema peponi anin
@khadijatonge3636
@khadijatonge3636 4 жыл бұрын
Nimependa hilo gauni Lakin maneno yako nakuachia mwenyewe🙌saingne ww mwenyew ushaachwa Mara saba👌🤔
@aminaluttu649
@aminaluttu649 4 жыл бұрын
Ahahahahha tabia mbaya wewe
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir 4 жыл бұрын
R I P Kungwi 😭😭
@honeymakeovertzmakeupartis3451
@honeymakeovertzmakeupartis3451 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lucybaya3183
@lucybaya3183 4 жыл бұрын
🤔🤔🤔
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 4 жыл бұрын
Mara y Kwanza.kumuona..nikajua kua kafariki huyu kungwi😥😥😥😥 Allah amrehemu..kuna msichana mkenya(siku mbili hizi) kaiga nasaha(za kungwi) kajifanya yeye ndie mwenye haya mawazo
@medi222alrajhi9
@medi222alrajhi9 4 жыл бұрын
Bhalo asema hupendwa alie uchafu akaachwa alie msafi
@fatmaali6571
@fatmaali6571 4 жыл бұрын
Inna lillahi wa inna illeihi rajiun. Sikujua amefariki
@fredymatayo1296
@fredymatayo1296 4 жыл бұрын
Asant kungwi
@swadaktaswadakta2786
@swadaktaswadakta2786 6 жыл бұрын
Mash'Allah....
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 2 жыл бұрын
Wanachukua kwa tamaa yao,,unaweza kufanya yote,still akachepuka
@nezumafaki3236
@nezumafaki3236 6 жыл бұрын
Oyooooo mambo ni moto
@laymashabani832
@laymashabani832 2 жыл бұрын
Vuvuzela umeuwaa♥️
@alal4699
@alal4699 4 жыл бұрын
Asante kugwi
@bintihamisi6917
@bintihamisi6917 5 жыл бұрын
Hawafadhiliki dada wengine wajeuri unamfanyia kila kitu lakini ukimuluza kitu anamjibu mabovu
@vivianfransis3895
@vivianfransis3895 4 жыл бұрын
kweli kabisa dada unayo sema
@ahz6907
@ahz6907 4 жыл бұрын
Hakupendi. Sepa.
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 4 жыл бұрын
@@ahz6907 LA ni tabia hiyo ya mtu. Mm pia n8nekuwa nae
@alfanm.8221
@alfanm.8221 4 жыл бұрын
@@khadijaangore4408 kitu ambacho nyinyi hamjui mwanaume anachokitaka ni amani ya akili na kitu kingine ambacho sisi twaangalia kwenye mwanamke pia ni mchapa kazi(mtu ambaye anapenda kujituma) ama yeye yupo tu akidhani kwamba mapenzi ndicho kinachomvutia mwanaume.
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 4 жыл бұрын
@@alfanm.8221 kweli kabisa hapo nakubaliana na wewe 100/%
@sharifakhamis2461
@sharifakhamis2461 4 жыл бұрын
Allah akurehem Fatuma
@mariamusefu1035
@mariamusefu1035 4 жыл бұрын
Dad kama umempata mume mshukuru mungu nn wew usiwachambe wezako kuaona ww ndounayajua mahaba San
@HanifaMuradi-qj1cf
@HanifaMuradi-qj1cf Жыл бұрын
Wanaume ata uwafanyie Nini kuchepuka kwak nilzima
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 6 жыл бұрын
Oyoyo😘😘😘 bi kungwi asante
@najmaibrahim1536
@najmaibrahim1536 4 жыл бұрын
Mafunzo mazuri
@rukiamwakuzimu3863
@rukiamwakuzimu3863 4 жыл бұрын
Tatizo nyinyi makungwi mwafundisha wenzenu lkn nyinyi wenyewe amdumu kwenye ndoa zenu kwa nini
@zainabmohammad3165
@zainabmohammad3165 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Umeona
@najmatheearlybird.7162
@najmatheearlybird.7162 4 жыл бұрын
Hahaaaaaa kweli kabisaaa
@Tv-dl4qj
@Tv-dl4qj 3 жыл бұрын
Allah akulaze mahala pema😭😭
@maimunafzaka880
@maimunafzaka880 3 жыл бұрын
Tafadhali wacha wanaume waseme wenyewe.. wewe ni mke yawanaume yako ndani yaoo. So waache watuambie wewe simamia wanawake.. kwanini wanawake tunawaacha wanaume
@mwajumamashallah3122
@mwajumamashallah3122 5 жыл бұрын
Nikweli uzsemayo wanaume wangine hawabebeki jeuli imewajaa hawajui kumuheshim mke kama aniheshim Mimi yeyenitamuheshim ndoa niyawaote siommoja
@emilehaule8790
@emilehaule8790 5 жыл бұрын
Mwajuma mashallah wote hawaheshimu ndoa. Ndo maana research inaonesha asilimia kubwa sana ya wanaume wanalea watoto wasio wao kwny ndoa! Yaan tukisema wazazi wa kiume wakapime DNA za watoto inakuwa mpoteano
@haniphermuscatoman6554
@haniphermuscatoman6554 4 жыл бұрын
Hicho kijola unanunua nann huyo mwanaume kukupa pesa hadi sikuku mtu huongea tu yakiwa hajamfikia ila siku yakimfika atakuwa mpole hatari
@happysalva9480
@happysalva9480 4 жыл бұрын
Kumbe umekufa 😢RIP
@babuumussa5093
@babuumussa5093 3 жыл бұрын
Ata mm nlikua cjuwi
@omarymwinyi9684
@omarymwinyi9684 2 жыл бұрын
Amefishwa sio amekufa kufa hua hua anakufa mnyama na sio binadamu lekebisha kauli yako
@sadakhamis1261
@sadakhamis1261 5 жыл бұрын
Hayo yanawahusu hawa waarab.. Mabos wetu...
@ndayisengafrorence8461
@ndayisengafrorence8461 5 жыл бұрын
Hahaha nimecheka kasauti kubwa hahahahh
@jasminyiddysulaiman9807
@jasminyiddysulaiman9807 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😀😀😀😀😀
@fahimaumazi7048
@fahimaumazi7048 4 жыл бұрын
Hahahaaaaaa apo
@nooor1120
@nooor1120 4 жыл бұрын
Hata huko east Africa yanawahusu kwani hawaweki house girl?
@hawamgalla1436
@hawamgalla1436 4 жыл бұрын
Duuuh pumnzika kwa aman mama
@djyondergigi1027
@djyondergigi1027 3 жыл бұрын
True l
@nabiilikhamisi7458
@nabiilikhamisi7458 4 жыл бұрын
Ww mwenyeo hujaolewa utajuwaje mambo ya ndoa
@matswelopelemphela9676
@matswelopelemphela9676 4 жыл бұрын
Naadhi ya wanaume hata uwaletee mbuga ya Serengeti nyumbani anachepuka
@AsdDsa-kl4iw
@AsdDsa-kl4iw 4 жыл бұрын
Huna jipya dada, tuambie mengine lkn sio hayo tushawazoea wanaume hivi ayo unayotuambia wayafanya mwenyewe unamume
@medi222alrajhi9
@medi222alrajhi9 4 жыл бұрын
Tena kazi hiyo wacha tafuta nyingine mwanamke pia hakosi soko
@omardaud9626
@omardaud9626 5 жыл бұрын
Jamani mm nataka kitu kipya mbona mambo ndio yaleyale kwa makungwi wote kila kungwi ndio hayohayo sioni jipya .
@furahayamoyo9193
@furahayamoyo9193 5 жыл бұрын
Well said @ Omar!
@emanueladamayubu9940
@emanueladamayubu9940 5 жыл бұрын
Exactly
@Tv-dl4qj
@Tv-dl4qj 3 жыл бұрын
Allah akupanuliye kaburi lako😂😂
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 4 жыл бұрын
Tafuteni hela mamikia hayana dili yamepitwa wakati.heshima pesa.ukiwa nayo atakuheshimu tu
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 жыл бұрын
😄😄😄
@haniphermuscatoman6554
@haniphermuscatoman6554 4 жыл бұрын
Kabisa hujakosea🤝hakuna mapenz siku hiz
@honeymakeovertzmakeupartis3451
@honeymakeovertzmakeupartis3451 4 жыл бұрын
Kabsa dada point hyo hayo hayana mana....watu wanahangaika na pesa we unahangaika kumteka mume
@ashashabani4210
@ashashabani4210 6 жыл бұрын
mashaallah kungwi
@swidatyomary1380
@swidatyomary1380 6 жыл бұрын
Wamekua waarab
@fahimaumazi7048
@fahimaumazi7048 4 жыл бұрын
Hahahaaaaaa acha tu
@a.856
@a.856 5 жыл бұрын
Wanaume wanasema sheria wanne no matter what.... ata kama utaoga kwa jik na bleach utamaliza singo zote na kama hajaowa akajulikana basi anavimada kwa siri au vimada.
@mbaroukkhamis7519
@mbaroukkhamis7519 4 жыл бұрын
Kweli kabisa hawaridhiki
@husnatuli902
@husnatuli902 4 жыл бұрын
Tatizo jingine ukungwi inafanyika hadharani hadi mwizi anapata mafunzo kwanini asijiongeze akaibe vizuri wewe ukiweka sukari yeye ataongeza asali shuguli ipo siku hizi hata mzungu najua
@fralex_1276
@fralex_1276 2 жыл бұрын
Rest Easy aisee dah
@alajmialajm8794
@alajmialajm8794 4 жыл бұрын
Hamna jipya..wakuchepuka ni wakuchepuka.hta ukawa msafi kama malaika atatoka tu
@samsungj7pro64gb5
@samsungj7pro64gb5 4 жыл бұрын
Inna lilah wainna ilahi lajihun
@frankalmasi6676
@frankalmasi6676 6 жыл бұрын
Wape vidonge vyao wamezee
@floramwanuke961
@floramwanuke961 4 жыл бұрын
We mwenyew wako.anachepk
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 жыл бұрын
Umeondok fatuma dah, tutasikia wap ngendembwe jmn kha😭😭😭
@Namanda425
@Namanda425 4 жыл бұрын
Eti Sanamu la michelin
@zaharaallymwndelezotunatak818
@zaharaallymwndelezotunatak818 4 жыл бұрын
Waume hawafadhiliki nyie kaeni tu mnawaza waume kushea lazima pesa mdio kila kitu inafikia wafukuzwa kama mbwa kwaZa pesa😂😂
@ummymohammed2258
@ummymohammed2258 4 жыл бұрын
We will always miss you sister Fatma 😭😭😭we love you but Allah loves you more than as
@uba7hamso19
@uba7hamso19 4 жыл бұрын
Kemu unazingu mwanaume ata umpe nn kuchepuka atachepukaa tu hmna Nini Wala nn ndoo maana wakaekewa Sheria n wanne
@philemonmgasha3670
@philemonmgasha3670 4 жыл бұрын
Mmmh
@wiseywziy9036
@wiseywziy9036 4 жыл бұрын
salam aleykum, naomba number ya simu yako, kuna swala nataka kukuuiza plz
@medi222alrajhi9
@medi222alrajhi9 4 жыл бұрын
Na mimi nikisimama na wewe wewe waachwa juu ya ukungwi,wako
@saumuseif9189
@saumuseif9189 4 жыл бұрын
Hiokweli
@mossomar1674
@mossomar1674 4 жыл бұрын
R. I. P
@omariommy8519
@omariommy8519 6 жыл бұрын
MashaAllah bii Fatma Abdallah..
@exaveryhenry6868
@exaveryhenry6868 5 жыл бұрын
wape wenye tabia zao
@maryamkibaha1376
@maryamkibaha1376 5 жыл бұрын
kweli UKT umenena yapo
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 4 жыл бұрын
Pumzka kwaaman dada yetu mbele yako nyumba yetu
@zamzamhamisi7332
@zamzamhamisi7332 6 жыл бұрын
Nisalimie ilo dera shoga
@almasmohammed7992
@almasmohammed7992 3 жыл бұрын
Wape dadangu wajirekebishe kama wako na tabia hizo za uchafu
@mwajumakitano842
@mwajumakitano842 4 жыл бұрын
🤩🥰🤗
@neemashilingi3355
@neemashilingi3355 4 жыл бұрын
Hiv hayo mapenz yazat band yap
@vanessajohn3820
@vanessajohn3820 4 жыл бұрын
Mwanamme hata uwe msfi kama kioo atachepukatu mwenye tabia nimwenyetabia unaweza kubadilisha nguo lakini sio tabia naliekupenda haakutoi kasolo usitudanganye watu tilishafanya hivyo na wametoka hakunakitu kama hicho usitudanganye kumbuka amelelewa kvyake na ww kivyake
Kwenye Ndoa ni Afadhali mgombane kuliko kuigiza, Hamtodumu
19:24
Madam Leila Abubakar
Рет қаралды 8 М.
Mke ndio Daktari namba moja wa Mume
35:52
Kalamutz
Рет қаралды 131 М.
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,7 МЛН
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 8 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 3,9 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
Mkasi - S02E01 with Dida Wa G
26:13
MkasiTV
Рет қаралды 372 М.
Makosa kumi (10) wanawake ufanya katika ndoa
13:33
Chris Mauki
Рет қаралды 251 М.
The Story Book: NDOTO NA MIUJIZA YAKE
28:34
Wasafi Media
Рет қаралды 529 М.
MWANAMKE MAKINI HUMDAKA MWANAUME HIVI
19:55
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 16 М.
MKE NI MPISHI JIKONI NA MALAYA CHUMBANI
19:24
SABRINA WANGECI
Рет қаралды 97 М.
KUNGWI DUME: Kumsinga mumeo
9:37
Ibrah Thedon
Рет қаралды 142 М.
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,7 МЛН