Mmmmhh!!!!!jamani,Sammantha,,,ni hatarii sana,,,,@professor ahsante kwa story nzuri na yakusisimua
@alindenga92104 жыл бұрын
Wakenya tent yetu iko hapa...leteni likes🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@vivekgithaiga37484 жыл бұрын
Kabisa kabisa vivek ako area.
@cepha303 жыл бұрын
Haha
@hezekiahwaithaka77133 жыл бұрын
na kahawa pia
@fahadkhamisi30613 жыл бұрын
Tupo
@kipchumbabrian20023 жыл бұрын
Hii swa ni ngori l💯
@chidiomari.653 жыл бұрын
Asante Sana Jamal, Allah akupe afya njema, Maisha marefu uzidi kutupatia tusiyoyajua. 🇫🇮🇫🇮🤝🇹🇿🇹🇿
@kelvinpatrick53054 жыл бұрын
Tulio chelewa kuangali story book tujuane kwa like jamani
@muhamedizuberi93153 жыл бұрын
atali sana
@alfredytemba17443 жыл бұрын
hahahahaha
@belitomanuel62407 ай бұрын
Mimi apa
@zulphernassir66763 жыл бұрын
Loove de way he narrates #@Addicted to his voice
@mlanguzi46582 жыл бұрын
for sure i have gained and learnt slot since I Started watching your story book,You have really change my mentality and admire your courage, passion and expression..You will always be my favorite @Jamali April..the Professor...am looking forward to being the next you if not you .many thanks from Nairobi Kenya...To My lovely Neighbouring country @+255..And all @Wcb Tv..you always make my day
@ashirievara85424 жыл бұрын
King of the story in Africa
@mohamedoman93443 жыл бұрын
Ooooh mashallah story yako hii mimi nimetoka kuipenda sana kweli my bro kweli
@bobanvideocenter664 жыл бұрын
Nimechelewa kidogo sanaaaaa #Sema nakubali Sana #Fact za nguvuuuuuu
@ibrahkadabrah70014 жыл бұрын
Twende sawa kama unamkubali professor
@oscerdicson19873 жыл бұрын
Poapoa mr Jamal asante Kwa kutujuza na kutuelimisha you are a real proffesor
@rajabuboffu12084 жыл бұрын
Akika we ni zaidi ya watu muhimu sana ktk story book mahana ndio mtu pekee ninaye weza kukaa kwa mdaa mlefu kufatilia story book
@kalembajohn1557 Жыл бұрын
Kaká Mimi nakuelewa sana tena sana naihitaji ungenipa namba yako Kaká Nina itaji nikupe kitabu kimoja nilicho nacho my ndugu
@kalembajohn1557 Жыл бұрын
Iike my brow
@johnsonkuli79754 жыл бұрын
Mwanamke wa shoka huyo yaan ni show show🔥🔥🔥🔥
@youngleegreat13724 жыл бұрын
I love this story .. God bless you my brother Mr professor
@amshlynebaby84954 жыл бұрын
nimewahi mapemaa leo nipeni like zngu..nilipoona tu the story book nika smile😊
@davidwalalason76303 жыл бұрын
Kudos bruh for this amazing story.
@fatmamasafu86064 жыл бұрын
Katika dini ya kiislam sijafundishwa hivyo ewe mwenyezi Mungu niongoze ya Rabb🤲🤲nauwa tenge mbali wanao ichafulia jina dini yko ya haki
@nickbrown83504 жыл бұрын
Em soma Qur-an
@fatmamasafu86064 жыл бұрын
@@nickbrown8350 inasema nn watu walipue wasio kua na hatia ama??? Nisome nn???
@nickbrown83504 жыл бұрын
Waumizeni kama wanavyo waumiza na wao waumie kama mnavyo umia nyinyi we huoni mataifa ya ya kiislam ndio yamegeuka uwanja wa vita wanauwa watoto aw a na hatia si wapignie kwao wanaenda kupigana kwa mataifa ya wenzao
@rizikihanafi5864 жыл бұрын
G
@Officialyussy4 жыл бұрын
@@nickbrown8350 Qur an .. aijasema tuuwe watu ww iyo qur an ya kuua watu.umeisoma wap
@motofficial47442 жыл бұрын
Asante professor sasa mi huyu ningemjua lini kumbe na wa mama wamoo 😂😂🙌🙌
@ibrahimgwasma2358 ай бұрын
Hao wauaji wa kujilipua kwenye mikusanyiko ya watu ndo wanaonichelewesha nisiiamini uislamu
@LovelyBakedBuns-po8vvАй бұрын
Watching from Kenya 🇰🇪 westlands I will never forget 2013
@elishadesela2694 жыл бұрын
Tamu San , Appreciate u broo
@AbdulMwakauli-u5lАй бұрын
Wakenya in the house of story book❤🎉
@josephmdendemi32223 жыл бұрын
Niko motivated Na uislam kwa kweli Kuna nn kwenye uislam y people are willing to die for Islam I belive Kuna jambo lipo muhimu
@IntelligentCreatures3 жыл бұрын
😂 😂
@intercontinental82033 жыл бұрын
Qura'n 9:29 Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wametii. .. . Qura'n 4:95 Hawawi sawa Waumini wanao kaa tu wala hawanadharura, na wale wanao pigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu kwa mali yao na nafsi zao. Mwenyezi Mungu amewatukuza cheo wale wanao pigana kwa mali yao na nafsi zao kuliko wale wanao kaa tu. Ingawa Mwenyezi Mungu amewaahidi wote mashukio mema, lakini Mwenyezi Mungu amewafadhili wanao pigana kwa ujira mkubwa kuliko wanao kaa tu. ... Qura'n 5:33 Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa. ... Qura'n 9:20 Wale walio amini, na wakahama, na wakapigana Jihadi katika Njia ya Mwenyezi Mungu kwa mali yao na nafsi zao, hao wana cheo kikubwa zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu. Na hao ndio wenye kufuzu. ... Pia unaweza kwenda kusoma Qura'n 9:3, 2:244, 9:73 Hadith Jami` at-Tirmidhi 1663 Sahih al-Bukhari 3254
@mariamhamad32973 жыл бұрын
Karbu jose
@eastafrica68583 жыл бұрын
Mashalllah huyu mtu shujaa wa moyo kajiuliza yani sasa kuna mitandaoo kila kitu utauliza history uislam dini ilio kamilika brow bada ya isa ni mtume wa mwisho alie kamilisha dini ila wengine wanaificha watu wasiijue ila fatilia
@eastafrica68583 жыл бұрын
Mmungu ni mmoja hana mshirika kaumba adam kawaleta manabii wengi zaidi ya mia na 20 ila alio wachagua ni 25 adam idrisa nuh hud saleh ibrahim lut ismael ishaca yacob yunus ayob shuaibu musa harun zulkifl daud sulaiman ilyas ilyasaa yunus zakaria yahya (isaa ) na (muhamda rasulullah ) na wote hao ni ardhi za warabu fatilia ibrahim alivyo vunja masanamu na kuanzia msingi wa hija macca ndio alio muacha sara na ishaca na kumuchukua hajra na ismael kwa kuamrishwa na mmungu ahame na aende jangawani na wakati huyo hata maca yenyewe ni jangwa hakuna hata mtu alipo safiri njiani akakuta na malaika wawili na kumwambia wao wanaenda kwa nabii lut kuna masi na hapo kukawa kwa nabii lut mji wake kupigwa na kugeuzwa mawe na ibrahim ndio akaenda jangwani hapo akawacha yy akaenda irag na alipo wacha hakuna maji wala binadam hapo hajra akahangaika anakimbia na kurudi mara ya saba ndio ndio akayaona maji chini ya miguu ya mtot wake hapo akawa anayazuia yasitoke azinge tazuia mpaka leoo yangee jaa dunia nzima maji ya baraka na mpaka leo watu wakihiji huwa wa tembea mara 7 kama alivyo fanya hajra na ibrahim alipo rudi akawa shangaa kuona ni mji umekya na yy akaoteshwa kumchinja mwanae alipo taka kumchinja akapewa kondoo kabadilishiwa kwa uwezo wa mmungu alitaka kujua imani na hapo mpaka leo kila mwaka watu wakichinja wakihiji na na hapo ndio chanzo na msingi wa dini wa kislamm ni kwa ajili ya ibrahim as ) na mtume muhamad ndio asili kinacho toka kwake ibrahim na unaona mpaka leo wanahiji na hakuna dini inayo hiji na inayo msingi wa dini kama islam bado mambo mengi fatilia na kibla alicho kieka na bii ibrahi leo wana sayansi wameshangaa kukiona ktikati ya dunia yote ni uwezo wa mmungu na waislam hawamshirikishi mmungu na kitu mmungu ni mmoja na tu na wote ni mitume wake kaumba adam bila baba wala mama na isa bila baba yote kuonyesha uwezo kaumba dunia bila kushikamana ardhi na anga na kuweka anga bila nguzo hata moja na kamumba binadam katk umoi zuri na akili allahu akbar
@Peaceonlinemarket2 ай бұрын
Yaaan thnx Jamal for ur stories i real learn a lot, be richly blessed u real inspire me😊👍👌
@aliramadhan51102 жыл бұрын
Yuo are the true professional
@melody_mike_mavoice4 жыл бұрын
I love the way he narrates it
@wallesdavidprimarymasinga3382 Жыл бұрын
Hivi hajakamatwa
@hamadiselemani86653 жыл бұрын
Jamal Wewe Umekua Mwalimu Wangu Kwasasa Bila Ya Wewe Mwenyewe Kujijua... Mungu Aendelee Kukupa Maarifa
@loyydmil134 жыл бұрын
Cwez hacha kuckiliza The Story Book
@expert58983 жыл бұрын
Mpo vzr sana THE STORY BOOK..... Mpo smart saaaaaana aise.
@thebananapeddler45733 жыл бұрын
From Kenya we readily countenance that this is an awesome narration. Sterlingly and thoroughly articulated by professor Jamal. Your exceptional gift of the gab is unmatched second to none. I am discombobulated by the grotesque activities executed by this White Widow. My prayers are that one day she'll be nabbed and restrained from planning more terror.
@darryllowd39963 жыл бұрын
"udhibiti wa corona ulivyompaisha JPM" 😂😂😂😂😂yo jamal ... it's lit thou mzee wa kaz
@AshaIsmail-ny7ex5 ай бұрын
Nakukubali sana Jamal April ishi sana 🥰🥰🥰
@rayyanabdul9552 жыл бұрын
Ndiyo maana siamini dini yoyote ile zaidi ya kumuamini mungu
@josephineluzango14634 жыл бұрын
Mliiona Jamal kapendeza sana kama bwana harusi naomba like zenu
@asiimweelvis98043 жыл бұрын
Thank you for the updated professor
@davidkauchonga60134 жыл бұрын
Professor Jamal the Genius
@lolanimals72063 жыл бұрын
Acheni kuomba likes jamani, mnaudhi balaa! Huwezi kuangalia tu na kucomment kawaida kuhusiana na mada au ukaamua kupita hivi? Acheni hizo wazee!
@hooswengosha29853 жыл бұрын
Kweli bob inaonkana wat wanabiashara zao t na hawajiusishi n mada
@hussnabakary35073 жыл бұрын
Tena hawajui kua uncomment point bac like utazipta bila kuomba
@jaydenkariuki65954 жыл бұрын
Simulizi tamu sanaa hongera mr professor
@danielarapmoi30414 жыл бұрын
huyu mama anao roho ya hayawani mungu atamlipa. love from mombasa thnk u the story book
@joelymsese73754 жыл бұрын
Jaaman tka nianze ktmia KZbin cjawah kppta Hat like naomben namm
@huntertm15144 жыл бұрын
I'd missed the story book. It had been a while
@bonheurNimbeshaho-qy7sy Жыл бұрын
Safi sana kwa kazi mzuli kaka
@robertlameck70953 жыл бұрын
We kijana unaweza sana Like kwa huyu mwamba
@novicemunis9393 жыл бұрын
Ilove the story book is truth
@shijamhamilashijamhamila30953 жыл бұрын
Hongera nakupa Niko kijijini safi Sana napanda mti kuangaria sitori zako
@amamiss223 жыл бұрын
Jamal is so smart 🤓 👏 🙌 👌
@majaliwacharles10724 жыл бұрын
aaaaah kak me Sina cha Zaid. ya kusema nakubal San kazi ako prof
@bigfavodanizia74443 жыл бұрын
🇲🇿 🇲🇿 🇲🇿 unakubalika Kama niniih JAMAL mungu akubariki daima
@mwalimumambo456 Жыл бұрын
Mashallah Mungu akuajalie Pepo
@mwalimumambo456 Жыл бұрын
Ameen
@Vanisikaka4 жыл бұрын
Halafu unakuta bongo kuna wamama wanaimba ama supaaa womaaan , supaa woman , supa womaaaaaan ha ha ha kumbe kuna mawhite widow wapo chaka hukoo.
@scariothagreat4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@cendrillonnam45494 жыл бұрын
🤣🙌🏽 munyamweziii!!!
@jifaqmoonwalker60324 жыл бұрын
Asa we ushoka ni ugaidi
@maikobruno68154 жыл бұрын
Usuper women kwny ugaid???we vp
@michaeleustach97693 жыл бұрын
Kwel kka halafu wakiona nyoka tu nduki
@imnotplayingok18944 жыл бұрын
Professor we appreciate that love from u.s
@hamisimtemi38034 жыл бұрын
welcome Tanzania buddies
@hashimlowela67413 жыл бұрын
Jamali we kweli professor bro nimekuelewa sana
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
Ivi we jamal uwezi kumfundisha mfanyakazi mwezenu wa wasafi yule dada wa refresh kuvaa na kupendeza.
@faithmaina33573 жыл бұрын
Please get more stories because I have watched all of them
@christophermpangala90674 жыл бұрын
Story inatisha sana samanta syo powa hongera sana professor
@Hamisipeke2 ай бұрын
Am from 254,ila wakenya tumewachilia sana wasomali kuingia inchini
@ATHUMANIABDALLA-ku7sc8 ай бұрын
Kak unatixha xana 🥰🥰🥰
@meshackmagoko4 жыл бұрын
duhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh noma sana
@rathaktz4014 жыл бұрын
I like that 💕 proffer Jamal
@msouth07msouthkhan343 жыл бұрын
wakuongeze mshalaaha maan nifund wa simuliz!!+
@daudimussa45074 жыл бұрын
Jamal the mirror of history peaple
@tabasamkimu15893 жыл бұрын
Shukurani Sana Jamar mositapha
@ashurasharif-ln4nl Жыл бұрын
Natamani kuwa km Samantha na mm maana story yake naipenda sana nampenda sana huyu dada❤❤❤
@Jefriez8 ай бұрын
Kuwa tu dada angu😂😂😂
@HashimuHashboy-bo2wl5 ай бұрын
Usitamani kufanya ubaya maisha ni nafupi sana
@martinmartinadriantedei4926 Жыл бұрын
Watu ety wanapenda story ya kigaidi
@MatridaGodfrey-xf1zn7 ай бұрын
Hapa nimegundua mtu yoyote yule anaweza kuwa gaidi bila kujali jinsia na akatesa watu vilivyo😢😢 allah atunusuru
@hamisunited44894 жыл бұрын
Waaooo nimependa story
@AllyMbaga-zf4kuАй бұрын
Bro hongera kwa cmulizi zako
@pkanannoah50715 ай бұрын
I'm addicted to this channel 😅😅
@fatimaramadhani88913 жыл бұрын
Naipenda the story book mpka bhcc ...
@melody_mike_mavoice4 жыл бұрын
I believe such contents aren't just for local just a request i feel it will be better if we have the subtitles next time bravo for the great job
@emmanuelsimon93893 жыл бұрын
L
@carenmihayo79919 ай бұрын
Acha ujinga ni kwaajili ya Tanzania tu
@carenmihayo79919 ай бұрын
Tunajivunia na lugha yetu
@dukeondieki8219 Жыл бұрын
Asante sana kutaja KENYA💪💪💪👏👏👍
@julithamuhale72713 жыл бұрын
Nimeipenda hii story!
@arnoldarichald94523 жыл бұрын
Nakubal San bro jamal
@masterjosh31003 жыл бұрын
Psheeeewww... Kama nikuelewa unataka jamani hapa ndo wafaa kugundua.....nice work
@hooswengosha29853 жыл бұрын
Wamefanikiwa makafiri ila wakipnga mipngo n a mungu hupnga yke kwani thamasra amekulia ktk ukafir anafia ktk uislam mashaallh
@ashuramohamed22512 жыл бұрын
Duh inatixha mno
@boscoberneto69054 жыл бұрын
Wazee mnafurahisha mnakoment hamjamalza story
@binthawa29734 жыл бұрын
hahahaha
@youngsimbawcb18144 жыл бұрын
😁😁😁😁😂😂
@ajumaakange14832 жыл бұрын
Jamali kweli wewe niprofesa nimekuelewa vizuri
@masudikhamisi25754 жыл бұрын
Jamaa unajionesha sana au unaigiza
@martinotima2 жыл бұрын
This good
@albanuschaula54464 жыл бұрын
Mmmh samantha sio poa,,Wanawake wakiamua,,,,,sio watu
@johnjoseph7633 жыл бұрын
Sio wakiamua wapo hvyo
@lizabito751210 ай бұрын
Asnti jamal 🎉😊
@paulonsyengulapaulo1564 жыл бұрын
Story kalisana hiiii gonga like hapa kamaume ielewaaaa
@GabbyKhats-tv7sh8 ай бұрын
Fanya moja ya Iddi Amin dada
@gingswhite2474 жыл бұрын
Guys stop just asking for likes,, even sometimes come up with solutions🤓🤓
@jihadabdi77544 жыл бұрын
Wapumbavu sana tena watu wazima
@fortnoble4943 жыл бұрын
Fantastic
@iddyathumani25793 жыл бұрын
Having listened to this narrator Jamal, I recommend he is the best story teller. Given the chance to choose a story to be narrated by Jamal, I would choose him to narrate the Gripper story.
@barakamakongo61843 жыл бұрын
Ever since mtiga abdallah dropped out from this media my passion over the storry book dropped
@ndegeisaac82493 жыл бұрын
I think they are... God bless... world
@brianingare62973 жыл бұрын
Yaani nimefurahishwa na simulizi zako Jamal
@johnmwangi24354 жыл бұрын
Naipenda hi jameni tena sana
@angeljobu74494 жыл бұрын
Kama unaamin mwanamke ananguvu zaid ya ushawish dunian nipe like yangu
@johnjoseph7633 жыл бұрын
Si mnatumika na sheten mlio wengi mnajisifia ujinga
@gingswhite2474 жыл бұрын
Even today she hasnt been found😥😥
@michaelcosmas15683 жыл бұрын
But she still alive
@hooswengosha29853 жыл бұрын
KwAiyo zuia panga funda dunia si ya mt binafs au kikund huez kuwaleta wat wote ktk fikra moja