No video

THE STORY BOOK : Yamepotelea Wapi Mawe ya Amri 10 za Mungu ?

  Рет қаралды 876,242

Wasafi Media

Wasafi Media

3 жыл бұрын

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 1 000
@kingpin2511
@kingpin2511 3 жыл бұрын
Nipewe Like za The Only Professor We Have In Africa
@gloriaako7225
@gloriaako7225 3 жыл бұрын
Umerudi vyema Jamal April nakupata vyema kbs toka 🇹🇿 like 20 jamn km umekubali ujio wa the story book
@vivianoforo4760
@vivianoforo4760 3 жыл бұрын
Walokuwa wanamgonja Jamal kwa hamu gonga like twende pamoja.
@isaackmboma72
@isaackmboma72 3 жыл бұрын
Sija amini yanikama Jamal kaludi I'm so happy
@mwiguluzabron1414
@mwiguluzabron1414 3 жыл бұрын
Nmemsubiri sanaa
@njoylee225
@njoylee225 3 жыл бұрын
@@isaackmboma72 J
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Sjaamini kumckia Jamal again jmn ninakupenda Sana Jamal km washkaji zangu waliolike
@aminaathuman2917
@aminaathuman2917 3 жыл бұрын
We miss you Professor Jamal
@vivianoforo4760
@vivianoforo4760 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu pekee ndiye mjuzi. Sio yote tunatakiwa kuyajua mengine ni kumuachia mwenyezi Mungu pekee Asante Jamal
@lujenjejr3628
@lujenjejr3628 3 жыл бұрын
Wazungu walitupiga tu na hadithi zao ili watukoloni...
@swagatdebracy6447
@swagatdebracy6447 3 жыл бұрын
Imeandikwa yachunguzeni maandiko tena ikaandikwa usimuache elimu aendezake.
@allymajeba4211
@allymajeba4211 3 жыл бұрын
JJ
@seasonepisode3328
@seasonepisode3328 3 жыл бұрын
@@lujenjejr3628 ukifa utaelewa tuuu kila ndimi itakiri
@lujenjejr3628
@lujenjejr3628 3 жыл бұрын
@@seasonepisode3328 nani alikifa akawaambia kua huko kila ndimi zinakiri...
@thearphaxadstv
@thearphaxadstv 3 жыл бұрын
nimeishi kuombea the storybook kurejea na ama kweli maombi yangu ni ya hakika SIJAFELI😍😍✔
@m.jbluesea2711
@m.jbluesea2711 3 жыл бұрын
Kbisa kzbin.info/www/bejne/b4esf5SEd6affLc
@nissarhussein4887
@nissarhussein4887 3 жыл бұрын
Unaombea ujinga badala kuombea Wazazi wako dahh Innalillah wainaillah rajuun
@thearphaxadstv
@thearphaxadstv 3 жыл бұрын
@@nissarhussein4887 ama kweli unadhihirisha ulemavu wa ubongo wako samahani maombi yangu kama hayakupendezi omba yako
@fredyefd8116
@fredyefd8116 3 жыл бұрын
@@nissarhussein4887 fikra zako cyo zetu shugulika na yako
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 3 жыл бұрын
@@nissarhussein4887 kwa hiyo unajaribu kutuaminisha nini sasa kwa mfano...? Kwamba wewe tangu uzaliwe hujawahi ombea chochote wala mtu yeyote chini ya jua tofauti na wazazio sio..?
@ibrahkadabrah7001
@ibrahkadabrah7001 3 жыл бұрын
Kama unasikiliza huku unasoma comment gonga like twende sawa WCB 4 Life
@nissarhussein4887
@nissarhussein4887 3 жыл бұрын
Zinakusaidia nn izo like acha ujinga tafuta ela sio like
@oscarsabin3561
@oscarsabin3561 3 жыл бұрын
Leo nimeflai sana imanijenga sana kwenye imani yangu amen tunamsubira bwana yesu kisto amen
@mwarabumbarak4342
@mwarabumbarak4342 3 жыл бұрын
Huyo unaye msubiri mwisho atakukana. Luka 13:25-28 Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako; 26 ndipo mtakapoanza kusema, Tulikula na kunywa mbele yako, nawe ulifundisha katika njia zetu. 27 Naye atasema, Nawaambia, Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu. 28 Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.
@samuelmuhina3186
@samuelmuhina3186 2 жыл бұрын
Usimsikilize m2 yeyote iwe Mimi huyu Jamal na hata wasomi.....muombe Mungu akutie maarifa ya kumjua....Soma neno mwenyewe
@Pro_Hacker99
@Pro_Hacker99 2 жыл бұрын
@@mwarabumbarak4342 maandiko ya kwenye kitabu Cha biblia na ata Qur'an ni mazito Sana, hayana tafsiri sisisi yaan hayatafsiriwi Moja kwa moja kama yalivyoandikwa, yahitaji akili ya Iman ili kujua nn kinachokusudiwa kwenye andiko....mfano ww sheikh hapo umetafsiri Moja kwa moja Yan umenukuu na kichwani umeweka kama ilivyo......muache mtu na Iman yake
@denismugisha2
@denismugisha2 11 ай бұрын
Jina la BWANA huandikwa kwa herufi kubwa
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 3 жыл бұрын
Usihofu sanduku lipo soma maandiko haya. Bibilia ni jibu "yenye chetezo cha dhahabu, na sanduku la agano lililofunikwa kwa dhahabu pande zote, mlimokuwa na kopo la dhahabu lenye ile mana, na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka, na vile vibao vya agano; Waebrania 9:4 Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana." Ufunuo wa Yohana 11:19
@raymondjohn3798
@raymondjohn3798 3 ай бұрын
Kihistoria sanduku la agano lilipotea kule lilipokua lakini lipo Ethiopia sehemu moja ambapo ndio Malkia wa Sheba alipokuwa anatokea,katika mji wa Axum.
@stanleymathenge3257
@stanleymathenge3257 8 ай бұрын
Mimi utazama nikiwa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 jina langu ni Stanley mathenge ❤ mnipee likes 🎉🎉🎉
@winniethuo9736
@winniethuo9736 7 ай бұрын
Wīmwega mŭndŭ Mathenge. Haya ni magumu sana sijui wewe umefikishwa na hizi habari mbali mbali za hali na mali na mengineo ya Kiroho.
@daisynyerere5730
@daisynyerere5730 6 ай бұрын
Haya tumekupea
@stanleymathenge3257
@stanleymathenge3257 6 ай бұрын
@@daisynyerere5730 thanks
@stanleymathenge3257
@stanleymathenge3257 6 ай бұрын
@@winniethuo9736 nekwega muno Winnie
@johnlahai-loy2601
@johnlahai-loy2601 4 ай бұрын
15:08
@user-iz9hi4cq6f
@user-iz9hi4cq6f 2 ай бұрын
Ahsant sana ndug Jamal kwa story nzur naomba utusaidie kujua historia ya bustani ya heden
@antonynyerere4347
@antonynyerere4347 3 жыл бұрын
Jamali April....hongera sana unatufanya tujue mambo ya siri sana ya dunian mungu na azidi kukubariki kaka yang binafsi nakupenda sana
@LilfourEmpire
@LilfourEmpire Жыл бұрын
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 with looove
@abukhaulatibrahim7521
@abukhaulatibrahim7521 3 жыл бұрын
Hichi ndio kipindi pekee ninachofuatilia wasafi. Hongera sana Jamal, hongereni Wasafi Media
@peterkipuzi2700
@peterkipuzi2700 3 жыл бұрын
Huwa kipo muda gani,na siku gani
@bettymwasa1079
@bettymwasa1079 19 күн бұрын
Hivi huwa kinarushwa lini na saa ngapi??
@midoboytz2248
@midoboytz2248 3 жыл бұрын
Jaman April alikuwa kimy San Kama ulikuwa una mmic Kama mim gonga like
@samuelmweipongwe140
@samuelmweipongwe140 3 жыл бұрын
Watu ni wavivu wa kufikiri na ni wavivu wa kujituma kuyajua mambo. Ufunuo wa Yohana 11:19 [19]Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana.
@boscomtani1006
@boscomtani1006 3 жыл бұрын
Jamal April a.k.a. Jamal Mustapha a.k.a. Professor unajua sana, nikiona the Story Book Umeandaa na kusimulia najua kwamba hicho ni kitu makini kilichofanyiwa utafiti wa kutosha na kuwasilisha kwa ustadi wa kuvutia kwa njia ya simulizi. Hakika wewe ni tunu kwa taifa, dunia na ulimwengu. Ubarikiwe.
@nurdinhussein
@nurdinhussein Жыл бұрын
Leo wa kwanza naombeni like zangu
@anastaziamruma3775
@anastaziamruma3775 3 жыл бұрын
Hatimaye kipindi changu pendwa 💕💕💕kimerudi 🙏
@user-eu8lc6co2j
@user-eu8lc6co2j 4 ай бұрын
Mbona mnapenda like hv kuna hela mnapata 😮😢❤ I came in peace ✌️
@ommymbalikila4034
@ommymbalikila4034 3 жыл бұрын
Leo nmekuwa wa Kwanza jamani like zenu ata 50
@m.jbluesea2711
@m.jbluesea2711 3 жыл бұрын
Kbisa kzbin.info/www/bejne/b4esf5SEd6affLc
@nissarhussein4887
@nissarhussein4887 3 жыл бұрын
M acha ushamba na ww kbisa ndo nn huelewek fala ww
@ommymbalikila4034
@ommymbalikila4034 3 жыл бұрын
@@nissarhussein4887 kwani umelazimishwa kukoment c ukaushe tu
@KAKAKUONATV
@KAKAKUONATV 3 жыл бұрын
Hoja ya dini na dini
@msafirizakayo539
@msafirizakayo539 Жыл бұрын
Uko vizuri
@hassanyussuph4407
@hassanyussuph4407 3 жыл бұрын
Jamal unafanya kazi kubwa sana kutengeneza thestorybook kazi nzuri sanaa
@willywox5040
@willywox5040 3 жыл бұрын
My brother from another mother! tulikumis san kaka 🙏
@aishwiihbeauty9912
@aishwiihbeauty9912 Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰. Nakupenda ww
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 3 жыл бұрын
Neno la Mungu ni taamu
@ledamussa30
@ledamussa30 3 жыл бұрын
Sanaa
@annastaciangau9004
@annastaciangau9004 3 жыл бұрын
Jamal april pamoja na the story book mungu akubariki zaidi kwa bidii yako ya kutuelimisha, karibu tena na tena kwa story zako zenye mafunzo mazuri siku zote
@frankkondo5198
@frankkondo5198 3 жыл бұрын
Wewe unatakia upewe p.hd ya heshima
@neemamiruho2096
@neemamiruho2096 3 жыл бұрын
@@frankkondo5198 qqqqqqq
@neemamiruho2096
@neemamiruho2096 3 жыл бұрын
@johnsonkatembo7207
@johnsonkatembo7207 3 жыл бұрын
Story book nashuku rusana Mimi naichi Congo ila nakufata vizurisana n'a kulomba namba yako ya WhatsApp
@ahmedabdirustu2193
@ahmedabdirustu2193 2 жыл бұрын
A2
@alphahappy3501
@alphahappy3501 3 жыл бұрын
Hapa sawa sasa, sio storybook inapotea mpaka tunataka kuchanganyikiwa.
@doricekadushi3924
@doricekadushi3924 3 жыл бұрын
😁😁
@simondangote3245
@simondangote3245 3 жыл бұрын
Nimefurahi kusikia kuwa na ww unamsubiri yesu na unaamini atarudi cku ya mwisho asante sana professor kwa kuwafungua wenzko ambao awahamini kwl hyo kuhsu kurudi kwa mwana wa Adam, YESU
@murshidjamshid6758
@murshidjamshid6758 3 жыл бұрын
Yesu atarudi sio kwamba hakuna muislamu asiye tambua kua hatarudi. Ila sisi na nyinyi tunakinzana issa/yesu hakufa kabla ya kupaishwa kwake kwenda mbinguni Wala issa/yesu si MUNGU kama msemavyo. Wala MUNGU -hana utatu mtakatifu (hapana)
@ruqayissa4207
@ruqayissa4207 2 жыл бұрын
Na issa hakusulubiwa mapimbi hawa
@officialprincebaro6983
@officialprincebaro6983 3 жыл бұрын
The story book huwa inatusaidia kujuwa na kutaka kufatiliya jambo.. Nakubali Mzee wa zamaniiiiiiii Zamani sana Welcome
@thabitiajibu4404
@thabitiajibu4404 3 жыл бұрын
WCB4life kimeludi tena kipindi changu pendwa @the story book tujuane hapa wote tunaopend the story book like k10
@cleverofficial5500
@cleverofficial5500 3 жыл бұрын
Kabisa kaka
@evancepatrice1114
@evancepatrice1114 3 жыл бұрын
Dah ahsante sana wasafi media kusema kweli wasafi ni media iliokuja kupindua radio zingine watasubili sana
@Paplick9
@Paplick9 3 жыл бұрын
Jamal April the master miind professor una akili sana weka like apa
@nissarhussein4887
@nissarhussein4887 3 жыл бұрын
Zinakusaidia nn izo like
@Paplick9
@Paplick9 3 жыл бұрын
@@nissarhussein4887 ata nikikujibu inakusaidia nini wewe
@12322879
@12322879 3 жыл бұрын
Muache uvivu wabongo,muwe mnafuatilia vitu youtube na google kama yeye.Unamsifia kwa kukutafsiria!
@ldguo3702
@ldguo3702 3 жыл бұрын
Sanduku laagano liko D.R.Congo ,maana ndo inci inautajiri mingi pia umaskini kwasababu ya vita
@user-bc4cd5ws5o
@user-bc4cd5ws5o 10 ай бұрын
Asante sana jalibu kuamini jina la YESU😢😢😊😊😊❤❤❤❤
@royalityjunior210
@royalityjunior210 3 жыл бұрын
We kaka story Yan tanguh nimeanza kuangaliah story book nafanya poa kwene somo la history munguh akubalikih maanah sikuh hizih imani yanguh pia imekuah Long life to you
@nzisakasau8234
@nzisakasau8234 3 жыл бұрын
Finally story book is back 👏👏👏👏👏congrats Jamal April
@selfaakinyi7824
@selfaakinyi7824 3 жыл бұрын
Kumbe uko uku pia my dear
@nzisakasau8234
@nzisakasau8234 3 жыл бұрын
@@selfaakinyi7824 🤣kabisaa
@asmaomary1880
@asmaomary1880 3 жыл бұрын
@@nzisakasau8234 ,🙄😉🙄
@selfaakinyi7824
@selfaakinyi7824 3 жыл бұрын
@@nzisakasau8234 i knew you at milele FM all the plat form za Jalango.
@nzisakasau8234
@nzisakasau8234 3 жыл бұрын
@@selfaakinyi7824 woow 😊
@thobiasmgimwa6794
@thobiasmgimwa6794 3 жыл бұрын
Asante #the storybook imekuwa ikinisaidia kujuwa mengi Sana duniani
@farajajoseph2971
@farajajoseph2971 3 жыл бұрын
Nilikua nime miss makala zako, punguza ukimya kaka mkubwa tunakukubari sana The Story Book utabakia kua juu wengine wakasome
@allymanjano698
@allymanjano698 3 жыл бұрын
Aise umeifanya siku iishe vizur,nakubar kamanda👍👍
@bettybetty8717
@bettybetty8717 3 жыл бұрын
Thanks for coming back @Jamal
@barakawabuge5285
@barakawabuge5285 3 жыл бұрын
Toka kenya kila siku naingia you tube kuangalia kama the storybook ipo.. Nashukuru umerudi baba
@prayerchamber1600
@prayerchamber1600 3 жыл бұрын
Dini ya kweli ni roho yako... Kuwepo kwa lugha tofauti duniani ni mipango ya Mungu pia kuwepo kwa imani tofauti ya dini ni mipango yake...
@asaa3219
@asaa3219 3 жыл бұрын
Aziji bure hizi story tujifunzeni kitu guys 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥
@margaretmahege7948
@margaretmahege7948 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana Jamal
@godfreymtazama4581
@godfreymtazama4581 3 жыл бұрын
Daaah proffersor nilikuwa nasubiri simulizi zako kwa hamu maana nimemaliza zote kuzifatilia as historian
@kingnoebamikwa373
@kingnoebamikwa373 3 жыл бұрын
Umemaliza bwana jamal. Tume miss kipindi boss wangu nilitafuta nipingiye CEO Platnumz ju ya ufafanuzi zaidi
@m.jbluesea2711
@m.jbluesea2711 3 жыл бұрын
😂😂😂kzbin.info/www/bejne/b4esf5SEd6affLc
@suzanaissa3146
@suzanaissa3146 2 жыл бұрын
Mungu akuzidishie maradufu.
@millionairejeffreysunofbez3766
@millionairejeffreysunofbez3766 3 жыл бұрын
Huwezi kwenda kwa Mungu ila kwa njia yake yy Yesu Kristo, ...bas subirn sana aje kusema mala ya pili kuwa yy ndiye njia ya kweli na uzima juu
@shabanishila3961
@shabanishila3961 3 жыл бұрын
Wewe kweli msomi, ahsantee kwa the story book
@idungaphotostudio3576
@idungaphotostudio3576 3 жыл бұрын
Hongera sana jamal unafanya kazi nzuri sana sijuti kukufahamu kaka tunasubiria tena kwa mara nyingine the story book
@user-kz5pk5fv7o
@user-kz5pk5fv7o 2 ай бұрын
Mungu akubariki kwa kutupa ushuhuda Jamari nitafutie stori ya kisa cha wakristo na waislam hata kdog jinsi ilivyo kua
@twenzetumbuganitanzania1260
@twenzetumbuganitanzania1260 3 жыл бұрын
Daah!! Nimekuwa wa mwisho ku view....🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍
@jembe34
@jembe34 3 жыл бұрын
Ulikua wapi mwanangu napenda story zako sana lakini ngepeenda ue unafululiza ukimya wa muda mrefu unapoteza washabiki pia napenda nkushauri soma sana quran ina hadith nyingi sana za mambo ya kale mfano ni wale vijana wa pangoni waloishi miaka mingi sana wakiwa wamelala bila kujua wao wakajua wamelala usiku mmoja tu pia kuna habari za watu wa adi wakubwa wenye nguvu sana
@emmanuelanthony3496
@emmanuelanthony3496 3 жыл бұрын
Ngoja na mimi ni comment tu niongeze comment
@user-hw7ce8gf6v
@user-hw7ce8gf6v 6 ай бұрын
HAKUNA SIKU SANDUKU LA AGANO LITAPATIKANA MPAKA MWISHO WA DUNIA MAANA SANDUKU LA AGANO LIKO MBINGUNI. UFUNUO 11 19 KISHA HEKALU LA MUNGU LILILOKO MBINGUNI LIKAFUNGULIWA, NA SANDUKU LA AGANO LAKE LIKAONEKANA NDANI YA HEKALU LAKE KUKAWA NA UMEME, NA SAUTI, NA RADI, NA TETEMEKO LA NCHI, NA MVUA YA MAWE NYINGI SANA. AMEN❤❤❤
@impixelmusictz3044
@impixelmusictz3044 2 жыл бұрын
Kaz nzur kak endelea kutuelimisha
@mg_og4185
@mg_og4185 3 жыл бұрын
Nakubalii san the story book🔥🔥🔥
@raminsaid8921
@raminsaid8921 3 жыл бұрын
Mama
@nkomyajohn4271
@nkomyajohn4271 3 жыл бұрын
Jamal April PROFESSOR, nakubali Sana , Good story
@florancebidogo4310
@florancebidogo4310 3 жыл бұрын
Big up sana Professor Jamal,Mungu akulinde siku zote
@gabrielmethod4033
@gabrielmethod4033 3 жыл бұрын
Hakuna anayeweza kuharibu tabia ya Mungu ,maana Mungu ni pendo ,na pendo ndio utimilifu wa Sheria,so kama Mungu ni pendo basi amri zote zinazungumzia upendo ,na wote tutahukumiwa kwa amri hizo za upendo , kwa maana hiyo lazima hizi amri ziwe kwake yeye Muumba wa mbingu Soma ufunuo 11:19
@ireneassey753
@ireneassey753 3 жыл бұрын
Tusubir yesuu akirud tutajua yote...AMEN
@hamdanmrisho4606
@hamdanmrisho4606 3 жыл бұрын
Mambo
@ireneassey753
@ireneassey753 3 жыл бұрын
@@hamdanmrisho4606 powa
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 3 жыл бұрын
Akirudi atasema na watakatifu watu walio mpenda na kumwamini Mungu
@rehmydee28
@rehmydee28 3 жыл бұрын
Thankful Professor we had missed this.Love from Kenya
@georgebataze6625
@georgebataze6625 3 жыл бұрын
Karibu tena kaka, nakubali kazi yako sana
@mrchazzy6551
@mrchazzy6551 3 жыл бұрын
Amina tumungojee bwana wetu yesu kristo tu
@pendooscar9322
@pendooscar9322 3 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kutuletea story nzuli nimejikuta nikitaman Sana kujua biblia kuliko kitu kingine
@enessisosten2976
@enessisosten2976 3 жыл бұрын
Kama mm
@davidmaisely7487
@davidmaisely7487 3 жыл бұрын
Ndugu zangu wakristo tuwe makini na kumuomba Roho mtakatifu usikivu juu ya hizi simulizi zilizopo kwenye kitabu chetu
@sylvesterlosuru9826
@sylvesterlosuru9826 2 жыл бұрын
The man is always correcting the Bible...kidogo Judah Leo amri kumi na naona Mzee cjui tusifuate bible
@disantojevnco2718
@disantojevnco2718 3 жыл бұрын
Hi I am watching from Buguruni city centre Tz Dar
@eastcuisines124
@eastcuisines124 3 жыл бұрын
Hehehe Asante jamal kwa history nzuri ila Yesu anarudi kwa jambo moja tu kuchukua wateule wake,watakatifu sio kutuambia dini ipi ni ya Mungu,afterall dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu 😎
@regankhalifa3995
@regankhalifa3995 3 жыл бұрын
Real fact best
@regankhalifa3995
@regankhalifa3995 3 жыл бұрын
Iman NI bolaa KULIKO dinii
@eastcuisines124
@eastcuisines124 3 жыл бұрын
@@regankhalifa3995 amen
@annamalingi1855
@annamalingi1855 3 жыл бұрын
Yesu akija hakuna wakati wakujirekebisha.
@esthernyinza9123
@esthernyinza9123 3 жыл бұрын
Your stories always give me goosebumps much love from 254 kenya
@ramadhaniramadhaniridhiwan6975
@ramadhaniramadhaniridhiwan6975 3 жыл бұрын
unakipaji kikubwa sana mbali naelimu yako
@christinejave1923
@christinejave1923 2 жыл бұрын
Welcome back jamaaaaaaal
@fredKiprop-vt8bz
@fredKiprop-vt8bz 9 ай бұрын
I love his stories
@Mr.Breakdown
@Mr.Breakdown 3 жыл бұрын
Tunaombq na story ya bustani ya Eden
@mosesmoses1429
@mosesmoses1429 3 жыл бұрын
Hongera Sana kijana kwakuwafumbua wenge the story book
@r14kgroup68
@r14kgroup68 3 жыл бұрын
Jamar Happ umenena nami niliwahi jiuliza
@jamesmachibya6532
@jamesmachibya6532 3 жыл бұрын
Miss this a lot. Safi sana Jamal
@m.jbluesea2711
@m.jbluesea2711 3 жыл бұрын
Kbisa kzbin.info/www/bejne/b4esf5SEd6affLc
@jacquesmmassa5589
@jacquesmmassa5589 3 жыл бұрын
Mda mrefu kidogo kaka tulikuwa tume ku miss kweli
@eliasturwa9858
@eliasturwa9858 2 жыл бұрын
Safi bro tupe na historia ya mathehebu
@mapalwa-online-tv
@mapalwa-online-tv 3 жыл бұрын
Tupe Mambo jamal nilikuwa nimemic Sana the story book
@haafidhaboubakary3097
@haafidhaboubakary3097 3 жыл бұрын
Our beloved have back again
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 3 жыл бұрын
Bravo bro @jamal for the story book
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 3 жыл бұрын
Amina hakika pengine lilipalizwa hivo akirudi mwana wa Adam atatuambia wanae mungu atufanye tuyashuhuudie hayo
@rehemafredrick7794
@rehemafredrick7794 3 жыл бұрын
Asante kwa story book Jamal
@harunaramadhani7764
@harunaramadhani7764 3 жыл бұрын
Mwisho Leo nmetoka kumkumbuka professor Jamar na the story book yake, welcome back chief
@venzotiger1792
@venzotiger1792 3 жыл бұрын
Mungu ndie muumbaji wa kila kitu"i love your story jamaly"
@hemedysaidy972
@hemedysaidy972 2 жыл бұрын
i like it the story books ningepend jamal wakup tuzo unanifanya nifatilie vitu kwa uwangalifu
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Nawaambieni ukweli nyie sisi wakristo na waislam Ni ndugu na ukristo na uislam Ni kitu kimoja sema Hawa waletaji dini walituchanganya jamani nyie hii ndo nn Sasa km unakubaliana na mm gonga like jamani
@simonkaggwanjala9597
@simonkaggwanjala9597 3 жыл бұрын
Pamoja sana kama wanadamu lakin waletaji dini unakusudia mitume au akina nanii🙏
@johnkishiwa8904
@johnkishiwa8904 3 жыл бұрын
Hatimaye the story book hewani tena woooow
@evaristmrope
@evaristmrope 3 жыл бұрын
I really appreciate Professor Jamal🎓
@kitumainiluc8952
@kitumainiluc8952 3 жыл бұрын
Hongera sana wasafi media. Nawapenda sana kabisa! Mutujulishe majina 99 za MWENYEZI MUNGU kama zilizo na maana zake.
@monicabh1668
@monicabh1668 2 жыл бұрын
Pole ndugu 😢unaamini na kuomba usichokijua.Mungu aliye hai na wakweli hana majina 99 ...jina lake ni moja tuu na ni JEHOVAH.
@azizaseleman8118
@azizaseleman8118 3 жыл бұрын
Jamal April we c mtu wa kawaid wanaoamin ayo nipen like
@amanibwire4423
@amanibwire4423 3 жыл бұрын
Ntaanza kulipia wasafi sasa hichi ni kipindi pekee nakipenda
@richmontana1296
@richmontana1296 3 жыл бұрын
I Appreciate Broh 🙌🙌🙌🙌🙌
@ezekielmungeleza4666
@ezekielmungeleza4666 3 жыл бұрын
Kipind Bora kimerud welcome back Jamar
@JM-vu2qr
@JM-vu2qr 3 жыл бұрын
Natumai kuto kusikika kwa story book hakukuwa kwa kawaida tusubiri makubwa zaidi kutoka kwa Genius Jamal.
@Swahili14
@Swahili14 3 жыл бұрын
*I MISSED THE STORY BOOK SO MUCH!* 📖😭❣️
@tawaloharuna4885
@tawaloharuna4885 3 жыл бұрын
Am really glad for storybook to back on air..........
@mourineblessed3245
@mourineblessed3245 28 күн бұрын
You deserve a crown 👑 professor, your analysis is top notch
@Kipngetich-KE
@Kipngetich-KE 10 ай бұрын
Wakati wangu mingi natumia kwa story book Jamal April i love you bro
@joycekathambi3072
@joycekathambi3072 3 жыл бұрын
May the lord bless you
@hawamwechaga9622
@hawamwechaga9622 2 жыл бұрын
Truly is Islam is perfect there is no stones because isn't true may Allah grant you a way to know the truly and perfect religion inshaalaah
@gloirebonerge7073
@gloirebonerge7073 Жыл бұрын
The story book, chai yangu, chàkula changu cha mchana, pia jioni, #thestorybook nakupenda 🤗
@anthonygndegeanthonygndege2609
@anthonygndegeanthonygndege2609 3 жыл бұрын
Kama nawe ulikonda Kama Mimi kwa kukosa the story book gonga like😋
@eliaalex8118
@eliaalex8118 3 жыл бұрын
Tuletee story ya bustani ya eden iko wapi mpaka sasa hivi
@dismasjack5755
@dismasjack5755 2 жыл бұрын
Sio siri nakufatilia sana naumekuwa sehem ya kutufafanulia mambo mbal mbl nakujiamn respect bro
@paulandrew7301
@paulandrew7301 3 жыл бұрын
Hakuna haja watu kuulizana sanduku la agano liko wapi kwa sasa kwani sanduku la agano lilikuwa ni kivuli cha Yesu Kristo kwani hayo mawe yenye amri kumi yalikuwa yakimwakilisha Yesu Kristo ambaye ni Neno LA Mungu, mana inayotajwa kuwemo kwenye sanduku la agano ilikuwa ikimwakilisha Yesu ambaye ndiye chakula kitokacho juu na hata hiyo fimbo ya haruni kuhani ilikuwa inamwakilisha Yesu Kristo aliyekuja kama kuhani mkuu hivyo kama jinsi ambavyo wana wa Israeli walivyokuwa wakitazama sanduku la agano kama ushindi na wokovu wao hatuna budi watu wa ncha zote za dunia kuelekeza macho Yetu kwa Yesu Kristo ili tupate kupona kwani Yeye ndiye njia ya kweli na uzima.
@martinchabi3029
@martinchabi3029 3 жыл бұрын
Waooh naipenda saaana hii story jaman🥰🥰❤
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 11 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 13 МЛН
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 10 МЛН
KISA CHA NABII MUSSA NA FIRAUNI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
40:28
arkas online tv
Рет қаралды 243 М.
KISA CHA KUSISIMUA CHA NABII YONA
45:10
Pastor Lazaro Samwel Kilala
Рет қаралды 4,8 М.
THE STORY BOOK : MFALME SULEIMAN, NABII ALIYEPENDELEWA KILA KITU NA MUNGU
44:18
Mchawi muuwaji aanguka na kujisalimisha mbele za Yesu Kristo
27:38
UKOMBOZI TV
Рет қаралды 1,3 МЛН
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 11 МЛН