Hubirini wokovu wa Mungu sio hizo sanaa zenu iteni watu wamwamini yesu kuwa mokozi wa maisha yao
@Ziyad-we9lp4 жыл бұрын
Kenyan citizen watching from saudi Arabia by names Sofia
@magynzioka11225 жыл бұрын
Ameeeen MUNGU NI MWEMA ukombozi wa maisha ya mwanada ni kumpa YESU maisha yako
@mamishoseif25105 жыл бұрын
naitwa habdala mwenye jina halijui Mchungaj anasemaje unaitwa nani habdala
@frankmwita53625 жыл бұрын
Jokarakijj
@isakamwambenja73975 жыл бұрын
amen that is right much
@aminizefania96343 жыл бұрын
MUNGU ibariki kazi yamikono yetu py tunaomba utujalie mwisho mwema AMENI
@mamapeace30923 жыл бұрын
Aliuwa hadi wamemjaa moyoni amekimbilia apo ameona maajabu mungu ndie TOSHA
@restkalemile52742 жыл бұрын
Katik kitabu cha ufunuo mwisho kabisa neno linasema.... Yule nabii wa uwongo na yule mnyama na ibilisi wakatupwa Katik ziwa la moto..... So ujue sio ajabu ukiona nabii wa uwongo anampondea shetan lakin ilihali wote mahali pao ni sehem ileile. Uw macho mteule ni nyakat za mwisho, ambapo udanganyifu ni wa high level, viwango vya juu kabisa vya udanganyifu, si rahisi mkristo wa kawaida akang'amua,.... Mpka wale wa rohon sana wamwabuduo Mungu ktk roho Na kweli.
@sharifajanqabari47315 жыл бұрын
Ila watu hawajui tuu muko vizur sana me nawaamini sana pamoja kunawaganga mataper na nyinyi wp matape ila muko vzr mungu awabariki kwa kuwaokoa wenzenu😍😍😍
@lenjeevara34075 жыл бұрын
Tingi hiliiii zuga hapaaa kitabu gani hikiiiiii hata jna hajui kitaja vzr
Mungu Yuko nyie ninachojua anaye uliza na msemaji wote ni wahuuwaji wanakula wanakunywa damu na pasta hili awadanganye mpaka awe na watu waliouliwa nayeye
@ibrahimharuna98213 жыл бұрын
Mmetusha kwa uongo JAMANI huyu MTU hata jina mlilompa halijui eti anaitwa HABDALA DANGANYENI WAPUMBAVU NA WAJINGA KAMA NINYI NA ACHENI KUCHAGUA DINI ZA WATU KWA KUJIITA NA KUJIFAMYA WATU WA MUNGU,KUMBE WAFUASI WA SHETANI ANAWATUMIA KUDANGANYA WATU.
@salomemlagila57575 жыл бұрын
Mungu ashukuriwe umechagua njia sahihi Sana eeh Yesu mtazame kwa huruma zako
@hadijaangura65725 жыл бұрын
Subhana Allah yarabi tupe mwisho mwema
@nasibumaiko34255 жыл бұрын
Salome Mlagila wajinga ndio waluwao bila hivyo hamtoi michango
@marybundara64815 жыл бұрын
Op
@noelychawala65205 жыл бұрын
salome nicheki whatsapp 0672203458
@mosesmwakalibule99045 жыл бұрын
Mungu ni pendo.....
@magrethmallya98052 жыл бұрын
Ameen
@frankibrahimlutende90905 жыл бұрын
Huyo baba mchawi alimjalibu Nabii kakutana na moto wa Mungu sio radio tu
@aidandamian19925 жыл бұрын
uogo
@aidandamian19925 жыл бұрын
Frank Ibrahim Lutende we unajua kuokka?
@selinechelimo36153 жыл бұрын
From kenya tusaidie kukujua na kukuelewa mungu
@lucyhussein71263 жыл бұрын
Jaman anapata tabu mungu murehemu hajapenda amina siunaona hata wanamsumbua ooh mungu nimwema hajapend yesu yesu yesu yesu tupe rehama zako amina
@lucyhussein71263 жыл бұрын
Jaman kalisha vitu vikubwa sn mungu msheke mkono
@gloryngonyani40785 жыл бұрын
msijaji vibaya kila mmoja na imani yake ww unaejiona dini yako ni sahihi ulienda ukaludi nyoooooo tena mkome kujiesabia haki mtaumbuka siku ya mwisho acha kila mtu aamini anachokiamini lakini katika yote YESU wetu ni mzuri anatulinda hasa mimi glory namshukulu Sana
@winfridagama20424 жыл бұрын
Amina Glory nimekupenda bure.
@misheckmrk88485 жыл бұрын
walimwengu niwabaya siyowachawitu na wanafiki na wenye loho mbaya ila mungu atupiganie make ninyakati zamwishi amina
@kuluthumuabdala37203 жыл бұрын
Anamajini ndio maana anabehua hivo
@nancychabaya40474 жыл бұрын
Watching from Kenya
@credosowo28223 ай бұрын
Naomba kumuombea mama yangu mzazi anaumwa ugonjwa WA kutetemeka mwili wake( Nikono) tipo wilaya tá mbinga anaitwa Lamberta emilian nchimbi
@rechoathumani70372 жыл бұрын
Muchungaji nateseka San nakupataje mtumishi wamungu
@nemillyayo5304 жыл бұрын
Mungu anafanya mambo ambayo mwanadam awezi kufanya
@blessedlovedandfavoured41295 жыл бұрын
Greater is the name of the lord.. Waislamu mmefuata nni hapa.... Ukiimwa kanywe jik ama clolox.... Wachawi wapigwe ee.... Uislamu na Majini na uchawi kitu moja tu
@elizabethmtweve14584 жыл бұрын
Kweli yesu anaweza ,bakuombe baba watu wakuamin nahuduma yako
@josephinemumbua1594 жыл бұрын
Watching from Dubai yesu asema jooni nyote mmbebaye mizigo mizito nami nitawafumzisha
@rosesubi38425 жыл бұрын
kwa jina la yesu wachawi washindwe.
@charlesimgonja86103 жыл бұрын
Mungu sisi tusaindie
@clementbankuwiha86134 жыл бұрын
mb mnatuibia , harafu mnatuigizia
@rayyanyakini84353 жыл бұрын
Yesu kama nani acheni uongo yesu sio Mungu ndo kila kitu yesu ni nabii wamungu
@AmosiMicha-cs5sh3 күн бұрын
Yesu asante
@frankibrahimlutende90905 жыл бұрын
Mungu ashunghurike na huyo mama km hajatubu na kumpa Yesu maisha yake
@lowasalesirai95042 жыл бұрын
Basi nikaingia kwenye majukumu ya kazi is the name of juses
@naomisamatwa66904 жыл бұрын
Amin unachoamn maan kila mtu na uelew wake mnao pinga ndo nyie mnaendaga kwa waganga kila kukicha ikishindikan mnaanza kutaft makanisa Kama hujawah pitia matatizo unawez sema chochot
@bantwagordon52604 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupigania na uelewa wako.
@evamarianjohn58045 жыл бұрын
Glory Glory Glory... Hakuna kinachoshindikana kwa Jina la Yesu.
@charlesemmanuel94345 жыл бұрын
Huu ni usanii wewe, Amini katika neno ndugu
@evamarianjohn58045 жыл бұрын
Hahahah kasome matendo ya mitume utaelewa
@charlesemmanuel94345 жыл бұрын
Achani kudanganya watu huu ni usanii ulio pitiliza,
@charlesemmanuel94345 жыл бұрын
Angalia mambo yanayo endelea! Ila ipo siku haya yatafika kikomo! Mungu hawezi kuyanyamazia kzbin.info/www/bejne/o4TMZoh-oamCeaM
@ivonekemunto84833 жыл бұрын
Am watching from dubai
@rajaburajabu86855 жыл бұрын
usanii mpaka kanisani kwa kweli njaa ni noma
@EzekiaMtwale9 күн бұрын
dah! siku ya mwisho sijui tutajibu nn!
@samihahussein47992 жыл бұрын
Eee mungu kumbuka duinia yetu kwl sisi wanadam a2unauruma wachawi waokoke
@dianakhasila25872 жыл бұрын
Kupindia Kwa hii maombi wale wachawi wanao nizunguka kama wako mjini ama kijijini natuma roho wa mungu akawahangamize wote Kwa siku tatu
@philipoluzege32005 жыл бұрын
Mungu anaweza
@joshuakamage18175 жыл бұрын
Kwa hakika mtakuja mchomwe mito ikumbukwe cku ya qiyama inakuja
@dorcasmueni86194 жыл бұрын
Naomba mungu nkitoka uku Dubai n weze kufka kwenye hii kanisa LA ukombozi in Jesus name
@adajijackline97114 жыл бұрын
Dadangu tutaenda pamoja pia mimi nko huku Riyadh
@albusaidkhelef66555 жыл бұрын
Uongo sio jina lake na huo sio muislam
@joshuamwenda12015 жыл бұрын
Uongo
@sadikimtega41354 жыл бұрын
Albusaid Khelef Wailam msikatae mwezenu, kama wewe so mchawi usimkanie mtu
@hekimakihaliye34553 жыл бұрын
Ni nabii gani alikuwa kama wew
@semajororubabaza33995 жыл бұрын
Mungu asifiwe Dana!
@esthermorara6073 жыл бұрын
Mungu hawasamehe kumbe mtu kunywa sumu ama kujinyonga si kupenda n Pepo??? May the Lord help us Amen
@fatmahmosa52242 жыл бұрын
God bless the work of your hands
@savelangonyani10495 жыл бұрын
Tuliookoka tunajibu kwa roho Wa Mungu hatupambambani kwa mwanafunzi matusi
@jamesmhangamweru70255 жыл бұрын
Ni kwal kabisa ngonyan
@merismbilinyi94733 жыл бұрын
Ashukuriwe mungu alie juu
@mamapeace30923 жыл бұрын
Kuna waislamu ndio hatari kwa majini exactily nina shemeji yangu hivo kama huyu mtu ndio kazi yake wachawi hodari
@hamadrajab80425 жыл бұрын
si waende eakacheze filamu kama ndo talent yao
@omarkhamis95145 жыл бұрын
Yaani tuko mwaka 2019, nasikitika mambo haya bado kuna binadamu anaweza kuyaamini. Yaani mchungaji anaona roho zikitoka lakini yake mwenyewe haioni.
@frankjohn85705 жыл бұрын
Omar Khamis mambo ya rohoni ni upuzi kwa mtu asiemjua Mungu na kumuamini
@joshuakimario57642 ай бұрын
A cheni usanii hubirini injili ya kweli kila siku uchawi hamna injili
@safiashija18712 жыл бұрын
Fichua mtumish wetu
@hemedmtunguja97885 жыл бұрын
Mshenzi kaokotwa kigoma mpakanoi mwa burund ajitoe ushuhuda
@lamerocklamerock5 жыл бұрын
ww ni mwema unadilik kutukana?¿???
@annievibes87945 жыл бұрын
mwislam gani hajui kutamka jina la Abdallah hahaha
@happygirl51415 жыл бұрын
Ashidwe kwa jina la yesu
@brunokamuzora95635 жыл бұрын
Happy Girl acha usanii jamani
@jacksonmodaha15905 жыл бұрын
Mm Sasa haya maisha Mungu atusaidia
@paskalinafransis94752 жыл бұрын
Mchawi jamaniwanatututesa duniani
@kenedymaturo72913 жыл бұрын
thank you Jesus me that is believer;
@hechihechie55585 жыл бұрын
Nachojua Mungu anaweza yote,pia najua shetani hauwawi,wala hafi,jamanie shetani hafi someni biblia vzr
@shabanikitogo66135 жыл бұрын
Kwanza huyo afanani na uislamu na wewe Mchungaji koma kuwaona waislamu wanahusika na uchawi koma ubili unavojua.
@berthabenedict23623 жыл бұрын
Naww ukome
@berthabenedict23623 жыл бұрын
Naww ukome
@shogoabdul25463 жыл бұрын
Uchawi aunadini jamani
@FransiscoBwire-xe3ui10 ай бұрын
Hakika mungu anawez
@estasage55063 жыл бұрын
Kwa nini mchungaji haumuombei hiyo sekuseku iondoke? Mchungaji Gwajima ni unique hakika
@susanndila38043 жыл бұрын
Benjamin kutoka Kenya paster mung u akuongenze nguvu kazi nzuri.
@josphinemunyiri64952 жыл бұрын
Nice
@Jackson353205 жыл бұрын
watching from Kenya.
@annamkilo31332 жыл бұрын
Yesuuu ni siraha yetu
@mecktuppa23422 жыл бұрын
Mungu muwe za
@jacqulinelukumay87053 жыл бұрын
Jamani shetani kiboko
@yasmineaaa7085 жыл бұрын
Roho mtakatifu endelea kufichua wachawi wote wafe kwa jina la yesu
@mwalimumhunzi66945 жыл бұрын
Mungu wakweli awafichue Manabii wa Uwongo, mchawi na mlozi niwatu wakuchoma.
@@nasibumaiko3425 Nafuta kwa damu ya yesu yakurudie mwenyewe
@tinagorges37415 жыл бұрын
Anae amini mizimu hanahata dinii .looh
@inviolathabeneducto99735 жыл бұрын
Mungu ni mwema kila wakati
@annecherono55102 жыл бұрын
God Done creat for that man amen
@godeselagosbert4349 ай бұрын
Aimeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee prophet
@deodatusnchimbi76335 жыл бұрын
ww kama ulikuwa na hela mara laki 8 mara milioni mara laki 3 ulikosaje hela ya kwenda kanisani adi utembee kwa mguuuuu
@deodatusdeogratias18915 жыл бұрын
Swali la kipuuzi hilo.
@masungwasalumu12783 жыл бұрын
Mnao pinga bado hayajayakuta IPO siku mtakubali tu hayo yanaonekana hapo ni dhahir
@muhamedswaleh76603 жыл бұрын
Hahaha Hahahaha jamani uongo wa mapasta umezidi inaezekanwa amemlipa huyumtu aje aonyeshe watu yeye ni pasta wakweli hahaha kali sana tushawazoeya.
@jasminramadhan81404 жыл бұрын
Ubarikie sanaaa
@danielshantiwa78303 жыл бұрын
Nawapenda wrote!
@ChancyLuhasa5 жыл бұрын
Mchungaji unaongea sana, umwache ushuhudiye mwenyewe. Kwa nini maswali mengi? Ushuhuda unajenga kanisa. Leo watumishi wanapenda kuonekana kama wao wanajua sana. Na kama ni ma star.
@rahmaramadhan97733 жыл бұрын
Subhannallah jamani nyieeee 😭
@obedifanueli17865 жыл бұрын
Waliogundua kuwa waislamu ni wanafiki wote wenye majina ya kiislam kwenye comment wanamkashfu mtumishi,gongeni like
@mzizirashid7095 жыл бұрын
Obedi Fanueli usiingize Dini za watu Na majina ya watu kwenye migogoro isiyo Na lazima je wote walijaa kanisani hapo ni wakristo pekee? Acha hiyo tabia ndugu sio nzuri kabisa , huyu ni nyumbani wa mungu anahudumia watu wote waliopo Dunia Na sio anahudumia Dini ya mtu flani naomba ulielewe hilo vizuri
@mzizirashid7095 жыл бұрын
huyu ni nabii wa watu wote
@bossmau7645 жыл бұрын
mh pole kijana unafki hauna madhehebu mnadanganyw na hao manabii wa uongo mna baki mme weka maskio juu ss apo mie sion zaid ya move na hizo huwa zina tengenezwa tu baba jina lake lenyew kulitamka hawez hlf useme mwislam sie hatupo ivo chunga mdomo wako bado unasafar ndef ya maisha usikurupuke ww kikubwa muombe mungu akupe mwisho ulio mwma tu bas acha kukashf dini uaangukia pabaya abudu kwa iman unayo iyamin ww na sio kwa kukshfu ok yangu hayo chunga ulimi utakuponza
@yussufhimid56765 жыл бұрын
Obedi Fanueli wewe mjinga na ulikosa ufaham wewe huoni kua hii ni biashara waumini leo matajiri mtumishi masikini ila kesho mtumishi anamiliki horofa
@nasibumaiko34255 жыл бұрын
Obedi Fanueli bangi bhana
@lidiakimario26582 жыл бұрын
Aminaaaaaa
@bonyladis62855 жыл бұрын
Ukombozi zaidi na zaidi
@abuushaakiraddausiyy54993 жыл бұрын
Kikikituuu hizooooo hakuna kitu kama hichoooo nyie wapigajituuuu..
@paskalmichael66583 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@profduncanhenrysisya99992 жыл бұрын
People must repent from their sins and be baptized into Christ to receive forgiveness of sins and the gift of the Holy Spirit (Acts 2:38).
@nassorsaid23315 жыл бұрын
Siyo kwa kuji beulisha huko 😂😂😂😂
@samysamy29214 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hekimakihaliye34553 жыл бұрын
Hiyo sio kazi ya nabii
@user-me3ee4fu8w5 жыл бұрын
ufalme washetani umepata pigo kubwa sana huu mwanaume alitumikia kweli ushindi kwa Yesu amemtoa huko
@nasibumaiko34255 жыл бұрын
الورد الورد acha uzuzu funguka akili wasanii hao
@clarajoan81002 жыл бұрын
Nitakufikia vip jamani baba anakufa na ugonjwa aijulikani, hospitali tumeenda akuna ugonjwa
@jaafarmkatta13364 жыл бұрын
Huu usanii wenu siku hizi unafichuka. Juzi Njombe mmetengeneza dili Njombe Polisi wamegundua kuwa mlipanga. Ni wasio na akili mtawaongopea. MTU na akili yake lazima agundue mbinu hii.
@millicentayangokunting37284 жыл бұрын
Kabisa huu ni uwongo mkubwa
@nandysendekwa11395 жыл бұрын
mnapenda kukshf din ya kislm
@msouthlee1944 жыл бұрын
Ushuhuda unatoka kwa mtu alie kamili sasa inakuwaje bado ana tetemekee yani nikama vurugu mechi hvi dahaa hakika tunamwitaji Mungu katika hili
@millicentayangokunting37284 жыл бұрын
Hii imepagwa
@arafazakir41505 жыл бұрын
Mwaipopooo na masinde tayar kishaweka wazi kila kitu kwa janja janja hii na achen kutumia majina ya kiislam ili kuuksdhif uislam na kuwadhalilisha wsislam eti wachawi kwann hujawa john laanatullah adhabu za Allah s.w zawasubir .... Nicjibiwe