Maombi yafanyike mungu.aingilie kati Tanzania si mahali salama tena.kila mahali ni mauaji.Ee Mungu naomba ujidhihirishe kwa hili ameen
@swahiliinspirations79532 жыл бұрын
Vifo Vimekuwa Vingi Tanzania na Wanaokufa ni Watu wa Chini tu.. Mungu atusaidie sana.
@leticiakomba66952 жыл бұрын
Tanzania tunaenda wapi? Jamani. Mbona hayakuwepo? Kuna nn nyuma ya pazia?
@gracedonald3852 жыл бұрын
Uwiii jamani watu wamekuwaje ,kweli siku za mwisho zimefika,jamani tuombe sana
@nurumwenkale72782 жыл бұрын
R I p magu haya yalikua hayapo tutakukumbuka daima
@ahz69072 жыл бұрын
Ulikuwepo kweli wakati wa magu? Watu wasiojulikana unawajumbuka au ulikuwa kiziwi na kipofu wakati huo? Waandishi kuuwawa na kupotea? Tundulisu kushambuliwa kwa risas zaidi ya 20 akiwa makazi ya wabunge. Acha usenge.
@am2323Diaspora2 жыл бұрын
Wee muongo mkubwa una chuki. Ni watu wangapi wamepotea hadi hii leo hawajulikani walipo. Kule pemba ni watu wangapi wameuwawa wakati wa uchaguzi. Kule ziwa Victoria kila uchao tulisikia vifo vya wavuvi. Wacha unafiki.
@verdianabanabi59432 жыл бұрын
Waliohusika mungu awalaani na vizazi vyao.
@husna345622 жыл бұрын
Tanzania ya sasa sio ile ya miaka ya nyuma mauwaj yamezid
@judithmelvinealuchio89682 жыл бұрын
so sad and painful surely ooh my God may their souls rest in peace 😭😭😭🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
@joshuajofrey98322 жыл бұрын
R.I.P Magufuri nchi uliikabidhi kwa MUNGU lakini sasa imekabidhiwa kwa wazungu vifo daily ;ooo my GOD
@selemanimasatu24212 жыл бұрын
Kauli yako siyo nzuri muuaji hatoi taarifa kwa majirani ndugu usitoe hukumu kwa majirani serikali ina vyombo acha ifanye kazi yake.
@neema_mollel2 жыл бұрын
Samia Hana habari yupo anapachikwa uchifu tuu
@msetikebwasi72702 жыл бұрын
Huyu mzee huwa anasema ukweli sana .
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Subhanaallah yaarabi tunusuru yaarabi kumekuwa nini duniani yaarabi
@peninashungu66332 жыл бұрын
Inaweza kuwa ata mmoja kahamua kuwauwa wote na yeye akajiuwa umo umo kwenye watano, Yan saiz tz inatisha kila siku mauwauwaji wangu waanze kuwaubilia neno la mungu nyumba ad nyumba itasaidia
@samsonmagesa39592 жыл бұрын
Nashindwa kusema juu yanayoendelea Kutokea kwenye Nchi yangu Majanga ya Moto kila siku ni Vilio tu Jamani ndiyo maana tunamkumbuka Rip Magufuri
@محمدالقايد-د6ب2 жыл бұрын
Mungu tusaidie
@maimunashaban95382 жыл бұрын
Upo sawa kabisa jeshi lichukue hatua
@amidushaban80812 жыл бұрын
This is the moment when we miss Magufuli , unfortunately Tanzania has going back the way it was before Baba Pombe please come back 😖😭😭😭🇹🇿
@zabubamudy1262 жыл бұрын
sasa samia ndio anawatuma. watu wanauwa mpaka wazazi kisa mali unasema magu angekuwepo. sasa samia awafatilie mpaka kwenye manjumba yao
@fauzimohamed57572 жыл бұрын
We fala tuondolee umama wako hapa sasa magufuli kwani haya mambo yalikuwa hayapo azilete mambo ya siasa katika mambo kama haya
@fauzimohamed57572 жыл бұрын
We fala tuondolee umama wako hapa sasa magufuli kwani haya mambo yalikuwa hayapo azilete mambo ya siasa katika mambo kama haya
@ahz69072 жыл бұрын
Umesahau watu walikuwa wakitekwa na watu wasiojulinaka? Ni katika utawala wa jpm tu ndo tulisikia haya tena sana.
@ahz69072 жыл бұрын
Wakati wa jpm maiti ziliokotwa sana kwenye viroba... Jpm hakuwa mungu uache upumbavu. Na lini utaacha kufikiri kwa matako?
@fatmaally72522 жыл бұрын
Yaaaani natamani kuhama hii nchi sasa mana amani sasa akuna tunaishi kama atupo unaogopa adi mtt ulie mzaa jaman eeeehe mwenyezi mungu tuhurumie
@sambulugu99882 жыл бұрын
Serikali naona kama mmeshafeli! Niliwaambia serikali iliyoingia kwa hila madarakani kwa mmtoa aliyekuwepo kinyemera ina roho ya mauti! Sauli aliitawala Israel kwa matakwa ya wanadamu wasoma biblia mnajua kilichotokea! Roho ya mauti kila kona! Mungu atuokoe kwa damu ya Yesu!
@samsonmagesa39592 жыл бұрын
Kwa kweli majanga kila Leo maumivu Mara moto, mauaji, ajari Eee Mungu tusaidie Tanzania
@hijjafakky13812 жыл бұрын
Yesu ndio mtu gan??
@hijjafakky13812 жыл бұрын
Yesu ndio mtu gan??
@Mimi-wf7mb2 жыл бұрын
Hii roho ni ya ibilisi. Mungu ametuacha maana na ss tumemuacha tunajifanyia mambo yetu. Tutubu tumrejee Mungu yeye ni mwenye rehema atatusamehe na kuiponya nchi yetu. 2 chr7:14
@peninashungu66332 жыл бұрын
Iyo kauli sio nzuri, mauaji sio lazima majirani wajue wanaweza kuwa ata wanatoka nje ya mkoa, waachie tu polisi watajua
@radhiyarashid13142 жыл бұрын
Sikiliza vizuri maelezo ya mwenyekiti na huyo anaejiita ndugu alievaa mmasai Kuna kitu kinaendelea
@manjaruu15752 жыл бұрын
Hivi kuna raisi kweli?mbona hatoi tamko?mbona mauaji yanazidi,?au tuaendeshwa kisela ?
@sinanindola932 жыл бұрын
Haya matukio sas too much 😥😥
@leilathomas49502 жыл бұрын
Mbona hivi jamani Mara kwanza Mara arusha Dodoma tumuombe mungu atusaidie.
@gezaulole75012 жыл бұрын
Chanzo nn watanzania wenzangu dah mambo yanazidi kuwa makubwa
@husna345622 жыл бұрын
Yani inatisha
@saidhamad5332 жыл бұрын
Ivi tanzania hi januari nikwamba tunatolewa makafar au mbona seheem nyingine hatusikii bali tz tu jaman
@shadrackfimbo17262 жыл бұрын
Rip our family Ila akumbukwe magufuri amani imepotea sana
@laymashabani8322 жыл бұрын
Yaani itakuwa kweli kabisa ndugu wanahusika apo
@asmarajabu57862 жыл бұрын
kweli kabisa lazima alikuwa na mwenyeji
@annastevensteven95152 жыл бұрын
Jaman mbona mauwaji yamekuwa mengi sana jamani
@azizamohamed76922 жыл бұрын
Jamani Tanzania imepatwa na nini jamani
@umibana67592 жыл бұрын
Haaaah Tanzania kunanini??? Shetani gani huyu
@elidaburton87372 жыл бұрын
Jamani Tanzania Kuna nn 😔😔😔
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Subhannallah, nchi inatisha
@ashamakwaiya87492 жыл бұрын
Mtaka huwa namuelewa sana .wahusika wamo humohumo.
@verdianabanabi22052 жыл бұрын
Ni kweli na majirani wanahusika
@inongee11412 жыл бұрын
MUNGU wangu ni nini hii Tanzania hii juzi wameuliwa watu watatu familia moja leo watu tano familia moja uwiiii uwii hapana kuna kitu sio bure.
@abdallahmuttaq73062 жыл бұрын
Naongea tena dunia kma haita kibali kutumia sheria za Mungu abayo ni anae ua auawe tusifuate mashetani Yale yanayotuletea sheria zao za kutetea wakosefu eti mtu akiua asiuliwe anaua makusudi auliwe hii ni Sharia ya Allah aliwaumba wanadamu alijua kuna watu watakosa kuthamini roho za watu akasema alieua auawe
@reubenkissinga58022 жыл бұрын
Hizo ni sheria za watu,,zimetungwa na watu na wakaamua kumsingizia Mungu ili ionekane Ni Mungu kaamua,,Mungu hana sheria na Mungu hayupo kama hivyo vitabu vinavyomuelezea,,,,Ni ubatili mtupu na ipo siku utaijua kweli!!!
@sanisani52662 жыл бұрын
Ningekuwa polisi nadhani ningekuwa CID kama malehm baba yangu
@jaz99742 жыл бұрын
Innalilah waina lillah rajiun...
@husseisalimumaula38672 жыл бұрын
Kwanini matukio ya kuuwana yamekithiri Sana eee mungu tusaidie.
@dicksonlesijila45422 жыл бұрын
Naanza mm kukupa ushirikiano bw. Mtaka. Kwanza kupigwe Kura ya Siri hapo kijijini itangazwe kuwa kalatasi itakayo andikwa Jina la mtuhumiwa isiwe na anwani au namba za simu.Zoezi Hilo kifanyike tarafa YOTE hapo lazima watakamatwa tu
@Safaricom_2 жыл бұрын
Damu ni nzito kuliko maji
@asiashaban58092 жыл бұрын
Duuuh naumia Tz ya asaiv nishetani kabisa aliyeingia kiulaini haagaikii kabisa na wananchi vifo vyakikatili ni vingii asaiv jmn heee rest in peace jpm 😭😭
@yasintasamson91782 жыл бұрын
Ee M/ Mungu wa rehema tunaomba huruma yako ktk hayo yanayotendeka nchi kwetu maana wanao hawana huruma tena wa hofu yako ,, Baba wewe pekee ndo msaada kwetu 😭😭😭😭🧎🙏
@isaachayes97832 жыл бұрын
Anzeni na kaka mtu atakua anajambo
@allybilali92122 жыл бұрын
Innalillah wainnailaih rrajiuun
@bentiger54642 жыл бұрын
Paka akitoka panya hujitawala
@devothaignatus59112 жыл бұрын
Jmn hivi tanzania kuna nin????? Emungu tsaidie mm naskia ktetemeka
@am2323Diaspora2 жыл бұрын
Kule ziwa Victoria kila siku walikuwa wanaokotwa wavuvi wameuwawa wakati wa Magufuli
@pamelammari63012 жыл бұрын
Mweshimiwa ondoka na huyo mdogo mtu anaujua ukweli
@rachaelw5802 жыл бұрын
Uuuiii 5 people jesus
@fortunatadispensary96142 жыл бұрын
Pepo gani jamn Tz...,mashehe,mapadre na manabii tusaidieni
@smaihsmaih28152 жыл бұрын
INNA LILLAH WAINNA ILAYH RAAJIUN KUNA NINI TANZANIA YETU TANGU MAGUFUL AONDOKE,NI MAUAJ ROHO ZA WATU ZIMEKUWA KAMA KUCHINJA KUKU,MOLA WETU TULINDE
@salmaathuman91562 жыл бұрын
Wanaua watoto taifa la kesho kwa visasi vyao😢so sad aiseee muongope mungu jaman sio Haki
@projestkashumba88932 жыл бұрын
Kiukweli binadamu tulipofikia,ni bora ukaishi porini na wqnyama,kuliko kuishi na watu.hiv no kosa gan mtu amefanya mpk akastahili hukumu km hii?mauajikila kona ni nn lkn
@TeamKRX2 жыл бұрын
Inalilah waina ilaih rajiun Watoto daah sijui walopigwa VIpi 😭😭😭😭
@othmanshahib11152 жыл бұрын
Mkiwabaini hao wauwawe mbele ya watu ili iwe fundisho
@larickmtui28522 жыл бұрын
Hapo ndio makao makuu au
@sultankindamba79192 жыл бұрын
Serikali Inawachekea hawa wauaji.. Kungekuwa anayekamatwa na yeye anauliwa kusingekuwa na mambo hayo!! Maana kila kukicha tunapoteza ndugu zetu harafu serikali inachukuliwa poa.. Wallah mm ningekuwa kwenye mamlaka wangenichukia ningewauwa hadharani kila anayemuuwa mwenzie..😭
@stanslausbernard59502 жыл бұрын
Tulisema Toka mwanzo serikali hii ni dhaifu Sana. Naifananisha na Ile ya awamu ya pili na ya nne.
@mwandushimba83722 жыл бұрын
Jaman mbn watu wana roho ngumu hivyo
@sharifaabdullah68252 жыл бұрын
Innalilah wallah eajuun
@mrsdeborahurio2 жыл бұрын
Unamuondoa Mungu mawazoni na mdomoni ndio MATOKEO yake haya!
@missmrs8292 жыл бұрын
Watu wanakufa et nyinyi ni uchunguzi 😏
@ladislauspastory72492 жыл бұрын
Kikulacho kikungoni mwako
@jilalajalu27562 жыл бұрын
Huyu anafaa urais 2025
@meryosca45462 жыл бұрын
Mpaka unajuta kuzaliwa
@jastinpiniel44472 жыл бұрын
Serikali sasa iangalie hii mambo kila kukicha watu ni kuuwawa tu
@asiakheir86842 жыл бұрын
Rais tungeomba atowe tamko, mauaji yamezidi mno
@zuenaramadhani48352 жыл бұрын
Mbona mauaji yamezidi
@aminahahlubayt73992 жыл бұрын
Innalillah wainnaillah rajiuun 😭
@suleymankham39252 жыл бұрын
Au niyule dada wa south Africa aloambiwa nijambaz kaingia tz?
@steffaballerankadda1602 жыл бұрын
Unaweza nipa detailz za uyo dada au habari nikasoma nielewe mkuu?
@provianapaul66342 жыл бұрын
Na naskia yupo dodoma hii mda tuu hakuna ukweli lakin sijui nn hii jaman mungu tusaidie
@drdavidomuswahiliofficiel86452 жыл бұрын
😂😂😂 Vincent kigosi afuraishwa sana na maigizo ya uyo kijana mkongo bonyeza hapa uone 😂😂👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 kzbin.info/www/bejne/jZOqhKZneKuXm7M
@hadijajohn74342 жыл бұрын
Tanzania jamani Tanzania mnakosea wapi jamani vifoo vimezidi tanzania jamani yani ni tanzania. Watuu. Wa tano wotee mmmm nihatari sana watu wamegeuka. Simba .au wanyama pori kutowa rokho xa watu watoto maskini hawana hatia lakini sasahivi nao wanachanganywa kwenye visasi vya watu wazima eweee mwezingu Tanzania inaangamia kwa mateso ya mauwaji kila siku matukio mabaya iko wapi awamu ya tano ya magufuri .R.l .P R.I.P. jpm unakumbukwa kwa ulinzi ulikuwa ni .kali sana hakukuwa na matukio haya ya mauji
@pendojeremia31502 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@Rose-ue2ho2 жыл бұрын
Tanzania wanasema kuna waganga na wachawi sasa kama kweli wakweli hii ndio time yao yakutowa ushirikiano lakini waganga wa sasa wote matapeli😁
@reubenkissinga58022 жыл бұрын
Waganga wetu na wachawi wetu kazi yao ni kuwatesa wasio na hatia lakini kwa wanao mwaga damu za watu,,,uchawi na uganga wao haufanyi kazi,,,lakini wapelekee tatzo la nguvu za kiume utalishwa mizizi hadi ya mawe,,,Mamaeee zao
@sadafrancis83092 жыл бұрын
Mauaji Kila mkoa Kila cku
@zenaabdallah37972 жыл бұрын
WATZ TUNAENDA WAPI JAMANI KUUANA KAMA KUKU.HEMBU FIKIRIA UNAPOTOA ROHO YA MWENZAKO UNAONARAHA GANI.AMEJITETEA KWA UCHUNGU MKUBWA HADI ROHO INATOKA JAMANI
@asiakheir86842 жыл бұрын
Tanzania ushirikina umezidi, watu hawafanyikazi wote wanataka kuwa waganga, ili wasitumie nguvu kufanya kazi, haiwezekani kuua watu bila hatia kama hajatumwa na mganga serikali iingilie kati hakuna mtu kuwa mganga akigunduliwa tia ndani bila hivo tutaendelea kufa na jela zitajaa wauaji