MAUAJI DODOMA: RC MTAKA ALIAGIZA JESHI LA POLISI KUANZA UCHUNGUZI, MAUAJI YA WATU 5 WA FAMILIA MOJA

  Рет қаралды 40,031

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 110
@gililwise
@gililwise 2 жыл бұрын
Maombi yafanyike mungu.aingilie kati Tanzania si mahali salama tena.kila mahali ni mauaji.Ee Mungu naomba ujidhihirishe kwa hili ameen
@swahiliinspirations7953
@swahiliinspirations7953 2 жыл бұрын
Vifo Vimekuwa Vingi Tanzania na Wanaokufa ni Watu wa Chini tu.. Mungu atusaidie sana.
@leticiakomba6695
@leticiakomba6695 2 жыл бұрын
Tanzania tunaenda wapi? Jamani. Mbona hayakuwepo? Kuna nn nyuma ya pazia?
@gracedonald385
@gracedonald385 2 жыл бұрын
Uwiii jamani watu wamekuwaje ,kweli siku za mwisho zimefika,jamani tuombe sana
@nurumwenkale7278
@nurumwenkale7278 2 жыл бұрын
R I p magu haya yalikua hayapo tutakukumbuka daima
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Ulikuwepo kweli wakati wa magu? Watu wasiojulikana unawajumbuka au ulikuwa kiziwi na kipofu wakati huo? Waandishi kuuwawa na kupotea? Tundulisu kushambuliwa kwa risas zaidi ya 20 akiwa makazi ya wabunge. Acha usenge.
@am2323Diaspora
@am2323Diaspora 2 жыл бұрын
Wee muongo mkubwa una chuki. Ni watu wangapi wamepotea hadi hii leo hawajulikani walipo. Kule pemba ni watu wangapi wameuwawa wakati wa uchaguzi. Kule ziwa Victoria kila uchao tulisikia vifo vya wavuvi. Wacha unafiki.
@verdianabanabi5943
@verdianabanabi5943 2 жыл бұрын
Waliohusika mungu awalaani na vizazi vyao.
@husna34562
@husna34562 2 жыл бұрын
Tanzania ya sasa sio ile ya miaka ya nyuma mauwaj yamezid
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 2 жыл бұрын
so sad and painful surely ooh my God may their souls rest in peace 😭😭😭🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
@joshuajofrey9832
@joshuajofrey9832 2 жыл бұрын
R.I.P Magufuri nchi uliikabidhi kwa MUNGU lakini sasa imekabidhiwa kwa wazungu vifo daily ;ooo my GOD
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 2 жыл бұрын
Kauli yako siyo nzuri muuaji hatoi taarifa kwa majirani ndugu usitoe hukumu kwa majirani serikali ina vyombo acha ifanye kazi yake.
@neema_mollel
@neema_mollel 2 жыл бұрын
Samia Hana habari yupo anapachikwa uchifu tuu
@msetikebwasi7270
@msetikebwasi7270 2 жыл бұрын
Huyu mzee huwa anasema ukweli sana .
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 жыл бұрын
Subhanaallah yaarabi tunusuru yaarabi kumekuwa nini duniani yaarabi
@peninashungu6633
@peninashungu6633 2 жыл бұрын
Inaweza kuwa ata mmoja kahamua kuwauwa wote na yeye akajiuwa umo umo kwenye watano, Yan saiz tz inatisha kila siku mauwauwaji wangu waanze kuwaubilia neno la mungu nyumba ad nyumba itasaidia
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 2 жыл бұрын
Nashindwa kusema juu yanayoendelea Kutokea kwenye Nchi yangu Majanga ya Moto kila siku ni Vilio tu Jamani ndiyo maana tunamkumbuka Rip Magufuri
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 2 жыл бұрын
Mungu tusaidie
@maimunashaban9538
@maimunashaban9538 2 жыл бұрын
Upo sawa kabisa jeshi lichukue hatua
@amidushaban8081
@amidushaban8081 2 жыл бұрын
This is the moment when we miss Magufuli , unfortunately Tanzania has going back the way it was before Baba Pombe please come back 😖😭😭😭🇹🇿
@zabubamudy126
@zabubamudy126 2 жыл бұрын
sasa samia ndio anawatuma. watu wanauwa mpaka wazazi kisa mali unasema magu angekuwepo. sasa samia awafatilie mpaka kwenye manjumba yao
@fauzimohamed5757
@fauzimohamed5757 2 жыл бұрын
We fala tuondolee umama wako hapa sasa magufuli kwani haya mambo yalikuwa hayapo azilete mambo ya siasa katika mambo kama haya
@fauzimohamed5757
@fauzimohamed5757 2 жыл бұрын
We fala tuondolee umama wako hapa sasa magufuli kwani haya mambo yalikuwa hayapo azilete mambo ya siasa katika mambo kama haya
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Umesahau watu walikuwa wakitekwa na watu wasiojulinaka? Ni katika utawala wa jpm tu ndo tulisikia haya tena sana.
@ahz6907
@ahz6907 2 жыл бұрын
Wakati wa jpm maiti ziliokotwa sana kwenye viroba... Jpm hakuwa mungu uache upumbavu. Na lini utaacha kufikiri kwa matako?
@fatmaally7252
@fatmaally7252 2 жыл бұрын
Yaaaani natamani kuhama hii nchi sasa mana amani sasa akuna tunaishi kama atupo unaogopa adi mtt ulie mzaa jaman eeeehe mwenyezi mungu tuhurumie
@sambulugu9988
@sambulugu9988 2 жыл бұрын
Serikali naona kama mmeshafeli! Niliwaambia serikali iliyoingia kwa hila madarakani kwa mmtoa aliyekuwepo kinyemera ina roho ya mauti! Sauli aliitawala Israel kwa matakwa ya wanadamu wasoma biblia mnajua kilichotokea! Roho ya mauti kila kona! Mungu atuokoe kwa damu ya Yesu!
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 2 жыл бұрын
Kwa kweli majanga kila Leo maumivu Mara moto, mauaji, ajari Eee Mungu tusaidie Tanzania
@hijjafakky1381
@hijjafakky1381 2 жыл бұрын
Yesu ndio mtu gan??
@hijjafakky1381
@hijjafakky1381 2 жыл бұрын
Yesu ndio mtu gan??
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 2 жыл бұрын
Hii roho ni ya ibilisi. Mungu ametuacha maana na ss tumemuacha tunajifanyia mambo yetu. Tutubu tumrejee Mungu yeye ni mwenye rehema atatusamehe na kuiponya nchi yetu. 2 chr7:14
@peninashungu6633
@peninashungu6633 2 жыл бұрын
Iyo kauli sio nzuri, mauaji sio lazima majirani wajue wanaweza kuwa ata wanatoka nje ya mkoa, waachie tu polisi watajua
@radhiyarashid1314
@radhiyarashid1314 2 жыл бұрын
Sikiliza vizuri maelezo ya mwenyekiti na huyo anaejiita ndugu alievaa mmasai Kuna kitu kinaendelea
@manjaruu1575
@manjaruu1575 2 жыл бұрын
Hivi kuna raisi kweli?mbona hatoi tamko?mbona mauaji yanazidi,?au tuaendeshwa kisela ?
@sinanindola93
@sinanindola93 2 жыл бұрын
Haya matukio sas too much 😥😥
@leilathomas4950
@leilathomas4950 2 жыл бұрын
Mbona hivi jamani Mara kwanza Mara arusha Dodoma tumuombe mungu atusaidie.
@gezaulole7501
@gezaulole7501 2 жыл бұрын
Chanzo nn watanzania wenzangu dah mambo yanazidi kuwa makubwa
@husna34562
@husna34562 2 жыл бұрын
Yani inatisha
@saidhamad533
@saidhamad533 2 жыл бұрын
Ivi tanzania hi januari nikwamba tunatolewa makafar au mbona seheem nyingine hatusikii bali tz tu jaman
@shadrackfimbo1726
@shadrackfimbo1726 2 жыл бұрын
Rip our family Ila akumbukwe magufuri amani imepotea sana
@laymashabani832
@laymashabani832 2 жыл бұрын
Yaani itakuwa kweli kabisa ndugu wanahusika apo
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 2 жыл бұрын
kweli kabisa lazima alikuwa na mwenyeji
@annastevensteven9515
@annastevensteven9515 2 жыл бұрын
Jaman mbona mauwaji yamekuwa mengi sana jamani
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 2 жыл бұрын
Jamani Tanzania imepatwa na nini jamani
@umibana6759
@umibana6759 2 жыл бұрын
Haaaah Tanzania kunanini??? Shetani gani huyu
@elidaburton8737
@elidaburton8737 2 жыл бұрын
Jamani Tanzania Kuna nn 😔😔😔
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Subhannallah, nchi inatisha
@ashamakwaiya8749
@ashamakwaiya8749 2 жыл бұрын
Mtaka huwa namuelewa sana .wahusika wamo humohumo.
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 2 жыл бұрын
Ni kweli na majirani wanahusika
@inongee1141
@inongee1141 2 жыл бұрын
MUNGU wangu ni nini hii Tanzania hii juzi wameuliwa watu watatu familia moja leo watu tano familia moja uwiiii uwii hapana kuna kitu sio bure.
@abdallahmuttaq7306
@abdallahmuttaq7306 2 жыл бұрын
Naongea tena dunia kma haita kibali kutumia sheria za Mungu abayo ni anae ua auawe tusifuate mashetani Yale yanayotuletea sheria zao za kutetea wakosefu eti mtu akiua asiuliwe anaua makusudi auliwe hii ni Sharia ya Allah aliwaumba wanadamu alijua kuna watu watakosa kuthamini roho za watu akasema alieua auawe
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 2 жыл бұрын
Hizo ni sheria za watu,,zimetungwa na watu na wakaamua kumsingizia Mungu ili ionekane Ni Mungu kaamua,,Mungu hana sheria na Mungu hayupo kama hivyo vitabu vinavyomuelezea,,,,Ni ubatili mtupu na ipo siku utaijua kweli!!!
@sanisani5266
@sanisani5266 2 жыл бұрын
Ningekuwa polisi nadhani ningekuwa CID kama malehm baba yangu
@jaz9974
@jaz9974 2 жыл бұрын
Innalilah waina lillah rajiun...
@husseisalimumaula3867
@husseisalimumaula3867 2 жыл бұрын
Kwanini matukio ya kuuwana yamekithiri Sana eee mungu tusaidie.
@dicksonlesijila4542
@dicksonlesijila4542 2 жыл бұрын
Naanza mm kukupa ushirikiano bw. Mtaka. Kwanza kupigwe Kura ya Siri hapo kijijini itangazwe kuwa kalatasi itakayo andikwa Jina la mtuhumiwa isiwe na anwani au namba za simu.Zoezi Hilo kifanyike tarafa YOTE hapo lazima watakamatwa tu
@Safaricom_
@Safaricom_ 2 жыл бұрын
Damu ni nzito kuliko maji
@asiashaban5809
@asiashaban5809 2 жыл бұрын
Duuuh naumia Tz ya asaiv nishetani kabisa aliyeingia kiulaini haagaikii kabisa na wananchi vifo vyakikatili ni vingii asaiv jmn heee rest in peace jpm 😭😭
@yasintasamson9178
@yasintasamson9178 2 жыл бұрын
Ee M/ Mungu wa rehema tunaomba huruma yako ktk hayo yanayotendeka nchi kwetu maana wanao hawana huruma tena wa hofu yako ,, Baba wewe pekee ndo msaada kwetu 😭😭😭😭🧎🙏
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 жыл бұрын
Anzeni na kaka mtu atakua anajambo
@allybilali9212
@allybilali9212 2 жыл бұрын
Innalillah wainnailaih rrajiuun
@bentiger5464
@bentiger5464 2 жыл бұрын
Paka akitoka panya hujitawala
@devothaignatus5911
@devothaignatus5911 2 жыл бұрын
Jmn hivi tanzania kuna nin????? Emungu tsaidie mm naskia ktetemeka
@am2323Diaspora
@am2323Diaspora 2 жыл бұрын
Kule ziwa Victoria kila siku walikuwa wanaokotwa wavuvi wameuwawa wakati wa Magufuli
@pamelammari6301
@pamelammari6301 2 жыл бұрын
Mweshimiwa ondoka na huyo mdogo mtu anaujua ukweli
@rachaelw580
@rachaelw580 2 жыл бұрын
Uuuiii 5 people jesus
@fortunatadispensary9614
@fortunatadispensary9614 2 жыл бұрын
Pepo gani jamn Tz...,mashehe,mapadre na manabii tusaidieni
@smaihsmaih2815
@smaihsmaih2815 2 жыл бұрын
INNA LILLAH WAINNA ILAYH RAAJIUN KUNA NINI TANZANIA YETU TANGU MAGUFUL AONDOKE,NI MAUAJ ROHO ZA WATU ZIMEKUWA KAMA KUCHINJA KUKU,MOLA WETU TULINDE
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 2 жыл бұрын
Wanaua watoto taifa la kesho kwa visasi vyao😢so sad aiseee muongope mungu jaman sio Haki
@projestkashumba8893
@projestkashumba8893 2 жыл бұрын
Kiukweli binadamu tulipofikia,ni bora ukaishi porini na wqnyama,kuliko kuishi na watu.hiv no kosa gan mtu amefanya mpk akastahili hukumu km hii?mauajikila kona ni nn lkn
@TeamKRX
@TeamKRX 2 жыл бұрын
Inalilah waina ilaih rajiun Watoto daah sijui walopigwa VIpi 😭😭😭😭
@othmanshahib1115
@othmanshahib1115 2 жыл бұрын
Mkiwabaini hao wauwawe mbele ya watu ili iwe fundisho
@larickmtui2852
@larickmtui2852 2 жыл бұрын
Hapo ndio makao makuu au
@sultankindamba7919
@sultankindamba7919 2 жыл бұрын
Serikali Inawachekea hawa wauaji.. Kungekuwa anayekamatwa na yeye anauliwa kusingekuwa na mambo hayo!! Maana kila kukicha tunapoteza ndugu zetu harafu serikali inachukuliwa poa.. Wallah mm ningekuwa kwenye mamlaka wangenichukia ningewauwa hadharani kila anayemuuwa mwenzie..😭
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 2 жыл бұрын
Tulisema Toka mwanzo serikali hii ni dhaifu Sana. Naifananisha na Ile ya awamu ya pili na ya nne.
@mwandushimba8372
@mwandushimba8372 2 жыл бұрын
Jaman mbn watu wana roho ngumu hivyo
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 2 жыл бұрын
Innalilah wallah eajuun
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 2 жыл бұрын
Unamuondoa Mungu mawazoni na mdomoni ndio MATOKEO yake haya!
@missmrs829
@missmrs829 2 жыл бұрын
Watu wanakufa et nyinyi ni uchunguzi 😏
@ladislauspastory7249
@ladislauspastory7249 2 жыл бұрын
Kikulacho kikungoni mwako
@jilalajalu2756
@jilalajalu2756 2 жыл бұрын
Huyu anafaa urais 2025
@meryosca4546
@meryosca4546 2 жыл бұрын
Mpaka unajuta kuzaliwa
@jastinpiniel4447
@jastinpiniel4447 2 жыл бұрын
Serikali sasa iangalie hii mambo kila kukicha watu ni kuuwawa tu
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 жыл бұрын
Rais tungeomba atowe tamko, mauaji yamezidi mno
@zuenaramadhani4835
@zuenaramadhani4835 2 жыл бұрын
Mbona mauaji yamezidi
@aminahahlubayt7399
@aminahahlubayt7399 2 жыл бұрын
Innalillah wainnaillah rajiuun 😭
@suleymankham3925
@suleymankham3925 2 жыл бұрын
Au niyule dada wa south Africa aloambiwa nijambaz kaingia tz?
@steffaballerankadda160
@steffaballerankadda160 2 жыл бұрын
Unaweza nipa detailz za uyo dada au habari nikasoma nielewe mkuu?
@provianapaul6634
@provianapaul6634 2 жыл бұрын
Na naskia yupo dodoma hii mda tuu hakuna ukweli lakin sijui nn hii jaman mungu tusaidie
@drdavidomuswahiliofficiel8645
@drdavidomuswahiliofficiel8645 2 жыл бұрын
😂😂😂 Vincent kigosi afuraishwa sana na maigizo ya uyo kijana mkongo bonyeza hapa uone 😂😂👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 kzbin.info/www/bejne/jZOqhKZneKuXm7M
@hadijajohn7434
@hadijajohn7434 2 жыл бұрын
Tanzania jamani Tanzania mnakosea wapi jamani vifoo vimezidi tanzania jamani yani ni tanzania. Watuu. Wa tano wotee mmmm nihatari sana watu wamegeuka. Simba .au wanyama pori kutowa rokho xa watu watoto maskini hawana hatia lakini sasahivi nao wanachanganywa kwenye visasi vya watu wazima eweee mwezingu Tanzania inaangamia kwa mateso ya mauwaji kila siku matukio mabaya iko wapi awamu ya tano ya magufuri .R.l .P R.I.P. jpm unakumbukwa kwa ulinzi ulikuwa ni .kali sana hakukuwa na matukio haya ya mauji
@pendojeremia3150
@pendojeremia3150 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 2 жыл бұрын
Tanzania wanasema kuna waganga na wachawi sasa kama kweli wakweli hii ndio time yao yakutowa ushirikiano lakini waganga wa sasa wote matapeli😁
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 2 жыл бұрын
Waganga wetu na wachawi wetu kazi yao ni kuwatesa wasio na hatia lakini kwa wanao mwaga damu za watu,,,uchawi na uganga wao haufanyi kazi,,,lakini wapelekee tatzo la nguvu za kiume utalishwa mizizi hadi ya mawe,,,Mamaeee zao
@sadafrancis8309
@sadafrancis8309 2 жыл бұрын
Mauaji Kila mkoa Kila cku
@zenaabdallah3797
@zenaabdallah3797 2 жыл бұрын
WATZ TUNAENDA WAPI JAMANI KUUANA KAMA KUKU.HEMBU FIKIRIA UNAPOTOA ROHO YA MWENZAKO UNAONARAHA GANI.AMEJITETEA KWA UCHUNGU MKUBWA HADI ROHO INATOKA JAMANI
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 жыл бұрын
Tanzania ushirikina umezidi, watu hawafanyikazi wote wanataka kuwa waganga, ili wasitumie nguvu kufanya kazi, haiwezekani kuua watu bila hatia kama hajatumwa na mganga serikali iingilie kati hakuna mtu kuwa mganga akigunduliwa tia ndani bila hivo tutaendelea kufa na jela zitajaa wauaji
@rinaldaoman7892
@rinaldaoman7892 2 жыл бұрын
Wote wasombwe wakafilwe na chupa watatajana tuuu
@sabahiali6021
@sabahiali6021 2 жыл бұрын
Htr
MDOGO WA MAREHEMU AFUNGUKA, MAUAJI YA WATU 5 WA FAMILIA MOJA DODOMA
4:25
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,4 МЛН
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 20 МЛН
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 32 МЛН
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 7 МЛН
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 8 МЛН
Why Economists Hate Trump's Tariff Plan | WSJ
8:18
The Wall Street Journal
Рет қаралды 376 М.
Why Elon Musk’s Robotaxi Is Such a Risky Bet for Tesla
9:24
Bloomberg Originals
Рет қаралды 388 М.
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,4 МЛН