Sasa tuishi vipi jmn au tuende wapi😭😭😭😭😭😭😭mimi naogopa Ata kutembea wala kulala usiku 😭😭😭😭😭Ee mungu tunaomba huruma yako baba 🙏
@magrethdeogratias68762 жыл бұрын
Wewe mimi naogopa pia hata kulala mwenyew natamani hata mlango wa chuma pia nawaza moto ukuwaka mbon TZ yetu imekuwa inatisha hv eenh Mwenyezi MUNGU 😭😭😭🤲🏾🙏🏾
@emmaculathamboyogo8672 жыл бұрын
Amina
@leahngweta82192 жыл бұрын
Ameen
@rehemahusseinbombo43152 жыл бұрын
Jamani Tanzania yangu imekuwa uwanja wa mauji.mungu tunusuru..
@husna345622 жыл бұрын
Wajina yaan mtihan
@waheedahtanzania49122 жыл бұрын
Innalillahi wainnailayhi rajiuun 😭 inasikitisha 😭 ila huyu kaka alohojiwa na wasiwasi naye
@josewillson18132 жыл бұрын
Ivi dunia enaelekea wapi jaman unapataje ujasiri wa kuua watu wa5 wote jaman tumuogipen mungu duh!😭😭😭😭
@barakakusa76062 жыл бұрын
Dah! Inauma Sana lakini kwanin hadi watoto ambao huenda hawakujua chochote 😭😭😭
@atupelejohnmwakangale32262 жыл бұрын
Inawezekana walimtambua muuaji ndiyo sababu imewapelekea umauti. Lkn,lkn, Damu ya Binadamu sio nyepesi kiasi hicho. Haiwezi kumwagika bure pasipo kupatikana wahusika
@theresiamwandara79902 жыл бұрын
Huyu kijana kaeleza vizuri tu, hana chembe ya kosa, msihukumu
@devothaignatus59112 жыл бұрын
Kabisa
@zuleyvendor65772 жыл бұрын
Tatizo anatoa sana macho kama tochi ya mlinzi 😀😀😀😀
@telaamtauta22272 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭jamani unyama ganihuu sasa lakini ,sasahuyu aliye wauwawotee yeyekajitia lock yachumaa hafii maana ajuwe mlango wataopitia hawa nayeye ataupitiatu poleni sana wafiwa wote mungu akupeni suubra sana
@jacquelineadrian64362 жыл бұрын
Sio Kila mtu anauwezo wa kujielezea hasa wakat wa matatizo au mshtuko pole sana ndugu
@roselambert67002 жыл бұрын
Mungu anawaona wauwaji watakamatwa tu
@kamikazisalma52092 жыл бұрын
Tanzania imegeuka Sauza 🤦♀️kilakukicha mauwaji Allah awalaze mahalapema niuchungu kwakweli 😭😭😭😭
@gabinyaluke63662 жыл бұрын
Mwee,Pole wafiwa
@furahanyamba3712 жыл бұрын
Hatuelewi chochote maelezo sifuri harafu mkuu alivtosema watakamatwa katowa jicho hatari
@makondorshimora50172 жыл бұрын
Nimetoka bila bila!!! Kwangu bado ni kitendawili kuhusu familia hii 😭😭😭
@pendolazaro46862 жыл бұрын
Eeeh Yesu
@kimcash30792 жыл бұрын
Tupo wapi sio Tanzania🇹🇿 nayoijua mm kuna kitu hakipo sawa nchini ndani ya serikali mauaji kila uchao
@mamachris68112 жыл бұрын
Maandiko yanasema " Nitailaani Nchi imwagayo damu isiyo na hatia " Tuangalie sana Nchi isije laaniwa Kila siku matukio 😭😭😭
@telaamtauta22272 жыл бұрын
Ndio ishalaaniwa tena kwamasna hakuna siku tz asio uliwa mtu aside na hatia
@omom54102 жыл бұрын
Mtihani kwa kwel
@aviolatz24602 жыл бұрын
jamani baba wawatu,hadi hawez kuongea vzur,mahasi haya😪😪😪😪😔
@mariajeila72502 жыл бұрын
😪😪😪😪
@fatmamshangama98242 жыл бұрын
Innalilah wainnairahi rajiuni jamn hii tanzania inatisha magufuri kweli tunakukumbuka maan yote yalikua hayapo kipindi upo ila sasa hivi kunatisha allaah tupunguzie mitihani waja wako
@mwadhikimolo77312 жыл бұрын
Mtu huyu ana changamoto ya lugha ya kiswahili na pia anahojiwa na mtu mkubwa(kicheo) na mengineyo ndio yanayoleta sintofahamu katika mazungumzo yake.. uchunguz wa kina na huru ndio utasema ukwel
@edinaedward10822 жыл бұрын
Jamanii
@mashakamgallah52032 жыл бұрын
Ingekiwa mjini sawa,lalkini vijijini silu tatu hakuna mtu aliyepita hapo si kweli,wanakikijiji wanajua
@radhiasalum71562 жыл бұрын
Here sijui tunaelekea wapi au nchi ishaingilwa hii na majangili
@amidjaja56952 жыл бұрын
Watanzania pole sana kwel ichi imebadilika😭😭😭😭😭😭😭😭magufulii baba
@rukiamziwanda74582 жыл бұрын
Mauaji yamezidi jamani
@abuyunusmohamed69612 жыл бұрын
Imani za kishirikina zinachangia Sana mauaji kama haya
@francejackson70682 жыл бұрын
Polen sana
@enesbukuku97802 жыл бұрын
Polen San
@Boaz222 жыл бұрын
Huyu jamaa anajieleza vizuri mno
@neema_mollel2 жыл бұрын
Daah Sasa hata mmeshhindwa kuwahifadhi Jmn
@fatemafatema85812 жыл бұрын
Hy man maelzo yake cjaelewa hat kdgo ni kumchukua na kuwek ndn tuu atato maelzo kmil na kuhusik kbc
@samiakikwete17622 жыл бұрын
Sasa hao watt jmnyyyyyyyyyyyyy
@nuuringoogle41042 жыл бұрын
😳😳😱😫😭😭in Tansania
@matatomlik18462 жыл бұрын
Innalilah wainna ilayihi rajiun 😭😭😭
@Chimamy52422 жыл бұрын
Tatizo jicho hilo litakuponza kaka😂
@rehemaisaya20002 жыл бұрын
Jamani chunguzeni hapo kuna sitfahamu
@sagandamalechampullo6592 жыл бұрын
TANZANIA MAUAJI YAMEZIDI SANA, KILA SIKU WATU WANAUANA NA KUTEKWA KUPOTEA PASIKO JULIKANA
@mwajumakoshuma54172 жыл бұрын
Inalillah wainalillah rajiun
@Sppah6972 жыл бұрын
Huyu ndo kauwa hao ndugu zake. Ana maeoezo marefu sana.
@elochoyakobo78092 жыл бұрын
Hana maelezo marefu mbona kaeleweka tu
@aminamnega17782 жыл бұрын
Dini inasema tujuliane hali asubuhi kabila ya kwanza tunaanza kazi
@radhiyarashid13142 жыл бұрын
Mbona serikali mnakaa kimnya na Kila tukio mnadai mnafanya uchunguzi na uchunguzi haukamiliki lingine linatokea kwanini jamanii😭😭 tusaidieni jamanii daah inauma sana nyie mnausalama vipi sisi wananchi wenu,,Eee mungu tupiganie nafsi zetu,,tusamehe makosa yetu na uwarehemu ndugu zetu waliotangulia🤲🤲🤲
@ciciray56762 жыл бұрын
yaani na Raisi hatoi tamko
@reginamanyangu66822 жыл бұрын
Nyie mnao mwazia vibaya huyu kaka Mungu awasamee bure, kwanza sio mt wa midia pili yupo kwenye sinnto faham tatu ni mt wa kijijin hajui kujieleza,
@mursallusinde91892 жыл бұрын
kabisa halafu ye ndo jirani wa kwanza na ndgu yake lazma ataulizwa ilikuaje ukae zaidi ya siku moja bila kushtuka kma hapa jirani yako kuna jambo lisilo la kawaida.? kwa kijijni watu wote wanajuana mpka tabia zao kwa hiyo mtu asipo onekana sikunzima ni rahsi kujua
@karibunyumbani38242 жыл бұрын
Anaeleweka tu tatizo ni lugha na amepanic pia so anajieleza kila kitu
@modycombo74212 жыл бұрын
Mtihani kwakweli
@vibetz99912 жыл бұрын
Jamaa ana hadithia sana 😄maelezo meng hayahusiani na tukio...
@ahmedmokua63672 жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa anawahoji watu mahali pa watu wengi hali hiyo hajui hilo ni swala la hitaji upelelezi wa hali ya juu..akanywe na aonywe hafai atafanya wengine wauawe bure kwa kutoa taarifa muhimu
@rechomsangikumbukenikuwamt54122 жыл бұрын
Ila mm uyu jamaa nnamashaka nae kwakweli
@doriszephania35032 жыл бұрын
Hapana, tumechoshwa na mauaji jamani Tanzania, hivi Serikali haiwezi kuunda sheria kwa kila atakayeua jamani ???? Et mbona watu kuua wenzao imekuwa kawaida tuuuu????
@amillahqueeen55862 жыл бұрын
Yaani hya matukio yamezd na serkali ipo kimya haijachukua htua yyt ile sjui hii tanzania inaenda wap
@salhaali92842 жыл бұрын
Utawala wa nyerere zamani ilikua muuwaji anauliwa cjui imeendaje ikaondoshwa
@amillahqueeen55862 жыл бұрын
@@salhaali9284 huu ni mthn maana saiv mpka unaogpa kumbea ovyo
@kassimmanaramalika85922 жыл бұрын
Kwakweli Mala wavlana WA tano wamepotea !?hawo watano wameuliwa majambazi ndio usiseme utafkili ni ajira ya kawaida!watu wanatekwa wanachinjwa!?hapa mwanzo Ivi uko mbele hâta sijuwi kutakuwaje !nchi yangu maskinii
@aishatarimo67802 жыл бұрын
Yaan Tanzania sahv mtu akiona mnyama hawez kimbia ila akimuona binaadam mwenzie wallah mbio ndo zitamuokoa
Maagano Aya ya uongozi yatatumaliza vita wenyew kwa wenyew bila kujijua
@petermatonya80782 жыл бұрын
😭😭😭😭
@fadhilajamal2172 жыл бұрын
😪😪😪😪daaah Tanzania imekuwaje saiv
@deograciakashaigili59732 жыл бұрын
Kwani zama za JPM alikomeshaje Haya? Yanatuchosha sana kuyasikia kila siku. Serikali Kuu toa tamko haraka. Mpaka achinjwe nani ndio mtastuka?
@benjaminjoseph17472 жыл бұрын
Serikali bila kulivalia njuga hili watu tutaisha. Au wanataka hadi kiongozi auawe. Inatishaaaa
@officialmgonela66462 жыл бұрын
Huyu jamaaa anajua huu mchongo mbona anajizungusha hivyo
@wasalimie112 жыл бұрын
umeonae
@RuzoOwzy2 жыл бұрын
Kwa namna alivyoielezea story yake, hamna sehemu amejikanyaga au kurudia maneno, hata km amezunguka sana, ila ameelezea alikuwa wapi muda tukio lilipojulikana.
@fatmaabdallah77092 жыл бұрын
Umeona eeeh huyo mdogo mtu ndo akaisaidie polisi kwa maelezo yake tu ni kuwa anajua kila kitu kinachoendelea
@shadrackdeogratius67602 жыл бұрын
Wewe ndio unaongea,jamaa alikuwa kwenye harakat zake na Hana hatia kwasababu ya maelezo yake ni hofu ya kuhojiwa na wakuu,hata wewe ukihijiwa lazma uoga uwepo
@mursallusinde91892 жыл бұрын
@@fatmaabdallah7709 wabongo tusiwe tunapenda kuwahi kutoa hukumu sio vzr.... kumbuka huyo ni ndgu wa aliye uawa halafu huyo ni wa kijijini ghafla unaambiwa utoe maelezo mbele ya mkuu wa mkoa lazma utetemeke ukizingatia ye ndo jirani wa kwanza... tuachie jeshi la polisi wao ndo wanajua jins ya kuwapata walio husika
@merinankullua58742 жыл бұрын
Kwani serikali haioni haya mambo?mbona iko kimya?
@abdulrazakhassanor4982 жыл бұрын
Kila MTU serikali
@fusotanzania81742 жыл бұрын
duh
@azizahasan28512 жыл бұрын
Mbn kama uyu anaerezea ndo mtuhumiwa kwa macho yake na maerezo yake mm ninamashaka nae
@saidimkangwa7162 жыл бұрын
je wewe hapo ulipo huwa unawajulia Hali jirani zako kila,siku acheni upelelezi wa hovyo ndio maana siku hizi hakuna kumsaidia,mtu kwenye ajari maana ukifanya tu wanaanza na wewe kuwa,utakua Shahid Sasa kutokana na,Hilo watu wanakupita ukikata roho
@hamidaala28322 жыл бұрын
Umenichekesha
@getrudamatoto52772 жыл бұрын
Daaah wapumzike kea amani 😭😭
@mashakamgallah52032 жыл бұрын
Jamani ina maana majirani hawakisikia hata kelele za watu wote hao?,hao watoto wameuawa kwa sanabu inawezekana waliwatambua wauwaji.Hapo ndipo huwa siamini kama binadamu yuko kwenue kindi la wanyama maana si kawaida simba kumwua simba mwenzake
@sharonyasin75212 жыл бұрын
Huyu nae ajui kujielezea kwa ufup
@maimunaulotu20752 жыл бұрын
Nyumban huku lkn dah😪😪😪😪😪😪😪
@aminakunja2772 жыл бұрын
Mbona maelezo Yake km anajijitetea mhh waanze na uyu
@fetychina32732 жыл бұрын
Dah!dunia😭😭😭
@saumsaum19162 жыл бұрын
Msihukumu huenda naye ameshangaa
@michaelmchodo33072 жыл бұрын
Dada yangu aliuawa kidoka wilayani kondoa kwa kupigwa shoka kichwani muuwaji akakimbia na alijulikana police walisema uchunguzi utafanyika na kumshika mtuhumiwa hakuna kilichotendeka wala mtuhumiwa kukamatwa..inaniumaga sana
@ashasaid50612 жыл бұрын
Pole
@johnsonkatana10692 жыл бұрын
Shida ni kwamba anajitengezea mazingira ya kwamba wakati na uandaaji wa mauaji na hata mauaji kutekelezwa yeye hakuwa Karibu so hahusiki.with me he is my first suspect
@cdeleo93362 жыл бұрын
Very true
@princessdiana53502 жыл бұрын
Hakika
@rehemaamiri16162 жыл бұрын
Daaah
@cidewashington6702 жыл бұрын
Ina lillah waina illah rajiun
@happymrema67282 жыл бұрын
Jaman tusikaribishe watu wagen manyumban kabisa mtu anashida aende police
@mauricempinga9352 жыл бұрын
Shaidi wa kwanza
@omarswaleh60822 жыл бұрын
Naona muna mshuku huyu kaka yake sio jambo haliwezi kani laweza ikawa lakini police wanajua zaidi hio ni kazi zao wakiamuwa wata washika. Kama wanavyo sema waswahili sirikali ina mkono mrefu tuwache wafanye kazi yao
@chloeabdul70542 жыл бұрын
Matukio ya mauwaj yamezd jmn
@ambrospaulo36972 жыл бұрын
Binadamu tumegeuka wanyama
@Rose-ue2ho2 жыл бұрын
Maelezo mengi nahisi anajiogopia😂😂
@aaa64sa132 жыл бұрын
Dhana ni mbaya sana, pengine anaongea kwa mshtuko coz kifo chao kina shtuwa na maskitisho sana. Rip
@husna345622 жыл бұрын
@@aaa64sa13 kweli
@happyelias94652 жыл бұрын
Unatangaziwa kwamba tz tuna amani wakati wao kutwa na ulinzi, sijui ni amani IPi wanayoisema
@bigbossmanbossman69462 жыл бұрын
Huyu ndugu achungunzwe
@julianajacksoni42752 жыл бұрын
Shida nn jaman.. Mbona watu wanauwana hivi
@isaachayes97832 жыл бұрын
Huyu mdogo wake achunguzwe zaidi na mashaka nae
@ezekielloylepayon50422 жыл бұрын
Dodoma mwogopeni Mungu
@amaniulanga47242 жыл бұрын
Wewe uko wapi ambako mmeishakamilisha program ya kumuogopa Mungu. Haya mambo yanatakiwa kukemewa hata pasipo kutaja ukanda. Matukio ya kuchinjana yanatokea almost pande zote za nchi. Kimsingi tusimame pamoja kukemea.
@halimaally86682 жыл бұрын
Tanzania ya Amani ni ipi jamaniiiiii 😢 😢 😢 😢 😢 😢
@annamadatta12132 жыл бұрын
MUNGU atusaidie jamani hizi nisiku zamwisho Ila maelezo yakaka hayaniingii
@fatmaabdallah77092 жыл бұрын
Huyo mdogo mtu mie homa!🙊mie naona uchunguzi uanzie hapo hapo kwa ndugu kwenye familia sababu ndugu wengine Wana Tamaa inawezekana wameua familia wapate kurithi Mali
@فاطمةسعيد-ث2ق2 жыл бұрын
Mm sijamwelewa naona ty maerezo mengi ayana ata maana😭😭😭😭
@anifanyoni90362 жыл бұрын
Wengine huwa hawawez kujieleza mi binafs nimeelewa
@luluwhite38182 жыл бұрын
Maelezo marefu kama mkojo wa mlevi
@peterfashiondodoma88252 жыл бұрын
Maelezo kwa kaka mtu hayatoshelezi kabisa vyombo vya usalam kwa Haki ya seheria ya nidhamu ya serekali ya jaamuhur ya muungano w Tanzania uchunguzi uanzie hapo hapo
@cdeleo93362 жыл бұрын
Hata mimi naona maelezo yake hayaeleweki
@princessdiana53502 жыл бұрын
Kweli
@jovanafidelis28022 жыл бұрын
Mm naona kama vile ni changamoto ya lugha tu
@emanuelleopod39492 жыл бұрын
Changamoto ya lugha ndiyo inafanya msimuelewe uyo jamaa
@amasichefwalo37872 жыл бұрын
Sina Cha kusema kaaa
@jumamnumbwa94832 жыл бұрын
Ugomvi wa ndugu huo hao ndugu wakamatwe
@upendoeliya93292 жыл бұрын
Ni mkoa gani huko yametokea mauaji??? Maana wanahadithia tu km ngonjera.
@mrh28122 жыл бұрын
Maelezo yote ya nin🤔🤔🤔
@aminakunja2772 жыл бұрын
Maana usikute Ata ao alikua nao shamba usikute ndo wausika wote Kawa panga..
@aaa64sa132 жыл бұрын
Dhana ni mbaya sana.
@missmrs8292 жыл бұрын
Tanzania imekuwa ya mauwaji wenye nchi kazi yao ni kuimba taharabu na mipasho fyuuuuuuh 😏😏😏watanzania nilazima mumkumbuke yule mzee Magufuli 😭😭nchi imegeuka kuwa machinjio ya binadamu 😭😭
@amidjaja56952 жыл бұрын
Kwel. Kbs
@mariajeila72502 жыл бұрын
True
@sicaliusthobias27892 жыл бұрын
Kweli hili jicho amefiwa na ndug🙄🙄🙄 maelezo mengi hayahusiani na anachoulizwa
@zaitunimuya14112 жыл бұрын
Yaan ni kama suspect
@rinaldaoman78922 жыл бұрын
Kaka mtu hata kuli!! Alafu mbona umetoa macho
@omarswaleh60822 жыл бұрын
Ndugu zanguni akishinda salam na ukimka salam mshukuru mola wako haya mambo sio tanzania peke yake
@lexq-sm6lq2 жыл бұрын
Sasa Salam hapo Inge waokoa vipi!! Sana sana ingekufanya ugundue miili Yao mapema tu ila sio wasife
@ashamakwaiya87492 жыл бұрын
Mbona macho yake yamemyoka sana ?hata huzuni hana!!?huyu namashaka nae wayu saizi wabaya hata kwa ndugu zao
@saidimkangwa7162 жыл бұрын
yeye kaenda Shamba kama,wewe uendavyo kazini asubuhi huwezi amsha watu eti unawajulia Hali Sasa ukiwa huko ukikuta jirani kafa kwahiyo unahusika
@husnamohamed92452 жыл бұрын
Huyu jamaa katowa macho hata chozi halitoki muongo ukitaka kumkamata mtu mtizame machoni story kibao
@dicksontowo84142 жыл бұрын
Huyu jamaa akamatwe wa kwanza
@peterfania10052 жыл бұрын
Hata me nahisi huyo jamaa macho
@festohaule44002 жыл бұрын
Mbona unaongea bila kuchanganua mda na maneno..
@philimaterrugalabam44172 жыл бұрын
Sisi wanazanka tumekosa amani MUNGU atusimamie tupo msibani kwasasa
@asiakheir86842 жыл бұрын
Hao wauaji labda walikuwa wengi, watu wote hawakuweza kujiteyea, itakuwa kunakundi kubwa sana la mauaji