So sweet wenyewe washikaji wanacheka mpaka basi nimewapenda bure Mungu awatunze ndugu zangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Zengeni-gz8feАй бұрын
Mapenzi hayachagui .hata mtume aliyoa mwanamke SI saizi yake na maisha yakaendelea.mbona wanaume wakioa mabint wadg hamsemi? Mapenz maelewano❤❤❤❤❤
@ChristinaOnditi-el3xoАй бұрын
Mie naona huyo kijana ni muhuni tu, Isha hapo unapigwa na kitu kizito
@hassanihussein2731Ай бұрын
Kwaiyo mtume ndo alifanya hayo tu ya kuoa mke aliemzidi umri mingine mbona hatuyafati haya ndo tunaona yanamaana SHUBAAAAAMIT
@Zengeni-gz8feАй бұрын
@@hassanihussein2731 hapana brother vyote vinaumuhimu .ila nilijaribu kuwakumbuxha 2ktk Yale matendo ya mtume hili ni 1wapo lakuoa mwanamke aliyemzidi umri.na mapenzi maelewano 🙏
@Zengeni-gz8feАй бұрын
@@hassanihussein2731 lawama zimekuwa nyingi sana kwa sister.huenda baadhi yetu hatujui hili .kifupi mi nimefutahi dada yetu kupata mwenza..usingo Maza unachosha.mi nampa maua yake dada insha 🙏🙏💪
@wemakalama6458Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣@@hassanihussein2731
@teddygabriel5662Ай бұрын
Sina la kusema yangu macho na masikio👁️👁️👂👂
@hamismbekae3050Ай бұрын
Habari ndio hiyo mwanaangu ausio wamama wamjini duh😮
@AfricaQueenАй бұрын
🙄🙄🙄🤔🤔🤔🫣🫣Dah! Huyu bwana mzima wa kichwa kweli 🤔🫣Anaulizwa mashwali anachanganya maneno na eti huyu sio mwanamkwe wa mwisho na Aisha anajichekesha dah! Bwana mshamba sana na anaongea sana anamtia aibu 😂🤣🫣kijana ngosha anatafuta maisha kama Rommy wa shilole 🤣😂🤣😂🫣Bi dada lajichekesha 🤪🤪🤣😂😂Because of love ❤️😂🤣🤣🤪
@mamaswaas_kitchenАй бұрын
Nimesoma comment nyingi tu before niandike yangu na wengi wanamponda Isha ooh umri ooh kijana muongo sioni kama ni poa ile minimeona ni wanapendana wanheshimiana na kizuri zaidi ni marafiki, nimewapenda bure sema tu kweli hapo kwa ndoa mutie bidii ndugu zangu kuna na kesho napia kuowa mwanamke mkubwa chambilecho ni sunna mtume wetu (S.W.A) alifanya ivo so sio ajabu.
@rajabdibwa6415Ай бұрын
Jamaa mjanja mjanja😂😂
@user-rd8dz3kp9fАй бұрын
Huyu kaka kunakitu anatafuta kwa isha minishaona😂😂
@user-pu6pr5jt4nАй бұрын
Mhm kazi kweli kweli Wakna shishi wako wengi
@RabiaWahadhАй бұрын
Zuch ❤❤❤❤❤
@user-rd8dz3kp9fАй бұрын
😂😂😂
@SuleimanKhdijaАй бұрын
Nini tatizo mabint wanakosa vijana ila Shangazi wapo vizur vijana tafteni pesa mwisho wa cku unafukuzwa kama.......😮
@aishafrancis7714Ай бұрын
Romy🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@Mina.15Ай бұрын
Uchebe 😂😂
@kibouttv7148Ай бұрын
Mabinti wengi bado hawajajitambua wengi wanaume wanaangalia pia na akili yako je ni ya kujenga maisha au kutwa mnaomba vocha na hela za mawigi alaf mishangazi ni watamuuu uliza wanaume wakwambie mwanamke umri ulioenda na ameshazaa utamuu ni mwingiii
@melanialeonard4031Ай бұрын
🐕🐕🐕
@user-wp5pu1zs8iАй бұрын
Vijana wasasa wanataka mtelezo kulelewa msisingizie kuombwa pesa
@smartonlinetv5144Ай бұрын
Mmmmmmh.......kazi kweli kweli hakuna mapenzi hapo ni swala la maslai
@kassimchuo5290Ай бұрын
Mamboo
@user-hz5nf8qp5wАй бұрын
Nakubali braza kwa maneno yko umri n namba 2❤❤❤❤
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lmАй бұрын
Mwanaume haongei sana huyu ni mpiga dili tu😅😅😅😅
@esterpaul5856Ай бұрын
Nimewapenda sana ❤ kwanza huyu Dada hanaga skendo za umalaya..Umri just a no
@Bless-sk8uvАй бұрын
Ok, 👍 Amen 🙏 ni jambo jema kua wapenzi 🥰🥰🥰
@faridapandu7579Ай бұрын
❤❤❤ nakupenda daisha mlee kijana
@user-gj2mm3ko8mАй бұрын
DIVA NA Abdul sheikh WA mchongo (mke wangu WA mwisho)haya basi ....ILA Chuma kibiji hiyo kinamula mashauzi weeeee😂😂😂😂
@AmanaHusseinАй бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ggvv9970Ай бұрын
Mwanzo wamaelezo uwanirahaa😂😂 Masha Allah kila laheri inshallah ❤❤❤
@user-pe1qv1sn5pАй бұрын
vijana wa natafuta sehemu za.kutulia na.kutuliza akili.ila ndio.mtulie sasa.na.fanyeni jambo . ili msizini
@dayana5513storyАй бұрын
Love is beautiful things 😍 😊
@wemakalama6458Ай бұрын
SubhanaAllah mitihani kwa kweli mhh
@user-lc4yg2hf4gАй бұрын
Mungu awaongoze vema❤❤❤
@winfridapiusmalisa6712Ай бұрын
Nampenda sana isha ❤
@ukhutfatumah1154Ай бұрын
Bora wali nyama kuliko walimwengu Furahia penzi lako Isha mashauzi
@user-fx7ig1uy6tАй бұрын
Nina miaka 29 na utuuzima wangu huu nilichokiona huyo kaka ni muongo mpk muongo tena..ila kila kheri sis
@evancetilya167Ай бұрын
Dah
@lovirinaaАй бұрын
Mh vinaume viongo no matter how old a lady is a young man can lie to any old woman wanawake hakili ni ndogo sana uyo jamaa yuko hapo for his own reason hakuna mwaume anaependa mwanamke mkubwa kwake
@user-kg7yq3on9jАй бұрын
❤❤❤❤❤
@YasminYasmin-vj5ihАй бұрын
😢yn unaemuona kbsa km muongo hiyo mwanamke tapel kweli mwanamke mwalimy wetu kipofu huyu sikuelewi jmn
@user-ne4fl7kc8hАй бұрын
❤❤❤
@chinamilenas3375Ай бұрын
Hamna penzi hapo daaah...
@ramboiddrambo3056Ай бұрын
sema uyu jamaa anaonekana mzinguaji anataka kuonekana tu kama anaigiza
@user-zz7jr7yj9mАй бұрын
Tukiachanaaa na shishi utakutanaaa na ISHA
@user-tt7cu2et1xАй бұрын
Kazi ikooo😂😂😂
@joyce55727Ай бұрын
😁😁
@aminaomary5567Ай бұрын
Kweli dada Khadija. Halafu dada Mashaunzi aangalie sana kuna kitu anakifuata huko mbelen:tena mchaga awe makuni Aisha.
@MeniJrАй бұрын
Saivi haya sio mashangazi tena ni magurdumu
@KuluthumuMsuwakolloАй бұрын
Isha anaonekana kapenda sana
@ElishaOissoАй бұрын
Maigizo hayo
@RehemambodzeJefa-bw8vvАй бұрын
Nice couple❤
@RabiaWahadhАй бұрын
Zuch Na Diamond 💯💯💯💯
@salamasefu5494Ай бұрын
Mapenzi yakiwa mapya yana nguvu.mungu awajalie ameen
@Naju645Ай бұрын
Allah awadumishe
@annamwakibinga527Ай бұрын
Hii mishangazi hii mna mambo sana.
@jamilaathumani5481Ай бұрын
Kila la her inshallah..mdumu kwenye ndoa yenu
@user-dz5jc6pp8eАй бұрын
Mmmmmmm jamaniiiiiii usijimalizeeeeee mdogo anguuuuuuu hayaaaaaa mchaga mama mkwe mualikeni mama angu tabu mwaimu
@evancemoevt8597Ай бұрын
Kwa Sasa ni Mwendo wa Mishangazi!!!😂😂😂😂😅😅😅
@Zainab-qg6xvАй бұрын
😂😂😂nimecheka tena mishangazi yenyewe mibonge bonge
@MohamedMkotaАй бұрын
😅😅
@joyce55727Ай бұрын
😁
@Sarah-tq2vcАй бұрын
Mishangazi yenyewe yamenenepeana kweli
@KidotiiАй бұрын
Mishangaziii tuko vizuriii, tunaupendo wa dhati na tuna helaaa😂
@dubai8594Ай бұрын
KIKI OG
@user-ht5tc5yv5tАй бұрын
Mmmh uongo huo bwana kick hyo😂😂😂😂
@rajabessa3675Ай бұрын
Mashangazi ❤
@LulucutАй бұрын
Ila waschana tukiwa wadogo vibinti tunataka mibaba tukisozeza umri tunataka vijana.
@sofitanzanian955Ай бұрын
Joshua pumzi zinakuhadaa niko pale mungu atakavo kuzalilisha
@user-ni6xq5jt9qАй бұрын
Yaan maelezo tu yanajitosheleza kuwa dada kaamua kukusaidia😅
@MohamedMkotaАй бұрын
Yn kijana wa watu umewekwaaa😅😅
@alisaadmohammedАй бұрын
Mwendo kasi na mashngazi
@Marjeby15 күн бұрын
Mshua wangu anapiga muda wowote anapotaka😅so dogo usijimalize sana
@TrinaRoman345Ай бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔 yan hapa ujajipata yn mwakani uyu kwao🫣🫣🫣 amna kitu apoo
@user-rf7ni6tr2oАй бұрын
Uyoooo naeee wakufikishaaa miezi duuu Vin
@albertinamichael6123Ай бұрын
Umri ni nombre tu.
@ednahumazi77724 күн бұрын
Aibu.poleni wenzangu muda ukipita tafuta rika lako ambaye hana mtuu looo huyu dada.hawaendani wanawake twajilalilisha huyu ni mwanayo
Kipi kigum hapo kijana Ana kaz yake ingia Instagram yake ya Isha kamtag
@zenasalum2231Ай бұрын
@@ukhutfatumah1154 kamtagi jina gani chaumbea Mimi nikaone
@ambroceharouna1612Ай бұрын
Acha kukalili we fala
@JumaDeaАй бұрын
Mmmmmmmmm
@chandeyusufu957025 күн бұрын
Vijana atafuteni kazi badae mnapigwa chini kinomanoma
@aishafrancis7714Ай бұрын
Maisha yanakwenda mbio jamani daah😂😂😂😂😂😂
@msafirisaimoni9561Ай бұрын
Wanalongana sema isha ana mwili mkubwaaaa😂😂😂😂
@user-pu6pr5jt4nАй бұрын
Mhm kijana kashapata mseleleko😂😂
@ameenaameena422Ай бұрын
Ila ss wanawake tunajizalilisha sanaa
@khadjamhozyaАй бұрын
Huyu kaka ni mhuni sana maneno yake sizani kama watadumu
@messaabbas739Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamaa Vibe aisee vitu vya wanawake wanavyopenda
@barackmoses7003Ай бұрын
Dah Dunia inaelekea wapi
@user-vv1te9fu8qАй бұрын
Hovyoooo
@lunangabenjamin3121Ай бұрын
Ni mapenzi mzidi kupenda mbona mnaendana haya tafuni sasa mengine ya maana maishani.achaneni utoto.
@aminaomary5567Ай бұрын
Lakini kijana mzuri kama wataendelea ❤❤❤❤
@khadjamhozyaАй бұрын
Ninzuri arakini anaonekana mhuni furani
@fbr5113Ай бұрын
KWELI AJIRA NGUMU ILA NIMEWAPENDA NA NIMECHEKA HADI NIMELIA
@tuntufyemwasyete3834Ай бұрын
Hawa wasanii wana rahana
@subiraaddo864Ай бұрын
Maigizo haya
@user-vv1te9fu8qАй бұрын
Hakaagi na wanaume utemi mwingi halafu anapenda kutawala wanaume mtu mwenyewe jike dume
@NAYLASULTAN-td4ksАй бұрын
BETTER FANYENI HALAL MUOWANE NA AUTIE ISHA MASHALLAH ANAJUA KUFEKA NA ANAJUA KUPENDA AND MUME MTARAJIWA UKIFANYIWA KITU NA ISHA SEMA THANKS UNAONA YEYE UMEMUEKA SAWA NYELE ZAKE AMEKUBIA THANK LAKINI YEYE ISHA KAKUPANGUSA KITU ON YOUR FACE HATA THANK HUJAMPA THAT IS NOT RIGHT TO HER SHE LOVELY WOMEN YOU ARE LUCKILY TO HAVE HER IN YOUR LIFE
@mkamajames2786Ай бұрын
Hii ni Kiki tu
@aminaomary5567Ай бұрын
:dada Aisha huyo mrembo anaonekana kama anabeza hivi hapo pembeni ni nani?
@LydiahMasikaАй бұрын
Hawaendani😂
@user-fk1io4yp3jАй бұрын
Afu kuna mm msichana mdogo sina mpenzi duuuuuh! Kweli shangazi zetu mna balaaa
@amosihokororo9702Ай бұрын
Njoo
@user-fk1io4yp3jАй бұрын
@@amosihokororo9702 😅😅
@zennahashimАй бұрын
Mashangazi tupo vizuli,nyama Zina tulinda
@bennamush4616Ай бұрын
Mashangazi tuashieni my wetu au kisa pesa😂😂😂
@eggysulle7988Ай бұрын
Nmewapentaaaa😂😂😂😂
@RoyMangaleАй бұрын
Yaani mtangazaji kamzidi muonekano huyo kibenten wa Isha mashauzi,,, mpaka Isha mashauzi anaona aibu
@user-zz7jr7yj9mАй бұрын
Makubwaaa mshangaziii
@SmilingFreshwaterLake-tg5qpАй бұрын
Shida sana
@twiseghekisilu8845Ай бұрын
Kwani mashangazi hawana haki ya kupendwa???na mapenzi hayana umr,kikubwa maelewano!!
@SmilingFreshwaterLake-tg5qpАй бұрын
@@twiseghekisilu8845 Wanahi ya küpendwa Ila na wezee wenzao siyo siyo vijana
@hassantuva3765Ай бұрын
Sema Shangazi ukimzingua anakuacha paap
@roseafrael75Ай бұрын
😅😅😅😅 yani ni shwaaaaaaa
@BibieMakameАй бұрын
Billi ilikuwa kubwa mmmh
@omarimziya390Ай бұрын
Nilichokiona jamaa tapeli
@abdilahmohamed6679Ай бұрын
Serikali hamtukomoi kutunyima ajira teyar tumepata njia mbadala 😂
@ZenaMsumagiloАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 ni sheeeda
@QeenPrince-lm7ciАй бұрын
Nilikuona unamaana kumbe akili kama za mtingila 2
@rehemamejja8342Ай бұрын
Mchaga hatoii pesa utamlisha huyo moka ukome
@elizabethcharles6527Ай бұрын
Mbon kijana mdogo sana sasa😂😂😂
@mariamibrahim6544Ай бұрын
Tusubiri nyimbo ya mapenzi hapo
@noeljacob9644Ай бұрын
Mishangazi iheshimiwe😂😂😂
@nunuuali5316Ай бұрын
Hapo Isha anavyosifiwa anajiona yy ndo mwanamke😅😅😅😅kijana anaonekana hamna lolote kwa kweli
@omanoman2044Ай бұрын
Kaz ambayo sito ifanya ni hii kwa umri kam huu et niziniw na vijan aaah hapan mungu aninusuru pesa na zitafuta kwa shida nisile na qatt wangy nikatafuta mtuy tunae enden nae anizidi yy siyo mim nimzid nikikosa mzee kam mim ni bora ni baki na watt wangu w mtihan
@KidotiiАй бұрын
Hao watu wazima dada wanavisukari! Shaur yakoo😅😅
@omanoman2044Ай бұрын
@@Kidotii siyo kweli kwa hiyo watuy wazima wakike ndo hawana kisukar am