No video

GETO LA BAGA NI NOMA!! AMEISHI MIAKA KUMI/KITANDA CHAKE UTAPENDA - SHOWBIZZ

  Рет қаралды 158,712

ZamaradiTV

ZamaradiTV

11 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 284
@glorialubengo2829
@glorialubengo2829 11 ай бұрын
nampongeza sana huyu kaka, maana amejua kuonyesha uhalisia ambao wasanii wengi hawawezi. hogera sana Baga
@komboarts7110
@komboarts7110 10 ай бұрын
Speechless kabisa kwangu nina kitu kikubwa cha kujifunza kuhusu maisha kwa kweli. Mungu ana siri kubwa huyu jamaa hata hawa akina kitale wanaigiza style ambayo jamaa alipita nayo ndo alianzisha Enzi za jumba la zahabu miaka ya 2000 na kitu kule. Nikioona kwa Muda niliomjua kwenye sanaaa na Tv Aisee. Somo kwangu NIMEJIFUNZA MAISHA YANA SIRI YA MUNGU KUBWA Kama unanielewa usipite bila kuweka like yako. 🎉 . Huyu ndo Baba wa sanaa kwenye kipengere cha mtaani uhuni na ubabe mwingi, ni mahala pake
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Huyu jama noma Sana aisee🔥🔥🔥🔥🔥🌺🌺
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 11 ай бұрын
Respect Sana baga uko real Ata ukiitaji kuchangiwa kwenye tatizo ,akuna mbambamba
@somiasomia2306
@somiasomia2306 7 ай бұрын
tutachanga natusio changanga kwasababu ya ukweli wamaisha yake
@faridadumasalhathoseni
@faridadumasalhathoseni 10 ай бұрын
Amina Dar nilimkubari kwa kazi zake lakini Leo namkubari zaidi kwa kuwa muwazi wa Maisha yake harisi ILa mungu atazidi kumuongezea inshallah 🙏 alipopungukiwa
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 11 ай бұрын
Mtangazaji ukimaliza kuonyesha manyumba na mageto ya wenzio mwisho utuonyeshe na kwako pia tukuone sio kwa wenzio tu kila siku
@pendombinga3584
@pendombinga3584 11 ай бұрын
😂Kbs
@crispinmsongole8875
@crispinmsongole8875 11 ай бұрын
Hilo nalo neno 😅😅😅😅
@mymuhnabdallahshaban7763
@mymuhnabdallahshaban7763 8 ай бұрын
Ten alivyo mshenz alataka mpk chumbn apaone
@renildevenerand9473
@renildevenerand9473 8 ай бұрын
Kabisa
@MkasyswallehsaidSwalleh
@MkasyswallehsaidSwalleh 8 ай бұрын
TRUE😂😂😂😂
@user-os4ok4pz9j
@user-os4ok4pz9j 11 ай бұрын
Nimependa maisha yako baga mwenyezi mungu akuzidishie achana na ao wanaofake maisha
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 11 ай бұрын
Baga nakupendaga sana kama hujaoa mi nipo tayari ila nina mtoto nitaishi na wewe kwa shida na raha kabisa nakuhakikishia sina uzuri ule ila tabia yangu itajieleza wala sijimwambafai ukweli ndo huo nakupenda sana baga wangu ❤❤❤❤❤
@salamarashidi3262
@salamarashidi3262 11 ай бұрын
Hahahaaaaa ungemjuaa
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 11 ай бұрын
@@salamarashidi3262 yukoje jamani
@surajatul732
@surajatul732 11 ай бұрын
​@@salamarashidi3262😂😂😂😂😂
@MbarakaHaji
@MbarakaHaji 11 ай бұрын
wewe una mpenda banga ila na mm nakupenda ww
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 11 ай бұрын
@@MbarakaHaji 😂😂
@neemaiddy4396
@neemaiddy4396 11 ай бұрын
Big up Baga nimependa maisha yako na umekuwa wazi Sana ❤
@mosesjnr8436
@mosesjnr8436 11 ай бұрын
Maisha halisi, maisha rahisi 👊
@sophsoph4740
@sophsoph4740 11 ай бұрын
Salute hataukimwa nachangia baga wangu upo real❤❤
@Mpakauseme
@Mpakauseme 8 ай бұрын
Mnapenda anavyoishi wasenge sana ninyi ni watu wanafiki wakubwa , kesho Mungu akimpamafanikio makubwa ni ninyi ninyi tena mnaibuka kumchukia nakumpachika majina kibao yakiwaki mara freemason mara choko , wabongo wanafiki sana ninyi uwaga mara nyingi mnapenda mtu anapoanza tu katika maisha ya chini lakini anapokwenda kuinuka tu mnaanza mkuchukia ovyo kabisa nyinyi
@naifathassan2607
@naifathassan2607 8 ай бұрын
Point
@user-pz8vz2tq2u
@user-pz8vz2tq2u 7 ай бұрын
Nibora Maisha ya uhalisia kuliko Maisha ya maigizo
@user-dp6oj7dp9e
@user-dp6oj7dp9e 11 ай бұрын
Nimependa saana maisha ya Baga ongera kaka
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 11 ай бұрын
Maisha ya simple sina ndoo ukweli wa maisha ayo bags unaweza kweli real life
@user-pz7fy8xl4o
@user-pz7fy8xl4o 11 ай бұрын
Yani uyu kaka ata kama anaitaji kuchangiwa nachangia kaonyesha maisha halisi safi sana kaka
@safian.9518
@safian.9518 10 ай бұрын
Nani kamuona huyu Saleh amekaa kijuma lokole lokole?😅😅😅haeleweki vizuri na yeye😂😂😂😂
@leahsamwel1931
@leahsamwel1931 9 ай бұрын
Tumpongeze tuu kwakua mkweli ila atafute pesa that not life kwa level yake😊😊 msimfariji msela angu
@zaunamoody7311
@zaunamoody7311 7 ай бұрын
Mbona yupo safi tu chumba kimekamilika kabisa kujenga majaariwa
@user-fi9ty6yi2n
@user-fi9ty6yi2n 2 ай бұрын
Utajuaje yawezekana akawa anajenga ila hataki show off usione mtu anaishi maisha ya kawaida ila anamalengo yake hataki fake life
@Rangoboytz2023
@Rangoboytz2023 11 ай бұрын
Ndo maisha yetu baga mteme unyama sana mwamba life style fln hivi amazing
@user-hp3bx8ih4y
@user-hp3bx8ih4y 7 ай бұрын
Baga hana tofauti na mr..blue wapo wazi xana kifupi nimembenda xana iyo show
@Rangoboytz2023
@Rangoboytz2023 7 ай бұрын
@@user-hp3bx8ih4y safi sana blood wapi hiyo ww
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 11 ай бұрын
Haya sasa ndio maisha yetu haliso , big op BAGA
@btylove1870
@btylove1870 Ай бұрын
Nimependa maisha yake yapo kihalisia hadi raha,hajaonesha maigizo na makorokoro ya ufeki ❤
@khaledoman8266
@khaledoman8266 7 ай бұрын
Nimependa sana kbx kaka yangu 🇧🇮🇴🇲❤❤❤
@NasraNasa-mp7mf
@NasraNasa-mp7mf 11 ай бұрын
Nimependa sana yuko real big up baga
@oniakussa3383
@oniakussa3383 11 ай бұрын
Sijakosea kumpendaga huyu kaka kumbe yupo real sana jmn🥰
@Omosak
@Omosak 11 ай бұрын
Me too
@kareemabdullah4395
@kareemabdullah4395 6 ай бұрын
@@Omosak😂
@user-tg2rn2jl2l
@user-tg2rn2jl2l 10 ай бұрын
Hongera sana kaka kwa kutoa video ya maisha yako
@consoponsiano97
@consoponsiano97 11 ай бұрын
Mwanangu mtangaji unachunguza sana duh adi kwenye hotpot
@iwambimpya1924
@iwambimpya1924 8 ай бұрын
haya maisha ukiwa na roho nzuri utakuwa maskini ,baga anaroho nzur sana anaonekana ndio maana yuko hvyo,
@Mimy_keys
@Mimy_keys 10 ай бұрын
Mwamba Nimempenda Yaani 😂😂😂😂😂😂 Sisi Wanawake Tunapenda Mwanaume Mkweli Sio Muongo Muongo 😜🙈😎❣️🙏
@mohdloushmoney9994
@mohdloushmoney9994 10 ай бұрын
Mmmhh ahhhh wapi
@HassanHassan-sr3fq
@HassanHassan-sr3fq 10 ай бұрын
njoo kwangu
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 9 ай бұрын
sio kweli wanawake wanapend a mwanaume muongo
@user-ps5yv4nr9l
@user-ps5yv4nr9l 3 ай бұрын
Nyie hamujawahi kueleweka mukiambiwa ukweli Inakua uongo mukiongopewa ndo ukweli so nyie bado hatuja jua munatakaje Hadi sasa
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 11 ай бұрын
Nampendaga sana bagga❤️
@user-or2xn4bp7o
@user-or2xn4bp7o 10 ай бұрын
Yea safi Sana..nmependa ajui kufake lyf🥰🥰
@matridasambali6432
@matridasambali6432 10 ай бұрын
Nimependa sana unavoishi uhalisia ila sema mshikaji kama anakuchora vile sjapenda interview yake hadi mahotpot anafunua kwani kwaambiwa we mama ntilie aache ivo
@sultansuleiman-940
@sultansuleiman-940 11 ай бұрын
goood presenter.namuona mbali sana...!
@MariamSalim-wd3nz
@MariamSalim-wd3nz 11 ай бұрын
Hongera Sana Kiukweli anaitaji tuzo
@pharleserasto3114
@pharleserasto3114 11 ай бұрын
Baga mwanangu San hajivung na maish kam wasanii wengn kufek so anaish na uhalisia wakwanz likes zanguuu
@ZainabuNahimana-qv8el
@ZainabuNahimana-qv8el 10 ай бұрын
Big up sn Bruuh👊nimepend uhalisia wako wa maisha yn👌
@dayana5513story
@dayana5513story 11 ай бұрын
Nimependa hii he is true guy no fake
@GiftAbduly
@GiftAbduly 8 ай бұрын
Ni mwanaume smart ❤👊🏾
@user-ho8lh9ke2d
@user-ho8lh9ke2d 11 ай бұрын
Nmeilewa maisha ya huyu guy yako poa sana
@officialronaina7592
@officialronaina7592 11 ай бұрын
Eagleee❤❤❤❤nampenda he is real man
@emiguymnyama1996
@emiguymnyama1996 11 ай бұрын
Saleh classic nakuona mbali sana emiguy mnyama hapa
@user-qs4fb5fo5f
@user-qs4fb5fo5f 11 ай бұрын
Huyu jamaa anajielewa namkubali sana
@joycechaz2840
@joycechaz2840 10 ай бұрын
Woow baga maisha simple uhalisia kbs
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 11 ай бұрын
Ila Bagga umenenepa 'Mashaallah
@teddyleonard9237
@teddyleonard9237 7 ай бұрын
Mungu atakusaidia utafika mbali utafanikiwa tu
@JemimaKijiu-xx7lg
@JemimaKijiu-xx7lg 7 ай бұрын
Ila hakunji kabisaa nguo duh!!!
@renildevenerand9473
@renildevenerand9473 8 ай бұрын
Mimi sipendi anavowakagua.Maisha ya mtu hayahusiani na umaarufu anaokuwanao. Minaona kama mtangazaji mshamba tu. From 🇨🇦
@AwamoPro-rt3sl
@AwamoPro-rt3sl 4 ай бұрын
Nimeipenda hii kbx Good life no kufeki life yan
@faidhacute
@faidhacute 8 ай бұрын
😂😂et shoga angu halaf baga bhna but all in all i like it huyu anaishi uhalisia kabsa ni maisha ya kawaida maana kuna wengne wanafek kabsa ila huyu anaish mulemule haina haja ya kujikweza yaan saf kabsa
@MatungwaZacharia-pl3ro
@MatungwaZacharia-pl3ro 11 ай бұрын
Nakukubali sana baga miaka kibao dah afu haunaga makuu home boy afu muhuni ile kinoma an ukitoa kitale kuigiza muhuni na katili hua ntakuweka wewe
@nasrybilal4451
@nasrybilal4451 11 ай бұрын
Huyu muhuni namkubaligi Sana anaishi live yani
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 8 ай бұрын
We jamaa unaenda kwa watu Sana na kwako pia utuonyeshe
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 10 ай бұрын
Sauti ya mziki upo juu zaidi kuliko show
@irenesisamo2184
@irenesisamo2184 10 ай бұрын
Hongera sana Baga Mungu akuongeze ufike mbali
@iwambimpya1924
@iwambimpya1924 8 ай бұрын
mpunguze hyo background sound mbwa nyie
@mariamumsanzu8266
@mariamumsanzu8266 7 ай бұрын
Nimepnda sana maisha ya baga ❤❤❤
@sudyally6886
@sudyally6886 11 ай бұрын
Daaa sema bagg umetisha sn mwanangu 😂
@OthmanJuma-zm3fq
@OthmanJuma-zm3fq 10 ай бұрын
Ww kwel eagle 🦅🦅 unawazoom washamba wengine
@ZaynabMshihir-zp9hv
@ZaynabMshihir-zp9hv 11 ай бұрын
Baga umekuwa mkubwa sana Maashaallah
@agriparose3942
@agriparose3942 11 ай бұрын
Sijui nawaza nini ila Kuna kitu nawaza afu akielezeki ila mmmmh nawaza aina ya maisha haya
@arya-star53
@arya-star53 11 ай бұрын
Nimempenda ghafla baga jmn hajasita kuonyesha uhalisia wa maisha anayoishi na tabia zake
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 11 ай бұрын
Hongera sana
@onekisstv8412
@onekisstv8412 11 ай бұрын
Oya sounds zenu jalibuni kuweka sawa
@JacobEckland-ug2dq
@JacobEckland-ug2dq 10 ай бұрын
Nampenda huy kaka yup vizur
@zakypaul724
@zakypaul724 10 ай бұрын
Saleh vitonge kama wakike😂😂😂
@fatmahrashidi1533
@fatmahrashidi1533 7 ай бұрын
❤nampenda sana huyu bro😊
@Prudentmusic99
@Prudentmusic99 10 ай бұрын
I appreciate it bro ❤❤✊🏻💎
@Blackmar229
@Blackmar229 8 ай бұрын
Me kwangu sipendi watu wa hivo acha mwenye geto akuoneshe sio wapekenyua kila Kona kaa mwako kenge weeee😅😅😅
@user-vf9dh9jp7s
@user-vf9dh9jp7s 7 ай бұрын
Kaoneshe na geto lako kaka
@Maryam-kl6gj
@Maryam-kl6gj 11 ай бұрын
Twakupenda burger. ❤❤Unaupigamwingi
@kennethedgar923
@kennethedgar923 10 ай бұрын
😂😂😂dah eti burger 🍔😂😂😂😅
@mpendwamwendela1025
@mpendwamwendela1025 8 ай бұрын
Yan nmempenda sana huyo kaka jic alipo ajivungi
@saumushabani8419
@saumushabani8419 11 ай бұрын
Mm nimependa san hyu boy yaan anaishi tuuh maisha yake walai nimependa san
@OthmanJuma-zm3fq
@OthmanJuma-zm3fq 10 ай бұрын
Kitambo kwenye game Baga nakubal I huoo ndio uhalisia sio wengine wanaect dadekiii😮😮😮😮
@StanMrema
@StanMrema Ай бұрын
Real life 🔥 🔥
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Huyu kaka noma anajuwa kuigiza kama mhuni na anakpaji pia
@TujuzeTv
@TujuzeTv 7 ай бұрын
Sound iko Poa ila kwenye lighting Yaani mataa yangekuwepo hiki kipindi kingependeza zaidi aiseiii hongereni sana ila ushauri wangu kwenu wekezeni kwenye lighting ili video iwe na quality nzuri
@fatmamangallah8263
@fatmamangallah8263 7 ай бұрын
Home kwetu Maa Sha Allah
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Wanawake watz wanafki sana eti nampenda anioe tamaa tu zilizowajaa apo kwanini haujaolewa adi leo inamana barehe yenu hamujawai pata nwanaume wakukuta kukuoa tabia zenu mbaya mukiwekwa ndani mwezi 1 mushabadilika amuliziki mwanamke akikuambia usimwamini niwaongo tamaa mioyo yao aliziki pia aikawii kusahau
@user-du8of3fb5o
@user-du8of3fb5o 10 ай бұрын
Salute brother
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 9 ай бұрын
Mtangazaji unatamaa Sanaa
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Msera noma sana🔥🔥🔥
@aysheraden7718
@aysheraden7718 8 ай бұрын
Mngeupunguza huo mziki kwenye kipindi maongezi mingine hatusikii vizuri
@JAYLABELS
@JAYLABELS 18 күн бұрын
NIPENI LIKE ZA KUTOSHA KAMA MMEONA BAGA ANAFANANA NA HARMONIZE😂😂
@rayahamisi118
@rayahamisi118 11 ай бұрын
Ivi mtoto wakiume ukivaa Helen nani kawaambi mnapendeza😢😢😢
@niahunique7604
@niahunique7604 9 ай бұрын
We nae tuliza komwe
@rayahamisi118
@rayahamisi118 9 ай бұрын
@@niahunique7604 ukweli unauma
@SantiaQwer-ij1ws
@SantiaQwer-ij1ws 9 ай бұрын
Sema ww kiazi nikisema Mimi muhogo nitabiwa namizizi
@godlistenorio5950
@godlistenorio5950 10 ай бұрын
Mbona kodi kubwa alafu jumba la ajabu wakati mbezi ya kimara anapata mjengo mzuri
@MadenaIphone
@MadenaIphone 8 ай бұрын
Magomeni kinondoni sehemu xamjini Palipochangamka kodi huwa nikubwa na vyumba vyao vyakawaida saana
@user-jz7bn2kx9o
@user-jz7bn2kx9o 8 ай бұрын
Sasa ww mda wote movie ,,katafute mitikas mingine maisha yaende
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 11 ай бұрын
Ila kiukwer tumchangieni Baga pesa jaman apate ela ajenge bwana,mana anastail Sana ,jamaa yupo really Sana na Wala haon aibu,,na ajivungi Yani hafeki,, tumchangieni jaman
@farijala1
@farijala1 8 ай бұрын
Anza kwanza na Ndugu Zako.
@teddyleonard9237
@teddyleonard9237 7 ай бұрын
Kbsa Mungu amsaidie ajenge apate nyumba yake afanikiwe haya maisha haya
@husseinkaoneka5834
@husseinkaoneka5834 11 ай бұрын
Kuna aliyepita hko nmemuona, chukua namba uniletee we SALEHE 😁😁😁😁
@pascalinajames9117
@pascalinajames9117 11 ай бұрын
Nice one baga
@naibusanga9416
@naibusanga9416 11 ай бұрын
Safi sana maisha mazur Sana hy
@user-zo1ym2te7r
@user-zo1ym2te7r 8 ай бұрын
Nakubali
@khalifasultan2677
@khalifasultan2677 11 ай бұрын
BAGA Hip Hop Sana,Safi Kabisa No Fake Zone Aisee! Tunaonyesha Reality Ya Maisha Yetu Sio Kufake Fake Kisa Unaonekana Kwenye Kioo
@afterx3172
@afterx3172 11 ай бұрын
Hip hop ghetto kuna mafuta ya scrab 😀😀
@khalifasultan2677
@khalifasultan2677 11 ай бұрын
@@afterx3172 kuwa HipHop sio lazima uwe mchafu mzee,HipHop ni vile unavyoishi,so BAGA Mdeme Hapo Haja Fake Fake Maisha kama wengine wanavyotuonesha maisha yao na wakati sio yao! Ndio maana yangu
@WinfridaZakayo-mj7co
@WinfridaZakayo-mj7co 11 ай бұрын
Najua siwez kukupata kaka ila nmekupenda Bure 😂😂😂 nmependa life style yake
@stephanierona6592
@stephanierona6592 10 ай бұрын
😢😢😂😂😂😂
@HassanHassan-sr3fq
@HassanHassan-sr3fq 10 ай бұрын
winfrida karibu kwangu Niko zenji
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 11 ай бұрын
sio kwa vitonge hivyo mwaangalie mwenzio baga
@user-jh8jy7js9n
@user-jh8jy7js9n 5 ай бұрын
Fresh
@trixieriri7778
@trixieriri7778 11 ай бұрын
Sasa Hiyo mic ulibeba ya kazi gani?
@Boaz22
@Boaz22 8 ай бұрын
Mama anakuambia baga anafwata totozzz😂😂😂
@hdhdhhfjfj3742
@hdhdhhfjfj3742 11 ай бұрын
Huuu jama namupenda kinoa sana gutoka 🇧🇮 sema nini dup namba yake❤❤
@ntakirutimanasidra1637
@ntakirutimanasidra1637 9 ай бұрын
Nampenda ni kutoka so dup tupe
@AmourCkay
@AmourCkay 11 ай бұрын
Mchiziii anaishi gudii life ssa anaisha yke na anaishi vzur mtaaan ajivuungii
@sarahrichard2445
@sarahrichard2445 10 ай бұрын
Nampenda sana uyu kaka
@user-jt8nk3kp6m
@user-jt8nk3kp6m 10 ай бұрын
Huyu kajenga kwao
@AskoNgatunga-ks9cw
@AskoNgatunga-ks9cw 10 ай бұрын
Umetisha San kak
@user-ce6um4ty4i
@user-ce6um4ty4i 11 ай бұрын
Uku kwetu iyo redio ni laki 1tu southa Africa iyo tv laki 3
@MtuSafi
@MtuSafi 11 ай бұрын
vitu vya wizi hvyo mzee mm nilishaambiwa na jamaa yangu alisema nikutumie kwa ndege au basi nikamwambia hilo hapana.
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 11 ай бұрын
Vitu vingi vya South Africa Ni vya wizi nimeishi uko Mie miaka 2 na nusu mhh mwenyewe niamua kulud TZ MAISHA YAKO HAPANA MTU ANAPIGWA RISASI MCHANA KWEUPE MANINA AISE TUTAKUJA KUWAADITHIA WATOTO ZETU
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 11 ай бұрын
​@@ukhutfatumah1154naijua hiyo South Africa 🇿🇦mikono juu 😂😂😂mie nimekaa week 3 niakona miaka 3
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 12 МЛН
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 44 МЛН
WALI NAZI
9:41
Joti TV
Рет қаралды 905 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /28/ #love
45:53
BabaJoan
Рет қаралды 35 М.
PENZI JIPYA | NAMPENDA SANA  MUONEKANO WAKE HELLO MR RIGHT
10:43
ST BONGO TV
Рет қаралды 148 М.
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 12 МЛН