ALI KAMWE AMTETEA INJINIA HERSI, AMCHANA VIBAYA MAGOMA, AJIBU HOJA ZAKE

  Рет қаралды 32,073

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 133
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 2 ай бұрын
Nikweli Mimi Leo Sikuwa Sawa Nimeonba Ruhusa Kazini Kwavile Siko Sawa.. Asante Sana Semaji..Allah Akuhifadhi Na Kilashari Fitna Zawaja Kwa Choyo...
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 2 ай бұрын
Umeswali Swala ya Asubuh Fajir
@sulemanaman605
@sulemanaman605 2 ай бұрын
Nan wa ovyoo 😂😂😂😂 mmeweka viongozi majambazi😂😂😂 magoma kawanyooshaa bisha kwa hoja dogo af ukumbuke uyo n baba ako😂😂😂
@vanemmy6043
@vanemmy6043 2 ай бұрын
Kwenye taasisi ,weka ubaba pembeni😅
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 2 ай бұрын
Mimi ni mkenya lakini NI mwana Yanga damu damu!!! Wazee watuwachie Yanga yetu! Yaani sisi huku diaspora tuko pamoja huko!!!
@EzekielGittu
@EzekielGittu 2 ай бұрын
Semaji upo vizuri sanaaaa kwa maelezo yako.
@mussandikumana3561
@mussandikumana3561 2 ай бұрын
Ila tuu Manara kesi akifunguliwa watumike pamoja bila chuki ao maneno ya mambo yalio pita wewe Kama wale Bros wa Azam Hadji anaitajika (Oublier le passe )
@DulaMudi
@DulaMudi 2 ай бұрын
m semaji m somi ongea kaka
@mckobatz5861
@mckobatz5861 2 ай бұрын
Ali mdogo wangu tone yako tu inaonesha panics na hasira ndani yake ikumbukwe iliyotoa hukumu ni mahakama ukisema hoja zao ni za hovyo na watu ni wa hovyo means chombo kilichotoa haki kwa hoja za hovyo na chenyewe ni hovyo is that what you exactly mean? Vyema kujifunza kuwa calm kwenye changamoto zinapotokea makasiriko hajawahi leta suluhu sahihi
@MuslihiHassan-bi2nj
@MuslihiHassan-bi2nj 2 ай бұрын
Unatoa wapi NGUVU ya kupingana na mahakama
@SwediramadhaniJuma
@SwediramadhaniJuma 2 ай бұрын
Ally huna hoja mbele ya mzee magoma, unatetea ugali tu mpuuzi ww! Hy mzee anaijuwa yanga kabla hujazaliwa
@SurprisedAstronomicalMod-lp7eh
@SurprisedAstronomicalMod-lp7eh 2 ай бұрын
Huyo mzee yeye aliijulia wapi
@SwediramadhaniJuma
@SwediramadhaniJuma 2 ай бұрын
Wewe kiazi kwel umekuja kutetea uozo, tuambie mahakama imeamuanini
@williammapunda1012
@williammapunda1012 2 ай бұрын
Waache porojo wazingatie Sheria. Kumbuka unaposema hoja za hovyo maana yake MAHAKAMA ni ya hovyo. Waandishi hawataenda mahakani jipangeni kisheria
@KatemboSaidi
@KatemboSaidi 2 ай бұрын
Pimbi ww
@WakaliFashionTz
@WakaliFashionTz 2 ай бұрын
Hata mahakam ni ya hovyo unatoaje hukm Kwa Saini za kughushi
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
We kaache kahangaike..kamesema wana Members elf 80 na kwenye Mkutano anasema walikuwa wamekidhi AKIDI..? huyu ni Bwege mtoto
@JohnMasonga
@JohnMasonga 2 ай бұрын
acha kuongea uongo na kudanganya watu ujui historia ya magoma na injinia wenu
@SwediramadhaniJuma
@SwediramadhaniJuma 2 ай бұрын
Kama mlifanya marekebisho ya katiba mbn hamkuirudisha kwa wanachama Kama wanahaki.
@KhalidAlly-je8ky
@KhalidAlly-je8ky 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂kwetu furaha
@HajiMiraji-hn1dq
@HajiMiraji-hn1dq 2 ай бұрын
upo sawa kaka
@sulemanaman605
@sulemanaman605 2 ай бұрын
Iv wew all kamwe unaakil kwahyo unakinzana na maaakamaa au umedharau au umekuja kujifunza kujibu
@franccoz94
@franccoz94 2 ай бұрын
WAZEE WA YANGA WAPEWEE TEAM YAO,ACHA JANJA JANJA
@FrankCharles-gv5cs
@FrankCharles-gv5cs 2 ай бұрын
Hao wazee hawajitambui wazoea kutuludisha nyuma.Hii ni level nyingine tunataka mafanikio ss watuache vijana tufanye kazi.
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 2 ай бұрын
Leo umekuwa mkweli mna wanacha elfu 80 tu hahahahahaaaaa
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
MZEE MAGOMA HAKUTAMBUI NYAMBAFU WEWE😅
@likubaro7443
@likubaro7443 2 ай бұрын
Jambo hili lilipelekwa muda mrefu Sana,mpaka leo mahakama wanataka hukumu ndio mnaona Kuna mamluki
@sulemanaman605
@sulemanaman605 2 ай бұрын
Mmebaka katiba
@PiusMnzajila
@PiusMnzajila 2 ай бұрын
Mm naambatana na Ali kamwe alicho kisema kwenye mkutano
@abdulrahmanramadhanabdul-wv1jb
@abdulrahmanramadhanabdul-wv1jb 2 ай бұрын
.....m .. .m😅😅😅
@veelmng7746
@veelmng7746 2 ай бұрын
Ndiyo maana vyombo vya habari vingine hata sitaki kusikiliza mwandishi baada ya kuhoji na kuuliza maswali ya msingi anasikiliza umbea
@IsmailAthuman-tr1wr
@IsmailAthuman-tr1wr 2 ай бұрын
wewe una adabu namana unahizarau mahakma sindiyo
@IsmailAthuman-tr1wr
@IsmailAthuman-tr1wr 2 ай бұрын
na bado mpk mishipa ya mkundu isimame
@IsmailAthuman-tr1wr
@IsmailAthuman-tr1wr 2 ай бұрын
wewe wa rini unawazarau ao wazee sasa ngoja uwaone
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 2 ай бұрын
DUH! NJA ZINAWATESA HAWA ( ) WALIZOEA KUGAWANA VIJISENTI 😂😂😂😂😂😂
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 2 ай бұрын
Soka la bongo ovyo sana
@LovelyPipette-ew7lv
@LovelyPipette-ew7lv 2 ай бұрын
Wana yanga tupo pamoja kuiombea timu yetu pendwa hakika mungu atatushindia dhidi ya waovu.
@IvanSaid-ef8tb
@IvanSaid-ef8tb 2 ай бұрын
Kwahyo wanachoma wote waende mkutanoni ukumbi upi Sasa utatosha mfano bungeni badala ya wabunge wananchi waende watatosha au utaratibu up
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 2 ай бұрын
Wananchi wote hatuwezi kwenda Bungeni ndio maana kuna wawakilishi
@Saidi-x4h
@Saidi-x4h 2 ай бұрын
Hao ndiy waliokiendesha maisha yao kupitia yanga, kumkataa Eris ni uchuzi
@HawangaMohamed
@HawangaMohamed 2 ай бұрын
Inamaana bungeni tungeingia wananchi wote bungeni ndo maana kuna wawakilishi
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 2 ай бұрын
Waawakilishi wa wap??rais gan anaye chaguliwa na watu watanoo??
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Huo ukumbi wa Bunge sijui ingekuwaje😅😅😂
@PacchaYassin
@PacchaYassin 2 ай бұрын
Anataka vile visent alivyokuwa anakula avifaid na sasa.
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 2 ай бұрын
Watu wa hovyo!!!! Semaji kama semaji!!! Leo semaji kacharuka mbaya!!!!
@MaryMsenga
@MaryMsenga 2 ай бұрын
Bora usemaji tumpe ommy wa dubai
@omarbaabad2706
@omarbaabad2706 2 ай бұрын
Huyu mtu dressing code yake inaonyesha wazi kabisa ni jitu ambalo halijitambui na hata huyu hakimu inaonyesha wazi hakutumia busara na yeye inaonyesha anajambo lake
@emanwelmsuya7320
@emanwelmsuya7320 2 ай бұрын
Ivikwanini watu hawapendi kuzungumza vitu vizuri ivi yanga ikikorofishana simba unafurahia yanisielewi hii
@RuckyIddy
@RuckyIddy 2 ай бұрын
Watuachie yanga yetu
@zakaria924
@zakaria924 2 ай бұрын
Kuni zikiwaka huteketea na kugeuka kuwa majivu! Bundi katua na hizo ndiyo kasheshe zake!
@YohanaMagembe-vz7rg
@YohanaMagembe-vz7rg 2 ай бұрын
Yaani mpaka mseme😂😂😂
@MrMatikiti_kudondoka
@MrMatikiti_kudondoka 2 ай бұрын
unatiw
@EsteR-dt9iw
@EsteR-dt9iw 2 ай бұрын
Huyo mzee asiturudishe nyuma kwani iyo miaka minne iliyo pita hakuona tulivyo teseka? Leo tunakwenda vizuri anataka kutualibia atuachie yanga yetu
@MaryMsenga
@MaryMsenga 2 ай бұрын
Ana miaka mingap yanga
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma 2 ай бұрын
SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ MAJILANI MKOWAP😢😢😅😅😂😂
@IbniAbbas-yz3kt
@IbniAbbas-yz3kt 2 ай бұрын
Pamoja na yote ila isifikie hatua ya kumvunjia heshima mzee watu mana huyo ni kama baba yenu pia!mana nimeona wengi wenu hamna hoja bali ni mihemko na kukosa busara!huyo mzee mngemwita kwenye kamati zenu huko muyaongee kwa sababu huyo mzee sio chizi mpaka kufika huko alipofika!heshima ishike hatam hauwezi kumwita mzee wako ni mtu wa hovyo huko ni kukosa hadabu
@MaryMsenga
@MaryMsenga 2 ай бұрын
Au ndo Dubai
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 2 ай бұрын
Mkiambiwa usemaji kazi za watu mnabisha😊,,sasa huo mziki angeucheza manara aaah we ujanuna kabisa uko hapi.
@yassinhabibu
@yassinhabibu 2 ай бұрын
Hao wazee wa ovyo xana badala wawe watu wa maana ndo wanakuwa wa ovyo,nyie wazeee acheni njaa kama mlijisahau kutengenez maisha yenu ujanani Leo ndo mnakumbuka?,acheni njaa
@moneycreator5736
@moneycreator5736 2 ай бұрын
Wazee wakacheze na wazee wenzao
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 2 ай бұрын
Nyie angaikeni na mipira wenzenu huko wanapiga pesa
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 2 ай бұрын
Madram kawashika tayari nyie nendeni mahakani kabla hawajakazia hukum haya mambo ni ya kisheria semaji
@JosephKangungu
@JosephKangungu 2 ай бұрын
Mpira una mahakama zake
@nurukimario-ob7dr
@nurukimario-ob7dr 2 ай бұрын
Aowazee wapuuuuz akilizao zipo kwawake zao awana akili awajajielewa bado ndowauni walio zeeka ao
@JosephSaidJikolo
@JosephSaidJikolo 2 ай бұрын
Mbona serikali hawailalamikii kuhusu wabunge wachache kuwakilisha watu wengi?
@hamzayusuph6052
@hamzayusuph6052 2 ай бұрын
Ukipenda kukaa katika MATAKO ya matajiri mengi yatakukuta,WEWE KENGE ALI KAMWE BADO MDOGO USITAKE WAPA HUZUNI YA MAISHA WAZAZI WAKO HUYO MZEE UNGEKUWA NA HEKIMA NA BUSARA HUYO NI UMRI WA WAKUBWA ZAKO KWENU UNAMWITA KAMA MTOTO MWENZIO BASI SUBIRI BACK BURST YAKE.
@CatherineLekule-l7z
@CatherineLekule-l7z 2 ай бұрын
Anachomaanisha kuwa alikuwa na hoja za hovyo, kikundi cha watu wa hovyo yaani hadi wanasheria,karani wa mahakama na hakimu nao n wa hovyo
@JosephKangungu
@JosephKangungu 2 ай бұрын
Aliamuaje maswala ya mpira wakati caf wapo?
@jumakuchele3624
@jumakuchele3624 2 ай бұрын
Huyo magoma kumanina zake ataka kuturudisha nyuma kwenye mabakuri tulikotoka sisi hatutaki kuteseka kama mikia fc
@MonaMaiko
@MonaMaiko 2 ай бұрын
Katumwa huyo akome akome akome Israel mtoa roho huyo mangoma
@omarbaabad2706
@omarbaabad2706 2 ай бұрын
Bahati hawa wazee wasasa wengi wao walikuwa wavuta bangi katika ujana wao Leo anaonekana Mzee kumbe nijitu la hovyo kabisa
@salumhamad
@salumhamad 2 ай бұрын
uhakik🎉
@JosephTibu
@JosephTibu 2 ай бұрын
BUNDI KAHAMIA JANGWANI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MrMatikiti_kudondoka
@MrMatikiti_kudondoka 2 ай бұрын
kahama na mamako
@StevenLindi
@StevenLindi 2 ай бұрын
Uyo magoma anuradhi ya mama yake
@evaristgaspa6074
@evaristgaspa6074 2 ай бұрын
Huyo mchawi
@Williammkandawile
@Williammkandawile 2 ай бұрын
Shower
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Muongo wewe huna Members elf 80 na uwe na Adabu kwa wazee wako..we ni mtoto mdogo sana kwenye Yanga...shauri yako..we idharau Busara utaona...but hata hiyo Katiba ulitakiwa uirudishe kwa Members waipitie..siyo kwa Kamati...acha kurukaruka
@IbrahimOmar-tu5tc
@IbrahimOmar-tu5tc 2 ай бұрын
Akaongoze familia yke kwanza yanga nguv moja
@YohanaMagembe-vz7rg
@YohanaMagembe-vz7rg 2 ай бұрын
Et yanga nguvu moja
@YohanaMagembe-vz7rg
@YohanaMagembe-vz7rg 2 ай бұрын
Daaa!!😂😂
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 2 ай бұрын
Acheni timu yetu
@SHERANasibu
@SHERANasibu 2 ай бұрын
Sis yanga tumeridhia kumpa tim mzee wetu mzee kagomaaa
@nestoryMlenge
@nestoryMlenge 2 ай бұрын
Unareweka somaji
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 2 ай бұрын
Watu Nataka Nafasi Hiyo Ulio Kalia Aliy Kamwe Kama Hujuwi Na Mzungu Msuwali Yupo Nyuma Yao Wanakuonea Choyo Kuhusu Wandishi wahabari Wa Tanzania Wanapenda Unafiki Na Kufanya Fitna Hawana Mazungumzo Wala Hawajuwi Kumuhoji Mtu Wapo Wapo Tuu...
@sulemanaman605
@sulemanaman605 2 ай бұрын
Mtajua nyie mmeweka vibaka watoke
@MaryMsenga
@MaryMsenga 2 ай бұрын
Huyu dogo kakulia wapi ili tuangalie michezo alicheza
@LadislausMtema
@LadislausMtema 2 ай бұрын
Simba nyie acheni midogo
@VictarKeya
@VictarKeya 2 ай бұрын
Alli kamwe akili aina unamtukana mzee wa watu anae kuzaa laana inakuadama mamake wewe ndio wa ovyo
@hassan-sarumbo
@hassan-sarumbo 2 ай бұрын
😂😂😂ubaya ubwera kumbe yanga mnqsiri na hamsemi
@NyabasindiRutayagi-q3i
@NyabasindiRutayagi-q3i 2 ай бұрын
Huyo katumwa na hataweza
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 2 ай бұрын
Simba mulichelewa. Timu ipo Avic na inasubir kuwashenyeta mungelianzisha kabla hatujasajili na kwa taarifa yenu mumelichokoza mtapigwa 10 huu msimu. Watu wenu wanaenda kifungoni kwa kosa la kuhushi sahihi ya mama mwenye heshima na jina lake
@FeydhullahTwalib
@FeydhullahTwalib 2 ай бұрын
Kelele za chura
@MuslihiHassan-bi2nj
@MuslihiHassan-bi2nj 2 ай бұрын
Unatetea ugali wako 😂
@franklaurent216
@franklaurent216 2 ай бұрын
Kawashika vibaya
@AminaAmina-cr8jq
@AminaAmina-cr8jq 2 ай бұрын
Huyo mxee akaongoze familia yake
@WilliamuPaulo
@WilliamuPaulo 2 ай бұрын
Upo.sswa ndugu chapeni kazi tupo nyuma yenu
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA 2 ай бұрын
HAYA MAELEZO KAYATOE MAHAKAMANI
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje 2 ай бұрын
Wakwanza wa hovyo niwewe unakula hunenepi ka mchawi
@SylivesterKilunga
@SylivesterKilunga 2 ай бұрын
Wakati unafukuzia kazi yanga ulikua mwanachama wa yanga?
@AbdulmarickLuhoma
@AbdulmarickLuhoma 2 ай бұрын
Muuwen uyo mpumbavu anaetaka kuivunja yanga
@user-vq2hl4jp1j
@user-vq2hl4jp1j 2 ай бұрын
Kwahiyo unahoji jukumu hayo kayaongee mahakani kijana ogopa na heshimu mahakama wewe Bado ni mtoto usijidai atakujaje nenda mahakamani kayapinge
@MohamedBashiru-g9u
@MohamedBashiru-g9u 2 ай бұрын
Nyinyi MAKOLO mwambieni MANGOMA aje klabuni kwenu kupiga ngoma hana lolote huyo hivi anafikiri uendeshaji club ni sawa na kuuza KAHAWA NA KASHATA huyo hata kama ni Mwanachama yeye na mwenzake wafukuzwe hawatufai waende huko waache UPUMBAVU
@emmanuelnyakunga8320
@emmanuelnyakunga8320 2 ай бұрын
Wazee walizoea Kutumika kama kamati ya Ufundi wameona saiv hawaitwi soka limekuwa la kitaalam mno kuliko walivokuwa wanatumika hao wazee kwakupiga Ndumba😂
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 2 ай бұрын
Wew ondoka hujulikan kikatiba mbumbavu wew"tuachie yanga yetuuu!nani aliwachaguaa??
@MrMatikiti_kudondoka
@MrMatikiti_kudondoka 2 ай бұрын
unatombw na aliemtoa bikra mamako
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu 2 ай бұрын
@@MrMatikiti_kudondoka takutomba kama nilivyo mfira mama yakooo
@LeonardNilongo
@LeonardNilongo 2 ай бұрын
Oya nachatak injinia habak
@mrajani786
@mrajani786 2 ай бұрын
Semaji nunua hao wawili kamamagoli matano
@rizikylaizer1602
@rizikylaizer1602 2 ай бұрын
Nenda mahakamani acha porojo😂😂
@yosefamlumbe7044
@yosefamlumbe7044 2 ай бұрын
Wanaokupogia sim mbugira kama wewe hawajitanbui nisawa na maiti kuikamua dam hai wanaokuuliza
@bakarirajabu3783
@bakarirajabu3783 2 ай бұрын
Hacha chuki zako kolo wewe
@experymassawe3521
@experymassawe3521 2 ай бұрын
Unatetea ugali dogo kushabikia team sio, Sawa ita ovyo ila mahakama ndo walisha amua
@MrMatikiti_kudondoka
@MrMatikiti_kudondoka 2 ай бұрын
wameamua kulal na mamak
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 2 ай бұрын
Nyamaza kimya wee mfungwa. Umepinduliwa na mahakama. Kama unaendelea kudharau mahakama utaenda keko kunyea debe.
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 2 ай бұрын
Na wewe si wewe ni njaa zako tu
@MwajumaNgaruma
@MwajumaNgaruma 2 ай бұрын
We dogo2 unajua habari za wazee acha kuchongaa
@bakariiddy5387
@bakariiddy5387 2 ай бұрын
Mwehu wewe huna hata kadi
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA 2 ай бұрын
UKIZUNGUMZA OVYO KUHUSU MAHAKAMA NI UTOVU WA NIDHSMU KWA MAHAKAMA .....UNA WATUSI WAANDISHI WA HABARI
@fadhiliabasi6585
@fadhiliabasi6585 2 ай бұрын
IPO SIKU MAGOMA ATAELEWEKA LAKINI ITAKUA WAMECHELEWA
@RenatusFumbuka-gw4jo
@RenatusFumbuka-gw4jo 2 ай бұрын
Hayo maelezo mngetoa mahakamani
@johnsonsamwel7207
@johnsonsamwel7207 2 ай бұрын
Bwabwabwabwaaaaaaana bado,toka waachie wenye timu yao
@abdalahzungu6264
@abdalahzungu6264 2 ай бұрын
Wanaojua kuzungumza wanazungumza mahakamani hapo unabweka tu kama jibwa koko
@Shabani-uz1sb
@Shabani-uz1sb 2 ай бұрын
Ww, Unatetea, Ugali, Hunaunachokijua, danganya, matutusa
@AllyMwitu
@AllyMwitu 2 ай бұрын
Haahaha
@eliashagai7920
@eliashagai7920 2 ай бұрын
Acha kulalama mtoto mdogo ,wazee wametika nayo mbali
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 10 МЛН
Lamine Yamal will never forget Endrick's performance in this match
14:22