Nikweli Mimi Leo Sikuwa Sawa Nimeonba Ruhusa Kazini Kwavile Siko Sawa.. Asante Sana Semaji..Allah Akuhifadhi Na Kilashari Fitna Zawaja Kwa Choyo...
@KassimAlly-xp4dz2 ай бұрын
Umeswali Swala ya Asubuh Fajir
@sulemanaman6052 ай бұрын
Nan wa ovyoo 😂😂😂😂 mmeweka viongozi majambazi😂😂😂 magoma kawanyooshaa bisha kwa hoja dogo af ukumbuke uyo n baba ako😂😂😂
@vanemmy60432 ай бұрын
Kwenye taasisi ,weka ubaba pembeni😅
@BarbaraPatience-qt9cc2 ай бұрын
Mimi ni mkenya lakini NI mwana Yanga damu damu!!! Wazee watuwachie Yanga yetu! Yaani sisi huku diaspora tuko pamoja huko!!!
@EzekielGittu2 ай бұрын
Semaji upo vizuri sanaaaa kwa maelezo yako.
@mussandikumana35612 ай бұрын
Ila tuu Manara kesi akifunguliwa watumike pamoja bila chuki ao maneno ya mambo yalio pita wewe Kama wale Bros wa Azam Hadji anaitajika (Oublier le passe )
@DulaMudi2 ай бұрын
m semaji m somi ongea kaka
@mckobatz58612 ай бұрын
Ali mdogo wangu tone yako tu inaonesha panics na hasira ndani yake ikumbukwe iliyotoa hukumu ni mahakama ukisema hoja zao ni za hovyo na watu ni wa hovyo means chombo kilichotoa haki kwa hoja za hovyo na chenyewe ni hovyo is that what you exactly mean? Vyema kujifunza kuwa calm kwenye changamoto zinapotokea makasiriko hajawahi leta suluhu sahihi
@MuslihiHassan-bi2nj2 ай бұрын
Unatoa wapi NGUVU ya kupingana na mahakama
@SwediramadhaniJuma2 ай бұрын
Ally huna hoja mbele ya mzee magoma, unatetea ugali tu mpuuzi ww! Hy mzee anaijuwa yanga kabla hujazaliwa
Waache porojo wazingatie Sheria. Kumbuka unaposema hoja za hovyo maana yake MAHAKAMA ni ya hovyo. Waandishi hawataenda mahakani jipangeni kisheria
@KatemboSaidi2 ай бұрын
Pimbi ww
@WakaliFashionTz2 ай бұрын
Hata mahakam ni ya hovyo unatoaje hukm Kwa Saini za kughushi
@angellomarcel56772 ай бұрын
We kaache kahangaike..kamesema wana Members elf 80 na kwenye Mkutano anasema walikuwa wamekidhi AKIDI..? huyu ni Bwege mtoto
@JohnMasonga2 ай бұрын
acha kuongea uongo na kudanganya watu ujui historia ya magoma na injinia wenu
@SwediramadhaniJuma2 ай бұрын
Kama mlifanya marekebisho ya katiba mbn hamkuirudisha kwa wanachama Kama wanahaki.
@KhalidAlly-je8ky2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂kwetu furaha
@HajiMiraji-hn1dq2 ай бұрын
upo sawa kaka
@sulemanaman6052 ай бұрын
Iv wew all kamwe unaakil kwahyo unakinzana na maaakamaa au umedharau au umekuja kujifunza kujibu
@franccoz942 ай бұрын
WAZEE WA YANGA WAPEWEE TEAM YAO,ACHA JANJA JANJA
@FrankCharles-gv5cs2 ай бұрын
Hao wazee hawajitambui wazoea kutuludisha nyuma.Hii ni level nyingine tunataka mafanikio ss watuache vijana tufanye kazi.
@philemornmutta15972 ай бұрын
Leo umekuwa mkweli mna wanacha elfu 80 tu hahahahahaaaaa
@angellomarcel56772 ай бұрын
MZEE MAGOMA HAKUTAMBUI NYAMBAFU WEWE😅
@likubaro74432 ай бұрын
Jambo hili lilipelekwa muda mrefu Sana,mpaka leo mahakama wanataka hukumu ndio mnaona Kuna mamluki
@sulemanaman6052 ай бұрын
Mmebaka katiba
@PiusMnzajila2 ай бұрын
Mm naambatana na Ali kamwe alicho kisema kwenye mkutano
@abdulrahmanramadhanabdul-wv1jb2 ай бұрын
.....m .. .m😅😅😅
@veelmng77462 ай бұрын
Ndiyo maana vyombo vya habari vingine hata sitaki kusikiliza mwandishi baada ya kuhoji na kuuliza maswali ya msingi anasikiliza umbea
@IsmailAthuman-tr1wr2 ай бұрын
wewe una adabu namana unahizarau mahakma sindiyo
@IsmailAthuman-tr1wr2 ай бұрын
na bado mpk mishipa ya mkundu isimame
@IsmailAthuman-tr1wr2 ай бұрын
wewe wa rini unawazarau ao wazee sasa ngoja uwaone
@nabiimgongolwa87282 ай бұрын
DUH! NJA ZINAWATESA HAWA ( ) WALIZOEA KUGAWANA VIJISENTI 😂😂😂😂😂😂
@samwelkavwanga44912 ай бұрын
Soka la bongo ovyo sana
@LovelyPipette-ew7lv2 ай бұрын
Wana yanga tupo pamoja kuiombea timu yetu pendwa hakika mungu atatushindia dhidi ya waovu.
@IvanSaid-ef8tb2 ай бұрын
Kwahyo wanachoma wote waende mkutanoni ukumbi upi Sasa utatosha mfano bungeni badala ya wabunge wananchi waende watatosha au utaratibu up
@kabaranamaganga66462 ай бұрын
Wananchi wote hatuwezi kwenda Bungeni ndio maana kuna wawakilishi
@Saidi-x4h2 ай бұрын
Hao ndiy waliokiendesha maisha yao kupitia yanga, kumkataa Eris ni uchuzi
@HawangaMohamed2 ай бұрын
Inamaana bungeni tungeingia wananchi wote bungeni ndo maana kuna wawakilishi
@SurprisedFullMoon-gg9vu2 ай бұрын
Waawakilishi wa wap??rais gan anaye chaguliwa na watu watanoo??
@angellomarcel56772 ай бұрын
Huo ukumbi wa Bunge sijui ingekuwaje😅😅😂
@PacchaYassin2 ай бұрын
Anataka vile visent alivyokuwa anakula avifaid na sasa.
@BarbaraPatience-qt9cc2 ай бұрын
Watu wa hovyo!!!! Semaji kama semaji!!! Leo semaji kacharuka mbaya!!!!
@MaryMsenga2 ай бұрын
Bora usemaji tumpe ommy wa dubai
@omarbaabad27062 ай бұрын
Huyu mtu dressing code yake inaonyesha wazi kabisa ni jitu ambalo halijitambui na hata huyu hakimu inaonyesha wazi hakutumia busara na yeye inaonyesha anajambo lake
@emanwelmsuya73202 ай бұрын
Ivikwanini watu hawapendi kuzungumza vitu vizuri ivi yanga ikikorofishana simba unafurahia yanisielewi hii
@RuckyIddy2 ай бұрын
Watuachie yanga yetu
@zakaria9242 ай бұрын
Kuni zikiwaka huteketea na kugeuka kuwa majivu! Bundi katua na hizo ndiyo kasheshe zake!
Pamoja na yote ila isifikie hatua ya kumvunjia heshima mzee watu mana huyo ni kama baba yenu pia!mana nimeona wengi wenu hamna hoja bali ni mihemko na kukosa busara!huyo mzee mngemwita kwenye kamati zenu huko muyaongee kwa sababu huyo mzee sio chizi mpaka kufika huko alipofika!heshima ishike hatam hauwezi kumwita mzee wako ni mtu wa hovyo huko ni kukosa hadabu
@MaryMsenga2 ай бұрын
Au ndo Dubai
@HASSANBAKARI-q9c2 ай бұрын
Mkiambiwa usemaji kazi za watu mnabisha😊,,sasa huo mziki angeucheza manara aaah we ujanuna kabisa uko hapi.
@yassinhabibu2 ай бұрын
Hao wazee wa ovyo xana badala wawe watu wa maana ndo wanakuwa wa ovyo,nyie wazeee acheni njaa kama mlijisahau kutengenez maisha yenu ujanani Leo ndo mnakumbuka?,acheni njaa
@moneycreator57362 ай бұрын
Wazee wakacheze na wazee wenzao
@adamnguvu10202 ай бұрын
Nyie angaikeni na mipira wenzenu huko wanapiga pesa
@philemornmutta15972 ай бұрын
Madram kawashika tayari nyie nendeni mahakani kabla hawajakazia hukum haya mambo ni ya kisheria semaji
@JosephKangungu2 ай бұрын
Mpira una mahakama zake
@nurukimario-ob7dr2 ай бұрын
Aowazee wapuuuuz akilizao zipo kwawake zao awana akili awajajielewa bado ndowauni walio zeeka ao
@JosephSaidJikolo2 ай бұрын
Mbona serikali hawailalamikii kuhusu wabunge wachache kuwakilisha watu wengi?
@hamzayusuph60522 ай бұрын
Ukipenda kukaa katika MATAKO ya matajiri mengi yatakukuta,WEWE KENGE ALI KAMWE BADO MDOGO USITAKE WAPA HUZUNI YA MAISHA WAZAZI WAKO HUYO MZEE UNGEKUWA NA HEKIMA NA BUSARA HUYO NI UMRI WA WAKUBWA ZAKO KWENU UNAMWITA KAMA MTOTO MWENZIO BASI SUBIRI BACK BURST YAKE.
@CatherineLekule-l7z2 ай бұрын
Anachomaanisha kuwa alikuwa na hoja za hovyo, kikundi cha watu wa hovyo yaani hadi wanasheria,karani wa mahakama na hakimu nao n wa hovyo
@JosephKangungu2 ай бұрын
Aliamuaje maswala ya mpira wakati caf wapo?
@jumakuchele36242 ай бұрын
Huyo magoma kumanina zake ataka kuturudisha nyuma kwenye mabakuri tulikotoka sisi hatutaki kuteseka kama mikia fc
@MonaMaiko2 ай бұрын
Katumwa huyo akome akome akome Israel mtoa roho huyo mangoma
@omarbaabad27062 ай бұрын
Bahati hawa wazee wasasa wengi wao walikuwa wavuta bangi katika ujana wao Leo anaonekana Mzee kumbe nijitu la hovyo kabisa
Muongo wewe huna Members elf 80 na uwe na Adabu kwa wazee wako..we ni mtoto mdogo sana kwenye Yanga...shauri yako..we idharau Busara utaona...but hata hiyo Katiba ulitakiwa uirudishe kwa Members waipitie..siyo kwa Kamati...acha kurukaruka
@IbrahimOmar-tu5tc2 ай бұрын
Akaongoze familia yke kwanza yanga nguv moja
@YohanaMagembe-vz7rg2 ай бұрын
Et yanga nguvu moja
@YohanaMagembe-vz7rg2 ай бұрын
Daaa!!😂😂
@thehustlerafrica43682 ай бұрын
Acheni timu yetu
@SHERANasibu2 ай бұрын
Sis yanga tumeridhia kumpa tim mzee wetu mzee kagomaaa
@nestoryMlenge2 ай бұрын
Unareweka somaji
@muhammadmuhammad50432 ай бұрын
Watu Nataka Nafasi Hiyo Ulio Kalia Aliy Kamwe Kama Hujuwi Na Mzungu Msuwali Yupo Nyuma Yao Wanakuonea Choyo Kuhusu Wandishi wahabari Wa Tanzania Wanapenda Unafiki Na Kufanya Fitna Hawana Mazungumzo Wala Hawajuwi Kumuhoji Mtu Wapo Wapo Tuu...
@sulemanaman6052 ай бұрын
Mtajua nyie mmeweka vibaka watoke
@MaryMsenga2 ай бұрын
Huyu dogo kakulia wapi ili tuangalie michezo alicheza
@LadislausMtema2 ай бұрын
Simba nyie acheni midogo
@VictarKeya2 ай бұрын
Alli kamwe akili aina unamtukana mzee wa watu anae kuzaa laana inakuadama mamake wewe ndio wa ovyo
@hassan-sarumbo2 ай бұрын
😂😂😂ubaya ubwera kumbe yanga mnqsiri na hamsemi
@NyabasindiRutayagi-q3i2 ай бұрын
Huyo katumwa na hataweza
@shaameshaame28372 ай бұрын
Simba mulichelewa. Timu ipo Avic na inasubir kuwashenyeta mungelianzisha kabla hatujasajili na kwa taarifa yenu mumelichokoza mtapigwa 10 huu msimu. Watu wenu wanaenda kifungoni kwa kosa la kuhushi sahihi ya mama mwenye heshima na jina lake
@FeydhullahTwalib2 ай бұрын
Kelele za chura
@MuslihiHassan-bi2nj2 ай бұрын
Unatetea ugali wako 😂
@franklaurent2162 ай бұрын
Kawashika vibaya
@AminaAmina-cr8jq2 ай бұрын
Huyo mxee akaongoze familia yake
@WilliamuPaulo2 ай бұрын
Upo.sswa ndugu chapeni kazi tupo nyuma yenu
@ABDALLAHMWATANDA2 ай бұрын
HAYA MAELEZO KAYATOE MAHAKAMANI
@RajabuMkonje2 ай бұрын
Wakwanza wa hovyo niwewe unakula hunenepi ka mchawi
@SylivesterKilunga2 ай бұрын
Wakati unafukuzia kazi yanga ulikua mwanachama wa yanga?
@AbdulmarickLuhoma2 ай бұрын
Muuwen uyo mpumbavu anaetaka kuivunja yanga
@user-vq2hl4jp1j2 ай бұрын
Kwahiyo unahoji jukumu hayo kayaongee mahakani kijana ogopa na heshimu mahakama wewe Bado ni mtoto usijidai atakujaje nenda mahakamani kayapinge
@MohamedBashiru-g9u2 ай бұрын
Nyinyi MAKOLO mwambieni MANGOMA aje klabuni kwenu kupiga ngoma hana lolote huyo hivi anafikiri uendeshaji club ni sawa na kuuza KAHAWA NA KASHATA huyo hata kama ni Mwanachama yeye na mwenzake wafukuzwe hawatufai waende huko waache UPUMBAVU
@emmanuelnyakunga83202 ай бұрын
Wazee walizoea Kutumika kama kamati ya Ufundi wameona saiv hawaitwi soka limekuwa la kitaalam mno kuliko walivokuwa wanatumika hao wazee kwakupiga Ndumba😂