KIMEUMANA! MKURUGENZI ALIYESEMA HATAMBUI KAULI YA WAZIRI MKUU, RC MAKALLA AULIZWA "MLISHINDWA NINI"

  Рет қаралды 293,880

Wasafi Media

Wasafi Media

9 ай бұрын

KIMEUMANA! MKURUGENZI ALIYESEMA HATAMBUI KAULI YA WAZIRI MKUU, RC MAKALLA AULIZWA "MLISHINDWA NINI"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 272
@sambulugu9988
@sambulugu9988 9 ай бұрын
Daah baadhi ya watendaji ni wabaya sana na wana roho mbaya sana! Asanteh Waziri Mkuu! Wazawa wanawekeza wazawa hao hao wanakwamisha! 🙏
@knight6757
@knight6757 9 ай бұрын
👀
@paciencemaumba7022
@paciencemaumba7022 9 ай бұрын
Pole Sana Mh waziri mkuu, watumishi Kama hao wako wengiii. God bless you
@leodegarfoyanshaw7111
@leodegarfoyanshaw7111 9 ай бұрын
Mh.Waziri mkuu, kwa kweli unachapa kazi iliyotukuka, wanamchi wako tunakushukuru sana na tunakuamini Sana na tunakuombea sana Mungu akubariki
@sulemanmndeme8961
@sulemanmndeme8961 9 ай бұрын
Washitakiwe. Naomba kuwekwe Sheria ya utumishi wa umma. Atakaeenda kinyume na taratibu za kazi,kula rushwa,kufanya dhuluma na kutofuata Sheria za kazi washitakiwe. Tunawalipa Kodi zetu na watanzania wengi waadilifu hawana ajira.
@ahz6907
@ahz6907 8 ай бұрын
Wanyongwe😅
@Mkrist
@Mkrist 9 ай бұрын
Hii ndiyo Serikali ya Samia Suluhu. Angekuwa Marehemu Magufuli, hapa vichwa vingeanguka leo leo. RIP Magufuli
@omaryramdhani9823
@omaryramdhani9823 3 ай бұрын
Hana lolote lilikua na roho mbaya hilo dude lako uliko litaja
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 9 ай бұрын
Majaliwa you deserve to be a presdent,
@jumakondo5688
@jumakondo5688 4 ай бұрын
My next President
@elisantemrita9490
@elisantemrita9490 9 ай бұрын
Watanzania huyu jamaa Mungu katupa 1) Awe raisi 2) CCM wakikataa awe raisi basi tumchangie hata 💯 kila mwananchi
@saidhamza5318
@saidhamza5318 9 ай бұрын
Hapa Kuna mambo mengi yalienda mrama .. kuhusu utaratibu. Pm amelazimika Hadi kutumia vetto.
@mikbete
@mikbete 9 ай бұрын
You are among few remaining TRUE SONS OF AFRICA.
@user-uj9zn6mj5b
@user-uj9zn6mj5b 4 ай бұрын
Ndicho tunakipata WAKULIMA WA VANILLA MKOANI KAGERA TUNAIDAI KAMPUNI YA SOSAKA
@juzepha3160
@juzepha3160 9 ай бұрын
Baba jiuzuru uwaachie nchi yao, kipindi kikifika tutakuchagua 😢 Wasikudharau Bure Baba
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 9 ай бұрын
Mhh mhh siku ya hukumu imekuwa tumevurgwa na yetu Ila tungekuwa na wasaa wa kuangaliana tungebaku midomo wazi,kutokuamini ukweli wa mambo
@johnmworia1062
@johnmworia1062 9 ай бұрын
Sukuma ndani alafu wachunguzwe inaonekana ni wapigaji hawa.
@richardjoseph2921
@richardjoseph2921 9 ай бұрын
Kweli kaka huyu mzee wetu wanam~buruza tu. Usikute hata kustaafu wanamgomea hili kuficha......
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 9 ай бұрын
@@richardjoseph2921 usilolijua sawa na usiku wa giza
@wamoyothenumberone4356
@wamoyothenumberone4356 7 ай бұрын
Yeye sindo wazili mkuu sianamaamuzi na Utawara Akonaoo
@kambamazig02024
@kambamazig02024 9 ай бұрын
Mwanza kuna syndicate mbaya sana inayohujumu kila kitu cha maendeleo na wanajifanya wao ni untouchable. Hongera waziri Mkuu kwa kuwakabili hawa.
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 9 ай бұрын
Aisee wanyonge wanapata tabu sana!😭
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 9 ай бұрын
Mzee wewe ni mtu sahihi peke ako ambae umebaki kwenye uongozi huu hao wengne wanafata upepo tu mungu akuweke sana mzee unapiga kaz nzuri sana🙏🙏🙏
@fidemgonja1966
@fidemgonja1966 9 ай бұрын
Nchi hii ukisimsma kwenye haki utapgwa vita kama sana pm kazia apoapo
@nekaagripa3993
@nekaagripa3993 9 ай бұрын
PM ni mmoja TU TZ
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 9 ай бұрын
Mali iliyopatikana kutoka kwa wananchi kwa njia ya compasation kwa manufaa ya Umma haiwezekani tena wananchi wengine wauziwe. Kuna shida hapa.
@user98771
@user98771 9 ай бұрын
Watendaji Ardhi Halmasahauri manispaa ya kinondoni wanatapeli mnoooo
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 ай бұрын
Uyoo ni kibuli SANA. Anaweza kushindana na Mkuu wake WA KAZIIII DUUUUU GONJWAAA SANA LA UBONGOOO
@godlovemasamakibatandu2092
@godlovemasamakibatandu2092 9 ай бұрын
Kwani hujui teuzi za mama? Ni kujuana ndio maana kamweka wazuri mkuu naibu
@scolasticakaduma5143
@scolasticakaduma5143 9 ай бұрын
Waziri Mkuu wewe ni damu ya JPM kabisa tunakupenda Watanzania wote. Hao mashetani ni majipu tumbua.
@filmmaker8444
@filmmaker8444 9 ай бұрын
Inafurahisha sana level ya ufuatiliaji But the irrelevance of the issue is even next level. i wish vipewe kipaumbele vitu vyenye msingi kwa Wote in such a public level of detail.
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 9 ай бұрын
Tunashkuru sana wazirimkuu Kwa maamuzi sahihi mungu akubariki sana ,naona wakuu hapo vipara ving'aa kwelkwel
@wamoyothenumberone4356
@wamoyothenumberone4356 7 ай бұрын
😂😂😂
@yonangobito281
@yonangobito281 9 ай бұрын
Huyu ndiye kiongozi mwenye hofu ya Mungu
@Prax1
@Prax1 9 ай бұрын
The only Leader at the Moment
@user-pn2vj2zi5f
@user-pn2vj2zi5f 9 ай бұрын
Vzr sana waziri mkuu binafsi nakuamini sana,
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 9 ай бұрын
Waziri mkuu Majaliwa wewe ndiyo ulistahili kuwa Rais mama hawezi wewe ni kama hayati magufuli unachapa kazi vizuri sanaaaa
@ZanzibarOrchestra
@ZanzibarOrchestra 3 ай бұрын
kumbuka uweko wake hapo ni kwa sababu ya mama asingetaka awepo ungekuwa ushamsahau. mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni.
@naldclever8551
@naldclever8551 9 ай бұрын
Mh.Waziri mkuu kama wanakuzingua jiuzulu 2025 tukupe nchi....
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 9 ай бұрын
Shughulika nao mheshimiwa waziri mkuu kwani viongozi mmekuwa mnapoteza imani kwa wananchi kwaajili ya watu wachache wenye mambo ya hovyo kabisa kama hao wanao nyima haki za watu kwa maslahi binafsi
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 9 ай бұрын
Na huyo àliye toa kauli ya kumdharau WM pamoja na Mkuu wa Mkoa wanachukuliwa hatua zipi.Ikumbukwe kuwa huyo Kamishna wa ardhi aliyetoa hiyo kauli ya dharau na DED wàlitumbuliwa na Magu, lkn wakarejeshwa na Mamlaka iliyopo, hapo picha ni kubwa zaidi. WM ana kazi...
@robertmkude8234
@robertmkude8234 9 ай бұрын
Hivi huu utamaduni wa watu kuwa incapable ya kufanya jukumu lao alafu wanahamishwa badala ya kufukuzwa na kutaifishwa mali zao kulipia hasara waliyosababisha haya mambo ndio maana hayakomi. Hapo ndipo walipomchukia JPM,yaani haiwezekani watu kuwa that stupid. Alafu bado ana kazi,WaTZ over 65mil tuna recycle same idiots? Aisee kiendelea hiyo nchi ni ngumu sana,biashara ya kuoneana aibu hii inatutia umaskini. Wafukuzwe na wafilisiwe,inaonekana sababu ni pesa ya serikali hakuna mwenye uchungu nayo. Ni JPM(RIP) tuu ndio aliyekuwa anamaanisha alichokuwa anakiongea,love or hate him.
@sanaanimaisha4072
@sanaanimaisha4072 9 ай бұрын
Umesema kweli ndugu. Recycling the same idiots, incapable fools
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 9 ай бұрын
Kabisa
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 9 ай бұрын
Jpm mengine mnamsingizia angekuwa hai angekataa ayo maneno mnayo mlisha Magu alikuwa anawatumbua tu lkn wako huru na sanasana ni wale viongozi walioteuliwa tu mfanyakazi aliyeajiriwa kuna hatua za kufuata tofauti na apo ata atakushitaki na utalipa fidia na kazi anaendelea sio rahisi Mana wengi wangekuwa walishafukuzwa, lkn pia matumaini yamekuwa makubwa kuliko uhalisia yule alikuwa mkali lkn watu walikuwa wanapiga kama Kawa
@onekisstv8412
@onekisstv8412 9 ай бұрын
Tafuta pesa Broo 😂😂😂 tuachane nao hao sio tz ndo inawatu wa hovyo nnchi nyingi duniani zipo hivyo
@prospervedasto4366
@prospervedasto4366 9 ай бұрын
Sidhani kama PM walopita wangaliweza kuendesha kikao na kulalamika hivyo, Mh. PM ajitafakari analiwa kisogo heri awaachie kiti hicho abaki na heshima yake
@josephntongolo-kh5lm
@josephntongolo-kh5lm 9 ай бұрын
Unahitaji katika wakati huu mkuu kumsaidia mama.
@yuenwilington835
@yuenwilington835 9 ай бұрын
Majaliwa kama majaliwa waukweli ndoo huyu mwamba wa serikali tatu.
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 9 ай бұрын
Tanzania Kila mtumishi ni mwizi.Nchi ina loopholes nyingi sana hii na haitatoboa
@brother_majesty
@brother_majesty 9 ай бұрын
Naona PM akapewa kinoti..aloo...hii nchi aliiweza MAGU tuu
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 9 ай бұрын
Hongere Mhe Wazir Mkuu kazi inaendelea..........
@meshackmpalanga9130
@meshackmpalanga9130 9 ай бұрын
Yaaaan, hao jamaaa waliuza hadi eneo la kujenga kanisa
@deborahmgedzi632
@deborahmgedzi632 9 ай бұрын
Tuwe wangalifu na maneno kwani yanaumba. Tuseme unachopenda na wewe usikie. Mungu Baba Mwenyezi tusameje kwa udhaifu wetu. Amina
@DullaSelemani
@DullaSelemani 3 ай бұрын
Mkuu mpo vizuri sana ww na mama yet rais Wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa samia sulluhu hassan
@jofreusimon8514
@jofreusimon8514 9 ай бұрын
hayo yaendelee katika uchunguzi mbalimbali nchi nzima inchi itakuwa inaviongozi wachapa kazi na waaminifu na wenye hofu ya mungu na kazi iendelee. ubarikiwe sana kiongozi.
@mariomachecajoaquim1921
@mariomachecajoaquim1921 8 ай бұрын
I hope your Excelence One day to BE the Next President of Tanzânia. Naipenda bure kazi yako safi sana Mze
@edmundchota2664
@edmundchota2664 7 ай бұрын
Safi saana Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa maamuzi magumu.Hongera Sana!!
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg 9 ай бұрын
Hii nchi imekwisha kufa unachofanya ni sawaswa na kutaka kufunika mwili kwa leso.
@user-uy2dk2yv2c
@user-uy2dk2yv2c 9 ай бұрын
Tanzania bhana hatari Sana mkuu wa mkoa anajimwambafy kwa waziri mkuu hii ni hatari Sana
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 9 ай бұрын
Sio hata mkuu wa mkoa ni Mkurugenzi wa halmashauri 😂😂😂
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 9 ай бұрын
Uyu Mzee anafaa kuwa Rais kabisa
@onekisstv8412
@onekisstv8412 9 ай бұрын
Aliesikia jambo dakika ya tisa sekunde ya 14 mpka 19 agonge like hapa😂😂😂😂😂
@frankmganda2424
@frankmganda2424 9 ай бұрын
Mkuu hao sio wakuongea nao kama wanakuzarau wachukuliwe atua haraka sana
@sichahaule2819
@sichahaule2819 9 ай бұрын
Magufuli alikataa makala wengine wanasema makala.mzuri
@josephshee
@josephshee 9 ай бұрын
Hongera Mh. Waziri Mkuu, huko ardhi yapo mengi tuu, ya aina hiyo. Wengi wana viliyo kama hivyo.
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 9 ай бұрын
Siku zote nakuamini PM✍️ keep going...naomba mh chukua maamuzi magumu juu ya maadui hawa😢😢😢..inauma sana👽 nimeumia sana kudharauliwa mh waziri mkuu wetu🤨💯
@zariadunia6328
@zariadunia6328 9 ай бұрын
Kuna watuhumiwa wawili hapo mzee wetu magu aliwatumbua mama akasema sikubali wakarudishwa mlimfanya magu chizi nyinyi ndo wajuaji wameboronga tena bado huyo mmoja makalla mnahangaika naye kumuhamisha mikoa mpaka analeta dharau bado waziri mkuu unamtetea eti wamemmislead haya hangaikeni naye tu sijui mtamrudisha Dar bado tu zunguukeni naye ila iposiku mtajua magufuli hakukosea kumtumbua Amos Makalla sema mama kama alikuaga na nongwa na magu
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 9 ай бұрын
Kumbe alitumbuliwagw
@abdullahchabukila6686
@abdullahchabukila6686 9 ай бұрын
Kabsa wanajifanya wajuaji ona sasa madudu Baba magu alitoa takataka zote bikidude kaludisha ni upuuzi tu 😢
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 9 ай бұрын
Wale watu wa Magufuli wote aliowatumbua wamerudi basi acha wale nchi
@ahz6907
@ahz6907 8 ай бұрын
​@@abdullahchabukila6686bi kidude...
@Abdulhamid-pw3qy
@Abdulhamid-pw3qy 3 ай бұрын
Nyie wote ni pumba tu. Mna ndoto na mwenda zake dikteta jiwe Magu muuwaji asie na huruma ktk utawala wake wa mkono wa chuma. Yule alikuwa na roho mbaya na chuki na ndio maana M/Mungu alimuondoa mapema ili kuwapa amani viumbe wake. Moto wa milele umuunguzie dikteta mtoa roho magufuli.
@husseinabdallah916
@husseinabdallah916 9 ай бұрын
Waziri mungu akubaliki akulinde kwakutendaaki atasisi uku avc wanatutesa sana juu yamambo kamaayo
@michaelmatonange630
@michaelmatonange630 9 ай бұрын
Mama tumbua ayo majipu😢😢
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 9 ай бұрын
Anaanzaje
@robsonlotyloy5678
@robsonlotyloy5678 9 ай бұрын
Mungu akulinde baba.
@mapendomeela7166
@mapendomeela7166 7 ай бұрын
Mweshimiwa waziri mkuu gombea uraisi unapita mia ya mia mungu akulinde
@frankmganda2424
@frankmganda2424 9 ай бұрын
Muwekeni ndani uyo mkurugenzi
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 9 ай бұрын
Safiii baba waziri mungu akulende na zidi yaa mafisadi baba
@justinleveran6137
@justinleveran6137 9 ай бұрын
Tunasimama na wewe Waziri Mkuu wetu, kauli ya Mkurugenzi imetuumiza hata sisi wananchi .....Our future President
@alexchonanga1821
@alexchonanga1821 9 ай бұрын
Good job mhe PM MAJALIWA MAJALIWA HAKUNA ASIEKUELEWA TANZANIA HONGERA SANA KWA KUMSAIDIA KAZI MAMA SAMIA LAKINI HONGERA SANA KWA KUSOLVE MATATIZO YA WANANCHI
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 6 ай бұрын
Tuna macho hatuoni tunamasikio hatusikii mama akimaliza muda wake tunakuomba baba gombea urais mungu akuweke insha Allah.Au ikiwezekana jiuzuku igombee Kwa chama chochote tutakuja kura
@ezekielkandonga9238
@ezekielkandonga9238 7 ай бұрын
Waziri Mkuu Mungu awe nawe,Hawa viongozi wengine ni takataka ni na mzigo kwa Taifa Letu.
@floriannkwita4672
@floriannkwita4672 9 ай бұрын
Mhe Waziri mkuu binafsini nimeumizwa sanaaaa na hata kwenyemjadala wetu hapa wanainchi wameumizwa sanaaaa na kauli ya ,Mkurugenzi ya zarau kwako wewe waziri mkuu ,hapawi kuachwa madarakani nahuyo kamishna hapaswi kuhamishwa wanapaswa kufukuzwa kazi ,tunashangaa kuona Serikali mnazidi kuwabembeleza ,wakati wzsomi wengi wapi wanaotii mamlaka hawa watu wafukuzwe iwe mfano kwa watumishi wenye zarau kama hao
@Fundi12345
@Fundi12345 4 ай бұрын
Mama sasa sasa hapo alitakiwa kumuunga mkono wazili wake kwa nguvu zote sisi mama akinyamaza inaoneswa kuwa ni nguvu ya waziri tu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@ZanzibarOrchestra
@ZanzibarOrchestra 3 ай бұрын
kwani kila mmoja ana serikali yake?
@samsonkivuyo9548
@samsonkivuyo9548 9 ай бұрын
Mkuu wa Mkoa anasinzia mbele ya Boss wake
@singanoatanasi1994
@singanoatanasi1994 9 ай бұрын
Dhamiri hai kwa binadamu zimekufa . Dhamiri hai njema zipo chache hatutaweza kuishi kwenye aridhi hii milele alie iumba anatuangalia sana tu Mungu atusaidie sana wenye haki aisee
@wamoyothenumberone4356
@wamoyothenumberone4356 7 ай бұрын
Huyo aliepinga maagizoo ya wazili mkuu maamuzi aliyatoa waapi
@user-dw6uy7tv9o
@user-dw6uy7tv9o 9 ай бұрын
😁😁😁😁 majamaa wanajifanya kuandika notes kama wako serious vile ha ha ha ha
@hamzakamil5001
@hamzakamil5001 9 ай бұрын
inshallah one you must lead this country
@Kanyawela
@Kanyawela 9 ай бұрын
Waziri Ongera sana kwa Kazi
@singanoatanasi1994
@singanoatanasi1994 9 ай бұрын
Jamani leo tupo tunaishi hivi kesho yetu ipi kwa Mungu haki ikwapi viongozi mliopata wadhifa wa kuwasadia wananchi mpaka waziri mkuu aumize kichwa ili kuweka usawa . Pongezi waziri mkuu
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 5 ай бұрын
Xafi xana wazir mkuu tumia fyekeo lilelile tumechoka ❤
@vidalyuki4916
@vidalyuki4916 9 ай бұрын
Hongera
@user-jr2qk2sq4e
@user-jr2qk2sq4e 9 ай бұрын
katiba mpy ndo kilakitu
@francismlembwa2733
@francismlembwa2733 9 ай бұрын
Huyo makala ni Basua kichwa Sana hata Dar es salaam ametusumbua Sana maamuzi yake ni maumivu Sana kwa WANANCHI , mkurupukaji awezi kuita pende mbili ili kupata suluhu, Mungu atamlipa tu hapa Dunia, Uongozi ni Busara,hekima na Utu
@midundotechtz6843
@midundotechtz6843 9 ай бұрын
Mm sijui niseme nn yan watanzania washamilza ❤❤ PM kasim
@hassanisaimon1531
@hassanisaimon1531 8 ай бұрын
The fittest one will survive.....!
@edgarnemass4645
@edgarnemass4645 9 ай бұрын
Akawaambia, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke watenda kazi katika mavuno yake. (LUKA 10:2)
@bakarykijazi293
@bakarykijazi293 8 ай бұрын
Tumebaki na majaliwa mungu onyesha nguvu zako huyu kiume awekiongoz wajuu katika taifa la TZ
@user-qg9ui2oy8b
@user-qg9ui2oy8b 8 ай бұрын
CONGATURATION OUR MP I WANNA YOU BE OUR FORE PRESIDENT 2025 and not samiah suluhu hassan I BELIEVE 2025 THERE WILL BE HIGH POLITICAL SITUATION RATHER THAN EXPECTED
@mwandisimfukwe326
@mwandisimfukwe326 9 ай бұрын
Big up
@josephlorri431
@josephlorri431 9 ай бұрын
Waziri mkuu anaongea kwa kuumia,anatetea ofisi ya PM, sio yeye kama Majaliwa. Kama huyu mwenye dharau kwa maagizo ya PM ndo wale 'chawa wa mama',bado tuna safari ndefu
@josephvenus3259
@josephvenus3259 9 ай бұрын
WAZIRI MKUU WE KATA FUNUA HAO 😏😏
@mbenambenanga8889
@mbenambenanga8889 7 ай бұрын
Huyu makalla hamna kitu kabisa Mzee,,, ata uku dar alishanza kuvurunda
@user-gj5qk3wd4p
@user-gj5qk3wd4p 4 ай бұрын
Naomba number zenu Nna habari moto sana Arusha kuna wakubwa wana tafuna ela za shule
@MeshackLukanda
@MeshackLukanda 5 ай бұрын
Ila hii nchi tuachieni wasukuma muone naona Moto wetu mnaujua vzr
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 9 ай бұрын
Wazurumaji hao wapiga diri hao kuoneya wanyongee wasio kuwa na pesa😢😢😢
@bebysheni-gf1zf
@bebysheni-gf1zf 8 ай бұрын
Hii imeenda Al ahali imekuja dar es salaam wakagungana Simba imeenda misri Moja Moja afu Simba katolewa vipi hawa
@habibukitwana1552
@habibukitwana1552 9 ай бұрын
Waziri mkuu kazi unayo maana huna support kutoka kwa Rais😢😢😢😢
@michaelmwalimu6057
@michaelmwalimu6057 5 ай бұрын
Makala lazima afukuzwe hafai kuwa kiongozi alituumiza sana huku Daresalam
@MsanangoMwalabu-rx1oo
@MsanangoMwalabu-rx1oo 9 ай бұрын
Tatizo kupeana. Kazi makada wa ccm tunasumbuliwa Sana kwenye ardhi ndio sehemu yao Kuu wanaojifanya wakonayo bize kuleta migogoro
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 9 ай бұрын
Kiburi cha madaraka.Mtu anatamka kutotambua maamuzi ya waziri mkuu😢😢😢
@user-iu1iy6tz9t
@user-iu1iy6tz9t 9 ай бұрын
Tunakuomba mpwapwa mh. Waziri mkuu
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 3 ай бұрын
Kakukejeli Atambui kauli ya waziri Mkuu wewe Ndio wapili nchini sukuma ndani😂😂😂
@jumamsuya6670
@jumamsuya6670 9 ай бұрын
Kuna nafasi Fulani natamani nikuone huyu mwamba ,naomba nisiitaje Hadi mwanasheria wangu aniruhusu😊
@arthurkasiba751
@arthurkasiba751 9 ай бұрын
UnApata wapi ujasiri wa Kumzungusha Hon; PM majaliwa
@thomastarimo
@thomastarimo 9 ай бұрын
Mweshimwa waziri kuu uyo makala hafai kabisa hapa dar alitukana waananchi na ushahidi upo sasa aijulikaniki ni kitu gani kinachofanya asifukuzwe moja kwa moja hafi kwanza ni lijizi likubwa sana hapa dar aliunda timu ya majambazi kupora vijana pikipiki zao na kwenda kutozwa faini laki mmoja
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 9 ай бұрын
Makala kila mkoa akipelekwa anazingua na mzee jakaya anamtetea kwa mama ila hafai ndiomaana alitumbuliwa na J.p.m kule morogogo
@mohammednassor8167
@mohammednassor8167 9 ай бұрын
Naogopa sana daaah
@amosdonjohnson1643
@amosdonjohnson1643 9 ай бұрын
Hyu makala anatakiwa achunguzwe ana kanamna sio bure
@TemwaJilaha-vw9md
@TemwaJilaha-vw9md 9 ай бұрын
Saf sana wazir wangu
@user-yn6om2lz9e
@user-yn6om2lz9e 9 ай бұрын
Hawa waheshimiwa wamenona Sana sisi wananchi tunahalimbaya,,,kwanini msilizike na mishahala yenu
@msafiriomary893
@msafiriomary893 4 күн бұрын
Fukuza nae mnamhamisha wa nini akavuruge tena na kwingine fukuza hapo hapo
@franciskassanga7999
@franciskassanga7999 8 ай бұрын
Mwamba huyu hapaaaaa !!!
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 31 МЛН
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 7 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 102 МЛН
Historia. Ya Kassim Majaliwa
8:03
USIKU TV
Рет қаралды 27 М.