WASIFU WA MARCO wa ZABRON SINGERS: AMEACHA WATOTO 4 - MKE - BIASHARA MGODINI - UIMBAJI HADI KIFO...

  Рет қаралды 142,445

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 186
@VeronikaMeshack
@VeronikaMeshack Ай бұрын
Pumzika Kwa amani,na Mungu akufanyie wepesi
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 2 ай бұрын
Jamani hapa tunapata funzo, tuzae chap chap maana hatujui muda wetu wa kuwa hapa duniani, hebu tujifunze kwa kaka yetu marko, ana miaka 32 lakini ameacha mke, watoto wanne na mali. No time to west! Hongera sana Marko ulifanya kazi kubwa duniani kwa muda mchache uliopewa, R.I. P
@AgnessDaud-jk7ro
@AgnessDaud-jk7ro 2 ай бұрын
kabisa dia
@BeatherDkson
@BeatherDkson 2 ай бұрын
Kwakweli mpenzi wangu,,mim mama angu alizaliwa 79, mama amefariki 2011 akiwa na umri huohuo miaka 32 ,alituacha watoto watatu,, mim nlikua 4m1,mdogo wangu wa pili alikua Latano,mdogo angu wa mwisho alikua bado mdgo sana alikua chekechea,alizaa mapema sana na ndio mana ametuacha watatu,,,,
@PerisOduor-p2o
@PerisOduor-p2o 2 ай бұрын
Unaazaa haraka utawalisha nn na hii uchumi😂😂
@merrystellajohn2508
@merrystellajohn2508 2 ай бұрын
😂😂😂
@pmpaga1063
@pmpaga1063 Ай бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya maisha ya ndugu yetu... Apumzike kwa Amani
@DorcaMartini
@DorcaMartini 2 ай бұрын
Pole San mungu azidi kuwap joto na kuwafarij hakika kifo hakizoeleki na hat sis tulioachwa tuzidi kujipelelez maisha yeti na tujiandae Kwa wakat I ufaao na usiofaa IL tukutane mbingun Kwa Jin la yesu Amin.
@AgricolaBajut-y2g
@AgricolaBajut-y2g 2 ай бұрын
Mungu awe faraja yenu ndugu wafiwa.
@AronLwassa
@AronLwassa Ай бұрын
Hongera msomaji wa wasifu imesoma vzr sana tena umetulia Changamoto kubwa ni ya uandishi neno marehemu linatakiwa litmkwe kuanzia pale mtu anapotaka dunia Ni kosa kubwa kusema marehemu alizaliwa,alisoma,alifunga ndoa Aliweza je kufanya haya akiwa marehemu? Tujifunze kuandika wasifu vzr ili ilete maana kwa wasikilizaji hivyo Poleni😂😂😂😂 sana kwa msiba mbele yetu nasi nyuma yake Bwana alitoa nae amemtwaa kina lake lihimidiwe
@NenolaMUNGUniuzima
@NenolaMUNGUniuzima 2 ай бұрын
❤🎉HONGERA KWA WASIFU MZURI 🎉JAMAN TUELEWE KUFUNGA NDOA SIO KUZAA unaweza kuzaa baadae ukafunga ndoa hivyo tusikariri Ndoa ni udhibitisho tu na cheti tu mengine huwa yanaanza mapema.
@KahindiKaingu-m4g
@KahindiKaingu-m4g 25 күн бұрын
Poleni
@CatherineImwana
@CatherineImwana 2 ай бұрын
Poleni sana familia ya Marco ,.mungu ampe nguvu mke wa marehemu Kila wakati ,sio rahisi kabisaa
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 2 ай бұрын
Jamani kuna makosa makubwa ktk kuandika wasifu wa marehemu. Mfano marehemu alizaliwa. Marehemu hawezi kuzaliwa. Ni vyema kuandika mfano. Marco alizaliwa...., alisoma....alifanyakazi., Marco aliaanza kusumbuliwa na....mpaka umauti ulipo mfika. Marehemu ameacha mke na watoto.etc
@HusnaRashidi-ox7zk
@HusnaRashidi-ox7zk 2 ай бұрын
Kiswahili kigumu ndugu
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 2 ай бұрын
makosa ya kawaida ya kuswahili ila ameeleweka
@fadhilishabani4368
@fadhilishabani4368 2 ай бұрын
fact
@rabankisusi
@rabankisusi 2 ай бұрын
Nakubali
@shukranbulilo8132
@shukranbulilo8132 2 ай бұрын
Marehemu Marco...ni sahihi.
@odiliajohn8600
@odiliajohn8600 2 ай бұрын
Imeniuma San marco mungu akupe pumziko la milele 😭😭
@VeronicaUrassa-j9k
@VeronicaUrassa-j9k 2 ай бұрын
Daaaah polen Sana wanafamilia nzima nimevaa viatu vya mfiwa jamani mungu akutie nguvu bi angel n watoto wa marehemu
@Daniella249
@Daniella249 2 ай бұрын
Dah ameondoka mapema sana jmn, lkn Mungu hatupingani na kazi yako , mungu amtunze vyema huyu mke na kumpa nguvu
@AliceAlistidia
@AliceAlistidia 2 ай бұрын
Ina maana amefinga ndoa 2019 na ana watoto wanne kwahyo huyo mke wake Kila mwaka alikuwa anazaa au alikuwa amezaa nje kabla ajaona na lkn ugonjwa wa moyo kumbe aliupata siku Moja duuh nilijua Wenda alikuwa mda eeeeh mwenyeji mungu acha uinuliwe maana weww ndo unajua Kila kitu na ule wimbo kaiba yupo hospitali mbn wa tatizo ambalo limemuua kwahyo aliota kwenye ndoto aisee huyu kama amejua kuniumiza 😭😭😭😭😭
@sirpleasureb
@sirpleasureb 2 ай бұрын
MIND YOUR OWN BUSINESS
@JoyLoyce-r4p
@JoyLoyce-r4p Ай бұрын
Wakati wa mahojiano Global tv enzi za uhai wake alisema alifunga ndoa 2015
@MwaminiMohamed-p4d
@MwaminiMohamed-p4d Ай бұрын
Pole sana mke na watoto
@PhilianeNaibei-hn8zc
@PhilianeNaibei-hn8zc Ай бұрын
I don't how to express this .. inaniuma saaana wimbo WA marko umauti ulinirudisha duniani oooh my God nikirudi Kenya lazima ntazuri alipozikwa.. am not a member of SDA BUT nyimbo za Marco imenifikisha nilipo sasa
@nancyaletarwa1578
@nancyaletarwa1578 2 ай бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi 🎉
@Ericana-il7nu
@Ericana-il7nu 2 ай бұрын
Kipenz cha wengi tutakukumbuka
@MelinaBintanye
@MelinaBintanye 2 ай бұрын
Poleni, familia Mungu akawe faraja kwenuu kwa kipindi hichi kigumuu
@ChristinaKihaga-b2z
@ChristinaKihaga-b2z Ай бұрын
Poleni familia
@AttuAugusti
@AttuAugusti 2 ай бұрын
Poleni sana Munguakawe faraja yenu
@NaserianAbrahamMollel
@NaserianAbrahamMollel Ай бұрын
Apumzike kwa amani 😭😭 safari yetu sote
@LeahGlory-ju2ci
@LeahGlory-ju2ci 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu
@lawrence-xk1km
@lawrence-xk1km 2 ай бұрын
Ambacho hamuelewi ni kipi" MTU alioa 2015 ila kufunga ndoa ni 2019
@HadirialssaShund
@HadirialssaShund 2 ай бұрын
Vhapo nimeelewa sasa
@PaulyneOgolla
@PaulyneOgolla 2 ай бұрын
Ndio hapo sasa love your explanation 🎉
@AthumanMshaghasho
@AthumanMshaghasho 2 ай бұрын
Wew ndo huna elewa kuoa ni 2019 sasa hiyo 2015 umeitoa wapi siwezi kukuelewa hata ila tambua kuna kuzaa kabla ya ndoa na kuna kuendelea kuzaa baada ya ndoa na ndo maana tukapata watoto 4 kwa miaka 5 maana wapo Marco alibariki ndoa ila watoto walikuwepo yey aliwaongezea tu na nisije on a mtu anahoji tena kuhusu hilo Mimi ni muislamu ila nimeelewa sembuse nyie poleni sana familia ya Marco na hongera sana msoma wosia umetumia tafsda kubwa mno mungu akubariki
@PauloDaudi-z4p
@PauloDaudi-z4p 2 ай бұрын
Mung akupe mwisho mwema aminaaa
@gudanemma1459
@gudanemma1459 Ай бұрын
Wenda ajakosea watt wengine uzaliwa kabla ya ndoA mana 2019 to 2024 watt 4 nijambo aliwezekani
@JennyMathias-k1m
@JennyMathias-k1m 2 ай бұрын
Mwenyez mung awatiee mwoyo wa uvumiliv katika kipind iki kigumu akawe baba wa watoto wake na mme wa mke wakeee awasimamiee
@carolineongeri1154
@carolineongeri1154 2 ай бұрын
Alijaribu
@Esters-zr6nl
@Esters-zr6nl 2 ай бұрын
Poleni sana wafiwa wote mungu awatie nguvu katika kipinfi iki kigumu
@margaretavisa7674
@margaretavisa7674 2 ай бұрын
Pole Kwa familia
@VailertJila
@VailertJila 2 ай бұрын
Polen Sana Wana family mungu awatie nguvu
@ZawadiSeso
@ZawadiSeso 2 ай бұрын
Poleni sanaa jamani njia yetu nimoja tutakutana katika maisha mengine poleh kwa familia ndugu rafiki na jamaa
@MaryRobert-c8j
@MaryRobert-c8j 2 ай бұрын
jaman Mungu umemchukua kijana mdgo sana inaumasana
@JoyceJoel-y3l
@JoyceJoel-y3l Ай бұрын
Kwenye huo wasifu haujakaa sawa hapo yamkin mlikosea 2019 mpk 2024 mtu anawatt wanne duuh
@mwanaisha1703
@mwanaisha1703 2 ай бұрын
Poleni sana Mungu awatie nguvu
@DativaDonatus-wo3nf
@DativaDonatus-wo3nf 2 ай бұрын
Jaman watu hamuelewi nini inamaana alizaa kabla ya ndoa akafunga ndoa huo mwaka 2019
@ErizabethNdagamsu
@ErizabethNdagamsu 2 ай бұрын
R I p kaka maiko Mungu ilaze Rohit y'ako mahali pena peponi😭😭😭😭
@FedrickShadrack
@FedrickShadrack 2 ай бұрын
Polen sana wana ndug na jamaa na rafiki msiba huu ni wetu sote
@mussakashinje965
@mussakashinje965 2 ай бұрын
Alibalik
@EliudPhenias
@EliudPhenias 2 ай бұрын
Pole sana
@VumiliaMusa
@VumiliaMusa 2 ай бұрын
Umekosea wasfu Alus 2019 apo apo watoto wanne ivi inawezekana
@bethuelmwangi3139
@bethuelmwangi3139 2 ай бұрын
lažima kuna makosa
@LabaniAkyoo
@LabaniAkyoo 2 ай бұрын
Hata Mimi nimeshangaa, au ni mapacha
@jaelokeke4835
@jaelokeke4835 2 ай бұрын
Walioana 2015, Kisha ndoa ikahalalishwa 2019
@MaryMachibya
@MaryMachibya 2 ай бұрын
Itakuwa walipata watot kabla ya ndoa
@AdmiringJumpingSpider-jb3xq
@AdmiringJumpingSpider-jb3xq Ай бұрын
Kuna interview yake alihojiwa alisema alioa mwaka 2015 so hyo 2019 nadhani ni kubariki ndoa tu so kwa miaka 9-10 kwa watoto 4 sio mbaya
@terminal_tz
@terminal_tz 2 ай бұрын
Sio Tu Kwa Marco lakn ..Kuna haja wasifu wa marehemu uandaliwe Kwa umakini na Ufasaha wa lugha husika ... imagine kwenye msiba wako msomaji wa wasifu ana kosea kosea...😢😢😢
@evalinemchomvu8773
@evalinemchomvu8773 2 ай бұрын
Da!!hata mimi sijaelewa hapo.
@abaskinyamagoha3151
@abaskinyamagoha3151 2 ай бұрын
Poleni. Wafiwa mungu awatie nguvu wafiwa tukumbuke sisi niwasafili makao yetu nimbinguni ko tujiweke tayari Kila wakati kwa mungu
@Magreth-y8w
@Magreth-y8w 2 ай бұрын
Apumzike kwa amani, Ameeeen
@asteriashios1852
@asteriashios1852 2 ай бұрын
Mdogo sana huyo kijana
@MeryRaphaeli
@MeryRaphaeli 2 ай бұрын
Mimi pia nime umia sana mungu akupunguzie azabu ya kaburii
@jakobonoha7666
@jakobonoha7666 Ай бұрын
Watu wanashangaa wakati hawajui mtu alianza kuzaa bila kufunga ndoa
@hildapenina9390
@hildapenina9390 2 ай бұрын
Mungu awakuze watoto wake jaman ampe mkeo nguvu
@violetteniyongabire3859
@violetteniyongabire3859 Ай бұрын
😢😢😢
@michaelsembiu5300
@michaelsembiu5300 2 ай бұрын
Anaweza kua alibahatika kupata watoto mapacha mara mbili shida iko wapi?
@MoshiBenjamin
@MoshiBenjamin 2 ай бұрын
Pole xana wanafamilia
@pachasproduction
@pachasproduction 2 ай бұрын
yupo sahihi coz ametumia wakati uliopita ..amesema marehemu Marco alisoma......hajasema marehemu Marco amesoma
@alphagroup9477
@alphagroup9477 2 ай бұрын
Nilichogundua huyu kaka Alistair na mkew kabla hajafunga ndoa
@SimonPaulo-e7y
@SimonPaulo-e7y 2 ай бұрын
Jamani amaze mahara pema
@otienojulie-r2h
@otienojulie-r2h Ай бұрын
So sad!
@Igomalameck
@Igomalameck 2 ай бұрын
Polen sana hasa make wake
@OliverPaulo-r9h
@OliverPaulo-r9h 2 ай бұрын
kikubwa ana watoto wanne kuhusu kuzaliwa kwa watoto kila mtoto itajulikana siku kama ya leo ya baba yao mengine familia inajua sio kila kitu cha familia mkijue
@terminal_tz
@terminal_tz 2 ай бұрын
Rip Brother Marco
@MariaMagele
@MariaMagele 2 ай бұрын
Duh tumezaliwa mwaka mmoja
@AzizaAdamu
@AzizaAdamu 2 ай бұрын
Mbona mambo mengi mara kakosea mashalt mara moyo
@Ericana-il7nu
@Ericana-il7nu 2 ай бұрын
Dah.amekufa akiwa mdg saana jmn
@CleophusOnuko
@CleophusOnuko 2 ай бұрын
Rectify your self papa before you came to the mourners
@AnithaMbuya
@AnithaMbuya 2 ай бұрын
R I P my friend ❤
@stellachepkosgei8750
@stellachepkosgei8750 2 ай бұрын
Watanzania eulogy yenu tofauti sana yani hamuuzishi familia kama wazazi,mandugu weeh this one is kinda wreid, anyway rest easy brother 😢
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 2 ай бұрын
Niuchungu muno..poleni sana kwa yote
@Eliasmasanja-d4m
@Eliasmasanja-d4m 2 ай бұрын
Poleni sana
@AgnessSemedal
@AgnessSemedal 2 ай бұрын
Poleni sana Wana kahama
@SophiaChayeka
@SophiaChayeka 2 ай бұрын
Jamani mchepuko umesahaulika
@olivambenja
@olivambenja 2 ай бұрын
Mchepuko lazima asahaulike maana alifichwa kama bangi😂
@machachehardware5975
@machachehardware5975 Ай бұрын
😅​@@olivambenja
@barakamnazareti5745
@barakamnazareti5745 2 ай бұрын
Alikua ashajipata ata akipumzika ametendea haki cku za uhai wake
@LatifaMatayo-sz2cb
@LatifaMatayo-sz2cb 2 ай бұрын
Kabisaa
@ElitrudaKiwale-ux8je
@ElitrudaKiwale-ux8je 2 ай бұрын
Msiba usikie kwa mwenzio kwaiyo kama kashajipat amjui ana watt wadog Bado walikua wanaitaji malezi ya baba na mama chakula Cha msiba ni kitamu ikiwa msiba sio wako
@tabithakaji2635
@tabithakaji2635 2 ай бұрын
Mwendo umeumaliza pumzika kwa amani kaka
@TedyJackson
@TedyJackson 2 ай бұрын
wenda kila mwanak ana zaa😢😢
@Emmyayo-z9s
@Emmyayo-z9s 2 ай бұрын
Daaaah pole cn,mke wa Marco
@SalomeKija
@SalomeKija 2 ай бұрын
Rest in peace 🕊️😢
@AgnessWasha
@AgnessWasha 2 ай бұрын
Ingien youtube andika mafundisho ya mwalimu wa neno la MUNGU Grace anafundisha sana roho ya mauti na uharibifu
@cyruskirui2664
@cyruskirui2664 2 ай бұрын
Rip Marcos
@CatherineAwinja-lz4bf
@CatherineAwinja-lz4bf 2 ай бұрын
Atakama nikuzaa mapema kuna error hapo kwa ndoa
@NeemaMei
@NeemaMei 2 ай бұрын
Mmmh. Watoto wanne lini na lini jaman mbona sielewi
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 ай бұрын
Unajuaje pengine wamezaa mapach
@JacklinSwai
@JacklinSwai 2 ай бұрын
Kwani kuna watoto wengine walizaa kabla ya ndoa, maana 2019-2024watoto 4?mh.
@jaelokeke4835
@jaelokeke4835 2 ай бұрын
Waliona 2015 then wakahalalisha ndoa kirasmi 2019, hope umenielewa
@MeryRaphaeli
@MeryRaphaeli 2 ай бұрын
Jamani kufiwa msiba usiombe ukukute wewe skurizia kwa mwenzako kwaio kukosea kawaidaa
@ruthnaliaka-x8j
@ruthnaliaka-x8j 2 ай бұрын
Rest easily shujaa
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 ай бұрын
Haya kuhusu ya kuzaa kila muda gani the hayo si maomboleze.
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 2 ай бұрын
Dah kumbe wa 1992 mzee mwenzangu😢😢😢😢
@mwajabually5321
@mwajabually5321 2 ай бұрын
mdgo sana
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 2 ай бұрын
Ndo alikuwa anauanza ujana, makini, dah😢
@PatriciaYohana-q8g
@PatriciaYohana-q8g 2 ай бұрын
Mamb mengine nisiri ya familia habar ya watoto hayawahusi
@Yuzzomziwanda
@Yuzzomziwanda 2 ай бұрын
Alikua na madem wengi
@dorcasmogiti1554
@dorcasmogiti1554 2 ай бұрын
Huo wasifu awajataja wazazi, kaka au dada
@restutacostantine50
@restutacostantine50 2 ай бұрын
Ni wasifu waarehemu sio wa familia
@williamkavuta8066
@williamkavuta8066 2 ай бұрын
Haya mambo ya madini sije wakawa...mdomo koma
@AndrewAbuga-d1s
@AndrewAbuga-d1s 2 ай бұрын
RIP MARCO 😢😢😢
@witnessmallya5114
@witnessmallya5114 2 ай бұрын
Amezaliwa 1992, amefunga ndoa 2019, na sasa ana watoto wanne, Yaani kila mwaka walikuwa anabarikiwa mtoto, na cha ajabu watoto ni wakubwa !😮 kwakweli ameviPiga vita, Mungu ampumzishe salama!
@user-vi5zj7yi1d
@user-vi5zj7yi1d 2 ай бұрын
@@witnessmallya5114 maybe alizaa na dada yule then wakafunga ndoa baadae n hapo naona alifunga ndoa rasmi akiwa na watoto 2 hao wawili amewapata baada ya ndoa takatifu
@eng.lazarongoro
@eng.lazarongoro 2 ай бұрын
kufunga ndoa na kuzaa ni vitu viwili tofauti
@JennyMathias-k1m
@JennyMathias-k1m 2 ай бұрын
Ni maumivu makali sana 😢 😅
@GwakisaMwasemele
@GwakisaMwasemele 2 ай бұрын
Jaman au msoma wasifu amekosea? Et ameoa 2019 na Sasa ni 2024 na ameacha watoto wanne kwahiyo alikuwa anazaa Kila mwaka? Sijaelewa
@irenemnzava4446
@irenemnzava4446 2 ай бұрын
Inawezekan alianza kuzaa kwanza halafu huo mwak ndo wakafunga ndoa
@AnordKirizestom
@AnordKirizestom 2 ай бұрын
Je kama ana mapacha
@UPENDOMMAKASA
@UPENDOMMAKASA 2 ай бұрын
Inawezekana kabisaaa watoto umewaona wanalivyofuatana kama mapacha,hasa kuna wawili nimehis mapacha labda
@FranksonMkumbwa-mb3pp
@FranksonMkumbwa-mb3pp 2 ай бұрын
Duuh!! Alioa kwanza labda ndo akafunga
@MoureenKerubo-f5t
@MoureenKerubo-f5t 2 ай бұрын
Ata Mimi nimeshidua kwani kila mwaka bibi alikua na mimba ama vpi🥺🥺🥺🥺
@SuzanPeter-gk5qm
@SuzanPeter-gk5qm 2 ай бұрын
Anawezekana sioa akiwa ameshazaa nae mtoto mmoja au wawili
@bluebirdlogisticsco.limite3415
@bluebirdlogisticsco.limite3415 2 ай бұрын
Rest in peace Marco😢
@broka_genius3615
@broka_genius3615 2 ай бұрын
Km hamuwez kurusha live muwe mnaacha
@VumiliaMusa
@VumiliaMusa 2 ай бұрын
Efumbili na kumi na sit amefunga ndoa da miaka nane ya nda watoto wanne he
@SAMWELMASANJA-c9b
@SAMWELMASANJA-c9b 2 ай бұрын
Mungu awafariji wana familia
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 2 ай бұрын
Mtunzi wa nyimbo kadha ikiwemo wimbo wa mauti🙄
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 2 ай бұрын
Na kwann nyimnbo zake nyingi za huzuni.?
@AnnaSamwela
@AnnaSamwela 2 ай бұрын
😂😂😂 pumzika kaka
@CarolMutua-nk8nr
@CarolMutua-nk8nr 2 ай бұрын
Was wimbo wa mauti necessary 😭😭😭😭
@MariamuMahir
@MariamuMahir 2 ай бұрын
I wonder too😢
@bernardjustine6524
@bernardjustine6524 2 ай бұрын
Hapo waliforward mbele ila hakumaanisha wimbo huo
@DorikaUwimana
@DorikaUwimana 2 ай бұрын
😭😭😭😭🥹
@KasigwaWanguba
@KasigwaWanguba Ай бұрын
Poleni
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 125 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 4 МЛН
Yay, My Dad Is a Vending Machine! 🛍️😆 #funny #prank #comedy
00:17
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
NENDA MARCO JOSEPH, pumzika salama (STEVE MNDEME)
3:13
STEVE J MNDEME
Рет қаралды 3,3 М.
Nakutuma Wimbo || 100 years celebration of Adventism in Kuria
4:26
West Kenya Union Conference
Рет қаралды 694 М.
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 125 МЛН