WIMBO HUU WAWALIZA ZABRON SINGERS MBELE ya JENEZA LA MWENZAO WAKIMUIMBIA WIMBO MAALUM WALIOMTUNGIA

  Рет қаралды 317,180

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 518
@everlynewanyama3804
@everlynewanyama3804 2 ай бұрын
If tears could bring this guy back 😢we've really cried..tis well .till the resurrection morning.hugs from kenya 🫂🫂🫂
@AndersonImbali-v4r
@AndersonImbali-v4r 2 ай бұрын
May his soul rest in peace
@ingerannemariepulk2688
@ingerannemariepulk2688 2 ай бұрын
My condolences to Family.Watching this from Norway and my heart cries with the loss.
@bethmainagakunga4017
@bethmainagakunga4017 2 ай бұрын
Amen
@EltonKivuyo-cv2gq
@EltonKivuyo-cv2gq 2 ай бұрын
Ndivyo Imani yetu inavyo jaribiwa ,ninacho waombea sana .Msije mkamkatia Mungu tamaa kwaajili ya hili,tazameni kusudi la Msalaba
@Judithnyantikanyaboke
@Judithnyantikanyaboke 2 ай бұрын
Poleni sana nimejikuta nimelia
@maryannBoke
@maryannBoke 2 ай бұрын
Poleni sana Kwa family yao Marco zabron singers 😭💔💔😭😭 inauma sana
@susanmetumi2223
@susanmetumi2223 Ай бұрын
Hadi wa leo sijawai amimi Marco is no more 😢 kwani kunaedanga aje.Mungu tusaidie kuzidi kuhesabu siku zetu.we shall meet him in paradise if we remain to be faithful.poleni sana Wana Zabron .kweli inauma sana.
@ruthgeorges1001
@ruthgeorges1001 2 ай бұрын
Not only Zabron singers are mourning in Kenya we knew him through your touching songs 😢we are mourning too may God comfort you guys
@esthermagova6673
@esthermagova6673 2 ай бұрын
Japo ni uchungu farijikeni katika yesu mungu awatie nguvu wakati huu mgumu 😢😢😢
@dianaimali-kt4cj
@dianaimali-kt4cj 2 ай бұрын
Kama machozi yangeweza kuamusha mtu aleye kufa basi Marco angeamka leo maana nimelia sana😭😭😭😭😭😭 ila hatuna hiyo uwezo rip shujaa,,,pole zangu from Kenya mungu hawatie nguvu😭💔
@AdmiringBonsaiTree-nc1lv
@AdmiringBonsaiTree-nc1lv 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa😭😭😭😭
@ElishaIsaka
@ElishaIsaka 2 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu chakufanya tumuombe dua ndugu yetu aliye tangulia mbele za haki mung ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu
@jamesmakau9476
@jamesmakau9476 2 ай бұрын
I am in U S A. 19000 miles away from Tanzania but I love the songs of this team. I am writing this with a lot of tears. I wish I can be next to this brothers and sisters and sing this with combo with them. Someone needs to talk to be please.
@LouiseLove-up8fg
@LouiseLove-up8fg 2 ай бұрын
It's so sad 😭💔 and painful 😢
@REHEMAMALIMA-s2q
@REHEMAMALIMA-s2q 2 ай бұрын
Mungu tujalie mwisho mwema, tutaonana tena Marco Mungu awe mfariji wenu familia na zabron singers kwa ujumla.. ! Pumzika kwa amani bwana alitwaa na bwana ametoa jina lake lihimidiwe!😢
@AminaBlessed
@AminaBlessed 2 ай бұрын
mungu asie waacha wana wake ,, -kwa hiki kipindi kingumu sana mungu awe upande wenu kuwafariji . hapa kenya twaomboleza na nyinyi na tunawaombea neema ya bwana iwe juu wenu ndungu na dada zetu❤❤❤❤ tunawapendaz. neema itoshe😢
@petronilaEmanuely-fv1rg
@petronilaEmanuely-fv1rg 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu poleni sana na ni msiba mzito san
@brendanaliaka5409
@brendanaliaka5409 2 ай бұрын
😢😢😢
@lucymwai7645
@lucymwai7645 2 ай бұрын
Mungu aiweke roho yake pahali pema peponi. 😢😢from Kenya
@Reuben-r6o
@Reuben-r6o Ай бұрын
So sad, poleni, may the Lord God continue to strengthen the family and the Zabrons singers
@ElizabethKavisa
@ElizabethKavisa Ай бұрын
Mungu aonaye machoji ya wapendwa awafariji jitieni nguvu katika jinala Yesu kristo
@EstherWausi-qj3oz
@EstherWausi-qj3oz 2 ай бұрын
Amen
@EmmanuelMatela-kt7lh
@EmmanuelMatela-kt7lh 2 ай бұрын
Polen sana watumishi wa Mungu mwenyez Mungu awatie nguvu sana
@modestamarakammbishi1127
@modestamarakammbishi1127 2 ай бұрын
Poleni sana,kwa familia na wana zablon,,mungu amechukuwa kilicho cheke,,mungu wa mbinguni awafariji na kuwa tia nguvu
@MarthaMaghuta
@MarthaMaghuta 2 ай бұрын
Polen sana mungu awatie nguvu familia, ndgu marafiki, na kanisa kwa ujumla mbele Yake nyuma yetu mungu pekee aijua sababu.
@EsterMsafiri-t8u
@EsterMsafiri-t8u 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu poleni sana Zabron singers tunaumia pamoja na nyinyi
@helladeogratias7630
@helladeogratias7630 2 ай бұрын
Ni msiba wa Taifa huu
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 2 ай бұрын
Msiba wa Taifa ni ule akifa kiongozi wa Kitaifa ndiyo maana hata bendera waga zinapepea nusu mlingoti.
@imranbasy4022
@imranbasy4022 2 ай бұрын
​@@MashakaMagesafikiria kwa upana alichomaanisha kwa kusema msiba wa taifa.
@bethmainagakunga4017
@bethmainagakunga4017 2 ай бұрын
Mungu awafariji mioyo yenu Marco ameiaga dunia sissi tumebaki tusonge mbele na kutumainia MUNGU asubuhi njrma inakuja wafu wafufuke waliolala ndani ya YESU..poleni sana
@EuniceBukhala
@EuniceBukhala 19 күн бұрын
Wow, niece one, creativity,hata mimi nimeumia
@derickmedson540
@derickmedson540 2 ай бұрын
Poleni sana alafu pia mnajua sanaaa❤❤❤❤❤ mungu awaweke Kwa huduma yake
@ombendaud5938
@ombendaud5938 2 ай бұрын
Inauma sana Mungu tusaidie sana
@WashingtonWanjala
@WashingtonWanjala 2 ай бұрын
Kenya tuko pamoja nanyi pole sana
@emilysang2759
@emilysang2759 2 ай бұрын
I used to play their,mkono wa Bwana daily in my work place computer daily from 9 am to 8pm Monday to Saturday,but from Friday nimeshindwa am in deep pain,imeniumiza Sana.Pole Sana our neighbors Tanzania.
@puritymuiruri3353
@puritymuiruri3353 2 ай бұрын
Pokeeni pole zetu kutoka kenya ,maumivu makali kweli mungu awape nguvu zabron singers na familia ya Marco
@jacklineemanuel4755
@jacklineemanuel4755 2 ай бұрын
Ikiwa machozi yanaweza kumuamsha kaka Marko hakika angeamka ni wapi pumzi ya uhai inauzwa niwapi pumzi ya uhai inauzwa hakika wangenunua kaka aamke ....ASANTE MUNGU TUFUNDISHE KUHESABU SIKU ZETU😢😢😢
@CynthiaKarungu
@CynthiaKarungu 2 ай бұрын
Poleni sana
@IsakaPaul
@IsakaPaul 2 ай бұрын
Pole sana mungu azidi kuwaongoza
@SuzanLyatuu
@SuzanLyatuu 2 ай бұрын
Mungu hufanya njia pasipo na njia hata hili mtalishinda poleni sanaa
@GloriaVaati-ls9ql
@GloriaVaati-ls9ql 2 ай бұрын
😢😭😭😭angekuwa hapa tungeskia sauti yake tamu aki mbona kaenda jamani Mungu mbona
@fideacynthia2690
@fideacynthia2690 Ай бұрын
❤❤❤❤❤ nakuomba 4:22
@Bee-iq2wm
@Bee-iq2wm 2 ай бұрын
From Kenya, So painful. May God give fortitude to Zabron Singers and the entire family. @ Japheth and Victoria na wengine, mungu awafariji wakati huu mgumu. Mjane wa Marco pole sana. Siku moja tutakutana nae na tujumuike pamoja kwenye kiti cha enzi. Poleni
@GodfreyJohn-kf8qn
@GodfreyJohn-kf8qn 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu watumishi wa Mungu katika kipindi hiki kigumu
@eunicemutiso5788
@eunicemutiso5788 Ай бұрын
av watched this hundred times in disbelief! poleni Wana zablon tumo safarini sisi wote
@EvaYohana-f8o
@EvaYohana-f8o 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu family ya zbron kazi yake mungu haina makosa tumuombee ndugu yetu marco apumzike kwa aman tutaonana mbinguni kwa baba marco amna
@edinanyaonge
@edinanyaonge 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu. Japo yanazushwa mengi ila daima Mungu ni mwema
@FaithJoel-yz7ho
@FaithJoel-yz7ho 2 ай бұрын
Poleni sana watumishi wa mungu.acha Mungu hamlaze mahali alipojichangulia Marco na Mungu hawafariji na hawatie nguvu
@fridaymganga4327
@fridaymganga4327 2 ай бұрын
Nimejikuta nalia sana! Huu wimbo unaumiza sana! Kuliko unavyodhan. Nimemkumbuka kaka simon! Kwann Mungu alituhudu aondoke
@KasanaKikuli
@KasanaKikuli Ай бұрын
Hakika maisha yetu Mungu ndiye anayajua, wimbo huu umeniliza na kunikumbusha mbali sana 😭😭😭😭😭 Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
@Hellenah_Sufii
@Hellenah_Sufii 2 ай бұрын
Hili linaumiza sana😭😭. Enda salama Michael ❤❤❤.
@AnacletEdward
@AnacletEdward 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu Wana wa Mungu, amen
@leonardwafula4791
@leonardwafula4791 2 ай бұрын
Mungu mwenyezi ufuna mahali bake
@NeemaKimario-ui3ir
@NeemaKimario-ui3ir 2 ай бұрын
Mungu mwenyezi awe faraja yenu
@VedianaNyamka
@VedianaNyamka 2 ай бұрын
Poleni Sana MUNGU MWENYEZI awatie nguvu inauma Sana
@rachelcheyo-p5z
@rachelcheyo-p5z 2 ай бұрын
Poleni sana mungu awatie nguvu
@nyaswieelias183
@nyaswieelias183 2 ай бұрын
Poleni sana Zabron Singers. Mungu awafariji nyote pamoja na familia ya Marco
@WairimuJane-p2t
@WairimuJane-p2t 2 ай бұрын
Have cried so much,may God comfort you zabron singers
@irenemuriithi2943
@irenemuriithi2943 2 ай бұрын
Mungu mwenyezi awafariji 🇰🇪.
@IRENEBITATIe
@IRENEBITATIe Ай бұрын
Mungu amlaze mahalo pema peponi, awatie nguvu familia yake waliobakia
@MamaMalcolm523
@MamaMalcolm523 2 ай бұрын
Farijikeni katika Bwana.Mungu awatie nguvu
@elickbahingaye-fp1re
@elickbahingaye-fp1re 2 ай бұрын
Nimelia sana Yan nmeliaaa Mungu nitie nguvu maana huyu kijan kaniumiza Sana kwanini majambazi na wahalifu wengine wanaishi Ila huyu kaondoka mapema sana😢😢😢😢😢 daaaahh
@CarolineAuma-o9x
@CarolineAuma-o9x 2 ай бұрын
Poleni Sana. Mungu awatie nguvu. Wakati Huu wa. Uchungu,Caroline from kenya
@Sheba22468
@Sheba22468 2 ай бұрын
Subscribe for me too dearest 🥰
@QueenRachel-l1g
@QueenRachel-l1g 2 ай бұрын
Mungu awe faraja sana kwetu,ata sisi roho zetu zinauma saaana
@AgnessAgness-w6s
@AgnessAgness-w6s 2 ай бұрын
Mungu awatie ngumvu katika Imani
@vacsmilechepkogei3255
@vacsmilechepkogei3255 2 ай бұрын
Msy lord receive marco in eternal live
@EliceMbwilo-k6y
@EliceMbwilo-k6y 11 күн бұрын
Polen sana.Mungu awafariji
@abinelysemundi2073
@abinelysemundi2073 2 ай бұрын
Pole sana kwa ndugu jamaa na marafiki wote.
@francismuli-c7s
@francismuli-c7s 2 ай бұрын
Mungu wafariji na ailaze roho yake mahali peponi pole zangu kwa familia
@owenbilly1687
@owenbilly1687 2 ай бұрын
Poleni sana tuko na nyinyi zablone sigers pole sana kutoja kenya
@shamsidaniel5582
@shamsidaniel5582 2 ай бұрын
Pole kwa Familia Ndugu na Jamaa Mungu akawe Faraja
@gamgangweesechota3589
@gamgangweesechota3589 2 ай бұрын
Poleni sana sana wapendwa, Mwenyezi Mungu ameona mnaliweza hili jaribu atawafunga moyo mkuu litapita,pumzika kwa amani Marco
@JanetMulle
@JanetMulle 2 ай бұрын
Inauma sana,lakini si wote tuko safarini.mungu angekuwa anaulizwa swali,angeulizwa sana kwanza na watoto wangu wanapenda zabron singers
@Lianah-t2z
@Lianah-t2z 2 ай бұрын
Mungu amlaze pema peponi
@juliuswerema3655
@juliuswerema3655 2 ай бұрын
Poleni sana kwa kipindi hichi kingumu mungu awatieh nguvu
@naomkemuma2259
@naomkemuma2259 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu .kaa na imani kuwa there is a bright morning
@HappyMsofe-i6w
@HappyMsofe-i6w 2 ай бұрын
Mungu afanyike faraja kubwa kwenu🙏🏾,poleni sn ndugu
@daisyo.m3981
@daisyo.m3981 2 ай бұрын
Poleni sana wanzetu Watanzania...Toka hapa Kenya tumeguzika poleni poleni poleni
@JosphatKairu
@JosphatKairu Ай бұрын
Poleni sana aki mungu amueke pahari pema
@TimothyMsuko
@TimothyMsuko 2 ай бұрын
Mungu ndiye anajua ,Naomba awafariji poleni Mungu amlaze mahali pema
@PastorIsraelIGMTZ
@PastorIsraelIGMTZ 2 ай бұрын
Poleni sana Mungu awe mfarijini wenu na awape amani yake.
@EdwardBundara
@EdwardBundara 2 ай бұрын
Hakika kizuri hakidumu kama ambavyo wasemavyo wahenga wetu, hatuna namna ya kusema au kufanya ,zaidi ya kumrudishia utukufu wake Mungu,pumzika Kwa Amani kipenzi Cha wengi,aAmina
@ledwinajamesmasulube7884
@ledwinajamesmasulube7884 2 ай бұрын
😭😭😭😭poleni sana Yani nimeumia sana kaka Marco Mungu akupokee🙏
@PetroChibago
@PetroChibago 2 ай бұрын
Poleni sana najua mpo kwenye kipindi kigumu sana ila mungu yupamoja nanyi
@JosephCharles-lk3ne
@JosephCharles-lk3ne Ай бұрын
Mungu awapiganieeerr😮😮
@MatayoMoleli
@MatayoMoleli 2 ай бұрын
Mungu akupe pumziko lamilele mteule wa bwana
@ntirandekuraedmond8771
@ntirandekuraedmond8771 2 ай бұрын
Pole sana ndugu zeto.May God confort you
@alicemuiruri-qn1kl
@alicemuiruri-qn1kl 2 ай бұрын
Yauma kweli🇰🇪
@magangasau9060
@magangasau9060 2 ай бұрын
Poleni zabron. Singers kwa msiba uliowakumba. Ni huzuni sana kumpoteza.marco kwa huo umri mdogo. Mungu awafute machozi nyote. RIP Marco
@FelistarMagige
@FelistarMagige 2 ай бұрын
Poleni sana ndugu jamaa namarafiki pumzika kwa amani ndugu yetu
@HajiratDamian-je9ms
@HajiratDamian-je9ms 2 ай бұрын
Apumzike kwa amani Amina
@Magdalene-er2ur
@Magdalene-er2ur 2 ай бұрын
Kweli ni huzuni sanaa na upweke ndani ya mioyo,kijana mdogo kuacha family ikiwa bado wanamhitaji.mungu ingilia Kati hili
@princecharles612
@princecharles612 2 ай бұрын
Mungu awape nguvu na ujasiri yakuendeleza kazi yake
@Peres-q9n
@Peres-q9n 2 ай бұрын
Poleni sana zabron singers, nimejikuta machozi yakitiririka.
@Tamarrind97
@Tamarrind97 2 ай бұрын
😢😢😢😢😢 poleni poleni sana. Mungu Mwenyewe awafariji na kuwapanguza machozi. Lala salama kaka Marco 🙏🏽
@irenejepkemboi2806
@irenejepkemboi2806 2 ай бұрын
Poleni sana majirani and God comfort you all.
@TheresSimewo-sw1tr
@TheresSimewo-sw1tr 2 ай бұрын
Pore. Mwihangane Mungu amwakire
@simionmomposhi1728
@simionmomposhi1728 2 ай бұрын
haki inauma sana pole sana japhet na victoria machozi yenu imenikuza rip marco na nyinyi wote wa zabron singers
@LouiseLove-up8fg
@LouiseLove-up8fg 2 ай бұрын
Ties has fallen after listening to this song,rest in peace my dear brother...at first i thought that it was a joke 😢😢now I can see that it's true you have left us by b
@LeahCosmasNzoka-po3dr
@LeahCosmasNzoka-po3dr 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu 🙏
@mercynasimiyu-ry8ct
@mercynasimiyu-ry8ct Ай бұрын
Mungu anasababu ya kila jambo.jina lake liini
@wycliffmomanyi-p1i
@wycliffmomanyi-p1i Ай бұрын
Pole zabrons momanyi kenya
@JonesMwita-lb3wm
@JonesMwita-lb3wm 2 ай бұрын
Pole yenu watumishi wa mungu Acha mungu awafute machozi rest in eternal peace Shujaa mark
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 2 ай бұрын
Mungu azidi kuwapa nguvu na faraja ya kweli.
@ChristinaMagulu
@ChristinaMagulu 2 ай бұрын
Mungu wa mbinguni,hawakumbuke kwa kipindi hichii kigumu,poleni sana,😢😢
@CHRISTINADEUS-gs6lg
@CHRISTINADEUS-gs6lg 2 ай бұрын
Mungu awe mwamba imara kwenu
@lydiahkadenyi2115
@lydiahkadenyi2115 2 ай бұрын
Poleni Sana team zabron and the entire family
@YasintaThomas-k9k
@YasintaThomas-k9k Ай бұрын
Mungu atusaidie
@greenspan2011
@greenspan2011 2 ай бұрын
Poleni wan Zabloni singers familia jamaa na marafiki, sisi kama your fans twaendelea kuwashikilia na maombi. Amani ya bwana na iwe nanyi mkimpumzisha. Mpendwa Marco
@LydiaKarioki
@LydiaKarioki 2 ай бұрын
Inauma sana
@eliazabron5759
@eliazabron5759 2 ай бұрын
Daaah inauma sana lkn mungu yupo pamoja nanyi
@elizakamau1652
@elizakamau1652 2 ай бұрын
Mungu awepe amani,pia sisi Kenya tunaumia pia especially us your fun.
IMENIUMA SANA by Zabron Singers (Official Video)
5:05
Zabron Singers
Рет қаралды 3,4 МЛН
Marco Joseph - Daktari (official video)4k
3:17
Marco joseph family
Рет қаралды 1,8 МЛН
黑的奸计得逞 #古风
00:24
Black and white double fury
Рет қаралды 28 МЛН
Family Love #funny #sigma
00:16
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 13 МЛН
the balloon deflated while it was flying #tiktok
00:19
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 34 МЛН
UMATI MKUBWA - MAZISHI YA MARCO J BUKURU WA ZABRON SINGERS -FULL VIDEO
16:23
MARCO JOSEPH - TOFAUTI (official video)4k
5:00
Marco joseph family
Рет қаралды 536 М.
Nitasubiri by Zabron Singers -Official Video (SMS SKIZA 7383818 TO 811)
5:27
Tanzania All Stars - Lala Salama (Magufuli) Official Video
11:01
Wasafi Media
Рет қаралды 13 МЛН
SDA, ZABRON SINGERS
5:26
Juma Charles
Рет қаралды 187 М.
ZABRON SINGERS - HILI LIMENILIZA SANA (OFFICIALL VIDEO)
4:29
ashtiv kenya
Рет қаралды 76 М.