😭😭😭aina ya hicho kitama ni rafiki kweli kwa muili wa bin adam!
@ashuashu38434 жыл бұрын
Msiache kutumia dawa za kifua
@ashuashu38434 жыл бұрын
Mashaaa Allah
@issahajiday43984 жыл бұрын
Na herbs...(bangi )pia ina faa sana tu.....tukichanganya na vivumbasi mpaka yale majini ya kutumwa kwisha
@suleimanbakar12714 жыл бұрын
mtapigwa nyungu nyie baadaye wakisha tuenezea maradhi kama mna njaa ya pesa zisizokwisha tungojeni matokeo
@kadijahajali3918 Жыл бұрын
😢😮
@samsungjsevenprime57174 жыл бұрын
Hodi zinjibar 🚶♀️🚶♀️na mimi nataka nije nipige hiyo nyungu Inshaallah
@helenemasanja81624 жыл бұрын
Karibu sana namba zetu 0784313009 0712124041 na 0657043312
@samsungjsevenprime57174 жыл бұрын
@@helenemasanja8162 👍Inshaallah
@alakhyhajjbinhassan44964 жыл бұрын
Nyunguuuuuu ya Saloum Kaka kutoka Shifaa Herbalist Clinic 🤣🤣🤣
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Baada ya Corona ni TB watu watakohowa kuliko ng'ombe dume mwenye kuuga🤣🤣🤣
@hajrabalushy54614 жыл бұрын
Nzuri sana lakin kinasafishwa vipi? Je kama mtu ana covid19 akaingia umo akaacha infection mwengne hatopata??au ayo mifuko ya juu ni disposal??
@fatmasaid58644 жыл бұрын
Sasa watalii wakiteremka ndege mtawapiga nyungu lakini mtapiga wangapi
@fatmakhatib84444 жыл бұрын
PIGA NYUNGU,MALIMAO,TANGAWIZI😂
@corrolesscps4 жыл бұрын
Fatma Khatib Mambo ya Bara Haya, Naona nyungu Sasa mpka zanzibar
@suleimansuleiman24364 жыл бұрын
Pigeni nyungu mkimaliza mtapiga nyungo, mikafiri Ina MARADHI kiasi cha kufikia kufa kwa siku watu 1000, wakishatumaliza mutaiona nyungu, nyungu za kuchemshia maji ya kuoshea maiti.... POLITICIZED
@bintqassimidarous16364 жыл бұрын
Zinjibar tv tunaipenda lakini mnabezi kwenye siasa hasa za upande wa chama kimoja cha mapinduzi tunawaangalia tu huko tunakoelekea mtakuja kutukosa wapenzi na watizamaji wenu, sidhani kama ipo haja ya hii channel kutoa habari za kisiasa mie nahisi mngebazi sana kwenye habari za kijamii tu siasa mkaziachia channel nyengine. Kumbukeni ya kwamba wazanzibar waliowengi ni wapinzani mkubali mkatae na hata sisi tulio nje ya Tanzania 🇹🇿 ni wapinzani kama mnataka kutoa habari za kisiasa basi toeni za vyama vyote nasio kusifu chama cha mapinduzi tu ilhali hii channel inafatiliwa na watu wa kila chama, na kwa nini mtoe habari za siasa? Mambo ya dini tu yanatutosha pamoja na habari za kijamii siolazima muchanganye mtakuja kutukosa mshangae
@fatmasaid58644 жыл бұрын
Pongezi zenu kwa nyungu ya kisasa
@zayyatiyussuf95664 жыл бұрын
Mashaallah iko vizuri mm nikitaka kujifukiza natoka nje robosa nyingi nishajikaanga na mafuta yangu mwenyewe yanitoka mmpaka kwa masikio