Hongera Sana DC kwa kazi nzuri,mungu akubariki sana
@selemanimmeswa35565 ай бұрын
Tafadhali ndugu zangu mimi ni mkongo fungeni hiyo haraka;mambo kama hayo ujeremani ayapo.
@user-ix8jb7oc4q5 ай бұрын
Mama Mungu akulinde. Dc,Kazi iendelee. MUNGU IBARIKI TANZANIA
@hezronkilale38795 ай бұрын
Hivi sisi watanzania nani katuloga unampeleka mtoto sehemu ambayo hujafanya utafiti Kuna Nini hivi unazaa mtoto ili mtu mwingine akulishie ,Mungu afungue akili zetu tujue wajibu wetu Kama mzazi.Hii Dunia usimwamini mtu.
@darajalakidatukilomgi23625 ай бұрын
Kazi nzuri DC wangu, endelea kufukua maovu
@PASTORELIYANGILANGWA5 ай бұрын
Hongera Sana MH. DC Kwa KAZI NJEMA,kuna haja ya vyombo vinavyohusika KUTOA vibali kama HIVYO KUFUATILIA shughuli zinazofanywa na Jamii ya NGO'S KAMA HIZO..
@ramamabinda50635 ай бұрын
Hizi taasisi zenye ufadhili wa nchi za ulaya na Marekani, asilimia zaid ya 90 yanajihusisha na mafunzo ya ushoga na usagaji.
@sebastianmsilikale46835 ай бұрын
Asante mkuu wa wilaya mungu akubariki. Mzungu hana chochote, hata madini wanakuja kuiba tu.
@user-gw4vv5uh9z5 ай бұрын
Asante sana afugwe kamata wote uwezi kwenda ulaya na kfungua kituo kama icho kinafundishwa uchafu
@OmmyJames-xn7ji5 ай бұрын
Wazazi tuweni macho na WATOTO dunia imeharibika ASANTE DC 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@user-ts7hj5yp8w5 ай бұрын
Kazi nzuri sana hii ya mkuu wa wilaya pamoja na timu yako yote. Honestly speaking, mkuu wa wilaya uko vizuri sanaa & nimependa ung'eng'e wakoo. {Mash'allah...., Mola wetu Mtukufu akujalie wepesi zaidi katika kazi zako, pamoja na timu yako yote & nakuombea kibali zaidi katika nafasi za juu zaidi kwenye ngazi za serikali kwa siku za usoni}.
@tunudachitalks65755 ай бұрын
Ameen ❤
@tinnahagustinolyelu42475 ай бұрын
Alivyovaa jamani Dada mkuu WA wilaya Mungu akutunze my dear
@onlinetraining865 ай бұрын
Mkuu wa wilaya huyu anaakiri kubwa sana, Mungu amuongoze kwa busara kubwa aliyoifanya hapa, maswali yote aliyouliza hayajajibiwa na mmiliki, Serikali iwe macho hivi hivi. Binafsi naamini alichokifanya na kukiamua kiongozi huyu.
@kamrudinelias39225 ай бұрын
Asante Mhe Halima Okash...alhamdullilah
@shaukhansogo81705 ай бұрын
DC nimempenda kanyooka sana hana konakona kafanya maamuzi huku akiumia moyoni Kwa mda Gani watoto wetu wameharibiwa ALLAH SW ambariki pamoja na timu aliyokwenda nayo
@muna11655 ай бұрын
SAFI SANA DC KAMATA HAO NDIO WANAO WAFUNDISHA USHOGA KAMATA KABISA
Chanzo cha yote haya ni umasikini uliokithiri (abject poverty) kwa umma wa watanzania. Na huu ni ushahidi mwimgine wa kutosha wa jinsi serikali yetu imeyumba katika kuhudumia umma wake. Ebu tafadhali muyalinganishe haya na yale wanaharakati wanayopigia kelele kila siku. Mtapata majibu mwanana. Pili simuelewi DC vizuri anaposema watoto wanafundishwa mambo ya kijinsia. Mambo gani? Ilifaa afafanue kiasi fulani Mfano: tumegundua wanafundishwa ushoga, elimu ya balehe kabla ya umri stahiki, ndoa, na vitu kama hivyo. Tatu endapo uchunguzi wa kina na haki utaendeshwa yatagundulika yaliyojificha na mahakama ndo ya kutujuza nani mkosa, halmashauri mtoa vibali, wazazi au mfadhili.
@totonata53845 ай бұрын
Wote watakua na makosa. Serikali lazima iwe makini katika utoaji wa vibali. Mtu mwingine hana haki ya kufundisha watoto wetu bila ya ruhusa. Kila mzazi ni wajibu kulinda na kuwalea watoto wao katika mila na desturi na imani zetu. Pia kama mtu huwezi kulea ana haja gani azae? Wazazi hutumia neno umaskini wakati wa uzembe wao. Huwezi kulea basi usizae
@EdwardHare-xb1qy5 ай бұрын
Absolutely
@willygwaikana5 ай бұрын
Ndg. chanzo sio umasikini ila upotofu maana hao wafadhili wa mambo hayo sio masikini. Nchi tajiri ndizo zinazosukuma hayo maovu duniani. Sasa wao waliyapataje, je waliyapata wakiwa masikini? Chanzo kikubwa sana cha upotofu ni kuimba wimbo wa maendeleo huku tukikiuka maagizo ya Mungu ili kupata haya maendeleo. Marekani imeendelea sana, lakini huko ndiko chanzo ya upotofu mwingi duniani na ndio wahamasishaji wa maovu duniani.
@stewartdyamvunye-wz6rn5 ай бұрын
Ndgu. Maana yangu kusema umasikini chanzo cha yote ni kwamba: ukiwa masikini mtu tajiri akikwambia nitakupa shs 100,000 (huku amekukuta una njaa wiki nzima na hauoni pa kutoea) nilambe miguu, utamlamba! Nipe mkeo, utampa! Nk. Na ndo maana leo umasikini unatuzalishia vibaka, makahaba, kukosa utulivu na tafakari, uchawa, nchi kuingia mikataba ya kifisadi nk. Sasa kwa hili la wazazi na watoto ni kwamba umasikini umezaa serikali ombaomba, hatuna taasisi imara za kukinga maovu toka nje na wazazi kwa vile nao wana njaa hawana muda wa kutafakari au kuchambua nini ampe mtoto wake. Si rahisi kuchambua jambo ukiwa na njaa kali na vivo hivyo kitaifa! Ili unielewevizuri namaanisha nini, naomba utembelea historia ya China ya Mao na China ilipo hivi sasa. Asante.
@willygwaikana5 ай бұрын
@@stewartdyamvunye-wz6rn Ndg. umaskini ni kisingizio tu kinachosababisha mtu kupokea uovu kwa sababu ya kuahidiwa alichopungukiwa. Lakini chanzo kinatoka katika moyo. Moyo ukiwa wenye adili na safi hauwezi kurubuniwa na mali. Wengi ambao leo ni mafisadi sio watu maskini, ni matajiri, wenye mishahara mikubwa. Chanzo cha ushoga kimeanzia kwenye nchi ambazo ni matajiri. Swali, ni kwa nini mapotofu yameshamiri kwa hao ambao wameendelea? Wapi ambako ni rahisi kuupokea ushoga kati ya vijijini na mijini? Kwa nini watoto wa matajiri ndio ni rahisi kuupokea ushoga au umalaya au utovu wa adabu kuliko watoto wa maskini?. Kama ni tatizo ni umasikini, kwa nini wazungu hawaendi kwa masikini vijijini kuwarubuni ili wawe matajiri? Amini usiamini kwa kadri tunavyozidi kuelekea huko kunakoitwa maendeleo, ndipo ushoga utakuwa huru mitaani. Ndio maana hao wazungu wanahimiza sana maendeleo maana ndani yake kuna kupotoka kimaadili. Tamaa ndio hupelekea mtu kudanganywa na kurubuniwa kutenda uovu, lakini tamaa hiyo haitokani na umaskini bali inatokana na moyo usio na adili. Maadili hayategemei hali ya kipato cha mtu, bali moyo ulio mwema. Mtu mwadilifu hawezi kuiba, kuhongwa, kumuua mwezake ilia pate mali, kurubuniwa, kujiuza kwa ukahaba au kuuza utu wake kwa sababu ya mali au anasa. Kwani nchi za ulaya zilirubuniwa na umasikini wao ili waukubali ushoga, ukahaba na haki potofu za wanadamu?. Ni mioyo tu iliyopotoka. Ndio maana mafunzo mengi leo yanalenga kutuposha kimaadili moyoni ili hatimae uovu uonekane ni sawa. Ibilisi ana ajenda ya kusimika uovu duniani, lakini ataanza kwanza kwa kutupotosha kimaadili moyoni. Leo taasisi za fedha zina watumishi wengi wezi na wabadhilifu kuliko wale wa miaka ya nyuma ambao hawakuwa wezi japo walikuwa hawana hata baikeli. Hata wachungaji wa leo ni watafuta mali tu, si kwa sababu ya umasikini bali kwa sababu ya mioyo yao isiyotakaswa kwa neno la Mungu. Yesu alisema kikombe kikitakaswa ndani ndipo nje nako kunakuwa safi Mt 23:25. Kwa maana moyoni ndiko kwenye chanzo chote cha mabaya na tamaa, lakini vile vile moyoni ndiko hutoka mawazo mema na uadirifu. Na hapo haijalishi tajiri wala masikini, ila hazina ya moyoni ilivyo - Shida iko kwenye mioyo. Mt 7:18; 12:33-35; Luka 6:43-45
@stellakasian45325 ай бұрын
Kazi nzuri DC hao ndo wanao tuharibia watoto wetu.
@kisinza60775 ай бұрын
Tunahitaji mrejesho wa hili jambo!
@kambamazig020245 ай бұрын
DC asante sana, tuna kazi kubwa tusipoangalia watoto wetu tunawapelea kusiko faa kabisa. Hao wafadhili wa hii cente wana mipango yao wanaijua wao.
@gracekagoma32315 ай бұрын
Hongera sana dada DC
@totonata53845 ай бұрын
Kwanini wazazi wanawaruhusu watoto wao wakusanywe? Watanzania vyabure vitawaponza. Mimi nahasira na wazazi.
@christinewomanoffaith54795 ай бұрын
Eti jmn
@afropanorama47305 ай бұрын
umasikini na kupenda bure
@jumaabdi35955 ай бұрын
Mheshimiwa hongera yako, umewekwa alama kwenye uongozi wako, utakumbukwa kwa hili na kila mzalendo wa Tanzania
@SuleymanSaid-ch1yh5 ай бұрын
Our Allah be with you Madam DC
@VioletUrio-re7id5 ай бұрын
Hii na Kazi Nzuri Mungu Akubariki Sanaa......
@khadijanurdin31635 ай бұрын
Kuna ngo mpya huku usangi mwanga,wanajidai daycare na wanapita nyumba had nyumba na mzungu wao kuwalaghai watoto wawapeleke watoto wao na wazazi wanapeleka watoto wao wanaona ndo maendeleo. Wanaanzaga hvhv
@radhiasalum71565 ай бұрын
Toa taarifa mapema kwa polisi
@jeanmusamba84482 ай бұрын
Dada Halima umenifurahisha sana Mungu azidi kukubariki,we need ladies like you mama,good job.
@hassanmashaka63205 ай бұрын
Hongera mama hao hawatufai
@AW-vt9pw5 ай бұрын
Wazungu wamekusudia kuwaharibu watoto kama wanavyowaharibu katika Nchi zao.
@sabihaibrahim1435 ай бұрын
mamaa watz hatupendani kwa njaa utu unatutoka humo kwenye chakiula huenda wanawatiliya mambo yao ya ushoga
@naturelle10975 ай бұрын
Watoto wenyewe wanafurahia mazingira hata mnawasikia kweli watakua wanawafundisha ujinga
@Simonirafael-wt4lc5 ай бұрын
Haswaa
@bellasi3495 ай бұрын
Mi naona de iyo chakula ipelekwe mahabara ichunguzwe kuna nini
@Kabwela7765 ай бұрын
Hamna chochote ni majungu tu Na roho chafu za kichawi za kitanzania wameona bwana mdogo yuko vizuri kimaisha nyumba zuri mke mzungu Na mtoto ni majungu yameanza, ukute waliomba rushwa wakanyimwa na huyo mkuu wa mkoa hata haeleweki inaonekana anakurupuka! Tanzania 🇹🇿 ni nchi ya ovyo sana mkuu wa wilaya anataka kiki aonekana anafanya kazi
@Kabwela7765 ай бұрын
Mashoga wako kibao huko bagamoyo wanafirana miaka mingi tu Na wala sio wazungu waliwaleta usikurupuke
@user-xe8xv6so6s5 ай бұрын
Huyo hafai huyo. Mfungeni na mwenyewe anaharibu watoto wetu Dunia imeharibika Sana
@malikeyndotopopote5 ай бұрын
Huyu ni swahiba wangu. Amepambana kutoka maisha magumu. Amejitaidi kutoa msaada. Badala wa msaidie wanaharibu. Wewe Dc elimu yenu inasaidia nini
@user-jc8el6je5e5 ай бұрын
Sjui nikutukane tusi gani ,kenge wewe
@truthch16425 ай бұрын
Swahiba for what? Yaani mtu anaharibu maadili ya Jamii afu unakazana swahiba mfyuuu
@queenlinda2555 ай бұрын
@@user-jc8el6je5e yani mtukane matusi yote mbwa uyo anaweza akawa shoga huyu
@malikeyndotopopote5 ай бұрын
@@user-jc8el6je5e Roho yako chafu. Tukana utakacho wewe mwanadamu. Maisha unayqjua kupitia simu ya kupangusa
@malikeyndotopopote5 ай бұрын
@@truthch1642 Maadili gani, Tanzania kuna maadili gani. Wewe unatumia smartphone unaleta story za maadili.
@LinuslusianLinuslusian15 күн бұрын
Kwani kwanini watanzania tunakuwa nyuma zaidi kwenye mahamuzi watu kama hao nyonga adharani watu wakiwa wanaona.
@mariozulu57435 ай бұрын
Sio vizuri hiyo kufunga hio inaitwa children home serikali fanyeni uchungu wenu. Makosa ni kuwatowa tu Shule Kuja kusoma kabla ya mda. Lakini sioni kama kuna ubaya watoto kuendelelea kusoma
@TisaMkenda-oj5uj5 ай бұрын
Au na ww mi msambaza ushoga,?
@danielshauri63905 ай бұрын
Watoto wanafundishwa ushoga , acheni ujinga nyinyi
@meshacknyandongo5775 ай бұрын
Wewe usituchanganye Yani jamaa anajikanyaga hivyo alafu unasema aachiwe funga yote
@danielshauri63905 ай бұрын
Mariozulu5743 Huenda nawewe ni shoga
@johnsonsabanya58605 ай бұрын
Ungekuwa karibu ningekupiga bao wewe basi tyuu
@charlesmwambinga43555 ай бұрын
Safi Dc .....huyu Mzungu Swainiiii Sana na hivyo vyakula wanaweka nini ???!!!!
@khaijakadija20825 ай бұрын
Subhan Allah😢
@naimajuma6475 ай бұрын
Yaani ata kujielezea awe mwonekano na the way anajielezea nikama hana elimu yoyote ile muhuni tu ndiyo maana katumiwa
@Keyjop5 ай бұрын
Huyu anastaili adhabu Kali Tena ya kunyongwa ...hivi kwann serikali mna wachekea hawa watu 😢 ... Mamaangu , mheshimiwa mama Samia suluhu hasan watt ndio taifa la Tanzania la kesho assume hata ww mama ulianaza kua mtt baada ya maadili mazuri ya Babu na bibi zetu then Leo hii sisi kama taifa Tanzania tuna nufahika na wewe ... Mungu akuongeze hekima katika Hili mama 🙏
@section8ight1745 ай бұрын
She’s part of it all, she’s a Mason
@ericdaniels26085 ай бұрын
Safi DC. Kazi nzuri. Tulinde watoto wetu
@alloycejames52855 ай бұрын
Hongera mheshimiwa dc...
@yohanamorisi90275 ай бұрын
Hongera kwa kuwafundisha mambo mbalimbali kama unavyosema DC
@mimihuyo82395 ай бұрын
Mngemtandika makofi kwanza,
@neemabright36355 ай бұрын
Dah kazi nzuri DC ila Kuna kitu hakikoclear kwenye hii serikali... Yenu watoto wameharibika sana tu mpaka kwenye hizo shule mnazotoa free education .... Sustainable Solution ni ipi ? Sababu mnawapa leseni wenyewe hamfanyi evaluation ya NGO mpo tu 😢😢😢😢
@charlesobinya5 ай бұрын
Hongera Kwa hilo . Ushauri Kwa watoa vibali jaribuni ku trace mara kwa mara. Hili mjue na mjiridhishe zaidi na vinavyofanywa na hawa majamaa . Na hivyo vyakula vipimwe
@user-fh7kf5gs6t5 ай бұрын
Mungu akubariki sana hakika hawana nia njema na ss wazazi tunapenda mno mserereko fatilia mtoto wako
@mchomvuelias645 ай бұрын
Good observation! Hongera DC, these people do the unacceptable in the name of Aids. Hatutaki
@SeraphineKamau-db9ty5 ай бұрын
Hongera sana Dc na sio hapo tu mama pita pita uone madudu mama
@CalmGlassRose-oy3qv5 ай бұрын
Huyu kaka anaonekan n muhuni tu ongea yake hovyo, maelezo hayaelewek mala maembe mala mabegi eti bado sijaelewa😂 na zile nywele anaonekan kabisa hajui nini anafanya ila ni kama agent wa maovu tu
@gwantwajoseph55645 ай бұрын
Umekua kiongozi bora na mama bora
@Zaynab-ny6gr5 ай бұрын
Wachache mbapinga mamlaka za juu wenyewe huona kawaida tuu huyo kijana mwenyewe tayari kishaharibika hata uongeaji wake Mungu atunusuru na vizazi vyetu
@jifunzekuhusuwewe74755 ай бұрын
Hili jambo lifanyiwe uchunguzi inawezekana ni kweli au mkakati wa mtu au watu fulani
@Kabwela7765 ай бұрын
Ni majungu na fitina za kibongo wameona bwana mdogo ana maisha mazuri ana nyumba nzuri mke mzungu Na mtoto wameamua wamchome ila hamna chochote hapo !
@musamwashemele9325 ай бұрын
Mungu akubariki sanaa DC
@user-gp4wz5lt5r5 ай бұрын
Hongera mama najua we pia unawatoto
@user-gy8jr3ww7w5 ай бұрын
Safi sana we kiongozi ivyo ndivyo inavyotakiawa kamata wote awo wasieeneze ushoga awo ndio wanaturetea ushoga kwetu tena wapewe azabu inayostairi pumbavu awo 😱
Kama Kuna kibaya waonyeshe nikipi kibaya mm sija ona kibaya onyesha hicho mlicho kiona mbona watu wengi tumetoboa kwakusoma mitahani
@AfricaQueen5 ай бұрын
🙌🙌🙌🤝
@skybatech79565 ай бұрын
Ww tumia akili kidogo tafakar tena unachokiongea
@truthch16425 ай бұрын
Kuna vitu haviongelewi wazi ndugu... ukisikiliza unajiongeza wewe ni mtu mzima
@kakanicodemus36325 ай бұрын
Ukiona ofisi nzima ya mkuu wa wilaya imeahamia hapo ujue wana taarifa ya kutoshaya kinachoendelea....wamechunguza na kurizia kwamba kuna tatizo hapo...........
@user-xb9wg2dg1e5 ай бұрын
Kitu gani kisicho ongeleka!? Wivu tu
@f.a60435 ай бұрын
DUNIA kwasasa imevamiwa kwa kiwango kikubwa na 👹👹👹👈🏿 na pia anamawakala wake kila mahali hapa Duniani na hao ni binadam wenzetu jambo ambalo ni hatari sana yaani niwasaliti wa hadhi ya ubinadamu wetu ktk kumcha MWENYEWEZI MUNGU jamani tufuatilie sana sana watoto wetu jamani hawa watu wanafanya kazi kwa niaba ya shetani 👹👹👈 Hongera sana Mh. DC
@nurasam54755 ай бұрын
Huyu DC sio ndugu yangu kwel huyu Yani nimempemda bureeeee Allah akulinde na akuhifadhi,,,hao wanaroho ngumu sana hao wanakitu wanafanya watoto wachunguzwe kwanza Kuna kitu wanaficha,wakiangalie na hicho chakula kwanza PENGINE Kuna dawa wanawawekea Allah awalinde watoto wetu jaman wawe salama maana mmmgh tunapoelekea sio kuzur Hawa watu hawajawah kutupenda kiukwel sisi black maana hata movie zao kama ameigiza na black basi ataanza kufanyuyo huyo black nyie 🤣🙌 wachunguzwe haswaaaa hatutaki ujinga wa hao wagen ASANTE SANA DC WE LOVE YOU ❤️
@user-un3hr5kh6z5 күн бұрын
Jamani hao ndio watu mnaowapenda na sio waarabu
@saudaumar33545 ай бұрын
pongezi dada shukran.huku nchi za Ulaya wazee hawataki ushoga lakini sirikali inaruhusu na mtoto akonahaki kuliko mama au baba asemavyo mtoto Sawa.
@emmanuelrutaihwa65455 ай бұрын
Nchi zetu hizi maskini tunateseka tunateseka kwa kuona kila mzungu ni mfadhili kumbe wengine wanautumia umaskini wetu kutudhalilisha. Mungu atulinde na serikali ifuatilie na sehemu nyinginezo
@Zaynab-ny6gr5 ай бұрын
Ndio maana maafa yameanza kutufikia kuna ujinga mwingi aki
@katabaroonlinetv96885 ай бұрын
Tanzania bhana sasa watoto wanafurahi wakimaliza wanaenda kwao kwani wanaishi hapo hajawakusanya hakuna mkuu wa wilaya hapo,mbona hakuna mahojiano na watoto tusikie kama wanafundishwa jambo la tofauti tumezoea tabu Tanzania.
@jumamussantuiche5 ай бұрын
Fukuza tia jela
@najmasalim-rg6ow5 ай бұрын
Ww jielewe Tz hatuki ubasha sie
@maftahmusa95135 ай бұрын
Angalia sana kupenda bure utaliwa mtaji wawo wenye wazungu wanamethali yao wakisema THERE IS NO FREE LUNCH.
@katabaroonlinetv96885 ай бұрын
@@najmasalim-rg6ow ningeomba tujadiri hili kwa masilahi marefu na mapana ebu nifahamishe hao watoto wanakusanywa vipi kwa uelewa wangu mdogo,na je wanafatwa mashuleni wanatolewa wanaletwa hapo kulelewa au wakitoka Shule wanapitia hapo Kula na kujifunza masomo ya ziada kisha wanaondoka
@katabaroonlinetv96885 ай бұрын
@@maftahmusa9513 Sikia nikwambie kitu kimoja ndugu yangu kwa swala la umasikini hawa wenzetu washaaga umasikini na pia ni watu wa kuguswa mioyoni lakini pia kuna baadhi yao Wana tabia za ovyo zisizofaa katika jamii wewe jiulize kwa Canada mtu mweusi anaonekana kama tractor lakini ukisimama kwenye shamba la uyoga masaa sita kila lisaa limoja unapokea Dola 25 ukiongeza masaa manne ya ziada wanakulipa Dola 35 kwa lisaa Ambapo masaa sita utapata Dola 150 ukiongeza masaa manne ya Dola 35 jumla unakuwa na Dola 140 na 150 ni 290 kwa siku inamaana unaingiza TSH 754,000/= ya Tanzania sasa mtu anaamua kulipa laki saba kwa siku ni mwenzako huyo Tanzania shamba zima ni elfu 50 kwa siku jembe na wewe wewe na jembe huku unapanda tu uyoga so akiamua kuja kama tanzania hashindwi kumpa mtu chakula,nguo na kila kitu mtu akipewa mnaanza ooh ushoga anataka kitu.
@geraldsimbeye48105 ай бұрын
Kwa ujumla,mkienda Mahali msiende na majibu mliyopata Mahali Fulani,chukueni muda,mtapata majibu mazuri zaidi,
@Kabwela7765 ай бұрын
Anakurupuka na mwisho wa siku atapoteza kazi
@lailafakhihaji5 ай бұрын
Wazungu ni wakuwaangaliaa sana Wanataka kuharibu utamaduni wetu
@BeullahBujah-lk3sx5 ай бұрын
Wanataka kutumaliza Waafrica. Mungu anawaona!
@Kabwela7765 ай бұрын
Wazungu ndio uwa wanawafira mbona mnafirana wenyewe kwa wenyewe nyie huko , Na mko wanafiki sana pesa zao mnapokea serikali yenu bajeti yote wazungu wanawafadhili
@hamidahamdun36465 ай бұрын
@@Kabwela776kaka mbona unawatetea sana wazungu? Ninawasiwasi na wewe😂
@Kabwela7765 ай бұрын
@@hamidahamdun3646 sababu najua jinsi gani wanavyowasaidia huko Tanzania 🇹🇿 ya Mavi kunuka tatizo lenu watanzania mko wanafiki sana mnajifanya kuwasema wazungu wakati hela zao mnachukua pumbavu zenu acheni unafiki baniani mbaya kiatu chake dawa ni unafiki mkubwa! Mkatae basi misaada ya wazungu kama mna jeuri kama hamjakufa kibudu Na ukimwi kila kitu wazungu wanawasaidia mbwa nyie
@twayasinilukokelwa6255 ай бұрын
Huo wali bila mboga wanashiba kweliiii
@mwanaherimatata85715 ай бұрын
Mm na uchungu sana viongozi wanasajir taasisi ambazo , inajaribu kuharibu maadili
@SayiRegina26 күн бұрын
Duuh hatr mungu atusaidie tu
@nassorowaziri30765 ай бұрын
Hongera Sana Kwa DC Bagamoyo kwani hawa wazungu wanatumia umasikini WETU kuwa mafanikio Yao Kwa kuwapiga picha watoto na kuonesha kuwa wanawafadhili Kwa chakula,Elimu na mavazi kisha wanatafuta wafadhili kisha wanawachangisha Fedha huko zinatumwa kwenye Akaunti zao.
@sabrinaibrahim11275 ай бұрын
Ni kweli hii itakuwa inahusika na Fund rising wa
@Kabwela7765 ай бұрын
Wazungu wanawasaidia tu nyie masikini mzungu gani ajishughulishe Na kuwapiga picha watoto ili wapate pesa hivi unawajua wazungu au unaropoka huyu mjerumani hawawezi kufanya upumbavu huo wazungu wanajua ni masikini hadi serikalini yenu Na wanawasaidia tu !
@obaidothmanalbulushi91965 ай бұрын
@@Kabwela776usisahau kuendelea kwa mzungu ni raslimali za kwako muafrica bisha kama siyo kuibiwa basi wewe umeibiwa mpaka akili penda vy a kwako usipende kudandia
@hamidahamdun36465 ай бұрын
@@Kabwela776😂😂😂😂 kakaaaaa
@Kabwela7765 ай бұрын
@@hamidahamdun3646 ni kweli bila ya wazungu hata dawa za ukimwi huko ndio wao wanalipia wakikata misaada mtavuliwa nguo ni wapuvukaji tu ila hamna mbele wala nyuma kama nchi hela kibao ni wazungu wanawasaidia Tanzania 🇹🇿 ya Mavi kunuka
@swedychando36825 ай бұрын
Mimi ningekua karibu kwanza angepata makofi kwanza hapo kuna ujingaa unafanyika kupita hao watoto
@Kabwela7765 ай бұрын
Hamna kitu ni majungu tu ya kitanzania ukifuatilia hamna kosa lolote amefanya ila ni fitina za kitanzania kama kawaida
@rayisadesigns26465 ай бұрын
Mpeleke mtoto wako na yeye akafundishwe kufirana, full stop @@Kabwela776
@Kabwela7765 ай бұрын
Angemkugusa mzungu ndio ungejua serikali ya Ujerumani ikoje unafikiri raia wa nchi yeyote utawapiga tu makofi , angemgusa tu mzungu huyo Samia angemtumbua na cheo chake feki cha kuteuliwa
@hamidahamdun36465 ай бұрын
@@Kabwela776😂😂😂 nawasiwasi na wewe kaka Mungu wangu namashaka sana na wewe
@Kabwela7765 ай бұрын
@@hamidahamdun3646 badala uwe Na wasiwasi na maisha yako na za ndugu zako ambao hamjui mtakula Nini kesho eti uwe na wasiwasi na mimi kichefu chefu kabisa endeleeni kuongozwa na kiongozi mpuuzi mpumbavu kama huyo dada malaya mtafuta Kiki
@user-fy3ni4yc5o5 ай бұрын
Noma hii lana
@aisharamdan83585 ай бұрын
Mh mungu wangu tumekwisha wazazi
@willygwaikana5 ай бұрын
Lakini pia hii haki ya mwanamke kuwatawala wanaume imetoka kwa wazungu, si katika neno la Mungu kwamba mwanamke kuwa kichwa juu ya mwanamume. Baadae ushoga tutakuja kuukubali tu maana wasukuma gurudumu ni wazungu walioendelea wenye kuendesha dunia hii watakavyo huku wakiwa wamepotoka.
@juliusngileki44185 ай бұрын
Hapana mbn wajasema ni mambo ya ushoga au maadili mabaya wanasema tu nikuwatoa watoto shuleni
@katabaroonlinetv96885 ай бұрын
Watanzania tuna tabia ya kuripuka na viongozi wengi wa africa wanajua madudu wanayoyafanya so wazungu wakija wakianza kuwajenga watoto katika umri mdogo na kuwafanya wajitambue zaidi na watambue haki zao wanastuka wanaona watakosa wa kumbluza ndo kujifanya wanafunga funga
@amushemustafa5 ай бұрын
Anaulizwa vingine anajubu vingine
@habibisimba50813 ай бұрын
Mwenyeezi MUNGU awasimamie muwe na hofu yake muweze kutenda haki, maana hiyo taasisi Ina nguvu kubwa san. Msije kupewa sabuni ya roho mkakaa kimya tunaombeni muendelezo hadi mwisho.
@muhammedbakari28674 ай бұрын
Hongera sana dada..maana angalau umetumiza majukum yako..swali ni jee wakubwa watalitia akilin hilo au watacheza michezi ya panya na kukutoa kwenye hiyo nafasi kulinda ugali wao..
@abdallahkihanza4825 ай бұрын
Wachunguzwe, inawezekana wanawafúndisha ushoga
@jumamussantuiche5 ай бұрын
Ndo kazi yao kufundisha ushoga
@naturelle10975 ай бұрын
Acheni hizo kila kitu ushoga
@shabanihugo83325 ай бұрын
Safi sana
@Kaambale-ve5el5 ай бұрын
Hicho chakula wanachopewa watoto kipimwe kwanza ,na km mkijiridhisha ndo mchukuwe hatua pili km serikali yangu pendwa uchunguzi ni mhimu saana kuliko kukulupuka ili tusije tukashindwa tena kesi kwasbbu ikibainika kuwa ni chuki za kidini basi,atafungua kesi dhidi yetu,na nilazima tutamlipa na kumsafisha yale tuliomsemea na kumhisi anayayafanya
@Kabwela7765 ай бұрын
Ni kukurupuka wameona bwana mdogo maisha ameyapatia nyumba nzuri tena mbili mke mzungu Na mtoto ni chuki tu za watanzania na uchawi
@kigahekigahe38725 ай бұрын
Saiv ukiona msaa wowote unao sema Kwa ufadhili sijui wa malekan sijui urus sijui Canada pls run speed 100🙌
@IzackMakole-ul5tt5 ай бұрын
Mungu tutie nguvu
@NzunzdeSparoАй бұрын
watanzania tuwe na msimamo na maadili yetu la sivyo Hadi 2030 taifa litakuwa pabaya hasa watoto wetu wa kiume
@user-zv9td4ni4n5 ай бұрын
Good,wakamatwe washenzi Hawa wanatuharibia watoto aisee bila huruma,daaah nimepata hasiraaaaa
@Ney-wu1wi5 ай бұрын
Utadhani katumwa na shetani . Anaudhi anavyojidai kusema hajaelewa hiyo ni jeuri tu mtu km huna subira anakula mabao yakutosha aamke huko aliko🤔🤔
@williamsenkoro22105 ай бұрын
Serikali si muweke wafanyakazi wenu wasimamie. Kuliko kufungaaa
@bigdiscounttv47235 ай бұрын
point
@nassiryahya5 ай бұрын
Ww mjinga sana Yan watoto wanafundishwa ushoga Kisha Hilo eneo yenyewe liko mbali na majiran Kwan walimu wangap wa kiserekali wamekamatwa wanawaharibu watoto jamii iamke kula kupewa mkoba si kitu mbele ya mtoto jaman
@meshacknyandongo5775 ай бұрын
@@bigdiscounttv4723wadimamie ni mali Yako hio au unadhani wakisimamia serikali hio misaada kutoka ujerumani italetwa watanzania tunatakiwa kufikiria zaidi sio unafikiria pafupi tu eti pasifungwe Njaa itatumaliza maana tukiona ka msaada kidogo tu basi tunateteneka mpaka tunapoteza utu wetu
@meshacknyandongo5775 ай бұрын
@@bigdiscounttv4723wadimamie ni mali Yako hio au unadhani wakisimamia serikali hio misaada kutoka ujerumani italetwa watanzania tunatakiwa kufikiria zaidi sio unafikiria pafupi tu eti pasifungwe Njaa itatumaliza maana tukiona ka msaada kidogo tu basi tunateteneka mpaka tunapoteza utu wetu
@naturelle10975 ай бұрын
@@nassiryahyawewe tukuchunguze you must be worse. Ina maana wazazi waliridhia upuuzi huo ufanyike?? Stop being biased!
@katabaroonlinetv96885 ай бұрын
Ndo maana Sisi wengine tumehama hiyo nchi yani Tanzania mambo ya ajabu ajabu hatuendelei hao Wana mahela kibao hayana kazi mkisaidiwa mnasema wanafundishwa mambo ya kijinsia haya yupo mke na mume kama ingekuwa mambo ya kijinsia si tungeona wanaume wawili wameoana nyie vipi.
@awazioga18235 ай бұрын
Wewe ni punga nini kwani wewe kuama tz ndio nn.muwafanye watoto wetu wawe mashoga
@katabaroonlinetv96885 ай бұрын
@@awazioga1823 kwa bahati mbaya Mimi sio muumini wa matusi mara nyingi nyinyi watoto mlopatikana guest huwa hamna busara usihukumu kitabu upande mmoja ukitaka kumpima mtu anayejitambua ni kwenye utumiaji wa mdomo wake wakati jay z na Beyonce wanakusanya watu na kujenga visima vya msaada si zilikuwepo tuhuma kwamba watu wanaingizwa kwenye ushoga na freemason lakini mpaka Leo walojenga visima wapo na vinatumika acha fikra potofu chunguza kwanza ndipo uongee
@taseleli91815 ай бұрын
Duu Nina mashaka na wewe maana sio Kwa kuwapendelea hivyo wenye kituo DC hajakurupuka kuishi mume na mke wa jinsi tofauti haimaanishi kuwa hawezi kuwafundisha watoto tabia zinazokiuka maadili ya kwetu, kuhama kwako hakutuhusu
@malikeyndotopopote5 ай бұрын
Maadili ya kwetu ni yapi?@@taseleli9181
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Kwa hiyo umehama tanzania kwa tamaa zako we uko na walakini, na usitamani mali usiyoijua jasho lake hakuna vya bure
@daudifesto55925 ай бұрын
Hahahahaha uwiiiiii itakuwa wanafundishwa kupelekeana moto midume kwa midume...... Shenzi sana hatua za kisheria zichukuliwe...
@tamylee17905 ай бұрын
YANI HUYO MWANAMKE PEPO WA KIZUNGU ANGEKUWA NDIO ANANIULIZA MIMI HUO UTOPOLO WAKE KWA KIBURI ANGEKOMA!!! SHENZI SANA HAWA!!
Shida ya Bongo ndo hiyo kibali kibali Acha watoto wale shida nyingi fatilia Kwanza ujue kama Ni onyo apewe shida ya wanawake wakikalili kitu hawaoni mbele ovyo kabisa wew DC
@barrynzeyimana62705 ай бұрын
Ukiwa masikini utapatiwa kila elimu wakisem kua ndo elimu. Kumbe ndo utopia elimu.
@Ukhtyzuhura5 ай бұрын
eti kuanzia saa 8 mchana hadi saa 12 jioni jamani wazazi wenzetu mnaawachia watoto hata hamjui kinachoendelea huko na hali tunajua jmn hali imeharibika ushoga na usagaji umetokea huko magharibi mnampa mbuzi majani
@user-tv7yx8nt5k5 ай бұрын
Safi sana.
@santennko11955 ай бұрын
Huyu jamaa angekuwa na mtu kama mim ningemuweka Sawa usajili uwe mzur, katiba, ustawi wa jamii muda na talents. Pesa wanao sponsors. HEKIMA hana.
@joejohn81155 ай бұрын
Millad hongera kwa kuripoti tukio hili. Lakini nitathamini sana endapo utaripoti na wale wanaowakusanya watoto kule Dodoma na kuwafundisha ugaidi wa Kiislam
@abdulkarimabdallah95365 ай бұрын
Mbwa koko wewe funga hiyo Choo yako Kwani hili tukio nidini mpuuz mshenz sana mjaa laana
@HannanSomaiyah-wp7ny5 ай бұрын
Wazazi Wazaz kweli pamoja na ugumu wa maisha hamuwez kuangalia madaftari yao,
@twayasinilukokelwa6255 ай бұрын
Wazaz wnaangalia maokoto tu...
@HannanSomaiyah-wp7ny5 ай бұрын
@@twayasinilukokelwa625 sasa hayo maokoto wanayotazama mbona yanawakost wakati watoto wanatendewa unyama utalaumu nani
@magorymara55155 ай бұрын
Hili swala la kutoa vibali wenyewe kisha taarifa mnazitaka kwa wananchi si sahihi ilibidi nyinyi mliotoa vibali ndo mfuatilie mwanzo mwisho kwahiyo kibali kikatolewa kujengwa porin kiwakusanye watoto mijini wakale lanchi huko porin alietoa kibali sijamsoma
@Auntrasta5 ай бұрын
Nadhani Huyu hata sio Muhusika Mkuu Ukute Yeye Kazi yake Kuwaangalia tu watoto... Wahusika Wakuuu wako wapi..
@LinuslusianLinuslusian15 күн бұрын
Mzungu yuko nyuma sana na maadili
@anathaliamwangamila32965 ай бұрын
Siwapendi wazungu Mimi na sipendi watu wanaotembea na wazungu puuu
@bigdiscounttv47235 ай бұрын
hapa kuna walakini wekeni wazi wanafundishwa NNI ili hata sisi tujue nani tumlani
@anosiata82425 ай бұрын
Jamani hujanielewa DC alichokisema . Aliyesoma Cuba amemuelewa Njoo inbox .