Wamenenepa wenyewe mashaallh mungu awape afya njema
@alodiadiocless35466 ай бұрын
Ni wadogo jamani tuwasaidie tu ata kidogo tu maisha nimagumu sana tuwasaidie
@OmanOman-vb4uj6 ай бұрын
Tina njoo Oman happy kaa na watt muendeshe maisha yenu kwasababu kuna maisha baada yakuhamia hapo je itakuaje..niushauri tuuh 😢
@fatmamdihiri41646 ай бұрын
Kweli vile ajee tuu uku jmn
@nipautago85746 ай бұрын
Jaman connection
@janemuthoni7236 ай бұрын
Wasitubutu kuenda Oman hiyo sio Country mnadanganya watu waende mateso
@roudhamahmoud7636 ай бұрын
Zahir mimi ushauri wangu wazibezibe tu wakahamiye waondokane na mateso matengenezo watafata wakiwa ndani.
@ManaseMoleli6 ай бұрын
kaka Mungu akubariki kazi yako ni nzuri sana.
@kamikazisalma52096 ай бұрын
Allah atawawekea wepesi wadogozangu.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@farhannahkulishwaburekunam53606 ай бұрын
Kwakua wanashida haraka tu madirisha na milango hata tails haina haja weka silent tu ili waweze kuamia haraka halafu vitu vingine vinatafanyika pole pole
@roudhamahmoud7636 ай бұрын
Yukunda yanayowakuta hao wtt iko siku yanaweza kukukuta halina mmoja hili
@chani_tayra_official18606 ай бұрын
Zahir good idea yaku wapa mutajiii afazali tuwashangie kwakweli
@farhannahkulishwaburekunam53606 ай бұрын
Hiyo pesa ya tails ungeqeja kifusi na silent to floor ya kawaida ha8na haja this kwanza hatoiweza wataanguka na watoto na maji maji kuanguka na kuweka majiko ya ya mkaa
@anethmshahara85196 ай бұрын
Achana na vioo wekaga tu nyavu watoke hapo kaka
@farhannahkulishwaburekunam53606 ай бұрын
Watoto wakianza biashara lazima mmoja abaki na watoto nyumbani wasije kuibiwa au watoto kupotea mtaani na watoto kubakwa ni hatari sana dunia ya sasa
@aminaomary55676 ай бұрын
Msindanganye watoto wa watu Oman waje kunyanyasika ndio?ni wachache wanaopata sehem nzuri huko Irabuni.
@janemuthoni7236 ай бұрын
Kwanza hiyo Oman siwez advice mtu aende mateso tupu kulala later kuamka 5 na ni kila nyumba kazi zote hadi kupika
@NemaAli-zh6hr4 ай бұрын
Jamani mmjawapo si aje oman huku. Wengine tulikuwa na maisha magumu sana lkn kwa sasa alhaamdulillah tuna makazi yetu, na sio makazi tu ni makazi aswa! Ndio mtasaidiwa lkn mpaka lini! Mmoja alee watoto, mwingine aje kutafuta maisha! 2 years nyumba hiyo mnaibadirisha hd vioo mnaweka!
@omanoman20446 ай бұрын
Nikweli ridhika na rangi mait isije ikatisha ukifa hata mie hiyo kaz sifanyi japo nina rangi siwez kujichubuw
@rayaabdul-gm3hc6 ай бұрын
Akuna kuweka vioo kaka hali ngumu mimi nyumba yangu nimeweka grel nikaweka nyavu.chini nimeweka lafu floo watu wanaishi mpaka leo hapa natafuta pesa ya ugali tu😊😢😢
@christinafanuel15876 ай бұрын
Acha roho mbaya
@shanimbaruku20716 ай бұрын
Ulishawahi kuchangia?
@ashazuber65486 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅@@christinafanuel1587
@ashazuber65486 ай бұрын
@shanimbaruku2071 hatareee😅😅😅😅😅😅
@budhbd52086 ай бұрын
@@christinafanuel1587kabisa
@francinenahimana72896 ай бұрын
Nikitizama hako katoto kakiume ka mlehemu uwa nakumbuka mngi kwenye familly yangu Heppy jitaidi kuwa unakaji sogezea gisi kameka msikini🥲🥲🥲🥲
@roudhamahmoud7636 ай бұрын
Mungu mwema awaingoze
@missmoona44976 ай бұрын
Mnaosema tina aje oman hata happy anaweza kuja tina akabak na watt kuna watu wameacha watt wachanga wamekuja oman kupambana yote kwaajir ya kujikwamua kimaisha wanakuja huku kwa shida nasio vinginevyo jipangen mje mtaifanya nyumba yenu mtakaavyo na mtaish soft life hata fenicha za maana mtaweka lkn mkitegemea wawachangie mashaghala na wao wanapambana hivyohivyo kwa shida njoon oman kaz zipo
@SaraSara-i1l6 ай бұрын
Hongereni mnaochanga
@roudhamahmoud7636 ай бұрын
Kaka zahir Pole na maneno ya waja yasikuvunje moyo
@SinaHafidhi6 ай бұрын
Ma shaallah ngozi yake. Kama ya marehemu mama yake
@MdAr-q7i6 ай бұрын
Ila zair tunakuomba japo.moja mtafutie kazi mmoja akae na watt wapate kujikizi haja
@dorothmsuya16866 ай бұрын
Happy anafanya kazi dada anabaki na watoto bado wadogo jamani! Sio kama wanapenda kukaa hivyo! Tuwaombee tu jamani!
@christinakomba6896 ай бұрын
Unajua mzigo anaujua alioubeba
@farhannahkulishwaburekunam53602 ай бұрын
Mimi nakushauri pesa ukipata usitie tailiz pesa hiyo watilie flowe ya kawaida na milango kwa sababu tailz zitawangusha maji maji watoto ndo ndani za maji ni hatari kuteleza
@roudhamahmoud7636 ай бұрын
Jamani mnaocoment baadhi tunakoseya kuwalaumu hawa watoto anoweza kuchangiya achangiye na asoweza aache na asicomenty mnawatiya unyonge zaidi
@ummiissaabdulissaabdul81176 ай бұрын
unyonge vipi mbona wasijitume ata kama wasaidiwa atujakataa ila ni wajishughulishe wako na watoto wawapangia nini watoto wao au haya ndio wamechukua ni maisha mpaka watoto
@MayarashidiMayarashidi6 ай бұрын
Kabisacmy❤❤❤
@janemuthoni7236 ай бұрын
Waende pale kwao kama main doors ziko na madirisha waweke mabati ubaya ni floor baridi na watoto 😢😢😢Mungu awafungulie njia
@ashaissa24356 ай бұрын
Kaka.zaili wasikusumbue hao kwkwa nn wasiamie watu wanaweka kanga tu madilishani na wanakaa na family yao maisha yanaenda kama kuwasiaidia ushawasaidia sana ila mwenyewe awajiogezi na kuwa na uchugu nako
@ummiissaabdulissaabdul81176 ай бұрын
Awa wasichana wavivu sana awajitumi kutoka mzazi yuko sasa mbona msijitume mpate rizki wenzenu wapambana nyinyinkila leo mtandaoni kuomba mmmmh aya sio maisha
@Gloria-vh5bz6 ай бұрын
Km kuna watu wa kuwaunganisha huko uarabuni ni bora mmoja aende maana watasaidiwa mpk lini Zahir mmoja aende mwingine abaki na watoto maana kuna watu wengi huwa naona wanasema wapo tayari kuwapa connection ya huko ,but pia wapo so lazy hasa mkubwa ,my dear watu hawawez kukubeba siku zote ,sisi wengine wajane tumeachiwa watoto tumedhurumiwa mali na watu waliahidi kutusaidia lakini baada tu ya kuzika walipotea na hata simu hawapokei ,so nikujishughulisha vyovyote tu ilimradi msimtegemee mtu ,walipowabeba ni pakubwa inabidi muamke nanyie sasa
@faudhiasalum727923 күн бұрын
Wame nenepa awo
@rehemah58436 ай бұрын
Hyu tin nikama ako na mimba hyu
@MarthaKeneth6 ай бұрын
Ila jamani nyie mabinti embu mjiongeze amkeni jamani mbona mko vzr hamna shida yeyte bc mtafute hata kazi jamani kama nyumba imeshajengewa hata kama haijaisha wenzenu tunaishi nyumba hata hazijaisha kikubwa iwe imepauliwa2 jamani
@نجمهنجمه-ظ2م6 ай бұрын
Zahir uyo dada aje Oman
@dorcaskidoti2496 ай бұрын
Hataki shida mwenzio ayo ya Oman hayamhusu ata kdg kazi kuomba omba tu mdg wake Happy ana opareshen abaki na wtt yeye akapambane ila aligoma mwacheni
@ashazuber65486 ай бұрын
@@dorcaskidoti249wasimlazimishe tu itakuwa shida
@reynaaalrawahi41376 ай бұрын
@@dorcaskidoti249 hawataki dada pia aliwahi kusema pia. Walijibu hawa wezi. Kufanya kazi nje nchi. Wamezowea kupewa bure. Hawa. Wavivu sana tena
@dorcaskidoti2496 ай бұрын
@@reynaaalrawahi4137 Mbona mda mrefu sana Zahr aliwambia kutokana na maoni ya watazamaji walikaaa, Mnahangaika nao wanini wacheni wapigwe na maisha watajituma tu siku moja, Tatizo Zahr anawaendekeza pesa anawapa kila siku awacheeee
@dorcaskidoti2496 ай бұрын
Sasa Zahr unanifutia maoni kwani nimetukana? Kwa nn umeweka sehemu sasa ya hayo maoni kama unachagua 😎 haya futa sasa maoni yote
@yukundapeter82006 ай бұрын
Embu leteni story xa maana,hawa tuuu,nao ni waxembe,lakini hata kujishughulisha,ataachaje kuwa kweupe wakati kula kunya?? Shughulikia wagonjwa bhana.Mwambie ale hiyo rangi yake.
@nusrathmanyawa45016 ай бұрын
Sio kwamba hataki kufanya kazi ila mkumbuke huyu binti ana ulezi.wa watoto ila mdogo wake si kasema anafanya kazi Sasa uzembe gani jamani
@lilianwaflotina12886 ай бұрын
Tina amechangamka 😊
@azizaally-x7o6 ай бұрын
Tina aje Oman happy akae na watoto wataweza kujikwamua na kumalizia nyumba yao ni ushauri tuu kwa sasa hali ngumu
@FatmaHamad-g6s6 ай бұрын
Watu tumehamia na madirisha ya bati
@hamidasaif40656 ай бұрын
Zaher fanye vimba viwil wahamiyr
@zuhurakhasimu9696 ай бұрын
Jamani mpaka tena huruma ila nataman sana kuwachangia ila zahiri aliniblock kisha nililefeti kwenye group lake kwenye namba hiyo hapo chini
@rosenaheka51376 ай бұрын
Usimwangalie Zahir ww saidia tuu
@faithmapondo73706 ай бұрын
Zahr hapend kushauriwa hyu kaka na inawezekana anashibia humo ndio mana linanenepa km simba😅 ukimkosea anakublock
@OmanOman-bx5du6 ай бұрын
Achen ujinga nyie wa toto ilenyumba imeish. Amieni apo mnapoishi naapo wapi pazuli
@isamony586 ай бұрын
Zairi na ww unapenda makuuuu hivi umeona watu uko mikowani maisha wanayo ishi
@ZawadMussa-sd1od6 ай бұрын
Kwel tatizo makuu yanashida ndo maana ata mama baturi nyumba iliishia njiani watu hawawezi changia mtu anajenga nyumba ambayo wachanhiaji Awana iyo nyumba ,,,ata wakiweka mikeka ilimuladi wapo kwao
@ummiissaabdulissaabdul81176 ай бұрын
uyu zahir yuachekesha sana kila saa ni hawa na sio wagonjwa sio walemavu wafanye jitihada ya kutafuta maisha na misingi ya watoto wao au zahiri utawasaidia maisha yao mana awa uvivu ndio shida na watapata tabu dunia hii ya leo ni ujitume ndugu jitumeni
@MwaJuma-zf8sk6 ай бұрын
@@ummiissaabdulissaabdul8117kutoa ni moyo si utajiri jamani hakuna haja ya kuongea maneno yote hayo
@jamilajamila45726 ай бұрын
Wasichana wameweka nguvu zao tu hawapambani
@Nashoora86 ай бұрын
😅😅😅😅
@SuleimanKhdija6 ай бұрын
Zahir wekeni bati maisha yaendeleye almuhimu wana kwao
@khadijachacha31566 ай бұрын
Bati mbona tayar zaman tu
@yukundapeter82006 ай бұрын
Huna kaxieee!
@sharifanyumayo63146 ай бұрын
Hapo ni madril tu na nyavu za mbu basi wahamie ukarabat watafanya humo ndani mbona mie nilihamia na rafu tu nchini ila sasa nishakarabat
@isamony586 ай бұрын
Yani mtu angepata hata nyumba ya miti angeshukuru hao wengine ww unawadekezaaaaaa
@MarthaKeneth6 ай бұрын
Kwanza kwanini msitafute kazi jamani nguvu mnazo mna akili timamu kwanza inabidi muwashikuru watanzania jamani mbona umesaidiwa sana jamani
@farhannahkulishwaburekunam53606 ай бұрын
Watoto wakianza biashara lazima mmoja abaki na watoto nyumbani wasije kuibiwa au watoto kupotea mtaani na watoto kubakwa ni hatari sana dunia ya sasa