Mzee yupo vizuri sana Jpili pale Sawa Sawa Mikocheni ni 🔥🔥🔥
@edithmushy10103 ай бұрын
Baba nakupenda bure. Una kipaji cha kuchekesha na kuimba hta comedy unaiweza.
@MzeeMkoloni3 ай бұрын
Mzee uko vizuri
@SophiaSimba-uq8ct2 ай бұрын
Masterpiece
@aishakambenga61913 ай бұрын
Babu MashaAllah ❤️🙏🏾
@johnmichaellukindo212 ай бұрын
Jamani mtangazaji haa!♥️
@abdulki9k8kamil173 ай бұрын
Uko sawa.bro
@piuskusenge-jf2ob3 ай бұрын
Mtangazaji miye hiyo lafudhi yako ya Kiswahili, mashallah
@Zainab-qg6xv3 ай бұрын
Mombasa hiyo ❤
@fatmaalnabhani36092 ай бұрын
M-Zanzibari huyu mama
@King_Of_Everything3 ай бұрын
👊👍✌️.
@saidal-rawahi45643 ай бұрын
12:56 11:42 Kwa kweli mimi naamini huyu mzee anajaribu kujiamini lakini wakati umempita Allah Amuongoze ktk Mema inshaAllah ,Siku mimi Alinigusa sana na kumuona si mtu wa busara,siku alipo zungumzia Palestine na watu wote hawana akili kuunga mkono wapalastina Allah ampe hidaya kabla ya Siku ya mwisho wa Ujana wake wa ndotoni.
@1961nungwi2 ай бұрын
Wakati haujapita, si unamuona alivyo na furaha! Kama kina Tina Turner na kina Mick Jagger🎉 👏!
@viatorykashabizi25383 ай бұрын
Kweli kabisa,Maisha ni malezi
@Marjeby3 ай бұрын
Huwa na wawaza sana watoto wa huyu mzee sijui huwa wanajisikiaje aisee
@mtzhalisi22323 ай бұрын
Watakuwa wana furaha sana
@spendjulius-qz9mt3 ай бұрын
Baridi barafu
@besttrendingcovers18383 ай бұрын
wanafurahi sana kuona mzee wao anafurahia maisha. umaskini mwingi maadili mengi
@vinny.morales2 ай бұрын
Wana furaha sana na baba yao. Vp wewe una furaha na baba yako? Au ndio umelishwa sumu na mama yako umchukie mzee wako?
@BlessingsJosephMsofe2 ай бұрын
Yani hapo ndo ule usemi unaosema mbele huchezi nyuma hutingishiki 😂😂 Maneno kuntu usimchokoze usiye mjua😂😂😂
@mjemamjema96953 ай бұрын
KWA KWELI SIKUJUA HUYU NDIYE ALIYEKUWA NA BENDI ILIYOPIGA ASUU. NILIKUWA NI BENDI YA MISAMBANO. HONGERA MZEE MWENZANGU. ANA MAMBO YA BUSARA.
@farhannahkulishwaburekunam53603 ай бұрын
Hana huzee si yupo siku nyingi sasa kazeekea hapo kwa ni kusema au ucheshi inautuzima na utoto na pia akiwa tik tok inanoga akiwepo mkitaka yupo si mutaka yupo
@rumesibarka53123 ай бұрын
Mzee rudi kwa mola wako wakati haukuruhusu sasa
@shamilaalhabsi9093 ай бұрын
Kumbe tupo majiran
@1961nungwi2 ай бұрын
Mola hana neno huwa ana upendo sana. Mzee wa maana sana huyu! Choteni maarifa na busara kutoka kwake
@vinny.morales2 ай бұрын
Unamjua mola wake au shobo tu?
@mohamedally69923 ай бұрын
SASA WE MZEE BAADA YA KUTUBU WAJI C FIYA EBU KAA UFIKIRI AIPENDEZI