Watu wanane wanauguza majeraha baada ya kuvamiwa na genge huko Mombasa

  Рет қаралды 20,967

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Watu wanane wanauguza majeraha baada ya kuvamiwa na genge la wahuni usiku wa kuamkia leo katika eneo la Mikindani eneo bunge la Jomvu kaunti ya Mombasa. Genge hilo linadaiwa kujihami kwa mapanga lilitekeleza uvamizi huo mwendo wa saa saba usiku kabla ya kutoweka. Maafisa wa polisi wanaendeleza msako ambapo inaarifiwa washukiwa wanne wa genge hilo wamekamatwa.

Пікірлер: 47
@patrickmuchiri7480
@patrickmuchiri7480 6 ай бұрын
Riggy G muST go there now,this woman is great and open.
@andallaathman3856
@andallaathman3856 6 ай бұрын
Rigi g ni siasa tuu na mdomo Hana lakufanya upuzi mwingi tuu drugs dealers imekuaje mpaka sasa
@japhetkahindi4791
@japhetkahindi4791 6 ай бұрын
Recently Deputy president Gachagwa warned security chiefs in Mombasa and likoni that watafutwa KAZI due to laxity of security,why Not sack them now
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys 6 ай бұрын
Mama ameongea ukweli sanaa,hongo Kenya itaisha lini inaleta kudhohofika kwa inchi
@faithowino8363
@faithowino8363 6 ай бұрын
I'm glad I appeared on Citizen TV God is Merciful
@georgegg1079
@georgegg1079 6 ай бұрын
County commander, kazi yako nini? Rudisheni nelson marwa
@selphineonyango2591
@selphineonyango2591 6 ай бұрын
Marwa arudi mombasa
@allynyanje5779
@allynyanje5779 6 ай бұрын
Ushasema
@japhetkahindi4791
@japhetkahindi4791 6 ай бұрын
Serikali Iko wapi surely if gangs can terrorize pple whole night
@marymashao2304
@marymashao2304 6 ай бұрын
Mama ameongea point
@rosekadzokillian9700
@rosekadzokillian9700 6 ай бұрын
Poleni jamani.. Mupone nyote in Jesus mighty name Amen
@japhetkahindi4791
@japhetkahindi4791 6 ай бұрын
All security officials in Mombasa must be sacked kazi Yao ni kushika innocent women wanauza mnazi not security matters
@mollyoduor
@mollyoduor 6 ай бұрын
Very true
@charliemzaeh1704
@charliemzaeh1704 6 ай бұрын
Mikindani has known peace we won't allow goons to distract.wamama waongee na wanao au wawachie ulimwengu
@AbdulmajidManjothi
@AbdulmajidManjothi 6 ай бұрын
Hawa majambazi wana faa ku walishwa tyree naa ku chumwaa ni dawa peke yaake 🔥.
@beirut9750
@beirut9750 6 ай бұрын
Shikeni kiongozi wao Kateni shingo
@Gorgeousij
@Gorgeousij 6 ай бұрын
Dp aliongeo hawa wanasiasa wakamuingilia sana,vile mambo inaendelea uko mombasa si vizuli,na ni kama wanalenga watu wa bala
@EDWARDZIRO-v2l
@EDWARDZIRO-v2l 5 ай бұрын
Wacha uongo watu wa bala ndokusema nini?
@NeymarMuhammad
@NeymarMuhammad 5 ай бұрын
​@user-mo2iv1xo1g 😂😂
@IbrahimSalat-ps4ko
@IbrahimSalat-ps4ko 6 ай бұрын
Kweli
@duh-yr2lj
@duh-yr2lj 6 ай бұрын
Siku kenya itaweza ku deal na mihadarati haya yote yatakwisha.
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys 6 ай бұрын
Kabisa mihadarati ishindwee
@stephen-CEO
@stephen-CEO 6 ай бұрын
Hii sio mambo na mihandarati bro they know what they are doing in mombasa hii inakuaga game ya viongozi wachache ....
@selphineonyango2591
@selphineonyango2591 6 ай бұрын
Mihadarati si shida,shida ni kuna kiongozi anawaspouser hao vijana
@stephen-CEO
@stephen-CEO 6 ай бұрын
@@selphineonyango2591 Exactly mombasa watu ya mihandarati ni mateja ...teja ni mwizi ya screp na tuwizi kindogo kindogo ya ujinga lkn hiyo kupigana mapanga ni vikosi zinajulikana vizuri tuliokuwa wakati ya Mkubwa Marwa can understand
@samuraitrax6597
@samuraitrax6597 6 ай бұрын
Its spelled "CORRUPTION"
@mwakdesign_45
@mwakdesign_45 6 ай бұрын
Like where is the government😢
@engineerrajab9533
@engineerrajab9533 6 ай бұрын
Viongozi wote waajibike
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys 6 ай бұрын
Ndio
@jamessila3219
@jamessila3219 6 ай бұрын
Poleni sana
@mkenyamzalendo4130
@mkenyamzalendo4130 6 ай бұрын
Hao majambazi washikwe ama wauliwe
@halimaadan3412
@halimaadan3412 6 ай бұрын
Waizi wa njaa si waende wakaibe Bank umbwa hao😢
@SabburahSwabra
@SabburahSwabra 6 ай бұрын
Kwa nn kenya mnazembea hivi kwa mtu alio katika hali mbaya kisa maana n pesa.c mtibu mtu mumuokoe maisha yake kisha pesa ifwatie .au mwataka mtu afe ndio mjidai mlikua mwamsaidia 😭😭.kuhusu hao wezi n bora wakisgukwa wapigwe hadi kufwa .police wakija wachukue mizoga yao. Wakati wa kandingo wezi walinyooka n wakaisha hadi wengine wakaama mombasa coz kulikua kumoto sana.dawa n mwizi kuuwawa tu coz ata yy haonei mtu huruma akiwa anamuuwa 😭😭
@KorirKennedy-w8y
@KorirKennedy-w8y 6 ай бұрын
Quick recovery
@Traveler32
@Traveler32 6 ай бұрын
Human rights my foot
@nchimbuke7261
@nchimbuke7261 6 ай бұрын
WEKA MSOMALI AKUE MKUBWA WA POLISI AONGOZE HYOO OPERATION
@aliathmani7165
@aliathmani7165 6 ай бұрын
Wanaotowa hongo kwa polisi ni kina nani, hapo ndio shida sasa. Pia nanyi watu wema, vita vya aina hiyo upiganwa hivyo hivyo.
@selphineonyango2591
@selphineonyango2591 6 ай бұрын
Hapa dawa ni marwa arudi mombasa
@nixonlusimba3794
@nixonlusimba3794 6 ай бұрын
Mombasa use be a safest place to live 10 years ago but now for vacation is better we go to Tanzania or South coast.what is nyumba kumi and wazee mtaa doing.
@andallaathman3856
@andallaathman3856 6 ай бұрын
Huyo human rights hafai hata kua hapo wao ndio sababu kuu wakiuliwa vijana wasema haki zao wanalaumu police wauliwe hao watoto
@wyagpaul9130
@wyagpaul9130 6 ай бұрын
aty ngoja wasababishe nkt mapolisi
@charliemzaeh1704
@charliemzaeh1704 6 ай бұрын
Serikali nao ikianza operation watu wasilalamike
@fnyaruhanga
@fnyaruhanga 6 ай бұрын
The ambulance driver is bad
@Actor_bad24IK
@Actor_bad24IK 6 ай бұрын
Hawa ni watoto wa shule..they do this during holidays...they only get locked up maximum 1 week...even after committing horrific crimes.
@EmmanuelTsuma-u3i
@EmmanuelTsuma-u3i 6 ай бұрын
Very pathetic 😭😭😭
Kiongozi wa genge la Kibokoni anaswa akiwa na panga huko Mombasa
1:31
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 44 М.
Usalama Maskani | Jinsi magenge yanazidi kuhangaisha wakazi wa Mombasa
3:18
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
Двое играют | Наташа и Вова
Рет қаралды 2,2 МЛН
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 6 МЛН
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 153 МЛН
Israeli air strikes on Lebanon intensify | BBC News
8:24
BBC News
Рет қаралды 703 М.
What is happening in the Middle East? | BBC News
16:32
BBC News
Рет қаралды 185 М.
Genge lenye silaha lawavamia wakazi wa Kisauni
4:31
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 10 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr (ajaxkmr1986)
Рет қаралды 586 М.
Iran attacks Israel after Lebanon invasion and Hezbollah killings
49:49
Je, Mwambao Uliuzwa?! - Makala ya Nane. Makosa ya Baadhi ya 'Viongozi' wa Pwani 1960s!
34:57
Stambuli wa Sh. Abdillahi Nassir
Рет қаралды 2,9 М.
MRADI WA MAJI SAFI KIBOKONI - MOMBASA
2:28
Al Shifaa Media Kenya
Рет қаралды 2 М.
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
Двое играют | Наташа и Вова
Рет қаралды 2,2 МЛН