WAZEE WA YANGA WACHARUKA KISA KUTOLEWA KLABU BINGWA/YANGA IMESHUKA KIWANGO

  Рет қаралды 9,888

PRO255 TV

PRO255 TV

Күн бұрын

Пікірлер: 37
@binbadru8408
@binbadru8408 15 күн бұрын
Tatizo la yanga wote akili hawana
@JuliusSola-q9m
@JuliusSola-q9m 15 күн бұрын
Muacheni huyo utopolo anajaziba
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 12 күн бұрын
Mashabik wa yang wamesha changanyikiwa Toka watolewe akili yao aijakaa sawa
@maase2023
@maase2023 15 күн бұрын
Hawa wakifungwa wanapata tabu sana kwa kweli! Inabidi bora wawe wakiingia uwanjani peke yao tu bila timu pinzani ili wajifungie magoli hata 20 wajisikiie raha maana kwao kufungwa hakupo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@elickmaendeleo1141
@elickmaendeleo1141 13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Nurdin840
@Nurdin840 15 күн бұрын
Najuta mwanangu kumpa jina NASORO
@makoreremakorere4212
@makoreremakorere4212 14 күн бұрын
Uyu nasolo ana asila asila tu sijui mlevi ata aeleweki
@abdallahsaid4139
@abdallahsaid4139 9 күн бұрын
kombe la caf ndio shirikisho kwa sasa kombe la washindi lilifutwa
@JuliusSola-q9m
@JuliusSola-q9m 15 күн бұрын
Utopolo wamevulugwa
@hamisdodi-cu7bu
@hamisdodi-cu7bu 15 күн бұрын
Wewe.nasoro.ujui.mpila
@filbertsungura5536
@filbertsungura5536 13 күн бұрын
Huyu Nasoro hana takwimi ya mpira ishu hapo ni kujipanga upya hakuna namna na mwandishi ww mvumilivu sana mungu akubaliki angekuwa mwingine hicho kiongeleo ungekitoa aende
@allywaziri1343
@allywaziri1343 11 күн бұрын
Nasoro hujui kitu tulia ujufunze
@HamisiMtengwa
@HamisiMtengwa 14 күн бұрын
Huyu nassoro hajui lolote kenge tu kwanza ana hasira ajue mpira hautaki hasira mpira ni kufurahi
@suleymandachi782
@suleymandachi782 15 күн бұрын
Nasoro anabwabwaja hiyo ni tabia ya UTOPOLO kama kawaida yao
@ramadhanichubi9139
@ramadhanichubi9139 11 күн бұрын
Huyo jamaa anaitwa mbishi,wa yanga msishindane naye haelewi
@rashidissa5887
@rashidissa5887 14 күн бұрын
Timu zote haziwezi kuwa washindi. Anza upya Yanga😊
@Lulaboytz
@Lulaboytz 13 күн бұрын
Uyo nasoro mbona ni mshamba sana ivi ligi mpaka mda huu zinabadilishwa majina
@filbertsungura5536
@filbertsungura5536 13 күн бұрын
Kuferi ni kuferi tu hata mara 100
@Lulaboytz
@Lulaboytz 13 күн бұрын
Nasoro nikenge mweusi ajuwi mpira ata kidogo
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 12 күн бұрын
Mulize kuwa kombe la kwanza katka hayo 30 kombe la kwanza walichukuwa mwaka gan kat ya hayo30?
@SimbaJumanne
@SimbaJumanne 14 күн бұрын
Fanyeni kaz acheni upumbavuu
@HamisiMtengwa
@HamisiMtengwa 14 күн бұрын
Huyo shabiki WA yanga Hana nyimbo huyo anabwabwaja tu
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 13 күн бұрын
NASORO NI MSHAMBA HANA HATA LOLOTE KWENYE INTERVIEW MSHAMBA
@aliabdulrahman1202
@aliabdulrahman1202 14 күн бұрын
Hana hoja nassoro ajihashua tu
@allywaziri1343
@allywaziri1343 11 күн бұрын
Huyo hoongei kimpira huyo nimbishi tu hana analojua ila anataka sonekane kwenye tv anatumalizia bando wachambuzi tafuteni watu wakuonges nao
@yusufufikiri5005
@yusufufikiri5005 15 күн бұрын
HUYU MWENYE FURANA NYEUSI HAMNA ANACHOKIJUWA KWANZA ANA JAZBA NA YANGA YAKE MBOVU
@esmondleo3617
@esmondleo3617 14 күн бұрын
Huyo utopolo hajui mpira anaongea utumbo
@nurdiniabdillahi3558
@nurdiniabdillahi3558 15 күн бұрын
Nassoro mweuu kama weuu wengine
@hassanyassin-ny3qh
@hassanyassin-ny3qh 13 күн бұрын
Kama lilikuwa lakifo vp mlipopangwanao mlifrahia.?
@filbertsungura5536
@filbertsungura5536 13 күн бұрын
Shabiki wa yanga tuliza munkali acha jazba mpira ni burudani watu kama hawa kama huwezi mtulie
@donatienbest6043
@donatienbest6043 15 күн бұрын
Watangazaji wambieni watu wasimba simba tim kubwa aweze sema anajengatim ivi watu waje watwambie Real Madrid inajengatim kweli wao waseme wamesajiri ili wakipigwa wasijifichie kujenga tim
@KalingaHerman
@KalingaHerman 14 күн бұрын
Dah kunamtu anajazba hapo niwatimugani huyo ?
@DottoPastory-u3z
@DottoPastory-u3z 15 күн бұрын
Huyu nasoro atakua wa chama frani cha siasa maana hana mpangilio wa maneno
@hamisdodi-cu7bu
@hamisdodi-cu7bu 15 күн бұрын
Mmesha.pona.uchi.tayari
@abdullahjuma3926
@abdullahjuma3926 14 күн бұрын
Nasoro acha upuuzi wewe mtu mzima au una matatizo ya uelewa?
@abdallahsaid4139
@abdallahsaid4139 9 күн бұрын
huyo muongo kombe la washindi lilifutwa
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН