WAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO KUJADILI FURSA NA CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO
Пікірлер: 6
@FatnaAlly-go7ytАй бұрын
Oooh allah jaalia amani na ulinzi na usiri wa hali ua juu kwa waumini😅
@fidelfidel-jz4iwАй бұрын
Hilo ni wazo zuri kwani watu watajufunza mbinu za biashara hakika zamani kulikuwa na wafanya biashara wa kihindi tu yani biashara kubwa leo wabongo wote wanafanya biashara kubwa lazima watu wajifunze kwa wengine
@abdonrichard30554 ай бұрын
Serikali yetu nia yake ni njema kabisa katika kukuza maendeleo ya biashara, viwanda na uwekezaji ndani ya nchi. Lakini ikumbukwe mji haujengwi na wazawa tyu. Lazima turuhusu lakini uku tukiangalie namna nzuri ya kunufaika na huu mwingiliano wa watu kutoka nje katika nyanja hii ya biashara, viwanda na uwekezaji.
@user-sw7tf1ob1b3 ай бұрын
Machinga tatizo majiko matilie ovyo kabisa nchi inaendeshwa na sela sela zitu ni tatu wakulima wafanyakazi wafanya biashara Siya machinga machinga ni sela ipi
@user-sw7tf1ob1b3 ай бұрын
Wanaopanda biashara barabarani kaliakoo watoke machinga watafutiwe pakwenda
@abdallahally8424 ай бұрын
Usumbufu mkubwa hamkuugusa ni kero ya tra kukamata kusumbua mitaani na kutaka rushwaaaaa