Ni hatuna nzuri,inabidi Sasa mg wapewe posho,matibabu,na kupitia briged Kila Kanda wawe wanakwenda kushiriki mazoezi, na kwakuwa ni sehemu ya jwtz,vitambulisho na mavazi wafanane
@richardalex36005 ай бұрын
Kama kamandi nyingine Kila Moja Ina nembo yake lakini ya kofia ni Moja na Kila Ina share zake lakini wote wameruhusiwa kuvaa Kombat na wanaposho na Jeshi la akiba pamoja wanamavazi Yao na kwasababu vitani wataingia na Kombat basi waanze kuruhusiwa wazizoe sio vitani waanze kuhofu kuhusu adui na wahofu kuhusu Kombat,tumeanza vizuri kuimarisha na kurudisha heshima sifa kwa amiri Jeshi na makanda tuendelee kuiboresha
@shabanimadewa15254 ай бұрын
Naung mkon
@clarasimon78302 ай бұрын
@@richardalex3600 INATAKIWA IWE KAMA ILE KAMANDI YA KVZ YA ZANZIBAR
@gracemartin33794 ай бұрын
Kwa kweli nimefurahi Sana kuona kukamilika kwa kamandi ya jeshi letu la akiba Kwan mmi piah no mmoja was Askari wa jeshi la akiba lakini nimehuzunishwa kutokuona askari wenzangu hapo wa jeshi la akiba/mgambo katika video picha hii haileti afya kwakua hatuwaoni wenzetu wanao tuwakilisha kwa hili mmetukosea Sana mnapaswa kutuomba msaha kwakweli
@abilityrogers959512 күн бұрын
Kamandi ya jeshi la Akiba isiyo na Askari wa jeshi Hilo sijui imekaeje hiyo😂😂
@MgishaBoaz5 ай бұрын
Kwani kambi ya jeshi la akiba imejengwa lini sijawahi sikia
@Rastermirish2 ай бұрын
Sawa kabisa
@RenatusSongo5 ай бұрын
Hapo ingetakiwa wawepo wanajeshi wa hakiba mg
@umrathhassani4 ай бұрын
Mpo vzr Allah awawekeee wepec
@AllyKafungwa4 ай бұрын
Nimependa sanaaa kuwepo kwa KAMBI YA KAMANDI YA JESHILETU LA AKIBA ila ninapenda sana namimi ningekuwa mmoja wa jwtz moja kwamoja napenda hata nisipolipwa jamani dah c.r.f oyeeee
@DBlack-bo8ob4 ай бұрын
Tanzania bado tunafeli saana inawezekana vipi linafunguliwa wakati wahusika hawapo au hiyo ni kambi ya jeshi la wanainchi tujue serikali inapaswa kubolesha jinsi ya kuwapa nafasi kubwa askari wa K.J.A tafadhali kama kjna wanao husika watambue kua kuna vijana wanaumia na wana mafunzo na wanazalaulika saana
@MgishaBoaz5 ай бұрын
Anae jua kambi iyo ina manufaa gani kwa mg anifahamishe maana sioni askari wenyewe kambini apo kama ilivyo kwa majeshi mengine
@elysetv11073 ай бұрын
@@MgishaBoaz ni kutoa mafunzo kwa wakufunzi wa mgambo na mgambo wenyewe
@innocentrichard29454 ай бұрын
Camera stabilizer bado kiongoz
@unclegmihale4554 ай бұрын
Safi
@richardalex36005 ай бұрын
Pia tukumbuke katika kuimarisha kamandi tuwatumie mg wenyewe,wapo wasomi ktk mg tuwatumie italeta tija
@zobakazizi76375 ай бұрын
Tulieni hayawahusu.
@clarasimon78302 ай бұрын
Naningetoa ombi ata uniform zingebadilishwa ili kuleta tija katika muhamko wa vijana kujiunga na ili jeshi la akiba J.K.A
@clarasimon78304 күн бұрын
Wewe mzee unaakili nyingi sana...yapasawa kupongezwa mfano Zanzibar uniform wanabdilisha kila kukicha
@khadijaomary24275 ай бұрын
Hvi hiyo Guard akuikagua au Mtandao bado unasumbua?
@abilityrogers959512 күн бұрын
@@khadijaomary2427 😃😃😃😃😃 haijakaguliwa huoni imekaa kimuchongo zaidi
@khadijaomary24275 ай бұрын
ilitakiwa tuone mgambo nao wapo hapo
@mohamedmageni124 ай бұрын
HAKUNA MGAMBO TZ NOW MBONA MMENG'ANG'ANIA MGAMBO... HEBU WAPENI HADHI WAPIGANAJI WETU BWANA.... MGAMBO NI ENZI HIZO ZSHAPITWA..... HILI NI JESHI LA AKIBA.... KAMANDI YA JESHI LA AKIBA CHINI YA WIZARA YA ULINZ NA JKT.... AMBAYO ZAMAN ILIKUWA CHIN YA WIZARA YA ULINZ NA MAMNO YA NDAN ILIITWA JESH LA MGAMBO....