Join this channel to access its benefits: / @biblianuruyadunia
Пікірлер: 41
@jimpaserics9359 Жыл бұрын
Sijawahi ona akili nyingi hivi Kwa mtu mmoja.Barikiwa sana ndacha
@Davistoto1949 Жыл бұрын
Amen be blesse wachugaji kazi nzuri
@ludeelectronics Жыл бұрын
Kazi njema mwalimu
@dinahauka6004 Жыл бұрын
Kazi njema Mwalimu ndacha
@JohnLorunyu Жыл бұрын
Waislamu hawana elimu kiroho kabisa
@ezekielmwamba9106 Жыл бұрын
Mwalimu Ndacha Roho wa Mungu aendelee kukuongoza ili neno la Mungu litakasike ulimwenguni mzima.
@ZUHURAARABELLAHABDALLAH-gv2op Жыл бұрын
Aminaaa mbarikiwe sana mwalimu pamoja na msomaji wako kaz njema
@WaneneOmbade-ro9cd Жыл бұрын
Barikiwa mtumwa WA Yesu kristo !Mungu akuepushe na balaaa
@patrickmbelenzi493 Жыл бұрын
Mwagarashi nimekuona
@hajinkulunge8493 Жыл бұрын
Mbona munamshambulia muacheni
@hajinkulunge8493 Жыл бұрын
Sasa hivi Yesu sio Mungu tena Mutaelewatu
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Quran 3:19 19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
@cetriclugonyi4452 Жыл бұрын
Hapo sasa nani anasema utasema Tena ni Allah
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
@@cetriclugonyi4452 wewe tupe andiko lako wapi mungu kasema ukristo ni dini
@johnmnonjela651 Жыл бұрын
Uislamu ni mzigo
@richardnganya2311 Жыл бұрын
Hapo shida ya muuliza swali ni elimu iko chini.
@navokisembo Жыл бұрын
Ameeen Barikiwa watumishi wa Mungu mkuu
@johnsonmachukamakori6410 Жыл бұрын
Mbarikiwe sana.
@Lauresonline Жыл бұрын
Waislam nihawana hakili walilogwa namajini ndugu zao
@johnmnonjela651 Жыл бұрын
Hii kazi ya kuhubiri ni ngumu
@hajinkulunge8493 Жыл бұрын
Wewe Ndacha utasababisha mihadhara iwena vurugu
@richardnganya2311 Жыл бұрын
Muhimu ukweli na uwazi
@nestarnestar4520 Жыл бұрын
We vip naww vurugu ataeleta ataletewa pia, cha msingi ni hoja tu na ndacha hatoi maneno mdomoni zaid anatoa kweny vitabu vyenu, msinune hapa
@jacklinekinyua8666 Жыл бұрын
Waislam wamepumbazwa na shetani .Mungu awahurumie.wanataka yaliyo akilini mwao sio maadiko ya vitabu hata koran yao
@charlesmapunda5905 Жыл бұрын
Nimejifunza mengi sana kuijua Biblia hata kama sina uwezo wa kuweka kumbukumbu za Aya namba gani lakini kuelewa inamaanisha nini! nimejifunza mengi na kuifahamu Dini ya Mchongo Uislam tena waumini wao wanatia huruma sana walivyo jipeleka kwa Shetani
@moseshandsam1865 Жыл бұрын
Ndacha proffesor wa vitabu wape elimu
@WaneneOmbade-ro9cd Жыл бұрын
Mbona haioneshi vizur mwanzoni hii clip
@aliemdogo Жыл бұрын
Haowatu wakiislam wamelishwa vitu vizito
@charlesmapunda5905 Жыл бұрын
Tena havumezeki bila kusukumia na Maji na Kofi la Mgongoni ili vishuke maana sio kwa ubishi wa wazi wa kulazimisha kupinga vitu vya Biblia ili tu wapate maana wanazo taka wao ziwe wanavyo taka ingawa maana halisi wanaijua na wanaona na wanasoma.
@richardnganya2311 Жыл бұрын
Wameaminishwa na kukaririshwa hatari..
@gatekanene5753 Жыл бұрын
Hivi waislamu wanapinga hata maandiko ambayo yako wazi kbs kwenye Quran yao wenyewe?😂😂😂 Kazi ipo kwa kweli haya endeleeni kumuombeya mtume wenu marehemu muhammad rehema kwa allah asamehewe maan kazi munayo munakosa kujiombey nyinyi wenyew munakaa mukimuombey mfuu msamah hahahahah apa kwanza niceke miye 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 tangu mumemuombey izo rehema kwa allah ivi kweli Allah ameshindwa kumufufuwa kipenzi cake mtume wake jamani Allah hajiamini eeee mumemuombey kitambo sana lakini ndo bado ni marehemu. ila tizameni MUNGU wa mbinguni hashindwi na kitu cocote alimfufuwa Bwana YESU KRISTO ambaye yupo hai hadi milele njooni kwa YESU bhana aceni roho ngumu MUNGU bado anawapenda ndomana anawapa mdaa wakutosha.
@JamesOdhiambo-wu2pj Жыл бұрын
Ndacha unaongea na mbuzi
@kiragufrankjoram4060 Жыл бұрын
The guy on blue he is just trying to be difficult . if he is not drunk he is very hungry
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
Ndio hivyo ufundishwa msikitini na kuweka ushabiki kama arsenal na Chelsea hivyo ubishi kuwa juuu
@hajinkulunge8493 Жыл бұрын
Wewe utawaburuza wakrito wenzako Mambumbu
@husseindiaby5097 Жыл бұрын
Wenye akili tushaelewa ndacha ni muongo
@jacklinekhatenje Жыл бұрын
Muongo anajulikana tuko na masikio ss hivi ukweli unabainika waziwazi hakuna cha kujificha Kwa kiarabu na nyinyi ni wakenya
@richardnganya2311 Жыл бұрын
Wenye akili ....!!
@jacklinekinyua8666 Жыл бұрын
Tafadhali kuwa open minded n elewa neno.omba sana Mungu akupe hekima