Asante sana kwa maelekezo yako mwema Allah akulipe kila la kher
@FadhiraBakari2 ай бұрын
Asante unafundisha vizur na ninaelewa mungu akubaliki
@balkissMuhammad-sk1ic8 күн бұрын
Maashallah
@user-ic4cb8ie6m10 ай бұрын
Ukianza kutawadha wasema bismillaah husemi Tena kitu paka baada ya kumaliza ndio useme*ash'hadu anlaa ilaaha ila'llah wa'ashhadu anna muhamadan rasuulullaah
@samirahemedy35264 ай бұрын
Basi uyu yy alikua ana fundisha
@SuleimaniMiraji4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@HamzaSwedi4 ай бұрын
Thank yo@@samirahemedy3526
@PaulMajani-iz2ie4 ай бұрын
Xaw
@mwanashaali11092 ай бұрын
Ila Binadamu bwanah
@prezgal88694 ай бұрын
Asante unafundisha vizuri sana. Mimi nimeslimu nilikua sipati somo vizuri nashukuru sasa nimeelewa kupitia hii video
@skjjsj18899 ай бұрын
Ma sha allah Shukran sheikh kwa ukumbusho Allah akulipe duniani na akhera
@MohamedHukumu-wh6ji10 ай бұрын
Hii dini tamu sana ukijua vizuri
@user-fp7sg3ll6o10 ай бұрын
SHUKRAN mungu akujaze kila la herry
@AsdDsa-fi5qk9 ай бұрын
Mashaallah ❤❤❤❤❤ shukran Allah akuhifadh
@user-xd5qo1ty8z4 ай бұрын
Asante mwenyezi mungu kwakutufikisha mwezi huu lamadann❤❤❤❤❤❤❤❤
@luqmanjabal95739 ай бұрын
Shukran.May Allah guide us right.
@SharifaHashim-xx4yk4 ай бұрын
Asante ALLAH akuzidishie❤❤❤
@AliKhamis-qp6wd9 ай бұрын
Shukran sheikha Allah akulipe ujira uliokua mwema
@abubakarmpole400010 ай бұрын
Masha Allah Allah akulipe kwa elimu hii uliyoitoa ndugu
Shehe nashukuru kwa kutoa elim asee napenda sana ulivyotuelekeza waislam wenzako pale tunapokosea
@faridaali685010 ай бұрын
Jazakallahu lkheyr
@user-ic4cb8ie6m10 ай бұрын
Husemi chochote katika kila hatua hizo adhkari unazosema katika kila hatua hazikuthubutu kwa mtume swalla'llaahu alayhi wasallam
@azizayassin36234 ай бұрын
Unasema darasa ni la kuonyesha naman ya udhu unavyofaa kutiwa naam
@zainabjumaa30556 ай бұрын
Maa shaa Allah Allah akulipe kheri
@laabry4 ай бұрын
Shukran Allah atujaalie mwish mwem
@ramlamchonga76699 ай бұрын
Shukran Allah akujalie kila la hery
@ChidyKenny-dc1ue3 ай бұрын
Sheikh mungu akulinde utupe elimu
@umibrahim67510 ай бұрын
Shuran saana saana umetupa farida kubwa.jazzaka Allah heri
@azizayassin36234 ай бұрын
Walykumu msalam warhatuallah wabarakatuh
@user-ju1dg4xt4l4 ай бұрын
Mashaala allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mustafayusuf2544 ай бұрын
Jazaka Allah Heri
@hajrahamis645711 ай бұрын
Allah akulip kher
@user-gq2ul8hj3y10 ай бұрын
Jazaka Llahu Khair
@hassanaboud84424 ай бұрын
Shuqran for ur education
@AidatAmadi4 ай бұрын
Asanti hostazi Allah akuzidishie elim nass wte
@user-xl9wc6ob4v4 ай бұрын
Mashaallah 🙏🥰
@ShakraMbarouku4 ай бұрын
جزاك الله خيرا يا اخي
@BiumbeBiumbealiy-fe1zt10 ай бұрын
Shukuran.mungu.akujaze.kila.lakher
@muniraahmed6244 ай бұрын
Maashallah ❤
@raharun52389 ай бұрын
Shukran Yaa akhi
@user-wy1hg4hs6o8 ай бұрын
Shukran mashallah
@SophyAkadikor2 ай бұрын
Asante sana mafunzo mema
@zuweynamasoud22006 ай бұрын
Shukran mungu atakulipa ujira wako
@user-vm3mu9vk8x10 ай бұрын
shukran hostaz
@saumodzumbo96718 ай бұрын
Mashaallaah watabarakaallah
@AshaKinyogori4 ай бұрын
Asant mungu akulipe
@user-zy4sx6xm4t9 ай бұрын
Mashallah Jazakallah kheri ❤❤❤
@HusnaPatrickАй бұрын
mashaalah
@AbuusharifАй бұрын
Mashaalllah
@zulfahassani10 ай бұрын
Mashallah🙏🙏
@wemakalama64589 ай бұрын
JazakaAllah
@MorogoroTanzania-cq5kf4 ай бұрын
Barskah raahu
@katore19824 ай бұрын
Masha Allah
@dxbnc13289 ай бұрын
Shukran kwa ujumbe
@halimamfaume192510 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤
@catchall93644 ай бұрын
MashaAllah Allah akujazi kheri.. Lakini ni vizuri pia ungesema hii ni kwa mujibu ya madh hab ya imam flani, kwa sababu tunatofautiana pia madhahib mengine tusije kuona wanakosea kumbe ni sawa..
@ghanisa20679 ай бұрын
شكرا و جزاك الله خيرا
@abuaishamuhaiswa91029 ай бұрын
أمين وفيكم بارك الله
@uweysnoorsaid141910 ай бұрын
MashaaAllh
@IbrahimNathan-ys9ck3 ай бұрын
Mashaallah
@ashahossein17434 ай бұрын
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatu shukran
@hamadiomari78049 ай бұрын
Shukuran sana sheikh
@user-ej4ds8ip3k4 ай бұрын
Shukulan kwaelim 🙏🙏
@ZainatuniAlly4 ай бұрын
alah akujaliye nakuongoze
@user-ro4dc5ob1t10 ай бұрын
Mashallah
@saumusanjiama699110 ай бұрын
Shukran
@MohammedJamad-kb8bi10 ай бұрын
Jee vidole puani vip
@MariamNdoro-oe7lv10 ай бұрын
Shukuran mungu akupe herry yake
@ambelekhan65484 ай бұрын
Shukrani
@user-lz6je9ik1p4 ай бұрын
Alhumdullih
@fadyanassor57079 ай бұрын
Aa Masha Allah allahubarik Allah atakuhifadhi sheikh wetu twakupenda sana ❤ Natka urecord video ya mtu aliyeshindwa kutumia maji Namna ya ku tayyamam😢 plz
@ibrayomapenzi70489 ай бұрын
M/mung azid kukuzidishiaa
@HadiaSheha-bj5ht9 ай бұрын
Je Ivo ukiwa unatia udh husem mfano nawait Sunday li uzui kweny kiung au vp
@mariamharoon18409 ай бұрын
❤❤❤
@abuumuhammad713310 ай бұрын
Sasa kutana na mashekh wa bakwana na waumini wao wanavyotawadha unaweza hata kutapika haswa wakisukutua Subhannallah jamaa hawajui dini wale hatari sana
@nanakitchen792910 ай бұрын
Asa wewe umemuona mmoja au wadunia nzima acha ufiki
@FikiriniHussein4 ай бұрын
Asante kwa darasa, ila kwenye kutawadha kwenye miguu kuna muksheri kidogo maana inatakiwa uanzie kwenye goti hadi chini ya unyayo na sio kutoka chini mpaka katikati ya mguu
@user-fo1rj6pp1c4 ай бұрын
Kufikisha Kwa magoti hiyo n Sunnah Sio lazima
@MSINGWAMSINGWA-eb7nl7 ай бұрын
❤❤
@ShamsaAbdulrrazak-yk9nc9 күн бұрын
MashaAllah kwa elmu wallah
@user-gu9zf3jj5l2 ай бұрын
🙏🙏🙏
@user-fh5uo8ob7e4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@ibrahimkassim82894 ай бұрын
kama sijakosea nadhani ukiosha mdomo na pua yafaa unuse maji ili ingie ndani kabisa ya pua kisha kupuliza pua kutumia mkono wa kushoto.Alafu pia miguu huoshwakutumia mkono wa kushoto wala sio wa kulia.
@FaudhiaMiduma-hh6sv10 ай бұрын
Shuklan 🙏
@user-ce8if8uj6r3 ай бұрын
Shukurani
@halimajuma365110 ай бұрын
Shukran umetuonyesha jinsi yaku tia udhu lkn hujatuambia wasema nn kwa kila hatua.
@Yu-jr9uf10 ай бұрын
husemi chochote zaid ya bismillah wakat unataka kuanza na dua baàda ya kumaliza
@newtonpatmos60374 ай бұрын
🎉
@zaituniallyjuma88452 ай бұрын
duasasa bwana husemi
@safiyaal-toqi85838 ай бұрын
Samahani umesahau kuosha shingo
@user-jy7bn8nt9q4 ай бұрын
Xhukrna kw maelez yko
@AnnastansMichael-br2cw4 ай бұрын
Kwamwanamke anavua ushungi kuisha kichwa
@user-ke9qx1qc2f9 ай бұрын
shekhe mi huwa nikifika kutawadha miguu huwa nafikisha hadi magotini..je udhu wangu utakuwa hauja kamilika...???
@user-tw5kr5vm9l11 ай бұрын
Muntaaz
@aliramadhan47504 ай бұрын
Husemi chochote??
@HadijaIkunguАй бұрын
Mi nilivyo fundishwa kila kiungo na nawa mara tatu
@abdillahomar10 ай бұрын
Mbn untia vidole puani
@msafiriduwiya77659 ай бұрын
Km KUNA VITU anahisi vimegandia puani
@user-rz9it3uv6f4 ай бұрын
Ukiosha mackio na nywel c ni mara moj2 jamn waumuani
@rashidsaleh18284 ай бұрын
Mimi naomba kuuliza ukienda chooni ukimaliza kujisaidia kama haja kubwa au haja ndogo ukimaliza unatakiwa usome dua ganj
@afhamomar44414 ай бұрын
Sio tu kusoma dua hata kuongea chooni hautakiwi dua utasoma baada ya kutoka
@rashidsaleh18284 ай бұрын
@@afhamomar4441kwaio ukimaliza kujisaidia una nawa to kawaida husomi dua yoyote
@fatumanassir30859 ай бұрын
𝑺𝒉𝒖𝒌𝒓𝒂𝒏 𝒌𝒘𝒂
@AshuraNyamziga4 ай бұрын
Mbona kuosha put sijamuona
@aishaabdallah93274 ай бұрын
Angalia tena Ndugu
@abdillahomar10 ай бұрын
Haitakiwii unapo tia maji puani kutia vidole
@msafiriduwiya77659 ай бұрын
KAMA KUNA VITU vimegandia?
@tausiselfself64619 ай бұрын
Iyo dua unasoma ukiwa njoo maana mwengi kunatia udhu chooni?
@Fivesnkamia4 ай бұрын
Choon unaanza tu kutawadha husemi neno Bismillah ila pia ukitoka choon nd utasoma hiyo Dua baada ya kutawadha
@Cartel226.9 ай бұрын
Nlivyo fundishwa mm ni kua ukimaliza kutawadha uko tayari kusali iyo dua husemi