Steve unajua sana ndg yangu mshukuru Sana Mungu kwa kukupa kipaji hichi ama hakika Mimi ni shabiki yako sana✅ From Ukonga Dsm
@SumaiyahAlly20 күн бұрын
Steve kipenz mbn we unaweza sana kwann usiachane malubano yasiyokuwa kuwa na manufaa wala faida ❤yoyote ile ebu nikuombe ufokasi kwenye kazi yako mie shabiki yako sana nakupenda ndomaan nimekwambia ivyo
@Taito-brand19 күн бұрын
Fact
@emmanuelmudaheranwa226320 күн бұрын
wanapenda group hiii ya comedy munipe like kbsa
@ismailkasim796020 күн бұрын
Munipe ndio nini kaka
@SmilingCakeSlice-zg6im3 күн бұрын
L1@@ismailkasim7960
@HEAVENLIGHTJLAIZER20 күн бұрын
Huu msemo aaah unabamba Acha tyu Steve huyo brand fulani akuonee donge like zenu kama mnampenda steve
@mossowaweruofficial812120 күн бұрын
1st kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 254
@Gichdoc20 күн бұрын
Anguka nayo
@MikeliElen-rf5gn19 күн бұрын
AHSANTE JIRANI😅😊
@aishahahmeddy92888 күн бұрын
Huyu Steve ingekua Kenya saii angekua mbali
@hollyboyMW25420 күн бұрын
Hongera steve,❤️❤️❤️much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@erick-fc8zb20 күн бұрын
Npenda hii Steve..msalimie ndaro ..hongera ..❤❤kutoka kenya🎉🎉
@SARIVE.LAME_12320 күн бұрын
Kuangalia tuu kutia like ahhhh show love guys ❤❤
@AmergoBenit18 күн бұрын
❤ nakupenda Sana Steve natamani siku moja tuonane kaka nakupenda naishi zambia ila nyumbani kwetu ni Congo
@magarikenzi736320 күн бұрын
Nzurii my G nakubalii kwa kazii zako achan na uyoo mwizi waa misemo....😂weeh ni legend bana 🎉
@user-ro1fg5ur9l20 күн бұрын
Watazamaji wa hii movie like kwa stive🎉🎉 jaman
@Alphanso00720 күн бұрын
Kuangalia tu ku like aaaah
@AmashaMchelemi-bq9yv20 күн бұрын
Combination nzuri San kak 😂😂😂
@shafitglamandspa660320 күн бұрын
Safii steve ..natokea kenya napenda ubunifu wko kaka..❤❤+254 tupo ndanii kabisaa
@RIGOVICONE-dy9bj19 күн бұрын
Courage mon pote bien joué 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
@erastopascal19 күн бұрын
STEVE FANYA KAZI ACHA KUGOMBANA NA WATU JUZI UMENIKERA SANA....upo vzuri 🎉
@PatrickIragior20 күн бұрын
From 🇨🇩🇨🇩
@ShottojumaNdakama18 күн бұрын
Nakubari sana Steve mweusi 🌷🌹🥀 mungu akuzidishie kipaji utikise Kila Kona za Dunia kusema ahsantee Ahaaa!!!🤪🤪