JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV. KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 113
@BarakaChristopher-dv4wf2 ай бұрын
Yaani wazee wako vizuri sana tena mnashindwa kuongea mambo yenu mnabaki kufatilia wachezaji wa simba tu wazee wamepiga panapo uma thank you hersi said tafuta usajili 😅😃😀😃
@kefangendwa33362 ай бұрын
😂😂😂😂 thank you ya engineer hers 😂😂🎉🎉🎉
@BarakaChristopher-dv4wf2 ай бұрын
Alikuwa. Mwizi wazee wamemgundua mapema wazee ongereni sana wazee
@SwahiliRecaps-h5p2 ай бұрын
Ni hatariiii na huyo engineer😅😅😅😅😅😂🎉❤
@ShekhMufyd-mn9zn2 ай бұрын
Kwahio unataka useme eng hers kapewa thank u na wazee 😀😀😀😀😀😀😀😀
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
Big thank you.wezi wakubwa
@wetemjini88182 ай бұрын
Wazee oyeee
@AbusamiyaMpangachuma2 ай бұрын
Kisugu uko njema sanaa pasuka tu usiogope hao wazee wametumwa kutuvuruga Kwa karne hii wameshindwa na watalegea
@AnciscoKayombo2 ай бұрын
Kumbe uto bhana 😂😂😂😂
@JumbeKajembe2 ай бұрын
Mtalijua jiji
@TomasiklistophaMwinuka2 ай бұрын
Kisugu pamoja sana
@evansdecaprio81962 ай бұрын
Katiba jamani
@kashangakuroka9972 ай бұрын
😂😂Yanga mnapenda kufuatilia Kambi ya Simba lakini kesi za wazee wenu aaaah🐸🐸🐸
@essaumapunda57662 ай бұрын
Nssf kitanzini
@salimmalaka2562 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kITANZI MASHUZI PWIIIIII PWIIIIII 😂😂😂 NA BADO
@NeemaAntony-b8qАй бұрын
Sisi Simba tunamuamini Mungu tu ndio msaada wetu
@SinemaZaChina2 ай бұрын
figisungu zimeanza
@CharlesLutandula-y3c2 ай бұрын
Ubaya ubwela
@michaelmwikalo9712 ай бұрын
Ubaya Ubwela ndio inaanzia hapo 😂
@salimmalaka2562 ай бұрын
NA WEWE KAZI YA ALI KOMO UPEWE WEWE 😂😂😂 KWANI WEWE JUMA UNAPEWA MSHAHARA????
@TibaKamna2 ай бұрын
Mm niko pamoja na wazee mpaka kieleweke litang'oka jitu😂😂
@salimmalaka2562 ай бұрын
HATA MIMI WAZEE WAHESHIMIWE
@mdemualphonce15592 ай бұрын
Mahakama iheshimiwe
@InocentInocent-wh1lr2 ай бұрын
Mzee huyo mchawi😅😅😅
@briankatani67702 ай бұрын
Mahakama kuu ni chombo cha juu ktk sheria.Hao viongozi watoke wakabidhi ofisi
@YOSHUAMWAMPETA2 ай бұрын
KWELI KISUGU ANAFAA KUWA MSEMAJI WA SIMBA .
@SaimonAnton-rj3vt2 ай бұрын
Hiyo kofia ya mzee unatsha ni noma
@salimmalaka2562 ай бұрын
MWANDISHI NENDA KWENYE MKUTANO WA MACHOGO WAKITIANA BAKORA RECODI UTULETEE 😂😂😂😂😂😂 NG'OMBE WA MAZIWA OYEEEEEE 😂😂😂😂😂
@salimmalaka2562 ай бұрын
YULE MOMO WA ZANDAAAAAANI KWANI ANASEMAJE??? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂UBAYA UBWELA
@judithtitomalyeta40002 ай бұрын
Na ww ndio muhusika mkuu jinga mkubwa
@AllyHamisi-c7j2 ай бұрын
Sikia hayo maswali mabayo hayana maana kama alikua anaendelea kukusanya upelelezi baada ya upelelezi kukamilisha ndio kaenda mahakamani na kashinda kesi
@HassibuMvungi2 ай бұрын
Kila tatizo la yanga wanayanga wanakuambia limetoka simba huu niupungufu wa mawazo wabadilike
@francisphilipo57492 ай бұрын
7:34 ppo 7:36 7:37
@salimmalaka2562 ай бұрын
BABRA WA SIMBA KAITWA CAF NA NDIE ALIEMPIGIA DEBE HUYO HERIS WENO HAMNA LOLOTE MATOPOLO MACHOGO FC MACHOGOOOOOOOOO 😂😂😂😂😂
@salimmalaka2562 ай бұрын
ALBADIRI ISHAANZA KAZI YAKE WANGA WACHAWI WAKUBWA NYIE 😂😂😂😂😂😂 NA BADO MACHOGOOOOOOOOO
@sakinasakina12862 ай бұрын
mishabiki ya yanga ni mimbumbu hayaelewi ha kiswahili
@Mumewangu2 ай бұрын
Uto walikurupuka wanapenda kuiga manake baada ya simba kumtangaza mo awe rais wa heshima na wao wakaiga
@YohanaJumanne-v3v2 ай бұрын
Wazee wa Yanga wamesahaurika sana na ndo walezi vijana wanawabeza wazee wao hapi utulivu haupo tena Mzee Juma Magoma komaa mchuzi wa moto moto Eng hapo alipofanya inatoshaaa
@hajingangila15582 ай бұрын
Sasa wewe mbona hauongelei Yanga yako mpaka hapo bado Simba mbovu Shabalala mala Kapombe sema sisi siyo people tutakutana.🎉
@SaumuSaidi-z2v2 ай бұрын
Na nyie nguvu moja,kazi kuiga uto
@luckygmdegela84772 ай бұрын
Simba inahusikaje hapo
@hamzaminangu10532 ай бұрын
huyo mzee nyuma ya kisugu anaonekana nae alikuwepo na wazee wa yanga mahakamani
Injinia hawezi pinga mamuzi ya mahakama, lazima atii usicheze mahakama
@josephmihayo62362 ай бұрын
Kisugu anatumia Matako kufikiria
@ZaniaMohammed2 ай бұрын
Kolo furahieni lakini mjue yule kolo mwenzenu hafui dafu
@julianajeremiah43532 ай бұрын
Kwani Mo alipokua anapangua watu taharuki ilitoka wpi si kwenu mvurugane tu😂
@EmanuelMwambu2 ай бұрын
Na hizo bajeti za matumizi mengineyo zilizokuwa zikipitishwa wazee hawazitambui.mmmh hapo Sasa.!
@clemantmalisawa30802 ай бұрын
Kwamafanikio walionao yanga si rahisi kumtowa hersi mana kawafikisha yanga kwenye nchi Yao ya ahadi
@ShabanihamisiShabani2 ай бұрын
Leo ndo nimengundua baadhi ya watazania ni watyu wa hovyo kabisa
@PeterLazaro-x6e2 ай бұрын
Kisugu mwaga sumu ubaya ubwela
@kassidpandu8662 ай бұрын
Bundi huyoooooooo hakuna lugha moja tena yapoooo!
@RamadhanAlly-qg9hq2 ай бұрын
Mpiraa usipokuwa na imani unaweza piga mtuu mpira unakelaa
@MohamediSleyum2 ай бұрын
Watu wa simba ni mafala sana leo ndo nimejua hilo wanahangaika na mambo yasowahusu
@MataulaMikusi2 ай бұрын
Watu wampige magoma
@judithtitomalyeta40002 ай бұрын
Kisugu sura mbaya sana na roho
@johnmwita93702 ай бұрын
Uyu jamaa j na upaa wote atajui kuongea
@chiefnumborecords48192 ай бұрын
KISUGU UNACHOPIGIA KELELE TUTAKIONA TAREHE NANE KWANZA WEWE NI POROJO TU UNALUPWA NA VIONGOZI WA SIMBA KUSIFIA UJINGA WA VINGOZI WAO IVYO WEWE UJUI MPIRA ILA KIPAJI CHAKO NI KUPIGA KELELE TUU UJUI MPIRA UJUI MPIRA NARUDIA TENA UJUI MPIRA WENGE NI NYINGI SANA
@ThomasMatale2 ай бұрын
Tatizo vijana wa yanga hamjui katiba yenu
@AlfredMwakabana2 ай бұрын
Kisugu kasuguwe meno yoko machafu
@Nasibuhelemani2 ай бұрын
Wewe nimpumbavu katiba inasemaje
@EliaMkumbo-wn7bm2 ай бұрын
Ww ndo mjinga katiba ya yanga inakuhusu nn ww Debora
@ramamohamed4922 ай бұрын
@@EliaMkumbo-wn7bm🤣🤣 unajizima data sio et Debora umesahau kuwa kuna joys upande wenu