KISUGU AKINUKISHA ENG.HERSI SAID KUUBWAGA URAIS | JUMA MWAMBA ASHIKWA NA UKAKASI SAKATA LA WAZEE !!!

  Рет қаралды 49,556

wispoti tv

wispoti tv

Күн бұрын

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Пікірлер: 113
@BarakaChristopher-dv4wf
@BarakaChristopher-dv4wf 2 ай бұрын
Yaani wazee wako vizuri sana tena mnashindwa kuongea mambo yenu mnabaki kufatilia wachezaji wa simba tu wazee wamepiga panapo uma thank you hersi said tafuta usajili 😅😃😀😃
@kefangendwa3336
@kefangendwa3336 2 ай бұрын
😂😂😂😂 thank you ya engineer hers 😂😂🎉🎉🎉
@BarakaChristopher-dv4wf
@BarakaChristopher-dv4wf 2 ай бұрын
Alikuwa. Mwizi wazee wamemgundua mapema wazee ongereni sana wazee
@SwahiliRecaps-h5p
@SwahiliRecaps-h5p 2 ай бұрын
Ni hatariiii na huyo engineer😅😅😅😅😅😂🎉❤
@ShekhMufyd-mn9zn
@ShekhMufyd-mn9zn 2 ай бұрын
Kwahio unataka useme eng hers kapewa thank u na wazee 😀😀😀😀😀😀😀😀
@muhamedjaffar5653
@muhamedjaffar5653 2 ай бұрын
Big thank you.wezi wakubwa
@wetemjini8818
@wetemjini8818 2 ай бұрын
Wazee oyeee
@AbusamiyaMpangachuma
@AbusamiyaMpangachuma 2 ай бұрын
Kisugu uko njema sanaa pasuka tu usiogope hao wazee wametumwa kutuvuruga Kwa karne hii wameshindwa na watalegea
@AnciscoKayombo
@AnciscoKayombo 2 ай бұрын
Kumbe uto bhana 😂😂😂😂
@JumbeKajembe
@JumbeKajembe 2 ай бұрын
Mtalijua jiji
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 2 ай бұрын
Kisugu pamoja sana
@evansdecaprio8196
@evansdecaprio8196 2 ай бұрын
Katiba jamani
@kashangakuroka997
@kashangakuroka997 2 ай бұрын
😂😂Yanga mnapenda kufuatilia Kambi ya Simba lakini kesi za wazee wenu aaaah🐸🐸🐸
@essaumapunda5766
@essaumapunda5766 2 ай бұрын
Nssf kitanzini
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kITANZI MASHUZI PWIIIIII PWIIIIII 😂😂😂 NA BADO
@NeemaAntony-b8q
@NeemaAntony-b8q Ай бұрын
Sisi Simba tunamuamini Mungu tu ndio msaada wetu
@SinemaZaChina
@SinemaZaChina 2 ай бұрын
figisungu zimeanza
@CharlesLutandula-y3c
@CharlesLutandula-y3c 2 ай бұрын
Ubaya ubwela
@michaelmwikalo971
@michaelmwikalo971 2 ай бұрын
Ubaya Ubwela ndio inaanzia hapo 😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
NA WEWE KAZI YA ALI KOMO UPEWE WEWE 😂😂😂 KWANI WEWE JUMA UNAPEWA MSHAHARA????
@TibaKamna
@TibaKamna 2 ай бұрын
Mm niko pamoja na wazee mpaka kieleweke litang'oka jitu😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
HATA MIMI WAZEE WAHESHIMIWE
@mdemualphonce1559
@mdemualphonce1559 2 ай бұрын
Mahakama iheshimiwe
@InocentInocent-wh1lr
@InocentInocent-wh1lr 2 ай бұрын
Mzee huyo mchawi😅😅😅
@briankatani6770
@briankatani6770 2 ай бұрын
Mahakama kuu ni chombo cha juu ktk sheria.Hao viongozi watoke wakabidhi ofisi
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 ай бұрын
KWELI KISUGU ANAFAA KUWA MSEMAJI WA SIMBA .
@SaimonAnton-rj3vt
@SaimonAnton-rj3vt 2 ай бұрын
Hiyo kofia ya mzee unatsha ni noma
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
MWANDISHI NENDA KWENYE MKUTANO WA MACHOGO WAKITIANA BAKORA RECODI UTULETEE 😂😂😂😂😂😂 NG'OMBE WA MAZIWA OYEEEEEE 😂😂😂😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
YULE MOMO WA ZANDAAAAAANI KWANI ANASEMAJE??? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂UBAYA UBWELA
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 2 ай бұрын
Na ww ndio muhusika mkuu jinga mkubwa
@AllyHamisi-c7j
@AllyHamisi-c7j 2 ай бұрын
Sikia hayo maswali mabayo hayana maana kama alikua anaendelea kukusanya upelelezi baada ya upelelezi kukamilisha ndio kaenda mahakamani na kashinda kesi
@HassibuMvungi
@HassibuMvungi 2 ай бұрын
Kila tatizo la yanga wanayanga wanakuambia limetoka simba huu niupungufu wa mawazo wabadilike
@francisphilipo5749
@francisphilipo5749 2 ай бұрын
7:34 ppo 7:36 7:37
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
BABRA WA SIMBA KAITWA CAF NA NDIE ALIEMPIGIA DEBE HUYO HERIS WENO HAMNA LOLOTE MATOPOLO MACHOGO FC MACHOGOOOOOOOOO 😂😂😂😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
ALBADIRI ISHAANZA KAZI YAKE WANGA WACHAWI WAKUBWA NYIE 😂😂😂😂😂😂 NA BADO MACHOGOOOOOOOOO
@sakinasakina1286
@sakinasakina1286 2 ай бұрын
mishabiki ya yanga ni mimbumbu hayaelewi ha kiswahili
@Mumewangu
@Mumewangu 2 ай бұрын
Uto walikurupuka wanapenda kuiga manake baada ya simba kumtangaza mo awe rais wa heshima na wao wakaiga
@YohanaJumanne-v3v
@YohanaJumanne-v3v 2 ай бұрын
Wazee wa Yanga wamesahaurika sana na ndo walezi vijana wanawabeza wazee wao hapi utulivu haupo tena Mzee Juma Magoma komaa mchuzi wa moto moto Eng hapo alipofanya inatoshaaa
@hajingangila1558
@hajingangila1558 2 ай бұрын
Sasa wewe mbona hauongelei Yanga yako mpaka hapo bado Simba mbovu Shabalala mala Kapombe sema sisi siyo people tutakutana.🎉
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 2 ай бұрын
Na nyie nguvu moja,kazi kuiga uto
@luckygmdegela8477
@luckygmdegela8477 2 ай бұрын
Simba inahusikaje hapo
@hamzaminangu1053
@hamzaminangu1053 2 ай бұрын
huyo mzee nyuma ya kisugu anaonekana nae alikuwepo na wazee wa yanga mahakamani
@FrankLuhaha-dt5sh
@FrankLuhaha-dt5sh 2 ай бұрын
Hahahahahahahaha duuuuuuuh hako kazeee kanaonekanaaa
@MohamediSleyum
@MohamediSleyum 2 ай бұрын
😂😂
@ShaffhYassin
@ShaffhYassin 2 ай бұрын
😂😂
@emmanueltango2179
@emmanueltango2179 2 ай бұрын
Hao vijana watuachie timu yetu wazee yaani ata mzee pili walimuaxha na gari
@AlfredMwakabana
@AlfredMwakabana 2 ай бұрын
Siyo mahakama unayo isema siyo ya michezo kumbuka kenye ilio fanyiwa
@OmarAshraph
@OmarAshraph 2 ай бұрын
Piga churahao
@StanleyMhagama-t3w
@StanleyMhagama-t3w 2 ай бұрын
Hapo mwishoni nimerudia na kucheka
@mack_vita_onyango8409
@mack_vita_onyango8409 2 ай бұрын
Injinia hawezi pinga mamuzi ya mahakama, lazima atii usicheze mahakama
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 2 ай бұрын
Kisugu anatumia Matako kufikiria
@ZaniaMohammed
@ZaniaMohammed 2 ай бұрын
Kolo furahieni lakini mjue yule kolo mwenzenu hafui dafu
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 2 ай бұрын
Kwani Mo alipokua anapangua watu taharuki ilitoka wpi si kwenu mvurugane tu😂
@EmanuelMwambu
@EmanuelMwambu 2 ай бұрын
Na hizo bajeti za matumizi mengineyo zilizokuwa zikipitishwa wazee hawazitambui.mmmh hapo Sasa.!
@clemantmalisawa3080
@clemantmalisawa3080 2 ай бұрын
Kwamafanikio walionao yanga si rahisi kumtowa hersi mana kawafikisha yanga kwenye nchi Yao ya ahadi
@ShabanihamisiShabani
@ShabanihamisiShabani 2 ай бұрын
Leo ndo nimengundua baadhi ya watazania ni watyu wa hovyo kabisa
@PeterLazaro-x6e
@PeterLazaro-x6e 2 ай бұрын
Kisugu mwaga sumu ubaya ubwela
@kassidpandu866
@kassidpandu866 2 ай бұрын
Bundi huyoooooooo hakuna lugha moja tena yapoooo!
@RamadhanAlly-qg9hq
@RamadhanAlly-qg9hq 2 ай бұрын
Mpiraa usipokuwa na imani unaweza piga mtuu mpira unakelaa
@MohamediSleyum
@MohamediSleyum 2 ай бұрын
Watu wa simba ni mafala sana leo ndo nimejua hilo wanahangaika na mambo yasowahusu
@MataulaMikusi
@MataulaMikusi 2 ай бұрын
Watu wampige magoma
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 2 ай бұрын
Kisugu sura mbaya sana na roho
@johnmwita9370
@johnmwita9370 2 ай бұрын
Uyu jamaa j na upaa wote atajui kuongea
@chiefnumborecords4819
@chiefnumborecords4819 2 ай бұрын
KISUGU UNACHOPIGIA KELELE TUTAKIONA TAREHE NANE KWANZA WEWE NI POROJO TU UNALUPWA NA VIONGOZI WA SIMBA KUSIFIA UJINGA WA VINGOZI WAO IVYO WEWE UJUI MPIRA ILA KIPAJI CHAKO NI KUPIGA KELELE TUU UJUI MPIRA UJUI MPIRA NARUDIA TENA UJUI MPIRA WENGE NI NYINGI SANA
@ThomasMatale
@ThomasMatale 2 ай бұрын
Tatizo vijana wa yanga hamjui katiba yenu
@AlfredMwakabana
@AlfredMwakabana 2 ай бұрын
Kisugu kasuguwe meno yoko machafu
@Nasibuhelemani
@Nasibuhelemani 2 ай бұрын
Wewe nimpumbavu katiba inasemaje
@EliaMkumbo-wn7bm
@EliaMkumbo-wn7bm 2 ай бұрын
Ww ndo mjinga katiba ya yanga inakuhusu nn ww Debora
@ramamohamed492
@ramamohamed492 2 ай бұрын
​@@EliaMkumbo-wn7bm🤣🤣 unajizima data sio et Debora umesahau kuwa kuna joys upande wenu
@MwajumaNgaruma
@MwajumaNgaruma 2 ай бұрын
​@@EliaMkumbo-wn7bm😂😂😂😂😂 jamon joyce😂😂😂😂
@johnmwita9370
@johnmwita9370 2 ай бұрын
Nywere kichwani huna Akili huna, mbona umeshindwa kesi yanga?
@MwanahamisHussein-dp2if
@MwanahamisHussein-dp2if 2 ай бұрын
Ndiogongowazi
@EmanuelMwambu
@EmanuelMwambu 2 ай бұрын
Eti combination ataipata wapi,no logic.mmepatwa na wazee.
@felixmluge3211
@felixmluge3211 2 ай бұрын
mtangazaji kafanana na Kicheche wa komediani...
@HemedLikondoro
@HemedLikondoro 2 ай бұрын
Y
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA 2 ай бұрын
Dr MSHINDO aliondolewa Kwa MAPINDUZI BARDI....hii HAINA BUSARA utaratibu UGUATWE....
@SaidiMpate-o5m
@SaidiMpate-o5m 2 ай бұрын
S
@sakinasakina1286
@sakinasakina1286 2 ай бұрын
kwani simba ndyo mahakamam
@RabsonSalmon-ys7bf
@RabsonSalmon-ys7bf 2 ай бұрын
Kisugu umecheka kama mbuzi
@MohamediSleyum
@MohamediSleyum 2 ай бұрын
Fatilieni SIMBA yenu YANGA itawasaidia nini Nyie MAKOLO Kwanza nyie SAIVI ni WAFAMAJI TU
@Bashirusalum
@Bashirusalum 2 ай бұрын
Mbona mkiyaoji majitu ya yanga nyie waandishi mnawasapoti hadi maneno wakishindwa waacheni washindwe tu
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx 2 ай бұрын
Ukimfanyia ubaya MTU Tena kwamakusudi,tambuaaa mabaya yoteeee yatakuludia
@AshaAbdallah-o9d
@AshaAbdallah-o9d 2 ай бұрын
Sasa wewe mwandishi kagoma ni nani
@drallan6879
@drallan6879 2 ай бұрын
case mahakamani ya yanga haituhusu sisi simba
@joshuamwambene2874
@joshuamwambene2874 2 ай бұрын
Mimi ni mpenzi wa Yanga niwaulize hawa wazee akitoka injinia halafu iweje??? Hawa wazee wametumwa
@bettyrugemalila9185
@bettyrugemalila9185 2 ай бұрын
Wametumwa lkn hawataweza,hvi kwa mafanikio haya wanataka kuipeleka yanga kumbe wenyewe hawakufurahishwa na haya mafanikio
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 2 ай бұрын
Wale wazee wametumwa na Mangungu na Try again full stop
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@MwajumaNgaruma
@MwajumaNgaruma 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂,, jamani mbona mnaionea Simba ,,,ubaya ubwela
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣👉🐸🐸🐸🐸🔥🔥🔥🔥🔥
@SULEIMAN-l8v
@SULEIMAN-l8v 2 ай бұрын
Eee yamekua hayo zamu yenu tulieni 6 zinakuja 4:35
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 2 ай бұрын
@@SULEIMAN-l8v yanga hawafahamu club yao imeingizwa hasara bilion moja ushehe
@AtirioDaimon
@AtirioDaimon 2 ай бұрын
Aende zake huyo mzeeee asitulundishe kule
@chiefnumborecords4819
@chiefnumborecords4819 2 ай бұрын
Huyo ajui mpira ji jinga tuuu
@MonaMbalike
@MonaMbalike 2 ай бұрын
Yaan wameshindwa kupambana uwanjan wanaanza siasa zao
@LinusKyando
@LinusKyando 2 ай бұрын
KISUGU FUATA YA TIMU YAKO MBOVU
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 ай бұрын
Mambo ya Michezo hayaendi Mahakamani
@bone102
@bone102 2 ай бұрын
MORISON mlimpeleka mahakamani alikuwa mwanasiasa au🤣
@amirabubakar9195
@amirabubakar9195 2 ай бұрын
Ndio lishafika
@kilambanyuchi5731
@kilambanyuchi5731 2 ай бұрын
Wazee wengine wachawi tu
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 2 ай бұрын
Waropokaji wengi Akina Kisugu Kagoma amesema Hajui aliye peleka Kesi Mahakama Kagoma Sio Mzee ni Shida zake hawezi kufanikiwa Kiumbe Magoma
@MbarukuSalum
@MbarukuSalum 2 ай бұрын
Hii hukumu umetoka mahakama ya kisutu sio mahakama kuu
@vaxminja9053
@vaxminja9053 2 ай бұрын
Tatizo Kisugu hajielewi kabisa. Halafu waandishi hawajielewi kabisa
@SaidiMpate-o5m
@SaidiMpate-o5m 2 ай бұрын
Ao wazee wana2mika na waasilika kuivuluga yanga kwann wasiendemahakmani kipindi yangainafanyavibaya waende wakatiinafanya vzr?ha2waelewi
@ErcksonjohnMishoori
@ErcksonjohnMishoori 2 ай бұрын
huyo mzee ni mbwa
@ramamohamed492
@ramamohamed492 2 ай бұрын
Baba yako ndo mbwa
@ErcksonjohnMishoori
@ErcksonjohnMishoori 2 ай бұрын
We nae kuma lamam yako
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 2 ай бұрын
Acheni Matusi iwaingie sawasawa
@zeralucyntazimila6600
@zeralucyntazimila6600 2 ай бұрын
​@@ErcksonjohnMishoorimama yako ana nini???
@AbusamiyaMpangachuma
@AbusamiyaMpangachuma 2 ай бұрын
Kikubwa ni utulivu tu sio kingine
@AbusamiyaMpangachuma
@AbusamiyaMpangachuma 2 ай бұрын
Kwani yeye huyo shabiki wa Simba anataka haya yazungumziwe wapi kama sio kuita watu comfrence ni muhimu weee umetumwaaa sio wewe
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 26 МЛН
Зу-зу Күлпаш 2. Бригадир.
43:03
ASTANATV Movie
Рет қаралды 587 М.
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 24 МЛН
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 26 МЛН