WOMEN MATTERS: WANAWAKE HATUPENDANI, NILISHAWAHI MFUMANIA NA LAFIKI YANGU,HUYO SIO LAFIKI

  Рет қаралды 35,222

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 118
@fatnahsaleh860
@fatnahsaleh860 5 жыл бұрын
Top nzuri kbsa😍😍😍😍😍😘😘😘😘😘
@ellysilwani9287
@ellysilwani9287 5 жыл бұрын
Amina mama Terry,kipindi cha Leo kizuri sana!hongereni! Wanawake upendo!!!!
@silverman6930
@silverman6930 5 жыл бұрын
Mama Terry Big up my mama 😂😂😂 I love you ❤️❤️❤️🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@abdallahkiliaki7299
@abdallahkiliaki7299 4 жыл бұрын
Pamoja na kwamba kipindi chenyewe kina kichwa cha "Kiingereza" (Women Matters), naomba mnapozungumza tumieni KIswahili, tena Kiswahili sahihi. Watanzania wengi, au niseme jamii ya Ki-Tanzania, inafurahia zaidi Kiswahili kuliko lugha ngeni. Mwl Nyerere aliwahi kusema kuwa kipimo cha msomi wa kweli ni yule anayeweza kuelezea sayansi ya NASA kwa mkulima wa kijijini na bado yule mkulima akaelewa vilivyo. Ahsanteni
@melangongo6490
@melangongo6490 5 жыл бұрын
I like women's thank you so muc🙏🙏🙏🙏🙏h I'm Florida I'm Congolese
@isakamanisaka8652
@isakamanisaka8652 4 жыл бұрын
Hi Florida...whats the meaning of boss ya mbotee😁
@IlhaamMarshed
@IlhaamMarshed 5 жыл бұрын
Napenda sana mahojiano ya wanawake sahihi ❤️❤️
@franklinemoi8516
@franklinemoi8516 5 жыл бұрын
Amazing
@Sonyambulo
@Sonyambulo 4 жыл бұрын
Asante sana mama kwa kusema ukweli! Wanaume ni adui sana kwa wanaume wenzao ni vile tu hawasemi Kama sisi wanawake!
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 5 жыл бұрын
Wasafi mko vizuri na mmejipanga sana.
@samiraallykayitesi7642
@samiraallykayitesi7642 5 жыл бұрын
Nawapenda sana from kigali
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 4 жыл бұрын
I love you wajina Lilian Mwasha wa MC Luvanda 😊❤❤
@isakamanisaka8652
@isakamanisaka8652 5 жыл бұрын
Ni Rafiki na sio Lafiki, hongereni kwa kazi
@frenchygigi
@frenchygigi 5 жыл бұрын
Wanawake hatupendani juu ya wivu and pia sisi tuko na tabia mbaya na roho mbaya.
@lovenessdiva3370
@lovenessdiva3370 5 жыл бұрын
Amazing 👏👏👏 najifunza jmn I don't want friend Ooooh
@luckydavid7475
@luckydavid7475 5 жыл бұрын
Mama nimekukubariii unaenda sawa Na kasi ya dunia 😁😁😁
@تةامممن
@تةامممن 2 жыл бұрын
Mm shemeji nilimuchamba mpaka basi kabisa
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 5 жыл бұрын
Nampenda huyu mama Terry anaongea yalokuwepo nayaliopo najifunza kitu,mbarikiwe sana
@jacklineswallo3643
@jacklineswallo3643 5 жыл бұрын
Mada nzuri n kuelimixha jamii....
@pendohumphrey7588
@pendohumphrey7588 5 жыл бұрын
The best show in tz
@gracepeter3200
@gracepeter3200 5 жыл бұрын
Mama kaongea point sana
@تةامممن
@تةامممن 2 жыл бұрын
Mm lewo rafiki yangu mpaka kifo sitowaye kumusame mpaka kiyaama 😭😭😭😭🥺😢
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Wanawake atufaii kwakweli sio watu utamkuta mtu kagombana na mmewe wewe ndo unajifanya kujileta bila yakujuwa kama yatakuja kukukuta pia kama yolomkuta shoga angu
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 4 жыл бұрын
Mwenye kimini cheusi kusikia maneno ya mama teri kabana miguu na kushusha kimini.😁😁
@omanjahaziipojuusanaphone6563
@omanjahaziipojuusanaphone6563 4 жыл бұрын
Isee da liliani mm nilitendwa na rafiki yangu mpaka leo hata kuongea hatuongei
@jessymalembeka6181
@jessymalembeka6181 5 жыл бұрын
Mama Terry umenikoshaaa sana.
@ezekieljolam3961
@ezekieljolam3961 5 жыл бұрын
Naomba mnialike mm naweza shauli hili well 2020 revolution in love no pain
@mohamedomar7692
@mohamedomar7692 5 жыл бұрын
Ni kweli binaadam asili yetu hatupendani haijalishi m/ke Au m/me hata wateule wa Mungu walikiona kimbembe kwa manufaa yao ni ni jukumu la kila mtu awe mzuri kwa mwengine
@تةامممن
@تةامممن 2 жыл бұрын
Maana lafiki yangu lewo anaishi na mume wangu mpaka sasa sina hamu nawo 😭
@pendohumphrey7588
@pendohumphrey7588 5 жыл бұрын
Nahitaji part 2 please
@maombikonga
@maombikonga 5 жыл бұрын
ooh Liliani utaharibu Akomae tu kukataa na si kukwambia
@reheemabib6574
@reheemabib6574 5 жыл бұрын
Wanawake kweli tubadilike wamama mpo sahihi sana wanawake ndo kikwazo kwa wanawake wenzao
@israelmollel3182
@israelmollel3182 4 жыл бұрын
Mambo mazurihayo
@kingangiejansie7731
@kingangiejansie7731 5 жыл бұрын
Jamani jifunzeni kuandika kiswahili kwa ufasaha...ni Rafiki na sio Lafiki.
@mariaamuri9627
@mariaamuri9627 5 жыл бұрын
True
@fashiontrendstv3207
@fashiontrendstv3207 5 жыл бұрын
Narcissisim imetawa msikilizeni mama Terry pia ni mwisho wa dunia tubuni muuone ufalwe wa Mungu
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 5 жыл бұрын
Kwel kabisa mama Terry,chance cha yote hayo nikukosekana upendo😥
@mayaalshukairi9485
@mayaalshukairi9485 5 жыл бұрын
Nimekipenda sana kiapindi hiji
@sofiarugoye7929
@sofiarugoye7929 2 жыл бұрын
Huyo dada mwenye nyeusi mkao wakwanza ulikua sio
@fauziyaomar7090
@fauziyaomar7090 Жыл бұрын
Usongo kweli
@Sonyambulo
@Sonyambulo 4 жыл бұрын
Kivunja mtaa 😀😀
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 5 жыл бұрын
Kipindi cha Leo kitamu nampenda yule mama
@ashaali7154
@ashaali7154 5 жыл бұрын
Mbona kizazi hiki wanaume ndio wanaongoza kwa udaku na umbea mfano kina Juma Lokolle kina shilawadu baadhi ya watangazaji wa media halafu wanajisifu kuwa umbea ndio unawaweka mjini.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
😂😂😂 wapi Dr kumbuka? Tena wamejenga, Wana maisha yao mpk na mimi natamani nifanye umbea
@nyamkamawanjara29
@nyamkamawanjara29 5 жыл бұрын
Baby sky unamimba nini hongera
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 5 жыл бұрын
Nyamkama Wanjara Kwavile mnene ama
@seifabdallahamad3029
@seifabdallahamad3029 5 жыл бұрын
Mimi ndiio nasema wakiongokaa wanawakee imeongoka jamii
@a.856
@a.856 5 жыл бұрын
🙏🏻👍🏼
@hekimamliga2139
@hekimamliga2139 5 жыл бұрын
Lafiki ni nani editor🤔nice kipindi
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 5 жыл бұрын
😍😍😍😍
@susans4490
@susans4490 5 жыл бұрын
Sio marafiki tu wanokutenda hata ndugu anaweza kukutenda na kukuchukia mpk shetani akashangaa.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 5 жыл бұрын
Kuna wale wanaofanya yao siri lkn wakaekwa mitandaoni na baadhi ya watu wakawashambulia mm binafs huwaonea huruma (mana anaetenda kwa siri hujaambiwa umfedhehi) lkn wale wanaojieka wenyewe mitandoni wakafanya upuuzi na ujinga ilhali wap wenyewe wanajiona ndio wapo sawa kwa kua tu wanaingiza pesa au vp mimi siwaonei huruma wakishambuliwa. Mana kushambuliwa kwao ndio angalau kunaeza kuwafanya na wengine waone ni kitu kibaya kile, wasiige.
@fatmakombo7584
@fatmakombo7584 5 жыл бұрын
Nakupenda hichi kipindi
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 5 жыл бұрын
Mama tel kumbe anakiweza kinge!!
@moviezupdates170
@moviezupdates170 5 жыл бұрын
Kwa sababu hampendani
@sharifaally9404
@sharifaally9404 5 жыл бұрын
Nimemiss aunty Sadaka jamani
@jokhaali9187
@jokhaali9187 5 жыл бұрын
Jamani mimi hili nalipitia ss hv nnavo andika. Nilimkaribisha shoga angu kula mishkaki just kufurahi hio ndio ilikua kosa langu nilianza kumkosa mpenzi wangu Mara busy nitakutafuta mpk siku nikamuuliza hebu nambie Kuna nini kimejificha sikielewi? Alinijibu natakiwa kumuona mtt wa mjomba wangu niliumia Sana lakini nili accept kwakua sikua na chaguo kwakua tulipendana Sana na mpenzi wangu Sana Sana mpk tulikua km tunaekti move. Ni mtu mwenye kujali na anajua majukumu yangu alishaninunulia Gari nilikua na siku km 15 tangu kutoka lecen. Yule shoga angu kuona kumbe ss fulani a naenda kua mtu fulani zaidi yangu kwa nini na mimi ni mzr kuliko mbona? Bc nikapoteza netwak na mpenzi wangu kabisa kabisa mpk akanambia usinitumie sms wala Sim nilishangaa kwa hilo liliniumiza nikasema mbona km Kuna kitu? Ss kuanzia hapo nikaanza kutafakari lazma Kuna kitu huenda hata hii ndoa sio kweli nikamuelezea shoga angu mwengine mbona mimi naona huyu bwana km hajaoa nahisi yuko na mtu fulani km mungu alikua ananiletea matokeo mpk siku tukapanga kufumania MN huyu shoga mwengine anafanya kazi na huyu shoga alie ni chukulia bwana bc ni kaenda pale kazini nikavaa ninja nikasubiri km nusu saa hakika baada ya nusu saa niiona Ile Gari alioninunulia bwana angu hio I nakuja niliona mwili unanitetemeka. Nikangoja Gari mpk imefika I kafanya kunipita kidg baada ya kusomama Gari ni kaenda nikafungua Gari mlango wa dreva mwanaume alishtuka nikamuuliza huyu ndio mtt wa mjomba wako uliooa? Alishindwa kunijibu alibaki kuniuliza nini nini nikamjibu Sawa nikaondoka nikawa acha hv nnavo andika jumamosi hii iliopita wameoana mimi nimemshuku mungu. Wanawake hatupendani na huyu mwanamke sio mimi wa kwanza kunifanyia ni kawaida yake kumbe
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 4 жыл бұрын
pole sana
@cadzabibu9871
@cadzabibu9871 5 жыл бұрын
Kweli hausemi uongo
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 5 жыл бұрын
Mama Tery umenifurahisha eti Dunia ipo ICU, watu wana matatizo yao baadhi ya watu wamepoteza dira waanatafuta kuchafua wenzaio ili wawe wengi walioshindwa shindwa, watu tuache kukoment ukakasi tucoment chanya kila mtu anataka kusikia mazuri badala ya kuendelea kumkandamiza mtu vibaya kwa koment toa pole tu itatosha.
@sophiasophia9713
@sophiasophia9713 5 жыл бұрын
Rafiki jamani, hicho kichwa cha habari kinaukakasi, lafiki ndo nini 🙄
@keyla3641
@keyla3641 4 жыл бұрын
Mada imenigusa sana lilian nitakutafuta
@erastodsm9736
@erastodsm9736 5 жыл бұрын
Darasa la 7 unamaliza na miaka 11, Form 3 kwenda 4 unamiaka 14 , sawa Dada apo sasa hivi unamiaka mingapi
@maombikonga
@maombikonga 5 жыл бұрын
Na hilo limewarahisishia wanaume kuwaongoza wanawake na kuwafanya watakavyo
@deogratiasyagomba287
@deogratiasyagomba287 5 жыл бұрын
Kipindi ni kizuri lakini kitakua kizuri zaidi kama mtafuata ushauri huu,muachiane nafasi ya kuongea na si kwa muda mrefu kwa mtu mmoja hata Kama yote anaongea ni point mengine ataongezea baadae.Kufuata point kwamba kwa mdano. Tunapo sema wanawake hampendani maana yake nini?,sababu ya wanawake kutopendana ni nn?,kwanini inatokea hali hiyo?.Nini kifanyike ili kuondoa tatizo hilo?.Hapo pia kuna kua na watu wa gender pia na wengine kama hao ili kupata mtazamo wao na source wengine wa muhimu.Nawapenda sana mimi ni Deogratias Yagomba ni mwana tasnia mwenzenu sema nipo mkoa 0762956366
@brandinakizito3541
@brandinakizito3541 5 жыл бұрын
Anti sadaka Yuko wapi?
@elshaarawymuhabesh316
@elshaarawymuhabesh316 5 жыл бұрын
Kipindi Kipo Vizur...
@luckydavid7475
@luckydavid7475 5 жыл бұрын
Hakuna kitu sipendi Kama kusema wanaume wameumbwa ivyo, maninaaa zao
@OnlyRuky
@OnlyRuky 5 жыл бұрын
Hii mada mlitakiwa mumshirikishe na maimartha aulizwe haya maswali because she's the one huko insta
@koimobomba4740
@koimobomba4740 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 umeujua kunichekesha
@annedavienyamhanga4738
@annedavienyamhanga4738 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@lydiaakimana7988
@lydiaakimana7988 5 жыл бұрын
Jamani kipindi nimekianza tu nikakutana na story inayonihusu nilifanya mistake ya kumuamini rafiki saana ile hata nikijikwaa ukucha tu namupigia namueleza yaani kwa ufupi tu nilikuwa simfichi la inje mpaka la ndani lakini alichonifanyia nilikuwa na mchumba tunakaribia kuowana ila yakawa yanatokea mambo mambo ambayo siyaelewi nikawa namuelezea hadi tukafikia kuachana badae kidogo tukaja tukaachana chakushangaza bada ya mda kidogo tu nilikuja kugunduwa kama yale yoote yaliokuwa yanatokea yalisababishwa na huyohuyo best yangu yaani nilikuwa nikigombana naye kumbe zile sim zote nilizokuwa nikimupigia nikimulilia mara nyingi alikuwa amekumbatiana na aliekuwa mpenzi wangu daa nilipata mshituko mkubwa baada ya kugunduwa kuwa tulivo achana tu alihamishia makazi kwake nikafanya mwezi mzima nikiendelea kulia nae bila kujuwa chochote mwishoni akatokea rafiki yake mwingine niliekuwa simufahamu akanionea huruma akanieleza kila kitu na kunitumia videos akiniongelea vibaya yaani sikuamini mpaka sasa hivi hicho kitu kimekataa kuisha kwenye hakili yangu 😭😭😭😭😭😭
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 5 жыл бұрын
Lydia Akimana poleee dear
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 4 жыл бұрын
Pole mpenzi
@jnnn1273
@jnnn1273 5 жыл бұрын
Wasafi make sure you look your spell before you post ni Rafiki and not Lafiki
@chunanachu2529
@chunanachu2529 5 жыл бұрын
Mie shost wangu kanichunia bila sababu
@alphincealex9112
@alphincealex9112 5 жыл бұрын
Mi binafsi naishi marekani lkn Tz kuna sehemu kabisa kunashinda ata apa African imebarikiwa tukitowa dollar tunabaki na kingereza tu
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 5 жыл бұрын
Tatizo la wanawake ni tamaa ndio kitu kinawaponza?mfano wa huyo Diamond platnumz alikuwa anatembea na wema sepetu na rafiki nwa Wema sepetu VJ Penny na hataJokate.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 5 жыл бұрын
Umeamua kueka mambo yako mtandaoni unategemea nini? Wapo watakaokukosoa kwa nia safi ili uongoke ingawa utaudhika, wapo watakaokukosoa kwa chuki na wapo watakaokusifu.
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 5 жыл бұрын
Kipindi ni kizuri sana. Kubwa peaneni nafasi ktk kuongea
@Boaz22
@Boaz22 5 жыл бұрын
Hua najiuliza women matters ni wanawake,.mwanaume hua unafuata nini,?angalia sasa wanawake wote wanacheka ila jamaa kimya,.yaani it’s embarrassing
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 5 жыл бұрын
Nisawa kwa wanawake na wanaume kwasababu bila mwanaume hakuna mwanaume lakini Hawa wa nakosea kipindi wa nacheka Sana Wana shindana Sana hawapeani mda wa kila mmoja kuongea na kumaliza
@vevo3130
@vevo3130 5 жыл бұрын
Ntamani nisikie mawazo ya aunt Sadaka na najua atasema kuwa sio kweli...mi pia siamini sema tu kwa sababu imewekwa hvo kama divide and rule....mi i love women and mostly huwa tupo fresh tu...sitaki kuwa na mihemko kwenye hili...next topic please.
@Nyamisango
@Nyamisango 5 жыл бұрын
Let’s not clap Jmn pls
@susans4490
@susans4490 5 жыл бұрын
Ss huo mziki ni wa nn wakati mnaongea
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 5 жыл бұрын
Hapo penye mtoto umwambie yy ndo alomfuata mumeo, loo! Mume ni mtu mzima kabisa, yy ni wakulaumiwa kwa hali yeyote ile hata km mtoto amemfuata yy.
@cadzabibu9871
@cadzabibu9871 5 жыл бұрын
Niwivutu
@fashiontrendstv3207
@fashiontrendstv3207 5 жыл бұрын
Mabeste amemuabuse mkewe adi akapata Post Tramatic Stress Disorder
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 5 жыл бұрын
Amemuabuse ndonini
@luccabosslugendo9722
@luccabosslugendo9722 5 жыл бұрын
Kama kupendana kwenyew ndo kutetea upuuz wa mke wa mabeste skubali. Unatembea na rafik yng ??
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 4 жыл бұрын
Kat ya hao kuna mke wa mabeste?
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 5 жыл бұрын
Babysky unamtetea tu lissa kiukweli.....! Kapitia mengi na story yake ukisikiliza kweli amepitia mengi na alisimama na mumewe lkn kwenda kutembea na rafiki ambae alikuwa anafahamiana na mumewe Tena wakafikia hatua mpka ya kumuamini na kukubali familia yake ikasheherekee sikukuu nyumban kwa rafiki yenu leo mnaachana unaenda kusema ni rafiki yako wewe sio yeye😩 unasahau ulimu introduce kwa mumeo na akawa pia rafiki wa mumeo sio sawa kabisa......! YANI HAPO LISA ALIKOSEA SANA KWENDA KUTEMBEA NA RAFIKI YAO JAPO NAE ALIKOSEWA NA KAPITIA MAGUMU
@silverman6930
@silverman6930 5 жыл бұрын
Lafiki??? 🙄🙄🇬🇧🤔
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 5 жыл бұрын
Rafiki mnafiki
@Boaz22
@Boaz22 5 жыл бұрын
Mi rafiki yangu akichukua Demu wang nauaaaaa....😏
@kaysamson1167
@kaysamson1167 5 жыл бұрын
mama debora yuko wapi
@neemayona5057
@neemayona5057 5 жыл бұрын
Mnakera kimoja tu unavyojadili kitu jaribu kuongea kiswahili siyo kila msikilizaji ni mzungu.
@susans4490
@susans4490 5 жыл бұрын
That tu tu is so annoying
@lajo.
@lajo. 5 жыл бұрын
Nan kaona kama mtangazaji ana mashauz hadi anakera, et kipindi bora kuliko vyote afu anajishtukia na kauli yake duh! tulia ww cc ndo wataalamu ubora wa kipindi wanaujua watazamaji na cyo ww, we endesha kipindi utapewa maksi zako tu alah.
@mauchamakh4756
@mauchamakh4756 5 жыл бұрын
Laurent Jordan umeandika gazeti kuubwa inaelekea kauli yake imekuuma au vipi? Na kuna ubaya gani mtangazaji akisifia kipindi chake????
@christianainea615
@christianainea615 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣cjui kaumia nini
@davidmathew2087
@davidmathew2087 5 жыл бұрын
mdogo wangu usimalize bando lako kwa kushow hate kp da opns to urself
@jessydaktari5209
@jessydaktari5209 5 жыл бұрын
Ndo akili zako zilikoishia...wala hatutokulaum😁😁...common sense is not common
@vevo3130
@vevo3130 5 жыл бұрын
mbona kama umepanick!! chill man chill....
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
Beat Ronaldo, Win $1,000,000
22:45
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
Nondo za AUNT SADAKA. Saikolojia ya Mapenzi// Malezi//Ndoa
1:25:32
Dream Aid Studios
Рет қаралды 155
SELF CONTROL Dhirigalin | Sheikh Mustafe Hajji Ismail
18:45
abdull عبدول
Рет қаралды 225 М.
WOMEN MATTERS :KUFUA BOXER ZA MUMEO (CHUPI) SIO LAZIMA NI UPENDO  TU
50:23
LOYALTY TEST ON THE DOMINION FAMILY|| THE PEEKAYS @ThePeekays
48:02
Women Matters: WANAWAKE HAWAJITAMBUI\JUA THAMANI YAKO
1:01:31
Wasafi Media
Рет қаралды 36 М.
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.