mbona kwenye kurasa zote za wydad hakuna kitu kama iko?
@JosephEmmanuel-eb7gj10 күн бұрын
Kwahy ulishaona wap team inaandik kutuma offer
@nassoroc10 күн бұрын
Duh! Uliwahi kuona page ya timu gani ikiandika kumtaka mchezaji fulani?!
@mustafamsati959910 күн бұрын
Mgeni huyu kwenye kufuatilia usajili nenda kwenye ukurasa maaruf wa yutube unaotoa tasmin ya usajili moroco morocano uone video za mzize na aziz ki mshambaww
@PiliJuma-z7m9 күн бұрын
waka mtake nani chasambi au karabaka au balua Simba Amna mche zaji Kama mzize
@PiliJuma-z7m9 күн бұрын
Kama mnabisha muu lizeni chimalon
@maase202310 күн бұрын
Mzize hata simba hawamtaki wakamtake wydad ????
@jastinmkama854810 күн бұрын
Sasa unadhani simba wanaakili
@JastinDonasiano10 күн бұрын
Kumbe we ni kenge ivi kunamchezaji wakumuweka mzize bech pale makolo
@maase202310 күн бұрын
@JastinDonasiano mzize nae mpira wake mbn mdogo sana au kwa kuwa alifunga goli na mazembe? Hana mpira
@nassoroc10 күн бұрын
@@maase2023 Kwani tetesi dhidi ya Mzize zilianza baada ya kuifunga Mazembe?! Hivi nyie Makolo mbona mna uwezo duni wa kufikiri kiasi hiki?!
@mustafamsati959910 күн бұрын
Sio simba wanaomtaka ni wydad simba ni tiem kubwasana