so upo hapa kucomment ili upate likes!! 😳😳!!!!????? mzima kweli wewe!!?
@kelvinbanoth21612 жыл бұрын
Huyu jamaa anaufasaha wa kuzungumza sana na anaufanisi mzuri wa kujib maswali....best interview
@pastorteddywaziri57542 жыл бұрын
Mimi nampendaga huyu baba mheshimiwa Waziri wetu wa habari wa sasa kwa jinsi alivyo very charming.Nilianza kumpenda kupitia video moja hivi alikuwa anaimba wimbo Fulani hivi wa maudhui ya kizamani kwenye events ya wasafi. Ooh yes nimekumbuka ilikuwa ni siku ya mahaba ndindindi ya wasafi.Alikuwa yaani naimba bila maringo kwa unyenyekevu halafu ana sauti natural yaani sauti ilikuwa inatoka TU yenyewe bila kuilazimisha 🔥🔥🔥.Nafikiri alikuwa anaimba Ili kuwaunga mkono vijana na kuwatia moyo Ili waendeleze Sanaa zao. Alinifurahisha Sana kwakweli.Huyu baba namkubali Sana kwakweli 👏👏👏🔥🔥🔥
@tonymasy88722 жыл бұрын
Nsumba secondary schools kumbe we nape ni school mate wangu, duuh it's very joyful
@luizabahati51982 жыл бұрын
Nice one!..All the best Mhesh Nape ..Baba Jay..kweli leadership ni kazi .Mungu akujalie ukatende kwa utukufu wa Bwana daima
@shebbyhadithi55592 жыл бұрын
Salama Demo zinawai, lakini video zinatake long long time kuwa uploaded🙏
@yusufmohamed88742 жыл бұрын
I like this guy
@nsajigwamwanjati51192 жыл бұрын
Salama tuletee Gwajima
@Aidansimwanza2 жыл бұрын
Salama ww ni🔥🔥
@uwezomabava39492 жыл бұрын
Nakukubali bro
@kmnetworktz34732 жыл бұрын
Imekaa sawa sana hii
@jackhans77082 жыл бұрын
Kwanza haiitwi luga ni lugha, kiswahili
@zuwenaabdallah77482 жыл бұрын
Huwa nampenda sana huyu kaka yaan niliumiaga kipindi alivyotolewa bastola😪
@halimamasai22342 жыл бұрын
Hata mimi nilisikitika sana
@mussakhamis23772 жыл бұрын
Big up salama unajua
@sassboy93602 жыл бұрын
Ndugu Nape 😂😂
@rrchidy62082 жыл бұрын
Ya stone town
@valentinetesha85362 жыл бұрын
WABUNGE kumbe wana tabu kweli
@shaiduna2 жыл бұрын
Hey momma how are you
@rommelmauma80812 жыл бұрын
Punguzeni matumizi ya Kiingereza, kwa vitendo!
@nicolastitus5682 жыл бұрын
Sio luga ni rugha kiswahili ni rugha yetu
@abubakarothman25212 жыл бұрын
Lugha na si rugha kama ulivyokosea wewe!
@aminanamoyo832 жыл бұрын
Lugha mpendwa
@japhetkasewa93722 жыл бұрын
Na sio rugha ni "lugha"
@alexjacobndagile87082 жыл бұрын
Wewe umekosea au nawe hujui? Sio rugha Ni lugha nadhani amekosea au ameathirika na matamshi.
@saidnoumani72442 жыл бұрын
Focus zaidi kwenye contents not single work kama lugha au luga
@jackhans77082 жыл бұрын
Storia yako imeshaandikwa,wewe ni mwizi 2 kama wengine.😡
@alfredmhana2352 жыл бұрын
Wivu huna point kwa nini usiwe muugwana kakukosea nini
@jackhans77082 жыл бұрын
@@alfredmhana235 kwa sisi tuliozaliwa kitambo tuwafahamu wezi wa nchi hii.
@lameckmahona20582 жыл бұрын
Ckupend nape mnafk sana,nadhan ulisoma chuo Cha unafki