Salama Na Master Jay SE6 EP21 | NDUGU MHANDISI PART 1| SendTip MPESA LIPA NO 5578460

  Рет қаралды 53,163

YahStoneTown

YahStoneTown

2 жыл бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
NDUGU MHANDISI
Joachim Msafiri Kimaryo ni Kaka yangu na rafiki yangu wa kweli kabisa, mimi na yeye tukiwa pamoja vicheko huwa haviakauki maana tumekutana sote tunapenda sana kucheka na tunapenda utani. Humtania sana kuhusu karibia kila kitu, kampani yake ni moja ya kampani ambazo nazipenda sana. Tunaongelea kuhusu kila kitu mimi na yeye, iwe kuhusu binti yake Nuru kukua na kuwa na boyfriend, au kipaji na muonekano wa baadhi ya wana muziki wa hapa nyumbani, iwe kuhusu Zanzibar na jinsi anavyopata mafua akiwa kule au jokes za ndani kati yetu ambazo mara nyingi zinakua na lugha za kikubwa, yote hayo huongea nae na hucheka sana.
Si mtu ambaye tunakutana kila siku au tunaongea kila siku Ila pale tunapoongea huongea na tunapokutana basi ndo tumekutana. Nna heshima nyingi sana kwake, kwa jinsi ambavyo ameweza ku maintain status yake ila kubwa zaidi ni jinsi ambavyo aliweza kumzidi Marehemu Mzee wake maarifa ki aina na akaweza kufuata roho yake ilichokua inataka na akafanya mziki. Mziki ambao hapa wewe unavyosoma unajua umesaidia kutoa ajira na kubadilisha maisha ya watu wangapi. Na unajua kama Joachim Marunda Msafiri Kimaryo ni mmoja wa waasisi hao. Baba yake alilipia ada ya mwanaye kwenda kusoma nchini Uingereza ili aje apate kazi Tanesco ambapo yeye alikua akifanya kazi, ndo maana alimchagulia mpaka cha kusoma, ila Jay alipifika Uingereza gea ilibadilikia hewani INGAWA alimaliza kwa uzuri tu ile elimu ambayo Mzee wake alikua anataka aipate.
Baada ya kurudi nyumbani sasa, instead ya kwenda kuanza kazi Tanesco ambako nafasi yake ilikua tayari, Jay alitaka kuwa producer na aliweza kufanya hivyo ingawa Marehemu Mzee wake hakupenda, hili ni moja ya maswali nilimuuliza Kaka yangu, kama Mzee wake alishawahi kuyaona hata kidogo mafanikio yake au alishawahi kuskiliza kazi ambazo ni nzuri kijana wake alishawahi kufanya na ambazo zinaishi mpaka leo hii.
Master ametoka kwenye familia za kishua tu, Mama yake Scholastica Sylvan Kimaryo ni mmoja kati ya Ma Coach wazuri tu wa masuala ya kibinadamu na jamii, ashawahi kufanya kazi kwenye mashirika makubwa tu ya Kimataifa na mpaka leo mchango wake bado unatumika kwenye taasisi mbalimbali ili kuweza kuwaendeleza vijana katika nyanja mbalimbali za uongozi na maadili bora. Na Dadake yake Catherine naye pia yuko vizuri tu kwenye masuala ya u coach kama ambavyo Mama yake naye anafanya. So familia iko vyema na mambo yanaenda vizuri tu.
Master ni shule inayotembea, anajua vitu vingi kuhusu karibia kila kitu, ni rafiki mzuri na mtu ambaye mziki huu wa kwetu ameupigania tu sana na pengine wakati wa kujilipa au kulipwa ndo huu umefika. Kwenye maongezi yetu haya tuliongelea kuhusu maisha yake binafsi kama ilivyo ada, kuhusu familia yake na watoto wake lakini pia kuhusu Marehemu Mzee wake na Mama yake na studio yake, miaka ya nyuma wakati wanaanza na mahusiano yake na maproducer wa zamani haswa P-Funk ambaye pia alikua BEST MAN kwenye harusi yake.
Master pia nimeongea naye kuhusu mustakabali wa Bongo Flava, hapa tulipo na huko tuendako, na majibu yake ni kitu ambacho ungependa kuskiliza sana.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZbin Link bit.ly/KZbinSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 90
@franklinassey6600
@franklinassey6600 2 жыл бұрын
Tanzania raha sana mzanzibar mchaga wanacheka na kufurahi kama wamezaliwa pamoja
@CoachHafidh
@CoachHafidh 2 жыл бұрын
Nimeisubiri sana hii...MastaJay ana story nyingi sana za zamani. Likes zangu kama commentator wa kwanza😎😎🍹
@soumayarubuka6900
@soumayarubuka6900 2 жыл бұрын
Watu wa wili napenda kuskiliza tanzania wanao towaga maoni ya akili bila kumficha mtu kwa lengo yakumbadilisha awe bora. Big up Salam and Master j
@mbarakasaidi8243
@mbarakasaidi8243 2 жыл бұрын
hapo patamu na ukimleta na chid benz itakuwa mpango mzima
@maishaforreal7798
@maishaforreal7798 2 жыл бұрын
Yaaniii Bora kwasasa kusikiliza wakenya na bongo Flava ya zamani
@millymack1370
@millymack1370 2 жыл бұрын
Dread locks ni fashion Rasta ndio dini...not the other way round sir.
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 2 жыл бұрын
Mungu ndio mtoaji kuhusu watoto nakubali mtoto wakike
@isaacmweni164
@isaacmweni164 2 жыл бұрын
Am ur big fun salama frm Nairobi.......salama na Otile Brown ikam thru itakua 🔥🔥
@georgechande8140
@georgechande8140 2 жыл бұрын
Ningependa kiswahili kingetumika kwa ability kubwa
@kareemmohammed1521
@kareemmohammed1521 6 ай бұрын
We mwenyw umetumia ngeli 😂😂
@jasmineedamu6089
@jasmineedamu6089 2 жыл бұрын
Hii kazi ya kupanda Gari la njano ilinishinda😭
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 2 жыл бұрын
Mzee Kijana...Maneno kintu Sana🔥🙏🏾🤞🏾❤️🇰🇪❤️.
@julianakimaro5474
@julianakimaro5474 2 жыл бұрын
Nimewapendaaa dah eti the eyeeess
@danielnderagakura8174
@danielnderagakura8174 2 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana.turetey na harmonize
@chrisbonfils4024
@chrisbonfils4024 2 жыл бұрын
Hakuna kitu kigumu kama iyo issue ya watoto baada ya kutengana 😔🤦🏽‍♂️
@drtobias_
@drtobias_ 2 жыл бұрын
Haya majama mi nayapendaga sana!
@BerthaModest
@BerthaModest 5 ай бұрын
Salama yuko mrembo san🎉❤
@Djso26
@Djso26 2 жыл бұрын
BEST OF THE BEST !! MASTER MASTER TU.✊
@danieljoseph4725
@danieljoseph4725 2 жыл бұрын
jamani salama,,,,,uwe unawazuia kiingereza
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 жыл бұрын
Duuuh master J 🙌🙌🙌 napenda SN interview zako nikiona tuuu interview yko nafungua kaka
@Epicmarkmedia
@Epicmarkmedia 2 жыл бұрын
Salama naomba utuletee KALA JEREMIAH
@mariamkitwana6148
@mariamkitwana6148 2 жыл бұрын
yani salama nakupenda sana mdogo wangu natamani sikumoja nikuone
@mrfashion1687
@mrfashion1687 2 жыл бұрын
Nasaubiri SALAMA NA MCHOMVU, SALAMA NA MILLARD AYO na SALAMA NA MWIJAKU
@chikotosammy3891
@chikotosammy3891 2 жыл бұрын
Salama Boss Lady💪
@siasia5469
@siasia5469 2 жыл бұрын
Kweli kbs watoto wakike wanapenda sana baba zao
@Boaz22
@Boaz22 Жыл бұрын
Swala la muda tuu
@GodfreyWilliam-pb3wh
@GodfreyWilliam-pb3wh Жыл бұрын
Kiingereza kingi sana
@maishaforreal7798
@maishaforreal7798 2 жыл бұрын
Bongo Flava ivi wasani wanaimba matusi na Kiki uchawa ukahaba yaanii industry ya bongo entertainment iko vibaya. Amna wa producer wasomi wala wa director wasomi. Akuna wa sound engineer.
@kisamokachema3064
@kisamokachema3064 2 жыл бұрын
True master jay….joliee dada mkali yulee sema showw show za wasanii weng zimemuweka pemben
@franklinassey6600
@franklinassey6600 2 жыл бұрын
Hio ni kweli wanaume tunakufa kwa kuficha mengi moyoni
@joshuamacha8751
@joshuamacha8751 5 ай бұрын
Master J u said it all....big mind
@mkuuhapingwi
@mkuuhapingwi 5 ай бұрын
Tuletee Fatma Abdulhabib Fereji
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 2 жыл бұрын
Machale wawili wamekutana pia ila akili mingi hao 😂
@evelinemsaki2057
@evelinemsaki2057 2 жыл бұрын
Sanaa salama amembadikisha master si amekubali kuwa yeye siyo mangi tena
@AmCool_
@AmCool_ 2 жыл бұрын
Sasa si muongee kiswahili jamani
@kapona927
@kapona927 2 жыл бұрын
Nilikua Na Isubiri sana salama na jay
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Nakukubali sana Master J
@mosesmuithi5693
@mosesmuithi5693 2 жыл бұрын
straight from the 254 with mob love mnakaa biee
@hassanhajj6804
@hassanhajj6804 Жыл бұрын
Kingerez kingi
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Master 💃Jay🤸‍♂️🤸‍♀️🤸‍♂️ 💛
@user-xf1xq3ky2w
@user-xf1xq3ky2w 5 ай бұрын
24:00 🔥
@fernandokezumukama1537
@fernandokezumukama1537 2 жыл бұрын
Shabiki wa salama nampenda look yak
@thatkidluffy6390
@thatkidluffy6390 2 жыл бұрын
Lete master J hio list ninaisubiri kwa hamu
@Hassanchora
@Hassanchora Жыл бұрын
Great interview salama from zanzibar
@lufundishajigoro4323
@lufundishajigoro4323 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥💯💟❤️
@wedream7506
@wedream7506 2 жыл бұрын
M nikimuonaga tu master nafungua link madini mengi sana huyujamaa
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
ndo maana munauwana sana kwa tabia hii wachaga mn munaficha mingi at the end munauwa wazee au familia na watu wa karibu kwa vile munabeba mizigo moyoni
@athmanjuma3768
@athmanjuma3768 2 жыл бұрын
Ukweli mchungu sana huu kauongea
@jasmineedamu6089
@jasmineedamu6089 2 жыл бұрын
Salama Leo umeamua kutuonesha hayo mapaja ya kuku😊
@evelinemsaki2057
@evelinemsaki2057 2 жыл бұрын
Salama was kishua wewee
@Masaki_001
@Masaki_001 2 жыл бұрын
Nahisi itakua kwa wanaume umemzungumzie ommy dimpoz kua mwenzetu sio riziki 😂😂😂
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
🤣🤣km kwl
@mathewdyzymaleyafrica9128
@mathewdyzymaleyafrica9128 2 жыл бұрын
Master kama ulikua kwenye mawazo ya fikra zangu, wahuni wengi wana tupotosha sana hata show moja mwaka mzima hana alafu anabang nakujitamba mziki umempa
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
🔥🔥
@kazkaz1943
@kazkaz1943 2 жыл бұрын
Salamaaaaa
@honestgroup2116
@honestgroup2116 2 жыл бұрын
Good
@lufundishajigoro4323
@lufundishajigoro4323 2 жыл бұрын
Master umependeza saaana bonge la dress code
@salimdibundile4872
@salimdibundile4872 Жыл бұрын
Very honest
@mtukwaomedia
@mtukwaomedia Жыл бұрын
Kama kizungu kinazidi tuwekeeni subtites
@naomiprincess4169
@naomiprincess4169 2 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️
@mikhitaryankombo9604
@mikhitaryankombo9604 2 жыл бұрын
Salama tuleteeni na madebe lidai
@meky9404
@meky9404 2 жыл бұрын
tuleteee na watu wa futbal
@israelmkaka2807
@israelmkaka2807 2 жыл бұрын
Master Jay
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 2 жыл бұрын
👍
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
BADO WEMA 😥NA NASB
@noelbernard6390
@noelbernard6390 2 жыл бұрын
Salama mlete Mume wako hapo.
@juvenalxavier6477
@juvenalxavier6477 2 жыл бұрын
Br ni mkweli kabisa
@evelinemsaki2057
@evelinemsaki2057 2 жыл бұрын
Asante Sana master j wanajifanya muziki unawapa maisha kumbe malaya
@farajilalah8379
@farajilalah8379 2 жыл бұрын
look like he was high
@wariobavedastus3157
@wariobavedastus3157 2 жыл бұрын
Salama Y black every day
@officialmimi269
@officialmimi269 2 жыл бұрын
I think it looks good on her😊
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 2 жыл бұрын
Unifungua master j, these guys are kidding me
@kilimonachangamotozake6652
@kilimonachangamotozake6652 2 жыл бұрын
Wachaga tunalilia hela tu mekuuu
@evelinemsaki2057
@evelinemsaki2057 2 жыл бұрын
Sasa huo ni ujinga mnakufa na majanga moyoni
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
@sabraridhwan2858
@sabraridhwan2858 2 жыл бұрын
Sasa salama kila kipindi unavaa nguo nyeusi hauna nguo nyengine
@evelinemsaki2057
@evelinemsaki2057 2 жыл бұрын
Wewe salama analipua mavazi hatar huyo ni tajiri na msomi ety usimchukulie was kawaida tajiri huyo
@danieljoseph4725
@danieljoseph4725 2 жыл бұрын
tunapenda kujua na kujifunza lakni kiingereza kingi ananikera aisee
@rommelmauma5872
@rommelmauma5872 2 жыл бұрын
Kiswahili, Kiswahili; itapendeza!
@ebenezerkaaya7345
@ebenezerkaaya7345 2 жыл бұрын
Acha kukerwa na maisha ya watu aloo, jifunze na ww
@bitegemurisho54
@bitegemurisho54 2 жыл бұрын
Naomba mjomba aletwe kwenye kipindi,kwasababu mrisho mpoto anamambo mengi sana yakuongeya alafu muhimu kwelikweli,toka nimeanza kufuatiliya interview za mjomba hajawahi kupewa nafasi ya kutowa aliyo nayo moyoni nahiyo ni hasara !,kwamimi kama kio chajamii basi mjomba ni zaidi ya kio . Nadhani ombi langu litafanyiwa kazi.
@sabraridhwan2858
@sabraridhwan2858 2 жыл бұрын
Jamaniii Kiswahili hii kitu hatuelewo
@emmamatemu8225
@emmamatemu8225 2 жыл бұрын
Dred na rasta Tofauti ni lugha au ni aina?
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Dredi ni zauzi na rasta hz km nywele
@emmamatemu8225
@emmamatemu8225 Жыл бұрын
@@khadijahali4837 na zile wanazosuka akina dada zinaitwaje
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@emmamatemu8225 zote ndo hz hz
@ismaildavid6970
@ismaildavid6970 2 жыл бұрын
BROO YOU LIKE ME SORRY BROO.
@nwntz
@nwntz Жыл бұрын
WachGue moja nigg
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 35 МЛН
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 78 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 29 МЛН
Mkasi - S02E06 with Rita Paulsen
28:00
MkasiTV
Рет қаралды 158 М.
BEHIND The GRAM (MOM & DAUGHTER) Ep 1| kajala amlilia paula kuhusu Harmonize|
3:51
Feysal Daudi Films. 457k views.5hrs
Рет қаралды 14 М.
Shilole alivyokuwa Muhudumu wa Hoteli na kumtongoza Ray
19:43
Millard Ayo
Рет қаралды 355 М.
La emociones de Bluey #歌ってみた #bluey #burrikiki
0:13
Bluey y BurriKiKi
Рет қаралды 40 МЛН
ПОМОГИ РАЗБУДИТЬ ПИЛОТА 😱😱
0:16
ДЭВИД ЛАВА
Рет қаралды 4,3 МЛН
La emociones de Bluey #歌ってみた #bluey #burrikiki
0:13
Bluey y BurriKiKi
Рет қаралды 40 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
0:17
Secret Vlog
Рет қаралды 10 МЛН
Во сколько смотришь? Заливаю в 10-22😉
0:36
Юлия Смирнова
Рет қаралды 2 МЛН