Unajua SALAMA wewe ni shida sana, sina la kusema kuhus wewe. Ila kwa wanaoelewa wanajua kazi ilivyo kumhoji MTANGAZAJI MWENZIO. All the best Salama.
@saidmohamed46192 жыл бұрын
Aisee leo nimeenjoy sana...two kids from Zanzibar in one place...hapo ni matani ya kikwetu tu...
@Wachuoni2 жыл бұрын
I think this kind of Interview suits you better, naifananisha hii na Zuhura Yunus, imejaa upendo, utani, uhuru, ucheshi, hisia za ukweli kabisa kutoka moyoni. na kwa hii pekee nimependa sana vionjo vya lugha za Mina ... kama "Dada Judi acheke", .... it was great 👍.... keep it up !
@iammichaellukindo2 жыл бұрын
Nimefanya kazi na meena EATV na Clouds lakini baada ya kumsikiliza hapa nahisi kama sasa ndio nimemjua angalao. And hongera Meena. I know what happened to you EATV. Mungu amekupa nafasi keep Going
@maryshirima12342 жыл бұрын
I love the way Meena answers the questions... 👌💚
@Kevin_davi2 жыл бұрын
Salama naomba hichi kipindi cha salama na kirudi kwenye channel ya East Africa television kama ilivyokuwa hapo awali sisi wanyonge hatuna pesa ya kununua dstv bei yao ikoo juu sana
@drwebangila2 жыл бұрын
Navutiwa sana Meena. Looks smart and intelligent. Kila la kheri Salama na Meena. Naamini Mkiungana Nchi itasimama.
@antonymwaniki62482 жыл бұрын
I really like Meena's voice.
@mongai0012 жыл бұрын
To be honest this young lady she always make me laugh peace and love
@mkaapwekekariakoo64172 жыл бұрын
asante sana Salama.... natamani siku moja uingie mtaani utuletee mtu ambaye si maarufu lakini, ambaye ataweza kufanya usaili nawe. hata kama si kumfanya maarufu lakini itakuwa pia namna ya kuhamasisha watu kuwa kile wanaamini. Kazi nzuri sana, ni lini utajihoji hahahaaa
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Salama ''tuna omba Mlete bikilala! na mzee kikalala 😘na muwandishiw wao' wa kombolela 🔥🔥
@bish_daddiyao2 жыл бұрын
Nice interview.. Bring Zuchu I have been Searching for Long🙌🏾🇰🇪💕
@stevennyondo22152 жыл бұрын
Kwenye lafudhi nakubali huyu dada. First time namuona nlijua chuga girl.
@odrianinicolaus53532 жыл бұрын
Tuletee, Yule Mbunge Kishimba wa Bungeni au Mhe.Msukuma Salama
@badalichauchau69832 жыл бұрын
Nampenda sana huyu dada kwasababu hajawahi kuzungumza maneno ya ovyo
@جميلهخميس-ط5ث2 жыл бұрын
Can't wait salama na Millady
@rodrickmataba89992 жыл бұрын
Habari, Hujambo...😀😀😀 leo hii salamu hatujaipata
@chiticollemans2 жыл бұрын
Please bring Ghalib (GSM) and Flaviana Matata
@didahbebe38662 жыл бұрын
I really like the answers za meena and she's so smart ma sha allah
@yetromtambulo3452 Жыл бұрын
Keep it up
@shahabdul11262 жыл бұрын
when will you upload Salama na Zuchu? we need it here
@janethsuleiman24452 жыл бұрын
Nimecheka sana
@bobanthony13262 жыл бұрын
Quite funny; had a good laugh.
@victormwakipesile69902 жыл бұрын
Tunaomba ya Dina marious
@davidnchoji2 жыл бұрын
I love you Da Salama, am here just for you and that beautiful Lady Meena❤️🙌🏽
@mohamednaaman1882 жыл бұрын
Masha Allah interview nzuri #Zanzibar 🔥
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Nakukubali sana Meena
@chardoAmos44762 жыл бұрын
Mimi naomba ufanye interview na milard ayo please
@zhaujiakashindi66172 жыл бұрын
Nawapenda sana…❤️❤️
@princessbim60962 жыл бұрын
Salama naa zuchu ndo umeificha shoga yngu
@lastsimbatv14972 жыл бұрын
U kill it salama i love u mwaaaah beautiful
@el-chicosfootballdevelopme74112 жыл бұрын
Iyo lafudh anayoigiza ni ya joti si ya kizanzibari. Wazanzibari hawaongei hvo.
@neemapetro81882 жыл бұрын
I love mena jmn uwii❤️❤️❤️❤️
@mohamedhamad237410 ай бұрын
Sister salama mambo nimefatilia mahojiano unayofa nya naona unafanya na watu ambao ni maarufu vipi wasio kuwa maaarufu
@mtanzaniahalisimungunimwem6732 жыл бұрын
Nawapenda sana wote jamani
@rosegideon3362 жыл бұрын
Mfike Mbali.
@maryshirima12342 жыл бұрын
Ace jay keep up the good work...👌💚
@dilipdab37142 жыл бұрын
Kweli.leo.munachoweyaa
@loysirikwa50522 жыл бұрын
Upload Salama na Adam Mchomvu
@ishakafaki35012 жыл бұрын
Rangi nyekundu Kwa asie onaa nikumwambia afinge macho then awashe tochi machoni mwake then utamwambia hiyoo ndio rangi nyekundu
@santruninichamy49742 жыл бұрын
Umetishaaa... We kichwa
@الرعدالصغير-ت1ش2 жыл бұрын
My love meenaally😍😍😍😍
@alphonsinedusabe35902 жыл бұрын
🤣🤣🤣 jmni meena wew 💥😍
@alantonio8552 жыл бұрын
Mwijaku next time
@tofikijafary84702 жыл бұрын
Mmm
@fahadfahmy2 жыл бұрын
Wazenji united.
@sabraridhwan28582 жыл бұрын
Salama badilisha nguo hizo kila Siku nyeusi kama upo msibani
@salumbabu2 жыл бұрын
Acha makasiriko,,, 😁😁😁😁
@meky94042 жыл бұрын
tunamwomba na msuvaaaa
@fortunathabarabara84712 жыл бұрын
salama na wema sepetu
@bjzee19812 жыл бұрын
Karo za chooni sio round but ni oval
@dilipdab37142 жыл бұрын
Ww.meena. salam.leo.munanichekesha.kweli
@ycb_yakoub35842 жыл бұрын
Swala la kurithi lafuzi hii ni kawaida kwa wamwambaoo asilimia 75% wapo hivo
@lareineminah13532 жыл бұрын
Salama na zuchu lini?
@saidahmed9688 Жыл бұрын
meena tunakupenda
@oscarmwakibinga11422 жыл бұрын
Aliezaliwa haoni kwani anajua rangi ya damu?
@oyay28212 жыл бұрын
Haya maneno ya kuzungu kama inferior, insight au relate waTz wanafahamu?