Maisha Ya Zuchu Kabla Ya WCB : "Nilitaka Kuwa Mwanasheria" | SALAMA NA ZUCHU PART 1

  Рет қаралды 320,804

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kuna usemi mmoja unaenda kama hivi, kulea mimba si kazi ila kazi ni kulea mtoto, tafsiri yangu naamini mhenga hapo alikua anatuambia kazi pengine inaanza baada ya kupata kazi, tunaelewa jinsi gani ambavyo kupata kazi huwa ni kazi. Tena kazi yoyote, haijalishi kama ni ya upishi au ulinzi au ufundi au hata u daktari, mi nawajua madaktari kadhaa ambao nao pia wanapata shida kupata hizo kazi. Na baada ya kupata shida zote hizo wakati wa kutafuta kazi basi kazi halisi huanza pale unapoipata sasa hiyo kazi yenyewe.
Kazi ya Zuchu ilianza kabla hajaipata hiyo kazi yenyewe na ilikua kazi haswa kuipata na Mama yake Bi Khadija Kopa ndo alikua kinara kwenye hiyo connection ambayo Binti yake alikua anaitaka ili aweze kuwa msanii wa Diamond, na hayo ndo yalikua maneno yake hasa, toka alivyorudi kutoka Nigeria kwenye mashindano ya kusaka vipaji na alikua hajielewi elewi kwa kiasi flani ni kitu gani alikua anataka kufanya na kama basi kutakua na la kufanya inabidi liwe kutoka WCB na sio sehemu nyengine yoyote na agulia nini kilitokea? WCB aliipata na kilichokua kinatakiwa baada ya hapo ni UVUMILIVU wa HALI YA JUU.
Kwenye vitabu vyangu vyote Bi Zuhura Othman Soud ndo muandishi wangu BORA wa KIKE kuwahi kutokea katika kizazi chetu hiki cha Bongo Flava, na naweza sema hivyo wakati wowote iwe usiku au mchana, kipaji hicho ndicho kilichonifanya mimi nistaajabu sana na kutaka kuongea nae na kumuuliza yote yale ambayo nilikua nataka kumuuliza, ingawa humo humo nilikua nishajijibu kutoka kwenye historia ya familia atokayo ingawa hiyo haikutakiwa ndo iwe lazima, lazima mtoto wa Khadija Kopa na Othman Soud awe muandishi mzuri maana wazazi wake wamejaa vipaji tena na Baba yake ndo muandishi mkubwa wa nyimbo nyingi za Mama yake zilizowahi kuvuma.
Kwa umri wake wakati mwengine hujiuliza kajuaje haya maneno yote, anajua maana yake hii? Kasikia wapi hili neno au pengine je huwa anamfikiria Mama yake (ambaye ndo kipenzi chake na ndo amemlea) wakati anaandika hii? Anaona aibu? Je huwa wanaongelea hayo mashairi wanapokua wawili tu? Mazungumzo huendaje?
Sasa turudi kwenye kazi hiyo ya kuanza kuifanya baada ya kuipata sasa WCB, ukiachana na msoto mrefu alopitia, WCB wenyewe walikua waangalifu sana kwenye mipango ambayo ilikua ikiandaliwa kwaajili yake, yeye ndo msanii wa KWANZA wa KIKE kuwahi kutokea kwenye label kwahiyo ukichana na kipaji pia uwekezaji wa hali ya juu ulitakiwa ufanyike and boy they did that. Toka single yake ya kwanza mpaka wakati naandika hii Zuchu hakuwahi kuwa na kazi chafu, album yake ya kwanza alotoka nayo ya I am Zuchu ilikua na nyimbo 7 ambazo zote zilienda kufanya vizuri, na mpaka leo kila wimbo ambao anaachia ni wa moto, tukisema namba moja nadhani namba zake pia zinasema hivyo za kila sehemu, hakuna chumvi yoyote ndani yake.
Vipi sasa anaweza ku maintain hii schedule yake ilojaa mambo kuanzia asubuhi mpaka usiku? Kutoka Jumatatu mpaka Jumapili? Je ana muda kwaajili yake? Ana mpenzi? Mipango yake je? Endelevu? Vipi hizi title ambazo tunampa anazichukuliaje? Kuna pressure yoyote? Na kuhusu familia je? Kuna pressure yoyote kwenye baadhi ya mambo na maamuzi? Na kwenye label nako? Watu na furaha na kazi yake?
Kwa kuanzia msimu wetu wa TANO nadhani introduction ya Ms Zuchu inatufaa sana na yangu matumaini uta enjoy pia.
Asante kwa support ya toka siku ya kwanza ulipoanza kutupa macho na masikio yako.
You’re the best, nakukumbusha tu kwamba mengi yajayo yatakufurahisha In Shaa Allah maana kazi ndo kwaanza imeanza.
Love,
Salama

Пікірлер: 262
@kanyamaladembelesacko2812
@kanyamaladembelesacko2812 2 жыл бұрын
Zuchu kuolewa na Simba ni inshu Kali Sana kwasababu zuchu anaakili kdg, anaweza kuongea anaweza kuelezea in shot anajitaidi Sana anafaa kuwa mke wa boss, blessed.
@salamwagilo
@salamwagilo 2 жыл бұрын
Amazing interview..Zuchu anaongea vzur sana n yuko real yaan
@victoriamkumbo5866
@victoriamkumbo5866 Жыл бұрын
Zuchu nakupenda sana kwani uko lmakini hakiwewe mtotowa mtani usiyumbishwe nakupenda asante mwanangu
@yakobomsafiri692
@yakobomsafiri692 2 жыл бұрын
Salama mungu akubariki na akutie nguvu katika kazi yako bado uturetee daimond platnumz
@catenzeki678
@catenzeki678 2 жыл бұрын
Mimi nakupa SHADA LA MAUA na pongezi nyingi ukiwa hai kwa kazi nzuri.Naomba umlete Harmonize,Roma na Stamina
@fathiyaomar9009
@fathiyaomar9009 2 жыл бұрын
Omar aliumwa sana na alikuwa rafikiyangu sana na mara ya mwisho aliimba gofu lakini alikuwa tayari anaumwa mwenyezi mungu amsameh makosa yake na sisi pia amin
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 2 жыл бұрын
Marehemu anasamehewaje jamani kama hakutubu angali hai ndiyo basi tena ila sisi tulio hai ndio twapaswa kutubu makosa yetu na Mungu mwenye rehema atatusamehe🤲
@ukhtyzainab7254
@ukhtyzainab7254 2 жыл бұрын
Aamiin
@alwatansharyf9294
@alwatansharyf9294 2 жыл бұрын
@@rosemahenge9071 sisi waislamu tunayo nafasi ya kuwaombea dua watu wetu waliokwishaondoka duniani ni zawadi pekee Mola wetu alotujaalia kuwatunuku watu wetu
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 2 жыл бұрын
@@alwatansharyf9294 Kumbe!!
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 жыл бұрын
@@alwatansharyf9294 kabisaa na ndiyo maana uwa wanasomewa dua marehemu
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Huyu mtoto namkumbuka toka akiwa mdogo anakuja na MAMA yake Ushirika Club Mtwara 93.Zuchu anaimba vibaya sana.👍👍👍😁😁😁
@charliestyles5535
@charliestyles5535 2 жыл бұрын
Bonge la interview! Please we also need interview ya salama na sky tanzania,itakuwa balaa 🙌
@HajiJabir-x8r
@HajiJabir-x8r 3 ай бұрын
Mungu akujaalie Uwache kuimba, Baadae utanifahamu.
@theodoreconstantine2565
@theodoreconstantine2565 2 жыл бұрын
Huyo ndo salama banna lazima akulize alaf akuchekeshe you are the best salamaa I appreciate your work .
@wakisawakisa5455
@wakisawakisa5455 2 жыл бұрын
ckutegemea kama Zuchu angezungumza vzr namna hii, kuna vitu vya msingi ktk tasnia yetu ya muziki na maisha kwa ujumla amevizungumza cjui kama watu wamevinote...anyways, asilimia kubwa ya wanaokuja hapo huwa wanafanya hvyo ila kuna muda hutegemei sana kwa mtu huyo but hii imenifurahisha coz ckutegemea, it's good...Love u Zuu
@kantai737
@kantai737 Жыл бұрын
Zuchu is very intelligent na mature, listen to all her interviews and u will be impressed, it’s only that she has a bubbly personality and petite body so ppl think she is childish.
@AfiSoul103
@AfiSoul103 2 жыл бұрын
Nampenda Salama jamani.. she's natural
@maijamtoso5673
@maijamtoso5673 29 күн бұрын
This Interview is one of the best wallah
@janethmihayo6337
@janethmihayo6337 2 жыл бұрын
Nimekupendq zuchu wew mara ya kwanza leo❤️❤️❤️❤️Nakupenda
@MohamudaminAli
@MohamudaminAli 5 ай бұрын
This has to be the best interview ever
@yustayusuph9101
@yustayusuph9101 2 жыл бұрын
Daaa! hadi mimi nimelia story ya omari 😭😭
@mwasitihanzuruni8465
@mwasitihanzuruni8465 Ай бұрын
Mpe hongera mama na ww pia zako zikufikie
@melangachikubati9253
@melangachikubati9253 2 жыл бұрын
Salama please, if posible find time for sky worker a real jita man with wonderful voice ever, i am watching all the way from Ukerewe the sunshine ground.
@edgardevis8152
@edgardevis8152 2 жыл бұрын
🙌🙌🙌👌👌👌👌🙏 aunt salama respect Sana naomba umlete na marioo plz
@sarahlondo7597
@sarahlondo7597 2 жыл бұрын
Was really waiting for this one😂😂❤️‍🔥❤️‍🔥
@joysarah
@joysarah 2 жыл бұрын
You can't get tired listening to her interviews..our smart queen 🔥🔥
@productivityprogressprince5156
@productivityprogressprince5156 2 жыл бұрын
She’s soo smart and soo real.
@somaliandnorway
@somaliandnorway 2 жыл бұрын
Zuchu i understand your pain my grand ma dies and i was not told and i was also in bording school..it hapoened the same to me and now i lost my mum 4 months ago …death is painful😢😢😢
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 2 жыл бұрын
S0 sorry brother its god way
@sporttv9449
@sporttv9449 2 жыл бұрын
Hapo pa "aaaahaa mimba".hiyo nimeipenda ha ha ha
@ibrahimhumanamicroscopic6515
@ibrahimhumanamicroscopic6515 2 жыл бұрын
First time to listen zuchu voice 🥰🥰 that's was nice
@EmanuelKarera
@EmanuelKarera 3 ай бұрын
salama ww ni kiboko, nakupenda sana
@sistersade9039
@sistersade9039 2 жыл бұрын
Lovely interview and it's wonderful to get to know zuchu closer. Salama wewe ni bigwa wa watangazaji unajua ivyo sio? All the best 🥰
@maliamjuma9376
@maliamjuma9376 Жыл бұрын
nawapenda sana munguawabariki lnshallah
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 жыл бұрын
Big up salama. Nime enjoy interview mzuri kiswahili safi. Safi zuchu.
@diva_20162
@diva_20162 9 ай бұрын
I like her voice jaman Mungu fundi asee ❤❤
@irenevicky4656
@irenevicky4656 2 жыл бұрын
Zuchu you are 👌👍a star lots of love❤❤❤💖💖
@emanuelkiwanuka578
@emanuelkiwanuka578 2 жыл бұрын
Asanteni nimeisubili kwa Hamu sana hii
@athumanahmadramadhan9220
@athumanahmadramadhan9220 2 жыл бұрын
Natamani napenda na nataka sana siku moja umlete Alhaji Dr Sule kwenye interview hii nzuri inayonipa elimu pia ktk maisha haya
@hildahwangari4337
@hildahwangari4337 2 жыл бұрын
She is doing good congrats
@jamaalsaleem2926
@jamaalsaleem2926 2 жыл бұрын
Wakwanza kucoment🔥🔥
@kantai737
@kantai737 2 жыл бұрын
Finally was really waiting for this
@modysaid8439
@modysaid8439 2 жыл бұрын
Hy zuu Mimi ni fan wako but kuna kitu naomba urekebishe,ukiwa Kwa interview usionge wakati unaulizwa swali just wait untill swali liishe ulielewe coz sio Kila interviewer ni anakupenda so anaweza kutumia weakness yako ya ku interrupt swali na ku kufanya ujibu kitu ambacho sio sawa so jaribu kuwa calm coz your a superstar my dear
@anthonym2542
@anthonym2542 2 жыл бұрын
Sijaskiza interview lakini Akili Yako IPO sawa kaka
@hawasaid7151
@hawasaid7151 Жыл бұрын
Good 👏👏
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
Ni kweli umesema👍
@saluShop-jm5ku
@saluShop-jm5ku 5 ай бұрын
Munguu akuzidishiiiiee. Badooooo. Simbaaaaaa tuuuu
@piusphilip307
@piusphilip307 2 жыл бұрын
You are really cofident, yaani huigizi, I like you
@princessiyalicious4185
@princessiyalicious4185 2 жыл бұрын
Salama unafnya kaz nzur sna....
@mwasitihamisi8421
@mwasitihamisi8421 2 жыл бұрын
Ur my best interviewer ❤
@supertal2943
@supertal2943 2 жыл бұрын
Awesome interview ever👌
@mahfoudh.official7318
@mahfoudh.official7318 2 жыл бұрын
Wa zanzibar 2 🎤🌍
@shuu62
@shuu62 2 жыл бұрын
Finally, it's here‼️ Keep up the great work girls 😊
@Jeanberchmans-e4o
@Jeanberchmans-e4o 3 ай бұрын
Turagukunda zuchu hongera sana
@SultanDean
@SultanDean 2 жыл бұрын
I love your interviews. They are so deep and informational
@mwabiawahadi6247
@mwabiawahadi6247 2 жыл бұрын
Nakukubali Sana Zuch
@browngennestone5979
@browngennestone5979 2 жыл бұрын
GOOD WORK
@radjabreezy5564
@radjabreezy5564 2 жыл бұрын
🇷🇼🇷🇼🇷🇼Salama asante kwaku tuletea Mzee wetu 🇷🇼Sheikh Kipozeo Asante kwa elimu 😊😊😊 ila sijapenda huja mkirimu Sheikh sijapenda lol tumependa kipindi next Time tutapenda kumuona Sheikh Mazinge mbele ya camera love from Rwanda🇷🇼
@eliassanga6907
@eliassanga6907 2 жыл бұрын
Joelnanauka na MaxRioba fanya ivi vichwa vidondoke studio vina madini
@msafirimbeya3329
@msafirimbeya3329 2 жыл бұрын
Umetisha
@hamedabashir9
@hamedabashir9 2 жыл бұрын
Niliisumbilia sana 💋🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿♦️❤️😍
@sifasiraji2903
@sifasiraji2903 2 жыл бұрын
Zuchu kama Zuchu❤️
@florencekaranja8736
@florencekaranja8736 2 жыл бұрын
Everyday I was checking on this interview en now here it is
@RémyGisinza
@RémyGisinza 2 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤ nimekua naisubiri kwa ham kubwa
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 жыл бұрын
Nakupenda sana salama na zuchu
@paulonjozi1638
@paulonjozi1638 2 жыл бұрын
Naitaman nakuisubr salama na young killer msodok
@jokhaaliy3720
@jokhaaliy3720 2 жыл бұрын
Music na law bora dhambi kubwa ipi
@mammymammy997
@mammymammy997 8 ай бұрын
Zuchu Allah amubariki nampenda sana
@bintykigan7309
@bintykigan7309 2 жыл бұрын
Niliisubiri Sana hii❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jennytugara9470
@jennytugara9470 Жыл бұрын
Go for it girl. elimu haikomi hata kina Kardashian wanafanya urembo na kasoma Sheria juu yake. Music ni era inafika mahali inaisha.
@vanessakiwia7890
@vanessakiwia7890 2 жыл бұрын
Zuchu we comedian ila ujijui wallay 🤣🤣🤣 yani mwanzo mwisho nacheka wallay
@lulu-xd7to
@lulu-xd7to 2 жыл бұрын
Na story ya Omar umecheka
@DorotheaClemence
@DorotheaClemence 6 ай бұрын
Voice is👌
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 2 жыл бұрын
Nimefurahi sana aisee!!🔥❤👊
@esthermusanga8118
@esthermusanga8118 2 жыл бұрын
Hongera zuchu kazi smart
@chaneldici4083
@chaneldici4083 2 жыл бұрын
My salama jabir❤❤ from🇧🇮
@rogersodero3897
@rogersodero3897 2 жыл бұрын
Pls bring Esha Buheti
@samilaamlli3474
@samilaamlli3474 2 жыл бұрын
ilove you zuchu
@alhamdullilla5108
@alhamdullilla5108 7 ай бұрын
Amebarikiwa kwa kufanya Haramu😢😢😢
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 2 жыл бұрын
Zuchu ingefurahisha zaidi kutoa heshima, hasa kwa wale waliokuzidi umri kwani Kiafrika ni hekima na busara na hutapungukiwa na kitu. "SHKAMOO DADA SALAMA".Ingekuheshimisha zaidi.Lakini hukuliona hilo.Pole sana 😢
@allytauka8196
@allytauka8196 2 жыл бұрын
Zanzibar chei chei inasimama on behalf of shikamoo and she used it
@kantai737
@kantai737 2 жыл бұрын
😂😂😂😂 shikamoo tena salama hataki uzee.binadamu acheni gubu. Such a lovely interview hujaona lengine.
@prettypretty9745
@prettypretty9745 2 жыл бұрын
Hapo washirazi wamekutana chechei imekaa mahala pake👌👌
@kenty101
@kenty101 2 жыл бұрын
Rosena nini buana... Kssema chei chei. 🤣🤣🤣🤣
@isharsalim454
@isharsalim454 2 жыл бұрын
Chei chei kwetu ni heshima
@mochakeno9123
@mochakeno9123 2 жыл бұрын
My own girl
@JohnoAbdoul
@JohnoAbdoul 5 ай бұрын
I can't watch this. Am an emotional person. That story touch me. I love both of u.
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy 2 жыл бұрын
00:50 Subira yavuta kheri. Haraka haraka haina baraka. Hizi si zinashabihiana, ziko fresh tu. Au kachanganya na Ngoja ngoja huumiza matumbo!!!
@SAVPTVOnline
@SAVPTVOnline Жыл бұрын
good girl
@keyla3641
@keyla3641 2 жыл бұрын
Interview nzuri sana
@marymsaid3540
@marymsaid3540 2 жыл бұрын
Nampenda sana zuchu ❤❤
@foodbasiccourt2028
@foodbasiccourt2028 2 жыл бұрын
Hata mimi ila kuwa na mahusiano na kiruka njia diamond i am worried for her career
@zizahissa8642
@zizahissa8642 2 жыл бұрын
I was really waiting for loooooog 🙌🙌🙌🙌❤️❤️❤️
@loganpoul
@loganpoul 2 жыл бұрын
Salama lakini wajua nakupenda Sana?mamangu pia anaitwa salama so nikikuona naburudika Sana kama namuona mamangu,
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 жыл бұрын
Tuulisubiriii sana😍😘
@aishadotto3640
@aishadotto3640 Жыл бұрын
Pole Zuchu
@yasintadavid1296
@yasintadavid1296 2 жыл бұрын
Thanks
@hamisamsimbe4613
@hamisamsimbe4613 2 жыл бұрын
Mm mwenyewe nilimpenda sana omary kopo mungu amsamehe dhambi zake
@zaynabmwanjovu8277
@zaynabmwanjovu8277 2 жыл бұрын
Omary Kopa,,not Kopo
@aishambise6529
@aishambise6529 2 жыл бұрын
Nawapenda sanaas ❤❤❤❤🙏🏻
@japhtv9858
@japhtv9858 2 жыл бұрын
Oya kingereza kingi bhana
@judithjulius5993
@judithjulius5993 2 жыл бұрын
Hivi watu wanaosemaga zuchu ana sura mbaya Wana Nini! Mbona Binti mrembo hivi
@EugeneUroki
@EugeneUroki 7 ай бұрын
Kwasababu anamakali😅
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 3 ай бұрын
Chuki tu hizo watu wakikuona na mafanikio watakuzushia kila baya alimradi wakuchafulie
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 3 ай бұрын
Wivu
@winfridangoloke1916
@winfridangoloke1916 2 жыл бұрын
Hatimaeeeeee
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Tuli kata tamaaa kabisa eeh🙄🙄🙄😢😢
@isharsalim454
@isharsalim454 2 жыл бұрын
😆
@farajavilla2379
@farajavilla2379 2 жыл бұрын
Mziki sio masiharaaa na hanstone kapewa uo mtihani wa kustahmili lkn umemshinda
@stevennyondo2215
@stevennyondo2215 2 жыл бұрын
Kweli mlikuwa closer hadi unamwambia kaka nimevunja ungo!!😂
@siaammo1104
@siaammo1104 2 жыл бұрын
Haswaaa duh
@niyonkurufadhoulillah4916
@niyonkurufadhoulillah4916 2 жыл бұрын
You know what ? Mimi nazani wawekezaji wawekeze kwenye club ya ma star iwe VIP yani isiw fasi ya show no iwe fasi yao ya ku enjoy tu afu kingilia kiwe ju sana kwa watu wasio kuwa marufu so then wa sani munaweza kua muna enjoy maisha yale munayo ya miss kama watu wangine wote sababu sizani kama msani kama msani ni rahisi kutoka kwenda club ao kwenye migahawa
@evanathings9554
@evanathings9554 2 жыл бұрын
I love Zuchu ❤
@jamilamasoud3800
@jamilamasoud3800 2 жыл бұрын
Baada yakuisubiri kwa muda mrefu
@user-xf9or5cv1d
@user-xf9or5cv1d 2 жыл бұрын
Tubia nyimbo ni hapa duniani akhera haiko mbali
@iddmohammed1086
@iddmohammed1086 2 жыл бұрын
Lafudh tamu mno ya kizanzibari baina ya wazanzibari hawa wawili.
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 2 жыл бұрын
Hahaha ila Zuchu na ucomedian anao🤣🤣
@stellah3844
@stellah3844 2 жыл бұрын
Zuchu💓💓💓💓
@abenawemubaraka6681
@abenawemubaraka6681 2 жыл бұрын
Zucu y Lev u 2 am mubaraka from kanpara
@mwanatumusalim1558
@mwanatumusalim1558 2 жыл бұрын
Kiatu sasa zuchu 😁😁😁
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Au bi kikalala au mzeee kikalala tuomba
@samtelah7578
@samtelah7578 2 жыл бұрын
Mlete Diamond
@wardatkhamis3703
@wardatkhamis3703 2 жыл бұрын
Mtihani eti mungu jaman kweny balaa hili pia mung anashirikishwa??? Au ni bilisi ndio mwenyw jmn
@RémyGisinza
@RémyGisinza 2 жыл бұрын
Zuchu wetu
@jamilamasoud3800
@jamilamasoud3800 2 жыл бұрын
Baada yakuisubiri kwa muda mrefu
@christineaimtonga1787
@christineaimtonga1787 2 жыл бұрын
Mbona unaema sana? Kunywa hiyo tangawizi.
Salama Na KAJALA Ep 35 | JERAHA LA MOYO Part 1
29:56
YahStoneTown
Рет қаралды 343 М.
24 Часа в БОУЛИНГЕ !
27:03
A4
Рет қаралды 7 МЛН
🎈🎈🎈😲 #tiktok #shorts
0:28
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 4,5 МЛН
Nandy X Harmonize USEMI SINA | Behind The Scene - DK VLOG EP.7
12:07
Director Kenny
Рет қаралды 113 М.
DUNIA (Ep 49)
22:42
ASMA FILMS
Рет қаралды 54 М.
Salama Na Shikana Ep 17 | DYNAMITE Part 1
29:48
YahStoneTown
Рет қаралды 345 М.