Ukweli hauta kuja kupatikana Sababu waliofanya hivi wapo serikalini…na Polisi wametumika…Aliyempiga Risasi Tundu Lissu mpaka Leo hajulikani
@Taito-brand3 ай бұрын
Ww umemjua kam umemjua toa taarifa kak
@thadeylyimo97723 ай бұрын
Wasiojulikana..@@Taito-brand
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
@@Taito-brand taalifa katoa mwenyewe mpigwaji lisasi kwani hizo taalifa hazikutoshi !kama hazikutoshi nenda hospital kamuulize tena
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
@@Taito-brandyaani wewe ni mwanadamu kabisa wala sio mungu
@PendoMatemba2 ай бұрын
Na zile kamera zilikuwa kipofu
@ezekielmatondane7143 ай бұрын
Acheni uchawa awamu ya 5 haifananishwi na chochote wa na huyo mama yenu asie tufaa watazania masikini anajali wazungu na matajili hafai kabisa musimufananishe na magufuli
@rafiurashid102110 күн бұрын
Wewe Ezekiel huna akili, huyo magufuri unayemsema kuwa MWEMA kkauwa wattu wengi kwenye utawala wake, acheni chuki zenu za kidini,,, waislaam wameuawa wengi na huyo magufuri wenu mbona mlikaa kimyaa shwainiiiiiii zenu wote mnao mponda Mama samia kwaajiri ya chuki zenu za kidini
@emanuelnisetas75103 ай бұрын
Kuna siku hiinchi itawaka waache wajione wananguvu sis wananchi ndotuna ngutu ilawatanzania tuache wonga tupambanie nchiyetu
@hamoudcreator63433 ай бұрын
WANANCHI WA TANZANIA TUMEBEBA HASIRA NYINGI SANA MIOYONI MWETU...
@Yangaone-h8j3 ай бұрын
Hasira zenye uoga ndani yake
@salmaalimusa68093 ай бұрын
@@Yangaone-h8jtunapelekwa tu kama mambwa 😢tukiongea tunatekwa loooh tz amani hakuna
@halimamasai22343 ай бұрын
@@Yangaone-h8j🤣🤣🤣
@hamoudcreator63433 ай бұрын
@@Yangaone-h8j Siku Isiyo na Jina Utaisha....
@bujashidaniel55373 ай бұрын
True@@Yangaone-h8j
@kilogreekachananawatuwasio40543 ай бұрын
KWANI MUKISHAMUAISHA KATIKA HOSPITAL ALAFU MKACHUKUA MAELEZO YAKE NI VIZURI ZAIDI KULIKO MTU KUFALIKI UKU MNAMUOJI UDUMA YA KWANZA IWE KWANZA MENGINE YAENDELEHE BADAE 😢😢😢
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs3 ай бұрын
Kabisa yani😢😢
@paulinewangila-cs6ys3 ай бұрын
@@AdelaideZacariasZacarias-hp8gsjambo zuri kabisa one African love
@ntambisamwel44364 күн бұрын
Real sad asee..mtu anashindwa pelekwa hosptal..anapata maumivu daah bongo ni usenge mtupu
@hassaniibrahim3003 ай бұрын
KWANZA APELEKWE HOSPITAL SIO KUMHOJI MTU YUPO MAHUTUTI SAAANA
@PendoMatemba2 ай бұрын
Wanamchelewesha ili afe
@fadhilmandaliabdalla67363 ай бұрын
Huyo Edo sijuwi kama sio Shoga, sasa unaleta mambo nyuma ipi hiyo, huyo mamaako amefanya nn la maana, serikali ya Magu mgemtupia lawama yeye, ila saivi yupo huyu mnamuekea maneno mdomon na kusafisha tawala yake, acheni chuki za kishoga hizo
@husseinc2 ай бұрын
alishawai kutekwa dr ulimboka alieyekua anaogoza mgomo wa madaktari alipigwa vibaya sana kung'owewa meno alikuwa na hari mbaya akakimbizwa south afrika kwa matibabu yaharaka dr ulimboka alimtuhumu bwana mmoja aliekua ikulu huyo bwana siku anatwekwa alimpigia simu dr na kumuekeza dr wakutane sehemu fulani ndio alipotekewa, ilikuwa ni Awamu ya 4 jakaya mrisho kikwete huyo edo alijui hili,? vyombo vya habari si vya kuamimini unakuta washanunuliwa wanafanya kampeni kuuchafua utawala wa hawamu ya5.
@ayubukedimundi32213 ай бұрын
Tumewachoka viongozi wenu wanafanya vitu vya ovyooo Sana..... Kiukweli kabisa binasi siwapendi vitu wanavyovifanya mm naumia Sana moyoni
@DavalsonMarlony3 ай бұрын
roho za wa kenya ituingie miyoyon mwetu watanzania amina
Dah..ningeshauri km kuna sheria inaelekeza mgonjwa mahututi apelekwe kwanza polisi badala ya hospital jamani pengine kuna haja ya kuibadilisha sasa. Yani nchi km Norway 🇳🇴 afya kwanza😮unakimbizwa hospital kwanza kabla ya yooote. Hata km ni mwizi/ mlevi/ kahaba/vyovyote, afya ya Mtu ni muhimu sn kuliko kitu chochote. Sisi tunashindwa wapi😢😢
@ndukulusudikucho_8 күн бұрын
Mwenyezi Mungu amponye
@leokamil62843 ай бұрын
Viongozi wa upinzani walisema kuna kundi mkadharau yaani tutakoma
@allytv17143 ай бұрын
Hii nchi ni ngumu sana kwanza ina wananchi waoga pili ina vyombo vya habari vya kusifia tyuu kuliko kusema kweli tutazidi kufa cz tunaserikali ya magaidi lazima tubadilike watanzania
@juniorndambalilo6619 күн бұрын
Ifike muda na sisi wananchi wenye kupinga huu uovu wa serikali wa mauaji...tuanze kuwateka machawa wote wanaojifanya wanamsifia bmkubwa
@bossmolellsisiya41013 ай бұрын
wapuuzi sana hao badala ya kumsaidia kwanza wana muhoji washamba sana haw
@tizoMbarukuАй бұрын
Ccm wakishinda 2025 wameiba kura labda sio kwamateso haya tunayo pata watanzania
@Sidrasidra6363 ай бұрын
Watanzania mjifunze kutoa huduma kwanza jamani mtu mna muona anahitaji huduma ya kupelekwa hospital kuliko mmuwahishe hospital mna muhoji sijui muite viongozi wamtaa sijui police 🚔 hivyo vyote vya nini!
@ms123ru3 ай бұрын
Uwez msaidia mgonjwa Kama hauna taarifaa kaka
@thespaniardinme3 ай бұрын
Watu wetu mambo ya first aid ni 0 kabisa. Mtu analalamika kabisa kichwa kinauma, mara mbili, wao wanamhoji juu ya waliomteka. Mpaka unajiuliza, wao polisi? Au wanataka content? Yani hawakufikiria kabisa kuwa analalamika maana hayupo vizuri. Jukumu lako ukimkuta ni kuita polisi au kumpeleka kupata huduma, baas.
@jumbeojaso57673 ай бұрын
@@thespaniardinmesiyo kweli, kumfahamu jina na anakotoka kama anaweza kuongea ni muhimu kwani anaweza kufa ghafla na ikawa shida kwa uliyemuokota. Au hujwahi kusikia,mtu mshtakiwa kwa mauaji ambayo hakutenda. Lazima uchukue tahadhari bila kukurupuka
@thespaniardinme3 ай бұрын
@@jumbeojaso5767 hiyo ni sheria au mazoea? Kama ni sheria, ni sheria ipi, maana labda mimi siifahamu lakini wewe unaifahamu. Na zaidi, ina faida gani kwako kama umejua jina halafu akakufia mikononi, then what? Nia ni yeye kuwa saved au wewe kujua jina lake? Na zaidi, inachukua muda wote huo wa video kujua jina lake tu? For real???
@Thisisgrace9793 ай бұрын
Kwaio bora afe akiwa anahojiwa?@@ms123ru
@EliasKasomi-db4io18 күн бұрын
Watu waache kukosoa serikali wafate private issues za maixha Yao maan utapotea hasara Kwa familia yako maan nchi yetu haijafkia ushirikiano Kwa wote ko utaumia peke ako
@noelmbosa27363 ай бұрын
Mmmm upandacho ndicho utavuna kwa wakati uliyefanya haya Mungu akulipe tena ulaaniwe. shetani wewe na hao mliofanya. Mungu amewachoka na atawaweka peupe, wote tutajua ibilisi wakubwa nyie. mtalipwa hapahapa dunian shetani nyie
@Mjeda-q1m23 күн бұрын
Tatizo viongozi wa Sasa wanapata madaraka kama takrima na vyeo hivyo vinatumika kama chanzo Cha mapato na si uwajibikaji
@Theman-dn8vo2 ай бұрын
Ila kwnn kusiwekwe mifumo mtu apelekwe kwanza Hospital afu taratibu za polisi zije baadae. Mkazidiwa nusu kufa anahitaj msaada wa haraka lkn mpka aende kwanza polis akifia huko kituon vp sasa
@LameckZakaria-qg9vv2 ай бұрын
Edu wewe acha ujinga kwani ujui ata chadema walikuwa wanatekana wenyewe acha kumchafua mjombo
@hassaniibrahim3003 ай бұрын
ILITAKIWA KWANZA APEWE HUDUMA SIO KUMHOJI SAAANA HUO SIO UBINADAMU
@ChiyomboLwinga3 ай бұрын
Kwa umri wake na kazi zake, itakuwa ni kukosoa baadhi ya vitu, maana Tanzania ndo nchi pekee ukikosoa ni kosa kubwa sana
@Chrishenryson-beats3 ай бұрын
Hawaku muacha hai walimuuwa ila Mungu alimuokoa. Hawakukusudia awe hai sema risasi ilipita maeneo ambapo Mungu alimuokoa. Yani Huyo ACP anaangaika kwamba kapigwa na kitu chenye ncha kali au sio. Hayo yanahusiana vipi. Kamata watekaji ng’ombe we
Safe sana wasafi wambieni viongozi wa serikali ipoh siku tutagawana majumba
@allymwilu80893 ай бұрын
Si ndo mama qnaupiga mwingi au😂😂😂😂😂 daah aya kesho kwa mungu uko kuna neno
@franciscotemba6929Ай бұрын
muda utaongea,ngoja maisha yazdi kua magumu hakuna atakae amrishwa kutafuta aki yake,na haki haiombwi
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
Kakutwa na akili timamu kabisa kajieleza kaeleweka vizuli hapo wasiojulikana na machawa kazi mnayo mwalikikeni baba wa hila awasaidie kutunga hila ili msomeke na dunia
@danielamosi68713 ай бұрын
Badala mtu akatibiwe anahojiwa
@ahnafaykhan6983 ай бұрын
au tukiamshe km kenya au serekali mnajikuta nani??! GEN ZI hata tz tpo
@honestthug.official2524Ай бұрын
Ucheni uchawa _ kasema ni police
@zebedayokatamaduni96763 ай бұрын
Sasa mtu anahojiwa wakati ameumizwa , jamani wananchi tupewe thamani. Atibiwe kwanza kwanza
@Vuvuzelaz13 ай бұрын
Nani anamlinda hugo kijana huko hospitali ili watekaji wasiende kumdhulu au ndio masikini hana ulinzi ?!
@salimomar-n7s3 ай бұрын
Tanzania bdo wako kwa ukoloni hwana uhuru wa kuongea democracy
@leokamil62843 ай бұрын
Mnategemea maneno ya Daktari au Polisi ambae kasikia alipelekwa Polisi 😂
@DavalsonMarlony3 ай бұрын
kmsifu mama ndo nn mnaznguwa nanyie watangazaji
@janethpallangyo38553 ай бұрын
Pumbavu kabisa hii serikali
@johnsonchonja40323 ай бұрын
Edo bhana daaah,anazeeka vibaya sana
@anitajacob36413 ай бұрын
Hii nchi yetu inaogopesha sana
@princemimi20903 ай бұрын
wachambuz wa mpira hawaa
@muthegreat36673 ай бұрын
Wapeni taarifa ipo siku tutachoka t .
@evansmoshi19233 ай бұрын
Tz watu hawapendi kukosokewa wanataka kusifiwa2
@valentineevaristАй бұрын
1:28 aliyekuwa ana mhoji alikuwa mkurugenz wa serikal ila haku kubali kumpa lift kumpeleka hospitali
@theresiamwandara799016 күн бұрын
Na alikataa kumbeba kwenye gari la serikali
@rogersiddy4 күн бұрын
Hapo alitamani afie hapo ndo angefurahi amenikela sana aisee unamuuliza maswali mtu ana Hali mbaya hivyo kweli?😡😡😢😢
@ANNAKILLO-o7d2 ай бұрын
Jamani hadi huruma hivi kweli hii inchi, MUNGU atawaona walio husika MTU anafanya kama ndege akatupwe porini?
@jumarchris3 ай бұрын
wee nawe panya mbezi bichi ipo wilaya ya ubungo😁😁😁 achakujichanga ni mbezi ya kimara kwa msuguli
@Ambagaye2 ай бұрын
Badala ya kuripoti habari kama habari nyine mnaweka uchawa mpaka kufikia kuhusisha mambo haya ya utekaji na serikali. Haya basi; leo hii JPM hayupo, je kawatuma hao watekaji kutokea kaburini mwake?
@AbduliKombania-ob8us2 ай бұрын
Polisi ndio sababu ya yote ayo kwasababu kwa maerezo yake yeye alilazwa kituo cha polis ostabey je aliekuja kumchukuwa apo kituoni nani polisi ndio wajibu
@mwalimumstaafu85293 ай бұрын
Uhuru wa kusifia sio kukosoa . Hakuna hatua yeyote. Awamu hii ni ya wawekezaji na matajiri. Sikiliza hotuba za wanasiasa kusikia neno watu maskini ni adimu sana. Siku hii ni wawekezaji ndio wana haki. Kwa sasa tuna philosophy ya kibebari trickle down effect ambao imefeli.
@raymondkihaka182726 күн бұрын
Ila same time mweee
@simbarajabu41573 ай бұрын
Huyu jamaa waache mazingaombwe police awawezi kusema bila ya yy mwenyeewe kusema maana Hawa vijana hatari sana ,mm siamini na naendelea kutokuamini ,uwezi kupigwa risasi ya Taya uwe hivyo ,police fanyeni kazi yenu kiweledi huyo ataeleza ukweli
@harunamtiko1173 ай бұрын
Polisi sio rafiki kwa wananchi tena, kinachotakiwa kila mtanzania achukue tahadhari na maisha yake, ikibid kila mt atembee na silaha yyte kwa ajili ya kujilinda binafsi, ikitokea mt anataka kukukamata bila kufata utaratibu bx unamalizana nae, n bora akuue pale pale kuliko akuteke apoteze ushahidi. Uoga haufai tena vngnevyo tutazd kuuwawa kila siku.
@InjiliyaUfalmetv3 ай бұрын
Serikali serikaki serikali msipokemea haya mambo moto wa jehanamu unawaongoja Hakika Mtochomwa milele ,tumbo limeniuma Eee Mungu wangu
@DeruDeru-p4t3 ай бұрын
Dar dar inaumiza sana jamani mbaka tumbo limeniuma lauchungu Mungu msaidie kijana wawatu apone jamani
@lwakainaza3 ай бұрын
Tumbo limekuuma la uchungu? Unamimba?
@DeruDeru-p4t3 ай бұрын
@@lwakainaza utajuaje kama nina mimba au sina acha umbea
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
@@lwakainaza kumbuka wewe ni mwanadamu kabisa wala sio mungu ipo siku utalijua hilo
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
Mungu kazini chezea mungu wew wasiojulikana wasiojulikana ndani ya nyumba kazi kwenu wakuu je wanakamatika hao au mwenda zake Tena ??? Tuacheni uchawa ukweli pekee ndio uhulu wetu pasipo ukweli utumwa juu yetu hakuna atakaetabili usalama wake hata uwe chawa mkuu kiasi gani nawe unaweza kukinywea kikombe hicho hicho unachokifannyia uchawa !!
@nikkimbishiunju24023 ай бұрын
Sio Mbezi Beach wewe,kuweni makini na habari zenu.
@frankraphael75463 ай бұрын
Osika unajibu kwakubabaika iyi nch niyetu utekaji ni mwingi tuliko Toka uyokijana amechukuliwa kituo Cha polis kwamaongezi yake polis inajua nawala upelelez auwez kufanyika
@Taito-brand3 ай бұрын
Kiukweli siamin kam Polis ndio wamehusik kuna mda unahukum mtu ambae hat una uwakik unasem tu kisa fulani kasema eet polis wamehusik unalipa tuhuma jeshi ukiitwa na kutoa taarifa utatoa acheni kufat mikumbo nawaambia ndg zangu
@TeddyTz-r9m3 ай бұрын
Sisi tuacheni tu na tukubali Tanzania Amani akuna kabisa pia Tanzania tunauoga mwingi Sana leo hii kwa ujinga uo uliofanyika watu waingie mtaani watafute haki aise mbona mnapata aki ndomna mm bongo mnisqau kabisa 😂 siji na adi uraia nishabadilisha zangu😂
@LameckZakaria-qg9vv2 ай бұрын
Hapo mwanzo mlisema awam ya tano sasa mbona mnasema mara juz mtoto mara uyo jamaa vp na hapo ni awam ya tano
@thadeylyimo97723 ай бұрын
Katavi porini ili aliwe na simba. Kweli wasiojulikana ni kiboko..
@zefamange72813 ай бұрын
Mlisema huyu wa sasa hateki watu anaupiga mwingi, huo ndio mwingi.
@simbarajabu41573 ай бұрын
Huyu kijana anajuwa watu walimfanya hivyo ni WA chama chake na hii ni kuona akuna ishu yeyote kwenye chama Chao ,sasa wanafanya mazingaombwe ,upigwe risasi ya Taya upone nchi hii usanii mwingi sana
@FrankKashamakula-xb1pcАй бұрын
Matako wewe walio mteka Shadrak Jee Mbeya au mpk siku wakuteke na wewe
@asteriashios18523 ай бұрын
Cha msingi hapo ni kumwahisha hosipital acheni ujinga akipona mtamhoji ndo nchi yeti ya Tanzania na jeshi la police sijui km Kuna kitakachofanyika maana sijaona wasiojulikana wakikamatwa Tanzania duh
@ndolimanaamani91063 ай бұрын
Oscar kuna muda huwa unajikakamua kuongea halafu unachanganya damu
@alzawahirabdallah22993 ай бұрын
Wapumbavu mnamuhoji tu sio mumuwahishe hospital kwanza
@omanoman20443 ай бұрын
Huyo kaka ake aseme vizur ndug yake alielekea wap ndug sai wamegeuka wanyam
@boychidu3 ай бұрын
TANZANIA BUANAAA MUNGU WETU TULIPIZIE HILI MAANA SISI MASKINI WAKO HATUNA HATIA YOYOTE LAKINI TUNANYANYASWA NA WENYE UWEZO NAOMBA UPIGANE NAO WANAO PIGANA NA SISI 🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢
@himanmwalwala75693 ай бұрын
Sababu ya kutekwa nani ataitoa?? Maana Hadi Leo sijawahi sikia Moalipotekwa
@salmaalimusa68093 ай бұрын
Tz ina uhuru wa kusifia ila siyo kuponda.hatuna viongozi serikali uozo tu
@ahnafaykhan6983 ай бұрын
inaonekana hao waliokuwa wanamhiji walitka afue hapo ili kupoteza ushahidi
@clementhiddi14863 ай бұрын
Machawa slow your words msisifie visivyo sifika.
@emmanuelrobert47573 ай бұрын
Kiukwel sio sawa aliyefanya hivi ipo siku itarud kwake real
@AbdallahArizona3 ай бұрын
Risasi kwenye Taya bila matibabu wala damu na anaongea haya
@ramadhanijawas32043 ай бұрын
Hata uko hospital wasije kwenda kummalizia au maigizo kutoka juu yakumuwekea sindano ya sumu daaaa Tanzagiza daaa watu wanateseka sana na sisi wanchi tukoo kimyaa daa mungu zidi ibariki Kenya
@PaschalGerad-xq4lw3 ай бұрын
Umeongea vizulisana kaka Oscar we nimzalendosana unakitu kizuli Moyon kuhusu hiinch matukio yotehaya atusikii kauli ya rais sijui yukowap yaan nikama anajisahau uyumama nchi ipo pabayasana tenasana
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
Yupo nyuma ya wanaoulikana kakaa hapo anaupiga mwingi
@evansmoshi19233 ай бұрын
Hawa vijana hayo mauvu wanayo pata wanabaiki na kinyongo moyoni siku wakiamua kutoa kinyongo moyoni sidhali kama watuzuiliwa na mtu yeyote.
@ombeniefata22393 ай бұрын
Acheni unafiki watangazaji uhuru tanzania amna kuna uoga tu
@BeniJohn-xd3cn3 ай бұрын
CCM MAPINDUZI SIYO WATU
@WahidaHilaly3 ай бұрын
Kuna ben saa nane ad leo ajulikani alipo 😢😢
@Zenny893 ай бұрын
Ila Polisi wa Tanzania…baada ya kumpeleka mtu hospitali kwanza mnaanza kumhoji hapo hapo wakati ameumia.
@abbeyngamilo3 ай бұрын
ajabu sana, halau wanataka kumpeleka polisi kwanza ndio hospitali
@shaurimtanda82853 ай бұрын
huyo siyo polisi ni mkurugenzi wa halmashauri ndiye aliyeelekeza kupatiwa.matibabu baada ya kupata particular zake
@Taito-brand3 ай бұрын
@@shaurimtanda8285yan kak wananchi wa nchi hii bhn kitu ana uwakik nach analopoka tu ajui anaropoka ndio mana unakuta watu wanawalaumu polis ndio wanahusik lakin ajui chcht kisa kamsikia fulan kasem jamn kuwen makin aiseeh cause kitu una uwakik kaa kmy
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
Tana inauma sana maana wangewahi kumpeleka bila mahojiana mambo yote yangemalizwa na madaktali kimwa kimwa dunia isingejua nini kinaendelea yaani kweli inasikitisha sana
@zarabati17503 ай бұрын
Police ndo hutumika kufanya hivi sana sana wangapi walitekwa na hadi leo kimya
@Taito-brand3 ай бұрын
Unauwakik tuhuma hiz ndg zang unauhakik
@ayubukedimundi32213 ай бұрын
Alafu apo Kuna wale wa haki za jamiii na binadamu na wamekaa kimya wakati wao matukio ya kipumbavu wanakuja kukemea......
@MfiriFulgensi3 ай бұрын
Atakuwa shoga haki za binadamu hata kutoka ulaya wangeshafika kutetea
@cloudjulius-sf6nw3 ай бұрын
Jeshi la polisi mkowapi fanyeni kazi msikumbatie chama tawala
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
Police mbona wapo ostabei wanafanya kazi yao kwani wewe huwaoni ?
@AzhadSaid-j1t3 ай бұрын
Polis uzembe tibu mtu hali sinzur
@haidhabushiri95583 ай бұрын
Nyie msaidie aende hospitali
@hassaniibrahim3003 ай бұрын
KWA NINI WANAMHOJI WAKATI ALITAKIWA APELEKWE HARAKA HOSPITAL
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
Wewe sema ilitakiwa afe bila kutoa maelezo yoyote hapo utaeleweka
@PeterTweve-t1c3 ай бұрын
NYIE WOTE WAOGA#
@happymackjacob34803 ай бұрын
wame mpigia mnyakyusaaa
@zachmaselle66353 ай бұрын
..... nchi nyingi si huru kama watu wanavyofikiria. Hat nchi mnazoambiwa ni huru, siyo huru. Na hili siyo nchi za kiafrika tu..............nchi za magharibi hii kitu ni kubwa sana.
@Bushman0003 ай бұрын
Kwa hiyo unatetea hili tukio??
@zachmaselle66353 ай бұрын
@@Bushman000 Hapana sitetei hili suala hata kidogo ndiyo maana watanzania ni waoga, sababu mambo kama haya yanaleta hofu. Kuachwa kwa huyu kijana kwenye hifadhi ya taifa, ina maana walitaka aliwe na wanyama. Inatisha.
@husseinc2 ай бұрын
ni kweli baadhi wanadhani kuna nchi ni huru ukija kwenye uhalisia sio huru
@AzhadSaid-j1t3 ай бұрын
Badae utrahoji hayajawakut
@JohnAdam-mv3ks3 ай бұрын
Nani alishakamatwa kwa kesi ya itekaji hapa bongo!?? Watu wengi wameshatekwa hajiawahi kujulikana mhusika mkuu wa haya matukio ila bongo dah hatareeee sana
@alimohamed57573 ай бұрын
si Tanzania dunia nzima
@aiyaavibes76103 ай бұрын
*INAUMIZA SANAAAAAAAA*
@EmmanuelChrispin-bo5xh3 ай бұрын
Kwamala ya kwanza wasafi mmetisha siokila siku umeupiga mwingi
@Fgldesigns3 ай бұрын
Huoni walivyonywea wameshindwa kukwepa wanaanza tusirudi hayo mambo yapo kila awamu waavhe kumchafua aliyepita maana woye wako hivyo hivyo
@Fgldesigns3 ай бұрын
Huoni walivyonywea wameshindwa kukwepa wanaanza tusirudi hayo mambo yapo kila awamu waavhe kumchafua aliyepita maana woye wako hivyo hivyo
@samsonsamwel87823 ай бұрын
Wameanza kujtambua
@anithawidambe75433 ай бұрын
Mama Samia tusaidie kwa hili kwann watu wanateka watu?
@taylorkasitu38193 ай бұрын
mmm ok utasubiri sana si kawarudisha serikalini
@robertphilip3853 ай бұрын
Kwani hajui
@SmilingCityMap-xb9md2 ай бұрын
Kweli atusaidie sana maana wenda yupo safali hajui kwamba wanatekwa asante sana kwa kumpa taalifa
@robertphilip3852 ай бұрын
@@SmilingCityMap-xb9md kweli we ndo hamnazo eti huenda hajui anajua sana tu