YALIYOJIFICHA JUU YA KUTEKWA KWA KIJANA SATIVA WA TWITTER | AFRIKA HATUNA UHURU WA KUKOSOA

  Рет қаралды 32,111

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 170
@Zenny89
@Zenny89 3 ай бұрын
Ukweli hauta kuja kupatikana Sababu waliofanya hivi wapo serikalini…na Polisi wametumika…Aliyempiga Risasi Tundu Lissu mpaka Leo hajulikani
@Taito-brand
@Taito-brand 3 ай бұрын
Ww umemjua kam umemjua toa taarifa kak
@thadeylyimo9772
@thadeylyimo9772 3 ай бұрын
Wasiojulikana..​@@Taito-brand
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
​@@Taito-brand taalifa katoa mwenyewe mpigwaji lisasi kwani hizo taalifa hazikutoshi !kama hazikutoshi nenda hospital kamuulize tena
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
​@@Taito-brandyaani wewe ni mwanadamu kabisa wala sio mungu
@PendoMatemba
@PendoMatemba 2 ай бұрын
Na zile kamera zilikuwa kipofu
@ezekielmatondane714
@ezekielmatondane714 3 ай бұрын
Acheni uchawa awamu ya 5 haifananishwi na chochote wa na huyo mama yenu asie tufaa watazania masikini anajali wazungu na matajili hafai kabisa musimufananishe na magufuli
@rafiurashid1021
@rafiurashid1021 10 күн бұрын
Wewe Ezekiel huna akili, huyo magufuri unayemsema kuwa MWEMA kkauwa wattu wengi kwenye utawala wake, acheni chuki zenu za kidini,,, waislaam wameuawa wengi na huyo magufuri wenu mbona mlikaa kimyaa shwainiiiiiii zenu wote mnao mponda Mama samia kwaajiri ya chuki zenu za kidini
@emanuelnisetas7510
@emanuelnisetas7510 3 ай бұрын
Kuna siku hiinchi itawaka waache wajione wananguvu sis wananchi ndotuna ngutu ilawatanzania tuache wonga tupambanie nchiyetu
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 3 ай бұрын
WANANCHI WA TANZANIA TUMEBEBA HASIRA NYINGI SANA MIOYONI MWETU...
@Yangaone-h8j
@Yangaone-h8j 3 ай бұрын
Hasira zenye uoga ndani yake
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 3 ай бұрын
​@@Yangaone-h8jtunapelekwa tu kama mambwa 😢tukiongea tunatekwa loooh tz amani hakuna
@halimamasai2234
@halimamasai2234 3 ай бұрын
@@Yangaone-h8j🤣🤣🤣
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 3 ай бұрын
@@Yangaone-h8j Siku Isiyo na Jina Utaisha....
@bujashidaniel5537
@bujashidaniel5537 3 ай бұрын
True​@@Yangaone-h8j
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 3 ай бұрын
KWANI MUKISHAMUAISHA KATIKA HOSPITAL ALAFU MKACHUKUA MAELEZO YAKE NI VIZURI ZAIDI KULIKO MTU KUFALIKI UKU MNAMUOJI UDUMA YA KWANZA IWE KWANZA MENGINE YAENDELEHE BADAE 😢😢😢
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs 3 ай бұрын
Kabisa yani😢😢
@paulinewangila-cs6ys
@paulinewangila-cs6ys 3 ай бұрын
​@@AdelaideZacariasZacarias-hp8gsjambo zuri kabisa one African love
@ntambisamwel4436
@ntambisamwel4436 4 күн бұрын
Real sad asee..mtu anashindwa pelekwa hosptal..anapata maumivu daah bongo ni usenge mtupu
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 3 ай бұрын
KWANZA APELEKWE HOSPITAL SIO KUMHOJI MTU YUPO MAHUTUTI SAAANA
@PendoMatemba
@PendoMatemba 2 ай бұрын
Wanamchelewesha ili afe
@fadhilmandaliabdalla6736
@fadhilmandaliabdalla6736 3 ай бұрын
Huyo Edo sijuwi kama sio Shoga, sasa unaleta mambo nyuma ipi hiyo, huyo mamaako amefanya nn la maana, serikali ya Magu mgemtupia lawama yeye, ila saivi yupo huyu mnamuekea maneno mdomon na kusafisha tawala yake, acheni chuki za kishoga hizo
@husseinc
@husseinc 2 ай бұрын
alishawai kutekwa dr ulimboka alieyekua anaogoza mgomo wa madaktari alipigwa vibaya sana kung'owewa meno alikuwa na hari mbaya akakimbizwa south afrika kwa matibabu yaharaka dr ulimboka alimtuhumu bwana mmoja aliekua ikulu huyo bwana siku anatwekwa alimpigia simu dr na kumuekeza dr wakutane sehemu fulani ndio alipotekewa, ilikuwa ni Awamu ya 4 jakaya mrisho kikwete huyo edo alijui hili,? vyombo vya habari si vya kuamimini unakuta washanunuliwa wanafanya kampeni kuuchafua utawala wa hawamu ya5.
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 3 ай бұрын
Tumewachoka viongozi wenu wanafanya vitu vya ovyooo Sana..... Kiukweli kabisa binasi siwapendi vitu wanavyovifanya mm naumia Sana moyoni
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 3 ай бұрын
roho za wa kenya ituingie miyoyon mwetu watanzania amina
@yordanyona1234
@yordanyona1234 3 ай бұрын
Wachunguzwe vijana ccm ...maaana yule aliyeongea Bukoba atoe maelezo
@nataemsuya
@nataemsuya 2 ай бұрын
Dah..ningeshauri km kuna sheria inaelekeza mgonjwa mahututi apelekwe kwanza polisi badala ya hospital jamani pengine kuna haja ya kuibadilisha sasa. Yani nchi km Norway 🇳🇴 afya kwanza😮unakimbizwa hospital kwanza kabla ya yooote. Hata km ni mwizi/ mlevi/ kahaba/vyovyote, afya ya Mtu ni muhimu sn kuliko kitu chochote. Sisi tunashindwa wapi😢😢
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 8 күн бұрын
Mwenyezi Mungu amponye
@leokamil6284
@leokamil6284 3 ай бұрын
Viongozi wa upinzani walisema kuna kundi mkadharau yaani tutakoma
@allytv1714
@allytv1714 3 ай бұрын
Hii nchi ni ngumu sana kwanza ina wananchi waoga pili ina vyombo vya habari vya kusifia tyuu kuliko kusema kweli tutazidi kufa cz tunaserikali ya magaidi lazima tubadilike watanzania
@juniorndambalilo66
@juniorndambalilo66 19 күн бұрын
Ifike muda na sisi wananchi wenye kupinga huu uovu wa serikali wa mauaji...tuanze kuwateka machawa wote wanaojifanya wanamsifia bmkubwa
@bossmolellsisiya4101
@bossmolellsisiya4101 3 ай бұрын
wapuuzi sana hao badala ya kumsaidia kwanza wana muhoji washamba sana haw
@tizoMbaruku
@tizoMbaruku Ай бұрын
Ccm wakishinda 2025 wameiba kura labda sio kwamateso haya tunayo pata watanzania
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 3 ай бұрын
Watanzania mjifunze kutoa huduma kwanza jamani mtu mna muona anahitaji huduma ya kupelekwa hospital kuliko mmuwahishe hospital mna muhoji sijui muite viongozi wamtaa sijui police 🚔 hivyo vyote vya nini!
@ms123ru
@ms123ru 3 ай бұрын
Uwez msaidia mgonjwa Kama hauna taarifaa kaka
@thespaniardinme
@thespaniardinme 3 ай бұрын
Watu wetu mambo ya first aid ni 0 kabisa. Mtu analalamika kabisa kichwa kinauma, mara mbili, wao wanamhoji juu ya waliomteka. Mpaka unajiuliza, wao polisi? Au wanataka content? Yani hawakufikiria kabisa kuwa analalamika maana hayupo vizuri. Jukumu lako ukimkuta ni kuita polisi au kumpeleka kupata huduma, baas.
@jumbeojaso5767
@jumbeojaso5767 3 ай бұрын
​​@@thespaniardinmesiyo kweli, kumfahamu jina na anakotoka kama anaweza kuongea ni muhimu kwani anaweza kufa ghafla na ikawa shida kwa uliyemuokota. Au hujwahi kusikia,mtu mshtakiwa kwa mauaji ambayo hakutenda. Lazima uchukue tahadhari bila kukurupuka
@thespaniardinme
@thespaniardinme 3 ай бұрын
@@jumbeojaso5767 hiyo ni sheria au mazoea? Kama ni sheria, ni sheria ipi, maana labda mimi siifahamu lakini wewe unaifahamu. Na zaidi, ina faida gani kwako kama umejua jina halafu akakufia mikononi, then what? Nia ni yeye kuwa saved au wewe kujua jina lake? Na zaidi, inachukua muda wote huo wa video kujua jina lake tu? For real???
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 3 ай бұрын
Kwaio bora afe akiwa anahojiwa?​@@ms123ru
@EliasKasomi-db4io
@EliasKasomi-db4io 18 күн бұрын
Watu waache kukosoa serikali wafate private issues za maixha Yao maan utapotea hasara Kwa familia yako maan nchi yetu haijafkia ushirikiano Kwa wote ko utaumia peke ako
@noelmbosa2736
@noelmbosa2736 3 ай бұрын
Mmmm upandacho ndicho utavuna kwa wakati uliyefanya haya Mungu akulipe tena ulaaniwe. shetani wewe na hao mliofanya. Mungu amewachoka na atawaweka peupe, wote tutajua ibilisi wakubwa nyie. mtalipwa hapahapa dunian shetani nyie
@Mjeda-q1m
@Mjeda-q1m 23 күн бұрын
Tatizo viongozi wa Sasa wanapata madaraka kama takrima na vyeo hivyo vinatumika kama chanzo Cha mapato na si uwajibikaji
@Theman-dn8vo
@Theman-dn8vo 2 ай бұрын
Ila kwnn kusiwekwe mifumo mtu apelekwe kwanza Hospital afu taratibu za polisi zije baadae. Mkazidiwa nusu kufa anahitaj msaada wa haraka lkn mpka aende kwanza polis akifia huko kituon vp sasa
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 2 ай бұрын
Edu wewe acha ujinga kwani ujui ata chadema walikuwa wanatekana wenyewe acha kumchafua mjombo
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 3 ай бұрын
ILITAKIWA KWANZA APEWE HUDUMA SIO KUMHOJI SAAANA HUO SIO UBINADAMU
@ChiyomboLwinga
@ChiyomboLwinga 3 ай бұрын
Kwa umri wake na kazi zake, itakuwa ni kukosoa baadhi ya vitu, maana Tanzania ndo nchi pekee ukikosoa ni kosa kubwa sana
@Chrishenryson-beats
@Chrishenryson-beats 3 ай бұрын
Hawaku muacha hai walimuuwa ila Mungu alimuokoa. Hawakukusudia awe hai sema risasi ilipita maeneo ambapo Mungu alimuokoa. Yani Huyo ACP anaangaika kwamba kapigwa na kitu chenye ncha kali au sio. Hayo yanahusiana vipi. Kamata watekaji ng’ombe we
@JumaKilyamanda
@JumaKilyamanda 17 күн бұрын
Mda mwigina naomba mgungu alete galika tufe wote afu tuaze upyaa
@cloudjulius-sf6nw
@cloudjulius-sf6nw 3 ай бұрын
Safe sana wasafi wambieni viongozi wa serikali ipoh siku tutagawana majumba
@allymwilu8089
@allymwilu8089 3 ай бұрын
Si ndo mama qnaupiga mwingi au😂😂😂😂😂 daah aya kesho kwa mungu uko kuna neno
@franciscotemba6929
@franciscotemba6929 Ай бұрын
muda utaongea,ngoja maisha yazdi kua magumu hakuna atakae amrishwa kutafuta aki yake,na haki haiombwi
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
Kakutwa na akili timamu kabisa kajieleza kaeleweka vizuli hapo wasiojulikana na machawa kazi mnayo mwalikikeni baba wa hila awasaidie kutunga hila ili msomeke na dunia
@danielamosi6871
@danielamosi6871 3 ай бұрын
Badala mtu akatibiwe anahojiwa
@ahnafaykhan698
@ahnafaykhan698 3 ай бұрын
au tukiamshe km kenya au serekali mnajikuta nani??! GEN ZI hata tz tpo
@honestthug.official2524
@honestthug.official2524 Ай бұрын
Ucheni uchawa _ kasema ni police
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 3 ай бұрын
Sasa mtu anahojiwa wakati ameumizwa , jamani wananchi tupewe thamani. Atibiwe kwanza kwanza
@Vuvuzelaz1
@Vuvuzelaz1 3 ай бұрын
Nani anamlinda hugo kijana huko hospitali ili watekaji wasiende kumdhulu au ndio masikini hana ulinzi ?!
@salimomar-n7s
@salimomar-n7s 3 ай бұрын
Tanzania bdo wako kwa ukoloni hwana uhuru wa kuongea democracy
@leokamil6284
@leokamil6284 3 ай бұрын
Mnategemea maneno ya Daktari au Polisi ambae kasikia alipelekwa Polisi 😂
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 3 ай бұрын
kmsifu mama ndo nn mnaznguwa nanyie watangazaji
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 3 ай бұрын
Pumbavu kabisa hii serikali
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 3 ай бұрын
Edo bhana daaah,anazeeka vibaya sana
@anitajacob3641
@anitajacob3641 3 ай бұрын
Hii nchi yetu inaogopesha sana
@princemimi2090
@princemimi2090 3 ай бұрын
wachambuz wa mpira hawaa
@muthegreat3667
@muthegreat3667 3 ай бұрын
Wapeni taarifa ipo siku tutachoka t .
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 3 ай бұрын
Tz watu hawapendi kukosokewa wanataka kusifiwa2
@valentineevarist
@valentineevarist Ай бұрын
1:28 aliyekuwa ana mhoji alikuwa mkurugenz wa serikal ila haku kubali kumpa lift kumpeleka hospitali
@theresiamwandara7990
@theresiamwandara7990 16 күн бұрын
Na alikataa kumbeba kwenye gari la serikali
@rogersiddy
@rogersiddy 4 күн бұрын
Hapo alitamani afie hapo ndo angefurahi amenikela sana aisee unamuuliza maswali mtu ana Hali mbaya hivyo kweli?😡😡😢😢
@ANNAKILLO-o7d
@ANNAKILLO-o7d 2 ай бұрын
Jamani hadi huruma hivi kweli hii inchi, MUNGU atawaona walio husika MTU anafanya kama ndege akatupwe porini?
@jumarchris
@jumarchris 3 ай бұрын
wee nawe panya mbezi bichi ipo wilaya ya ubungo😁😁😁 achakujichanga ni mbezi ya kimara kwa msuguli
@Ambagaye
@Ambagaye 2 ай бұрын
Badala ya kuripoti habari kama habari nyine mnaweka uchawa mpaka kufikia kuhusisha mambo haya ya utekaji na serikali. Haya basi; leo hii JPM hayupo, je kawatuma hao watekaji kutokea kaburini mwake?
@AbduliKombania-ob8us
@AbduliKombania-ob8us 2 ай бұрын
Polisi ndio sababu ya yote ayo kwasababu kwa maerezo yake yeye alilazwa kituo cha polis ostabey je aliekuja kumchukuwa apo kituoni nani polisi ndio wajibu
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 3 ай бұрын
Uhuru wa kusifia sio kukosoa . Hakuna hatua yeyote. Awamu hii ni ya wawekezaji na matajiri. Sikiliza hotuba za wanasiasa kusikia neno watu maskini ni adimu sana. Siku hii ni wawekezaji ndio wana haki. Kwa sasa tuna philosophy ya kibebari trickle down effect ambao imefeli.
@raymondkihaka1827
@raymondkihaka1827 26 күн бұрын
Ila same time mweee
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 3 ай бұрын
Huyu jamaa waache mazingaombwe police awawezi kusema bila ya yy mwenyeewe kusema maana Hawa vijana hatari sana ,mm siamini na naendelea kutokuamini ,uwezi kupigwa risasi ya Taya uwe hivyo ,police fanyeni kazi yenu kiweledi huyo ataeleza ukweli
@harunamtiko117
@harunamtiko117 3 ай бұрын
Polisi sio rafiki kwa wananchi tena, kinachotakiwa kila mtanzania achukue tahadhari na maisha yake, ikibid kila mt atembee na silaha yyte kwa ajili ya kujilinda binafsi, ikitokea mt anataka kukukamata bila kufata utaratibu bx unamalizana nae, n bora akuue pale pale kuliko akuteke apoteze ushahidi. Uoga haufai tena vngnevyo tutazd kuuwawa kila siku.
@InjiliyaUfalmetv
@InjiliyaUfalmetv 3 ай бұрын
Serikali serikaki serikali msipokemea haya mambo moto wa jehanamu unawaongoja Hakika Mtochomwa milele ,tumbo limeniuma Eee Mungu wangu
@DeruDeru-p4t
@DeruDeru-p4t 3 ай бұрын
Dar dar inaumiza sana jamani mbaka tumbo limeniuma lauchungu Mungu msaidie kijana wawatu apone jamani
@lwakainaza
@lwakainaza 3 ай бұрын
Tumbo limekuuma la uchungu? Unamimba?
@DeruDeru-p4t
@DeruDeru-p4t 3 ай бұрын
@@lwakainaza utajuaje kama nina mimba au sina acha umbea
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
​@@lwakainaza kumbuka wewe ni mwanadamu kabisa wala sio mungu ipo siku utalijua hilo
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
Mungu kazini chezea mungu wew wasiojulikana wasiojulikana ndani ya nyumba kazi kwenu wakuu je wanakamatika hao au mwenda zake Tena ??? Tuacheni uchawa ukweli pekee ndio uhulu wetu pasipo ukweli utumwa juu yetu hakuna atakaetabili usalama wake hata uwe chawa mkuu kiasi gani nawe unaweza kukinywea kikombe hicho hicho unachokifannyia uchawa !!
@nikkimbishiunju2402
@nikkimbishiunju2402 3 ай бұрын
Sio Mbezi Beach wewe,kuweni makini na habari zenu.
@frankraphael7546
@frankraphael7546 3 ай бұрын
Osika unajibu kwakubabaika iyi nch niyetu utekaji ni mwingi tuliko Toka uyokijana amechukuliwa kituo Cha polis kwamaongezi yake polis inajua nawala upelelez auwez kufanyika
@Taito-brand
@Taito-brand 3 ай бұрын
Kiukweli siamin kam Polis ndio wamehusik kuna mda unahukum mtu ambae hat una uwakik unasem tu kisa fulani kasema eet polis wamehusik unalipa tuhuma jeshi ukiitwa na kutoa taarifa utatoa acheni kufat mikumbo nawaambia ndg zangu
@TeddyTz-r9m
@TeddyTz-r9m 3 ай бұрын
Sisi tuacheni tu na tukubali Tanzania Amani akuna kabisa pia Tanzania tunauoga mwingi Sana leo hii kwa ujinga uo uliofanyika watu waingie mtaani watafute haki aise mbona mnapata aki ndomna mm bongo mnisqau kabisa 😂 siji na adi uraia nishabadilisha zangu😂
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 2 ай бұрын
Hapo mwanzo mlisema awam ya tano sasa mbona mnasema mara juz mtoto mara uyo jamaa vp na hapo ni awam ya tano
@thadeylyimo9772
@thadeylyimo9772 3 ай бұрын
Katavi porini ili aliwe na simba. Kweli wasiojulikana ni kiboko..
@zefamange7281
@zefamange7281 3 ай бұрын
Mlisema huyu wa sasa hateki watu anaupiga mwingi, huo ndio mwingi.
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 3 ай бұрын
Huyu kijana anajuwa watu walimfanya hivyo ni WA chama chake na hii ni kuona akuna ishu yeyote kwenye chama Chao ,sasa wanafanya mazingaombwe ,upigwe risasi ya Taya upone nchi hii usanii mwingi sana
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc Ай бұрын
Matako wewe walio mteka Shadrak Jee Mbeya au mpk siku wakuteke na wewe
@asteriashios1852
@asteriashios1852 3 ай бұрын
Cha msingi hapo ni kumwahisha hosipital acheni ujinga akipona mtamhoji ndo nchi yeti ya Tanzania na jeshi la police sijui km Kuna kitakachofanyika maana sijaona wasiojulikana wakikamatwa Tanzania duh
@ndolimanaamani9106
@ndolimanaamani9106 3 ай бұрын
Oscar kuna muda huwa unajikakamua kuongea halafu unachanganya damu
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 3 ай бұрын
Wapumbavu mnamuhoji tu sio mumuwahishe hospital kwanza
@omanoman2044
@omanoman2044 3 ай бұрын
Huyo kaka ake aseme vizur ndug yake alielekea wap ndug sai wamegeuka wanyam
@boychidu
@boychidu 3 ай бұрын
TANZANIA BUANAAA MUNGU WETU TULIPIZIE HILI MAANA SISI MASKINI WAKO HATUNA HATIA YOYOTE LAKINI TUNANYANYASWA NA WENYE UWEZO NAOMBA UPIGANE NAO WANAO PIGANA NA SISI 🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢
@himanmwalwala7569
@himanmwalwala7569 3 ай бұрын
Sababu ya kutekwa nani ataitoa?? Maana Hadi Leo sijawahi sikia Moalipotekwa
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 3 ай бұрын
Tz ina uhuru wa kusifia ila siyo kuponda.hatuna viongozi serikali uozo tu
@ahnafaykhan698
@ahnafaykhan698 3 ай бұрын
inaonekana hao waliokuwa wanamhiji walitka afue hapo ili kupoteza ushahidi
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 3 ай бұрын
Machawa slow your words msisifie visivyo sifika.
@emmanuelrobert4757
@emmanuelrobert4757 3 ай бұрын
Kiukwel sio sawa aliyefanya hivi ipo siku itarud kwake real
@AbdallahArizona
@AbdallahArizona 3 ай бұрын
Risasi kwenye Taya bila matibabu wala damu na anaongea haya
@ramadhanijawas3204
@ramadhanijawas3204 3 ай бұрын
Hata uko hospital wasije kwenda kummalizia au maigizo kutoka juu yakumuwekea sindano ya sumu daaaa Tanzagiza daaa watu wanateseka sana na sisi wanchi tukoo kimyaa daa mungu zidi ibariki Kenya
@PaschalGerad-xq4lw
@PaschalGerad-xq4lw 3 ай бұрын
Umeongea vizulisana kaka Oscar we nimzalendosana unakitu kizuli Moyon kuhusu hiinch matukio yotehaya atusikii kauli ya rais sijui yukowap yaan nikama anajisahau uyumama nchi ipo pabayasana tenasana
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
Yupo nyuma ya wanaoulikana kakaa hapo anaupiga mwingi
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 3 ай бұрын
Hawa vijana hayo mauvu wanayo pata wanabaiki na kinyongo moyoni siku wakiamua kutoa kinyongo moyoni sidhali kama watuzuiliwa na mtu yeyote.
@ombeniefata2239
@ombeniefata2239 3 ай бұрын
Acheni unafiki watangazaji uhuru tanzania amna kuna uoga tu
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 ай бұрын
CCM MAPINDUZI SIYO WATU
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly 3 ай бұрын
Kuna ben saa nane ad leo ajulikani alipo 😢😢
@Zenny89
@Zenny89 3 ай бұрын
Ila Polisi wa Tanzania…baada ya kumpeleka mtu hospitali kwanza mnaanza kumhoji hapo hapo wakati ameumia.
@abbeyngamilo
@abbeyngamilo 3 ай бұрын
ajabu sana, halau wanataka kumpeleka polisi kwanza ndio hospitali
@shaurimtanda8285
@shaurimtanda8285 3 ай бұрын
huyo siyo polisi ni mkurugenzi wa halmashauri ndiye aliyeelekeza kupatiwa.matibabu baada ya kupata particular zake
@Taito-brand
@Taito-brand 3 ай бұрын
@@shaurimtanda8285yan kak wananchi wa nchi hii bhn kitu ana uwakik nach analopoka tu ajui anaropoka ndio mana unakuta watu wanawalaumu polis ndio wanahusik lakin ajui chcht kisa kamsikia fulan kasem jamn kuwen makin aiseeh cause kitu una uwakik kaa kmy
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
Tana inauma sana maana wangewahi kumpeleka bila mahojiana mambo yote yangemalizwa na madaktali kimwa kimwa dunia isingejua nini kinaendelea yaani kweli inasikitisha sana
@zarabati1750
@zarabati1750 3 ай бұрын
Police ndo hutumika kufanya hivi sana sana wangapi walitekwa na hadi leo kimya
@Taito-brand
@Taito-brand 3 ай бұрын
Unauwakik tuhuma hiz ndg zang unauhakik
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 3 ай бұрын
Alafu apo Kuna wale wa haki za jamiii na binadamu na wamekaa kimya wakati wao matukio ya kipumbavu wanakuja kukemea......
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 3 ай бұрын
Atakuwa shoga haki za binadamu hata kutoka ulaya wangeshafika kutetea
@cloudjulius-sf6nw
@cloudjulius-sf6nw 3 ай бұрын
Jeshi la polisi mkowapi fanyeni kazi msikumbatie chama tawala
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
Police mbona wapo ostabei wanafanya kazi yao kwani wewe huwaoni ?
@AzhadSaid-j1t
@AzhadSaid-j1t 3 ай бұрын
Polis uzembe tibu mtu hali sinzur
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 3 ай бұрын
Nyie msaidie aende hospitali
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 3 ай бұрын
KWA NINI WANAMHOJI WAKATI ALITAKIWA APELEKWE HARAKA HOSPITAL
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
Wewe sema ilitakiwa afe bila kutoa maelezo yoyote hapo utaeleweka
@PeterTweve-t1c
@PeterTweve-t1c 3 ай бұрын
NYIE WOTE WAOGA#
@happymackjacob3480
@happymackjacob3480 3 ай бұрын
wame mpigia mnyakyusaaa
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 3 ай бұрын
..... nchi nyingi si huru kama watu wanavyofikiria. Hat nchi mnazoambiwa ni huru, siyo huru. Na hili siyo nchi za kiafrika tu..............nchi za magharibi hii kitu ni kubwa sana.
@Bushman000
@Bushman000 3 ай бұрын
Kwa hiyo unatetea hili tukio??
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 3 ай бұрын
@@Bushman000 Hapana sitetei hili suala hata kidogo ndiyo maana watanzania ni waoga, sababu mambo kama haya yanaleta hofu. Kuachwa kwa huyu kijana kwenye hifadhi ya taifa, ina maana walitaka aliwe na wanyama. Inatisha.
@husseinc
@husseinc 2 ай бұрын
ni kweli baadhi wanadhani kuna nchi ni huru ukija kwenye uhalisia sio huru
@AzhadSaid-j1t
@AzhadSaid-j1t 3 ай бұрын
Badae utrahoji hayajawakut
@JohnAdam-mv3ks
@JohnAdam-mv3ks 3 ай бұрын
Nani alishakamatwa kwa kesi ya itekaji hapa bongo!?? Watu wengi wameshatekwa hajiawahi kujulikana mhusika mkuu wa haya matukio ila bongo dah hatareeee sana
@alimohamed5757
@alimohamed5757 3 ай бұрын
si Tanzania dunia nzima
@aiyaavibes7610
@aiyaavibes7610 3 ай бұрын
*INAUMIZA SANAAAAAAAA*
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh 3 ай бұрын
Kwamala ya kwanza wasafi mmetisha siokila siku umeupiga mwingi
@Fgldesigns
@Fgldesigns 3 ай бұрын
Huoni walivyonywea wameshindwa kukwepa wanaanza tusirudi hayo mambo yapo kila awamu waavhe kumchafua aliyepita maana woye wako hivyo hivyo
@Fgldesigns
@Fgldesigns 3 ай бұрын
Huoni walivyonywea wameshindwa kukwepa wanaanza tusirudi hayo mambo yapo kila awamu waavhe kumchafua aliyepita maana woye wako hivyo hivyo
@samsonsamwel8782
@samsonsamwel8782 3 ай бұрын
Wameanza kujtambua
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 3 ай бұрын
Mama Samia tusaidie kwa hili kwann watu wanateka watu?
@taylorkasitu3819
@taylorkasitu3819 3 ай бұрын
mmm ok utasubiri sana si kawarudisha serikalini
@robertphilip385
@robertphilip385 3 ай бұрын
Kwani hajui
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 2 ай бұрын
Kweli atusaidie sana maana wenda yupo safali hajui kwamba wanatekwa asante sana kwa kumpa taalifa
@robertphilip385
@robertphilip385 2 ай бұрын
@@SmilingCityMap-xb9md kweli we ndo hamnazo eti huenda hajui anajua sana tu
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz 3 ай бұрын
😮
@AzhadSaid-j1t
@AzhadSaid-j1t 3 ай бұрын
Xavi mtupu
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН
MDUDE AKIELEZA YALIYO MSIBU AKIWA MIKONONI MWA POLISI
52:26
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 35 М.
MZARAMO WA SIMBA- ACHARUKA NA USHINDI AWATAJA YANGA
15:25
KARIAKOO CONGO TV
Рет қаралды 2,8 М.
The Story Book : Ukweli Uliojificha Kuhusu BANGI
41:40
Wasafi Media
Рет қаралды 1,5 МЛН
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН